Рет қаралды 6,759
BAADA ya TETEMEKO Kupiga GEITA, Ona HALI ILIVYO kwa WANANCHI - "TULIJUA USHIRIKINA"
TETEMEKO la ardhi limetokea majira ya saa 6:07 usiku wa kuamkia Aprili 25, na kutikisa maeneo ya Kanda ya Ziwa hususani Masumbwe na Nyang’hwale, mkoani Geita ambalo limedumu kwa sekunde kadhaa.
Kwa mujibu wa taasisi ya utafiti wa kijiolojia nchini Marekani (USGS) imesema tetemeko hilo lilikuwa lenye ukubwa wa 4.5 kwenye kipimo cha Richter.
Baada ya kutokea kwa tetemeko hilo Global TV imezungumza na wananchi mkoani Geita ambao wameelezea jinsi walivyopata taharuki..
Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
ANDROID:bit.ly/38Lluc8
iOS:apple.co/38HjiCx
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
(+255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
bit.ly/exclusive_interviews