No video

TAZAMA: Sauti ya Zuchu ilivyowaliza na kuwafariji waombolezaji Uwanja wa Uhuru

  Рет қаралды 1,239,642

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Moja ya wimbo ambao hayati John Magufuli alizipenda sana ni "Tanzania ya Leo" ulioimbwa na msanii Zuchu.
Na leo hii wimbo huo umefanya kazi ya kuwaliwaza na kuwafariji watanzania kufuatia msiba wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli.
Tazama hali ilivyokuwa wakati huo.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 637
@yusuphabonike1050
@yusuphabonike1050 2 ай бұрын
Nakukumbuka sana Legend Magufuli Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi na akuangazie mwanga wa Milele huko uliko.2024 hii comment.
@jayjay4313
@jayjay4313 3 жыл бұрын
Jua letu limeteremka mama. Lo, usiku upite siku mpya lichomoze tena majonzi yageuke kuwa furaha ya kumbu kumbu kwetu daima na maisha yasonge mbele zaidi. 🙏💐💐
@okothomondi
@okothomondi 2 жыл бұрын
Can't forget this day, found me in a Agan Hospital battling Covid-19. When I watch this funeral procession, the picture of me struggling for breath comes to mind. Rest in peace Magufuli, it isn't only Tanzanians that love you, some of us in Kenya were also your fan. May you continue resting in peace ☮️ Pombe.
@zenasambe3626
@zenasambe3626 2 жыл бұрын
And am here today again😭and still can't hold back my tears😭😭😭😭continue resting LEGEND,,YOU ARE INDEED MISSED🙏
@issahinte2556
@issahinte2556 2 жыл бұрын
😢
@shadymbuki87
@shadymbuki87 2 жыл бұрын
😭😭
@Bitlontravels555
@Bitlontravels555 3 жыл бұрын
Wow! Freedom Song. Njia bora zaidi ya kumuaga jasiri wa Afrika! #RIPMagufuli thank you Tanzania!
@taturajabu5977
@taturajabu5977 2 жыл бұрын
Tutamkumbuka sana jembe la chato
@neemajulius1256
@neemajulius1256 3 жыл бұрын
Baba yetu hatutakuja kukusahau maisha yetu yote umetuliza Sana atakayetufuta machozi yetu ni Mungu mwenyewe
@missmac5204
@missmac5204 3 жыл бұрын
Rais wa Tanzania was loved by many. The pictures spreading on social media are evidence of this pure-love for a president. He will live to be forever a legend. His fear for God, his good heart, his good deeds and his development for his country Tanzania🇹🇿 will always be remembered many many years to come. Continue resting in peace His Excellency Mr. John Pombe Magufuli.
@deborahmwita9278
@deborahmwita9278 3 жыл бұрын
We loved him so much
@mrinjamwanga1423
@mrinjamwanga1423 3 жыл бұрын
Your heart is beautiful like the way you look, thank you for ur kindness and love,
@beautybeauty7220
@beautybeauty7220 3 жыл бұрын
What a loving soul
@elizabethdouglas5265
@elizabethdouglas5265 3 жыл бұрын
@@mrinjamwanga1423 Renee
@juliansjuicebarmalindi1156
@juliansjuicebarmalindi1156 2 жыл бұрын
Like Kenya raila the way we Kenyans loves him
@zakyahya4645
@zakyahya4645 3 жыл бұрын
Hii nyimbo inafuraisha na leo tunaikumbuka kwa huzuni 😭😭😭akuna namna kwakwel Mungu mpokee baba etu
@idriskenna199
@idriskenna199 3 жыл бұрын
What a great president de son and hero of Africa love you from Kenye we gonna miss you 😭😭😭
@simonizakayosima60
@simonizakayosima60 3 жыл бұрын
Ygyy6yy
@simonizakayosima60
@simonizakayosima60 3 жыл бұрын
Y
@simonizakayosima60
@simonizakayosima60 3 жыл бұрын
Yy6yyyyy
@simonizakayosima60
@simonizakayosima60 3 жыл бұрын
6yyyy
@lauraabass1077
@lauraabass1077 3 жыл бұрын
Hii ni moja ya nyimbo ambazo Hayati Komando Magufuli aliipenda mno, inaniuma namkumbuka nikiiskia. Oh will allways love you baba mtetezi wa wanyonge mpenda maendeleo. Umeiacha Tanzania yako na sisi wanao, Rest in peace kipenz chetu 🙏
@mwanashabakari6499
@mwanashabakari6499 3 жыл бұрын
Pole ndugu zetu Wa Tanzania mungu awape nguvu wakati huu wa huzuni.grt lov from kenya
@petermusasia2232
@petermusasia2232 3 жыл бұрын
I've just shed tears after watching this. The song is so nice. Go well Magufuli. The connection you had with your people was so strong. May God Receive you in heaven and rest in peace. Tanzania and East Africa will Miss you.
@mamanillan5417
@mamanillan5417 3 жыл бұрын
Nenda babaaa 😭😭😭😭🙏🙏🙏 umeumaliza mwendooo salamaaa watanzaniaaaa tunaliaaaaa 😭😭😭🙏🙏🙏 punzikaaa kwa amaniii jemedali wetu
@ahmedmohammoha5729
@ahmedmohammoha5729 3 жыл бұрын
From Kenya kifo chake kimeniguza sana RIP balii nitakukbuka Sana
@ghinnerbobiholicnalutaaya2644
@ghinnerbobiholicnalutaaya2644 3 жыл бұрын
A good heart has stopped beating, a good soul ascended to heaven we part wth our beloved in pain 😭😭rest in internal piece ur was so different, Humble😭😭may Allah judge ur soul with mercy 🙏🙏🙏
@agesag.m2476
@agesag.m2476 3 жыл бұрын
What a wonderful send-off, this was indeed a great Leader and a Man of the People. Rest in Peace Mr. President.....Condolences from Kenya.
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 3 жыл бұрын
Najua tu, Rais wetu wamemuua, Ila sawa tu, pumzika kwa Amani Baba, your still my president in ❤️ forever & ever. Love you Sana Magufuli.
@lynelee5846
@lynelee5846 3 жыл бұрын
Jua limeteremka daah..! 😭😭😭 Maisha ya mwanadamu ni fumbo 🇰🇪🇰🇪
@rosalinaambayisi1808
@rosalinaambayisi1808 3 жыл бұрын
Proud of your leadership style you're a role model. Rest in peace Dr Magufuli
@vicentrogers9465
@vicentrogers9465 2 жыл бұрын
Ndo Hivyo ndg
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
Mbele Yake nyuma yetu MW/MUNGU amlaze mahali pema peponi 🙏😭🇹🇿💔
@anastaziamoses4100
@anastaziamoses4100 2 жыл бұрын
Nimekuja tena apa leo mwaka mpya bila wewe ila moyo unauma sana 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu nisamehe mimi kama kumlilia mtu ni zambi nashindwa kujizuia kwa huyu baba Magufuli 😭😭😭😭
@ezeedi871
@ezeedi871 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@user-he3me7co9y
@user-he3me7co9y 10 ай бұрын
Kabisa yaani 😭😭😭 naangalia 2023/10/10
@mariampaulsen8809
@mariampaulsen8809 3 жыл бұрын
kai asante baba yetu Magufuri kwakutuachia mama so proud mwana mtanzania
@victoriouslife1688
@victoriouslife1688 3 жыл бұрын
Poleni sana wa Tanzanians wa Ndugu zetu, tumewashika migongoni nyote, tumemutakia pziko lema , tunaamini kwamba ataendelea kuwa kielelezo kizuli kwa kila mtu, na msing ambae amewujenga musihalibu. Mungu ako upande wenyo pia ako tyali kuwaponya kidonda cha kifo cake msihogope wa pendwa.
@lindagirl9826
@lindagirl9826 3 жыл бұрын
God please Comfort Tanzanian people 😭😭😭 I’m Ugandan live in USA but I can’t stop crying this is to much 😭😭😭 I know it can’t happen but I wish God can bring this man back 😭😭Rip the best president in Africa 🙏
@simonpure109
@simonpure109 3 жыл бұрын
I cried for six straight days!!! I called sick...
@Swahili14
@Swahili14 3 жыл бұрын
*THANK YOU ZUCHU FOR THIS SONG IT WIPED OUT OUR TEARS* 😭💔🙏
@anganilekajigilikajigili2641
@anganilekajigilikajigili2641 3 жыл бұрын
Wimbo naukubali sana had sio pw I love you Zuchu 😀👍👍👍💓❤❤❤
@jaxxjoo1973
@jaxxjoo1973 3 жыл бұрын
Respect zuchu I was cry a lot bt 4 ur song !!
@Wakio231
@Wakio231 3 жыл бұрын
Baba Magufuli forever in our hearts ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇹🇿we will continue to love you even though you are not here with us.
@frdausmwawughanga9047
@frdausmwawughanga9047 3 жыл бұрын
Jipen faraja aendako apokelewe kama mlivo mpenda Amin insha'Allah
@taturajabu5977
@taturajabu5977 2 жыл бұрын
Kwani wewe ulikuwa hajampenda?
@otienojared8511
@otienojared8511 2 жыл бұрын
Rest easy Rais John Pombe Magufuli we as Kenyan politicians we will remember you
@mrishogange4276
@mrishogange4276 3 жыл бұрын
Sijawah kumwaga choz kwa mtu ambaye sio ndugu yang,ila Magu ameniliza wallah
@mohameeddoaan2296
@mohameeddoaan2296 3 жыл бұрын
Mimi pia mpaka mwili umeniisha nguvu
@ndinagweandendekisye3722
@ndinagweandendekisye3722 3 жыл бұрын
We acha ndugu 😭😭😭
@tistarmalafyale1626
@tistarmalafyale1626 3 жыл бұрын
Amin
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
wala usiseme ndugu mm adi kichwa kinaniuma
@oman7710
@oman7710 3 жыл бұрын
Tumelia wengi sana hakika
@venasasende1474
@venasasende1474 3 жыл бұрын
Wakwanza ku comment from 🇿🇦🇨🇩🇿🇦
@jaxxjoo1973
@jaxxjoo1973 3 жыл бұрын
Kesho limetulia Sana Ila zuchu anatukumbusha tusilie tupambane as magu
@patiencenimmoh3956
@patiencenimmoh3956 3 жыл бұрын
Baba ulale salama na utuombee kwa Mwenyezi Mungu 😭😭😭😭😭
@shaqirhassan2352
@shaqirhassan2352 3 жыл бұрын
Hadi kamanda mwanajeshi kalia sio mchezo daaah so sad watanzania tupendane ameacha alama kubwa sana tumuenzi kwa utendaji mzur wa kazi
@millipeter7290
@millipeter7290 3 жыл бұрын
I feel so sorry for Tanzania citizens,, they have lost a great hero,,, may Almighty God protect and see them through... It will be a tough road to walk,, but through by the power of God all will be well with them...
@ummohamed4404
@ummohamed4404 3 жыл бұрын
Jamani hata cc waoman tunalia saana .yaani huyu Rais Mashalhaa.ni mfano wa kuigwa.nipo chini ya Tv kumuaga.lkn cwezi uvumilivu ni kilio tu.yaani haijanipita cku mimi bila kumuangalia Huyu Rais.kwakweli alikuwa ni mtu mwema.Mungu amuweke mahala pema.poleni wa Tanzania woote.
@rehemabakali494
@rehemabakali494 3 жыл бұрын
Acha tu ndugu yangu sijui km atatokea km hyu jmn
@slightnesssalim2602
@slightnesssalim2602 3 жыл бұрын
Inauma sana
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 3 жыл бұрын
Yani nime lia munooo
@eunicewairimu5015
@eunicewairimu5015 3 жыл бұрын
Safiri salama magufuli the most loved leader by many in East Africa and at large
@paulodaki9015
@paulodaki9015 3 жыл бұрын
Hongera jwtz kwa kutoruhusu geneza la rais wetu isiguswe na police hapo nomewakibali wanchi na jeshi lao la wananchi
@peterrichard9769
@peterrichard9769 3 жыл бұрын
Magufuli was people's president, humble, God fearing person, he was the saviour in his nation, I truly don't know if Tanzania, is able to get another leader like Magufuli, Why am saying this, numerous people are after money, they don't love their people, they get bad influence from External, overseas,which can devastate the economy, but Magufuli, was given a deeper understanding and insight on how to manage his people.
@jenariomunene376
@jenariomunene376 3 жыл бұрын
Huu wimbo umefanya nimwage machozi nikikumbuka Magufuli hatutawahi muona tena duniani. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
@floraladislaus1142
@floraladislaus1142 2 жыл бұрын
Mungu ndo anajua uchungu walionao wananchi🤔 Sasa hivi ni mwendo wa😷
@shammyngude5060
@shammyngude5060 3 жыл бұрын
Zuchu asante kwa kufuta machozi ya Watanzania
@kyazzekeith8195
@kyazzekeith8195 3 жыл бұрын
Magufuli was so human, and automatically with all these people mourning for him he gets a high rank in heaven, Museveni can you imagine your funeral, Rest in Peace JOHN POMBE MAGUFULI
@ericketer3168
@ericketer3168 3 жыл бұрын
Did you just have to tag along Museveni???
@mr_edwin_barista
@mr_edwin_barista 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣museveni
@baloz8974
@baloz8974 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 u have made my day .
@l.comics6348
@l.comics6348 3 жыл бұрын
By the way he didn't attend the service in Dodoma. Where was he coz I have not heard from him.
@rezegerezege691
@rezegerezege691 2 жыл бұрын
😭😭😭😭 miss You my Daddy 24/12/2021 kesho ningekuona kwenye Hbr yaani. R.I.P DADDY.😭😭😭
@januaryexpilius5999
@januaryexpilius5999 Жыл бұрын
Yani hatutapataga laisi Kama huyuu watanzania wenzanguu
@herrymollel7445
@herrymollel7445 2 жыл бұрын
Legend never die but live forever ❤
@farmplanners
@farmplanners 3 жыл бұрын
so sad the leaders wealthy at heart in Africa always leave as soon .i cant hold my tears each time i watch this R.I.P Dr ...you were loved by all of us #kenyanwhoadmired Tzprezzo
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 3 жыл бұрын
WE HAVE LOST THE LEGEND........ BUT GOD ALWAYS KNOWS BETTER
@netti6556
@netti6556 3 жыл бұрын
Sending love to beautiful mighty Tanzania ❤️ stay strong, I know you are
@mbatatakiazi1678
@mbatatakiazi1678 3 жыл бұрын
Real This song restores the happiness among us. RIP Nghosha
@ikrissaidrissa8613
@ikrissaidrissa8613 3 жыл бұрын
kidogo ata nacheza leo thenx zuchu 😭😭😥👏👏👏🕊️
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
mhhhh kujipa faraja tu ila dah ni mtihan
@zakiazionheart2370
@zakiazionheart2370 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭💔💔💔💔
@akhuisaif3061
@akhuisaif3061 3 жыл бұрын
Daah 😭😭mioyo yaumia lakini kikubwa ni kuzidi kumoembea zaidi makazi mema kama aliko acha.. Gonga like twende pamoja
@khamisikitumbo1671
@khamisikitumbo1671 3 жыл бұрын
Kama muislam hakuna ruhusa ya kumuombea asiyekua muislam baada ya kufa haifai ni haram,.Allah anasema kumwambia mtume :sawa sawa umewaombea au huku waombea msamaha Allah hato wasamehe.
@junaidybwanamkuu3175
@junaidybwanamkuu3175 3 жыл бұрын
Yes
@akhuisaif3061
@akhuisaif3061 3 жыл бұрын
@@junaidybwanamkuu3175 ❤️🇹🇿🤲🙏
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
shukran kwa kutukumbusha
@naomicharles5444
@naomicharles5444 Жыл бұрын
This memory will never get away from my mind, em glad that I was one of the ppl who go ther and giv our last respect to our one and only President,,,we dearly miss him,,we love him until the end of us,, THANK YOU MAGUFURI
@hakiiki1767
@hakiiki1767 3 жыл бұрын
The world really lost Magufuli Allah rest his soul in internal peace Ameen
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Duuuuuh aisee yahni dunia hii kuna watu wamegusa mioyo ya watu kwa asilimia moja
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 жыл бұрын
Nitakukumbuka daima anko magufuli watanzania tulokupenda sana na tutaendelea kukupenda na kukuenzi R.I.P jpm😍
@timboxlee919
@timboxlee919 3 жыл бұрын
Kwa haya yanayofanyika hakika wewe uliuwawa kwa masilahi ya mafisadi,na watanzania wanyonge
@dianamarua2632
@dianamarua2632 2 жыл бұрын
Still crying ooh my GID such a good man continue resting in peace
@tariquexplore
@tariquexplore 3 жыл бұрын
Best president in Africa who care his citizens, Gaddafi, magufuli
@doricemichelle3614
@doricemichelle3614 3 жыл бұрын
Imagine huu wimbo mara ya mwisho ulivyopigwauwanjani nayeye alikuwa anaucheza😌#TanzaniayaMagufuli😌
@shanishosho911
@shanishosho911 3 жыл бұрын
Hatari sana yani💔😢
@pitermapolu9865
@pitermapolu9865 3 жыл бұрын
9jjnn
@pitermapolu9865
@pitermapolu9865 3 жыл бұрын
Kjunnnnnjjiii85
@sekelamwangosi3289
@sekelamwangosi3289 3 жыл бұрын
Kifo jaman ni wimbo ambao aliupenda sana maskin dah😭😭😭
@sweetmelody1191
@sweetmelody1191 3 жыл бұрын
Kiukweli imewafariji Mungu aibariki sauti yako zuchu atleast umewavuta machozi
@Swahili14
@Swahili14 3 жыл бұрын
😭😭😭
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
😭😭😭
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
Rais Magufuli hai siku sote kwenye mioyo yetu wa Tz
@rehemahayongo4159
@rehemahayongo4159 3 жыл бұрын
Zuchu uzidi kubarikiwa na sauti🙏🙏
@peragiaisdor6315
@peragiaisdor6315 3 жыл бұрын
Miez 4 😭😭😭😭😭sasa
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ndio hata mimi nakumbuka ilikuwa ukiimba uwo wimbo anafurah anacheza alikuwa anamwambiaga zuchu auimbe. Mtu akipenda nyimbo akiwa hayupo mtu lazima tu utamkumbuka kama baba aliipendaga wimbo Wa daimond Wa ukimuona ule una maneno Mazur Ata mimi na mtoto wa mama mkubwa tulikuwa tunaipenda alipenda pia nyimbo ya mchimba mashimo ya jenifa mgendi yani paka akawa anamoenda jenifa kwaajil ya ile nyimbo ulisema kanisani jenifa atakuja yupo lazi aje utamsikia na mimi nitaenda. Ata mimi nilikuwa naipendaga paka nilinunuwa mkanda ukapoteaga mama mdogo ananunuwa tena mana aliona nyimbo NZUR jenifa shushu na wengine nyimbo zao zinagusa good laki Martha mwaipaja ant yangu alikuwa anayo Mikanda yake
@agastokissatu2667
@agastokissatu2667 2 жыл бұрын
....baba mungu sisi binadamu siku zote ni wakosefu,tusamehe baba yetu..!!
@nellyflo9736
@nellyflo9736 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭💔💔💔💔aki zuchu wetuu na ville baba Magu alikuita kwa jukuaa...😭😭😭
@marymumbua9436
@marymumbua9436 3 жыл бұрын
Sometimes we accept things we cannot change. The day i heard about his death, my day was just bored. I have never been close to Magufuli president but I have been following Tanzania, I am a Kenyan anyway, but I love how Magufuli was good to not only Tanzanians, but also East Africa as well...May his soul find eternal rest
@africamwebaze4941
@africamwebaze4941 3 жыл бұрын
Man am a Ugandan but i also remember when he was in Kenya telling Uhuru that wakule mayindi ya hapahapa
@ivanminja7954
@ivanminja7954 3 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza leo chozi limenitoka, dah......Tumepoteza mtu muhimu sana kwenye Taifa letu na Africa kwa ujumla, RIP John Pombe Magufuli, imani yetu na ushindi upo kwa Mama, na mimi binafsi sina wasiwasi nae kabisaaaa, anaweza kutuvusha hapa tuliposimamia kipindi hiki. Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
@esterester5490
@esterester5490 3 жыл бұрын
Da haina jins
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 3 жыл бұрын
Yasni unaeza kuona km watu wanafurahi kumbe ni nguvu ya maumivu moyoni ,😭😭😭 ni uchungu sana jmni wimbo unafariji jmni japo uchungu sna dah
@dorisimwenda6279
@dorisimwenda6279 3 жыл бұрын
Tanzania ya sasa mama, ya Magufuli mama, inawaka waka mama. Kweli nchi imependeza, viva my beloved president, utaishi milele mioyoni mwa watanzania
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 3 жыл бұрын
Corona ushindwe na ulegee kutu malizia watu mungu akuteketeze utukome waTanzania shetwani yeyuka katika taifa letu.😭😭😭
@ochellahchembe5195
@ochellahchembe5195 3 жыл бұрын
Nani kakuambia mzee kafa kwa Corona? Acha ujinga
@amosjoliga7121
@amosjoliga7121 2 жыл бұрын
Duuu Pumzika John Pumzika John Pumzika John,Amina I'm watching 19.03.2022
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 3 жыл бұрын
Dah hadi askari wanalia hki ni maumivu mkli hasa tukikumbuka aliyoyafanya Baba yetu.Mungu akupokee mbinguni Kipenzi chetu
@hadijasobo3695
@hadijasobo3695 3 жыл бұрын
Yani we acha tu
@bahatimasinga2987
@bahatimasinga2987 2 жыл бұрын
I'll never forget my president Magufuli through this Zuchu's song
@johnbahati478
@johnbahati478 2 жыл бұрын
One year now without you. Be blessed Dad
@johnbahati478
@johnbahati478 Жыл бұрын
Two years since you left us, continue resting in Peace Daddy.
@sadikiclaude7917
@sadikiclaude7917 3 жыл бұрын
Condolences to my neighbors Tanzania 🇹🇿
@glorymushi6507
@glorymushi6507 Жыл бұрын
🇹🇿🙏
@bobbiegatimu7124
@bobbiegatimu7124 3 жыл бұрын
Poleni sana sana Tanzania
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 nenda baba daa jamani MUNGU muangazie mwanga wa kaburi muondoshee adhabu za kaburi muweke mahali panapostahiki 😭😭😭😭😭😭😭😭
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 жыл бұрын
Pumzika kwa AMANI shujaa Wetu 😭😭😭😭
@annahulilo6719
@annahulilo6719 Жыл бұрын
Mmmh...🤔 Un4gotable bitter moment😭 Glory to You Lord God🙏
@alexkibwana7587
@alexkibwana7587 3 жыл бұрын
Jamani Tanzania yetu 😘
@djrichsingelifreva8245
@djrichsingelifreva8245 3 жыл бұрын
Toka juzi nilikuwa siamini ila leo ndo nimeamini Jasiri muongoza njia ametangulia mbele za Haki kwakweli nimelia na sijajua Kama nitanyamaza maana nikikumbuka tu matendo ya Magufuli kwa wananchi wake nabaki nalia tu 😥😥😥😥
@jacksonkanzira9789
@jacksonkanzira9789 3 жыл бұрын
Haupo mwenyewe kaka. Pole sana... Hata mimi nimelia sana
@felistamwashibanda7764
@felistamwashibanda7764 Жыл бұрын
Tunalia wengi mm ni mwaka sasa na miez Bado nalia tu, 😭😭😭😭😭😭
@christinapeterntibagiligwa2556
@christinapeterntibagiligwa2556 3 жыл бұрын
Umejua kuniliza baba 😭😭😭amka Basi useme kitu,amka uone tunavyolia Baba, nimekumiss Sana Baba 😭😭😭😭😭😭😭😭😭siku zote hizi haujara haujanywa maji eeh mungu ninusulu namaumivu haya siwez peke ang bila faraja yko 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@hadijaseboha5188
@hadijaseboha5188 3 жыл бұрын
Pole Sana ndugu tuzidi kumuombea rais wetu apumzike kwa amani japo itakua ngumu kumsahau kwa aliyotutendea
@elizabethkassoga493
@elizabethkassoga493 3 жыл бұрын
Pole Christina
@christinapeterntibagiligwa2556
@christinapeterntibagiligwa2556 3 жыл бұрын
@@elizabethkassoga493 Asante my dear,tuombeane kwakipind hik kigum 😭😭😭😭
@christinapeterntibagiligwa2556
@christinapeterntibagiligwa2556 3 жыл бұрын
@@hadijaseboha5188 Asante mamii pore na wewe kwakuondokewa namtetezi wetu 😭😭😭😭😭
@raheliamosi9531
@raheliamosi9531 3 жыл бұрын
Nenda salama baba yetu kipenzi! Malaika wa mungu wakupokee !!
@robenapomola2395
@robenapomola2395 3 жыл бұрын
Unaweza kuona mtu anacheza kwa furaha kumbe ni nguvu ya maumivu moyon da😭😭😭
@zuhurambonde1982
@zuhurambonde1982 3 жыл бұрын
Wanajifariji Bila hivo dah tutapoteza wengi baba Maghufuli amejua kutuliza wananchi wake pumzika baba.
@nyororotherock5567
@nyororotherock5567 3 жыл бұрын
Hakika machozi tupu
@estermathias8354
@estermathias8354 3 жыл бұрын
@@zuhurambonde1982 kwel kbs
@francemzaga4045
@francemzaga4045 3 жыл бұрын
J
@mudriqhamidu6031
@mudriqhamidu6031 3 жыл бұрын
Inakubidi ujipe faraja t cz ukikaa na maumivu sn unaxidi jipa showck hunabudi kuwa hvyo
@agustinoctavian5406
@agustinoctavian5406 3 жыл бұрын
Tunashukulu mungu
@gabrielsixtus1718
@gabrielsixtus1718 3 жыл бұрын
African hero one, we will remember your legacy. Rest in Paradise. Sir
@UmmyCathmiry
@UmmyCathmiry Ай бұрын
I miss you baba mungu akupunguzie adhabu ya kabur baba
@bates6274
@bates6274 3 жыл бұрын
Forever in our hearts 💕💕🥰
@esterpantaleo246
@esterpantaleo246 3 жыл бұрын
Daaaa! Huu wimbo uliupenda Magufuli jamn lkn leo hii auuchezi tena daaaa!
@rebeccafeaquee6655
@rebeccafeaquee6655 3 жыл бұрын
My condolences to my Tanzanian brothers and sisters rest in peace Dr John Pombe Magufuli 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@manfredgungah4246
@manfredgungah4246 3 жыл бұрын
Tanzania msiupoteze wasia wa Baba Magufuli hak amelinda iiilinda Sana heshma ya watu wake pema Magufuli panamngojea Mungu iongoze safari yake 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@khadijamohammed9074
@khadijamohammed9074 Жыл бұрын
Yuko mbele ya mahakama ya juu..mahakama isio angalia mali wala nasaba.. mahakama inayo angalia jema 2.. MUNGU tupe mwisho mwema na usitufishe ila tukiwa waislamu.. amiin
@millhamissa7490
@millhamissa7490 2 жыл бұрын
Nenda salama baba yetu mtetez wetu tutakuenz daima
@sirkelvin5415
@sirkelvin5415 3 жыл бұрын
Zuchu trying to bring hope to Tanzanians
@roseadhiambo5914
@roseadhiambo5914 3 жыл бұрын
My heartfelt condolence to all Tanzanian s from kenya
@loicemgambi3383
@loicemgambi3383 3 жыл бұрын
Poleni sana watanzania hakuna wa kulizimba pengo
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 3 жыл бұрын
Haki Baba aliupenda sana huu wimbo mwenyewe kati ya nyimbo za zuchu huu ndo naupenda kliko zote jmnj
@Swahili14
@Swahili14 3 жыл бұрын
Aliimba kwa hisia sana na sauti ya dhahabu so POWERFUL 😭😭😭♥️
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
aliupenda kwa sababu dictator alipenda kusifiwa .
@huntertm1514
@huntertm1514 3 жыл бұрын
@@kiri5807 Asante kwa kuropoka na kuonyesha ... wako
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
@@huntertm1514 alienda huu na ule wa harmo rmx ya ngwangwaru
@sikuzanikhalfan618
@sikuzanikhalfan618 3 жыл бұрын
@@kiri5807 Kuna wanadamu wengine waliletwa hapa Duniani siyo tu kumfuata shetani bali pia pia kumsaidia shetani bila shaka wewe @ Dioanoaye ni mmojawapo. RIP JPM, siku zote utaendelea kubaki kwenye mioyo yetu kwa mengi mazuri uliyotufanyia wa Tanzania.
@allyhamisi6394
@allyhamisi6394 3 жыл бұрын
Mis u more our Real Real Real Real Real PRESIDENT JP Magufuli RIP😭😭😭😭
@norbertlilungulu5018
@norbertlilungulu5018 3 жыл бұрын
Hata kama Iweje but no one like this man ! GOD Forgive him and keep him in peace! We loved him so much and he told us to believe and worship to you GOD! SO RECEIVE HIM Pse!
@samsonrais8599
@samsonrais8599 3 жыл бұрын
In almighty Jehovah we pray
@nancyshigadi2456
@nancyshigadi2456 3 жыл бұрын
@@samsonrais8599 Amen
@edwinmujuni9348
@edwinmujuni9348 3 жыл бұрын
Rip YE Magufuli love from Bundibbugyo Uganda TANZANIA WE ARE SHARING THE LOSS
@mtetemtete9066
@mtetemtete9066 3 жыл бұрын
Daah kwer hayupo tena nawatanzania wake .🇹🇿🇹🇿💘💔💔
@marianakalanzi7178
@marianakalanzi7178 3 жыл бұрын
May his soul rest in eternal Peace, he was a great man
@halimaamos943
@halimaamos943 3 жыл бұрын
Halima Amos ,mungu ampe rehema kazi yke amemaliza magufuli tangulia
@Zamdaification
@Zamdaification 3 жыл бұрын
Dah nimekukumbuka Rais wetu Magufuli ....😥😥
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 86 МЛН
Секрет фокусника! #shorts
00:15
Роман Magic
Рет қаралды 44 МЛН
This Dumbbell Is Impossible To Lift!
01:00
Stokes Twins
Рет қаралды 36 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 37 МЛН
Shughuli nzima ya maziko ya hayati Magufuli
50:37
Azam TV
Рет қаралды 593 М.
HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018
59:24
Azam TV
Рет қаралды 802 М.
MZUKA WA ZUCHU UWANJA WA CCM KIRUMBA, AMCHEZESHA DK MAGUFULI RAGE
6:39
Mwananchi Digital
Рет қаралды 435 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 86 МЛН