ATCL WAREJESHA SAFARI ZA KUTOKA DAR MPAKA CHINA, "KWA MTU MMOJA NI MILIONI 11"

  Рет қаралды 29,231

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 120
@franktangeki9342
@franktangeki9342 2 жыл бұрын
Plan B ya kwenda China,ndio maana mlitupeleka shule ili tuwasaidie.Panda uende Dubai toka Dubai nenda China (1) Nauli ya Kwenda na Kurudi kutoka Dar es salaam mpaka Dubai = 675 $ ( Chagua zile Ndege zisizo na majina makubwa) (2) Nauli ya Kwenda na Kurudi kutoka Dubai mpaka China ni Dirham 3,275 = 885$ ( Zile Ndege zisizo na majina makubwa) (3) Chukua nauli ya ATCL kwenda China 4,800$ toa 675$ toa 885$ = utabakiwa au utakuwa umesave 3,240$ sawa na utakuwa umesave milioni 7,128,000 Tshs.Jaribu njia uone ,kesho najua utakuja kunishukuru kwa msaada huu.Asanteni
@ibrahimsheha215
@ibrahimsheha215 2 жыл бұрын
Weee siopowa
@bernardmdengede8036
@bernardmdengede8036 2 жыл бұрын
kweli kabisa
@johnsonjosephat1701
@johnsonjosephat1701 2 жыл бұрын
Kwel bro aisee
@abrahmanabdallah8479
@abrahmanabdallah8479 2 жыл бұрын
Bro safari yoyote ya ndege moja kwa moja inakua garama kulinganisha na transit.. na hiyo M11 ni pamoja na siku 5 za hotel au sijasiki vizuri
@frankelisha9438
@frankelisha9438 2 жыл бұрын
US $ 4000+ for one way ticket, not even a return ticket, and economy class. This is so expensive, the ticket is like more than 5 times for most big names airplanes. Something wrong somewhere
@goodluckstephanmasige3450
@goodluckstephanmasige3450 2 жыл бұрын
Nisiwe muongo, nimewatukana matusi mengi tu moyoni. Hii nchi tumegeuzwa mazwazwa.
@jayjay4313
@jayjay4313 2 жыл бұрын
Itakuwa ndege ya kwanza ya kitanzania inayoruka na mtanzania rubani na wafuasi wake tu, walobaki vichwa vya kichina. Tunakukumbuka Baba mchana kweupeee.
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄😁😁😁😁😁😂🤣🤣🤣
@selemanisalumabdu8667
@selemanisalumabdu8667 2 жыл бұрын
Hakuna shirika lolote dunia la ndege linalotoza nauli hiyo ni pesa nyingi sana wajitafakari vibaka weshaingia wanampango wa kuliuwa shirika mama awangalie hao watamfelisha mashirika mengi ya ndege bei kubwa sana ni U$ 2.000/= kuna warabu huko minauli karibu na bule marekani mbali nauli ikiwa ghali basi u$ 1.800
@georgenkanawa7156
@georgenkanawa7156 2 жыл бұрын
Kabisa Mkuu
@double8boy802
@double8boy802 2 жыл бұрын
kaka wati huu kuna mfumuko wa bei ya mafuta usishangae🤣🤣🤣
@georgenkanawa7156
@georgenkanawa7156 2 жыл бұрын
@@double8boy802 Sawa lakini sio kwa Bei hiyo kaka,Inamaana hizi ndege za 1800$ dar-washington one way wao wanapata vp faida??
@zawadix9574
@zawadix9574 2 жыл бұрын
Anagalia ethipian na emirates bei hizo hizo crazy kwenda China their OK hizo ni bei
@abrahmanabdallah8479
@abrahmanabdallah8479 2 жыл бұрын
Ukutemtu hata hujasafiri hujui maana hata ya one way wala transit wabongo tupunguze kupiga mwingi 😬😬
@sultanmattar1256
@sultanmattar1256 2 жыл бұрын
Mumefeli shirika la ndege tanzania kwa nauli hiyo panden nyinyi viongozi sawa wizi wa serekali
@salumkhamis2059
@salumkhamis2059 2 жыл бұрын
Haturudi Tena China ukitoa hiyo 11 unapata na uraiya kabisa
@bernardmdengede8036
@bernardmdengede8036 2 жыл бұрын
mnaupiga mwingi labda kurudi Itakuwa bei ndogo maana kurudi mteremko inapigwa kati kwenda China ni mlima mkali
@CTM.24Updates
@CTM.24Updates 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🤓🤓
@masudirashidi7183
@masudirashidi7183 2 жыл бұрын
Kurudi inapigwa mandela
@theleo3899
@theleo3899 2 жыл бұрын
duuuh mlima haswaaa zaid ya kitonga
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 2 жыл бұрын
Kurudi kwenye shamba la bibi lazima iwe mteremko,maana vya kwetu ni bure kabisa,ila vya Kwao hakuna cha bure na vina thamani kuliko vyetu,hivyo lazima tuwekewe ugumu kuvifikia
@jacksononesmo7694
@jacksononesmo7694 2 жыл бұрын
Ivi Guangzhou ni mbinguni au
@georgenkanawa7156
@georgenkanawa7156 2 жыл бұрын
Dar es salaam - Washington Daraja la kawaida ni dola 1500,Hiyo ya China mbn gharama zimekuwa kubwa sana aisee.!! Au mm ndo sielewii😆
@aixsal
@aixsal 2 жыл бұрын
Watasema mafuta yamepanda bei 😅😅😂
@georgenkanawa7156
@georgenkanawa7156 2 жыл бұрын
@@aixsal 🤣🤣 sio kiivyo aisee million 11 one way maana yke go and return mil 22 hapo kama mtu ni mfanyabiashara bado hajanunua mzigo aisee gharama nikubwa mnoo
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv 2 жыл бұрын
Jamani kama mtu huna hela tafuta maana ambao hamna hela ndio mnao lalamika hapa mnajua kwenda China ni masaa mangapi ndege inatumia angani kwa turipu ambazo siyo moja kwa moja kwanza ukitaka kwenda lazima ukifika ulaya ubadilishe ndege upande ya China mbona hamlalamiki nauli za hapa Dar es salaam mpaka Dodoma laki nne na laki tano kasoro.
@bekabakari7394
@bekabakari7394 2 жыл бұрын
Wow wow bei hii sijui lakini nadhani ghali Cheap flight from London to guangzhou £375 = tzsh 1,024,717 sijui ubali kutoka bongo
@danskamo8562
@danskamo8562 2 жыл бұрын
Wanaliua shirika haraka haraka ili wasingizie corona,
@franktangeki9342
@franktangeki9342 2 жыл бұрын
Matokeo yake ni nini ? baada hata ya wiki moja au mbili hivi unaweza ukaenda Kariakoo kununua T-Shirt ya kawaida tu ambayo bei yake umezoea ni shilling 15,000 Tshs.Ukaambiwa sasa hivi hiyo T-Shirt bei yake ni 45,000 Tshs hutaki unaacha,sababu nauli za kwenda China zimepanda
@calvinmushi6240
@calvinmushi6240 2 жыл бұрын
Itakua inapitia mbinguni
@berthatz
@berthatz 2 жыл бұрын
🤣
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 жыл бұрын
Kwakuskia iyo Bei nmepunguza ndoto zakwenda ulaya bola nizulule bugurun malapa au Rozana
@theleo3899
@theleo3899 2 жыл бұрын
nisahihi kabsaaa maana njia ya kwenda china ina makorongo na milima kibao sehem zngne amna lami
@FIFO28
@FIFO28 2 жыл бұрын
Mnalalamika kama vile ukiambiwa mil 1 utapanda.... fuatilia na bei za makampuni mengine usifikiri china na hapo tu...
@kupelakupelaa2580
@kupelakupelaa2580 2 жыл бұрын
bro bei kubwa sana siku hizi dunia ni kijiji hakuna kampuni ya ndege inatoza hiyo bei dunia dar to qunzuouh hiyo hakuna wa kupanda
@humphreymwamatandala3669
@humphreymwamatandala3669 2 жыл бұрын
Ukitaka kumbagua mweusi tumia pesa, hii ndege watajaa wachina. Utadhani hatupendi kusafiri safiri.
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 2 жыл бұрын
Nonsense. Yani pesa ya kununulia mizigo inaishia kwenye nauli tu. 🙄
@Life10061
@Life10061 2 жыл бұрын
Million kumi na moja ..mbona pesa nyingi sana aise sibora ni baki Tanzania 🇹🇿 kufanya biashara
@zawadix9574
@zawadix9574 2 жыл бұрын
Kila shirika bei hizo masharti mengi ya covid at a emirates na Ethiopian hizo bei
@venancephilbert9397
@venancephilbert9397 2 жыл бұрын
siku chache...mkuu asipomakinika, tutasikia Atcl haipo tena au imebinafsishwa....
@mhillyfrancis4928
@mhillyfrancis4928 2 жыл бұрын
Duuu 11 million au 1.1 million maana Kama kwenda ni 11 million Basi go & return itakua 19 million sasa unaenda nunua nini au mashine za kuchimbia dhahabu
@azizaziz7644
@azizaziz7644 2 жыл бұрын
Hapo pana kusudi la kuliua shirika
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣million 11 one way🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanafurahisha sana🤣🤣🤣
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
Ka unaenda MBINGUNI...
@zuuomar4657
@zuuomar4657 2 жыл бұрын
Milioni 11 what???
@hallin9561
@hallin9561 2 жыл бұрын
Wapigaji wamerudi rasmi kwa ajiri ya kulitafuna shirika lililofufuliwa na magu.
@emmanuelsimon545
@emmanuelsimon545 2 жыл бұрын
Kama mwendo kasi mlikuja na wazo la 1500 alafu mkasema kuna wi-fi ningeshangaa Kama ndege mngetuacha salama hahahaha
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 2 жыл бұрын
Hiyo bei mbona kubwa
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 2 жыл бұрын
Marekani mpaka Africa dollars alifu bill kwenda nakurudi
@samwelrobeth7763
@samwelrobeth7763 2 жыл бұрын
😀😀😀😀mbingun labda kwa ng'ambu kidogo
@hassanyusuph4526
@hassanyusuph4526 2 жыл бұрын
Watanzania mtapigwa mimi sipandi kwa bei yote Kwani Hamna ndege nyingine aaah wapi
@tamrikznz7583
@tamrikznz7583 2 жыл бұрын
M11, Bora Nisende China Maisha Yote Kwani Lazma. Lol
@FrankKalabamu
@FrankKalabamu 2 жыл бұрын
Jfk to guangzhou is even cheaper than that. For a weekly flight that's expensive
@marcoakyoo760
@marcoakyoo760 2 жыл бұрын
Naona hamko kibiashara ila ni kukomoa labda kusingekuwa na ndege nyingine ila kwa hili mnaliuwa shirika Nasikitika juhudi za Magufuli alizofanya nyie mnaua kizembe hivi
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
Tangu wakati bei zilikuwa juu. Labda hukufuatilia. Ndege za ndani zilikuwa ghali kusafiri kuliko Fastjet, Precision AIR na kadhalika. Ndiyo sababu wakawatengenezea zengwe wengine ili wawe wao peke yao. Bado hali ilikuwa ngumu kutokana na nauli. Mwanza to Dar FastJet ilikuwa 79,000/- ya serikali 240,000/-
@marcoakyoo760
@marcoakyoo760 2 жыл бұрын
@@TamuzaKale kweli kabisa ATCL nauli yao iko hata safari za ndani bora precision
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
@@marcoakyoo760 Wanahujumu! Ama mideni mingi!
@humphreymwamatandala3669
@humphreymwamatandala3669 2 жыл бұрын
Jamani tuvipende vya kwetu,kitu chako bwana.
@samwelmollel602
@samwelmollel602 2 жыл бұрын
Jana nilitoka huko ila nilitumiya Toyo
@salmasule8526
@salmasule8526 2 жыл бұрын
Dah nilikuwa napango wa kwenda china lakini nimeghairi kwanza
@hassanyusuph4526
@hassanyusuph4526 2 жыл бұрын
Jamani hivi Kweli bei yote hio dola 4800
@christianosimba6083
@christianosimba6083 2 жыл бұрын
Mbona bei nyingi sn ?
@Silyvesta
@Silyvesta 2 жыл бұрын
Kampun imeuzwa tayali hapo hahahaha 🤣🤣
@mhiyaoswedi4499
@mhiyaoswedi4499 2 жыл бұрын
kabisa wanataka ikose wateja ife wanufaishe makampuni mengine
@LuciaMakarange-vb8mc
@LuciaMakarange-vb8mc 4 ай бұрын
Fala kweli nyie Yani 14 million amutk twende chin mwatak mwende nyie wenye ela zen fala kweli
@prijojoseph518
@prijojoseph518 2 жыл бұрын
Bei ya kusafiri nchi ngapi?kama world tour
@idrisaseiph3499
@idrisaseiph3499 2 жыл бұрын
Tiketi ni ghali sana Bora nipande Qatar airways
@hilalymshana8385
@hilalymshana8385 2 жыл бұрын
Tunapanda ethiopian air 1200 round trip
@martinwangwe8966
@martinwangwe8966 2 жыл бұрын
Hawa jamaa wanasomaga market inavyoenda kweli au wanajiamulia tu bei.
@rashidsuleiman1531
@rashidsuleiman1531 2 жыл бұрын
iyo bei unapewa na harmorapa buree
@mountaincoffee7
@mountaincoffee7 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 tarifa gani mnatoa izi kinazingine zakupotezea
@hilalymshana8385
@hilalymshana8385 2 жыл бұрын
Watakaopanda mambwiga sana 22milion round trip and iyo faida au biahsara itakuzalishia kiasi gani
@suleimanrashid8238
@suleimanrashid8238 2 жыл бұрын
Watu watauza nyanya kwa hali hiyo....
@philipombwambo6345
@philipombwambo6345 2 жыл бұрын
Hiyo gharama niyakukodi ndege yote mwenyewe au?
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 2 жыл бұрын
Sasa mlinunua Yann umeona ure ujinga
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Washenzi hawa hamto pata abiria mbwa nyie 😂😂😂🤣🤣
@michaelhwago1499
@michaelhwago1499 2 жыл бұрын
Bei milioni 11
@thadeikassango1970
@thadeikassango1970 2 жыл бұрын
Kama hakuna makosa hapa, basi hawa watu wanatakiwa kunyongwa woteee
@fredmbossa
@fredmbossa 2 жыл бұрын
Yani siku hizi ndege za ATCL sioni watu wakizungumza tena kuhusu kwamba zinaleta hasara,,kweli Babu alikuwa anapigwa kila kitu
@maryamyusuph7107
@maryamyusuph7107 2 жыл бұрын
Au alikuwa anamaanisha ml 1na laki 1moja?Ndugu Mtangazaji hii taarifa ni sahihi kama ilivo?au ni bei ya kuchangia miundombinu?
@vascokasambala2159
@vascokasambala2159 2 жыл бұрын
MTANGAZAJI AMEKOSEA NI DOLA1800 KWENDA TU
@bernardmdengede8036
@bernardmdengede8036 2 жыл бұрын
ndo bei halisi hajakosea
@aliaminmbeo9998
@aliaminmbeo9998 2 жыл бұрын
Hizi bei mmepanga mmelewa? au mnafikiri mnakomoa watanzania kumbe mnaangusha uchumi wetu.Serikari ingilia kati Hawa wamelewa. China ni ajira za watanzania/wafanyabiashara. Bei ni zaidi ya kumlipia mtoto Shule China mwaka mzima!!!!
@georgeswaiswai4581
@georgeswaiswai4581 2 жыл бұрын
Minauliza tu wapendwa kwabei hiyo nikwenda peke yake au pamoja na kurudi
@vascokasambala2159
@vascokasambala2159 2 жыл бұрын
Kwenda tu
@nuranissa254
@nuranissa254 2 жыл бұрын
dar mbn bei kubwa san
@emmanueltillya2017
@emmanueltillya2017 2 жыл бұрын
Hiyo ni iende irudi au ni kwenda tuu.
@professorbenjamin1027
@professorbenjamin1027 2 жыл бұрын
Milioni 11 wacha nicheke kwanza huu si mtaji kabisa 😀😀
@yunusabrahmanomar6068
@yunusabrahmanomar6068 2 жыл бұрын
Watakuwa wamekosea hiyo nibwa sana
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 2 жыл бұрын
Tutspanda Ethiopia bei poa kabisaa
@mbonimanakisenya4178
@mbonimanakisenya4178 2 жыл бұрын
Kama mtangazaji amekosea kutangazia uma hii gharama basi achukuliwe hatua kisheria maana ni kuchafua Shirakawa la ndege
@goodluckstephanmasige3450
@goodluckstephanmasige3450 2 жыл бұрын
Ndivyo ilivyo hata kwenye website yao
@makungamapalala7982
@makungamapalala7982 2 жыл бұрын
Bei kubwa sana
@hapapetu7018
@hapapetu7018 2 жыл бұрын
Duu
@double8boy802
@double8boy802 2 жыл бұрын
wanaolalamika eti oooh bei kubwa,kwani hamujuwi mfumuko wa bei ya mafuta au?🤣🤣🤣✈️✈️
@astroworld2021
@astroworld2021 2 жыл бұрын
Tutatubu sana safari hii🙆🏽‍♂️
@jonaskilomba4094
@jonaskilomba4094 2 жыл бұрын
Wezi wako kazini
@silyadamian5708
@silyadamian5708 2 жыл бұрын
Tutaenda na ungo
@mussakasela1937
@mussakasela1937 2 жыл бұрын
Mtamkumbuka magufuli
@jambo3751
@jambo3751 2 жыл бұрын
Alikuwa akienda china?
@silivesattesha4837
@silivesattesha4837 2 жыл бұрын
Nakwenda ukren jmn msada
@kamanda007
@kamanda007 2 жыл бұрын
Viongozi wa Air Tanzania hawajielewi au wanataka kuua shirika kama kawaida yao na utakuta wameshavuta pesa za watu, can't believe kama tuna wajinga kiasi hiki, this is nothing but a crime
@abrahmanabdallah8479
@abrahmanabdallah8479 2 жыл бұрын
Kwani wewe wajielewa kwanza kushawahi safiri unajua maana oneway na transit...
@kamanda007
@kamanda007 2 жыл бұрын
@@abrahmanabdallah8479 acha ujinga
@hassanyusuph4526
@hassanyusuph4526 2 жыл бұрын
Huu niwazimu bei yote hio
@gandeone1585
@gandeone1585 2 жыл бұрын
Ww hujui
@rashidyahya6904
@rashidyahya6904 2 жыл бұрын
Jaman ata uku tulipo ni milion 1.700000
@salumkhamis2059
@salumkhamis2059 2 жыл бұрын
Wapi
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 жыл бұрын
@@salumkhamis2059 Yuko Mbinguni labda!!
@double8boy802
@double8boy802 2 жыл бұрын
makaburini🏃🏃🏃
@vijayan2323
@vijayan2323 2 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaha
@zawadix9574
@zawadix9574 2 жыл бұрын
Hizo bei ni ndege zote ata Ethiopian na emirates China masharti mengi ya covid na quarantine sio kosa bei ju sana kwa muda hu ita badilika!!!!!!!!
@hamedhabsi2752
@hamedhabsi2752 2 жыл бұрын
Rudi Shuleni.
@siromyhemed9464
@siromyhemed9464 2 жыл бұрын
Walishatoa sababu ya nauli hizo hapo ni wewe kuamua uende au la, maana mipaka yenyewe bado haijafunguliwa yote. Hapo ni kama unalipia na viti vinavyokosekana. Wale wenye mchongo wa maana kazi kwao
@aliaminmbeo9998
@aliaminmbeo9998 2 жыл бұрын
Hizi bei mmepanga mmelewa? au mnafikiri mnakomoa watanzania kumbe mnaangusha uchumi wetu.Serikari ingilia kati Hawa wamelewa. China ni ajira za watanzania/wafanyabiashara. Bei ni zaidi ya kumlipia mtoto Shule China mwaka mzima!!!!
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Show Me the World
Рет қаралды 6 МЛН
Apple peeling hack @scottsreality
00:37
_vector_
Рет қаралды 126 МЛН
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 2,4 МЛН
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 549 М.
INSIDE WORLD'S BIGGEST ELECTRONIC MARKET IN SHENZHEN, CHINA
16:56
HAWA JAMAA KIBOKO KWA KUSAFIRISHA MIZIGO KUTOKA CHINA, KWA BEI CHEE
4:30