Yohana Antony akishilikiana na steve mweusi kkuimba wimbo wa maombolezo wa hayati magufuli tazama upate kujifunza kitu #yohanaantonystevemweusi
Пікірлер: 1 700
@Steve_Mweusi3 жыл бұрын
Kweli tunamkumbuka na tutamkumbuka watanzania tushikamane natumuombe mungu muweza wa yote atatusaidia Katika kipindi hiki kigumu mnoooo Pumzika kwa Amani Hayati magufuli 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@sheddymusiq78113 жыл бұрын
May his soul RIP
@rosebabala1953 жыл бұрын
Pole Sana Steve kaka Yangu Pole Sana Seli Pole Sana Yohana Pole Sana Watu Wote Raisi 💔😭😭💔😔😭😭😭
@theupcomingana9063 жыл бұрын
💔💔💔
@Kithukashadrack893 жыл бұрын
That's was so painful especially to TZ brothers and sisters. Rabi ailaze Roho ya kiongozi pahala pema. We are and will be all together dear TZ people. Blessings thee come to entire country.
@tedyjoshua49473 жыл бұрын
Duhhhh is true bro
@abdukheirmaxamed42833 ай бұрын
2024 mwenye bado yupo hai anausikiliza huu wimbo piga like hapaa 😊
@kenethmwasenga3 ай бұрын
Tulio angalia 2024 weka like
@sosweke70832 жыл бұрын
Kama umelia Kama Mimi kwa kutazama huu wimbo Leta likes nijue from Kenya.RIP Baba Magufuli.
@user-sd2wt3tb2f5 ай бұрын
😢😢😢😢
@victorkiplagat-gp5vnАй бұрын
😢😢😢Hata sai nalia
@GraceKisenge-il8vtАй бұрын
N kweli sky
@MgeniGready5 ай бұрын
Tunao sikiliza 2024 tuinuane kwa like hapa japo 5
@victorkiplagat-gp5vnАй бұрын
Like from kenya
@UwimanaSandrine-hu1fgАй бұрын
Yoooo urare Salma tanzania tunabapenda san mi nik mototo waburundi
@magrethmbapa16 күн бұрын
Jamani 🤣🤣🤣 sijui tulikuwa wapi?
@ronolizz439413 күн бұрын
❤
@aljimmykabumbabinazam99043 жыл бұрын
Anaye liliya marehemu Magufuli kama mimi agonge like ili tu zidi kumu kumbuka
@vincentombui15603 жыл бұрын
Rip
@matyfun13723 жыл бұрын
Wewe ni fara, yani unamuita shujaa wetu Marehemu
@aljimmykabumbabinazam99043 жыл бұрын
@@modestapeter2997 sasa wewe uke fariki ahuta bakiaka mu roho za watu wenye wana kufamiya? Kila kihumbe kya mungu kitapo onja ahuti ni maremu Sababu alisha fariki....
@aljimmykabumbabinazam99043 жыл бұрын
@@matyfun1372 wewe ndo fara kila kihumbe kya mungu kitapo onja mahuti ni marehemu we fara %
@aljimmykabumbabinazam99043 жыл бұрын
@@modestapeter2997 kwani aku fariki shibote tuko chini ya juwa tuta fariki leo ao kesho kwani sudja aku fariki? Sudja ni Mungu peke yake wewe ndo fara kabsaaa
@ronaldtallam9086 Жыл бұрын
Just in mid 2023 and still one of African icons. Rest well champion. 😭😭😭 Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@wycliffemokua7639 Жыл бұрын
I am from Kenya, but I will forever mourn this enigma for the rest of my life. May God provide His solace to your country.
@emmanuelmuhando10523 жыл бұрын
Kama yupo anaye ifatilia hiii nyimbo mpaka Leo gonga like
@joharramadhan7037 Жыл бұрын
Machozi hayatafutika milele tanzanian
@edwinambetsa Жыл бұрын
May God console that nation
@wardawarda-fp3qe Жыл бұрын
😢😢😢
@jeremykabuchu9470 Жыл бұрын
Thank you so much for your feedback Emmanuel muhando.😅😅❤
@jeanettenashoni8 ай бұрын
Tupo mbona
@winnienekessa70063 жыл бұрын
Nyimbo zimeimbwa nyingi but huu wimbo umenimaliza nimemeurudia sana sana from 🇰🇪
@magdalinechebet97802 жыл бұрын
Be blessed yohana....I love your songs......keep growing in Christ young Soul😍😍
@Mellahadrian Жыл бұрын
Tanzania was the luckiest country to have such a hardworking leader like Magufuli may his soul rest in peace ,,,,n mengi ameyafanya Tanzania
@meshackmbevi70093 жыл бұрын
Kumbe Steve anajua kuimba.... Goga likes za Steve tukisoga
@fatumamakunganya64292 жыл бұрын
Tena saana
@csgbjjcxvnjk63532 жыл бұрын
BabA amuka uone madudu amka baba tumeekumisi
@meshackmbevi70093 жыл бұрын
Goga likes za Antony, dogo sele na Steve kwa kufanya kazi safi💯✔️much love from Kenya 🇰🇪 🇰🇪
@fatiaali19593 жыл бұрын
Yaani ktk nyimbo zt za maombolezi hii ndo no 1. Mmeimba ipasavo
@devotamola57633 жыл бұрын
Yes
@dorissimiyu7456 Жыл бұрын
Rest in peace ✌️ magufulia always you will remain in my heart ❤️🙏 . I'm from Kenya when I listen to this song I cried 😭😭😭😭😭
@nkizurimwinyipande8322 Жыл бұрын
Me too
@joymakena9803 Жыл бұрын
Mimi pia😭😭😭😭
@cutepretty36192 жыл бұрын
From Israel ,,,,may God bless this two small boys ,,may they turn into kings of nations,,love from Kenya but stay in Israel
@nkizurimwinyipande8322 Жыл бұрын
Amen
@samiraaindi7 ай бұрын
I❤Loketo
@stevemwakisimba59863 жыл бұрын
Hongera mdogo wangu Steve wote mlioimba huu wimbo mungu awabariki
@neemacharles80462 жыл бұрын
Ttakukumbuk
@celestinenakhwanga87583 жыл бұрын
Enda salama😭😭😭 Lala salama😭😭😭😭😭 Tutakutana siku ya mwisho Magufuli Poleni watanzania,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@richardkubanda66272 жыл бұрын
Daah, nyimbo ina hisia kweli, nimejikuta Machozi yananilengalenga. Endelea KUPUMZIKA Kwa amani Mzee wetu Magufuli, Daima Utaendelea kuishi katika mioyo yetu. 💔💔😭😭
@casmilyjoseph9922 Жыл бұрын
Naikubali hii nyimbo 👍👍👍👍
@harmonmuna28313 жыл бұрын
Chukua like zangu 10 dogo sele na Steve mweusi, love from Kenya
@silvianpnduf99gmailsilvian133 жыл бұрын
😂😂😂
@vaatiosnat2168 Жыл бұрын
...the fact remains that this legend will never die in the hearts of many ,he was a true servant of common mwananchi , our leaders are supposed to mimick his legendary life, rip legend will never forget you 🙏 💔
@gilbertkoech7721 Жыл бұрын
Huku kenya tunao baba ambae anatubeleka Kila after election mandamano
@ThomasKinara-ji8ch2 ай бұрын
Am still in tears up to date, am a Kenyan but I loved doctor John magufuli. Continue resting in eternal life .
@mayasaudindo76023 жыл бұрын
Hakika hata tulio nje ya nchi tunakulilia 😭baba yetu Magufuli huo wimbo umeniliza😭 kwa kweli R I P rais wetu🇹🇿🇺🇸
@chazadamas72863 жыл бұрын
Nyimbo bola ya maombolezo Nice song. Mungu mlaze mahali pema peponi.
@marykioko71253 жыл бұрын
Sure
@mbilingwatapatatabusanahuk4733 жыл бұрын
Amen
@DorikasObunyindeMasanga-wz8fv3 ай бұрын
Yohana,young boi bt fire,the song is boom rip magufuli,🇰🇪 poleni watanzania
@cabahasaha59293 жыл бұрын
Cant hold my tears from kenya,,,may you rest in eternal peace ,,,we kenyans we really love you,,we will miss your love to the pure,,,your support and the care,,,enda salama yusufu
@maryamnaz46223 жыл бұрын
Poleni Steve na team yako. Also mourning from Kenya. R. I. mchapa kazi. He really loved his people of Tanzania. Alitangulisha mungu mbele. Safiri salama baba salimia maulana.
@nancyoloo92073 жыл бұрын
Kwa uhakika wimbo huu umenitoa machozi😭😭😭😭😭 mungu ailaze roho yako panapofaa
@sweetluc26603 жыл бұрын
Mtoto Yohana na wengine wote Mungu awabaliki kwa wimbo mzuli 😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@alvinmike5573 жыл бұрын
Pole wa tanzania
@ellinjaryamande53253 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba J.P.M.
@fostinnatasha18733 жыл бұрын
Amen
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana watoto wazuri hakika tunamlilia baba yetu mpendwa katuacha ,katuachia pengo kubwa sana na halitazibika kamwe. R.I.P baba🙏
@user-mu1fb8ye5q Жыл бұрын
From kenya,God bless these boys and may magufuli rest in peace😢
@naserian16133 жыл бұрын
Hii wimbo imenitoa machozi😭😭😭😭😭😭😭😭😭 shine on ur way baba y wanyonge
@zakiahnduku2196 Жыл бұрын
Huu wimbo nikiusikiza machozi yanitiririka ak😭😭😭😭😭😭shine on your way Magufuli
@valleryprecious14932 жыл бұрын
Indeed it was a sad moment ubarikiwe sana Yohana from Kenya 🇰🇪 🙏🙏
@tabithashimenga47423 жыл бұрын
Mtoto Yohana may the Almighty God wipe your tears. We Kenyans are with you this hard time. God bless 🙏🙏🇰🇪🇰🇪
@rauchibacarbacar2772 Жыл бұрын
Maybe
@rauchibacarbacar2772 Жыл бұрын
Diamond
@jacquesmparanyi88243 жыл бұрын
Steve nafurahiya nyimbo yako kutoka congo 🙏😭😭
@user-ks7fi8do1s3 жыл бұрын
Steve🇯🇲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭👋👋
@yassin72443 жыл бұрын
Mwimbo mzuri sana mungu akuzidie nguvu humshinde wimbaji wote inshallah
@okechalex23823 жыл бұрын
This man Magafuli will never die in the hearts of many. The true servant of common wananchi. May he continue rest in peace.
@edinajonamnzoya86532 жыл бұрын
Mungu awabaliki
@trophywilson7211 Жыл бұрын
For sure
@mariapialakanje34463 жыл бұрын
Haji huuu wimbo unazidi kuniliza huwiii ,jmni tulizani umelala kumbe umekufa kweli dah tungekuwa na uwezo wa kukuamsha tungekuamsha huwiii 😭😭😭😭Tunakulilia jmni Magu huwiii kiliiooo watanzani hivi nitazoea jmni maumivu mkli moyoni
@tonyrapando630 Жыл бұрын
speaking from Austria in Australia, God gives Tanzania strength
@florencejames98413 жыл бұрын
Thank you for coming back Antony God bless you forever I miss you
@delvinsalah74943 жыл бұрын
Oooh!!pole sana watanzania mungu hawatie nguvu ,RIP president magufuli 😭😭😭🇰🇪
@omanimujsa97563 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@emmaotiende47123 жыл бұрын
😭😭😭😭
@samuelnjoroge60633 жыл бұрын
Steve mweusi na sele ndogo.. my all time comedians, I always watch u from Kenya For sure u are blessed guys keep pressing on
@martindonald80411 ай бұрын
R I P Dr. Magufuli, Tanzania na Dunia nzima tutakukumbuka daima milele.
@delvinemoraa42483 жыл бұрын
Daah jamani inauma siwezi kujisuiya machozi yananidodoka kila ninapo angalia picha ya Jpm....... Take heart my brothers and sisters from Tz
@francheskafreedom33953 жыл бұрын
My Daily Reminder that Our Diaspora Souls are 1... They are Singing Our Diaspora Souls Together into 1 Voice❤️
@didierbwanza16882 жыл бұрын
Yani nikweli tunalia natuta choka kulia kwa sababu uyu tulipata ata tuwenza
@angeljohannes86303 жыл бұрын
Ahsante Sana kwenu yote wadogo zangu kwa wimbo Ulio bora nakwatia Mioyo ya watu Wote katika kipindi hiki kigumu mno, Mungu Awabariki Sana, natunawapendeni sana
@dhequeen8102 жыл бұрын
Tunakukumbuka baba Magufuli,roho yako iendelee kupumzika salama 😭😭🙏🙏🙏🙏
@linnetondisa96683 жыл бұрын
Nimelia sana,,nilimpenda sana ila natokea kenya ameenda mapema 😭😭😭😭poleni sana ndugu zetu watanzania
@bennytzofficials33363 жыл бұрын
Msiba huu ni mzito sana unagusa kila mmoja
@rithakuyala99513 жыл бұрын
Watanzania tuna upendo sana kila mtu kajitoa kadri ya uwezo wake, nyimbo 🙌😭😭😭😭😭😭😭pole taifa
@denosizee40003 жыл бұрын
🇰🇪 Kenya bado huu umenigusa sana,nimpenda Magu sana
@charlesmakori78793 жыл бұрын
This is so painful.actually I shed tears.sorry Tanzania 🇹🇿 Kenyan we r together
@belicanotv25772 жыл бұрын
That is how it but God bless him
@golingoibenzi21423 жыл бұрын
Mungu mpokee mwanao ambae ulimtoa kwetu kama sadaka kwa watanzania ,hii ilikuwa kama tunu kwetu na leo hii umemuita kwako mpe kama ulichompangia kama mafao yake kwa kazi aliyoifanya kwa wanao haswa watanzania nakuomba usamehe pale alipokosea maana kwetu alichokifanya nikikubwa sana tuna shukuru baba #muweke mahala pema peponi #JPM
@rachelpwele88183 жыл бұрын
I keep going back to this song. I can't count how many times I have listened to. I don't understand all the words but I know it's a tribute to the son of the African soil. Pole Tanzania. Lala salama Pombe Magufuli.
@franktemu3 жыл бұрын
Absolutely amazing
@magiemutesa48072 жыл бұрын
Me too but l don't know the language
@rejoyobetreace69982 жыл бұрын
@@magiemutesa4807 me too I
@ezechielnahimana9749 Жыл бұрын
Tanzania is very special tosing the song any we u go me l like Johan
@hfhdhfhd71263 жыл бұрын
RIP Babu Rais Magufuli We love you but God loves you more that's why Allah Has Taken you, Allah Akueke Mali pema, Ameen watching from Gulf Its a great song with message God bless the choir ,Ameen
@celestinealimasi48663 жыл бұрын
mubarikiwe sana kwa wimbo nzuri waku mkumbuka raisi wetu
@josphinejebichii68823 жыл бұрын
Poleni ndugu zetu steve+sele.... Sote twaomboleza... Tuko pamoja 🇰🇪
@kellymasai61052 жыл бұрын
We were also shocked to heard that , Mr pombe Maghufuli is . No longer with us,, we heard pains in Kenya
@elizabethnzioki7627 Жыл бұрын
This child is so talented,ho my God may you be with him add double grace to his life❤❤❤
@pheminaakell55763 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 Rest in peace baba ,,,,kwa kweli umekua mshtuko mkubwa kwangu ,,take hearts wana Tanzania 🇹🇿 kazi ya Mungu haina makosa..from 🇸🇦 🇸🇦
@edwardmazuri16493 жыл бұрын
Wimbo unahuzunisha sana. Tutakukumbuka sana JPM kapumzike Baba kazi umeimaliza duniani.
@teresiahwambui64173 жыл бұрын
surely evn in such a wonderful song thr are dislikes hope thr is no one from +254 anyway talented yng boys
@princessmercyndanu19983 жыл бұрын
Wooi .. Already in tears 😭😭😭😭 Rip kiongozi wa wanyonge....shine on your way Magufuli...from kenya
@patrickm5003 Жыл бұрын
raelly a legend
@vincentombui24712 жыл бұрын
This song has good lyrics and nice voice brothers only Baba can control our tears.
@findpartner13143 жыл бұрын
😭😭 what a wonderful song touching wimbo hu utakufanya kulia ata kama uchisiki kulia😭 R.I.P baba team dogo bless you
@JJones-oh3dd3 жыл бұрын
Can't hold my tears from🇰🇪We love You Maghufuli😥💔😭
@papaamularfins5993 жыл бұрын
Mko vizuri saana! sauti,mpangilio wa uimbaji na mpangilio wa vyombo... 95%💪💪💪🎸🎸
@daudpius1303 жыл бұрын
Hakika mnaweza hadi stivu umeimba eee mwenyezi mungu mpokee moja kwa moja magufuli akae kuume kwako
@mariaborgesdossantossaloma55852 жыл бұрын
Dois príncipes de Deus louvado o nome do senhor Jesus PARABENS ✴️✴️✴️🎇🎇✨✨✨🎈🎈🎈🌈🔥🔥🔥☔
@luganomwanjotile7575 Жыл бұрын
Kumbee steeve mweusi anasauti nzuri namna hii
@ayeshaharris51223 жыл бұрын
What A Beautiful song ❤️❤️ Sincerely Wholeheartedly Love From Detroit, Michigan ❤️❤️🙏🏿🙏🏿🇹🇿🇹🇿
@alijunijohn8181 Жыл бұрын
Huu wimbo nikiuaikiliza nafarijika Sana na unanikumbusha baba yangu kipenzi😭
@samoeikiruikipngenoh56213 жыл бұрын
Steve uko na sauti bro jaribu utoe song.....tunawapo pole humu Kenya poleni majirani wetu
@lynn.6913 жыл бұрын
I can't control my tears watching this song,,,we are with you,,, we love you from 254
@nawafalamri88512 жыл бұрын
So painful iwill never forget abt our President maguful we really love you continue resting in peace much love from kenya💘
@twiizamri53172 жыл бұрын
Vijana mpo vizuri kazeni buti mnaweza kwani hata vichekesho mnaweza kufurahisha jamii pamoja na kuelimisha bigup sana Steve along side dogosele
@paxog3 ай бұрын
Bado tunauzuni 2024 atakama mimi ni congo nime uzunika sana
@maasaimkisii90893 жыл бұрын
Upendo mwingi Toka na pole kwa kumpoteza kiongozi shupafu 🇰🇪🇰🇪
@captainshaddy51803 жыл бұрын
This tune speaks volume 👌💯....from Kenya;May Great and Shrewd Leader and Mentor dance with Angles.
@user-xj1qz8oy5s9 ай бұрын
From Kenya..May Lord Continue Blessing You Little Boys For This Powerful Song...Continue Resting In Peace Legend(John Joseph Pombe Mafufuli)😢😢😢😢😢😢
@estermbise14503 жыл бұрын
Nimelia kbx tena kbx huu wimbo unatoa machoz san
@ahmadisaidi81952 жыл бұрын
We loved Mr magufuli all over the Africa and we miss him but inshallah God can bless you with someone like him let him rest in peace
@moseskulola69132 жыл бұрын
Stever nakuku Bali Sana watoto.wangu wanaiba pure yimbo hii nahawajuwekiswahili.wana ogeha English Na africaise ...good jobs stever Niko cape cape town
@user-lx2lx6uo6j4 ай бұрын
This song is nice I really agree waimbaji barikiwa you are creative
@Hellennafula483 жыл бұрын
Rest in peace Mr president 🙏🙏 king of African we love you but God loves you so much 🙏🙏 you play your role very smart man of people with good heart🙏🙏 dance with the angels 🙏🙏❤️❤️❤️❤️🎈🎈💖
@timode74663 жыл бұрын
Kilioooo😭😭😭😭😭😭
@kutailadifi28543 жыл бұрын
Wimbo Huu kuutazama Mara moja 2 haikunitosha😭😭😭😭😭
@rahmahassan11673 жыл бұрын
Alhamdulillahi ndo iliyo baki Rahma
@miriamkafwila983 жыл бұрын
Can't control my tears😭 May his soul rest in peace Dr Magufuli.;🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@amoskimwele21073 жыл бұрын
Wow steve na dogo sele igekua tuzo mgeondoka nalo wimbo wenu unabariki sana karibu unitoe machozi ni kutoka Nairobi 🇰🇪
@mukaplatnumz23133 жыл бұрын
Daaah! So sad aiseee R.I.P. magufuli😭😭😭 Mungu ailaze Roho yako mahali pema Peponi🙏. Nyimbo nzuri sana
@denisotieno4542 Жыл бұрын
Still thinking about Magufuli. Keep resting in peace the Legend till we meet again. Love from Kenya gonga like kama bado unakumbuka Magufuli.
@user-xm1yi4ve6q8 ай бұрын
Tunamlilia mpaka sasa natoa machozi nikisikiliza huu wimbo kwa kweli ni pigo ee mungu tutetee wanyonge pumzika salama baba yetu
@happyzilio25203 жыл бұрын
Mungu Wa mbinguni kazi yako haikosolewi "èmêïńî"🙏🙏🙏
@nicholaskyalo69252 жыл бұрын
Who else is recalling magufuli through this song 😭😢😥piga like 👍
@lilianotemba10313 жыл бұрын
Let his soul rest in peace, God loved him so much, although it's hurt to believe but is a way of everyone, poleni sana wanatanzia,from Kenya
@salomenaliaka9562 жыл бұрын
rest in peace jonh pombe magofuli tulikua tunakupenda kenya sana pumzika kwa amani
@vincentombui15603 жыл бұрын
Poleni sana ndugu zetu watanzania kwa kumpoteza shujaa
@marymayanja46723 жыл бұрын
You kids You kill it's. This is the song of the moment. Thanks very clear
@busarethegreat98793 жыл бұрын
R.I.P Hon. President JPM 🇹🇿😭😭🇹🇿🇨🇩🇺🇸😭😭😭😭Tutakukumbuka Daima Kiukweli wimbo huu umefunika nyimbo zote za maombolezo kuhusu Mh.Hayati Rais JPM, Tupia neno ikiwa na ww umeguswa na hili ☝️
@charlesyapuka49923 жыл бұрын
Live wanastahili pongez yani nausikirza kwa kurudiarudia
@fatiaali19593 жыл бұрын
Ktk kenya wp like za song hii
@theophilemuyisakatuka72813 жыл бұрын
Iii nyimbo inanifariji sana.Mungu awabariki.baba wetu Magufuli apumzike sala .
@ayshazambia65093 жыл бұрын
Wimbo huu unauzunisha kwakweli hongereni kwa utuzi mzuli 😭😭😭😭😭😭