Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Ajj kudadeki nimependa unavojibu maswal kwel wew ni giant🤝🤝🤝
@SmilingBubbleTea-vm3nz2 ай бұрын
Nimefurahi sana kufunguliwa kwako Haji Manara
@danielchamoto93762 ай бұрын
Wew ndio umemfungulia?
@abednego10422 ай бұрын
We nae unataka kują kutuvuruga tu! Najua Eng. Atakutafutia kitengo, ile kwenye usemaji , tumesharidhika sana na Ali Kamwe
@alicenice17112 ай бұрын
We utakua kolo😂😂
@martinemaganga52532 ай бұрын
Huyu huwa siyo msemaji wa yanga ila huwa mhamasishaji wa yanga
@MastaMbwilo2 ай бұрын
Chukua Pepsi big. Unahoja nakuunga mkono.
@MaxMatinde2 ай бұрын
Umeona ee
@mohdkhatib2232 ай бұрын
Mokolo hawampendi Manara kwasababu tangu atoke simba timu lao Makolo halifanyi vizuri
@rashidmalilo36572 ай бұрын
Huna lolote unafata tonge tu mwachie kijana wa watu ally kamwe Paige kazi tunampenda kijana mwenzetu
@albertvalentino1302 ай бұрын
Aibu kwa visununu walio hamia kule. --- kutoka kule " wanajitoa mpaka ufahamu kwasababu ya chuki binafsi "
@MudyMuzungu-g9g2 ай бұрын
Ndo ukubwa uo I prisiate that😊
@jumakapilima72952 ай бұрын
Ally Kamwe kazi anayo,,,,,shida ishamkuta!!
@kadito-kenya2 ай бұрын
Boss ni Mungu fanyeni heshima watangazaji😂😂
@fahadfahmy2 ай бұрын
Namkumbuka Dr Sule alisema Domo lamanara linahofisha Ynga itachukua makombe Back to back
@EliaMkumbo-wn7bm2 ай бұрын
Bugatti kama Bugatti hatimaye karudi twende kazi
@MtashobyaJosia-wt9jq2 ай бұрын
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania karibu Sanaa kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho jibu maswari machache wasikuweke Tena kweye majaribu kuwa makini bugati
@MohamedShivji-v6i2 ай бұрын
Safi sana bugatti.. Karibu sana mpambambanaji
@SteveKamwaya2 ай бұрын
Sawa
@sylvestercameo62632 ай бұрын
Boss wa Yanga ni mmoja tu, naye ni Engineer Rais Hersi Said! Hakuna sababu ya uchonganishi na uchochezi!
@rasakakaombwe2 ай бұрын
Nakubali sana haji
@VaiEliass2 ай бұрын
Turikumiss sana
@patrickfulano52822 ай бұрын
Interest ni Football " a pin point"
@OmaryShemgomba2 ай бұрын
Nakubali manara
@dullamuso69552 ай бұрын
Welcome Back Bugati
@issahajjiira5411Ай бұрын
Fanya kazi ya kuipeleka Dini mbele acha Tena na Mambo ya kipuuzi
@faustinlufungulo19762 ай бұрын
manara fanya mambo mengine pale yanga ally anatosha
@issahajjiira5411Ай бұрын
Huyu Hana lolote wakati hafanyi Mambo ya kumpendezesha Allah
@LivadoBrayson2 ай бұрын
Nakubal
@aboubakarylilah23962 ай бұрын
Haji kuwa na kauli nzuri sie sote yanga usiwaje watu usimi
@MudyMuzungu-g9g2 ай бұрын
Xafi xanaaaaaa
@errydeo88652 ай бұрын
Bugatii baba lao,shusha like
@comsmkemwa26712 ай бұрын
Ila unapenda UKUBWA NA SIFA,
@AzhadSaid-j1t2 ай бұрын
Uo ushamba wa kumchukua zailisa tujue ndoulumbukeni au Acha ujinga mbona kina ingenear wanita comfrenc hatuoni wake zao ulimbuken haji hunaishu unaliwa pesa tu apo😊
@comsmkemwa26712 ай бұрын
Ila Wenye D 2 tumeelewa kuwa bosi ni yupi!.
@ismailmsoke37302 ай бұрын
Nakukubali
@salehhassan872 ай бұрын
Bugatti ninavyokujua Kwa Ali Kamwe , mtagombana tu , na kwenye office yoyote lazima kuwe na boss kwa Mujibu wa Taratibu za yanga Haji manara ni msemaji wa yanga na Ali Kamwe ni Meneja wa Habari na Mawasiliano , hivyo Ali Kamwe ni Boss
@justusmukurasi43832 ай бұрын
WATAFANYA kazi tu
@stephano2632 ай бұрын
Alikamwe anatosha kaka
@jseventz2 ай бұрын
ally abaki msemaji ameipa mafanikio team huyu ni kama mzee magoma tu
@amaniomar17552 ай бұрын
Sawa Bugatti
@MalifezaMajidi2 ай бұрын
Kalibu mwamba wetu tubebe kombe la CAF
@jareengeorge54782 ай бұрын
Manara wewe ndio kilakitu.lazima wewe ndio ubaki.huyo mwingine anatumia nguvu sana sio mambo yake hayo.wewe ndiyo ubaki tunakupenda manara.tulikumiss
@abdulkarimsalum3562 ай бұрын
Ali kamwe hamfikii manara. apo sas makoro watajuwa hawajui 😂
@MariaJakobo2 ай бұрын
Tunakuitaji bugati wanachi wamekumis sana
@YonaHizza2 ай бұрын
Mgali fulan mkuubwaaaaa😅😅😅 tens kalibu
@TumainiBraytoni2 ай бұрын
Apo manara Ana jipendekeza tuu😂
@davidwatson68212 ай бұрын
Ali Kamwe kwisha habari yake
@Lusindehalima-si3ej2 ай бұрын
Manara wallah nakukubali sana kwa shughuli za mpira wengine wanaiga
@komboarts71102 ай бұрын
Yanga anatawala Tanzania kwa mpira Nchi kwa misimu mitatu ndo anatawala acha Uongo zungu😂😂😂