Hajitambui huyu kijana, ni kama ametengeneza hii story ila sio mtaalamu haijakaa vzr! Mambo ya kuchafuana hayo!
@janeschurmanns73642 жыл бұрын
Hawa si wanaigeria wacheza Movies acheni uongo
@user-mb2ob6kg8z2 жыл бұрын
lugha za staha ziko wapi ?
@JohnS.mwafubo11 ай бұрын
Mwongo tena mpumbavu anadharirisha watumishi wa MUNGU ametunga.
@mariaclaver77212 жыл бұрын
Heshimuni maisha ya watu jamani.Mbona hiyo ni picha za waigizaji wa kinaigeria na mlaaniwe.
@fatymnyama28392 жыл бұрын
Lkn hii kitivii kinamambo ya kisenge kumamazenu mnalichafua kanisa katoriki
@saitoasenga39182 жыл бұрын
Wew hauna hata haya hii picha uliyopoxti mbona ni ya waandixhi acha uwongo basi
@ummatchannel43002 жыл бұрын
Hii channel TAM TAM hata watoe habari gani nilishaacha kuangalia. Leo nilijaribu tu kama wamejirekebisha.
@robertmayoka74242 жыл бұрын
Acheni kuchafua kabisa la mungu na watumishi wake huo mi uji nga na upumbavu sawa
@othmarluwawilo83082 жыл бұрын
Ni habar ya kubuni, mlaanike
@ramseyking76942 жыл бұрын
Kichwa cha hbr hakiendan kabis na hayo masimulizi
@angelineraphael12482 жыл бұрын
Huku ni kudhalilisha kanisa Katoliki why utumie picha za mavazi haya ukiachilia mbali picha ni za waigizaji si mapadri!!! Ndiyo maana wenzetu Wa jino kwa jino huwasomea dua tu Kawehuke huko. Si vizuri muwe Na heshima Na imani za watu.puuzi kanisa.
@edithmwazyunga83992 жыл бұрын
Tangu lini kanisa Katoliki kukawa na mama mchungaji? UONGO MTUPU
@azizawadh59732 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@DANSTANSHIPITICOMEDIAN2 жыл бұрын
Mark me present
@josephgitagano45332 жыл бұрын
HAWA SI WATAWA WA KANISA KATOLIKI. ACHENI KUWAFANYA WATU WABUMBAVU KAMA AKILI ZENU ZILIVYO ZA KIBUMBAVU.
@zawadimfambo40192 жыл бұрын
Uloandka huu. Ujumbe. Ulaanike
@mariawanjiru12752 жыл бұрын
Wewe umetumwa na Nani kuharibia katoriki heshima kama Ni kweli Toa video wakiwa Kwa tendo
@josephinemumbua1592 жыл бұрын
Wacha kutamgaza wengine ata wakioana akuna umbaya wakosawa
@judicatendengerio-ndossi15832 жыл бұрын
Hilo ni pepo. Shetani analenga sana makanisa.
@restitutalaurence3312 жыл бұрын
Uongo we ni mtoto wa mama mdogo
@maggiehiza58842 жыл бұрын
Yaani wewe ni mjinga kabisa! Ulaaniwe kabisa. Unachoongea hakieleweki. Mpumbavu sana
@kisurangusa5542 жыл бұрын
Hivi mwanamke atapataje ujasiri wa kutongoza mwanaume
@azizawadh59732 жыл бұрын
Hutaki
@thomasnyarusanda26082 жыл бұрын
Tumieni lugha ya staha.
@manilabonalumanula10142 жыл бұрын
Wangeandika "wakijamihiana"
@verdianabanabi59432 жыл бұрын
Wawaruhusu waoe.
@cletuslyelu38642 жыл бұрын
We mpumbavu sana
@dianafredrick83822 жыл бұрын
Huna hata aibu na umbea wako, ukimaliza uvalishwe dira
@rehemafungo50422 жыл бұрын
Mbona hawa ni waigizaji wa Nigeria🙄
@elizabethmajaliwa51892 жыл бұрын
Pumbavu kabisaaa 😟
@mbachoclassic78182 жыл бұрын
Upuuzi mtupu…! Na kujaribu kuchafua imani za watu
@simbonmasimba93072 жыл бұрын
Histori nifeki
@azizawadh59732 жыл бұрын
Yako orijino
@samuelsagwe1652 жыл бұрын
So,sad
@rodakaumbya2352 жыл бұрын
Ivi wewe kwa hakilili zako za kipumbavu unafikili watu wote tuliokusikiliza tuna akili mbovu naza kipumbavu Kama zakwako?
@aminaathumani68322 жыл бұрын
Habar nzito 👂👂👂🤭🤭🤔🤔
@felicianamrope28832 жыл бұрын
Usipotesha umma
@mungholomakalanga89582 жыл бұрын
Uongo mtupu,mtakufa vibaya nyie kuwasingizia watumishi wa Mungu
@neemarenaida66672 жыл бұрын
Hakuna lolote ujinga mtupu
@davidchris94762 жыл бұрын
P
@florenceakomba68212 жыл бұрын
Wapumbavu nyie
@richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/raOXf3-FmLeVicU WEWE NJOO KWA YESU
@petsmore99552 жыл бұрын
Acha umbea was kijinga!
@harrisonmussa2522 жыл бұрын
Acha ku fake
@marianewton82832 жыл бұрын
Uwongo nyie watoto w baba mdogo tunawajua mnatafuta kl hila kwetu sasa mkitaka kufanikiwa muuweni YESU mr yapili hahahaha hahahaha na yy ndiye muukumu wenu so za mwisho 🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱