Mtaalamu kuuchambua mchezo wa ngumi, Aidan Mlimila yupo pamoja na bondia Said Bwanga wakijali safari yake kwenye vitasa na panda shuka zake. Ni kwenye kipindi cha Nje ya Ulingo.
Пікірлер: 14
@benjamachimo64242 ай бұрын
Nakubal safr ndy inaanza
@giftprosper23552 ай бұрын
Bwanga ni bondia mzuri san apewe fight za nnje
@selemanismail42412 ай бұрын
Itakuwa ni haraka sana
@shabanimara54492 ай бұрын
Aidan Mimi nishbiki yKo kila engo au kila kona
@Manjalino2 ай бұрын
Champion wangu
@hemedykisobwe52562 ай бұрын
Tatizo Aidan unaongea zaid kuliko bondia muache bondia ajieleze zaid kuliko ww
@selemanismail42412 ай бұрын
Tatizo Bwanga si mchangamfu wa maneno hivyo Aidan lazima aongee sana ili kipindi kisiboe
@StevenManguzu2 ай бұрын
Fight za bongo zinatosha, umeonesha kiwango, na watanzania tumekuona, kwa Sasa tafuta fight za nje utafika mbali one luv bwanga.
@selemanismail42412 ай бұрын
Bado mapema
@SabanAmir-mv9lw2 ай бұрын
Mkn
@yusuphmtuga49512 ай бұрын
Kila mtu akichagua bondia kwa sababu Hana cha kukuongezea je na nyie watu wangewafanyia hivo mngepiga hatua
@ibrahimabdallah48582 ай бұрын
Asa we utafanyaje kazi Ambayo haikusogezi kokote 😊
@abduryjumbe744714 күн бұрын
Bwanga Ali panda kwa viwango kwa maana alianzia chini akatengeneza record yake no akapata nafac kucheza na mwakyembe bwanga ni real hustle
@mudrikyadack91562 ай бұрын
Kipindi ni kizuri ila tatizo aidan anaongea sana kuliko bondia unapunguza ladha ya kipindi