Kimsingi tanzania inahitaji viongozi kama hawa waliopitia magumu kwa maana wanaweza tusaidia kwakuwa wamepitishwa kwenye machungu makubwa
@AnociathaChuwa-cb5nk8 минут бұрын
HII SERIKALI IMEJAA UOVU NA UONEVU WA KILA AINA HAKUNA DEMOKRASIA AU HAKI KABISA CHAMA KINACHOTAWALA KINATUMIA MABAVU NA MBINU ZA UOVU NA UKANDAMIZAJI ILI KUBAKIA MASARAKANI HATA BAADA YA KUJUA WANANCHI HAWAWAPENDI