No video

#SamiaMotocrossChampionship2024

  Рет қаралды 45,749

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

#SamiaMotocrossChampionship2024 | Tazama madereva wa bodaboda wanavyoruka viunzi kwenye mashindano ya pikipiki ya Samia Motocross Championship katika viwanja vya Laki Laki mkoani Arusha.
Washindi watakwenda kuiwakilisha nchi kwenye michuano mbalimbali ya kikanda na kimataifa, ikiwemo mashindano yatakayofanyika mwezi wa tisa nchini Morocco.
#SamiaMotocrossChampionship2024 #RacingShow #Arusha

Пікірлер: 68
@JumaAbdallah-gn5qu
@JumaAbdallah-gn5qu Ай бұрын
Makonda 👍 kiboko Nikiongozi Hajawai kufeli Anajuwa kuongoza na kujenga Maendelea Naiyona Arusha mpyaa Zaidi mbele👍👍👍Piga kazi
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl Ай бұрын
Nyoko akili fupi sana wewe
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 17 күн бұрын
Makonda is very bright person 🎉
@food24hrs78
@food24hrs78 16 күн бұрын
Big up makonda,Mwanza tupo nyumaa sana kumbe
@malikkb6444
@malikkb6444 Ай бұрын
Big up sana. Mwanzo mzuri na kwa mara yakwanza Tanzania tunatengeneza identity nyingine ya mchezo utaoweza kututambulisha duniani.. Kazi nzuri Mh. Makonda
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Du! Niko Kigoma, hii tunasema imeenda. Kiufupi utadhani tuko Denmark. Big up Paul Makonga the Great RC ever seen.
@dannythegreat8017
@dannythegreat8017 Ай бұрын
Waooohhh, very impressive. Cuddles team ya uchambuzi, your're very smart . Not boaring, your're encouraging, inspiring and appreciative to our vijana on their ride. Hongera sana Mheshimiwa Makonda kwa ubunifu, na uwekezaji kwa vijana wetu. Hii sasa itaaongeza dhamani ya mtu anaendesha pikipiki, lakini vijana sasa wataona umuhimu wa kazi yao. Kwa hao wachache wanataka kuharibu kazi ya vijana wetu, tutawashughulikia ipasavyo. Arusha oyeeeeeee!!!!!!!!!!!!!
@zakazakazi-fn6zy
@zakazakazi-fn6zy Ай бұрын
Daaa mweli Arusha ni nchii hao maridder ni wanomaaaa ataaaariii sanaaa ni 🔥 🔥
@alphagroup9477
@alphagroup9477 23 күн бұрын
Arusha like America
@janethayo4967
@janethayo4967 Ай бұрын
Waaaoooo Arusha yang pendwa ❤
@CimonMollel
@CimonMollel Ай бұрын
Chuga kama mbele big up Paul makonda
@user-qx6mm2lp2b
@user-qx6mm2lp2b Ай бұрын
Masuuuudd mtalam wetu wa misugu sugu nimemuona bog up bro
@stevenvictor437
@stevenvictor437 Ай бұрын
Duuuh safi sana, nwapats vzr nikiwa boda ya msumbiji hapa.
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Hii tamu..hadi nimesisimka kwa ninavyopenda michezo hiyo ya bikes 🏍
@gladwellmassawe46
@gladwellmassawe46 Ай бұрын
Olasit🥳🥳🥳🥳🥳
@sylvanjosam3402
@sylvanjosam3402 Ай бұрын
Saf san makonda kula yangu chukuwa🎉
@mamakayla6697
@mamakayla6697 Ай бұрын
Ni mzuri sanaaa,wakati mwingine wamwage maji kuondoa vumbi
@prime_215beatz
@prime_215beatz Ай бұрын
😂😂😂 wamwage maji afu boda ipite utaua watu.. utelezi kidogo tu watajikuta wapo chini
@DominicKizwalo
@DominicKizwalo Ай бұрын
😂vumbi ni sehemu mojawapo ya vigezo na obstacles. Yaonyesha ujuzi wa rider uko vipi
@AlfredMtandi
@AlfredMtandi Ай бұрын
RC wewe nimwamba unaweza, Mungu akurinde nasi tunazidi kukuombea.
@franknnko4744
@franknnko4744 Ай бұрын
Pamoja sana Arusha
@hashimuomary4569
@hashimuomary4569 Ай бұрын
Kuanzia leo me shabik wa olasiti elisante
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma Ай бұрын
Pamoja sana POUL MAKONDA
@AllyKadege-on8zb
@AllyKadege-on8zb Ай бұрын
Makonda anajua kuwafurahisha watu wake
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 Ай бұрын
Makonda safi sana
@ElibarikiElibarikimrema
@ElibarikiElibarikimrema 23 күн бұрын
❤❤
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Ай бұрын
Mh 💪💪💪💪💪🙌🙌🙌 kweli ww noma 🎉🎉🎉🎉
@ALEXLOTAN
@ALEXLOTAN Ай бұрын
Safi sana mama. Makonda usitoke alusha tutakupa urais aki l love you chuga yangu
@sciencesocietyoftanzania5957
@sciencesocietyoftanzania5957 Ай бұрын
Alusha ndo nini
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl Ай бұрын
Nyoko
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 21 күн бұрын
Hyo Elisante mamaeee watu wana balaa
@FREDDYJuma-gk6lp
@FREDDYJuma-gk6lp Ай бұрын
Chuga kama ulaya😁
@dullayomwinyi3359
@dullayomwinyi3359 Ай бұрын
Chuga kama mambele yani
@WazirJuma-gd5oo
@WazirJuma-gd5oo Ай бұрын
Yani makonda hapana wewe nikiongozi bwana unaweza kiivusha hii nchi Kwa kipndi kifupi Sana . Maana umeangalia mbali mno mungu akubariki Sana brother.
@WisleyJohn-vy6jp
@WisleyJohn-vy6jp 29 күн бұрын
Nice things
@johngitau6995
@johngitau6995 22 күн бұрын
Katika vumbi ajali inaweza tokea rahisi,mbona wenye kuanda hawaweki Lori la kunyumyuiza maji na kuondoa hio hatari.
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 Ай бұрын
Chuga iyooooo..😊😊
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 Ай бұрын
Safi sana
@JosephMoleni
@JosephMoleni Ай бұрын
Nakupenda makonda
@MsafiriRichard-c1i
@MsafiriRichard-c1i Ай бұрын
Wapo viruri sana tunaonba tanga pia iwepo kama hii. Au kila mkoa .
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Ай бұрын
alafu ushindano wa taifa..safi sana
@bonifassimon7909
@bonifassimon7909 Ай бұрын
Hapa dar labda mashindano ya pombe na majungu vitu kama hivi tutaishia kutozama kwa TV tu
@JumaDezombie-cn3yu
@JumaDezombie-cn3yu Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@coolruler6820
@coolruler6820 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 Ай бұрын
Mmh huyo anweza kuwa mwiz huyo
@LeonardJumanne-p2q
@LeonardJumanne-p2q Ай бұрын
Kama mbele iyo ndio arusha
@user-eu5tj7yg8c
@user-eu5tj7yg8c Ай бұрын
yes makonda
@WisleyJohn-vy6jp
@WisleyJohn-vy6jp 29 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@allyzubery1768
@allyzubery1768 Ай бұрын
@shuaybuMalonga
@shuaybuMalonga Ай бұрын
Hawez linganiaha Chuga na mikoa ningne asee Kwa cc 2liowahi zunguka Tz Chunga n Jiji Lina Kila sfa
@HamisiSalehe-c6b
@HamisiSalehe-c6b Ай бұрын
We hujazunguka hujuw kitu
@HamisiSalehe-c6b
@HamisiSalehe-c6b Ай бұрын
We hujazunguka hujuw kitu
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 24 күн бұрын
Umezungyukaa?
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Ай бұрын
Makonda ni raisi ajae
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Ай бұрын
Ubaya Wa Tanzania kila kitu kinakua na kumbembeleza Rais. Kwakua wameweka mamulaka kama yote kwa Rais. Rais hana control power nyuma yake. Hakuna utofauti Wa kipindi cha tawala za wazungu na rais Wa Sasa.
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 Ай бұрын
Unamaanisha nini hapo,hili ni wazo la makonda,na kaamua kuingiza jina la samia hapo kuna shida gani
@user-bf3mm5wu1s
@user-bf3mm5wu1s Ай бұрын
Duuh izo vumbi 😅😅jamn
@SadikiSaid-cp1pt
@SadikiSaid-cp1pt Ай бұрын
piki piki ndio atuna ira wapo vizuli ira biki piki sio izi sasa
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 Ай бұрын
Dah! ilo vimbu lisije kusababisha ajali
@HusnaSimbila-ig7ks
@HusnaSimbila-ig7ks 29 күн бұрын
Olasitiii
@DanielMaksiro
@DanielMaksiro Ай бұрын
NIMEIKOSA HII DAAH😢
@AthumanyMvula
@AthumanyMvula Ай бұрын
Wangemwaga ata maji kupunguza vumbi
@fahadsalim3000
@fahadsalim3000 Ай бұрын
Ukimwaga maji njia😂itateleza kwa bike sio salama❤
@JumaDezombie-cn3yu
@JumaDezombie-cn3yu Ай бұрын
𝙢𝙖𝙟𝙞 𝙖𝙮𝙖𝙢𝙬𝙖𝙜𝙬𝙖𝙜 𝙝𝙖𝙩𝙖 𝙢𝙗𝙚𝙡𝙚
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 Ай бұрын
Makonda hajawahi kufeli
@ShimbaChilemeji
@ShimbaChilemeji Ай бұрын
Olasit anakiwasha haswa
@thomasmunis9814
@thomasmunis9814 Ай бұрын
A town kama mambele
@mralright7838
@mralright7838 Ай бұрын
CHEKESHA : MTANGA YAMEMKUTA NA WATOTO WA MJINI
14:17
CHEKESHA TV
Рет қаралды 141 М.
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 62 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 22 МЛН
RC MAKONDA NA MWAMPOSA MASHINDANO YA PIKIPIKI ARUSHA 2024.
16:00
MAPITO TV online
Рет қаралды 270
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44
DONTA TV
Рет қаралды 1 МЛН
0% Sportsmanship but it gets increasingly more disrespectful
12:27
Impossible Climb Andler 2019 | Dirt Bike Graveyard | Hill Climb
18:46
Enduro Life Media
Рет қаралды 413 МЛН
CAKE YENYE SCREENSHOT ZA MCHEPUKO YAPELEKWA TABATA PART 1
19:23
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 62 МЛН