NONGWA ZA MSIMU (EP 02) | Mashabiki wacharuana ishu ya wachezaji kuuza mechi na kiwango cha Feitoto

  Рет қаралды 33,092

Azam TV

Azam TV

19 күн бұрын

Azam TV

Пікірлер: 78
@johnurio9151
@johnurio9151 16 күн бұрын
Miraji huwa nakukubali sana ila Kuna kipindi unashindwa kuwa mkweli, mechi ya Yanga na Simba ni wazi Simba walizidiwa
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 16 күн бұрын
Achana nao, nyakati zimebadilikia ila wao wanaishi nyakati zilizopita.
@malietamaliet
@malietamaliet 17 күн бұрын
miraji nakuelewa sana we ni shabik ata kama ujawai maybe kusomea uchambuzi ila kuna wachambuzi unawazidi wengi hapa bongo chukua maua🎉🎉 yako
@huseinbusaba5064
@huseinbusaba5064 17 күн бұрын
🤝🤝🤝🤝
@kazembeally1619
@kazembeally1619 17 күн бұрын
Mpira ni namba kama utazikataa namba bas mtakuwa mnapiga kelele.position ya namba kumi kazidiwa namba 8 bado ajawai kifikiwa namba ya mudathiri.
@ZakariaSimon-gp1gr
@ZakariaSimon-gp1gr 17 күн бұрын
Wanauza mech wachezaji tena
@user-bj6lx9ss6n
@user-bj6lx9ss6n 17 күн бұрын
Daaah Mashabiki wayanga Mbona Wapombalisana na soccer Wanaongeasana Kimapenzi ya team yao.
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 16 күн бұрын
Shida ya mashabiki wa yanga huwa si waelewa kisoka.
@MoshiMrisho-e6m
@MoshiMrisho-e6m 12 күн бұрын
😂😂mashabiki wa yanga 😂😂daah akiliamnakabisa pole alafu mpira amjui kabisa
@josiacharles2778
@josiacharles2778 13 күн бұрын
Swali la yanga kajibu vizuri miraji kuliko wenye yanga yao.😂
@husseinmassawa7186
@husseinmassawa7186 16 күн бұрын
Kwa anayejua ball, ata madrid asa hivi akija akiambiwa achague kati ya fei na ki ataenda kwa ki tu😅
@l.marley_2542
@l.marley_2542 9 күн бұрын
Naipenda sana Yanga ila tshabalala Bora kuliko kibabage
@MoiseMishenyimateranya
@MoiseMishenyimateranya 12 күн бұрын
Mada nizuri Saana kabisa fei Toto nimuzuri
@sajigwelunogelominga2446
@sajigwelunogelominga2446 17 күн бұрын
Mzee Chembela kaongea ukweli mtupu,huyo Gody na wenzeke wanaleta ushabiki
@Kabeya410
@Kabeya410 17 күн бұрын
Mgosi alikamatwa na pesa kutaka kuhonga mtibwa na alifungiwa
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 17 күн бұрын
Kipindi kizuri sana hichi. Siku moja nitakuja nina mambo mengi sana ya kuongea.
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 13 күн бұрын
Huyo baba mtangazaji anafurahisha sana anavouliza maswali
@saidjuma-j3r
@saidjuma-j3r 13 күн бұрын
Feisal mtu jamaniii Oooh😂😂😂😂😂😂
@osimtawa5392
@osimtawa5392 17 күн бұрын
Mzeee said 😅😅😅😅😅😅
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 11 күн бұрын
Feitoto akienda yanga anacheza pia Simba anacheza Azam anacheza kila tim hapa mpeni 🥀🥀yake acheni chuki utoporooooo
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 17 күн бұрын
Ni kuzidiwa tu kimchezo hakuna rushwa yeyote kwanza ushindi kwa mchezaji ni raha. ila kushawishi kumpa pesa ili ahame mchezaji ili ahamie tim nyingine inawezekana,
@WilfredSaidi-st3tn
@WilfredSaidi-st3tn 11 күн бұрын
2nataka part3 dodi🎉🎉
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 15 күн бұрын
Nakusikilizaga sana Miraji ila leo umepuyanga mzee. Rushwa ngumu sana kwa mpira wa sasa. Mchawi wa Simba ni Simba wenyewe
@hassansalum2572
@hassansalum2572 13 күн бұрын
Rushwa ipo popote wewe mpira wa bongo asa mechi hizi kubwa Rushwa tupu
@CikeTanzania
@CikeTanzania 17 күн бұрын
Siunaona kabisa mchezaji anasema mwenyewe aliambiwa asifunge ili asajiliwe.
@emasonindowo5321
@emasonindowo5321 11 күн бұрын
Huu ni uongoo mbona Kuna mwaka yanga alichukua point nne kwetu simba na nyuma mwiko ajachukua ubingwa😂😂😂
@bakanga1410
@bakanga1410 13 күн бұрын
ww dodi mwendesha kipindi na waongozwaji wote isipokuwa miraji na dosi ni wanafiki na wapuuz sana hakuna mwanamichezo hapo wala mpira hawajui
@PaulMuasya-z8c
@PaulMuasya-z8c 17 күн бұрын
Timu nzuri hii
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 16 күн бұрын
Inamana akuna shabikiyeyote wa yanga ambae anaweza akamkubali FEI.
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 17 күн бұрын
Fei anacheza mana alikua anakueka nnje azizik
@ramadhanrashidmthailand9553
@ramadhanrashidmthailand9553 13 күн бұрын
Huyo gody anaonekana hajui kabisa mpira anachojua yeye ni yangatu maana hata kwenye ukweli anabisha
@user-ui4vt9vl6h
@user-ui4vt9vl6h 12 күн бұрын
Mm yanga ila uy God mpl aujui
@ToshNester
@ToshNester 14 күн бұрын
Hiki kipindi kizuri sana.
@IddiHassan-mr3sb
@IddiHassan-mr3sb 14 күн бұрын
Asiwazingue kwani wskubwa wa wanafumgwa je jela mishahara yao kiasi gani
@jumaiddy441
@jumaiddy441 17 күн бұрын
Hawa wapuuzi hata chama walisema hana namba yanga leo imekua sherehe na lazima atacheza
@chiddmullo3241
@chiddmullo3241 9 күн бұрын
Oya milaji salut Sanaa kaka
@jumaiddy441
@jumaiddy441 17 күн бұрын
Huyu utopolo mbona kiherehere sana haitwa kanyanyuka hamuoni mwenzake miraji japo kashika mic lakini katulia tuli
@drallan6879
@drallan6879 11 күн бұрын
waulizeni yanga kuhusu rushwa;huko majaliws penati ilitolewa njee ya kumi na nane
@hassankumba6938
@hassankumba6938 12 күн бұрын
Rushes si lazima iwe fedha. Unaweza kuwa Zawadi au taktıma ya namna moja au nyingine.
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 11 күн бұрын
Milaji upo sahihi enjinia anasehemu zake nabaka sehemu yake,siyo enjinia enjinia enjinia wapi wewewewe,wengine kama hamuwezi kujibu kaa kimyaaaaa! halafu huyo enjinia amemaliza kesi ya wachezaji bado wazee 🤣🤣 mwambie awalipe!mnadaiwa unasema enjinia enjinia 🤣
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 13 күн бұрын
Huyo wa Azam bwege kweli
@enoshmhemakapaya
@enoshmhemakapaya 9 күн бұрын
Aiseeee yanga hakuna akili jamn yaan mnabisha hadi kwa fei dubbhh yanga chuki zimewajaaaa
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 11 күн бұрын
Alosema hakuna rushwa kumbuka kweli,na yawezekana huyo ndiye mhusika mkubwa anaficha makucha, Jibu rushwa ipo na mpaka kwa marefa,hiyo imeisha sema sasa mdhibiti hiyo tabia chafu
@abelimaganga417
@abelimaganga417 17 күн бұрын
Apo anayejua mpira ni miraji tu wengne wanapiga kelele tu mpeni miraj Mike Apo awafundishe mpira
@bone102
@bone102 16 күн бұрын
Yanga wengi wanaonyesha hawajui mpira
@abelimaganga417
@abelimaganga417 16 күн бұрын
@@bone102 kabsa hawajui kazi kubisha tu
@abelimaganga417
@abelimaganga417 17 күн бұрын
Kweli nimeamin utopolo wenye akili ni wawili angalia Apo wote mzeee chembela pekee ndo anaelewa mpira hao wengne ni vilaza kabsa
@asmaSheha
@asmaSheha 17 күн бұрын
Angalau ss utopolo wenye akili wawili nyie makolo nyote nimambumbumbu
@abelimaganga417
@abelimaganga417 17 күн бұрын
@@asmaSheha unaujua mpira wew au unabwabwaja tu kama umewekewa msumari wa Moto kwenye tako
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 16 күн бұрын
Acha matusi​@@abelimaganga417
@sakinasakina1286
@sakinasakina1286 11 күн бұрын
god bwege tuu kaona simba
@user-ee8tm4du8h
@user-ee8tm4du8h 14 күн бұрын
Uyo anaongelea uxhabiki
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 13 күн бұрын
Nani anaeongelea ushabiki zaidi ya huyo godi yanga
@user-ui4vt9vl6h
@user-ui4vt9vl6h 12 күн бұрын
Mm yanga ila god mpla ajui kbs daah
@user-xz2vl8up5e
@user-xz2vl8up5e 17 күн бұрын
noma sana
@kaizerabilahi5958
@kaizerabilahi5958 16 күн бұрын
Uto muna mkataa fei kisa hayupo kwenu ila angekuwepo mungemsifia tu
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua 17 күн бұрын
Fei ni kiraka watu hawaelewi Azizi sio kiraka
@mussahamad404
@mussahamad404 17 күн бұрын
Fei anadharauliw kwasababu hana passport ya nje
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua 17 күн бұрын
@@mussahamad404 passport ya nnje ni ipi hio
@ChenchiKing
@ChenchiKing 17 күн бұрын
Hii Team Uwaga Nahikubali Kinoma Yanii🎉❤🎉🇹🇿
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 17 күн бұрын
Unawatee Kwa sababu ww niyanga
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 16 күн бұрын
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 13 күн бұрын
Exactly brooo❤❤❤
@BibeLunangela
@BibeLunangela 17 күн бұрын
Hakuna rushwa niku zidiwa
@KhalfanSeleman
@KhalfanSeleman 10 күн бұрын
Polisi wanalipwa shilingi ngapi waambie trafki wote hawategemei mshahara
@bone102
@bone102 16 күн бұрын
Yanga wabadilike aisee yaani wakiona mchezaji katoka kwao lazima wamshushe viwango Mayele walimponda sana na matusi juu ila cha ajabu leo Mayele ndio topscorer ligi bora kuliko ligi ya Tz Yanga weng hawajui mpira wao ni kuisifia timu yao ndo maana timu yao ikiboronga wanavamia had nyumba za viongozi huu ni ujinga
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 16 күн бұрын
Hakuna mtu anadhushwa kiwango, kwa Mikson, Chama na Sakho walishushwa viwango walipoenda nje?
@user-hi6hf2wt1u
@user-hi6hf2wt1u 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 kimeumana
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 17 күн бұрын
Xavi mtupu
@leeobite2507
@leeobite2507 11 күн бұрын
CJamuona mikoi kisugu hApo
@allymtunge5530
@allymtunge5530 16 күн бұрын
Utopolo akilizao bhna Pascal msindo ana cheza yanga ana mtoa kibabage zimbwe anacheza, kibu d anacheza yule max amtoi kibu
@bone102
@bone102 16 күн бұрын
Yanga weng hawajui mpira wanapenda kusifia Timu badala ya kuongea mpira ushabiki maandaz sana
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 16 күн бұрын
​@@bone102sawa nyie mna wachezaji wengi wazuri
@malietamaliet
@malietamaliet 17 күн бұрын
😂😂😂😂tungoje kidg tutasikia uyo mama Azam wamempa nyumba kisa kumuongelea fei tungoje miez 2 tu
@saidabdul832
@saidabdul832 12 күн бұрын
Eti huyu ni mwalimu kajaaa chuki
@DanielChaula
@DanielChaula 13 күн бұрын
😂😂😂
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 16 күн бұрын
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 8 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,1 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
MZEE WA SALUTE/UBINGWA NI SIMBA MSIMU HUU
6:05
DISWA TV
Рет қаралды 4,2 М.
KIMENUKA: HANS RAFAEL vs JEMEDARI SAID/ HII NI BALAA
21:57
Crown Media
Рет қаралды 72 М.
КТО СИЛЬНЕЕ❓️ Качёк vs Роналду vs Лифтер
0:38
Три футболиста попали за решетку 😓
0:45
КИК Шорт!
Рет қаралды 629 М.
Три футболиста попали за решетку 😓
0:45
КИК Шорт!
Рет қаралды 629 М.
Players vs Haters + Ramos.. ☠️
0:36
best futball
Рет қаралды 8 МЛН