Ahmed Ally afunguka mashine tatu watakazotangaza leo

  Рет қаралды 45,482

Azam TV

Azam TV

6 күн бұрын

Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amefungua ‘code’ za wachezaji watatu ambao watawatangaza leo.
Mmoja ni mashine mtoa roho ambaye ni kiungo mkabaji anayetokea katika nchi iliyopo kati ya Afrika Magharibi na Afrika Kaskazini.
Mwingine ni mashine katili ambaye ni kiungo mchezeshaji atakayetambulishwa saa 12:00 jioni na baadae usiku watatambulisha mwingine.
Ahmed amezungumza na mtangazaji Mahmoud Zubeir kwa njia ya #WhatsAppCall kupitia kipindi cha #SportsAM
#SimbaSC #SportsAM #AhmedAlly

Пікірлер: 92
@mr_kajomba_og5719
@mr_kajomba_og5719 4 күн бұрын
Mashine za kazi
@mwanaishamasoud
@mwanaishamasoud 4 күн бұрын
semaji mungu akuweke baba
@youngsir5809
@youngsir5809 4 күн бұрын
Hapo safi, namba 6 na 8 🔥
@RichardWema
@RichardWema 4 күн бұрын
Simba ya mwaka huu ni moto❤
@mwalimulucas3522
@mwalimulucas3522 4 күн бұрын
Mashine ya kuongea
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 күн бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@bestman8182
@bestman8182 4 күн бұрын
Kitu cha maana kingine mlikchofanya ni kutambulisha bench la ufundi mapema sio kocha anakuja wakati ligi imeanza anaishia kujaribisha wachezaj kwenye mechi za ushindani
@mwanangusana
@mwanangusana 3 күн бұрын
@@bestman8182 kaka wambie kocha apewe muda wa kusuka timu kwanza .... Sio kafumuliwa 3 mnaanza kutukana 🤣🤣🤣
@asanterabimunuo5855
@asanterabimunuo5855 4 күн бұрын
😂😂😂 daaaah semaje una Tisha mkuu
@fatumahassan8425
@fatumahassan8425 3 күн бұрын
Semaji dua muhm wachezaji muwazindke someni dua
@billalicool9430
@billalicool9430 4 күн бұрын
Someni Dua Kuwalinda Wachezaji na Benchi la Ufundi mahasidi ni wengi
@ZakariaSimon-gp1gr
@ZakariaSimon-gp1gr 4 күн бұрын
❤❤❤❤ semaji km nakuona Simba day
@alitante4279
@alitante4279 4 күн бұрын
Augustine okajepha huyo mi mashine vbya mnoo
@MarryCharles-rc6ei
@MarryCharles-rc6ei 4 күн бұрын
Thank you ya jobe lini
@user-oq6to7pf2u
@user-oq6to7pf2u 4 күн бұрын
ahamed ally upo sahihi sana
@biwivuai1407
@biwivuai1407 4 күн бұрын
Op😊
@victorcharles1732
@victorcharles1732 4 күн бұрын
Deborah Mavambo fernandez huyo
@simonmilinga2070
@simonmilinga2070 4 күн бұрын
Hio ya mwisho ni equitorial guinea nchi pekee inayoongea spanish
@isackcharles6086
@isackcharles6086 4 күн бұрын
🦁
@bestman8182
@bestman8182 4 күн бұрын
Kispanyola kinazungumzwa Equatorial Guinea .....Gine ya Ikweta tu hapa Africa. So, is the guy coming from EG?
@suleimankhamis2771
@suleimankhamis2771 4 күн бұрын
Simba kama simba semaji kama semaji 😂😂😂😂😂❤❤❤
@SurusiPatrick
@SurusiPatrick 4 күн бұрын
semaji huna baya
@JumaBakari-ld5rr
@JumaBakari-ld5rr 4 күн бұрын
Namuona fei saa moja
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 4 күн бұрын
Engineer Hersi anawaloga sana wachezaji wetu ni mshenzi sana anaamini ushirikina Ili mambo yake yaende
@mwanangusana
@mwanangusana 3 күн бұрын
@@thehustlerafrica4368 mnajiroga wenyewe sasa unamuacha top scorer wa club yako anaekupa 10 + Kila msimu Kisha unaenda kumchukua Omar Omar kweli ? Unamleta manzoki 🤣 kwenye mkutano mkuu Kisha uwanjani wakamkuta sawadogo kweli mnarogwa nyie au mnajiroga ? Mna game na alhy Cairo mnaenda kuifadhili interview ya mayele mpo serious kweli nyiee ?? Wenzenu wanasajili nyie mmekazana drama tumemteka namba 6 airport 🤣🤣🤣, nyie ndo mnajiroga ... Unamuacha Baleke Unamleta jobe kweli kabisaaa??? Una muuza Inonga Unamleta lameck kwel 🤣, usajili wa akina Omar Omar ndo mnapata ujasiri wa kupayuka ??? 1. Dube 2.chama 3. Baleke 4. Boka Then unapata ujasiri wa kuropoka huogopiiii 🤣🤣🤣🤣
@MudiMajid
@MudiMajid 4 күн бұрын
Semani la kimataifa hongera unatupa laha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lukiaanatory4598
@lukiaanatory4598 4 күн бұрын
Semaji langu la simbaaaaa
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 4 күн бұрын
Equator Guinea wanaongea Kihispania ndiyo taifa pekee Africa kuongea lugha hiyo
@user-jy1wm8do8w
@user-jy1wm8do8w 4 күн бұрын
Kama mtafunga usajili bila beki wa kushoto tutafungwa sana
@emmanuelnkwabi8610
@emmanuelnkwabi8610 4 күн бұрын
Balaaa
@tuntumzazi
@tuntumzazi 4 күн бұрын
😂😂😂😂 ila semaji
@Msangoboy
@Msangoboy 4 күн бұрын
Vyuma kwelikweli
@lukiaanatory4598
@lukiaanatory4598 4 күн бұрын
Semaji unabaya
@petro8010
@petro8010 4 күн бұрын
Ninyi Azam mnazingua sana kuhusu mechi za Euro cup jana kwa nini hamkuonesha mechi ya France na Portugal. Mkaonesha Moja why acheni hizo
@BoniphaceMbapula
@BoniphaceMbapula 4 күн бұрын
Hauna baya semaji tunakutegemea
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 4 күн бұрын
Usajili ndo ukute tumemaliza😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-vw2ux5sh4x
@user-vw2ux5sh4x 4 күн бұрын
Jamani wana simba hv mbadala wa shomari katangazwa au tuendelee kumuamini dogo mwenda mana msimu uliopita kwa shomar walipita sana
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 4 күн бұрын
Hepa ndo tatizo linaanzia. Sijui hawaoni hili?
@OnesmoMabena
@OnesmoMabena 4 күн бұрын
Mpanzu pls
@zakayomgaya2758
@zakayomgaya2758 4 күн бұрын
😂😂😂semaji bwana
@jumamtatiro6358
@jumamtatiro6358 4 күн бұрын
Kireno hicho
@georgejulius3315
@georgejulius3315 4 күн бұрын
Nigeria
@Khalidniya380
@Khalidniya380 4 күн бұрын
EQUATORIAL GUINNEA
@petro8010
@petro8010 4 күн бұрын
Mechi za Euro cup onesheni zote acheni ubabaishaji
@allyanyigulilemlaghilajumb5829
@allyanyigulilemlaghilajumb5829 4 күн бұрын
Namibia ni nchi pekee Afrika wanakozungumza Kijerumani. CODE hiyo
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 күн бұрын
Namibia haiiongei kijerumani
@allyanyigulilemlaghilajumb5829
@allyanyigulilemlaghilajumb5829 4 күн бұрын
@@FahadAbubakari labda huijui Namibia. ngoja tusubiri
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 күн бұрын
@@allyanyigulilemlaghilajumb5829 nmekaa Namibia Windhoek more than 3 yrs so sihitataji kuambiwa kweli walitawaliwa na wajerumani at some points na ushahidi upo , later walichukua makaburu , lugha zinazozungumzwa ni oshiwambo au ovambo iyo ndio ka kiswahili karibu weusi wengi huongea khoekhoe , Afrikaans na herero kwangali na of course English kwa mijini na walosoma Kuna shule zinafundisha kijerumani kama zilivoshule zinafundisha kifaransa tz na Kuna Jamii ya hao wazungu wakijerumani wako idadi kubwa kidogo ila si kwamba kijerumani ni lugha inayozungumzwa pale
@allyanyigulilemlaghilajumb5829
@allyanyigulilemlaghilajumb5829 4 күн бұрын
NAMIBIA
@user-vh6hh6ul2h
@user-vh6hh6ul2h 4 күн бұрын
Simba ❤❤❤
@petro8010
@petro8010 4 күн бұрын
Mechi za Euro cup onesheni zote
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 4 күн бұрын
Equatorial Guinea ndio anatoka io Mashine ya pili sijui nani uyo
@user-nn6mp8qj9l
@user-nn6mp8qj9l 4 күн бұрын
Anachez namba gan?
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 4 күн бұрын
@@user-nn6mp8qj9l sijajua pia bado tusubiri
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 күн бұрын
WACHEZAJI WAKIJA WANAUMIYA HAMUWAEKEI KINGA YA ALBADIRI HALAFU WANAROGWA NA AKINA MZEE MPILI SHAURI YENU
@officialdana5114
@officialdana5114 4 күн бұрын
Tafuta hela kulogwa unalogwa ww tyu
@mwanangusana
@mwanangusana 4 күн бұрын
Sasa kama viongozi waliwaacha akina Phiri na baleke then unaleta akija jobe na Fred kweli ?? Kwaiyo manzoki mlimlinda kwenye mkutano mkuuu 😂😂😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 күн бұрын
@@officialdana5114 UNATETEA SABABU BABAKO NDIO MCHAWI ANAEROGA WATU WASHIRIKINA NYIE MACHOGO FC ATAKUFA MWAKA HUU DADEKI ZENU
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 күн бұрын
@@mwanangusana MWAKA HUU MTAKUFA KAMA DAGAA WACHAWI NYIE
@mwanangusana
@mwanangusana 4 күн бұрын
@@salimmalaka256 uchawiii ni kumleta Manzoki Kisha kwenye usajili unamkuta Sawadogo 🤣😂
@mrgujarat8391
@mrgujarat8391 4 күн бұрын
Hizi ndo zile clip ambazo akizitizama anacheka mwenyewe
@mrgujarat8391
@mrgujarat8391 4 күн бұрын
Kiufupi zilaili yani
@ProsperSantos
@ProsperSantos 4 күн бұрын
Azam wasenge sana yani match ya Euro inaonesha 1 afu mnasema buludani Kwa wote nyie vipo nyie ichi kisimbuzi Cha kitoto sana
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 4 күн бұрын
Kwel kabisa wanazingua sana
@petro8010
@petro8010 4 күн бұрын
Mimi wananiudhi basi tu
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 4 күн бұрын
Mmeshindwa Kutuletea Feisal??
@flova7022
@flova7022 4 күн бұрын
Urenoo na angolaa
@josephjohn2114
@josephjohn2114 4 күн бұрын
Msumbiji pia wanatumia kireno
@user-lz1lj9qg8e
@user-lz1lj9qg8e 4 күн бұрын
Mashine ya tatu mpanzu tuuu
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@HassaniMakidanga
@HassaniMakidanga 4 күн бұрын
😂😂
@LeonceFedhanane
@LeonceFedhanane 4 күн бұрын
Wambiye
@Mwanzaboy255
@Mwanzaboy255 4 күн бұрын
Mpamzu
@SaidySaidysalum
@SaidySaidysalum 4 күн бұрын
😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@BADAWY575
@BADAWY575 4 күн бұрын
Huyu Ahmed Aly bonge moja lamuongeaji kuna comedy flan uki brand sio .ushatoka maisha haya ni babu kubwa anafurahisha sana .Simba kazeni mitakavyo kaza nyie muelekeo hamuna sababu ni moja tu uongozi wacha tuwape chance lakini msimu haumaliziki mutapigana kwa sababu simba wote wanafiki omba omba wa babujiiiii jikomboeni mujimiliki mazumbukuku nyie
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 күн бұрын
NA WEWE NI NGURUWE MLA MIHOGO HAYA KUHUSU MACHOGO FC WASHONA MAGODORO NYIE KENGE WA KIJANI WEWE 😂😂😂😂
@BADAWY575
@BADAWY575 4 күн бұрын
@@salimmalaka256 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wakufa ni wakufa tu
@HalidiKilale-i8i
@HalidiKilale-i8i 4 күн бұрын
Semaji huna Bayaa....
@user-js7lr8vr9i
@user-js7lr8vr9i 4 күн бұрын
Wesema mashine alafu utulete utumbo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 күн бұрын
KWANI YEYE NDIO ANAOWALETA??? YEYE NI MSEMAJI TU
@BeniYaredy
@BeniYaredy 4 күн бұрын
Uyo mnampa ujinga nyie mana meakajana hakuita watu majina wakina funga funga ukuta wa yeliko mbona Leo hamhoji tumekuzowea we chiz
@OnesmoJulius-fi1qg
@OnesmoJulius-fi1qg 4 күн бұрын
Bishana na radio sasa😂😂😂😂😂
@waltermfikwa4361
@waltermfikwa4361 4 күн бұрын
Chizi wew unataka kubishana na radio.... Na huyo hawahusu nyie hvyo mwache kama alivyo na afanye km anavyotaka coz anatuhusu sisi Wana SSC. Na sio UTOPOLO 😂😂😂
@user-py7ro6cn8e
@user-py7ro6cn8e 4 күн бұрын
Hii ni simba we dada sijui ni dada au kaka, utajua mwenyewe, peleka coment yako ya kibano cha kunya kwa utopolo
@user-ys4zk3hx4f
@user-ys4zk3hx4f 4 күн бұрын
Mashine ya kuongea
@user-jy1wm8do8w
@user-jy1wm8do8w 4 күн бұрын
Kama mtafunga usajili bila beki wa kushoto tutafungwa sana
@mwanangusana
@mwanangusana 3 күн бұрын
@@user-jy1wm8do8w mbona unaanza kuogopa mapema ndugu yanguuu
@petro8010
@petro8010 4 күн бұрын
Mechi za Euro cup onesheni zote
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 10/07/2024
22:22
Azam TV
Рет қаралды 12 М.
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 4,3 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 17 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 12 МЛН
🔴Taarifa ya Habari ya Asubuhi, ..Julai 11, 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 168
NDARO ALIVOMTONGOZA SHEMEJI YAKE KISA STEVE UTACHEKA
18:43
Ndaro Tz
Рет қаралды 157 М.
Bravo jamoasi - Otash chatoq va yangi qo'shnilar
27:16
YangiKulgu Official
Рет қаралды 1,9 МЛН
На Равных Бегают? #shorts
0:38
ЧТО Я НАШЕЛ
Рет қаралды 544 М.
Не надо толкать, надо бить🥊
0:20
Алексей "Новатор" Сурков Тренер по боксу
Рет қаралды 1,5 МЛН
Она играет в футбол лучше всех 😯
0:28
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 738 М.