HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018

  Рет қаралды 807,602

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 331
@susannaikuni8595
@susannaikuni8595 3 жыл бұрын
Mfalme lala salama from Kenya lakini nlikupenda xna mtetenzi wawanyonge hutawahi sahaolika Africa nzima Mungu umrehemu
@ramadhaniamri3465
@ramadhaniamri3465 3 жыл бұрын
Wakati unagombea uraisi, uripokua unafanya kampeni urikuta ccm ni mbovu sana pia warikususa baadhi ya viongozi uripita kuomba kura mikoani peke yako na uripopita ccm ikawa juu, magufuri roho yako ipumzike kwa amani, mahari pema peponi AMIN
@purposetowalkwithjesuschri2455
@purposetowalkwithjesuschri2455 2 жыл бұрын
We really miss you so much our beloved Dad. Tutamkumbuka daima shujaa wetu
@purposetowalkwithjesuschri2455
@purposetowalkwithjesuschri2455 2 жыл бұрын
Oh thank you dia
@rogasianshayo3740
@rogasianshayo3740 3 ай бұрын
Magufuli kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania 🇹🇿 RIP 🙏, nakuangalia mzee wangu 3.7.2024 tunaseka uku mzee wangu 😢
@neematweve3150
@neematweve3150 2 жыл бұрын
Baba tunakukumbuka Sana. Tunalia Sana kwa ulio tufanyia.tuombee unafuu was maisha kwa mungu.nasi tunakuombea.mungu akupokee
@aisharajimbo6784
@aisharajimbo6784 3 жыл бұрын
Inna lilahi wa Ina ilaihi rajiun mungu ailaze Mahali pema peponi roho yake Insha_allah
@khuiii9032
@khuiii9032 2 жыл бұрын
Kafiri makazi yKee motoni tuu kwani hujuii ww
@Vuvuzelaz1
@Vuvuzelaz1 3 жыл бұрын
Mwamba umelala baba Mungu yupo nawe na kama kuna ubaya atakulipia kama alikuita upumzike kwa amani
@shirfadigubike7920
@shirfadigubike7920 3 жыл бұрын
Ulikuwa kipenzi cha watu.ukisema unafanya.mungu akuepushe na moto wajehanamu.makazi yako yawe peponi ukutani na mahulilain wa peponi🙏
@gambobakari4978
@gambobakari4978 2 жыл бұрын
Cna lakuandika zaid ya kukuombea kwa Mungu akupe pepo ktk maisha y huko akhera, naumia sana kw kfo chako.
@wilsonchishomi1083
@wilsonchishomi1083 2 жыл бұрын
Umetuacha yatima mzee wetu.. Asante kwa mema yote uliyotufanyia.. daima utaishi mioyoni mwetu.. I’m missing you 😞.. may your soul rest in eternal glory.. 🙏🏾
@afrimediake.9568
@afrimediake.9568 3 жыл бұрын
Kiongozi wa kwanza duniani mwenye hekima na msimamo wake dhabiti,, kongole Mzee,, safiri salama,, Nakupenda toka Kenya kakamega
@mayanjajackson3585
@mayanjajackson3585 2 жыл бұрын
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Kazi ulio fanya iko myoyoni kweli ushuja ume onyesha hata kosa mtu fulani ata ufwata mfano wako baba 👏🏾👏🏾👏🏾
@kelvinmulengo8555
@kelvinmulengo8555 2 жыл бұрын
That was man of action those who remains in ccm ni vigeugeu they don't want poor anymore JPM were are you father we miss you papa God send someone to comfort the machinga and the orphans in Tanzanian am Kelvin from l s k Zambia
@redeemed4327
@redeemed4327 6 жыл бұрын
Hapa Kazi tu! Asante JPM! Keep the tune, tutaelewa tu ambao vichwa vigumu.
@godwinshoo3101
@godwinshoo3101 3 жыл бұрын
Mwenyenzi Mungu tunakuomba utuandalie mwingine mwenye upeo mpana , juhudi ,uzalendo na siasa za kweli ili aje aendeleze haya yenye manufaa kwa wananchi
@annaswai2434
@annaswai2434 3 жыл бұрын
mungu akuweke mahali pema baba yetu magu uku duniani mafisadi wanatunyanyasa wanajua watakula izo hela milele awajui Kama ipo siku nao watakufa
@josephrobert3928
@josephrobert3928 5 жыл бұрын
hii ndo speech saf ya mkuu wa nch Mungu akubaliki
@rehemaphinias3977
@rehemaphinias3977 3 жыл бұрын
Tunakukumbuka jpm, baba raisi wa dunia uliye teuliwa na mungu, mungu alitoa na mungu alitwaaa jina lake lihimidiwe,
@faustienealexi2268
@faustienealexi2268 3 жыл бұрын
Kweli Magufuli alikuwa Raisi wa Dunia tumepoteza jembe kweli kweli
@eliakundanoe4486
@eliakundanoe4486 3 жыл бұрын
Salaam zako zenyewe zina hamasa , lala baba tutakukumbuka daima
@bekabakari7394
@bekabakari7394 3 жыл бұрын
Hata hasomi speech huyu mzee Mungu muweke pema peponi
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 3 жыл бұрын
Yani nafikili mm peke yangu kumbe wengi tunaye msitajabia baba huyu😭😭😭😭😭 TUMEPOTEZA KICHWA
@dianamahendekamahendeka1344
@dianamahendekamahendeka1344 3 жыл бұрын
Huyu hakuwa mtu was kawaida alikua kashushwa na mungu daah 😭😭😭😭
@annandaro
@annandaro 8 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba tulikupenda sana Mungu amekupenda zaidi
@mansourmkanakuta6641
@mansourmkanakuta6641 3 жыл бұрын
Rip rais wetu wa mda ote hayat magufuli
@fatumagillah2319
@fatumagillah2319 3 жыл бұрын
RIP tutakukumbuka daima Kambarage namba 2
@hatari9591
@hatari9591 2 жыл бұрын
Ulikuwa unanikosha sana mzee wetu. Hata wasipokuenzi kitafa tutakuenzi kwenye mioyo yetu.
@khadejarajab844
@khadejarajab844 2 жыл бұрын
Allah akuweke apendapo milele amin
@robsonlotyloy5678
@robsonlotyloy5678 3 жыл бұрын
Ni maneno ya kiongozi shujaa. Haya yote yanabaki kwenye mioyo yetu daima.
@coffeemuya618
@coffeemuya618 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani chumaa Dr John pombe magufuli hakika ww ulikua mtumishi wetu na sio rais wetu
@shebyshababa6242
@shebyshababa6242 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@johnhoswad8385
@johnhoswad8385 3 жыл бұрын
Amakweli ulikuwa ukimcha mungu siyokama uliotuachia hatakulitamka jina la mungu Hakuna kwakuwa hofu ya mungu haipo ndani yao hatutafika zaidi yakuyumbishwa na kunyanyaswa
@codermasye3763
@codermasye3763 2 жыл бұрын
Wangapi mpaka leo wakitazama video zake wanaisi bado yupo hai gonga like hapa
@filbertluambano4178
@filbertluambano4178 2 жыл бұрын
R.I.P Mwamba
@niokoemahenge4312
@niokoemahenge4312 3 жыл бұрын
We mungu ungemsamehe magu amalizie miaka mitano kwanza
@ginustimotheo2148
@ginustimotheo2148 2 жыл бұрын
Mimi nazani Tanzania hatuhitaji maendeleo ya nchi bali tunahitaji tudidimizane ila mungu yupo anawaona. Magu wangu ntakueka moyoni milele
@rosetreffert6727
@rosetreffert6727 3 жыл бұрын
Kipenzi cha WATANZANIA REST IN PEACE SHUJAA WETU MAGUFULI 😭😭😭❤💔
@sammanjeka7357
@sammanjeka7357 2 жыл бұрын
Dady we missed you.
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 жыл бұрын
Tanzania,Afrika na,Dunia nzima tumekupoteza, lakini Mwenyezi Mungu hajakupoteza kamwe. Uko mbinguni kama .Masikini Razalo, ukiwatizama adui zako ng'ambo ya pili, yenye hatima mbaya kwao;kama yule tajiri dharimu dhidi ya Masikini Razaro. Tumepoteza sura yako tu,lakini maneno yako ya busara na hekima yanaendelea kutujenga kupitia hotuba zako mbalimbali."RIP our DaDy"
@musicmylife5417
@musicmylife5417 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba.
@t1910j
@t1910j 2 жыл бұрын
I miss my president so much! RIP 😞
@alexedward4069
@alexedward4069 2 жыл бұрын
Tanzania tulipata Rais. Pumzika milele kwa amani. Mimi mungu akijalia nikiwa Rais ntakua kama wewe
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 2 жыл бұрын
Nchi yetu ingefika mbali sana,tungekuwa nchi ya mfano
@paulnyasta6439
@paulnyasta6439 2 жыл бұрын
Mungu amweke mahala pema peponi
@pendonaomi1825
@pendonaomi1825 3 жыл бұрын
Hata salaam yako tu ilinipa furaha na amani 😢😭😭 JPM ntakulilia daima😪😪😪
@gaburieremanuel6785
@gaburieremanuel6785 3 жыл бұрын
Gr Post
@gaburieremanuel6785
@gaburieremanuel6785 3 жыл бұрын
Om
@SteraMisana-us5ov
@SteraMisana-us5ov Жыл бұрын
Last in peace fother😭😭😭😭tutakukumbuka daima milele.
@susananyasani6526
@susananyasani6526 3 жыл бұрын
Hotuba ya Rais Dkt John Pombe Maguli ni yaukweli yenye Siasa na Katiba kama inavyotakia alitimiza Miradi aliyowaahidi Wananchi wongozi wake ni wakipekee Mungu alimchagua kutumikia Watanzania asante Mungu
@basumaadam2686
@basumaadam2686 3 жыл бұрын
Rip baba Diana tutakukumbuka, yan sichoki kuangalia hotuba zake daima jembe langu ,Mungu aweke Nuru kwenye nyumba yako ya milele😭😭😭
@owinochris9886
@owinochris9886 3 жыл бұрын
Aliye muuwa this man alani we e
@tajimwakasese9457
@tajimwakasese9457 3 жыл бұрын
Hapa kazi tu tunakukumbuka sana
@sandrabernard751
@sandrabernard751 2 жыл бұрын
Your the best.. Leo mwezi wa 11 uwiii
@halimushabani9480
@halimushabani9480 3 жыл бұрын
Tutakkumbuka daima.
@zuberinzige6452
@zuberinzige6452 6 жыл бұрын
nakuelewa sn rais wangu mungu akutangulie kwa maendeleo unayo tuonyesha
@michaelmgwambe7256
@michaelmgwambe7256 2 жыл бұрын
Hakika mungu mpunzisha kwa amani mtu huyu amina
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 2 жыл бұрын
Baba umeondoka lakini utabaki kuwa ndani ya mioyo ya watanzania. RIP Baba.
@susananyasani6526
@susananyasani6526 3 жыл бұрын
Hotuba hii ya kutoka kwa Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Maguli ya mwaka 2018 September ni Hotuba yenye Katiba na Uchumi wa kujenga Nchi anayoifahamu Uongozi si kazi rahisi nikilingani Tansania na Nchi zenye maendeleo ndio maana asisahulike tumpe shukrani milele na milele
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 3 жыл бұрын
Jamani,siku hizi simkii Ndalichako.sijui kazi zote anafanya ummy
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 3 жыл бұрын
Kweli
@simonmagaigwa5496
@simonmagaigwa5496 3 жыл бұрын
Amepotea kabisa.
@seifjuma4743
@seifjuma4743 3 жыл бұрын
Mm n mkerewe daaah nimeumia san hutuba hiiii
@beatricekihehe3733
@beatricekihehe3733 3 жыл бұрын
Mungu wangu sijui kama tutamsahau huyu
@christinamendrady9148
@christinamendrady9148 2 жыл бұрын
Continue resting in piece or presdaa
@frankkashner
@frankkashner 8 ай бұрын
Rest in Peace Baba JPM hakika bila Mashaka ninakupenda sanaa sanaa Pasinakifani japo umelala
@chidiomari.65
@chidiomari.65 3 жыл бұрын
R.I.P Papaa we missed you🤲🤲
@exaverymakoye6026
@exaverymakoye6026 2 жыл бұрын
Daah,🙆😭😭
@halimahamady8089
@halimahamady8089 2 жыл бұрын
@@exaverymakoye6026 1111111111111111
@athanassimbila2603
@athanassimbila2603 2 жыл бұрын
TUNAKUKUMBUKA.BABA.MUNGU ATUPATIE TENA WA.AINA YAKO MAPEMAAA.EEE MUNGU
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Жыл бұрын
N kweli kazi hiyo ilianza na daraja pale Lugezi linajengwa. RIP son of Tanzania.
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 3 жыл бұрын
Hapa kazi tu..
@salumugidion
@salumugidion 3 жыл бұрын
Jamaa kilikuwa kichwa kweli kweli 🙏
@justusmutakyawa9802
@justusmutakyawa9802 2 жыл бұрын
Nilikupendasana.
@jerryalfredngailo6106
@jerryalfredngailo6106 2 жыл бұрын
Great leader for great country
@fredkyara.babamunguwambing482
@fredkyara.babamunguwambing482 6 жыл бұрын
Shimbonyi. Mae. Shimbonyi mmbe. Magufuli kweli we nomaa.
@jisamjoseph4558
@jisamjoseph4558 3 жыл бұрын
Rest in paradise Papa.....love you
@richardmbwana5497
@richardmbwana5497 2 жыл бұрын
hongera.makufuli
@pirminkillumbe4727
@pirminkillumbe4727 3 жыл бұрын
Mweee Baba RUDI...Baba J.P.M Unatuliza....Mungu turudishie mtu huyu mweee.😭😭😭
@nusaania2950
@nusaania2950 Жыл бұрын
Bado nakumiss toka hapa kisumu kenya
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 2 жыл бұрын
Naku-miss Mzee..Lala salama. .
@mohamedkutwambi
@mohamedkutwambi 3 жыл бұрын
Magufuli you are still staying in my heart 😭😭
@calvinmwasambili4080
@calvinmwasambili4080 3 жыл бұрын
Nilikupenda sana hawa wengine siwaerewi
@rohitatri95
@rohitatri95 6 жыл бұрын
Melanga Chikubati nimefurahi sana kumuona raisi yupo kwetu ukerewe
@eliasylvester6429
@eliasylvester6429 6 жыл бұрын
HAPA KAZI TUU MH MAGUFULI
@rohitatri95
@rohitatri95 6 жыл бұрын
Nimekubali na nimependa sana najivunia nyumban ukerewe
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 3 жыл бұрын
Hapa kazi tu... na siyo uhuru na kazi
@upendomavere3603
@upendomavere3603 2 жыл бұрын
Mmmmh Mungu msamehe dhambi zake kama ungetuambia atafariki tungekuomba utuachie kwanza
@vwtv800
@vwtv800 6 жыл бұрын
Mko powa sana azam TV hongereni sana
@agnessjohn1222
@agnessjohn1222 3 жыл бұрын
Pumzika Kwa Amani shujaa wa Africa mtetezi wawanyonge nivigumu kukusahau lala salama mtetezi wawanyonge pumzika Kwa Amani shujaa wetu
@jafaryally2037
@jafaryally2037 2 жыл бұрын
Umetuacha yatima haturingi tena mzazi wetu umetuacha. Pumzika Baba kazi uliifanya na njia ulituonyesha kwa kutumia kanuni ya TANU binadamu wote ni sawa. Kuzaliwa ni suna kufa ni faradhi, umetangulia nasi tunafuata. Pumzika kwa AMANI
@erickmwani1085
@erickmwani1085 3 жыл бұрын
Yani huyu jpm alikuwa rahisi Wa dunia. Aliwekwa na mungu kwenye madalaka yake kafanya kazi vizuri.
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 3 жыл бұрын
Upo sahihi 100% Mungu alitupa na cyo kura..ila amin mdugu tanzania ingekuwa ulaya ma umaskini story..kaa ukijuwa viongozi wanalipwa na wazungu kurudi nyuma .haji tokea kama huyu..matibabu bure pesa Zinaenda wapi
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 3 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU mkuu
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 3 жыл бұрын
Dah! Rest in power my hero!
@bonny-tz2323
@bonny-tz2323 3 жыл бұрын
Go Papa Go.... Maneno na vitendo vyako vinaishi mioyoni mwa-watanzania tu sio hao waliobaki madarakan 😭😭
@jeniphjohn9718
@jeniphjohn9718 3 жыл бұрын
Joh
@simonmagaigwa5496
@simonmagaigwa5496 3 жыл бұрын
Kweli, ndo maana unaona mpaka leo kuna watu bado wanapambana na kivuli chake bado hawaamini kama ameondoka.
@gwishtztz8784
@gwishtztz8784 2 жыл бұрын
Chuma in my heart will live for ever
@zachariamagwasa42
@zachariamagwasa42 2 жыл бұрын
upup
@ramadhanimntambo6053
@ramadhanimntambo6053 2 жыл бұрын
@@zachariamagwasa42 ÀÀAaa
@ramadhanimntambo6053
@ramadhanimntambo6053 2 жыл бұрын
@@zachariamagwasa42 aaaàaA
@ramadhanimntambo6053
@ramadhanimntambo6053 2 жыл бұрын
aaàaaaààÀaaÀaaaaaaaàAAAAAA
@emmanyahubah5820
@emmanyahubah5820 3 жыл бұрын
You missed by us Tanzanians
@imanimakene8542
@imanimakene8542 3 жыл бұрын
kwel ww ni raise wa wa2
@dannyosolo2752
@dannyosolo2752 2 жыл бұрын
Magufuli....no words !!!
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 3 жыл бұрын
Kodi yaatanzania ndio inajenga nchi na matrilion kuibiwa na mafisadi na wengi wapo CCM .uzuri ilijuwa kilakitu ..lala Salama Baba
@josephwambua5874
@josephwambua5874 3 жыл бұрын
Hakika magufuli ni kiongozi wa dunia,mungu ailaze roho yke peponi
@rizikiramadhani9671
@rizikiramadhani9671 2 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana j p m upumzike salama
@kambamazig02024
@kambamazig02024 2 жыл бұрын
Wakerewe walimpenda, huwa ni wagumu sana kucheka :)
@davidthoya3790
@davidthoya3790 3 жыл бұрын
R.I.P MZEE MAKUFULI
@emmanyahubah5820
@emmanyahubah5820 3 жыл бұрын
BADO VILIO VIMETANDA !!! NIMELIA SANA 😭😭😭👆
@josephwambua5874
@josephwambua5874 3 жыл бұрын
Pole sana mungu yupo
@JumaBondo
@JumaBondo Жыл бұрын
Mwamba nimekuerewa, Hakika machozi hajaisha mioyoni mwetu,
@vitalismagambo7017
@vitalismagambo7017 3 жыл бұрын
Hakika Magufuli angelipeleka Tanzania pazuri. Mimi nilimpenda huyu raisi.
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 2 жыл бұрын
Mim nilimpenda huyu rais sasa hiv umpendi kwa sababu amekufa au vp
@graciamligo120
@graciamligo120 2 жыл бұрын
Rest in Peace mwamba wa Afrika
@zainaburajabu9665
@zainaburajabu9665 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka Sana baba,yanayo endelea kwasasa ni vioja tu
@hopecasefoundation7799
@hopecasefoundation7799 2 жыл бұрын
True leader
@mwisyoadam593
@mwisyoadam593 3 жыл бұрын
Tunakukumbuka Sana
@eugymaro9623
@eugymaro9623 3 жыл бұрын
Love sana papaaa RIP
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma na kuandika gusa picha
@isayamawazo2235
@isayamawazo2235 3 жыл бұрын
👋👋👋👋👋🙏🙏🙏🙏🙋🙋🙋Duh asante mungu kwa mda tulikokuwa naye jpm 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏👋👋👋👋
@johnnestory3410
@johnnestory3410 2 жыл бұрын
We ndiyo raid wa mioyo yetu tutakukumbuka daima
@richardrungwa4030
@richardrungwa4030 2 ай бұрын
Apumzike salama mkombozi wa wanyonge
@kasigajoseph811
@kasigajoseph811 3 жыл бұрын
My lovely country Tanzania
@issakara9403
@issakara9403 3 жыл бұрын
YANI JAPO ALIKUA NA MABAYA YAKE ILA SALAMU TU UNAJUWA KAMA HUYU RAISI
@vedastormwazela2622
@vedastormwazela2622 2 жыл бұрын
Rest in peace mwamba
@charlesmlamila5411
@charlesmlamila5411 2 жыл бұрын
Tutakumiss Sana, jembe letu
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 2 жыл бұрын
sasa ni 2022 😭😭😭😭😭 R. I. P
@simonmagaigwa5496
@simonmagaigwa5496 3 жыл бұрын
Hotuba hizi zulitutia moyo, wananchi walihamasika kuja kumwona na kumsikiliza kiongozi wao, leo hii nchi imepoa kabisa.
@tawusishaban5130
@tawusishaban5130 3 жыл бұрын
tonge tam haifiki mdomoni lala pema peponi amiin
@yohanaukerewe4237
@yohanaukerewe4237 2 жыл бұрын
Jaman
@Kanyawela
@Kanyawela 2 жыл бұрын
Ulizijua siasa za uongo Sana tena Sana
HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018
1:23:49
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 19 МЛН
HOTUBA YA MAGUFULI KWENYE MKUTANO NA WADAU WA MADINI      22/1/20199
1:12:14
KIPINDI MAALUM CHA ZIARA YA RAIS DKT MAGUFULI BANDARINI SEPT 26,2016
34:35
MAGUFULI AKATAA HADHARANI WANAJESHI WASIKATWE - "CHUKUA PESA KALIPE"
40:00
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"
23:26