Wizara ya Ardhi yajipanga kwa maboresho sera ya matumizi ya ardhi

  Рет қаралды 296

Azam TV

Azam TV

10 ай бұрын

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi iko katika maboresho ya Sera ya Ardhi ili kuwa na sera itakayoleta suluhu kwenye changamoto za Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi nchini.
Hayo yamebainishwa tarehe 2 Septemba 2023 na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Makazi Duniani yaliyofanyika jijini Dodoma.
Amesema maeneo yanayoenda kufanyiwa maboresho ni suala la umiliki ambapo kwa mujibu wa sheria ya sasa, mwananchi anaweza kumiliki ardhi hata kama hajaitumia au kuiendeleza.

Пікірлер: 1
@user-ic5ie5nd1j
@user-ic5ie5nd1j 8 ай бұрын
Nakutakia mazuri kiongozi namba za simu zzko mkuu tunaomba wananchi tukupe changamoto zetu
Mdee aliamsha bungeni migogoro ya ardhi Kawe
10:32
Mwananchi Digital
Рет қаралды 660
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 13 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,4 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Zifahamu Kodi Zinazotozwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
17:41
#BUNGENILEO: MBUNGE ADAI MIPANGO MIJI BADO NI TATIZO SEKTA YA ARDHI
17:14
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 13 МЛН