Msema ukweli siku zote hua anamaadui wengi Sana mungu akutangulie jembe la magufuri
@manuelhealth100channel74 жыл бұрын
Bashiru umenena iliyokweli na ni kweli kabisa kwa sasa watu tuna matumaini na viongozi wa serikari
@ashamwandu37814 жыл бұрын
Alhamdulillah Allah Kareem
@zikirination67694 жыл бұрын
Bila kusema hivi chama hakiendi lazima watanzania waambiwe ukwel kuwa majangili walikuwa wengi mno ccm na magu ndo kidume uyu mzee na karibu wak bashiru
@hassanmpwepwe38264 жыл бұрын
Kwer katbu umeongea kwer ccm mrikuwa mnazingua Sana sima kwasasa mnajielewa mnaleta maendeleo ya kwer pongezi zake rais wangu jpm mungu akurinde na wa sio penda maendeleo ya tz
@kassembotz14213 жыл бұрын
Huo ndo ukweli!!!!!! Huo ndo ukweli Huo ndo ukweli Huo ndo ukweli Huo ndo ukweli JPM pumzika kwa amini 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔
@davidnicholaus53044 жыл бұрын
Mmmmm haya maneno mmmm
@patrinraura1397 Жыл бұрын
Wewe ni muumini wa Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere na Hayati Magufuli hutapendwa na baadhi ya Wanasiasa kutokana na ucha Mungu wako. Jemadari na Shujaa usiyeogopa kusema ukweli Mungu Akubariki.
@dhulkfryshaffih23712 жыл бұрын
Vep kwa Sasa mzee wangu Hali ikoje
@stevencherdiel95224 жыл бұрын
Hiyo ni kweli tulipoteza kabisa matumaini.
@yasinhemed24984 жыл бұрын
kila serikali iliyopita ilikua na mazuri yake na makosa yake toka awamu ya kwanza hata hii baada ya kumaliza itaonekana hivyohivyo
@axmedcumar6196 Жыл бұрын
Wameshasahauuu
@pastorycharles12534 ай бұрын
Dr Bashiru Ally kakurwa akili kubwa sana
@papayatnzania10054 жыл бұрын
Ukweli utabaki kileleni siku zote awamu ya 234 ni za mifisadi na familia zao ila hii awamu yatano5 inatuonyesha live jinsi Tanzania yetu ilivyokuwa inachezewa na kufisadiwa mchana na usiku mwaka hadi mwaka watoto akina mama wajawazito wengi walifariki kutokana na unyama na uzandiki tena waliokuwa wanafanya hivyo ni watumishi waliokuwa serikalini
@fredybuha28724 жыл бұрын
Huuu unafiki kitu kibaya Sana ivi huyu ndio Dk kweli Tanzania wasomu hewa
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Acha umbumbumbu wewe!!!
@wisdomuta10394 жыл бұрын
Bashiru Ally Kakurwa Dr.(PHD) 100%
@msafiriomary8938 ай бұрын
Ndivyo itakavyokuwa 2025 wanainchi hatuipendi ccm mifumko ya bei kra mfanya biashara anapandisha bei atakavyo serikal inaangaria tuu tumerudi kure kure
@yahyahamad1802 Жыл бұрын
Kumbe ndio mana kikwete jana akakushukia, hahaha
@laulianmeneja20794 жыл бұрын
Leo kikwete hanamaana na mkapa
@allysudi29864 жыл бұрын
Hapa naona ccm mbili kutokea maana haya maneno ya Dr bashiru sio kipindi chake
@hamadsaburi3569 Жыл бұрын
Sadakta
@saidasimba99794 жыл бұрын
Unaongeaga kwa fact ..kweli wewe mwalimu tena msomi
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Hapo Dr, umechemka ,,,,"eti wakati kikwete anaingia kura zetu zikaanza kuporomoka" kauli hii sikweli, ukweli ni kwamba kikwete alishinda kwa zaidi ya asilimia 80 kwa muhula wa kwanza, lkn muhula wa pili ndio ndio zilishuka!!! Asipotoshe!!!!
@josephlorri431 Жыл бұрын
Awamu ya kwanza ya kikwete alipokea kwa mzee Mkapa, kw hiyo hiyo 80% ni kazi mkapa.
@user-fp9ye4vv3y8 ай бұрын
@@josephlorri431Umemjibu vizuri
@malindaramadhani92713 жыл бұрын
Heeeeeh ndio nini
@nizwaoman83789 ай бұрын
Na sasa ivi sasaivi akuna kula ccm ila kuna mabavu watu tulivyo na ali mbaya bado tuchague ccm tumewachoka
@munuoisaack4184 жыл бұрын
Kwa mabadiliko kumbe ni MAGUFULI na siyo umoja wa ccm manake watu ni wale wale Magufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeee
@ghbussiness87504 жыл бұрын
Sioh yakuongea public
@zikirination67694 жыл бұрын
Yaongelewa chumban sio
@abduliddy74324 жыл бұрын
Hakuna cha matumaini, maisha yamekuwa magumu sana na sijui kwa nin tuwaoga watu wanafanya mambo wanavyo taka wao. Halafu unasema tuna matumaini hii sio kweli kabisa.............
@namlessnamless12074 жыл бұрын
@@abduliddy7432 Fanya kazi acha mayowe !
@dastanmjema28154 жыл бұрын
Hivi mara kikwete aamue kuingia na magufuli 2020 labda panaweza pakatupa picha gano?
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Weeeee Jk anatisha wewe!! yule jamaa ni Master of politics,,,,anashinda mchana kweupe!!!
@sundaystanley5322 Жыл бұрын
Sasa hivi tumerudi kule kule
@ibrahimkambi92883 жыл бұрын
JPM WE MISS YOU
@shukurunzenzule59634 жыл бұрын
hata saahizi ni yaleyale watu wanaogopa intelejencia inamaana wewe hujuwi hilo umebaki kujipendekeza kalagabao
@ThobiasMarandu4 жыл бұрын
Pumbavu sana Huyu, Sasa Kikwete alipata 60% za Halali. Ninyi Si Mnapora hiyo ni asilimia 0%
@godfreymbwambo44604 жыл бұрын
SASA WEWE SI CHADEMA, MAMBO YA CCM YANAKUHUSU NINI?? FISADI LOWASSA MUMEMLAMBA MATAKO NA KAWAKIMBIA !!
@abubakarihamissi41782 жыл бұрын
Yes it's true kikwete alipata za halali lkn marehemu mpk nyingine ziliwekwa kwenye mifuko
@michaelngaliga18024 жыл бұрын
Kama ni hisia za watu kazjuaje na wakat kasema mwenyewe matumain hayapimikii??😁😁😁
@mohamedturanardan8871 Жыл бұрын
Vipi wewe ulipowafyeka wabunge 70 wa CCM na kuwapigia simu kwa kuwatisha?
@bebisheni43804 жыл бұрын
katibu wewe hujagundua bado tatizo waratibu wa mabolozi wilayani wabovu wafukuze wananikera
@bebisheni43804 жыл бұрын
na waandika makaratasi kwa makatibu wilayani nao wachunguze wafukuze pia madreva wachunguze wafkuze wananikera ccm oyeee
@immanuelswai66794 жыл бұрын
Hata sasa ndio imekuwa mbaya zaidi. Lamda mtumie nguvu ya polis. Ila kama mtatumia alali hataona majimbo mengi sana.
@mainguburemo6186 Жыл бұрын
Tumerudi huko huko tulikotoka
@mohamedfogo88204 жыл бұрын
Swadakta mkuu Matumaini ya wanyonge yanaonekana
@efraimjohn49564 жыл бұрын
Hv sasahv Tiba ni bure?
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Bashiru hapo umeongopa , itakumbukwa kikwete mwaka 2005 alichaguliwa kwa zaidi ya 80%
@user-fp9ye4vv3y8 ай бұрын
Unajua kwa nini kasema 2010? Kura za 2005 za kikwete ni matokeo ya kazi ya mkapa na kura za 2010 ndio ya kikwete,kura za 2015 za Jpm ni matokeo ya kazi ya kikwete na kura za 2020 za Jpm ni matokeo ya kazi yake.
@gockoomzawa33894 жыл бұрын
siasa mchezo mchafu ....
@jozeytv83574 жыл бұрын
We ulijuaje vya ccm akati ulikuwa CUF
@celestinshayo72954 жыл бұрын
Tanzania na CCM ya sasa inaongozwa na watu siriaz. hawatabasamu maana ukimchekea kima utavuna mabua. Hawa ndio wanaotakiwa. namfahamu Dk. Bashiru alikuwa tutor wangu somo la DS pale UDSM. Siriaz hivi hivi. Kaza buti baba kima bado wengi nchi hii
@leonardsebunga71877 ай бұрын
Mwl aliwahi kusema chama legelege huzaa serikali regerege,inafaa kujitafakari kwa sasa.