Waziri wa Sheria na Katiba Prof. Palamagamba Kabudi, ameelezea historia ya jaji mkuu mpya wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma, ikiwa ni pamoja na kumfundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Пікірлер: 25
@tumainielmaruwa31483 жыл бұрын
Prof Juma namkubali sana natamani hiki kichwa kitukwamue hapa tupo. Asante
@mariammussa92924 жыл бұрын
Mashaa Allah Allah akuongoze jaji mkuu ibrahim juma
@abdulrazakyussef31775 жыл бұрын
kweli Jaji Mkuu Khamis Juma anaonekana mpole sana, lakini ndani ni chuma tupu, dhabiti sana.
@abdulatifmoxamed80474 жыл бұрын
Anaonekana hana sifa ya kujikweza
@jumaramadhani58616 жыл бұрын
Allah amfanyie wepesi katika kazi yake
@japhetkazeri71354 жыл бұрын
Sisi Mara hivi ni vitu vya kawaida tu,toka zamani
@ommarymzee11616 жыл бұрын
ibrahimu piga kaz baba wahukumuu wez maaana nomaa kwel
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
Ibrahim anaonekantu kiukweli nimpole sana sana
@dhoulkefyljr86376 жыл бұрын
Mungu amlinde na amuwezeshe kuwa na uadilifu
@sagudakisasila84496 жыл бұрын
Hongera jaji mkuu wa utumishi uliotukuka.
@yordanyona12346 жыл бұрын
awe kama wa kenya
@dedakisika66692 жыл бұрын
Nakuelewa Sana kabudi
@chidiomari.653 жыл бұрын
wahh
@saidiseif61726 жыл бұрын
hakuna chochote mnatetea ajira zenu tuu.
@mohdshebe56402 жыл бұрын
Naona misifa kibao Duhhh
@kisulaabas26145 жыл бұрын
Namwona Makonda hapo Msomiiii
@miltonjohn97797 ай бұрын
Makonda ni msomi wa wapi!
@suleimanbakar34292 жыл бұрын
asema uongo kwa kujipendekeza na kumsifu mtu kwa uongo
@suleimanbakar34292 жыл бұрын
masifa matupu lkn hana la maana
@ibrahimshilinde61296 жыл бұрын
kilamtu akieleza SV zake itakuaje,kuna wafanyakazi wanafanya kazi 24hrs,unakuta kituo cha afya,shule wapo wafanyakazi wa2 au wa3,hawa unawafikiriajee?
@ibrahimislam14934 жыл бұрын
IBRAHIM SHILINDE usiwe na wivu mtu akipewa uwezo wake.je kama ingikua wewe unge pinga.ficheni udhaifu wenu
@bakariyusufu8396 жыл бұрын
Naona bashite nae anapiga makofi
@mnzavachris54235 жыл бұрын
bakari yusufu hhahahaha tungemuwahi pale alivyotoka tukamuuliza alikuwa anapigia nini
@mr.yahzadochuno79146 жыл бұрын
Uwongo mtupu sifa zikizidi
@mnzavachris54235 жыл бұрын
ani niache nyapu ya mke wangu kisaaaa..io ofisi yanipa nn kitamu zaidi ya cha mke wangu, tena cha asbh kina ladha ya pekee sana! Na ni matatizo hayo ya usafiri na labd pengine uko nyumbani afukuzwa. Ila yote kwa yote kazi njema nafikiri anaifany vyema. #GGTZ🇹🇿