Azam TV - Historia ya kusisimua jaji mkuu mpya wa Tanzania

  Рет қаралды 42,315

Azam TV

Azam TV

6 жыл бұрын

Waziri wa Sheria na Katiba Prof. Palamagamba Kabudi, ameelezea historia ya jaji mkuu mpya wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma, ikiwa ni pamoja na kumfundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Пікірлер: 25
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 3 жыл бұрын
Prof Juma namkubali sana natamani hiki kichwa kitukwamue hapa tupo. Asante
@mariammussa9292
@mariammussa9292 4 жыл бұрын
Mashaa Allah Allah akuongoze jaji mkuu ibrahim juma
@abdulrazakyussef3177
@abdulrazakyussef3177 5 жыл бұрын
kweli Jaji Mkuu Khamis Juma anaonekana mpole sana, lakini ndani ni chuma tupu, dhabiti sana.
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 4 жыл бұрын
Anaonekana hana sifa ya kujikweza
@jumaramadhani5861
@jumaramadhani5861 6 жыл бұрын
Allah amfanyie wepesi katika kazi yake
@japhetkazeri7135
@japhetkazeri7135 4 жыл бұрын
Sisi Mara hivi ni vitu vya kawaida tu,toka zamani
@ommarymzee1161
@ommarymzee1161 6 жыл бұрын
ibrahimu piga kaz baba wahukumuu wez maaana nomaa kwel
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 жыл бұрын
Ibrahim anaonekantu kiukweli nimpole sana sana
@dhoulkefyljr8637
@dhoulkefyljr8637 6 жыл бұрын
Mungu amlinde na amuwezeshe kuwa na uadilifu
@sagudakisasila8449
@sagudakisasila8449 6 жыл бұрын
Hongera jaji mkuu wa utumishi uliotukuka.
@yordanyona1234
@yordanyona1234 6 жыл бұрын
awe kama wa kenya
@dedakisika6669
@dedakisika6669 2 жыл бұрын
Nakuelewa Sana kabudi
@chidiomari.65
@chidiomari.65 3 жыл бұрын
wahh
@saidiseif6172
@saidiseif6172 6 жыл бұрын
hakuna chochote mnatetea ajira zenu tuu.
@mohdshebe5640
@mohdshebe5640 2 жыл бұрын
Naona misifa kibao Duhhh
@kisulaabas2614
@kisulaabas2614 5 жыл бұрын
Namwona Makonda hapo Msomiiii
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 7 ай бұрын
Makonda ni msomi wa wapi!
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 2 жыл бұрын
asema uongo kwa kujipendekeza na kumsifu mtu kwa uongo
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 2 жыл бұрын
masifa matupu lkn hana la maana
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 6 жыл бұрын
kilamtu akieleza SV zake itakuaje,kuna wafanyakazi wanafanya kazi 24hrs,unakuta kituo cha afya,shule wapo wafanyakazi wa2 au wa3,hawa unawafikiriajee?
@ibrahimislam1493
@ibrahimislam1493 4 жыл бұрын
IBRAHIM SHILINDE usiwe na wivu mtu akipewa uwezo wake.je kama ingikua wewe unge pinga.ficheni udhaifu wenu
@bakariyusufu839
@bakariyusufu839 6 жыл бұрын
Naona bashite nae anapiga makofi
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 жыл бұрын
bakari yusufu hhahahaha tungemuwahi pale alivyotoka tukamuuliza alikuwa anapigia nini
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 6 жыл бұрын
Uwongo mtupu sifa zikizidi
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 жыл бұрын
ani niache nyapu ya mke wangu kisaaaa..io ofisi yanipa nn kitamu zaidi ya cha mke wangu, tena cha asbh kina ladha ya pekee sana! Na ni matatizo hayo ya usafiri na labd pengine uko nyumbani afukuzwa. Ila yote kwa yote kazi njema nafikiri anaifany vyema. #GGTZ🇹🇿
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 14 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 34 МЛН
#TBC : SEHEMU YA NNE - NYOTA WA WIKI NA JAJI JOSEPH WARIOBA
25:50
Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
25:42
Mwananchi Digital
Рет қаралды 294 М.
URAIA PACHA TANZANIA
1:29:43
Clarence Msuka
Рет қаралды 28 М.
WAZIRI KABUDI ATOA HISTORIA KAMILI YA TANZANIA, ACHAMBUA MIAKA 60 YA UHURU
1:31:58