MEDICOUNTER EPS 10: MAUMIVU YA KICHWA

  Рет қаралды 53,497

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 157
@NahimanaMariamu
@NahimanaMariamu 2 ай бұрын
Doctor mmi kichwa chagu kinafujoo ziii naomba ushauri nifanyenini nimeshounana namadactar nimeshopita kweny skm mpakasasa awajaonauganwa❤❤
@issasamson8909
@issasamson8909 Жыл бұрын
Daktari mm Nina kizunguzungu kikali Sana kichwa kinaishiwa nguvu kabisa na kinayumba chenyewe mishipa inakaza,macho yanauma sioni vzr
@happyadam8301
@happyadam8301 Жыл бұрын
Ww ni mim kinakua kizito mpk macho yanauma
@neemanelson6057
@neemanelson6057 4 ай бұрын
Ni Mimi kabisa
@GodfreyMwamaso
@GodfreyMwamaso 3 ай бұрын
Tuko wengi
@elizabethprosper6031
@elizabethprosper6031 5 ай бұрын
My perfect doctor❤ Mungu akupe maisha marefu😊
@MajaaliwaFaki
@MajaaliwaFaki 2 ай бұрын
dakatar mm kichwa kinawaka moto sana utosini na kisogoni kinawaka moto sana kila siku
@philemonrichard8082
@philemonrichard8082 2 жыл бұрын
Doctor mm kichwaa kinauma hii niwiki ya pili na mwili huchoka sana nakuwa najoto jingi hasa wakati was usiku
@EmpireMoviesNseries
@EmpireMoviesNseries 9 ай бұрын
Bro hujapima
@shebe2573
@shebe2573 7 ай бұрын
Kama mimi
@shomaryzonga4902
@shomaryzonga4902 3 жыл бұрын
Nashida docta naomba namba nikueleze
@NasibuFikiri-de5bu
@NasibuFikiri-de5bu Жыл бұрын
Nammm kichwa kinauma pand zot
@MillanHashimuMadenge-nu1ok
@MillanHashimuMadenge-nu1ok 2 ай бұрын
Kinaniuma nikiinama nikinyanyuka yani maumivu makali yana pwitwa kinagonga sana arafu maumivu yanakata apo apo mbaka niiname ninyake au nijilaze ninyanyuke aisee mbaka saivi nikiinama nanyanyuka kwa step kama roboti mana kikitingishika tu kinauna balaa . pia huwa natokwa dam puani nikipigwa ata kofi tu au ata nkijigonga kichwan au nikitembea juani
@ummusalim5088
@ummusalim5088 3 жыл бұрын
Toenii miziki inakeraa
@ndeshfosekaaya
@ndeshfosekaaya Жыл бұрын
Docta mimi niko arusha naumwa sana mishipa ya kichwa piresha hilipanda kichwani
@atarasilahyera1929
@atarasilahyera1929 8 ай бұрын
Mimi kinauma kichwa upande mmoja ni Nini hicho
@mchambuzi9089
@mchambuzi9089 4 жыл бұрын
Towen huo wimbo unatuketea keroooooooooo. Kma tuko Club
@abdikarimmohammed205
@abdikarimmohammed205 3 жыл бұрын
Daktari tafathali mm naumwa sana na kichwa almost 7 years mpka sai nimezoe dawa na kama sijakula inaniuma sana utaweza nisaidia aje tafathal niko nairobi
@jeniferemmanuel4251
@jeniferemmanuel4251 2 жыл бұрын
Pole sana ata kuva best Friend angu Ana ttzo hili nahittaj kumsaidia
@aminalakhan7171
@aminalakhan7171 Ай бұрын
Nina shida na dr wa kichwa
@cgko3929
@cgko3929 4 жыл бұрын
dakitari naunwa sana na kichwa pande moja shida ninini
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
We kam mm kuzunguk jicho la kulia kwa ndan mmmh ad ninywe vasograin sa sijui shid ni jicho
@ImeldaHanzuruni
@ImeldaHanzuruni 10 ай бұрын
@@faidhamyovela179kama mm umetumia nn ukapona yaani sina raha ikifika asubuhi
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 10 ай бұрын
@@ImeldaHanzuruni kipanda uso iko ila ukimywa vasograin kinaachia mm kinarudig baad ya miez au mwezi hiv
@saphiagimmy2050
@saphiagimmy2050 2 жыл бұрын
Mimi naitaji msaada wako doctor kichwa kinaniuma kwenye utosi hadi kwenye USO kama nikifanya mazoezi kinaniuma kama mawenge
@abubakarihamisikawambwa2465
@abubakarihamisikawambwa2465 2 жыл бұрын
Na mimi pia hivo ulipata tiba
@HappyElias-js8mx
@HappyElias-js8mx Жыл бұрын
Namimi hivyo mmepata tiba wenzangu
@zainaomar1545
@zainaomar1545 4 ай бұрын
mm daktari kichwa kina uma wiki ya pili hii kichwa kina ni bana kisha nasikia kiko kikavu nakisikia ubongoni alafu nasikia kumwa na macho maumivu nayasikia kwa macho na upande wa utosi na upande mbili na kizungu zungu
@MaryPhysoo
@MaryPhysoo 3 ай бұрын
Samahan doctor naomba no yako unisaidie nina miaka 7 naumwa kichwa nimebaki kumeza dawa za maumivu bila tiba 15:56
@neemaeppah2992
@neemaeppah2992 3 жыл бұрын
Jamani aliyepona na tatizo la kichwa aje atusaidie na sisi
@josephkalambi7178
@josephkalambi7178 20 күн бұрын
Naumwa kichwa kisogoni na utosini yaani kisogoni kama nimepigwa nakitu kizito na utosini kama machines sindano
@dainesdaudi5683
@dainesdaudi5683 3 жыл бұрын
Jaman msaada wenu kichwa kinaniuma sana nimesha angaika sana
@provianmandago5443
@provianmandago5443 2 жыл бұрын
Naomba kujua maumivu ya kichwa yanayoambatana na homa
@zuhuramike1399
@zuhuramike1399 3 жыл бұрын
Naomba no yenyu
@khadijasalum132
@khadijasalum132 4 жыл бұрын
Dokta nimekuelewa Sana shukran
@MarthaVicent-j4c
@MarthaVicent-j4c 2 ай бұрын
Dokta unapatikana wapi ? Nahitaji kutibiwa maana nina tatizo hilo la kuumwa na kichwa mara kwa mara
@zainaomar1545
@zainaomar1545 4 ай бұрын
muko wapi daktari sehemu gani mm naishi mombasa
@lilianjoshua477
@lilianjoshua477 3 жыл бұрын
Me kichwa kinaniuma kama vichomi vinavyochoma kwenye meno na masikio Sana kila mara lkn hasa nikipata stress
@bamburisundayschoolchurchb4861
@bamburisundayschoolchurchb4861 4 жыл бұрын
Doctor Mimi yangu imefura kwa komo gafla, baada ya kupaka dai kwa nywele
@NadiaJuma-en8sr
@NadiaJuma-en8sr Жыл бұрын
Mimi nimichale yamjicho laupande umoja
@mtatatvshow1044
@mtatatvshow1044 4 жыл бұрын
Dokta mimi naumwa nakichwa kwenye kisogo sijui tatizo nini
@MamaRujahna-qc6em
@MamaRujahna-qc6em Жыл бұрын
Doctor naumwa Sana kichwa na miaka 20 tu nikienda hospital wananipima uti na wingi wa damu lakini tatizo bado haliishi
@mariammuya5177
@mariammuya5177 Жыл бұрын
Naomba no ya doctor 11:07
@lovederyare6756
@lovederyare6756 5 жыл бұрын
Kichwa kinauma sana sana upande wa kulia mbele na nyuma
@officialmseleengineering
@officialmseleengineering 2 жыл бұрын
Mambo
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 2 жыл бұрын
tupo wengi
@abubakarihamisikawambwa2465
@abubakarihamisikawambwa2465 2 жыл бұрын
Ulipata tiba mm pia bado nasumbuliwa ??
@annawilliam347
@annawilliam347 10 ай бұрын
Duuh mi mpaka naogopa
@KimtaiLimo
@KimtaiLimo 5 ай бұрын
Daktari nimehisi maumivu ya kichwa huu ni mwaka wa tatu naomba usaidizi tafadhali
@KhadijaKhadija-p3k9y
@KhadijaKhadija-p3k9y 4 ай бұрын
Dah nikajua Niko peke yangu !!! Kumbe tuko wengi!!!
@fadhilahzuberi4116
@fadhilahzuberi4116 Жыл бұрын
Tatizo mnaogea tu hamtoi namba hiyo ndio shida yenu
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Жыл бұрын
Na ukiuliza maswali Dr hajibu! Dr tunaomba itusaidie Kwa kutujibu maswali yetu...jamani kichwa kinauma vibayaaaa
@zainaomar1545
@zainaomar1545 4 ай бұрын
mpaka mishipa yaniuma kwenye komo pande mbili za ubongo maumivu makali kwa kichwa
@HappnassMasatu
@HappnassMasatu 10 ай бұрын
Namba zako doctar plz
@lovederyare6756
@lovederyare6756 5 жыл бұрын
Dct me nna swali niliandikiwa dozi ya power safe cndano 7 ila baada ya kuanza kuchoma hizo cndano mpk na amaliza kichwa kinauma tu sas hv nna siku ya 3 toka nimalize cndano lakin bado kinauma tu
@Swafia-Abdallah8
@Swafia-Abdallah8 3 жыл бұрын
Doctor mimi Niko na Shida ya kuumwa na kichwa upande wa kushoto,at the centre
@songorajackson6757
@songorajackson6757 5 жыл бұрын
Dr mi kichwa mi nina shida ya kichwa no zangu
@priva7421
@priva7421 2 жыл бұрын
Samahan doctor Mimi mishipa ya kichwa unaniuma shida itakua ni Nini?
@samweldiamond502
@samweldiamond502 4 жыл бұрын
Docta namba zako nimuhim kwetu cc wagonjwa
@michaelmshani3665
@michaelmshani3665 4 жыл бұрын
Doctor kweli unayo ongea kwamba madaktari wengi awafati historia ya mgonjwa
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 3 жыл бұрын
Dr please naomba namba yako mimi kichwa kinanisumbua sana Ni mwaka wa nne naomba unisaidie please
@akhtarrashid7793
@akhtarrashid7793 5 жыл бұрын
Doctor mie naumwa na kichwa hii week nshachumwa sindano mbili za maumivu lakin bado kinauma
@Reemttt-j7o
@Reemttt-j7o 2 жыл бұрын
Doctor naomba number yako mmangu ana tatizo la kichwa tafadhali xana ajiwezi kwa ssa wallahi nisaidie
@MwandiweSalum
@MwandiweSalum 11 ай бұрын
Samahan doctor naomba namba yako nnashida sana naomba unisaidie
@magrethmichael2426
@magrethmichael2426 Жыл бұрын
Mnapatikana wapi
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 2 жыл бұрын
JAMAN NAOMBEN NAMBA YA HUYU DOCTOR PLZ😭😭😭😭😭
@zainaomar1545
@zainaomar1545 4 ай бұрын
na mishipa yashingo kuniuma
@theclamassewe3629
@theclamassewe3629 4 жыл бұрын
Daktari namba yako tafadhali tuandikie tupate hata maelekezo kidogo tafadhali
@NuuruKassim
@NuuruKassim 10 ай бұрын
Doctor habari mm Nina shida na mttz y kichwa MN kinanikaza sana mbele ya uso mpka nyuma lkn juu kinauma lkn maumvu yk kwa mbli ss ttz nn
@beathakilunguu7652
@beathakilunguu7652 3 ай бұрын
Kama mimi jmni
@fatumahamis4257
@fatumahamis4257 4 жыл бұрын
Hujambo daktari,Mie nimeumwa na kichwa SASA week2 tafadhali nielekeze doctor.
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@salminmabrouk5433
@salminmabrouk5433 2 жыл бұрын
@@mercyhealthcare5695 Hello
@salminmabrouk5433
@salminmabrouk5433 2 жыл бұрын
@@mercyhealthcare5695 Nataka kuonana na doct wa kichwa nifanyeje
@gladnessterry2465
@gladnessterry2465 2 жыл бұрын
Doctor huo wimbo jamn toeni hatusikii
@aminashabani4586
@aminashabani4586 Жыл бұрын
Doc,mbona nahisi ndani ya kichwa changu kuna tembea wadudu upande wa kulia ,baada ya hapo kichwa changu kinauma cana ,shida ni Nini doctor nisaidie
@SamiraNifashasssc-vn9bx
@SamiraNifashasssc-vn9bx Жыл бұрын
Ilotatizo linasumbuwa kabisa atamimi niivio naisi kama wa dudu wanatembea
@aishaaboubakar7147
@aishaaboubakar7147 7 жыл бұрын
me dokt kinaniuma kichwa sana nahic km mishipa inanibana sana kichwa kizima hd shingo yote ht kuongea najickia shida sana. sa sijui utanishaur vp.
@sweetheartschannel7120
@sweetheartschannel7120 7 жыл бұрын
Nazani aisha tatzo lako ni kama langu vipi hadi saiv umefanikiwa kama umefanikiwa nielekeze namm mana nimemaliza tiba zote sijafanikiwa bado
@sweetheartschannel7120
@sweetheartschannel7120 7 жыл бұрын
Aisha Aboubakar
@sweetheartschannel7120
@sweetheartschannel7120 7 жыл бұрын
Aisha Aboubakar namba yangu hii hapo kama unatumia WhatsApp nitafte +255779804000
@emmanuelkigola7955
@emmanuelkigola7955 6 жыл бұрын
Aisha Aboubakar mambo vipi hata mm nasumbuliwa na kichwa sjui.tatzo nn
@emmanuelkigola7955
@emmanuelkigola7955 6 жыл бұрын
sweethearts channel ww kina mda gani toka kianze kuuma
@husnamushi1163
@husnamushi1163 5 жыл бұрын
Mimi kichwa kinanitesa mno doctor mpka nakosa amani yaani mnoooo mpk nais kuchangnyikiwa
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@raidenmaverick8191
@raidenmaverick8191 3 жыл бұрын
I realize I am quite off topic but does anybody know of a good place to stream new series online?
@cadetate3023
@cadetate3023 3 жыл бұрын
@Raiden Maverick try flixzone. Just search on google for it :)
@jaxxonleighton4105
@jaxxonleighton4105 3 жыл бұрын
@Cade Tate Yea, I've been watching on Flixzone for years myself :D
@raidenmaverick8191
@raidenmaverick8191 3 жыл бұрын
@Cade Tate Thanks, I went there and it seems like they got a lot of movies there :D Appreciate it!
@latifakalunde3565
@latifakalunde3565 4 жыл бұрын
Kichwa kinanisumbua sana kama.kinawaka moto jaman sijui shida nini ,hakipoi na kuna muda Kama nawaka moto
@SofiaSofia-fq8qy
@SofiaSofia-fq8qy Жыл бұрын
Tatizo lako kama langu vp ulipona
@emanuelmacha9827
@emanuelmacha9827 4 жыл бұрын
Doctor ninatatizo lakuumwa kichwa upande mmoja wakushoto je kunatatizo gani au nitumie dawa gani
@najmagoa4727
@najmagoa4727 4 жыл бұрын
Mambo broo alikupa no zake dokta
@najmagoa4727
@najmagoa4727 4 жыл бұрын
Mambo broo alikupa no zake dokta
@theclamassewe3629
@theclamassewe3629 4 жыл бұрын
Dokta baba angu alipata stroke miaka minne nyuma, alitibiwa akawa anaendelea vizuri kabisa hadi akawa anaweza kutembea mwenyewe lkn saivi anasumbuliwa sana na kichwa mfululizo yaani akipoi kila akipimwa tatizo alionekani anapewa dawa za maumivu tuu lkn hazisaidii, tunashindwa kufika muhimbili sababu ya hali uchumi, kapimwa hadi site scanner lkn hamna kitu....
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@yusrat1141
@yusrat1141 2 жыл бұрын
Yani me Sina lakuongea nateseka sana nakichwa DOCTAR tusaidie
@RahmaRahma-ie6ey
@RahmaRahma-ie6ey 2 жыл бұрын
Sahani Dokta pole na kazii samahani naomba unitumie namba yako kwanjia ya Wasap Mimi sipo Tanzania ilinikueleze vizuri
@MariamOmari-mj3te
@MariamOmari-mj3te Жыл бұрын
Tunaomba namba yako naumwa nakichwa sana
@rosyotieno7271
@rosyotieno7271 3 жыл бұрын
Dr naomba namba
@rosenjau3576
@rosenjau3576 6 жыл бұрын
dokta me kichwa kinawaka noto utosini na saa nyingine nasikia ganzi kichwa kizima shida ni ni dokta naitaj msaada
@tanzaniangirl1980
@tanzaniangirl1980 6 жыл бұрын
Tatizo lako ndo tatizo nililo nalo
@gracekikonda7628
@gracekikonda7628 6 жыл бұрын
DOKTA.mwanangu.anasumburiwa.na.kichwaa.marakwamara .akirudi.shure.macho.anasema.yanauma.na.kichwa.naomba.ushauri.wenu
@gracekikonda7628
@gracekikonda7628 6 жыл бұрын
DOKTA.naomba.msaada.wa.namba
@dahappy5879
@dahappy5879 5 жыл бұрын
Mi naumwa Kama wewe vip umepata matibabu na mm unisaidie
@loveneselia3070
@loveneselia3070 4 жыл бұрын
Ata mm jaman tena adi mishipa
@hemedsabuni3869
@hemedsabuni3869 5 жыл бұрын
Dr.naomba namba yako kichwa change kinasumbua
@khadijayussufsaid134
@khadijayussufsaid134 4 жыл бұрын
Mi nakaa naumw n kichw upand mmj c maumiv makal bali upand huu huu nahc km kun kitu kinanikandamiza nahc km kit
@suhmkondela9863
@suhmkondela9863 3 жыл бұрын
Umepona na nn
@ndeshfosekaaya
@ndeshfosekaaya Жыл бұрын
Nifanyeje?nipone
@najmagoa4727
@najmagoa4727 4 жыл бұрын
Mm dokta niko na meno yauma wiki mbili sasa na kichwa nacho pia nakisikia kizito nimemeza dawa lakini wapi
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@innocentmugunda3369
@innocentmugunda3369 4 жыл бұрын
Jana nimeamka kichwa kinauma sana upande wa kulia na iliambatana na maumivu upande huo huo tatizo n nn
@veronicadiwani6022
@veronicadiwani6022 3 жыл бұрын
Na mm hvyo hvyo hapa hata kazi imenishinda nimelala tu
@neypeter4908
@neypeter4908 3 жыл бұрын
Hats mim
@najmagoa4727
@najmagoa4727 4 жыл бұрын
Dokta tupe namba yako
@zuenasaimon2224
@zuenasaimon2224 4 жыл бұрын
Docter mi kichwa kinaniuma upande wa nyuma, macho mpaka kifua kinaniuma naomba unisaidie
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@safiam5285
@safiam5285 3 жыл бұрын
Mziki haina haja inakera
@susanayiean4954
@susanayiean4954 5 жыл бұрын
Dr t afadhali naomba number Yako niko na Shida ya kichwa
@tabudominick9219
@tabudominick9219 6 жыл бұрын
dokta mie sikio linauma saana
@anchortechnicx5014
@anchortechnicx5014 6 жыл бұрын
Wewe unatatzo kama langu
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@kidotjames922
@kidotjames922 7 жыл бұрын
Doctor mimi kichwa kina niuma sana Hali hii imetokea wakati napika chakula nikaanza kujiskia kizungu zangu mpaka sasa najiskia hivyo chini ya kitovu Pana kuwa kama panawaka moto
@emmanuelmtaita2460
@emmanuelmtaita2460 7 жыл бұрын
Kidot James pole sana
@ludoviclimo4153
@ludoviclimo4153 3 жыл бұрын
Mimi nasikia nachomwa namisumari kichwani ninini?
@JuriethShaban
@JuriethShaban Ай бұрын
Dada umeshapono
@malkhamwinyi4246
@malkhamwinyi4246 3 жыл бұрын
Doctor mi mjamzito miez mitatu ila naumwa sana kichwa vp apo
@thomasshija1135
@thomasshija1135 3 жыл бұрын
gharama yenu ya vipimo
@z.nalnabhani7194
@z.nalnabhani7194 4 жыл бұрын
Doctor husomi comment
@daatydagharo7700
@daatydagharo7700 5 жыл бұрын
Jamn ninapata maumivu ya ndani ya kichwa tena kuna wakati kama nasikia maumivu haya yana move yaani kama vile mafuta yakimwagika yanavyotambaa kwenye sementi. Dr naomba nisaidie hii ni mini na tuba take ni nn?
@samweldiamond502
@samweldiamond502 4 жыл бұрын
Daaty Dagharo tatizo lako linafanana na langu tuungane tujue tunasaidiane vip
@loveneselia3070
@loveneselia3070 4 жыл бұрын
Sana
@jacquelinejemes6246
@jacquelinejemes6246 4 жыл бұрын
Ulimpata Doctor jamani
@jacquelinejemes6246
@jacquelinejemes6246 4 жыл бұрын
Naomba tuwasiliane
@daatydagharo7700
@daatydagharo7700 4 жыл бұрын
Mambo Jacqueline naomba tuwasiliane kwa email
@rabinzsinoya8160
@rabinzsinoya8160 5 жыл бұрын
Doctor mimi ninamatatizo ya kichwa naomba tuwasiliane kwa number hii araka iwezekanavyo, 0788 03 79 79
@saidbonge3033
@saidbonge3033 6 жыл бұрын
doctor naomba namba yako
@godfreyedgar4112
@godfreyedgar4112 5 жыл бұрын
Dr . Nakuomba nipigie kwenye namba0785-440-125 Nina shida
@anithatheobardy5693
@anithatheobardy5693 6 жыл бұрын
Docta nicheki chenye no 0677968632 plz
@frankkibuga6514
@frankkibuga6514 6 жыл бұрын
docta nichek 0686556909
@fadhilahzuberi4116
@fadhilahzuberi4116 Жыл бұрын
Doctor kichwa changu kinawaka moto
@atarasilahyera1929
@atarasilahyera1929 8 ай бұрын
Mimi kinauma kichwa upande mmoja ni Nini hicho
Dalili Za Mtu MWenye Msongo Wa Mawazo (Stress)
7:10
Joel Nanauka
Рет қаралды 43 М.
Neuroplasticity Explained: How to Rewire Your Brain for Mental Strength
12:30
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН
MEDICOUNTER EPS 11: SICKLE CELL
24:25
Azam TV
Рет қаралды 456
How the Endocrine System Works
5:46
Nemours KidsHealth
Рет қаралды 1,9 МЛН
Throat Exercises for Snoring and Sleep Apnoea (myofunctional therapy)
14:11
Vik Veer - ENT Surgeon
Рет қаралды 1,9 МЛН
DOKEZO LA AFYA: Aina za maumivu ya kicbwa
2:57
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 66 М.
Matibabu Ya Ugonjwa wa Kisukari - Daktari Caroline Mithi
3:53
Kenyatta University Hospital KUTRRH
Рет қаралды 12 М.
Decentralized Medicine | Jack Kruse | Assembly 2023
43:06
Urbit
Рет қаралды 2 МЛН
Nvidia CEO Huang New Chips, AI, Musk, Meeting Trump
15:28
Bloomberg Technology
Рет қаралды 222 М.
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН