AFISA HABARI ANAYETAMBULIKA NI ALLY KAMWE NDANI YA YANGA/ MANARA ANATAFUTIWA CHAKUFANYA - ENG. HERSI

  Рет қаралды 82,410

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 105
@elizabethkalinga0822
@elizabethkalinga0822 Ай бұрын
I Salute you Mr Heris, ( The Chairman for Young Africans ) YANGA ,Well said, Hiyo ndiyo Misimamo ya Kiongozi. Big Up 💪
@vinny.morales
@vinny.morales Ай бұрын
Wow!❤ Ally Kamwe mitano tena!
@SarhaSaid
@SarhaSaid Ай бұрын
Msemaji wetu pendwa Ali shaban kamwe tunae natunatamba nae
@pastorstevenmdoe5143
@pastorstevenmdoe5143 Ай бұрын
Safi sana, mh Rais
@jovinusmutabuzi4647
@jovinusmutabuzi4647 Ай бұрын
Nakupongeza sana Rais wetu wa yanga. Manara alikosea sana,alijirudisha kazini bila kutoa taarifa rasmi kwenye uongozi. Aliifanya yanga kama ya watu wahuni. Hata yanga day haikuwa na mvuto kwa vile alionekana kama wote tuna shabikia mambo ya ajabu. Apumzike
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Kabisa!!
@DenisSanga-bj5ud
@DenisSanga-bj5ud Ай бұрын
Ukweli mtupu Kila nabii na zama zake huyo manara atuachie kidogo akiitajika ataitwa
@zubeiramlanzi2480
@zubeiramlanzi2480 Ай бұрын
Akafie mbele
@issiryAlly
@issiryAlly Ай бұрын
Rais tunaye na tunatamba naye❤ kamwe pia tunaye na tunatamba naye.BIG UP Eng.Hersi❤❤❤
@Amiriallyameir
@Amiriallyameir Ай бұрын
Eng Hersi kapima utendaji wa Manara na Ally Kamwe kaona Dogo anafaa sana. Sio Mropokaji, anajieshimu, na speech zake zimenyooka; yani zinampangilio unaoeleweka, pia hana uchangudoa kama Haji Manara. Ally kamwe yuko vizuri.
@FloraChami-o7s
@FloraChami-o7s Ай бұрын
Ni kwel na ni mtabiri mazuri
@righitkileo
@righitkileo Ай бұрын
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiioo❤❤hii imeendaaààa❤Rais kasema❤❤Ally shaban Kamwe❤❤❤❤kuna mwenye nyonqeza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jacklinembuya2749
@jacklinembuya2749 Ай бұрын
Umeeleweka vizur
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Ай бұрын
Kila mtu mzuri ila Ally Shaban Kamwe ni the best to me
@Marjeby
@Marjeby Ай бұрын
Nimefurahi sana kusikia ALLY SHABAN KAMWE tunayee yule mzee wetu mzungu apangiwe tu majukumu mengine yanga yetu ni dude kubwaaaaa so nafasi za kazi zipo nyingi sana😂😂
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob Ай бұрын
Kulingana na kauli ya mwenye Yanga yake , Haji Manara kwa sasa ni kama Mzee Mpili.
@shaffihsiraji3141
@shaffihsiraji3141 Ай бұрын
😂😂😂
@julianamwalongo6047
@julianamwalongo6047 Ай бұрын
Mzee mpili ana cheo gani? 😁😁😁😁😁
@Marzzzzzz20
@Marzzzzzz20 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@saidimkongos324
@saidimkongos324 Ай бұрын
😅😅😅😅umetishaaa
@musicinafrica5758
@musicinafrica5758 Ай бұрын
Likes za hersi hapa
@dizzomontana7219
@dizzomontana7219 Ай бұрын
Aende azam tu sisi tuna mtambua Ally kamwe
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi Ай бұрын
Sawa ukishba uwez jua mwenye njaa nilikua wa kwanza swala la manara kuondoka simba mimi kama mwana simba leo tumepotea tuna wabana pua tu
@buberwazimbeiya7406
@buberwazimbeiya7406 Ай бұрын
Kumwembe na adela kaa vizur
@Mjita
@Mjita Ай бұрын
Hakuna anayehukumiwa kwa mtazamo wake au mapenzi yake , dogo yuko vizuri upstairs ktk kuplan speech
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Ай бұрын
Rais MAKINI.... swali limejibiwa ki-rahisi saana Oscar 😂😂😂
@mulladomuller4487
@mulladomuller4487 Ай бұрын
Oscar maswali yko yakishoga ila umepat mtu makin sna
@KkhamisKha
@KkhamisKha Ай бұрын
Nimependa san kubaki kwa semaji la kimaifa. Ally kamwe
@AbubakariKisuju
@AbubakariKisuju Ай бұрын
Safi sana"manara misifa hatumtaki
@chazzmgonja4077
@chazzmgonja4077 Ай бұрын
Umetisha
@MichaelWankuru
@MichaelWankuru Ай бұрын
Ni razima kuwa na M2 mwenye fikira kama huyu
@HassanMohamed-w7e
@HassanMohamed-w7e Ай бұрын
Kamwe kaachwa mbali sana na manar
@anastahiliutawala3879
@anastahiliutawala3879 Ай бұрын
Yeye ni Rais, ni boss wa wa mawasiliano huyu ni sawa na Rais tz
@johariabdalla3319
@johariabdalla3319 Ай бұрын
Manara adabu hana,wala heshima hana kwa watu,anaropokwa tu kwa kila mtu,Ali Kamwe anafaa,anajilewa,na ana limit ya kuongea kwa kila kitu,ana heshima,na kwasasa ka fit kuwa msemaji wa Yanga 100%
@georgekilwa2051
@georgekilwa2051 Ай бұрын
This Africa period!!!
@abdalla8193
@abdalla8193 Ай бұрын
HAJI huna kitu jitambue
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Ай бұрын
Akufukuzaye hakwambii toka
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m Ай бұрын
Nimekuelewa
@johnbahati478
@johnbahati478 Ай бұрын
No politics,facts
@didamugya6039
@didamugya6039 Ай бұрын
Alikamwe is the best, hana lugha kali, kashfa na roho mbaya kama Manara
@romanambelle6356
@romanambelle6356 Ай бұрын
Sasa haji alale tu asiropokeropoke Hana kazi maalum pale😂😂
@JoJo-xh7ph
@JoJo-xh7ph Ай бұрын
Mimi ni simba dam lakini Alli Kamwe ndiye anayefaa Yanga. Manara Njaa tu
@salimobeid1470
@salimobeid1470 Ай бұрын
Manara yanga huwezi kuifanya kama simba bro huyu hersi ni kichwa sana hataki uje uitie shoti yanga kama simba na wangeendelea wawili pale yanga ingefeli mpasuko
@shukuruhalfani
@shukuruhalfani Ай бұрын
Pyee pyee pyee pyee pyee pyee kwisha kabisa mdomo umekuponza kuda dadek
@FATUMABACARCADANGE
@FATUMABACARCADANGE Ай бұрын
kweli
@EricaBizuru-jp9by
@EricaBizuru-jp9by Ай бұрын
Kumbe lokole yuko sawa 😂😂😂😂😂
@williamsaulos8769
@williamsaulos8769 Ай бұрын
Kusema ukweli,Kamwe hafanyi bidii ya kufaamu taarifa/takwimu za Yanga,pia anasindwa kuipamba Yanga sawa na mafanikio tunayoyapata kwa wakati huu.#Mafanikio haya ya Yanga,angelikuwa Haji Bugati madarakani,kila mwana Yanga angelikuwa anatembea kifua mbele sana.Lkn wote ni watu wazuri kwa kila mmoja kadiri ya talanta yake.Ila ukiona comments negative kwa Haji ujue hao ni wa upande wa pili,wanamuogopa,wanajifanya ni Wana Yanga!🤝🙏
@checkchannel3876
@checkchannel3876 Ай бұрын
Confusion haikuwepo kwetu wengine. Taratibu za kikazi zilimuweka Ally Kamwe. Huyu mwingine aliporudi utaratibu ni uongozi kumpangia majukumu ya kufanya chini ya Kamwe au idara nyingine.
@JosephManala
@JosephManala Ай бұрын
Mpeni mhamasishaji supuday
@seifnrashid
@seifnrashid Ай бұрын
Tunaweza kuona interview yote national vipande vipande
@ibrahimalharthi4599
@ibrahimalharthi4599 Ай бұрын
Manara yeye zaidi kazi aiyokuwa akiifanya ni kuisimanga Simba kila kukicha badala ya kuijenga Yanga
@abbassalum6824
@abbassalum6824 Ай бұрын
Good
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 Ай бұрын
Sasa siku ya kutambulisha wachezaji Haji Manara Alienda fanya nn?
@MapenziMalanda
@MapenziMalanda Ай бұрын
Hi inaenda kuipasua Yanga, Raisi ame gusa uti wa mgongo wa Yanga....mtanambia nyie subirieni. Yanga aija cheza karata yake vizuri kuusu Manara
@merycianshinda546
@merycianshinda546 Ай бұрын
Mhhhh aje anaumbea sana kavile nikwake akomeeeee.
@GeorgeSagumo
@GeorgeSagumo Ай бұрын
Rudisha yanga ww kwawenyewee kinamangomaa
@randomclips5474
@randomclips5474 Ай бұрын
best view
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Ай бұрын
Oscar mkolofi
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Masikini Hajji,,,,dah!
@jei_maimu6957
@jei_maimu6957 Ай бұрын
Jamaa na zungu haziivi😂😂😂.. Sema kamwe mtu saana anakpiga spana ila hana makelele kelele
@robertzamani5612
@robertzamani5612 Ай бұрын
Hawa waandishi wanapenda chokochoko
@liamlee7594
@liamlee7594 Ай бұрын
Oscar wa tabora kadhalilishwa saana na Engineer kama alikuwa anamletea utani ila ndani yake kuna ukweli
@augustshirima9726
@augustshirima9726 Ай бұрын
Mbona maelezo mengi manaraaa
@Emmanuelbuyamba8037
@Emmanuelbuyamba8037 Ай бұрын
Uyu jamaa anaubinafsi ndani yake,na nawaona yanga wakifarakana sana msimu ujao.
@RaineryChristian-xy1ss
@RaineryChristian-xy1ss Ай бұрын
Hapo rais wetu kanena vizuri sana .. ni kweli mumpe manara kitengo kwani ni mtu wa mpira na anajua namna ya kuitangaza clab
@bensonobiloosweya8265
@bensonobiloosweya8265 Ай бұрын
Haji amekwisha.
@salimmbilu4524
@salimmbilu4524 Ай бұрын
Ndo mana mzee magoma anapigana na kutaka katiba ya zaman hapo unatak madarak yote usimamie ww
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu Ай бұрын
Haja manara typing and deleting 😂😂😂
@buberwazimbeiya7406
@buberwazimbeiya7406 Ай бұрын
Huo sio mkao mzur kwa mtu aliyekaa jirani yako
@BahatiIsangu
@BahatiIsangu Ай бұрын
Safi sana rais wetu Ali kamwe ni kijana mdogo lkn anajitambua ktk nafac yake tunampenda
@kicmbermaestro3459
@kicmbermaestro3459 Ай бұрын
Kila mtu anataka uboss😂😂😂😂😂 yanga yangu hii
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Ай бұрын
Katiba ya magoma je
@shijacs23
@shijacs23 Ай бұрын
Kwa waliomwelewa raisi manara arudi tu simba au aende namungo yanga hatumtaki!!!
@romanambelle6356
@romanambelle6356 Ай бұрын
Tuna semeji la caf huo uchafu tuupeleke wapi sisi labda watupieni tabora united😂😂😂
@hamishatibu699
@hamishatibu699 Ай бұрын
Ila yanga wanafki xna,kamwe nilimuacha nje yanga day.leo wanamtangaza tena Aliy komwe 😅😅😅😅
@flavianajohn5250
@flavianajohn5250 Ай бұрын
Kweli we ni mbumbumbu aliachajwe sasa we sanda fc
@Emmanuelbuyamba8037
@Emmanuelbuyamba8037 Ай бұрын
Utopolo hapa mmepigwa
@AshaMwamba-g3l
@AshaMwamba-g3l Ай бұрын
Jamani alikuja shapu Sana jamani aibu
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 Ай бұрын
Me ally kamwe simuelewi
@elizabethkalinga0822
@elizabethkalinga0822 Ай бұрын
Umuelewe tu kwa sababu aliajiriwa kwenye hiyo nafasi, na ameitumikia kwa Miaka 2, sio 6 Months ya Matazamio hapana Wala sio kibarua.
@checkchannel3876
@checkchannel3876 Ай бұрын
Ok, kwa hiyo si tufanyeje?
@AdelinaLusekelo-xl4bm
@AdelinaLusekelo-xl4bm Ай бұрын
Huezi kumuelewa Ally kama unakula maboga acha sisi tunao muelewa aendelee na kazi🎉
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m Ай бұрын
😂😂utaelewa tu pole pole
@azizajamary576
@azizajamary576 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂zungu chali
@festokemibala5832
@festokemibala5832 Ай бұрын
Waandishi wa habari wachokonozi
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 Ай бұрын
Ujinga mtupu timu za Afrika janja janja nylngi greey like aaa
@Prince-rafael
@Prince-rafael Ай бұрын
Hersi akiwa na interview nchi inatulia kumsikiliza kuliko hata rais wa nchi maana Kuna madini anatema ambayo yanatusaidia wengi ambao ata sio mashabiki wa mpira sio kma yule anaetutambulishia dada zake🤣🤣
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Akili yako iko matakoni wewe
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 Ай бұрын
Rais Tena Umeenda Mbali Sana. President Ndio Kila Siku Hkuna Wakumfananiza Nae.
@yahomeshopllc5950
@yahomeshopllc5950 Ай бұрын
WANAO KUBALI MANARA APEWE NAFASI YA MAGOMA LIKES ZENU HAPA.😂
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Ай бұрын
Ali kamwe ndiyo bora sana kuliko huyo mzee jamani sasa hivi waachieni vijana.
@mbokanitaribo5106
@mbokanitaribo5106 Ай бұрын
Siyo bora kuliko MANARA
@julianamwalongo6047
@julianamwalongo6047 Ай бұрын
@@mbokanitaribo5106 Ni bora Sana tena sana Kuliko manara, tena zaidi kwa namna ya usemaji wake.
@MesiyaMesiya-kt8rk
@MesiyaMesiya-kt8rk Ай бұрын
Vp ubaya ubwegez😬🐓🐰🐓🐓🐓🐓🐓😁😁⚽⚽🎧🎧⚽🎧⚽⚽
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 Ай бұрын
😂😂😂😂 kazidi umbea acha wambwage
@VeronicaErasto-l5j
@VeronicaErasto-l5j Ай бұрын
alikamwe imeisha hiyo
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky Ай бұрын
Alikuq msemajiq😂qqq maskini zeruzeru
@kassimualli1755
@kassimualli1755 Ай бұрын
Kijana kuwa na kauli nzuri
@BarakaSinginali
@BarakaSinginali Ай бұрын
Njooni na huku kwangu Mu SUBSCRIBE basi
@DoryGeorge
@DoryGeorge Ай бұрын
Saf
@HassanMohamed-w7e
@HassanMohamed-w7e Ай бұрын
Kamwe kaachwa mbali sana na manar
@HassanMohamed-w7e
@HassanMohamed-w7e Ай бұрын
Kamwe kaachwa mbali sana na manar
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 253 М.
Synyptas 4 | Жігіттер сынып қалды| 3 Bolim
19:27
kak budto
Рет қаралды 1,3 МЛН
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 8 МЛН
MASAI APAGAWA NA YANGA | NG'OMBE WANGU NAWAPA YANGA
14:25
MATOLE TV
Рет қаралды 15 М.
ASKARI MZEMBE ALIVYO ANGUKA MBELE YA RAISI, UTACHEKA UFE
8:52
Mbengo Tv
Рет қаралды 254 М.
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 253 М.