Bunge lilimepitisha mapendekezo ya mapato na matumizi ya wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2017/18 huku waziri mwenye dhamana Prof Palamagamba Kabudi akitumia muda mwingi kutoa somo la sharia bungeni.
Пікірлер: 247
@thegreatsource29534 жыл бұрын
Mbona sisikii "Taarifa Mheshimiwa Mwenyekiti" 😂😂😂😂 Watu wanaogopa kuumbuliwa na Professor🤣🤣🤣 Kama unamkubali Professor Kabudi, Gonga like twende sawa!
@hajiramadhani26993 жыл бұрын
Kawaida ya sheria za bunge waziri anapoongea mbunge haruhusiwi kutoa taarifa wala muongozo
@jacksonwillson43693 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@normankusalula577026 күн бұрын
Mvutano wa bashe na mpina ulianzia wakati waziri bashe anaongea na mpina akatoa taarifa, spika akaruhusu taarifa kutolewa. Unatudanganya wewe au spika alikua hajui kanuni?@hajiramadhani2699
@eventelias35664 жыл бұрын
Wanaofuatilia speech za Mh.Kabudi baada ya BBI Kenya tujuane.
@nicholasmaina77754 жыл бұрын
Huyu waziri anafaa awe rais wa Africa mashariki he is a great Man I like him very much
@eng.lameckkagaali48144 жыл бұрын
Í
@isaacmboya17193 жыл бұрын
Isaac mboya naomba mungu anisaidiie kumuelewa professor kabudi
@isaacmboya17193 жыл бұрын
Watu kama kabudi walikuwa wapi
@isaacmboya17193 жыл бұрын
Kumbe shida ni uelewa wetu nikiwemo na mimi profferser unastahili heshima upewe aman ya moyo appreciate that we fight because we differ in our level of understanding proffer never give up tupo tayari kujifunza
@mkomatembo6 жыл бұрын
Safi sana Profesor Kabudi Waziri wa Sheria Wafungue macho wailewe Sheria na Unaifahamu Kinagaubaga. Upo Vizuri. Sana. Hata Wabunge Wa Upinzani Wanakuitika kwa Heshima na Adabu.
@romanstephen41016 жыл бұрын
Huyu Prof. Namkubali sana, ni moja kati ya watu muhimu sana kwa taifa
@kalingamazda3 жыл бұрын
profeosor wa majalalani
@mussasadick770 Жыл бұрын
Wanasheria wengi watanzania hawaijui Sheria bali wengi ni madalali
@MoshiMganza Жыл бұрын
kalingamazdap😊
@MoshiMganza Жыл бұрын
P
@philipobenson14105 жыл бұрын
Kabudi ni jembe sana, nachompenda huyu mzee ni kwamba huwa anatoa elimu kwanza ndo naenda kwenye hoja.
@newbornhaule16356 жыл бұрын
Nimejiona niko darasani uko vizuri mimi nikati ya watu nisiopenda wanaoongea kwa sauti bali HOJA na WELEDI Mzee uko vizuri....
@nyamwizajoseph62415 жыл бұрын
Newborn Haule asate
@augustinomariano17647 жыл бұрын
hapa ndipo unapojua kuna wazee wengine wapo mle bungeni wakubwa miili tuu, yani vitu muhimu vinaongelewa na kutolewa elimu bado WANABEZA yani kuna wamama wanapiga tu kelele hapa ndipo unapojua kuna waheshimiwa wengine their level of appreciation of issues is DIMINISHING...
@emanuelmlowe68546 жыл бұрын
augustino Mariano yuko vizuri sana
@emanuelmlowe68546 жыл бұрын
augustino Mariano mimama mingine inapiga kelele kama wako bar ya mbege
@nyabittanervar13156 жыл бұрын
Ni kati ya Mawaziri bora wa Sheria waliowahi tokea Tanzania''' wengi wanasoma sharia ila kupambanua wengi hawewezi'''''
@margarethsolomon98237 жыл бұрын
Wanadhani kubaghazana ndio kushinda hoja au kuonekana kuwa umeongea. Ahsante sana Pro. Palamagamba. Longalonga za hovyo zinaweza kupungua na hawa watu kuheshimiana.
@isaacbhudoma87504 жыл бұрын
The living encyclopedia 😘😘
@hasionshekiondo66804 жыл бұрын
prof kabud ni mtu mwenye hekma zake na mtu anaefanya kitu ambacho anakitambua ila kuna wengine humoo acha tukae kimya wanakaz ya kushangilia na kupiga makosi alafu ni 0 tu
@mikelmasanja25225 жыл бұрын
Halima mdee kama namuona vile alivyonywea kisura kimekuwa kidogo kama piritoni huyo ndiye professor wa Sheria na mwalimu wako tulia ujifunze usiwe unapiga kelele tu.
@mariethaawaki30087 жыл бұрын
sina la kuongeza,heshima kwako mzee tunakuombea na uendelee kutuelimisha
@ConrardSondas4 жыл бұрын
Profesa uko vizuri
@benedictmrisho18004 ай бұрын
Kama ibara ya 8 ya katiba ya URT inaheshimiwa watekelezewe matakwa ya katiba ya umma ( katiba watakayoshiriki wote kuitunga na kuipitisha kwa umoja wao). Maneno huumba. Tuombe Mungu Mh Prof uyaone ungali hai.
@andreajeremia4365 жыл бұрын
Yaani Prof Kabudi ni kichwa kweli kweli,ni mtu mwenye historia ya nchi hii ya ndani sana,na anayethubutu kuisema
@godifalsafa69564 жыл бұрын
Huyu professor huwa anaongea kwa KUWAFUNDISHA HAKIKA NI PROFESSOR 🔥🔥🔥🔥
@ibrahimgwasma2353 жыл бұрын
Hivi Ni vichwa vichache vilivobaki Mungu akulinde vema
@josephkaimenyi46133 ай бұрын
Uyu proffesor anafaa akue Rais wa tanzania
@sabihimngetuka69716 жыл бұрын
Ukiona kimya vitu vinaingia
@allymllanzi42456 жыл бұрын
Natamani siku moja nikutane na pro kabudi
@onesmojustice23483 жыл бұрын
Nimerudi hapa baada ya kuona huyu ndo anafaa kuwa makamu wa raisi Tanzania baada ya jpm kulala.
@nicholasmaina77754 жыл бұрын
Tanzania you have a great Man very smart and a teacher he is a true leader
@deogratiuswilson89947 жыл бұрын
Tunahitaji watu kama hawa bungeni, sio vinginevyo.
@majurakiboga34307 жыл бұрын
Deogratius Wilson broo inabid aserch wengine tena ktk profession zingne ili kila wizara kuwe na kichwa
@ahmedjamal50847 жыл бұрын
Prf nakuheshim saaaaaaaana hii hotuba nairudia nakurudia umetoa elimu kubwa mno
@mashakamarikomalyante2436 жыл бұрын
huyu kweli ni msomi
@richifrenki1355 жыл бұрын
Mzeeee uko safiiiiiiii wape mawee wakarambaa hoo
@samwelmaburi35225 жыл бұрын
Kwa huyu jamaa tu hata lisu akasome yaan ni zero brain.!!
@josephgomalo415 жыл бұрын
Wabunge vilaza wanatumia madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!
@nelibaba7 жыл бұрын
Tanzania inaelekea mahala pazuri
@petrolukumay66276 жыл бұрын
hongera mzee
@mohammedmdangwe20565 жыл бұрын
huyu ni rais ajae
@sudidoto97593 жыл бұрын
Wenye akili wote wanaomkubali huyu jamaa like apo jmn
@lameckgunze63763 жыл бұрын
Msidhani Raisi ni binadamu mmoja anayetembea la hasha ! Raisi ni Taasisi imekaa vyema mno
@chia99637 жыл бұрын
hiki nacho nikichwa
@majurakiboga34307 жыл бұрын
Chia sana
@noelchao2923 жыл бұрын
Tena kichwa kikubwa sanaaa
@mariethaawaki30087 жыл бұрын
uprofesor wako ni wa halali.
@josephjosephat78265 жыл бұрын
Hahahahaaaaaaaaaaa !!!!!!!
@tonynuru4354 жыл бұрын
NOW NDO NIMEPATA JIBU KWANN MUUNDO WA BENDERA YETU YA TAIFA INAFANANA NA MUUNDO WA NCHI YA TRINIDAD AND TOBAGO 🇹🇹🇹🇹 !!
@issayamshana37503 жыл бұрын
Samahan tutafutane 0744412614
@barakangogo73917 жыл бұрын
paramagamba anatisha kuna wabunge wanasheria walikuwa wnapotosha uma
@josephgomalo415 жыл бұрын
Sababu ya madesa ya pale kwenye mdigirii.. wanakopi tu..!
@bobwanjala14014 жыл бұрын
Profesa Kabudi Palamagamba ni msomi na ana ustadi ya hali ya juu. Umakinifu wake haulinganishwi na yeyote. Mzee amekalia kigoda, mtii. Kongole kwako guru Kabudi. New York, Marekani tuko nawe mwalimu.
@ufunuoeliya78685 жыл бұрын
jamaaa Kichwa duu
@nkyabosi48274 жыл бұрын
Yani mpaka spika anatabasamu hi ni lecture kweli
@jumakatema63485 жыл бұрын
Rais ni tasisi. huyu mtu sio wa kawaida
@benbranco36884 жыл бұрын
akiongeaga huyu hakuna cha taarifa ha ha ha ha
@lupakisyomsese82106 жыл бұрын
Baba kiukweli unaimudu nafasi uliyopewa
@sdawalokole94897 жыл бұрын
kubaghazana.........kabudi oyeeeeeeee
@majurakiboga34307 жыл бұрын
Tigahwa Mugongo lissu na wanasheria uchwara vichwa chini
@jumadema76465 жыл бұрын
Wape shule hao jamaa zetu!
@bobjulieoneheartband5 жыл бұрын
Mungu Akubariki kwa somo ulilosaidia Wabunge siku hii, Mimi nimekuwa muumini wa kukufuatilia speech zako I guess utakujakuwa zaidi ya Msaada kwa nchi yetu, Heshima kwako Kiongozi.
@samwelmaburi35225 жыл бұрын
Kwa huyu jamaa tu hat lisu akasome.
@frankmusa8089 ай бұрын
Taarifa mweshimiwa
@florafilbert98175 жыл бұрын
Ndo raha ya kuwa na wasomi
@erickchitumbi13085 жыл бұрын
Kabudi unajua
@ReubenRaymond-zh4ywАй бұрын
Sema Baba, Prof Palamagamba. Mm ninafahamu kuwa kila taaluma in principles zake na code of conducts. Bungeni ni Mahali makini sana, ni LAZIMA waheshimiwa waongee kwa MANTIKI ya UHESHIMIWA.
@ReubenRaymond-zh4ywАй бұрын
Longalonga yani sema sote tuelewe vema. Wengi wamezoea kuongea kwa MIHEMKO badala ya HOJA , na hoja LAZIMA ziwe na FACTS na SMART.
@hassanhasano62016 жыл бұрын
Safi professor wape elimu waelewe
@phillipianboy90694 жыл бұрын
Kutoka kenya mpaka bungeni nimetokea kumkubali sana huyu prof hatare
@kagamedimaria47873 жыл бұрын
Jamaa anatosha kua naibu rais wa tz
@emanueljoshua93935 жыл бұрын
Aaah muzee wewe material
@shedeck89743 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua aisee...
@paulotarimo2063 жыл бұрын
N kiongozi mzuri Sana
@samwelmaburi35225 жыл бұрын
Tanzania one kabudi bigup sanaa!!!.
@levinekalikuela49164 жыл бұрын
Thank you sooo much Professor. You are at the point. What is lacking in the country is poor education and Spirit of humour among the people. Educate and Train them. We shall be transformed. Congratulations for your brain.
@abdulkarimurassa35485 жыл бұрын
Huyu jamaa yuko makini sana, uprofessa wake ni wa uhakika
Profesa Kabudi nijembe jingine la watanzania,tumtumie vizuri
@isaacmboya17193 жыл бұрын
Asante baba unastahil heshima kumbe shida, ni uelewa wetu nikiwemo na mimi I appreciate that we fight because we differ in the Level of understanding
@kamejathegreat6896 жыл бұрын
aiseee,,waziri kabudi uko makini, vizuri sana
@harunilibangite72053 жыл бұрын
Sasa waziri wa mambo ya nje ni nan kama huyu ni wa katiba na sheria tena !!!??
@fkilawa2 жыл бұрын
Unajua saaana una akili saaana lakini unajua kuhadithisia saaana
@mako3317 жыл бұрын
tuna wabunge wengi hawana uelewa kabisa wa katiba, safi Jpm kutuletea wasomi humu, sio porojo
@redmondmulilo1746 жыл бұрын
iyo nafasi ya waziri mku angegombea ichocheo cha uwaziri mku ndani ya bunge kama sipa alafu awemtendaji kweli wa serikali. make mda wowote anafukuzwa kazi na rais. alakini sipika wa bunge hawezi kufukuzwa kazi na rais
@benedictmrisho18004 ай бұрын
Pengine Afrika ndio viongozi wamebaki na wapambe wanajeshi waliovaa magwanda!
@benedictmrisho18004 ай бұрын
"Ibara ya 8 ya katiba ya URT wananchi ndio mamlaka ya nchi sio sisi wah wabunge"
@salumtalib23443 жыл бұрын
Unaongea English hill binge in lawasuwahili usijione umesoma we ongea lugha yako usichanganye lungs mbili wakati moja ones lugha moja iwe English au kiswahili mm nnakwita mzee was nasari wewe
@nkyabosi48274 жыл бұрын
Damn he’s a true professor
@MohdAbdallah-w8l7 күн бұрын
Kuanzia Leo huyu ni rais wa tz nimemchagua staki ubishi mwamba Yuko sawa
@danielkipeta2355 Жыл бұрын
Hiyo katiba nihovyo sana kwanza imepitwa nawakati kwasasa haitufai kabisa
@mgosimungkwanzmsambaa24922 жыл бұрын
Yan huyu plo nikichwa magufuli uliona mbali san baba wet kwakuwatambua wat kama kabudi
@sudidoto97593 жыл бұрын
Vp mbn siskii hoja pemben uko mdee vp ingia mziki wa jamaa uyo Hahahahaha
@danielonline31814 жыл бұрын
Namwona tundulusi anavyo ilivyo ikubali hiyo spich
@benochengele22964 жыл бұрын
You were there When the Law was Law and when the President was President!
@shabanijuma20853 жыл бұрын
Yani Mh Kabudi anapoongea Huwa napata Nondo na historia ya nchi yangu watoto wa Mh Kabudi Wana Raha sana ya kujua nchi yao na nahisi Kama watoto wa Mh Kabudi wangekuwa wapinzani Kwa Nondo za baba yao CCM wangepata shida.
@ntegrity277 Жыл бұрын
Darasa la saba ni walewale wanataka professor anyamaze ili wapige makofi
@margarethsolomon98237 жыл бұрын
Serkali ishauriwe, isimamiwe na wabunge hapo bungeni kwa kupitia waziri mkuu na baraza la mawaziri na si vinginevyo. Madaraka ya Rais yaheshimiwe. Acheni kubaghazana, tusubiri kura toka kwa wananchi zituingize Ikulu. Tusitoane macho Ona CUF sasa wanavunjana miguu, tunaenda wapi jamani!!!!!!!!??????
@charlsmwamlima67674 жыл бұрын
Hahaa hahahaa, wabunge wametoa tu macho historia hawaijui, terminologies za mzee ziko sawa sawa kwa kwel kama ndio degree za kuunga unga na vyeti feki hapo unaachwa solemba
@benedictmrisho18004 ай бұрын
Sikuhizi hata mwenyekuti wa kijiji anakuwa na mpambe!
@romeraphael64725 жыл бұрын
Naonaga unaongea points sana sijui ni nini adi naisi unazungumza ukwel mm sio mwana CCM
@zebedayophilimon78343 жыл бұрын
Kumbe jamani kabudi ni jembe Kia's hiki 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
@eliusjohn32422 жыл бұрын
Nimemsikia msukuma anapatikana😅😅😀
@benedictmrisho18004 ай бұрын
"Don't dare me we spoke when the law was law and the president was the president ( Mwl Julius Nyerere)."
@sundayharris85494 жыл бұрын
tulieni mfundishwe bure... maana yake wengi hampo vizuri kisheria.
@busegamediatanzania5 жыл бұрын
Embu sema Palamagamba Kabudi
@franktimothkisimbo53544 жыл бұрын
Daah nondo nzuur saan hasa kwa walimu wa uraia,civics na general study
@jacoblaiser76345 жыл бұрын
Heshima kwako Prof. Unastahili nafasi hiyo uliyonayo. Mungu akupiganie
@nuhubalandya91646 жыл бұрын
Mzee uko vzr sana Leo nimekuelewa.
@ConfusedDaisies-rb57 ай бұрын
Safi sana prof
@vstvst31353 жыл бұрын
Kabudi for president.
@BLESSblessing14 ай бұрын
Kwanini wanamuacha nje huyu mtu
@michaelmathew83095 жыл бұрын
Umenifundisha kitu pro.Kabudi
@patrickmadiwa38455 жыл бұрын
Your level of appreciation of issues is dimished
@atukuzweluhanga74015 жыл бұрын
Hao ndo wazee wenye busara
@bellutbellut30493 жыл бұрын
Prof Kabudi anafaa kuwa makamu wa Rais wa Tz .
@thefeedstv97624 жыл бұрын
we spoke when the law was low and when the president was president
@richardkamenya32287 жыл бұрын
Ili kuweza kufukikua hatua yoyote ile ya mafanikio ni muhimu kufahamu kanuni au sheria za asili zinazotawala matokeo unayotarajia na kufahamu historian ya jambo lolote ni muhumili mkuu was kujenga hoja zenye mashiko tujenge tabia yakusoma ili kujenga hoja zenye mashiko Big up My Role Model Pro Kabudi
@shalomizrael6673 жыл бұрын
Sijuwi kwa nini JPM hakukuweka wewe kuwa makamu wa Rais 😔Sasa hivi tusingekuwa na majonzi endelevu😢Chukuwa fomu hapo mbele 🙏