Heche, unatutendea haki sana sisi watu wa jimboni kwako.
@mtwamvuyekule33494 жыл бұрын
Daaah pole jembe heche inasemekana wanasema una kiburi ndio maana hawakupi maendeleo jimboni kwako # natoka Tanzania
@batulemwamwaja65244 жыл бұрын
Big up Hon. Heche God bless you.
@bunnasib19614 жыл бұрын
Hako kabunge katabora kalikua kanatafuta kiki🤣🤣🤣🤣
@sagandamalechampullo6594 жыл бұрын
Naomba mpige kura ya kuwaondoa wabunge wa CCM na Makada wote wa CCM, bora wakafie Mbele, maana hatuoni Michango yao
@gabrielisack77864 жыл бұрын
Kuna mambo yanasikitisha sana,kweli mm nimewahi kujiuliza muda mrefu sana hivi kwa nini miji inayozungukwa na ziwa Victoria mbona haina maji salama?wilaya ya Magu-Mwanza haina maji kabisa,wilaya ya Busega-Simiyu haina maji kabisa wakati ziwa lipo umbali wa mita 300 yaani viwanja vitatu vya mpira lakini hawana maji. Serikali muda mwingine muwahurumie wananchi walio karibu na vyanzo vya maji.
@ramadhaniabdi95304 жыл бұрын
Asante Heche✌
@chawalive4 жыл бұрын
jembeeeeee laaaaaa mkoaaa hiliii muraaaaa
@kakomangamkama354 жыл бұрын
Nakbal iamzuchu
@abuuhudhaify51954 жыл бұрын
ggg
@musarichard29344 жыл бұрын
Hivi ccm wabunge wake!...mmmh acha ninyamaze maana..
@wahidkombokhamis43304 жыл бұрын
Hivi huyu aliyefyonya spika hakumuona,au kanuni za bunge zinaruhusu mbunge kufyonya?
@japharybbudal59534 жыл бұрын
Ndiyo viongozi tunaowahitaji kwetu hapa Tz ili kutufikisha mbele.Maana maendeleo hayana chama ndiyo maana hata mm sina chama .Nafueahishwa na kiongozi anaejua shida zetu ss wananchi.
@ismailkatala47924 жыл бұрын
Hv huyo mama aliyesonya ni Magreth Sitta au nimemuona vibaya...?
@januarikomba8334 жыл бұрын
Kama umeskia mama kafyonya Tia lk hp
@abdallahdataguy4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@deoijumba88434 жыл бұрын
Asante mura kwa kuwatete wanancho was tarime
@richardgervas13574 жыл бұрын
Mbunge mmoja wa chadema wabunge 10 wa ccm aiseeeh
@peterwango6974 жыл бұрын
Jembe langu,kura yangu unapata
@bahatimellita66194 жыл бұрын
Huyuuuu Bibi anamsunyaje jembe letu akalale nyumbanii vyokoooooooo
@yohanamsabila46534 жыл бұрын
Kweli
@amanimusenyi82174 жыл бұрын
Ila Mheshimiwa hujavaa barakoa
@deompagatadeo50314 жыл бұрын
South Africa kuona wanaotumia madawa wanakufa Sana amewakusanya kuwapa dawa
@emmanuelgabagendi31694 жыл бұрын
Kila saa taarifa taarifa jmn hamchoki na matarifa yenu
@bahatimellita66194 жыл бұрын
Vibunge vya ccm vinapenda Kiki jamaniii
@mtwamvuyekule33494 жыл бұрын
Unashindwa kujenga na kuleta hoja za msingi unaleta taarifa za kipuuzi tu # natoka Tanzania by Nikki mbishi
@zebrongondwe4 жыл бұрын
WAFYONZAJI MNA LIKE HAPA...😅😅
@lilybarongo81194 жыл бұрын
Yamechuruzika ndo nn
@damsonwillison4354 жыл бұрын
Huyo mama hajielewi
@davismdula15174 жыл бұрын
Viva heche viva cdm
@franknamkoko82284 жыл бұрын
Hiv wabunge wa ccm wapo kwaajili ya taarifa tuu?
@erickchitumbi13084 жыл бұрын
Mradi tangu 2012 umesainiwa.hela unadai Leo.jua limeshakuwakia.acha waitara aje hapo kuchukua nafasi hiyo.swala la maji unalozungumzia ya mvua,dharura fanya na whusika.sehemu kubwa ya nchi mvua zinanyesha.kila mmoja aisaidie nchi kufanya dharura kwa nguvu alizonazo.
@augustinokahinda39392 жыл бұрын
aya niambie uyo waitara wako kafanya nini mpaka sasahivi
@marrytanzania90354 жыл бұрын
Hizo taarifa zingekuwa watoa upinzan msingeziona
@gridkibanda25824 жыл бұрын
Ilo swala la kutiririsha maji machafu baraza la mazingira inabidi wafanye kazi alafu apo wabunge teteeni wafanya biashara wanaotegemea baraza la mazingira kuendesha shughuli zao watafunga kila kitu kwa sababu biashara zinaenda kuwa lockdown hawatoi vibali,hamna kitu kinachofanyika kikaeleweka wafanya biashara wanaumia saana saana na serikali inakosa kodi kwa sababu yao
@jairanikhalfani10214 жыл бұрын
Tarifa yani wana can jenga hoja
@gridkibanda25824 жыл бұрын
Rais wetu kwenye upande wa mazingira inabidi uweke mtu ambaye atasaidia na anajua mambo ya mazingira NEMC kwa sasa nikikwazo saana kwa wawekezaji wanaotegemea iyo taasisi kufanya biashara zao kuna wafanya biashara wengi wamepata hasara na pia serikali imekosa mapato kwa sababu ya kutokuwa na majibu ya keleweka kutoka NEMC
@simbawateranga70204 жыл бұрын
MAGRETH SITTA AMEFYONZA
@nyamhangaolango8724 жыл бұрын
Tutetee jembe letu heche
@ramadhaniabdi95304 жыл бұрын
Wizara haiwez alf wanataka kumpa Nchi si ujinga huo
@bukurutv40354 жыл бұрын
wewe ni mbunge kwel,
@elishamwaya40744 жыл бұрын
Mama kafyonya lakini spika kapotezea angekuwa Halima mdee tayari mambo yangepamba moto
@malegesinyeura68974 жыл бұрын
Uko sawa mkuu
@malegesinyeura68974 жыл бұрын
Leo ndo nimekuelewa tu
@deompagatadeo50314 жыл бұрын
Wewe heche mbona MSHENZI wewe hujui kua korona imepelekea watumiaji madawa kulevya kufariki ghafla njiani ? Mungu anakuona wewe usiwe mnyama kusahau alioyatenda raisi
Deo mpagata Deo unachokiongea ni tofaut na alichokiongea Heche au umekunywa kimpumu
@januarikomba8334 жыл бұрын
Mama alifyonya
@johnkamwendo38674 жыл бұрын
Mama anajidhalilisha. Mtu msitaarabu hawezi kufanya vile. Kwa kauli gani hiyo aliyoitoa Heche astahili kumfanyia vile?
@husudasamweli31554 жыл бұрын
@@johnkamwendo3867 kwa kweli huyu mama kakosa nidham, MTU mzima anafyonya watu wenye hoja, anajifanya yeye anauchungu na kauli ya mh. Heche John
@januarikomba8334 жыл бұрын
Mama kafel
@amiriramadhan77534 жыл бұрын
Mama ameniudhi anastahili apigwe kofi moja kali
@depaolo34614 жыл бұрын
To let heche coz mwanzoni mlikuwa mnafuata Sana mkumbo kwa kutoka nje bungeni wakati vikao vinaendelea Leo unaona kipindi kinamalizika ndo unaanza kujipendekeza hapa ilitukuchague Tena, afu ukagome tena....😂😂😂
@janeyphersuma39824 жыл бұрын
Akili yako ichunguze sana
@depaolo34614 жыл бұрын
@@janeyphersuma3982 😂😂 it's to let mama time will tell🚶🚶🚶
@georgesteven51854 жыл бұрын
bundle LA mamako lazma u comment usengeee
@depaolo34614 жыл бұрын
@@georgesteven5185 😂😂😂😂😂 to let muraaaa
@depaolo34614 жыл бұрын
@@georgesteven5185 😂😂😂 tukana tusi ambalo cjawahi kusikia labda ntakwazika lakin haya ya kujifunzia ukubwani unaona umenitusi mwenyewe 😜😜😜 it's to let mama tena we ni mama kabisaaa😂😂😂 ilooo limamaa 😂😂😂😂