I Salute you Mr Heris, ( The Chairman for Young Africans ) YANGA ,Well said, Hiyo ndiyo Misimamo ya Kiongozi. Big Up 💪
@vinny.moralesАй бұрын
Wow!❤ Ally Kamwe mitano tena!
@SarhaSaidАй бұрын
Msemaji wetu pendwa Ali shaban kamwe tunae natunatamba nae
@pastorstevenmdoe5143Ай бұрын
Safi sana, mh Rais
@jovinusmutabuzi4647Ай бұрын
Nakupongeza sana Rais wetu wa yanga. Manara alikosea sana,alijirudisha kazini bila kutoa taarifa rasmi kwenye uongozi. Aliifanya yanga kama ya watu wahuni. Hata yanga day haikuwa na mvuto kwa vile alionekana kama wote tuna shabikia mambo ya ajabu. Apumzike
@jumakapilima7295Ай бұрын
Kabisa!!
@DenisSanga-bj5udАй бұрын
Ukweli mtupu Kila nabii na zama zake huyo manara atuachie kidogo akiitajika ataitwa
@zubeiramlanzi2480Ай бұрын
Akafie mbele
@issiryAllyАй бұрын
Rais tunaye na tunatamba naye❤ kamwe pia tunaye na tunatamba naye.BIG UP Eng.Hersi❤❤❤
@AmiriallyameirАй бұрын
Eng Hersi kapima utendaji wa Manara na Ally Kamwe kaona Dogo anafaa sana. Sio Mropokaji, anajieshimu, na speech zake zimenyooka; yani zinampangilio unaoeleweka, pia hana uchangudoa kama Haji Manara. Ally kamwe yuko vizuri.
@FloraChami-o7sАй бұрын
Ni kwel na ni mtabiri mazuri
@righitkileoАй бұрын
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiioo❤❤hii imeendaaààa❤Rais kasema❤❤Ally shaban Kamwe❤❤❤❤kuna mwenye nyonqeza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jacklinembuya2749Ай бұрын
Umeeleweka vizur
@EzekiaMichael-jn5npАй бұрын
Kila mtu mzuri ila Ally Shaban Kamwe ni the best to me
@MarjebyАй бұрын
Nimefurahi sana kusikia ALLY SHABAN KAMWE tunayee yule mzee wetu mzungu apangiwe tu majukumu mengine yanga yetu ni dude kubwaaaaa so nafasi za kazi zipo nyingi sana😂😂
@piuskusenge-jf2obАй бұрын
Kulingana na kauli ya mwenye Yanga yake , Haji Manara kwa sasa ni kama Mzee Mpili.
@shaffihsiraji3141Ай бұрын
😂😂😂
@julianamwalongo6047Ай бұрын
Mzee mpili ana cheo gani? 😁😁😁😁😁
@Marzzzzzz20Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@saidimkongos324Ай бұрын
😅😅😅😅umetishaaa
@musicinafrica5758Ай бұрын
Likes za hersi hapa
@dizzomontana7219Ай бұрын
Aende azam tu sisi tuna mtambua Ally kamwe
@JohnsonBagambiАй бұрын
Sawa ukishba uwez jua mwenye njaa nilikua wa kwanza swala la manara kuondoka simba mimi kama mwana simba leo tumepotea tuna wabana pua tu
@buberwazimbeiya7406Ай бұрын
Kumwembe na adela kaa vizur
@MjitaАй бұрын
Hakuna anayehukumiwa kwa mtazamo wake au mapenzi yake , dogo yuko vizuri upstairs ktk kuplan speech
@KS-iw7qvАй бұрын
Rais MAKINI.... swali limejibiwa ki-rahisi saana Oscar 😂😂😂
@mulladomuller4487Ай бұрын
Oscar maswali yko yakishoga ila umepat mtu makin sna
@KkhamisKhaАй бұрын
Nimependa san kubaki kwa semaji la kimaifa. Ally kamwe
@AbubakariKisujuАй бұрын
Safi sana"manara misifa hatumtaki
@chazzmgonja4077Ай бұрын
Umetisha
@MichaelWankuruАй бұрын
Ni razima kuwa na M2 mwenye fikira kama huyu
@HassanMohamed-w7eАй бұрын
Kamwe kaachwa mbali sana na manar
@anastahiliutawala3879Ай бұрын
Yeye ni Rais, ni boss wa wa mawasiliano huyu ni sawa na Rais tz
@johariabdalla3319Ай бұрын
Manara adabu hana,wala heshima hana kwa watu,anaropokwa tu kwa kila mtu,Ali Kamwe anafaa,anajilewa,na ana limit ya kuongea kwa kila kitu,ana heshima,na kwasasa ka fit kuwa msemaji wa Yanga 100%
@georgekilwa2051Ай бұрын
This Africa period!!!
@abdalla8193Ай бұрын
HAJI huna kitu jitambue
@bbclondonulimwenguwasoka6126Ай бұрын
Akufukuzaye hakwambii toka
@JeannetteManirambona-o6mАй бұрын
Nimekuelewa
@johnbahati478Ай бұрын
No politics,facts
@didamugya6039Ай бұрын
Alikamwe is the best, hana lugha kali, kashfa na roho mbaya kama Manara
@romanambelle6356Ай бұрын
Sasa haji alale tu asiropokeropoke Hana kazi maalum pale😂😂
@JoJo-xh7phАй бұрын
Mimi ni simba dam lakini Alli Kamwe ndiye anayefaa Yanga. Manara Njaa tu
@salimobeid1470Ай бұрын
Manara yanga huwezi kuifanya kama simba bro huyu hersi ni kichwa sana hataki uje uitie shoti yanga kama simba na wangeendelea wawili pale yanga ingefeli mpasuko
Kusema ukweli,Kamwe hafanyi bidii ya kufaamu taarifa/takwimu za Yanga,pia anasindwa kuipamba Yanga sawa na mafanikio tunayoyapata kwa wakati huu.#Mafanikio haya ya Yanga,angelikuwa Haji Bugati madarakani,kila mwana Yanga angelikuwa anatembea kifua mbele sana.Lkn wote ni watu wazuri kwa kila mmoja kadiri ya talanta yake.Ila ukiona comments negative kwa Haji ujue hao ni wa upande wa pili,wanamuogopa,wanajifanya ni Wana Yanga!🤝🙏
@checkchannel3876Ай бұрын
Confusion haikuwepo kwetu wengine. Taratibu za kikazi zilimuweka Ally Kamwe. Huyu mwingine aliporudi utaratibu ni uongozi kumpangia majukumu ya kufanya chini ya Kamwe au idara nyingine.
@JosephManalaАй бұрын
Mpeni mhamasishaji supuday
@seifnrashidАй бұрын
Tunaweza kuona interview yote national vipande vipande
@ibrahimalharthi4599Ай бұрын
Manara yeye zaidi kazi aiyokuwa akiifanya ni kuisimanga Simba kila kukicha badala ya kuijenga Yanga
@abbassalum6824Ай бұрын
Good
@murattywamuratty9778Ай бұрын
Sasa siku ya kutambulisha wachezaji Haji Manara Alienda fanya nn?
@MapenziMalandaАй бұрын
Hi inaenda kuipasua Yanga, Raisi ame gusa uti wa mgongo wa Yanga....mtanambia nyie subirieni. Yanga aija cheza karata yake vizuri kuusu Manara
@merycianshinda546Ай бұрын
Mhhhh aje anaumbea sana kavile nikwake akomeeeee.
@GeorgeSagumoАй бұрын
Rudisha yanga ww kwawenyewee kinamangomaa
@randomclips5474Ай бұрын
best view
@judithtitomalyeta4000Ай бұрын
Oscar mkolofi
@jumakapilima7295Ай бұрын
Masikini Hajji,,,,dah!
@jei_maimu6957Ай бұрын
Jamaa na zungu haziivi😂😂😂.. Sema kamwe mtu saana anakpiga spana ila hana makelele kelele
@robertzamani5612Ай бұрын
Hawa waandishi wanapenda chokochoko
@liamlee7594Ай бұрын
Oscar wa tabora kadhalilishwa saana na Engineer kama alikuwa anamletea utani ila ndani yake kuna ukweli
@augustshirima9726Ай бұрын
Mbona maelezo mengi manaraaa
@Emmanuelbuyamba8037Ай бұрын
Uyu jamaa anaubinafsi ndani yake,na nawaona yanga wakifarakana sana msimu ujao.
@RaineryChristian-xy1ssАй бұрын
Hapo rais wetu kanena vizuri sana .. ni kweli mumpe manara kitengo kwani ni mtu wa mpira na anajua namna ya kuitangaza clab
@bensonobiloosweya8265Ай бұрын
Haji amekwisha.
@salimmbilu4524Ай бұрын
Ndo mana mzee magoma anapigana na kutaka katiba ya zaman hapo unatak madarak yote usimamie ww
@OmanOman-ru4euАй бұрын
Haja manara typing and deleting 😂😂😂
@buberwazimbeiya7406Ай бұрын
Huo sio mkao mzur kwa mtu aliyekaa jirani yako
@BahatiIsanguАй бұрын
Safi sana rais wetu Ali kamwe ni kijana mdogo lkn anajitambua ktk nafac yake tunampenda
@kicmbermaestro3459Ай бұрын
Kila mtu anataka uboss😂😂😂😂😂 yanga yangu hii
@husseinkonz5192Ай бұрын
Katiba ya magoma je
@shijacs23Ай бұрын
Kwa waliomwelewa raisi manara arudi tu simba au aende namungo yanga hatumtaki!!!
@romanambelle6356Ай бұрын
Tuna semeji la caf huo uchafu tuupeleke wapi sisi labda watupieni tabora united😂😂😂
@hamishatibu699Ай бұрын
Ila yanga wanafki xna,kamwe nilimuacha nje yanga day.leo wanamtangaza tena Aliy komwe 😅😅😅😅
@flavianajohn5250Ай бұрын
Kweli we ni mbumbumbu aliachajwe sasa we sanda fc
@Emmanuelbuyamba8037Ай бұрын
Utopolo hapa mmepigwa
@AshaMwamba-g3lАй бұрын
Jamani alikuja shapu Sana jamani aibu
@mtokaboys2175Ай бұрын
Me ally kamwe simuelewi
@elizabethkalinga0822Ай бұрын
Umuelewe tu kwa sababu aliajiriwa kwenye hiyo nafasi, na ameitumikia kwa Miaka 2, sio 6 Months ya Matazamio hapana Wala sio kibarua.
@checkchannel3876Ай бұрын
Ok, kwa hiyo si tufanyeje?
@AdelinaLusekelo-xl4bmАй бұрын
Huezi kumuelewa Ally kama unakula maboga acha sisi tunao muelewa aendelee na kazi🎉
@JeannetteManirambona-o6mАй бұрын
😂😂utaelewa tu pole pole
@azizajamary576Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂zungu chali
@festokemibala5832Ай бұрын
Waandishi wa habari wachokonozi
@godfreymushi6966Ай бұрын
Ujinga mtupu timu za Afrika janja janja nylngi greey like aaa
@Prince-rafaelАй бұрын
Hersi akiwa na interview nchi inatulia kumsikiliza kuliko hata rais wa nchi maana Kuna madini anatema ambayo yanatusaidia wengi ambao ata sio mashabiki wa mpira sio kma yule anaetutambulishia dada zake🤣🤣
@jumakapilima7295Ай бұрын
Akili yako iko matakoni wewe
@nurdinmfamau3493Ай бұрын
Rais Tena Umeenda Mbali Sana. President Ndio Kila Siku Hkuna Wakumfananiza Nae.
@yahomeshopllc5950Ай бұрын
WANAO KUBALI MANARA APEWE NAFASI YA MAGOMA LIKES ZENU HAPA.😂
@anithawidambe7543Ай бұрын
Ali kamwe ndiyo bora sana kuliko huyo mzee jamani sasa hivi waachieni vijana.
@mbokanitaribo5106Ай бұрын
Siyo bora kuliko MANARA
@julianamwalongo6047Ай бұрын
@@mbokanitaribo5106 Ni bora Sana tena sana Kuliko manara, tena zaidi kwa namna ya usemaji wake.