MEDICOUNTER EPS 8: MAUMIVU YA MGONGO

  Рет қаралды 101,833

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 132
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot Жыл бұрын
Polen sana asee,,tunaoumwa n wengi Allah atuponye
@salimalaquimane2640
@salimalaquimane2640 3 жыл бұрын
Daaaah mi ni muhanga mkubwa wa ilo tatzo kiasi nme kata tamaa kwakwel
@marymaleko5377
@marymaleko5377 Жыл бұрын
Hongera sana tunaomba huduma zenu.
@christophersilikwa483
@christophersilikwa483 3 жыл бұрын
Dr asante sana kwa maelezo mazuri. Mimi nina shida ya maumivu ya mguu unapasua kwenye goti hadi nashidwa kutembea. Naomba msaada wako.
@GhanimSaid
@GhanimSaid Жыл бұрын
Ata m niliumwa san n tumbo n mgongo san unawaka moto vby niliend kupima nkaambiwa nina vidonda vya tumbo😢
@bonifacemakenga2985
@bonifacemakenga2985 10 ай бұрын
vp ulipata tiba
@shaimamabrouk9937
@shaimamabrouk9937 6 жыл бұрын
Wote wenye matatizo hayo.Nendeni Muhimbili MOI mtamkuta Huyu Doctor. Sawa.
@rehemand0mwa657
@rehemand0mwa657 5 жыл бұрын
Wengine tyup0 mbali
@fatyqueen346
@fatyqueen346 4 жыл бұрын
Wengine tuko inje ya inchi
@ZAITUNI-l2b
@ZAITUNI-l2b 4 ай бұрын
Nasumbuliwa sana na kiuno
@janewilliam3924
@janewilliam3924 4 жыл бұрын
Mgongo jamani unauma Hadi nahc nimelogwa mh! Doctor naomba nomb
@farhatyakuob5953
@farhatyakuob5953 4 жыл бұрын
Pole sana yaan haya mahoma siku Hizi kila mtu
@lenidahmwaitsi550
@lenidahmwaitsi550 3 жыл бұрын
Dr mm nilipata ajali nikaumia mgongon inaniuma hapo chini ,,nikifanya mazoezi inapoa tu na wiza pata matibabu ju Ni miaka Kumi imeisha asanteni
@alexgitau143
@alexgitau143 4 жыл бұрын
Background music is very high and it's relevant.
@abdaallahnurudin4844
@abdaallahnurudin4844 11 ай бұрын
Doctor Habari Mimi nataka nijekukuona nateseka mwaka watatu kuhusu mgongo
@jeromedidas2972
@jeromedidas2972 2 жыл бұрын
Naumwa sehemu ya msuli was mgongo upande mmoja,naomba ushauri tafadhali.
@ummusalim5088
@ummusalim5088 3 жыл бұрын
Mkitoa kipindi naomba tu mziki msiwekeee ......
@asmahabdallah1402
@asmahabdallah1402 2 ай бұрын
Swadaktaaa❤
@rehemaathhmani357
@rehemaathhmani357 2 жыл бұрын
N Doctar mimi nasumbuliwa na mgongo kiuno na mgongo pia sasa cjui utanisaidiaje
@samiraalhabsi3697
@samiraalhabsi3697 3 жыл бұрын
Mziki haufai jamani mjiongeze kidogo
@musamutinda105
@musamutinda105 Жыл бұрын
Dr Mimi naumwasana ni Kenya na wapatawapi hama ndapataji matibabu
@mchomatv1090
@mchomatv1090 5 жыл бұрын
Mimijamani uwanakaasana kwenyekiticha plastic vyakuegemeavile. Nauwanalalasana kwenyeichokiti nikawanapata maumivu ya shingo kwanyuma na kiuno asa asakwanyuma mpaka sasa naumwa mwilimzima. Je? Nikwajiliya ichokiti.
@rehemahhyera5883
@rehemahhyera5883 2 жыл бұрын
Vizri sana
@helenaxavery8906
@helenaxavery8906 6 жыл бұрын
mm nasumbuliwa na mbavu inaniuma na kusababsha baridi doctor
@sarahkilauli6440
@sarahkilauli6440 2 жыл бұрын
Naumwa upande wa kulia wa mgonda
@helenasamwel9160
@helenasamwel9160 3 жыл бұрын
Dkt pole na majukumu naomba msaada wa namba zako mm ninateseka na tatizo la mgongo kwa mda
@hawahussein6290
@hawahussein6290 7 жыл бұрын
Dr wa matatizo ya mgongo tunaomba namba pls
@gloryakyoo6584
@gloryakyoo6584 2 жыл бұрын
Dr mama yang anaumwa maumivu makali sana hapo mgongoni anaisi kama kichomi
@KanaAnitha
@KanaAnitha 8 ай бұрын
Dr .naomba musahada na mie nimepata ajali yagali sasa na umia saana chini ya mgongo ,naomba musahada naweza kufanya aje ?
@zainabaassoumani6907
@zainabaassoumani6907 3 жыл бұрын
Docteur nipigie simu yako ahasanteni
@FloraThomas-ky1rp
@FloraThomas-ky1rp Жыл бұрын
Samahan naomba tu namba Dr nahic Kama stapata msaada kwa haraka
@obedseleman3909
@obedseleman3909 4 жыл бұрын
Nataka tuwasiliane nipenamba zako ah ukowapi nikufuate
@CristerMtitu
@CristerMtitu 4 ай бұрын
Doct nina shida ya mgongo naomba namba yako
@neemaishengoma6908
@neemaishengoma6908 5 жыл бұрын
Nisaidieni Nina MTT anamiaka 3 anaumwa mgongo jamani mpka nimekata tamaa sasa kafikisha miak 6 lakni bado anaumwa amemeza dawa za tb ya mifupa mwaka lkn bd analalamika tu maumivu makali ya mgongo nifanyeje
@samuelhealthcare3791
@samuelhealthcare3791 4 жыл бұрын
Neema Ishengoma kama hujapata suruhisho wasiliana nami kwa whatsapp namba +255743358024
@byaombeabwe8214
@byaombeabwe8214 2 жыл бұрын
Mimi mamangu kiuno akifanyi mouvement naomba msaada Dr
@hajikombo1767
@hajikombo1767 3 жыл бұрын
Dokta mm mgongo unaniwaka moto cjuwi shida nn nienda hospito naambiea tatizo ni gesi lakin nimitumia izo daw za gesi hali bado iko vile vile naomba ushaur wako zaid
@omaryrashid7803
@omaryrashid7803 3 жыл бұрын
Check ulcers
@EdinaFredy-f3w
@EdinaFredy-f3w 4 ай бұрын
mimi pia kama wew vip unaendeleaj saizi
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 10 ай бұрын
Dr. Nimekuekew naomba namba kwa mawasiliano zaidi.
@benjaminmichael2939
@benjaminmichael2939 3 жыл бұрын
Dr mimi natatizo mgongo kutokana kazi ya ufundi magari nimekuja muhimbili nikipata matibabu sikupata tena matatizo ya maumivu tena ila kwa sasa napata shida nikikaa napata maumivu makali chini ya makalio
@KanaAnitha
@KanaAnitha 8 ай бұрын
Kama mie apa naweza kufanya mazoezi ngani ?Kwa hajalii ya gari ,Dr
@happyjohn31
@happyjohn31 4 жыл бұрын
Mgongo ulianza baada ya kulala chini mda mrefu godoro liliisha sana kitanda hakikuepo mgongo ukaanza kuniuma sana had Leo naangaik na mgongo
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Wengine wanasema kulala chin ni vizur huwez kuumwa mgongo🙈
@rehemand0mwa657
@rehemand0mwa657 5 жыл бұрын
Mimi jaaman naumwa na mgongo unawaka moto katikati
@farhatyakuob5953
@farhatyakuob5953 4 жыл бұрын
Ata mm unawaka moto kati na chini huku
@MohammedAli-tz1re
@MohammedAli-tz1re 5 ай бұрын
Asanteni kwa mafunzo mazuri LKN TUNAOMBA MUPUNGUZE SAUTI YA MZIKI ILI TUPATE UMAKINI WA KUMSIKILIZA DAKTARI VIZURI Shukran.
@gloriosehakizimana3789
@gloriosehakizimana3789 Жыл бұрын
Na mimi nawe zakuyitumia nina sumburiwa na miguu kuwaka moto
@laurenciaalexander7031
@laurenciaalexander7031 7 жыл бұрын
dokta wa mgongoni nahitaji namba zako nina tatizo LA mgongo
@joycenasieku8374
@joycenasieku8374 2 жыл бұрын
Hii hospitali iko wapi coz mgogo karibu iniue
@nasrasalum5556
@nasrasalum5556 5 жыл бұрын
Mnapatikana maeneo gani?
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 жыл бұрын
Mimi nilikuwa nakaa Sana nikiwa nimejikunja kwamda mrefu 🙌🙌sao kwakumwa kule kumbe hizo pingili zimesongeleana kwasasa nafanya mazoez Mumgu mwema naendelea vzr kwasasa nalala chini nimehama hata kitandani
@naalyhussen3253
@naalyhussen3253 2 жыл бұрын
Kulala chini sakafuni au nijuzse tafaddhar
@hidayaathumani2545
@hidayaathumani2545 8 күн бұрын
Mazoez gan unafanya maana mimi nasumbuliwa sana kesi yangu ni hyohyo kusogeleana kwa pingili
@FloraThomas-ky1rp
@FloraThomas-ky1rp Жыл бұрын
Samahan doct mi mgongo wangu nilipima nikaambiwa mgongo umepinda nikifanyaz mgongo unauma nashindwa kufanya Kaz vizur nifanyaje?
@lydiampayo597
@lydiampayo597 2 жыл бұрын
Me nadhani ungekuwa vzr kipindi kinapoandaliwa kieekee no ya simu au location mahali ilipo hosp ili iweze kumsaidia muhanga wa tatizo Hilo,kuliko taarifa zinatufikiia mnatupa maelezo lkn tunashindwa kupata tiba,Sasa msaada uko wap???
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 10 ай бұрын
Music mkal Dr
@glorykimaro5687
@glorykimaro5687 7 жыл бұрын
Naitaji no yako dr msaada pls
@erickmsimbe5424
@erickmsimbe5424 8 ай бұрын
Doctor namba siwezi kutembea nimeambiwa pingili imesogea
@neemaeppah2992
@neemaeppah2992 8 ай бұрын
Vipi ulipata tiba ?tusaidiane jamani
@rahmaayoub7519
@rahmaayoub7519 3 жыл бұрын
Je kulala fudi kunasababisha maradhi ya kuumwa na mgongo
@fatyqueen346
@fatyqueen346 4 жыл бұрын
Mimi sasa mgongo unauma mpaka nahisi kifo
@halimately3609
@halimately3609 3 жыл бұрын
munapatikana wapi
@happyjohn31
@happyjohn31 4 жыл бұрын
Mi mgongo unaumag usiku tu nikilala tangu mwaka Jana mwezi wa saba hadi Leo bado sijapona
@chrischleopa7738
@chrischleopa7738 4 жыл бұрын
Nakushauri ufanye uchunguzi mimi nilikuwa hivyo nikaenda kairuki hosipitali ikagundulika kuwa pingili zangu L1&L2 zimepata shida kwahiyo nakushauri sana kabla hujaanza kupata ganzi
@happyjohn31
@happyjohn31 4 жыл бұрын
@@chrischleopa7738 mi nais ni kulala sana chini
@happyjohn31
@happyjohn31 4 жыл бұрын
@@chrischleopa7738 mana mda mwingi nalala kukaa Mara chache sana ata mazoez sifanyi
@chrischleopa7738
@chrischleopa7738 4 жыл бұрын
Pole sana mimi nilifanya MRI kairuki hosipitali sasa hivi nimehamia MOI na tarehe 31 mwezi huu nafanya tena MRI pale MOI,maumivu ya mgongo yanatesa sana hasa kiunoni kuna muda unahisi mtu anakupigilia msumali yani mimi silali chini mara kwa mara pia nakushauri kama utaenda hosipitali waambie wakupe lumber belt uwe unavaa kwajili ya mgongo ili pingili zisipishane,,,,tuwasiliane ili tupeane ushauri maana wote magonjwa yanafanana 0718445511 niko DSM
@chrischleopa7738
@chrischleopa7738 4 жыл бұрын
Dokta ndiyo amekushauri kulala chini au??
@najmagoa4727
@najmagoa4727 3 жыл бұрын
Dokta nitumie no zako plz
@rizzagadetoonshoki9197
@rizzagadetoonshoki9197 6 жыл бұрын
jaman mbona hamniambii kwa Arusha ntawapata wapi?
@shaimamabrouk9937
@shaimamabrouk9937 6 жыл бұрын
Njoo Muhimbili MOI
@hadijakabona955
@hadijakabona955 5 жыл бұрын
Mie naitaji no ya uyo drt
@samuelhealthcare3791
@samuelhealthcare3791 4 жыл бұрын
Hadija Kabona kama hujapata msaada na suluhisho wasiliana nami kwa whatsapp namba +255743358024
@salumupalango8144
@salumupalango8144 3 жыл бұрын
Ninashida iyao yamgongo
@agnesmtawa2257
@agnesmtawa2257 Жыл бұрын
Naomb namba yako doctor wa mgongo plz
@christinabiyengo2955
@christinabiyengo2955 7 жыл бұрын
Mimi nilipata tatizo la mgongo baada ya operation ya uzazi. Hii inakuwaje na X-ray ilionyesha kuwa pingili ziko vizuri.
@seifmwalim8139
@seifmwalim8139 6 жыл бұрын
Pole
@farhatyakuob5953
@farhatyakuob5953 4 жыл бұрын
Itakuwa sindano zile munazo chomwa maana wengi wao huumwa mgongo baada pereshen
@beathamashongole6426
@beathamashongole6426 3 жыл бұрын
Nami mgongo unawaka moto baada ya operetion yaani unaumwa mpaka siwezi mbeba mtoto wangu
@samiahango6103
@samiahango6103 3 жыл бұрын
Mimi nilipata ajar pia nilifanyiwa uparation. Ninamaumivu ya mgongo sana na homa.ajar nimepata mda ila uparation nina tree moth.
@eugenengowi3500
@eugenengowi3500 2 жыл бұрын
ukatumia daw gan
@paulksteven36
@paulksteven36 3 жыл бұрын
Muna patikana wapi mi nimgonjwa wa hilo tatzo
@goliathnziku9273
@goliathnziku9273 2 жыл бұрын
Usha pata tiba
@andreagervas3972
@andreagervas3972 6 жыл бұрын
Naomba namba zako
@thobiasmwakapusya6830
@thobiasmwakapusya6830 7 жыл бұрын
docta ninashida nliwahi umwa tb ya mifupa mgongo unanisumbua haswa nsaidie nakupataje
@beatricekajema1677
@beatricekajema1677 6 жыл бұрын
n
@beatricekajema1677
@beatricekajema1677 6 жыл бұрын
doctor naomba unielekeze dawa maana Mgongo unanisumbua Sana Namba 0759196726
@happynesselisha2048
@happynesselisha2048 5 жыл бұрын
Je ulivopima walikuwa wanakwambia nn??maana hata mm mgongo unanisumbua
@charlesmichael8717
@charlesmichael8717 4 жыл бұрын
docta ninashida mgongo unaniuma Sana namba yangu 0784903886
@jeniphermallya4490
@jeniphermallya4490 4 жыл бұрын
Doctra m toka nijifungue nina umwa mgogo na kiuno naomba namba zako
@emmanueljmzelu9028
@emmanueljmzelu9028 4 жыл бұрын
Ahsantee
@juliaapondi7813
@juliaapondi7813 3 жыл бұрын
Namba please
@ollgfgv9872
@ollgfgv9872 4 жыл бұрын
mutuwekee na namba za madokta tuombeushaur
@ummusumaiyahmwinyiamani7119
@ummusumaiyahmwinyiamani7119 5 жыл бұрын
naomba namba doctor
@samuelhealthcare3791
@samuelhealthcare3791 4 жыл бұрын
Ummusumaiyah Mwinyiamani kama hujapata msaada na suluhisho wasiliana nami kwa whatsapp namba +255743358024
@magembesamson9141
@magembesamson9141 4 жыл бұрын
Safi kk
@MarwaMarwa-qe3rw
@MarwaMarwa-qe3rw 3 жыл бұрын
Unapatikana wapi dakitar ninashida ya mugongo
@letymtani332
@letymtani332 5 жыл бұрын
Je,naweza pata namba ya cm mm pia ni muhanga wa mgongo ambao unauma kwenye kiuno nitapataje tiba?
@samuelhealthcare3791
@samuelhealthcare3791 4 жыл бұрын
Lety Mtani kama hujapata msaada na suluhisho wasiliana nami kwa whatsapp namba +255743358024
@missmuunasharifu2323
@missmuunasharifu2323 7 жыл бұрын
doctor wa mgongo ninahaja ya kukutafuta nitakuona vip ili nikufikie?pls nifahamishe
@ramafletcher4376
@ramafletcher4376 5 жыл бұрын
Doctor nahitaj namba zako,dada yangu alali kwa maumivu ya mgogo,alichomwa ile sindano ya mgongogo,mpaka anapoteza fahamu
@aishafeysal9630
@aishafeysal9630 4 жыл бұрын
Izo sindano nishida sana watu wengi wanalalamika ata mimi pia tokea nifanyiwe upasuaji ndo tatizo lilianza apo mpka leo mgongo unaniuma sana
@aminaomar7327
@aminaomar7327 6 жыл бұрын
Mpo WAP jaman
@salimalaquimane2640
@salimalaquimane2640 3 жыл бұрын
Asante
@yonaandrew277
@yonaandrew277 5 жыл бұрын
Msaada jamani maana mimi adi miguu inakufa ganzi
@samuelhealthcare3791
@samuelhealthcare3791 4 жыл бұрын
Yona Andrew kama hujapata msaada na suluhisho wasiliana nami kwa whatsapp namba +255743358024
@saumuomary2117
@saumuomary2117 4 жыл бұрын
Msaada jamani 0755768195
@felistanziku8609
@felistanziku8609 3 жыл бұрын
Naomba no ya dactari ninashida ya mgongo😔
@halimately3609
@halimately3609 3 жыл бұрын
ulipata namba unisaidie nayo
@johnjuma3345
@johnjuma3345 4 жыл бұрын
Mziki wa nn ? Bhana a!
@omaralali4451
@omaralali4451 5 жыл бұрын
Doctor naomba number yako ya simu pls
@samuelhealthcare3791
@samuelhealthcare3791 4 жыл бұрын
omar alali kama hujapata msaada na suluhisho wasiliana nami kwa whatsapp namba +255743358024
@joshpenoguko4773
@joshpenoguko4773 4 жыл бұрын
Hy, mm nko Kenya nna shida ya mgonga kwanzia mwaka Jana hadi sahii
@allykason4080
@allykason4080 6 жыл бұрын
dr njenje yani mi nahic naweza kua mgonjwa wa kwanza kwa kuumwa zaid kiuno xo nahitaji sana msaada wako nikuje hapo MOI plzzz help me!! 0712155815
@shebaduniyasheba9699
@shebaduniyasheba9699 6 жыл бұрын
hahahahahaha tafuta mke
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 жыл бұрын
Kama hufanyagi masoezi bora uanze kufanya mazoez kukimbia kimbia kuruka kamba Kama tatizo bado nenda kwa Doctor Kama tatizo bado linaendelea
@greskeneth4807
@greskeneth4807 5 жыл бұрын
Sasa tunakupataje mm ninamatatizo hayo Naomba nipigie 0654664898
@kiipahealthcare9645
@kiipahealthcare9645 3 жыл бұрын
Kwa msaada na ushauri zaidi piga 0743304117 au whatsap 0653166916
@SharifaShaban
@SharifaShaban Жыл бұрын
Hii
@SharifaShaban
@SharifaShaban Жыл бұрын
Mm Nina matatizo ya kwenye bega mpaka kwenye kifua samtaimu nakosa mpaka pumz
MEDI COUNTER: Unavyoweza kukabiliana na maumivu ya mgongo
25:43
MEDICOUNTER EPS 10: MAUMIVU YA KICHWA
25:01
Azam TV
Рет қаралды 53 М.
24 Часа в БОУЛИНГЕ !
27:03
A4
Рет қаралды 7 МЛН
Ozoda - Alamlar (Official Video 2023)
6:22
Ozoda Official
Рет қаралды 10 МЛН
#behindthescenes @CrissaJackson
0:11
Happy Kelli
Рет қаралды 27 МЛН
Kurunzi ya Leo: Jinsi ya kutibu maumivu ya uti wa mgongo
12:58
KTN News Kenya
Рет қаралды 52 М.
MEDICOUNTER EPS 16: WATOTO NJITI
26:41
Azam TV
Рет қаралды 3,4 М.
MEDICOUNTER EPS 9: KIFAFA
26:59
Azam TV
Рет қаралды 3,4 М.
MEDICOUNTER EPS 15: KUJICHUBUA NA MAPUNYE
26:02
Azam TV
Рет қаралды 7 М.
24 Часа в БОУЛИНГЕ !
27:03
A4
Рет қаралды 7 МЛН