Mwalimu kabisa huyu Ana ufasaha wa kuelekeza anaongea moja kwa moja .Allah amuhifadhi aaamiin
@SurprisedBirdwingButterf-gi9ym26 күн бұрын
Ameen yaRabbi 🤲
@zaydamos874Ай бұрын
Simba mkali sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi sheikh wetu sheikh msomi
@UlamaaWaUlamaaАй бұрын
Mwanzo nilikuwa simuelew ila kwa sasa naaaanza kumuelewa. Allah amhifadhi
@dulividuli5237Ай бұрын
Kiufupi nakupenda sna Muhammad bachu kwa ajili ya Allah,Allah akuzidishie elmu uzidi kuutoa Ummat muhammad kwnye Giza hata km watu wanakuchukia ila chuki zao zisikufanye ukarud nyuma katka kuuelimsha umma wa Kiislamu,Allah ndie anaejua yaliomo Moyoni mwako.
@Athumaniomari-ge2gsАй бұрын
Aise yafaa masheikh wamuunge mkono Zaid huyu bachu maan anafany kazi kubwa saaan
@UlamaaWaUlamaaАй бұрын
Mm namba moja nitamuuunga mkono
@MunatiyahilwaАй бұрын
Wallahi yametoka machozi May Allah reward you...awaongoze na Mashekhe wetu wote.
@amadeomarsaide5023Ай бұрын
حفظك الله يا ابن باشوا وأطال عمرك في خير ورزقك الإخلاص في القول والعمل وأسأل الله برحمته الواسعة أن يجمعنا في فردوس الأعلى مع النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا
@biangwatv.1223Ай бұрын
آمين
@anthonykariuki2438Ай бұрын
Nimekuelewa mia fil mia shehe. Nafurahia kuongozwa na Allah nikaingia kwenye dini ya haki. Kwenye ukristo hakuna mijadala,huko ni imani potofu. Allah atuzidishie ufahamu na Insha Allah umauti utupate tukiwa waislamu.
@kennedyodhiambo8049Ай бұрын
haki iko wapi
@anthonykariuki243829 күн бұрын
@@kennedyodhiambo8049 £££333"""*****
@khalifa_kuchiАй бұрын
Nimeelewa na nimefahamu vzr unavyoomaanisha, Allah akulinde akuhifadh na azid kutuongoza ktk wema InshaAllah...
@CishahayoCishahayo11 күн бұрын
Mashaallah, sheikh Muhammad bachu, namuomba Allah akuhifadhi na azidi kukuelimisha, ili na wewe upate kutuelimisha sisi, aamiin!
@JumaOmar-ku6crАй бұрын
Ndugu yangu Abdul Abeid unafikiri kuna dhambi kubwa kuliko shirki usimlaumu bachu msikilize hata kama humkubali utapata faida hata ndogo
@hamzaforogoАй бұрын
Shekhe nasoro bachu hapa katuachia mtu
@husseinmongolare3417Ай бұрын
Nakuelewa sheikh Muhammad Shukran
@hamzaforogoАй бұрын
Allah anasema " jisaidieni katika mambo yenu kwa kusubiri na kuswali hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri. Sio kutaka msaada kwa majini . Swala na subira
@AbdulAbeldi-km4poАй бұрын
Sasa mie sie kuraishi... Bachu namuona WA kawaida Tu.. haswa kwenye elimu ya dini
@warshysaid8564Ай бұрын
@@AbdulAbeldi-km4poww umefanya nn kwenye iyo elimu yko ya dini
@abuuaidh6500Ай бұрын
@@AbdulAbeldi-km4poinawezekana Akhiy Bachu kwako hana elimu ww upo Juu Ila Jee hili analosema nikweli au sio kweli
@AbdulAbeldi-km4poАй бұрын
SINA elim ya kumfikia bachu na wewe pia siiufikii sijasoma Mimi hata kidogo wabillah tawfiq
@abdillahsleyyum2768Ай бұрын
Wewe ni nani na jitihadi gan umefanya?@@AbdulAbeldi-km4po
@UmarMasudi-so2hi18 күн бұрын
Allah akulipe kila la kheri sheikh wangu kwa kunitoa kwenye ujinga...uku kwetu drc watu hao ni wengi sana piya dini imedhalilishwa sana na watu hao...
@aishamary246220 күн бұрын
Nilikuwa najiuliza maswali meng saan baada ya Dr sule alichko kisema Alhamdulilah hatimae nimepata elimu Mungu akulipe sheikh
@SimbaSCFansTZАй бұрын
Elimu hii ni pana sana shukrani sheikh kwa ufahamu huu, ninachokiona kuna mstari mwembamba sana kati ya imani na ushirikina ALLAH atuepushe na ushirikina.
@Hamis-ks1syАй бұрын
Allah awahifadhi masheikh wetu
@muhammadmbaraka4515Ай бұрын
MAA SHAA ALLAAH..Atakaekusikiliza hadi mwisho lazima akuelewe kwa idhni ya ALLAAH.. **ALLAAH Akujaalie mwisho mwema**
@mwanaishajuma4166Ай бұрын
Amiin
@aaa64sa1324 күн бұрын
Ameen..
@user-fw6si9yd6x24 күн бұрын
Masha'Allah. Ilimu kubwa sana Shekh wangu umetupatia. Anayefuata mambo hayo baada ya sasa hana sababu zaidi ya ukaidi tu. Allah akuongezee ilmu na ufahamu amina!
@user-gi2jv4kl7sАй бұрын
Shekh bachu anafanya kazi kubwa ya kuelimisha
@MwalimJechaАй бұрын
Hapana ya kupotosha
@user-ug8hc4yh5kАй бұрын
Shukran sana sheikh wetu Muhammad bacho Kwa kumrekebisha uyo aliye taka kuhalalisha ushirikina na Uchawi baba kirwasha
@Catherine-mh8swАй бұрын
Baba kirwasha ndiyo nani
@aswabikimaro3033Ай бұрын
@@Catherine-mh8swyule shekhe kwny kpnd cha wanandoa tv imani....
@Catherine-mh8swАй бұрын
@@aswabikimaro3033 asante
@celestinshayo7295Ай бұрын
@@aswabikimaro3033suluhu la yote hayo ni kujisalimisha kwa Yesu Kristo pekee. Kwa jina lake kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni BWANA (Mungu). ..wanaopinga hili ipo siku wataungama
@Noorein-ws8wkАй бұрын
@@celestinshayo7295 Uislam una sheria zake muhimu kusoma Quran na kuifuata,na nyie huko kanisani kumejaa mapepo kila siku yanatolewa mbona hayeshi? Majini pia kanisani yamejaa na nguvu za kiza zimejaa muhimu ni kuslimu na kusoma Quran tu na kufata sheria zote.
@user412Ай бұрын
Masha Allah! Bachu Allah amekupa ufasaha wa kuongea. Hapo nakuunga mkono
@hamishassan6784Ай бұрын
Nimekupenda sana kama enzi za utoto wangu nilivyokuwa nampenda Marehem Baba yako Allah s.w amuhifadhi. Ahsante sana kwa kutumia hivyo vitabu kuvunja hoja yao, lakini mimi Binafsi nilishalikataa hilo na kuwa kinyume na Witch Dr. Sule mapemaaaaaaa kwa aya tu za Quran na ufahamu wa jumla lakini pia hii inaonesha wengi katika wale wanaoitwa mashekh hawaijui Dini na ni hatari sana hawa kwa Mustakbali wa Uislam na Waislam na jamii kwa ujumla maana sio tu ushirikina wao lakini pia wanasambaza mafunzo yasiyo sawasawa katika dini yetu
@saadasaleh3177Ай бұрын
Allah atakufufua pamoja na uwapendao❤
@hamishassan6784Ай бұрын
@@saadasaleh3177 Aamin ajalie sote tufufuliwe na wema wote tuwapendao
@abdullahijma2073Ай бұрын
Mashallah leo nimependa hii Raddi ya kielimu na umeeleza kwa heshima sana...this is how it should always be...hataa kama ni kwa wale ambao hamuwafikiani nao.
@shijasagali5161Ай бұрын
Jazakhallah khaira sheikhe Muhammad, elimu tumepata na faida kubwa tumepata, Allah akuhifadhi
@Athumaniomari-ge2gsАй бұрын
Maaashaaallah sheikh mhammadi bachu Allah akuhifadhi saaan
@ARNOLDKARISA-fs3htАй бұрын
amiin thumma amiin
@user-ye3fy9kk6rАй бұрын
Aamin
@mohammedrajabumwamba1322Ай бұрын
MaashaaAllah jazaakumullahu khaira nimekuelewa sheikh wangu maana ya kukuelewa
@mfalmenajjash2128Ай бұрын
Ukiskiya back to back sasa ndohii yaani raha juu ya raha mashekh acheni kujifungiya navitabu tu vyumbani mwenu amkeni muje kuelimisha jamii,jamii inateketeya mashekh zangu .pwent yao kubwa utaskiya Nabii suleiman alitumiya majini nisawa ilakumbuka suleiman tumeambiwa tumuamini hatujaambiwa tumfuate. jaman hili ni balaaa shekh bachu Allah akubarik
@AbdulAbeldi-km4poАй бұрын
Ndio zake huyo bachu Hana cha maana. Ukimswalia mtume kwake bidaa. Ukimpiga maulidi kwake bidaa kusoma wasilatu shafii kakwe NI bidaa sasa anataka tumfuate yeye
@mfalmenajjash2128Ай бұрын
@@AbdulAbeldi-km4po wapi alisema kumswaliya mtume ni bidaaa sasa ww wapi kuna dalili maulidi ni ibada, hapa tuko kwenye darsa za majini ww unakuja na maulid mbona kimekuumeni sana bachu kuisema maulidi basi ww kaa hadharani funguwa vitabu uwaambiye watu maulidi ni ibada kwadalili hii nahii nahii kama yeye bachu anavyo kuonesha kitabu andiko hadi andiko usilalamike upenuni njoo hadharani. halafu muache kurukiya mada hapa tuko na darsa za majini maulidi sisehem yake mjomba
@ameenaameena422Ай бұрын
Kasome huko
@AbdulAbeldi-km4poАй бұрын
Nikasome Kwa bachu ili niwe m bishi na mimi
@mfalmenajjash2128Ай бұрын
@@AbdulAbeldi-km4po Hata mfalme namrudha alibisha na nabii Ibrahim nahaki ikapatikana sasa ww ikiwa hautaki kubishana basi umtupu ktk dini jee utaweza kubishana na mkiristo kimaandiko ww ikiwa ww mwenyew unajiogopa
@barakoibrahim2710Ай бұрын
Hii shida yoooooote imeletwa na Dr. Sule. Anafaa amrudie Allah ili kumuomba msamaha....Allah atuongoze🤲
@UlamaaWaUlamaaАй бұрын
Nlikuwa namkubal sana sule ila alnitoka moyon baaada ya kusema kuwa huwez kwenda pepon kwa kuswal swali tu
@barakoibrahim2710Ай бұрын
Haya nami nlimkubali sanatu yaani...nlidhani utamu was ulimi waki inaambatana na moyo wake kumbe wapi!!!!!
@ismailsoud3634Ай бұрын
Naam swadakta, Dr. Sulke amreje Mola wake kwa toba vinginevyo ATASUJUDU MOTONI. hivyo hasara ni kubwa kwake kuliko faida.
@LuqmanAndrew-nu9rxАй бұрын
Swadakta, na tatzo sio kukosea tatizo n kukosea alafu Kwa ule ukubwa/umaarufu unaozan unao unalazimisha lile ulilokosea liwe sahihi, inabid akubal makosa arud nyuma.
@HalimaAdow-wl6spАй бұрын
Shukran kwa mda na maelezo bora,jazakaAllahu kher.
@biangwatv.1223Ай бұрын
ALLAAH AKUHIFADHI NDUGU NA KAKA YETU .... NIMESTAFIDI KUTOKANA NA WEWE NIKIWA SAFARINI HAPA NA NIMEKUSIKILIZA KWA MAKINI .. Maana Mzee na baba yetu Kiruwasha alitaka kuingia kwenye Hilo wimbi. ALLAAH AKUHIFADHI NA AKUZIDISHIE ELIMU NA WATU WAENDELEE KUFAIDIKA NA WEWE
@abuhamissi9082Ай бұрын
MashaAllah. Allah akupe umri mrefu. Uzidi kuelimisha wa limwengu.
@mohammedjabir6128Ай бұрын
Huyu ndio Simba Mashallah hayumbishwi. Allah amlinde, Amzidishie elimu ma ampe umri mrefu!
@ibrahimjumaa538Ай бұрын
Allahuma Amiin
@shenjamamzingi7950Ай бұрын
MAJINI HAYANA MAHUSIANO YENYE FAIDA KIVYOVYOTE KWA MUISLAM-JAZAKHALLAHU KHAIRAN
@saba-gv3mjАй бұрын
Ki vp ww na majini mumeumbwa kuja duniani kufanya nn
@warshysaid8564Ай бұрын
@@saba-gv3mjkumuabudu Allah
@abuuaidh6500Ай бұрын
Kumuabudu Allah tu na Sio kushirikiana kumkufuru Allah
@saba-gv3mjАй бұрын
Sasa kama kumuabudu Allah na majini wako wanao muabudu Allah ambao ni waisilamu kama ww na wale wanao mshirikisha Allah niwale majini wabaya na hata binadamu kunao wema na wabaya utapata binadamu anamroga mwenzake atamtua huyo huyo jini na utapa binadamu mwengine anamtibu huyo aliyerogwa kupitia quran na pia aweza mtuma jini yule mwema kuchukua madawa msituni ambapo ww binadamu ukitumwa huwezi zipata dawa zengine
@shenjamamzingi7950Ай бұрын
@@saba-gv3mj UNAJIKIA UNAVYOSEMa
@augustomariosama154212 күн бұрын
W.salaam shaikh Muhammad Bachu ni mwepesi sana wa kufafanua mambo
@KingPrince1917Ай бұрын
Allah atusamehe kwakweli
@user-wq2xy5mw1zАй бұрын
MaashaAllah sheikh bachu .waonyeshe hawo masheikh shetani wanachafua jina la Uislamu pamoja kuwapotosha waumini wa kislamu pamoja na jamii kufikiria Uislamu ni dini ya kufunga majini na kuwatumia watu ni shirk hiyo Subhanallaah ❤
@Hamis-ks1syАй бұрын
Wallah,nataman siku1 Sheikh Muhaammad na Sheikh Qassim Mafuta wakae wawili waondoe tofauti zao kwa hoja za kielimu kisha wakaungana katika kusema hakki huwa nikiwasikiliza nafaidika sana na elimu wanayotoa na Allah amewajaalia ufasaha.
@SamMus-qn1puАй бұрын
Amiin
@ShekhKhamisiАй бұрын
آمين
@YahyaYahya-vp2ppАй бұрын
Amin
@OmarAlly-iz8otАй бұрын
Wanatofautiana kijuujuu tu ktk baadhi ya vijijambo havina nafasi ktk Dini wala Da'wah, lkn kiundani na ukweli uko hivi wako pamoja na kazi yao nimoja
@Hamis-ks1syАй бұрын
@@OmarAlly-iz8ot Allah afanye wepes
@MwanaidMagasa16 күн бұрын
Allah akupe umri mrefu akulinde na hasad yarab
@user-on5qx3cl7q26 күн бұрын
ALLAH akupe maisha marefu wallah umetupa uelewa shekhe
@maryamtanzania9743Ай бұрын
Mimi jamani huwa sitegemei nipate shida aina yoyote niende kwa mtu anisaidie tumtegemee allah kwa kila kitu
@shaniisack1153Ай бұрын
Allah amuifadhi Yuko imara Kama Baba yake
@ChidySuleiman23 күн бұрын
Shekh allah akurpe kheir na atusibitishe mpaka mwisho wa pumzi zetu
@kimeajuma3267Ай бұрын
Jazakallah khaira Sheikh Bachu, Kila jambo lina kheri Dr, sule asingesema elimu hii tusingeipata.
@habibbeiyyeАй бұрын
100% حياك الله....... Wiqaayatul insaan mina ljinni wa shaytwan......kikovizuri sanaaa Mashallah....
@user-cj9km2tk4qАй бұрын
Allah atupe mwisho mwema Allah amuifadhi shekh nassoro bachu kwakutuachia mwalimu
@MgazaMhinaАй бұрын
Allah akupe umri mrefu wenye faida
@abdulmwakubambanya9091Ай бұрын
Barakh Allah Kher sheikh wetu kipenzi
@bomikassim4528Ай бұрын
Sheikh Muhammad Allah akulipe malipo mema kwa kutuelimisha katika jambo hili. Naomba nitoe ushauri. Kama itawezekana, angalia uwezekano wa kuandika kitabu kitakacho husu suala hili. Kitabu hicho kitumie lugha nyepesi pamoja na mifano iliyo hai ili Muislamu wa kawaida aweze kunufaika. Kwa uwezo wa Allah, huenda jambo hilo likatoa manufaa makubwa zaidi kwa vizazi vijavyo. Nasema hivyo kwa sababu, ikiwa hata Baba Kiruwasha anahalalisha kutumia Majinn, ujuwe kuwa hali si nzuri kwa Waislamu wengi ambao hawana ufahamu na elimu kama alivyo jaaliwa Baba Kiruwasha.
@Catherine-mh8swАй бұрын
Baba kirwasha ndiyo nani
@dulividuli5237Ай бұрын
@@Catherine-mh8swww umeangalia hiyo video kuanzia mwnzo?
@abuuharuni3 күн бұрын
@@Catherine-mh8swrejea mwanzo utamuona
@Catherine-mh8sw3 күн бұрын
@@abuuharuni anha sawa ahsante. Ila nisha mgoogle nimemuona.
@GoodluckPaul-wf9gnАй бұрын
Muhammad Bachu ALLAH azidi kukuongoza katika uadilifu na akujaalie kheri Duniani na Akhera. Nimejifunza mengi sana kupitia darasa zako tofauti tofauti.
@IbrahimuSampaАй бұрын
Allah azidi kukupa umri mrefu wa kher shekh kama tulivyoambiwa wakulu bidaati zwalala wakulu zwalala ti finnari.
@NassirKheriАй бұрын
Mm nasema kila siku na wallah lau watu wangemsikilixa mualim Muhammad nassor bachu kwa leng la kumuelewa na sio kimjib wangepata faida sanaaaaa, kutoka kwake , namuomba Allah akupe ilmu bora na nzuri ili tupate kufaidika tunaokufuatilia. ❤ Tumekumiss kwa ajil ya Allah masingini msikitini.
@atumanisudi677317 күн бұрын
MASHALAAH,Dah watu wamesoma aisee,upo dip sana..inatoshaa....MUNGU akulipe kheri.
@omarhamad4757Ай бұрын
Mashallah Allah akujaalie her kwa kuelimisha umma
@UmarMasudi-so2hi18 күн бұрын
Nakupenda sana sheikh wangu kwa ajili ya Allah
@MohdAli-cn2csАй бұрын
Mm nakuombea tu ujitaahidi kufikisha kwa njia nzuri na maneno mazuri kama hivi au zadi shukran akhy
@user-op5ii7bc1cАй бұрын
Allah akuhifadhi shk wetu uzidi kutuelimisha katika misingi ya dini yetu Allah akujaalie wewe na familia yako khery hapa duniani na kesho akhera
@user-sf3jq7wo5eАй бұрын
Maashaallah shekh wetu
@HashimJuma-en8jeАй бұрын
mashalla shee Bachu tunanufaika sana allla akhifadhi naakulipe inshaallah
@user-qo8uj1ym4mАй бұрын
مشاء الله تبرك الرحمن Allah akuhifadhi bin bachu
@user-vz1el2xe5xАй бұрын
MashaAllah shekh umefafanua vizuri na itakuwa bora zaidi ikimfikia Dr Sule
@BadiuraAbdallah22 сағат бұрын
Allah akupe nguvu katika kuelimisha ilitusipotoke kwa tamaa za kidunia tu.
@user-sf3jq7wo5eАй бұрын
Allah akupe umri mrefu shekh letu
@issapandu1918Ай бұрын
Amiin naomb namba ya shk tafazl
@omarkhamys9818Ай бұрын
AMIN
@abubakaryomary805926 күн бұрын
Ukosahihi shekhe Allah akulinde
@omarussi7316Ай бұрын
Mashaallah yaa Muhammad
@ChidySuleiman24 күн бұрын
Mashaallah sheikh bachu allah atuongoze kwenye kheir
@saidabdurahman9631Ай бұрын
Huyu jamaa yuko vizur Allah ampe swiha na aman
@YahyaYahya-vp2ppАй бұрын
Nani amegundua kua ukimsiliza muhammad bachu akiwa anaachambua kitu unataman asimaliize kuonge yani saa limojaa unaona kama katumia dakak 15 tu...
@KhalfanMassoudАй бұрын
Kweli broo, ila kuna sheikh anaitwa Golo haeleweki dakika 5 zake utazani ni masaa mawili 2
@Hamis-ks1syАй бұрын
@@KhalfanMassoud pale hamna sheikh ni mshenzi2
@KhalfanMassoudАй бұрын
@@Hamis-ks1sy mmmmh. Mm mwenyewe huaga nasema yule kasoma kweli au pangu pakavu. Naona haeleweki, anachosha. Golooooooo njooo uku usome comments.
@dulividuli5237Ай бұрын
Wa kwnz mm natamani asimalize yaani kw jinsi anavowez kuchambua mambo
@saadasaleh3177Ай бұрын
Allah amzidishie elim❤
@abdoulrahmanahmed5802Ай бұрын
Mleberali Mashaallah Wachape Masufii
@omarkhamys9818Ай бұрын
Ndugu yngu bachu haraka rud Zanzibar kama bado uko kenya tunahtaj darsa zako ..... Njoo tuone uyo mtu akusumbue
@mahfoudhcalender2747Ай бұрын
kafungiwa znz asifanye mihadhara ya aina yyte
@user-ts9ql7mo3wАй бұрын
Allah hafichi mnafki, na Dr sule mungu amemuanika live maana kifanyikacho gizani kitaonekana mchanga.
@AhmedAlharithiy-sg5cqАй бұрын
Shukran shekhe moh'd Nakuomba ufanye fikra ya kumsomea ruqiyya dr.sule hawezi akaufahamu ukweli huu kwasababu majini yashamuweza hatakuelewa
@musarashid-xw1qmАй бұрын
Somo nimelielewa allah akubaliki akuhifadhi na akuzidishie heri❤❤❤ namuomba allah salama wa afya
@HamisAbdallah-cj2scАй бұрын
Asalam aley kum mm kiu YANGU namtaka sheikh kishki naye azungumzie kadhia hii sheikh muhamadi bachu katuelimisha tumemuelewa.ila na sheikh wetu nurduni kishki nayeye atupe elimu pia amlinganie Swahiba wake DK Sule naona amekaa kimya!!!
@musarashid-xw1qmАй бұрын
Hamisi hilo ulitakalo ndugu yangu simo
@FardadihdАй бұрын
Nimekuelewa sana ❤❤❤ bachu
@jumasalum2677Ай бұрын
Masha Allah Kazak Allah khaira
@AliMuhiddin-bj3dpАй бұрын
Allah akuzidishie kutoa Elimu kwa jamiii
@Sidrasidra636Ай бұрын
Allah akuhifadhi! Bila shaka na sheikh Kishki ata kusaidia kumwambia maana ni rafiki yake😊
@mahamoddales444315 күн бұрын
Nafurahi sana kuwa wew nimoja kati ya watu walio nifunza nahau najivunia sana kwakweli Allah akuhifadhi
@mfalmenajjash2128Ай бұрын
Bachu anakimbiza washirikina kimya kimya Docter sule na wenzake wameyakanyaga mbona moto utawaka wikihii
@johariabdalla3319Ай бұрын
M Mungu azidi kukuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu,kwa hakika unaelimisha watu,na kuwatowa watu tongo,unazungumza kwa ufasaha yoyote atakuelewa tu,labda wale wanozitia nafisi zao katika upumbavu,na asiekuelewa wewe..basi hakuna mwengine watakaemuelewa.M Mungu azidi kumrehemu na kumpandisha darja za juu pamoja na mtume wetu Muhammad (saw) Sheikh Nassor Bachu,kwa hakika katuachia gitf,tunanufaika nayo..Alhamdulillah
@binhussein4411Ай бұрын
MashaAllah Allah akuhifadhi sheikh Mohammad Bachu simba wa Tanzania na Kenya
@MirajiMiraji-yu4ggАй бұрын
Shehe. Bachu tunakuelewa ..ila mm naumwa. Toka mdogo mpaka nshakuwa mtu mzima jee unanisaidiaje. Ili Dunia na mm. Niione nzuri .
@abuuharuni3 күн бұрын
SHAFAKA ALLAH
@bakarisalim4763Ай бұрын
atleast leo umekua na busara za hali ya juu sna,alkua nakuchukia sna ila kwa hii,mashaAllah Wallah Allah akulipe inshaAllah
@feisalkhalid7225Ай бұрын
Bachu you are on fire 🔥 big brain 🧠
@zuenajumashf3105Ай бұрын
Jazaka Allah khery Ustadh kwa elimu
@user-bx3em9tm1bАй бұрын
Mashallah ALLAH akuhihifadhi shekh wetu tunakupenda sana uyo sule ni freemason sio shekh uyo mbwa ni shekhehena mpumbavu mkubwa uyo
@MwanaidMagasa16 күн бұрын
Nakupenda sana kwa ajili ya Allah unaelimisha wanaopotezwa, wanauaibisha uislam,
@khalifa_kuchiАй бұрын
Sheikh muhammad bachu nakufwatilia sana na nakuelewa vzr tu ila kuna maswal mengi najiuliza na kw yyte wenye nafas anijibu InshaAllah,kutumia majini haifai hata km wema je kw mtu ambae tear anaumw na anataka kuingizw ktk uchawi huyu tunamsaidia vp, na kw upande wa hospital mtu ambae anaend kw doctor kutibiwa na kumuamin doctor kutokana na maelezo yake huyu nae hukmu yake vp wkt nae pia atakua tear anamuamin doctor kuliko mungu na pia kuna maana gn ya kwend hospital wkt mungu alishatwamboa kua qur an ni shifaa ya kila mattzo kw nn tusitumie qur an ktk maradhi ilhali mpk w2 waende hospital kutibiwa?
@saidimkwinzu9106Ай бұрын
Umefikiria Kwa uchache Akhyii Kwa sabb hata njaa ni maradhi je ukilza chakula sindo Tina yenyewe na unaamin ukila unapona njaa Mtu aliyetupiwa jini huyu ni tofaut na mtu anayeumwa na maradhi ya kawaida Kwa mfano. Mtu katupiwa jini bila shaka ni mtu kadhamiria kumdhuru mtu huyu akafanya mambo ya shirki Ili jini amkubalie kufanya kazi ya MCHAWI na Mimi nakuambia Mimi ni msomaji riqya natoa watu majini Kwa Quran najua hakuna jini yeyote atatumwa na MCHAWI Kwa ajili ya kumdhuru mtu lakin MCHAWI yule lazma afanye shirki iwe kumchinjia Jin mnyama au ndege au akanyage Quran au afanye kufru yeyote Ile Ili amridhishe dini hapo ndo jini nae akubal kufanya kaz ya MCHAWI hapo ushaona maradhi yamepatikana Kwa kumshirikisha ALLAH. Maradhi ya kuumwa malaria na maradhi mengine ya kimwili maradhi yasiyotokana na mambo ya kiroho lakin ni ALLAH tu kaamua amtahini mja wake Kwa maradhi hayo na ukaenda Kwa daktar huyu haingii kwenye shirki Kwa sabb huyu hatumii jini Bali ni Akili tu ambayo ALLAH amemjaalia kupitia vipimo n.k. Wala hatakuambia ufanye mambo ya kumkufuru ALLAH Ili upone yeye anatumia elimu aliyojaaliwa na ALLAH. Vile vile Mtume Swalla llaahu alayhi wasallama anasema ALLAH hakuteremsha ugonjwa lakin ugonjwa huo ameutengenezea dawa yake. Kwa maana Kila ugonjwa una dawa lakin katika masharti ya dini yetu hutakiwi utumie dawa ya Haram huwez ukaambiwa huyu bwana anaumwa sana lakin dawa yake ni apate mwanamke azini nae baas hiyo dawa haifai na itakua ni katika madhambi lazma mtu huyo aoe ndo atapona na kama ugonjwa wake utakua unataka azini sio kuoa basi huyu atakua Sasa ni shaitwan haifai kumtii Bali utarud Kwa ALLAH na atakuonesha njia Hospital na wanaotumia majini haviendani kabisa
@user-yj5on8cz3eАй бұрын
Maswali gani ya kitoto hayo hata mtoto wa darasa la kwanza anae Anza madrasa anakujibu inaonekana ww huna uelewa katika dinni Sasa doctor Ni haramu kutibiwa kwa doctor? Jenga hoja kama mtu mzima hii dini haitaki istizaha na ukifanyia dini na mawswali ya kejel humkejeli mtu shekhe wajikejeli mwenye na kuidhurumu nafsi yako ndo tunaimizwa tusome ndo tutajuwa dini
@YahyaYahya-vp2ppАй бұрын
Kijana kama unaend hospital unategemea hospital ndio inaondoa maradh bas weka iman yako vizul.. Hospital ni sababu tu lakn mweny kuondoa maradh ni Allah na m/mungu hajataka kuondoa maradh yako bas hata ukalala hko huko hospital maradh utakua nayo tu. na hataka utafutiwa daktar bingwa kiasi gani hatoweza kuondoa maradhi hadi pale Allah atakapo yaondoa..
@YahyaYahya-vp2ppАй бұрын
Hataka kama unakunywa dawa muimbe mungu akuondole maradh yako. Weng wakunywa hizo dawa na hawapon
@dulividuli5237Ай бұрын
Allah anasema ndani ya Qur'an"Waja'alnaa kulla shayin sababa=na tukajaalia kila kitu kiwe na sababu" kwahiyo kwenda spitali hiyo ndo asbabu ya ww kupona maradhi yko ama kutumia dawa na sio kwamba et unamuamini Doctor je unamuamini doctor kwani yey nd mwenye uwezo wa kukuponya basi ingelikuw watu hawafi km ni ivo.
@moodykombo329Ай бұрын
shukran ustadh kwa kutuelimisha Mungu akupe afya njema na umri mref wenye manufaa kwako na kwa jamii nzima ya kiislam na wasiokua waislam tumuombe Mungu atuongoe kujua haki tuifate na batil tuiepuke jazakallah.
@youngtomuller-vh2puАй бұрын
Antes de começar deixa ti dar oseu gosto irmao Allah ti abençoe ❤❤❤
@MwanaidMagasa16 күн бұрын
Mashallah nakupenda Kwa ajili ya Allah wallah wape elimu wanapotosha Sana watu.
@khalifa_kuchiАй бұрын
Wallah sheikh huko mwisho nimekuelewa vzr sana tena mno ila je kw mtu wa kisalafii ambae anafata sunna je huyo anaweza kupata jini mwema akamsaidia bila ya mafungamano yyte kw hofu ya kumuogopa mungu?
@ShaibMohammed-lg5skАй бұрын
Sh Muhammad Bachu Allah akulinde naakuondolee kibr Mashallah
@hailatomantatusefu3433Ай бұрын
Kongole shekhe bachu Allah akuhifadhi na husd za wanadamu na majini napendaga kukusikiliza redio IMAN
@rashidabdulkadir704214 күн бұрын
Mashaallah Allah akubarik Unatupa vitu na box
@aminanassor9752Ай бұрын
Jazaka allah khayra, alhamdullillah
@ahmadsiri344527 күн бұрын
Subhaana Allah sheikhe muwe manfanya hivyo ili kuelimisha kwani mkikaa kimya na hayo maarifa wapotoshaji wanaongea na waislam tusiojua mambo tutakosa pakushika ila sheikhe umezidi kunifanya nijione mwenye amani na kuendelea kumuamini Mungu wangu ni zaidi ya mafundi.ALLAHU AKBAR.
@AliJabal-fx8pdАй бұрын
الله ابارك في حياتك اخ محمد.
@KhamisHaroub-uj5ciАй бұрын
Simba wa Allah pekeee anaeweza kuwek haki na kuondowa batil kwa uwezo wa Allah
@MwalimJechaАй бұрын
Hapana wa kupotosha
@saidaamourali8590Ай бұрын
Huyu mwamba namkubali katumia mda mdogo refrensi za kutosha na ufasaha wa kutosha. Shukranii sana
@MohdAli-cn2csАй бұрын
جزاك الله خير اخي و استاذ محمد كلامك صحيح جعله الله لك في ميزان حسناتك