Mfalme lala salama from Kenya lakini nlikupenda xna mtetenzi wawanyonge hutawahi sahaolika Africa nzima Mungu umrehemu
@ramadhaniamri34653 жыл бұрын
Wakati unagombea uraisi, uripokua unafanya kampeni urikuta ccm ni mbovu sana pia warikususa baadhi ya viongozi uripita kuomba kura mikoani peke yako na uripopita ccm ikawa juu, magufuri roho yako ipumzike kwa amani, mahari pema peponi AMIN
@purposetowalkwithjesuschri24552 жыл бұрын
We really miss you so much our beloved Dad. Tutamkumbuka daima shujaa wetu
@purposetowalkwithjesuschri24552 жыл бұрын
Oh thank you dia
@rogasianshayo37403 ай бұрын
Magufuli kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania 🇹🇿 RIP 🙏, nakuangalia mzee wangu 3.7.2024 tunaseka uku mzee wangu 😢
@neematweve31502 жыл бұрын
Baba tunakukumbuka Sana. Tunalia Sana kwa ulio tufanyia.tuombee unafuu was maisha kwa mungu.nasi tunakuombea.mungu akupokee
@aisharajimbo67843 жыл бұрын
Inna lilahi wa Ina ilaihi rajiun mungu ailaze Mahali pema peponi roho yake Insha_allah
@khuiii90322 жыл бұрын
Kafiri makazi yKee motoni tuu kwani hujuii ww
@Vuvuzelaz13 жыл бұрын
Mwamba umelala baba Mungu yupo nawe na kama kuna ubaya atakulipia kama alikuita upumzike kwa amani
@shirfadigubike79203 жыл бұрын
Ulikuwa kipenzi cha watu.ukisema unafanya.mungu akuepushe na moto wajehanamu.makazi yako yawe peponi ukutani na mahulilain wa peponi🙏
@gambobakari49782 жыл бұрын
Cna lakuandika zaid ya kukuombea kwa Mungu akupe pepo ktk maisha y huko akhera, naumia sana kw kfo chako.
@wilsonchishomi10832 жыл бұрын
Umetuacha yatima mzee wetu.. Asante kwa mema yote uliyotufanyia.. daima utaishi mioyoni mwetu.. I’m missing you 😞.. may your soul rest in eternal glory.. 🙏🏾
@afrimediake.95683 жыл бұрын
Kiongozi wa kwanza duniani mwenye hekima na msimamo wake dhabiti,, kongole Mzee,, safiri salama,, Nakupenda toka Kenya kakamega
@mayanjajackson35852 жыл бұрын
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Kazi ulio fanya iko myoyoni kweli ushuja ume onyesha hata kosa mtu fulani ata ufwata mfano wako baba 👏🏾👏🏾👏🏾
@kelvinmulengo85552 жыл бұрын
That was man of action those who remains in ccm ni vigeugeu they don't want poor anymore JPM were are you father we miss you papa God send someone to comfort the machinga and the orphans in Tanzanian am Kelvin from l s k Zambia
@redeemed43276 жыл бұрын
Hapa Kazi tu! Asante JPM! Keep the tune, tutaelewa tu ambao vichwa vigumu.
@godwinshoo31013 жыл бұрын
Mwenyenzi Mungu tunakuomba utuandalie mwingine mwenye upeo mpana , juhudi ,uzalendo na siasa za kweli ili aje aendeleze haya yenye manufaa kwa wananchi
@annaswai24343 жыл бұрын
mungu akuweke mahali pema baba yetu magu uku duniani mafisadi wanatunyanyasa wanajua watakula izo hela milele awajui Kama ipo siku nao watakufa
@josephrobert39285 жыл бұрын
hii ndo speech saf ya mkuu wa nch Mungu akubaliki
@rehemaphinias39773 жыл бұрын
Tunakukumbuka jpm, baba raisi wa dunia uliye teuliwa na mungu, mungu alitoa na mungu alitwaaa jina lake lihimidiwe,
@faustienealexi22683 жыл бұрын
Kweli Magufuli alikuwa Raisi wa Dunia tumepoteza jembe kweli kweli
@eliakundanoe44863 жыл бұрын
Salaam zako zenyewe zina hamasa , lala baba tutakukumbuka daima
@bekabakari73943 жыл бұрын
Hata hasomi speech huyu mzee Mungu muweke pema peponi
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Yani nafikili mm peke yangu kumbe wengi tunaye msitajabia baba huyu😭😭😭😭😭 TUMEPOTEZA KICHWA
@dianamahendekamahendeka13443 жыл бұрын
Huyu hakuwa mtu was kawaida alikua kashushwa na mungu daah 😭😭😭😭
@annandaro8 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba tulikupenda sana Mungu amekupenda zaidi
@mansourmkanakuta66413 жыл бұрын
Rip rais wetu wa mda ote hayat magufuli
@fatumagillah23193 жыл бұрын
RIP tutakukumbuka daima Kambarage namba 2
@hatari95912 жыл бұрын
Ulikuwa unanikosha sana mzee wetu. Hata wasipokuenzi kitafa tutakuenzi kwenye mioyo yetu.
@khadejarajab8442 жыл бұрын
Allah akuweke apendapo milele amin
@robsonlotyloy56783 жыл бұрын
Ni maneno ya kiongozi shujaa. Haya yote yanabaki kwenye mioyo yetu daima.
@coffeemuya6183 жыл бұрын
Pumzika kwa amani chumaa Dr John pombe magufuli hakika ww ulikua mtumishi wetu na sio rais wetu
@shebyshababa62423 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@johnhoswad83853 жыл бұрын
Amakweli ulikuwa ukimcha mungu siyokama uliotuachia hatakulitamka jina la mungu Hakuna kwakuwa hofu ya mungu haipo ndani yao hatutafika zaidi yakuyumbishwa na kunyanyaswa
@codermasye37632 жыл бұрын
Wangapi mpaka leo wakitazama video zake wanaisi bado yupo hai gonga like hapa
@filbertluambano41782 жыл бұрын
R.I.P Mwamba
@niokoemahenge43123 жыл бұрын
We mungu ungemsamehe magu amalizie miaka mitano kwanza
@ginustimotheo21482 жыл бұрын
Mimi nazani Tanzania hatuhitaji maendeleo ya nchi bali tunahitaji tudidimizane ila mungu yupo anawaona. Magu wangu ntakueka moyoni milele
@rosetreffert67273 жыл бұрын
Kipenzi cha WATANZANIA REST IN PEACE SHUJAA WETU MAGUFULI 😭😭😭❤💔
@sammanjeka73572 жыл бұрын
Dady we missed you.
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Tanzania,Afrika na,Dunia nzima tumekupoteza, lakini Mwenyezi Mungu hajakupoteza kamwe. Uko mbinguni kama .Masikini Razalo, ukiwatizama adui zako ng'ambo ya pili, yenye hatima mbaya kwao;kama yule tajiri dharimu dhidi ya Masikini Razaro. Tumepoteza sura yako tu,lakini maneno yako ya busara na hekima yanaendelea kutujenga kupitia hotuba zako mbalimbali."RIP our DaDy"
@musicmylife54173 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba.
@t1910j2 жыл бұрын
I miss my president so much! RIP 😞
@alexedward40692 жыл бұрын
Tanzania tulipata Rais. Pumzika milele kwa amani. Mimi mungu akijalia nikiwa Rais ntakua kama wewe
@frankngoloka25892 жыл бұрын
Nchi yetu ingefika mbali sana,tungekuwa nchi ya mfano
@paulnyasta64392 жыл бұрын
Mungu amweke mahala pema peponi
@pendonaomi18253 жыл бұрын
Hata salaam yako tu ilinipa furaha na amani 😢😭😭 JPM ntakulilia daima😪😪😪
@gaburieremanuel67853 жыл бұрын
Gr Post
@gaburieremanuel67853 жыл бұрын
Om
@SteraMisana-us5ov Жыл бұрын
Last in peace fother😭😭😭😭tutakukumbuka daima milele.
@susananyasani65263 жыл бұрын
Hotuba ya Rais Dkt John Pombe Maguli ni yaukweli yenye Siasa na Katiba kama inavyotakia alitimiza Miradi aliyowaahidi Wananchi wongozi wake ni wakipekee Mungu alimchagua kutumikia Watanzania asante Mungu
@basumaadam26863 жыл бұрын
Rip baba Diana tutakukumbuka, yan sichoki kuangalia hotuba zake daima jembe langu ,Mungu aweke Nuru kwenye nyumba yako ya milele😭😭😭
@owinochris98863 жыл бұрын
Aliye muuwa this man alani we e
@tajimwakasese94573 жыл бұрын
Hapa kazi tu tunakukumbuka sana
@sandrabernard7512 жыл бұрын
Your the best.. Leo mwezi wa 11 uwiii
@halimushabani94803 жыл бұрын
Tutakkumbuka daima.
@zuberinzige64526 жыл бұрын
nakuelewa sn rais wangu mungu akutangulie kwa maendeleo unayo tuonyesha
@michaelmgwambe72562 жыл бұрын
Hakika mungu mpunzisha kwa amani mtu huyu amina
@mwalimumstaafu85292 жыл бұрын
Baba umeondoka lakini utabaki kuwa ndani ya mioyo ya watanzania. RIP Baba.
@susananyasani65263 жыл бұрын
Hotuba hii ya kutoka kwa Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Maguli ya mwaka 2018 September ni Hotuba yenye Katiba na Uchumi wa kujenga Nchi anayoifahamu Uongozi si kazi rahisi nikilingani Tansania na Nchi zenye maendeleo ndio maana asisahulike tumpe shukrani milele na milele
@epifaniamilinga28483 жыл бұрын
Jamani,siku hizi simkii Ndalichako.sijui kazi zote anafanya ummy
@geraldmakalala60913 жыл бұрын
Kweli
@simonmagaigwa54963 жыл бұрын
Amepotea kabisa.
@seifjuma47433 жыл бұрын
Mm n mkerewe daaah nimeumia san hutuba hiiii
@beatricekihehe37333 жыл бұрын
Mungu wangu sijui kama tutamsahau huyu
@christinamendrady91482 жыл бұрын
Continue resting in piece or presdaa
@frankkashner8 ай бұрын
Rest in Peace Baba JPM hakika bila Mashaka ninakupenda sanaa sanaa Pasinakifani japo umelala
@chidiomari.653 жыл бұрын
R.I.P Papaa we missed you🤲🤲
@exaverymakoye60262 жыл бұрын
Daah,🙆😭😭
@halimahamady80892 жыл бұрын
@@exaverymakoye6026 1111111111111111
@athanassimbila26032 жыл бұрын
TUNAKUKUMBUKA.BABA.MUNGU ATUPATIE TENA WA.AINA YAKO MAPEMAAA.EEE MUNGU
@kambamazig02024 Жыл бұрын
N kweli kazi hiyo ilianza na daraja pale Lugezi linajengwa. RIP son of Tanzania.
@jongosalehe10363 жыл бұрын
Hapa kazi tu..
@salumugidion3 жыл бұрын
Jamaa kilikuwa kichwa kweli kweli 🙏
@justusmutakyawa98022 жыл бұрын
Nilikupendasana.
@jerryalfredngailo61062 жыл бұрын
Great leader for great country
@fredkyara.babamunguwambing4826 жыл бұрын
Shimbonyi. Mae. Shimbonyi mmbe. Magufuli kweli we nomaa.
@jisamjoseph45583 жыл бұрын
Rest in paradise Papa.....love you
@richardmbwana54972 жыл бұрын
hongera.makufuli
@pirminkillumbe47273 жыл бұрын
Mweee Baba RUDI...Baba J.P.M Unatuliza....Mungu turudishie mtu huyu mweee.😭😭😭
@nusaania2950 Жыл бұрын
Bado nakumiss toka hapa kisumu kenya
@patrickndichu39052 жыл бұрын
Naku-miss Mzee..Lala salama. .
@mohamedkutwambi3 жыл бұрын
Magufuli you are still staying in my heart 😭😭
@calvinmwasambili40803 жыл бұрын
Nilikupenda sana hawa wengine siwaerewi
@rohitatri956 жыл бұрын
Melanga Chikubati nimefurahi sana kumuona raisi yupo kwetu ukerewe
@eliasylvester64296 жыл бұрын
HAPA KAZI TUU MH MAGUFULI
@rohitatri956 жыл бұрын
Nimekubali na nimependa sana najivunia nyumban ukerewe
@ramadhanmahongole56633 жыл бұрын
Hapa kazi tu... na siyo uhuru na kazi
@upendomavere36032 жыл бұрын
Mmmmh Mungu msamehe dhambi zake kama ungetuambia atafariki tungekuomba utuachie kwanza
@vwtv8006 жыл бұрын
Mko powa sana azam TV hongereni sana
@agnessjohn12223 жыл бұрын
Pumzika Kwa Amani shujaa wa Africa mtetezi wawanyonge nivigumu kukusahau lala salama mtetezi wawanyonge pumzika Kwa Amani shujaa wetu
@jafaryally20372 жыл бұрын
Umetuacha yatima haturingi tena mzazi wetu umetuacha. Pumzika Baba kazi uliifanya na njia ulituonyesha kwa kutumia kanuni ya TANU binadamu wote ni sawa. Kuzaliwa ni suna kufa ni faradhi, umetangulia nasi tunafuata. Pumzika kwa AMANI
@erickmwani10853 жыл бұрын
Yani huyu jpm alikuwa rahisi Wa dunia. Aliwekwa na mungu kwenye madalaka yake kafanya kazi vizuri.
@gesusgegangphray76893 жыл бұрын
Upo sahihi 100% Mungu alitupa na cyo kura..ila amin mdugu tanzania ingekuwa ulaya ma umaskini story..kaa ukijuwa viongozi wanalipwa na wazungu kurudi nyuma .haji tokea kama huyu..matibabu bure pesa Zinaenda wapi
@athumaniomari28333 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU mkuu
@davidcurtis85563 жыл бұрын
Dah! Rest in power my hero!
@bonny-tz23233 жыл бұрын
Go Papa Go.... Maneno na vitendo vyako vinaishi mioyoni mwa-watanzania tu sio hao waliobaki madarakan 😭😭
@jeniphjohn97183 жыл бұрын
Joh
@simonmagaigwa54963 жыл бұрын
Kweli, ndo maana unaona mpaka leo kuna watu bado wanapambana na kivuli chake bado hawaamini kama ameondoka.
@gwishtztz87842 жыл бұрын
Chuma in my heart will live for ever
@zachariamagwasa422 жыл бұрын
upup
@ramadhanimntambo60532 жыл бұрын
@@zachariamagwasa42 ÀÀAaa
@ramadhanimntambo60532 жыл бұрын
@@zachariamagwasa42 aaaàaA
@ramadhanimntambo60532 жыл бұрын
aaàaaaààÀaaÀaaaaaaaàAAAAAA
@emmanyahubah58203 жыл бұрын
You missed by us Tanzanians
@imanimakene85423 жыл бұрын
kwel ww ni raise wa wa2
@dannyosolo27522 жыл бұрын
Magufuli....no words !!!
@gesusgegangphray76893 жыл бұрын
Kodi yaatanzania ndio inajenga nchi na matrilion kuibiwa na mafisadi na wengi wapo CCM .uzuri ilijuwa kilakitu ..lala Salama Baba
@josephwambua58743 жыл бұрын
Hakika magufuli ni kiongozi wa dunia,mungu ailaze roho yke peponi
@rizikiramadhani96712 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana j p m upumzike salama
@kambamazig020242 жыл бұрын
Wakerewe walimpenda, huwa ni wagumu sana kucheka :)