Nasubili kwa hamu kubwa bro...maana stress NI ugonjwa wa watu wengi hususa ni money stress na love stress ziongoza sana
@fedharmmark63983 жыл бұрын
Ahsante kwa Elimu hii mkuu, Ubarikiwe sana.
@beatricemabula478310 ай бұрын
ahsante Joel. wewe umeletwa kwa ajili ya watu wengi
@HASHIMMAKUNGUHAMDANIАй бұрын
Allah atufanyie wepesi
@samohazakwani68993 жыл бұрын
Habari za leo brother. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Somo la leo linatusumbua wengi, points nyingi hapo zimenigusa.
@nelsonmpolochacha50353 жыл бұрын
Asante sana kaka. Hapo kwenye Maamuzi Umenikamata.
@fikabmwakabungu1128 Жыл бұрын
Very true. Nina dalili kama nne hapo. Asante sana kwa somo zuri
@mariamayoob87343 жыл бұрын
Asante kwa somo
@jemimasibonike-gn8gh Жыл бұрын
Asant sana kaka mm nipo kwenye kusahau na kujiona nimeibeba Dunia Yani mambo meng utulivu nashidwa
@jacksongilbert3212 Жыл бұрын
Kwakweri solo zuri sana ,nasumbuliwa naugonjwa wakusahau
@juliusmusyoka18573 ай бұрын
Thanks for...
@nancychiberenge3811 Жыл бұрын
Ni kweli ukisemacho nami ni mmoja kati ya watu waliyo athirika na stress had kupelekea mda kichwa kuuma na kupatwa na kizunguzungu!
@stabilityh24233 жыл бұрын
Bro ii topics is so important.
@user-tu4es9bs7c9 ай бұрын
Ahsante kwa elim nzuri Nina rafikiangu anabaadhi ya dalili ulizozitaja nimsaidieje ili aondokane Na hali hio....
@EstherNicodemus-db1sl9 ай бұрын
Am watching this video when I have all the symptoms 🥹and I don't know how help myself Mr Joel🙏
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Ahsante sana
@joycehaule4520 Жыл бұрын
Karibu zote ninazo
@godfather6769 Жыл бұрын
Brother uko sawa
@reginaldchrisent96323 жыл бұрын
Asante bro Ila nataka kujuaa au kupata clip ambayo inahusu jinsi ya kuondoa tatizo la kupotezaa kumbuku
@SimonMwangi-kc2ht2 ай бұрын
Yes
@Aki10Frankly11 ай бұрын
Kweli kabx ❤
@albertinemacimu12473 жыл бұрын
Nasubiri sana kaka
@peterjanuary75673 жыл бұрын
Kaka nakubaliii👏👏
@mohammedmohammed73342 жыл бұрын
Asant sana kaka, nikweli mm Nina tatizo la kupata usingizi
@nevagasmsamba50603 жыл бұрын
kweli kabisa hizo dalili na watu hao wako wengi sana nakutana nao hospital na wakat mwingine mm mwenyew najistukiaga sana nikianza kuona baadhi ya hizo dalili
@francissamcky4496 Жыл бұрын
Kaka me nashukuru sanaa kwa somo lako kwasababu nilikuwa nasumbuliwa sanaa na tatizo la kuwaza kupita kiasi nilikuwa naomba suluhisho lakuacha kuwaza kupita kiasi
@zanzibartotheworld782610 ай бұрын
Dalili ninazo na pia nina tatizo la kujishtukia nikiona watu wanaongea wanacheka nahisi wananiongelea mm nateseka sanna dokta naomba unisadie akili yangu haiko sawa
@zuwenaabdallah7748Ай бұрын
Dooh mie ndo kwisha habar😢😢
@rosemarysulle92883 ай бұрын
Astress ni ugonjwa niko naumwa,tena naelekea kwenye shida ya afya ya akili.nasahau sana,siwez hta kuendesha gari .umri mdgo matatizo mengi
@samsonmdemu6067 Жыл бұрын
Sana yani Mimi za kuzidi
@user-ko1dh8zf7p10 ай бұрын
Mimi nimekabiliana na shida hio kazini kwasababu ya mdosi na kelele zake Hadi nasikia ndani ya roho yangu naumwa nasikia kulia punde tu namwona😢😢
@aminasalim75719 ай бұрын
Asante sana Binti yangu anahizo dalili na Yuko kidato Cha 3 na imepelekea mpaka sasa anatabia yakuangu na kukosa uwezo wakiongea.. pls naomba msada wako kwaajili ya bint yangu
@Morine_kn1lt2 ай бұрын
Hapo zote ninazo😢
@remymukosa79283 ай бұрын
Nitumie Namba yako kaka joel
@davismagafu47323 жыл бұрын
Aisee kwa upande wangu almost dalili zote nakutana nazo kaka joel
@eliabjohn3798 Жыл бұрын
Daaaaah
@vailethandrew2113 Жыл бұрын
Dalili Zotee ninazo hapo naishi naisha tu😭
@aminajuma14353 жыл бұрын
Yaani najiona kabisaaaa… hizo dalilizote ninazo kwakweli… hadi najihofia kwakujiuliza hivi kitokea nikaingia kwenye ndoa nitaweza kudumu mudamrefu kweli.
@mumanyimulyowa83613 жыл бұрын
Yawezkan stress zako zinasababishwa na kutokuwa na mahusiano ya kueleweka Maana wakati mwingine akili au mwili huwa vinapata pumziko kwa kukaa kubadirishana mawazo na mpenzi wako na hasa pale umri unapokuwa umetimia
@ahz69073 жыл бұрын
@@mumanyimulyowa8361 true
@levinanolasco18073 жыл бұрын
Aiseee.najiona Kama hizo dalili zote ninazo labda tu sijakosa usingizi Wala kuugua Ila hizo nyingine nimekumbana nazo naomba unisaidie nifanye nini Joel maana Ni kweli Nina stress sana
@user-xk6st3zn6e Жыл бұрын
Dalili zote ninazo na ninateseka sana nimechoka mpaka mkono wa kushoto unamaumiv na shingo na moyo naomba nisaidie kaka angu😭😭😭😭
@zulpharashid337611 ай бұрын
Mipia hadi kichwa upande wa uso unakua namaumivu ya mkazo 😭😭
@sunwizy6083 ай бұрын
polen woteee jamn
@rosemarysulle92883 ай бұрын
Mm ninasahau nahis km siku si nyingi nitaanza kuongea peke yangu.nina stress mno,natamani nihame niende porini sitaki kumwona mwanadamu machoni pangu
@sunwizy6083 ай бұрын
@@rosemarysulle9288 pole mwangu mtangulize mungu kwenye izo changamot zako
@rosemarysulle92883 ай бұрын
Mm ninasahau nahis km siku si nyingi nitaanza kuongea peke yangu.nina stress mno,natamani nihame niende porini sitaki kumwona mwanadamu machoni pangu
@lindajoyce56662 ай бұрын
Hi.mimi naumwa nakichwa sana
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
💜👍
@mukreemhassan73472 жыл бұрын
Asa tufanyaje ili kumbukumbu zetu ziwe fresh na ilo la Kilala sn kweli pia ninalo kabisa asa tufanyeje na ilo ttz la kuumw pia kweli kutwa kutumwa sn Kila siku naumwa mie JE nifa nyeje asa please
@user-tx9mq2tr6j4 ай бұрын
Mwalimu apo yote yapo yananitesa sanaa
@lydiaseventy55092 жыл бұрын
Asante sana mimi nina dalili mbili kitabu nitakipataje?
@muhamadihamadi471 Жыл бұрын
Mm mawazo yangu yanapelekea homs
@user-fb8jw3yp5v11 ай бұрын
Ninazo dalili 4
@vailethkilewo24809 ай бұрын
Dr mm napitia izo dalili mpaka nahisi kuchanganyikiwa
@bina2557 Жыл бұрын
Mimi najiona hapo No 2
@AdelaKauki9 ай бұрын
Ndiyo nimeshawahi kuona baadhi ya.dalili hizo na ninaumwa tumbo mda mrefu lakini animeshaenda hospitali mbili tofauti nikaambiwa Sina ugonjwa wowote.
@HpHp-vo7pu10 ай бұрын
Mimi imenipeleka pabaya sana hata kujikwamua nashindwa
@janethstephen78695 ай бұрын
Nimekutana na kukosa usingiz na nikienda hospital nikipima tatizo hakuna ila najiona siko sawa
@ThomasOmarymnyampanda4 ай бұрын
Mimi Doctor kichwa kinauma sana na wakatimwingine napata.bardi kali wakati juwa lina waka
@evansmomanyi81446 ай бұрын
Mimi . Evans momanyi Niko na shida ya usingizi.tafatari naomba dawa ya usingizi. Juu nalala kila mala.
@ramamwanjala73502 жыл бұрын
Bro hizo dalili zote ulizo zizungumzia mm ninazo please bro utanisaidiaje kk
@evansmomanyi81446 ай бұрын
Mr Joel please mimi nalala sana ni saidie na sawa please
@shaniaking75252 жыл бұрын
Mimi zote hizo ninazo na zaidi.tena nahis kuchanganyingiwa kabisa.
@kobelochamanga97572 жыл бұрын
Namba tano apo
@hussenabdi3775 Жыл бұрын
Mimi niko na hali hiyo 😢
@alecelenyau31443 жыл бұрын
Msaada plz dalili zote ninazo hasa hasira nisizoweza kuzicontrol siitaman hiii hali nisaidieni jaman
@sadathkawambwa3828 Жыл бұрын
Mm Kila siku kuumwa jaman nishachoka hata kwend hospital naona namalz hela tyuu
@BrigitteRachel-gf9zz3 ай бұрын
Yani uyo ni mimi sio muongeaji sahivi naongea sana
@khamisjaffar2094 Жыл бұрын
kuna dawa Gani ya kuondoa ili tatizo !?
@mohammedadam8261 Жыл бұрын
Hapo hizo dalili zote naon nimeshapitia kwakweli hospital nimeenda san lkn ndo hvyoo chanzo kikbwa n mahusiano yang
@user-op7ze8hl7l6 ай бұрын
Ndio ni mimi mwenyewe kitukidogotu nachukia sana
@maelezomaelezo90573 жыл бұрын
Strees yagu mm nasizia balaaa sijui akili inafanya kaz sana ata sielew
@NyangiKaniki-dj7kb9 ай бұрын
Nakosa ucngz,,,kwa mchana ndo umeisha kabisaaa,kuumwa sasa mwili hauna nguvu shingo mabega, yaani kichwa kizitooo
@SizzoSela29-sh8nz5 ай бұрын
Upo kama Mimi hivo hivo
@matridamahundi2090 Жыл бұрын
Mm Nina mawazo mengi adi nawaza nachoka natamani ata nilie sijui nifanyaje apo kila point imenigusa 😢😢duh tena kichwa kinaniuma upande wa kulia kila siku
@saumuseif91893 жыл бұрын
Mimi nnatatizo lakusahau
@Furaha-Dokela5 ай бұрын
Mimi zote hizo
@MohamedMohamed-fc7vh2 жыл бұрын
Ni kweli doctor Ila nisaidie namba yako pls Nina Jambo private
@hashimumchalo76135 ай бұрын
Namba zako napata wapi
@stabilityh24233 жыл бұрын
Bro ndio hyo frequent bad decision ebu nishauri bro
Asante sana Joel mungu akubariki somo hili umenitoa mbali kila nikiangalia video zako zinanifanya nakuwa naujuzi
@emilianapunda51172 жыл бұрын
Pole na majukumu unafanya kazi zuri nimetoka kusikiliza video Sasa hivi kweli nimegundua Nina stree kweli naitaji msaada haswaaa
@KhadijaHamis-ro3uo8 ай бұрын
Mimi naona nina ilo tatizo utanisaidiaje dokta
@SalumPius-xw4dr Жыл бұрын
Mh mie dalili zote hizo ninazo
@omanjalan5829 ай бұрын
Mi stres yangu nkukosa uzngingiz
@SizzoSela29-sh8nz5 ай бұрын
Natamani kupata namba yako
@user-fz9yv7ew3j9 ай бұрын
Duuh na kupungua pia ni moja ya stress et
@barakamwaka561 Жыл бұрын
Mimi ninakabili Hali hiyo
@suleimannjama63087 ай бұрын
Nisaidie namba yako kaka
@joyceemmanuel62172 жыл бұрын
Kaka Joe STRESS Vs PSYCHOLOGICAL TROMA inakujae hiyo
@MusicBongo2552 жыл бұрын
Daaaah Mimi zipo kama mbili hivi zimenipata hapo kwanza kukosa usingizi pili baada ya kazi kidogo nahisi kichwa kimevulugika yani naona maluwe luwe2 na pia hata katika kazi yangu mala nyingi makosa huwa hayakosekani pia usahaulifu pia ingine hujaitaja kujiona tofauti na wengine yan wao ni bora kuliko mimi
@zuhurakituyi3542 Жыл бұрын
Mimi nina miaka 33kwa ndoa nanimedundua mume wangu ana mke mwingine bila idhini yangu, nifanyeje maana ninaumwa na kichwa none stop najiuliza maswali mengi sana.
@ErickKimaro-bf8zs8 ай бұрын
😭😭😭😭dah izi dalili karibia zote ninazo😭😭😭ndugu yangu nisaidie please 😭😭😭
@praxedamsoma85454 ай бұрын
Ntaoataje no yako
@praxedamsoma85454 ай бұрын
Ntapataje no yako
@joselyneninkunda87022 жыл бұрын
Dalil zote niko nazo.sijui nitapona vipi maana anae ni fanya niw na stress hata nikiongea nae vip hana mpango wa kubadilika nifanyeje kaka?
@alimatambwe34023 жыл бұрын
Ndoyo Mimi stress imenifikisha mbali sanaa,maisha yangu natumia dawa za stress
@danielnjowoka94123 жыл бұрын
Daaah pole Sana
@lameckjohn32573 жыл бұрын
Do you know that you have MIND? Kama utajifunza namna yako MIND inafanya kazi ni rahisi sana kukabiliana na tatizo la stress. Kama uko interested 0718 54 50 56 By the way stress ni kitu kizuri sana kama utajua namna ya kukitumia kukupa matokeo mazuri.Stress means changes or something has to change
@suzanaagustinookelo49533 жыл бұрын
Me nakosaa usingizi usiku
@suzanshayo813 жыл бұрын
Nina dalili hiyo ya kukosa usingizi jmn Naweza nkakesha hata usiku kucha Au hata nkilala sina usingiz wa mda mrefu