Dalili Za Mtu MWenye Msongo Wa Mawazo (Stress)

  Рет қаралды 35,711

Joel Nanauka

Joel Nanauka

3 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 107
@abelntobi382
@abelntobi382 3 жыл бұрын
Nasubili kwa hamu kubwa bro...maana stress NI ugonjwa wa watu wengi hususa ni money stress na love stress ziongoza sana
@fedharmmark6398
@fedharmmark6398 3 жыл бұрын
Ahsante kwa Elimu hii mkuu, Ubarikiwe sana.
@beatricemabula4783
@beatricemabula4783 10 ай бұрын
ahsante Joel. wewe umeletwa kwa ajili ya watu wengi
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI Ай бұрын
Allah atufanyie wepesi
@samohazakwani6899
@samohazakwani6899 3 жыл бұрын
Habari za leo brother. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Somo la leo linatusumbua wengi, points nyingi hapo zimenigusa.
@nelsonmpolochacha5035
@nelsonmpolochacha5035 3 жыл бұрын
Asante sana kaka. Hapo kwenye Maamuzi Umenikamata.
@fikabmwakabungu1128
@fikabmwakabungu1128 Жыл бұрын
Very true. Nina dalili kama nne hapo. Asante sana kwa somo zuri
@mariamayoob8734
@mariamayoob8734 3 жыл бұрын
Asante kwa somo
@jemimasibonike-gn8gh
@jemimasibonike-gn8gh Жыл бұрын
Asant sana kaka mm nipo kwenye kusahau na kujiona nimeibeba Dunia Yani mambo meng utulivu nashidwa
@jacksongilbert3212
@jacksongilbert3212 Жыл бұрын
Kwakweri solo zuri sana ,nasumbuliwa naugonjwa wakusahau
@juliusmusyoka1857
@juliusmusyoka1857 3 ай бұрын
Thanks for...
@nancychiberenge3811
@nancychiberenge3811 Жыл бұрын
Ni kweli ukisemacho nami ni mmoja kati ya watu waliyo athirika na stress had kupelekea mda kichwa kuuma na kupatwa na kizunguzungu!
@stabilityh2423
@stabilityh2423 3 жыл бұрын
Bro ii topics is so important.
@user-tu4es9bs7c
@user-tu4es9bs7c 9 ай бұрын
Ahsante kwa elim nzuri Nina rafikiangu anabaadhi ya dalili ulizozitaja nimsaidieje ili aondokane Na hali hio....
@EstherNicodemus-db1sl
@EstherNicodemus-db1sl 9 ай бұрын
Am watching this video when I have all the symptoms 🥹and I don't know how help myself Mr Joel🙏
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Ahsante sana
@joycehaule4520
@joycehaule4520 Жыл бұрын
Karibu zote ninazo
@godfather6769
@godfather6769 Жыл бұрын
Brother uko sawa
@reginaldchrisent9632
@reginaldchrisent9632 3 жыл бұрын
Asante bro Ila nataka kujuaa au kupata clip ambayo inahusu jinsi ya kuondoa tatizo la kupotezaa kumbuku
@SimonMwangi-kc2ht
@SimonMwangi-kc2ht 2 ай бұрын
Yes
@Aki10Frankly
@Aki10Frankly 11 ай бұрын
Kweli kabx ❤
@albertinemacimu1247
@albertinemacimu1247 3 жыл бұрын
Nasubiri sana kaka
@peterjanuary7567
@peterjanuary7567 3 жыл бұрын
Kaka nakubaliii👏👏
@mohammedmohammed7334
@mohammedmohammed7334 2 жыл бұрын
Asant sana kaka, nikweli mm Nina tatizo la kupata usingizi
@nevagasmsamba5060
@nevagasmsamba5060 3 жыл бұрын
kweli kabisa hizo dalili na watu hao wako wengi sana nakutana nao hospital na wakat mwingine mm mwenyew najistukiaga sana nikianza kuona baadhi ya hizo dalili
@francissamcky4496
@francissamcky4496 Жыл бұрын
Kaka me nashukuru sanaa kwa somo lako kwasababu nilikuwa nasumbuliwa sanaa na tatizo la kuwaza kupita kiasi nilikuwa naomba suluhisho lakuacha kuwaza kupita kiasi
@zanzibartotheworld7826
@zanzibartotheworld7826 10 ай бұрын
Dalili ninazo na pia nina tatizo la kujishtukia nikiona watu wanaongea wanacheka nahisi wananiongelea mm nateseka sanna dokta naomba unisadie akili yangu haiko sawa
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 Ай бұрын
Dooh mie ndo kwisha habar😢😢
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 3 ай бұрын
Astress ni ugonjwa niko naumwa,tena naelekea kwenye shida ya afya ya akili.nasahau sana,siwez hta kuendesha gari .umri mdgo matatizo mengi
@samsonmdemu6067
@samsonmdemu6067 Жыл бұрын
Sana yani Mimi za kuzidi
@user-ko1dh8zf7p
@user-ko1dh8zf7p 10 ай бұрын
Mimi nimekabiliana na shida hio kazini kwasababu ya mdosi na kelele zake Hadi nasikia ndani ya roho yangu naumwa nasikia kulia punde tu namwona😢😢
@aminasalim7571
@aminasalim7571 9 ай бұрын
Asante sana Binti yangu anahizo dalili na Yuko kidato Cha 3 na imepelekea mpaka sasa anatabia yakuangu na kukosa uwezo wakiongea.. pls naomba msada wako kwaajili ya bint yangu
@Morine_kn1lt
@Morine_kn1lt 2 ай бұрын
Hapo zote ninazo😢
@remymukosa7928
@remymukosa7928 3 ай бұрын
Nitumie Namba yako kaka joel
@davismagafu4732
@davismagafu4732 3 жыл бұрын
Aisee kwa upande wangu almost dalili zote nakutana nazo kaka joel
@eliabjohn3798
@eliabjohn3798 Жыл бұрын
Daaaaah
@vailethandrew2113
@vailethandrew2113 Жыл бұрын
Dalili Zotee ninazo hapo naishi naisha tu😭
@aminajuma1435
@aminajuma1435 3 жыл бұрын
Yaani najiona kabisaaaa… hizo dalilizote ninazo kwakweli… hadi najihofia kwakujiuliza hivi kitokea nikaingia kwenye ndoa nitaweza kudumu mudamrefu kweli.
@mumanyimulyowa8361
@mumanyimulyowa8361 3 жыл бұрын
Yawezkan stress zako zinasababishwa na kutokuwa na mahusiano ya kueleweka Maana wakati mwingine akili au mwili huwa vinapata pumziko kwa kukaa kubadirishana mawazo na mpenzi wako na hasa pale umri unapokuwa umetimia
@ahz6907
@ahz6907 3 жыл бұрын
@@mumanyimulyowa8361 true
@levinanolasco1807
@levinanolasco1807 3 жыл бұрын
Aiseee.najiona Kama hizo dalili zote ninazo labda tu sijakosa usingizi Wala kuugua Ila hizo nyingine nimekumbana nazo naomba unisaidie nifanye nini Joel maana Ni kweli Nina stress sana
@user-xk6st3zn6e
@user-xk6st3zn6e Жыл бұрын
Dalili zote ninazo na ninateseka sana nimechoka mpaka mkono wa kushoto unamaumiv na shingo na moyo naomba nisaidie kaka angu😭😭😭😭
@zulpharashid3376
@zulpharashid3376 11 ай бұрын
Mipia hadi kichwa upande wa uso unakua namaumivu ya mkazo 😭😭
@sunwizy608
@sunwizy608 3 ай бұрын
polen woteee jamn
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 3 ай бұрын
Mm ninasahau nahis km siku si nyingi nitaanza kuongea peke yangu.nina stress mno,natamani nihame niende porini sitaki kumwona mwanadamu machoni pangu
@sunwizy608
@sunwizy608 3 ай бұрын
@@rosemarysulle9288 pole mwangu mtangulize mungu kwenye izo changamot zako
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 3 ай бұрын
Mm ninasahau nahis km siku si nyingi nitaanza kuongea peke yangu.nina stress mno,natamani nihame niende porini sitaki kumwona mwanadamu machoni pangu
@lindajoyce5666
@lindajoyce5666 2 ай бұрын
Hi.mimi naumwa nakichwa sana
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
💜👍
@mukreemhassan7347
@mukreemhassan7347 2 жыл бұрын
Asa tufanyaje ili kumbukumbu zetu ziwe fresh na ilo la Kilala sn kweli pia ninalo kabisa asa tufanyeje na ilo ttz la kuumw pia kweli kutwa kutumwa sn Kila siku naumwa mie JE nifa nyeje asa please
@user-tx9mq2tr6j
@user-tx9mq2tr6j 4 ай бұрын
Mwalimu apo yote yapo yananitesa sanaa
@lydiaseventy5509
@lydiaseventy5509 2 жыл бұрын
Asante sana mimi nina dalili mbili kitabu nitakipataje?
@muhamadihamadi471
@muhamadihamadi471 Жыл бұрын
Mm mawazo yangu yanapelekea homs
@user-fb8jw3yp5v
@user-fb8jw3yp5v 11 ай бұрын
Ninazo dalili 4
@vailethkilewo2480
@vailethkilewo2480 9 ай бұрын
Dr mm napitia izo dalili mpaka nahisi kuchanganyikiwa
@bina2557
@bina2557 Жыл бұрын
Mimi najiona hapo No 2
@AdelaKauki
@AdelaKauki 9 ай бұрын
Ndiyo nimeshawahi kuona baadhi ya.dalili hizo na ninaumwa tumbo mda mrefu lakini animeshaenda hospitali mbili tofauti nikaambiwa Sina ugonjwa wowote.
@HpHp-vo7pu
@HpHp-vo7pu 10 ай бұрын
Mimi imenipeleka pabaya sana hata kujikwamua nashindwa
@janethstephen7869
@janethstephen7869 5 ай бұрын
Nimekutana na kukosa usingiz na nikienda hospital nikipima tatizo hakuna ila najiona siko sawa
@ThomasOmarymnyampanda
@ThomasOmarymnyampanda 4 ай бұрын
Mimi Doctor kichwa kinauma sana na wakatimwingine napata.bardi kali wakati juwa lina waka
@evansmomanyi8144
@evansmomanyi8144 6 ай бұрын
Mimi . Evans momanyi Niko na shida ya usingizi.tafatari naomba dawa ya usingizi. Juu nalala kila mala.
@ramamwanjala7350
@ramamwanjala7350 2 жыл бұрын
Bro hizo dalili zote ulizo zizungumzia mm ninazo please bro utanisaidiaje kk
@evansmomanyi8144
@evansmomanyi8144 6 ай бұрын
Mr Joel please mimi nalala sana ni saidie na sawa please
@shaniaking7525
@shaniaking7525 2 жыл бұрын
Mimi zote hizo ninazo na zaidi.tena nahis kuchanganyingiwa kabisa.
@kobelochamanga9757
@kobelochamanga9757 2 жыл бұрын
Namba tano apo
@hussenabdi3775
@hussenabdi3775 Жыл бұрын
Mimi niko na hali hiyo 😢
@alecelenyau3144
@alecelenyau3144 3 жыл бұрын
Msaada plz dalili zote ninazo hasa hasira nisizoweza kuzicontrol siitaman hiii hali nisaidieni jaman
@sadathkawambwa3828
@sadathkawambwa3828 Жыл бұрын
Mm Kila siku kuumwa jaman nishachoka hata kwend hospital naona namalz hela tyuu
@BrigitteRachel-gf9zz
@BrigitteRachel-gf9zz 3 ай бұрын
Yani uyo ni mimi sio muongeaji sahivi naongea sana
@khamisjaffar2094
@khamisjaffar2094 Жыл бұрын
kuna dawa Gani ya kuondoa ili tatizo !?
@mohammedadam8261
@mohammedadam8261 Жыл бұрын
Hapo hizo dalili zote naon nimeshapitia kwakweli hospital nimeenda san lkn ndo hvyoo chanzo kikbwa n mahusiano yang
@user-op7ze8hl7l
@user-op7ze8hl7l 6 ай бұрын
Ndio ni mimi mwenyewe kitukidogotu nachukia sana
@maelezomaelezo9057
@maelezomaelezo9057 3 жыл бұрын
Strees yagu mm nasizia balaaa sijui akili inafanya kaz sana ata sielew
@NyangiKaniki-dj7kb
@NyangiKaniki-dj7kb 9 ай бұрын
Nakosa ucngz,,,kwa mchana ndo umeisha kabisaaa,kuumwa sasa mwili hauna nguvu shingo mabega, yaani kichwa kizitooo
@SizzoSela29-sh8nz
@SizzoSela29-sh8nz 5 ай бұрын
Upo kama Mimi hivo hivo
@matridamahundi2090
@matridamahundi2090 Жыл бұрын
Mm Nina mawazo mengi adi nawaza nachoka natamani ata nilie sijui nifanyaje apo kila point imenigusa 😢😢duh tena kichwa kinaniuma upande wa kulia kila siku
@saumuseif9189
@saumuseif9189 3 жыл бұрын
Mimi nnatatizo lakusahau
@Furaha-Dokela
@Furaha-Dokela 5 ай бұрын
Mimi zote hizo
@MohamedMohamed-fc7vh
@MohamedMohamed-fc7vh 2 жыл бұрын
Ni kweli doctor Ila nisaidie namba yako pls Nina Jambo private
@hashimumchalo7613
@hashimumchalo7613 5 ай бұрын
Namba zako napata wapi
@stabilityh2423
@stabilityh2423 3 жыл бұрын
Bro ndio hyo frequent bad decision ebu nishauri bro
@ndeshfosekaaya
@ndeshfosekaaya 11 ай бұрын
Mimi.niko.arusha.nasumbuliwa.sana.kuumwa.kichwa.kwa.muda.wa.miaka.mnne.nikiwaza.au.kukasirika.naumwa.na.kichwa.na.mishipa.sana
@hasanihamisi555
@hasanihamisi555 2 жыл бұрын
Joel nakukubal
@nelsonkalembe6640
@nelsonkalembe6640 2 жыл бұрын
Asante sana Joel mungu akubariki somo hili umenitoa mbali kila nikiangalia video zako zinanifanya nakuwa naujuzi
@emilianapunda5117
@emilianapunda5117 2 жыл бұрын
Pole na majukumu unafanya kazi zuri nimetoka kusikiliza video Sasa hivi kweli nimegundua Nina stree kweli naitaji msaada haswaaa
@KhadijaHamis-ro3uo
@KhadijaHamis-ro3uo 8 ай бұрын
Mimi naona nina ilo tatizo utanisaidiaje dokta
@SalumPius-xw4dr
@SalumPius-xw4dr Жыл бұрын
Mh mie dalili zote hizo ninazo
@omanjalan582
@omanjalan582 9 ай бұрын
Mi stres yangu nkukosa uzngingiz
@SizzoSela29-sh8nz
@SizzoSela29-sh8nz 5 ай бұрын
Natamani kupata namba yako
@user-fz9yv7ew3j
@user-fz9yv7ew3j 9 ай бұрын
Duuh na kupungua pia ni moja ya stress et
@barakamwaka561
@barakamwaka561 Жыл бұрын
Mimi ninakabili Hali hiyo
@suleimannjama6308
@suleimannjama6308 7 ай бұрын
Nisaidie namba yako kaka
@joyceemmanuel6217
@joyceemmanuel6217 2 жыл бұрын
Kaka Joe STRESS Vs PSYCHOLOGICAL TROMA inakujae hiyo
@MusicBongo255
@MusicBongo255 2 жыл бұрын
Daaaah Mimi zipo kama mbili hivi zimenipata hapo kwanza kukosa usingizi pili baada ya kazi kidogo nahisi kichwa kimevulugika yani naona maluwe luwe2 na pia hata katika kazi yangu mala nyingi makosa huwa hayakosekani pia usahaulifu pia ingine hujaitaja kujiona tofauti na wengine yan wao ni bora kuliko mimi
@zuhurakituyi3542
@zuhurakituyi3542 Жыл бұрын
Mimi nina miaka 33kwa ndoa nanimedundua mume wangu ana mke mwingine bila idhini yangu, nifanyeje maana ninaumwa na kichwa none stop najiuliza maswali mengi sana.
@ErickKimaro-bf8zs
@ErickKimaro-bf8zs 8 ай бұрын
😭😭😭😭dah izi dalili karibia zote ninazo😭😭😭ndugu yangu nisaidie please 😭😭😭
@praxedamsoma8545
@praxedamsoma8545 4 ай бұрын
Ntaoataje no yako
@praxedamsoma8545
@praxedamsoma8545 4 ай бұрын
Ntapataje no yako
@joselyneninkunda8702
@joselyneninkunda8702 2 жыл бұрын
Dalil zote niko nazo.sijui nitapona vipi maana anae ni fanya niw na stress hata nikiongea nae vip hana mpango wa kubadilika nifanyeje kaka?
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 3 жыл бұрын
Ndoyo Mimi stress imenifikisha mbali sanaa,maisha yangu natumia dawa za stress
@danielnjowoka9412
@danielnjowoka9412 3 жыл бұрын
Daaah pole Sana
@lameckjohn3257
@lameckjohn3257 3 жыл бұрын
Do you know that you have MIND? Kama utajifunza namna yako MIND inafanya kazi ni rahisi sana kukabiliana na tatizo la stress. Kama uko interested 0718 54 50 56 By the way stress ni kitu kizuri sana kama utajua namna ya kukitumia kukupa matokeo mazuri.Stress means changes or something has to change
@suzanaagustinookelo4953
@suzanaagustinookelo4953 3 жыл бұрын
Me nakosaa usingizi usiku
@suzanshayo81
@suzanshayo81 3 жыл бұрын
Nina dalili hiyo ya kukosa usingizi jmn Naweza nkakesha hata usiku kucha Au hata nkilala sina usingiz wa mda mrefu
@hellenismail4351
@hellenismail4351 3 жыл бұрын
Pole sanaaaaa..Mungu akusaidie
@tertulamosille2503
@tertulamosille2503 2 жыл бұрын
Tuko wengi jamani
ONDOA UCHUNGU NDANI YA MOYO - JOEL NANAUKA
7:04
Joel Nanauka
Рет қаралды 90 М.
Mambo 3 Ya Kufanya Leo Ili Uondoe Stress Maishani Mwako
5:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 632 М.
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 127 МЛН
Ufanye nini watu wa kupende zaidi?
9:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 128 М.
Dr. Chris Mauki:  Hivi ndivyo afya yako huathirika na stress
9:50
Kisunzi/Kizunguzungu (Dizziness)
10:03
Dr. Alamin Suleiman
Рет қаралды 10 М.
SAIKOLOJIA YA WIVU KWA WANAWAKE -  JOEL NANAUKA
18:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 57 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 50 М.
JINSI YA KUKABILIANA NA MSONGO WA MAWAZO - STRESS
6:29
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 7 М.
Jinsi ya kumfahamu mtu mwenye ugonjwa wa afya ya akili na hatua za kuchukua
20:59
DALILI NA TIBA ZA MTU MWENYE MSONGO WA MAWAZO (STRESS)
9:26
MASOMO YA KARNE
Рет қаралды 12 М.