shukrani ssna pr una juwa muyu aki shiriki sana nyumba za wafumu na laana zina kujaga nyuma piya kuuza moyo kwa shetani ili mutu apate hela kuna wakati una fikaka mutu ana kisa hata nafasi yaku tumiya mali aliyo pata kwa shetani upande wa pili. Dr congo
@ReachelNjuguna-zv1zk Жыл бұрын
Hey pastor,I have been following your teachings from Kenya ....a few hours ago Kuna mtu ameanua nguo zangu za ndani mahali mamangu alihamia juzi.....naamini mungu na najua ya kwamba nguvu zote za Giza ambazo zinaenda kuniharibu kuitumia nguo zangu za ndani zimeshindwa katika jina la yesu kristo🙏
@annegoldsmith81953 жыл бұрын
Sijasikia muhubiri ambaye anafundisha kama huyu mchungaji David Mmbaga hizi siku za mwisho. I wish we have a few like you . Unafundisha ukweli wa bibilia. Mungu akubariki na akuongeze neema yake kuendeleza ijili.
@upendoramadhan92222 жыл бұрын
Mungu amuongeze nguvu amuweke
@marcelineshanga9811 Жыл бұрын
Mushungaji tupenaba zako litukuwe nakupatakirahisi mungu akubariki saaaaaaaana
@marcelineshanga9811 Жыл бұрын
Tumekulanakunyanakula varohani.namwilini
@magrethsayi Жыл бұрын
Nahitaji no za pastor nisaidien
@mahindiumakinisa4732 Жыл бұрын
Ninabarikiwa sana na nelo la mungu unalotufundisha
@maureenkemei92543 жыл бұрын
Hili somo limeokoa Familia yangu sana, tangu mwaka Jana nmekua nikiomba juu wazazi wangu wapokee Yesu naona Mungu akitenda maana nmekuwa nikisikia eti mzee wa kuzaa baba Kuna kitu alifanya akarogwa ndio maana mambo hayaendi. Lakini mwaka huu nimeona mkono wa Bwana baba amekubali kwenda kanisani naamini Mungu atamsaidia asirudi nyuma. Pia naamini kaka zangu Yesu atawagusa wajitolee kwa Yesu, shetani hana nafasi ya kujitukuza ktk familia yangu. Asante Sana.
@sophiamwakila33004 жыл бұрын
Tukubali kumpa Yesu maisha yetu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuna mchawi wala pepo litakalo tusogelea kabisa. Lakini tukiwa vuguvugu kwa Yesu kidogo duniani kidogo shetani atatuchezea kama uwanja wa mpira. Tukubali kubadilika. Pastor Mbaga barikiwa kwa somo zuri lenye maarifa
@adeladaudi87804 жыл бұрын
Walinichanja sana kabla sjampokea Bwana Yesu, alafu ndio wa kwanza kukutukana ooh mshirikina wewe, kila kukicha chale mbichi, Mungu anawaona! Barikiwa sana mchungaji, sasa hivi Niko ndani ya Yesu wameshakipata cha moto!
@anastaziaemily47083 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mpendwa!!!
@adelinakastory43373 жыл бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu by adela
@zainabuathumani25716 ай бұрын
Amen paster Mungu akunze
@BahatiMrutu-w8qАй бұрын
Pole sand mungu akupe ujasir
@selinasulle26064 жыл бұрын
Pastor naomba ubarikiwe sana na Mungu kwani nimepata nguvu ya kuendelea mbele kwa mafundisho yako Mungu akutunze kumhubiri siku zote za maisha yako amen
@solomonmakori77983 жыл бұрын
Pr mbaga I love ur teaching from Nairobi Kenya really blessed as u continue praying for us
@pendomtemi94394 жыл бұрын
Atukuzwe Mungu ufumbuzi wa changamoto yangu umepatikana kupitia somo hili.Barikiwa Mchungaji.
@heldaoigo7659 Жыл бұрын
Powerful sermons May the Almighty God continue blessing you for us
@nansyas2644 жыл бұрын
Waaa pst God bless you soo much umeguzia mambo mengi ambayo Leo hii tu naishi katika Hali hiyo tu kubali mungu ndio muweza kila kitu
@lilianjacobs2484 жыл бұрын
Mungu akubariji
@equilinendikubwayo56453 жыл бұрын
Amen Amen barikiwe mtumishi wa mungu na barikiwe Sana pasteur David
@OscarWilson-c9d Жыл бұрын
Amen nimebarikiwa na neno la mungu
@anthonysnsabi Жыл бұрын
Nakushukuru sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubark zaid na zaid. Yote uliyoyafundisha hapa yamekua yakinikuta tangu nimeamua kuokoka, ushindi naupata kwa jina la Yesu. Nashukuru neema ya Mungu kunishukia mpaka kuokoka kwani leo naishi ktk amani ya Kristo iliyonipa nguvu mpya ya kiungu ktk maisha yangu
@elishangomele99374 жыл бұрын
😍😍 pastor mungu azidi kukufungulia njia mda ote
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Amen
@belindakennedy2343 Жыл бұрын
Asante sana Pastor umenipa ujasiri wa ajabu katika maisha yangu..Hakika Shetan ameshindwa kwa Jina la Yesu
@ramadhanurasa61984 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor kwa sms nzuri, naamini watu wengi haswa vijana watona umuhimu wa k7zikabidhi nafsi zao kwa Bwana Yesu Kriato. Be blessed pastor
@samogoti Жыл бұрын
Wonderful & encouraging sermons.. Pr Mmbaga God bless you
@etoabwe34519 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho imenijenga sana na kuniongezea Imani
@givengaby60674 жыл бұрын
Mungu anajua walio wake, Mungu in mwema, jina la Yesu Na damu ya Yesu nizaidi ya mamlaka zote hapa duniani, madhabahu ndiyo Shida Kubwa watu hatuna elimu Kubwa kuhusu maagano ya mabibi Na mababu zetu, YESU TUSAIDIE AMEN
@beatriceeww6mashongole2123 жыл бұрын
Ahsante na barikiwa sana mtumishi.
@rahabnkya82764 жыл бұрын
POWERFUL MAN OF GOD YOU HAVE INSPIRED ME ALOT IN YOUR SERMONS.
@braysonsuleman35834 жыл бұрын
Bwana aturehem
@GiftSisso6 ай бұрын
Bwana akubariki kwa mahubiri yanayotugysa karne hii. Mungu atusaidie saana.
@preciousprecious70402 жыл бұрын
Amina pr! Mungu akubariki sana! Akupe afya na nguvu uzidi kutusogeza karibu na kristo🙏
@priscakisyeli72503 жыл бұрын
Amina sana pastor 🙏. Mungu akubariki
@priscakisyeli72503 жыл бұрын
🙏
@devothamichael93962 жыл бұрын
Neema ya Mungu iwe pamoja nasi, Mungu akupe maisha marefu, mafundisho yako yazidi kuwa baraka kwetu maana kila nisikiapo mafundisho na najifunza mambo mengi na nazidi kuona upendo wa Mungu maishani mwangu
@johnrose54603 жыл бұрын
Asante pasta kwa mafundisho mazuri
@faithmoraa4542 Жыл бұрын
Thank you pr. Nimebarikiwa,Mimi n faith kutoka kenya
@juliusmantago45114 жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana Mungu akujalie maisha marefu
@josephojukwu213910 ай бұрын
You are wonderful pastor
@JosephineMochumbe Жыл бұрын
❤ pastor mbaga umnigusa sana na maubili yako MUNGU akuongese nguvu kwa kasi yako Josephine kenya kisii.
@benjaminpaluku68873 жыл бұрын
Asante pasteur
@bensonmusau60362 жыл бұрын
Your sermons have been a blessing to many, I included. Asante sana
@MuhindoMoise-i6m Жыл бұрын
Pasteur Mungu zaidi kukubariki
@MufwasiAndre-px8jm6 ай бұрын
Mungu akutiye nguvu sana pastor
@everlynenyonga21303 жыл бұрын
Everytime I listen to your sermons I get l uplifted,be blessed Pastor.
@hamisilumona71634 жыл бұрын
Napenda sana maubiri yako pastor. Mungu akubariki na anibariki na mimi pia kwa neema yake.
@anordamtv89843 жыл бұрын
God bless you pastor for your great job
@FarajaSaimon10 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@tabithayohana85734 жыл бұрын
Amina dah nimejifunza kitu hapa,nadhani wengi wamejifunza
@elizabethtondo51784 жыл бұрын
Pastor nashindwa ni comment nini Ila Mwenyezi Mungu akulinde aendelee kukutumia kuokoa roho zinazopotea.Ili somo likatubadilishe tumtegemee Mungu katika maisha yetu
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Amen
@josephnyangau32724 жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa kutumia chombo chake.
@bonventureminja96974 жыл бұрын
Mchungaji mwanangu anavuta bangi na kutokufanikiwa naomba umwombee abadilike
@nicemtorela14984 жыл бұрын
Amen Pr.
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Mungu atatenda
@PaulineWanjiku-re2hy Жыл бұрын
Nimekua nikionyeshwa makubwa na mungu lakini sijapata nafasi ya kieshima ya kutoa huu ushuunda mkuu na vision mungu akubariki kwa kuhubiri ukweli ulioko
@jailomhengilolo28984 жыл бұрын
Amina barikiwa Mtumishi wa mfalme kwa ujumbe huu wa matumaini Ahsante.
@equilinendikubwayo56453 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu pasteur David
@KasianMgimbaАй бұрын
U B A U B Ubarikiwe sana mchungaji kwa somo zuri
@josephngara89093 жыл бұрын
Good job pastor, Mungu akubariki, uendelee kuuvunja ufalme wa adui
@mrembonaomi90772 жыл бұрын
Barikiwa sana mutumishi wa mungu kwa mafundisho yako ninabarikiwa sana Amen kutoka kenya
@samledbunt27744 жыл бұрын
Amina sana PR davd nabarikiwaga sana kwa mafundsho yako Sir God akuzidishie
@selfaakinyi5124 жыл бұрын
Am always blessed listening to your sermon pastor Mbanga , from Qatar.
@sophiasophia69454 жыл бұрын
Selfa btogether ana fii Oman
@beatricemageka79724 жыл бұрын
Tuondoe woga tumpe Mungu nafasi nafsini mwetu milele ,Amina
@ayubugamba34703 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji Mungu akubariki sanaa
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@MarthaJonathan-e5h Жыл бұрын
Amina mchungaji bwana akubariki sana
@stigmanonsare36724 жыл бұрын
I'm Stigman Onsare from Kenya be blessed pastor kwa Mahubiri.
@NellySakwa Жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri 🙏🙏
@EliezaDaniel11 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@helenmagoti50314 жыл бұрын
Ukiwa ndani ya Yesu Ni raha;
@stigmanonsare36723 жыл бұрын
Amen
@RachaelWaringa-cd3mg Жыл бұрын
You a great inspiration to us but I have a neighbor mwenye asubuliwa na hizo nguvu sana wameangaika wameenda hospital uogonjwa hapatikani tafadhali tusaidie from kenya
@stephenmuimi62947 ай бұрын
Ulisaidika
@EliaSimoni-ye6lv Жыл бұрын
God is power barikiwa sana mchungaji
@mrsdeborahurio3 жыл бұрын
Nakuelewa sana Usemacho maana nimekutana nayo; ni raha kuwa wa YESU!
@mshigilakarume44253 жыл бұрын
Mungu akubariki kw kuwa mbaraka kwetu paster
@uangazetv3 жыл бұрын
Mungu aibariki familia yako pr pamoja na team yote ya mahubiri Tv na somo hili Bwana azidi kulipenyeza zaidi kwa wokovu wa wengi wapate kufunguliwa
@jacklinebubelwa51273 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi unatuinua wengi🙏🙏🙏
@emmanueloloo64734 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu. Ninaomba neema ya Mungu na kwa ufunuo wa Roho mtakatifu elimu hii iwe nguvu yangu katika udhihirisho wa imani na utendaji wangu kwa ajili ya utukufu wa Mungu katika jina la Yesu Kristo ALIYE hai!
@witnessmalangalila914 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu unanibariki Sana na Mafundisho yako🙏
@MaunduKilonzo Жыл бұрын
Mchungaji David mungu akumbariki sana kwa mafundisho ya bibilia Ni Petro kutoka kenya
@SimisiKambale Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji,nitapita vitabu namna gani mimi niko hapa congo kwenye mpaka ya uganda na congo.
@nansyas2644 жыл бұрын
Nimebarikiwa nikiwa Saudia Arabia waaah pst sichoki na maubiri yako Ubarikiwe sana
@asooraaasooraa48164 жыл бұрын
Ameen ushindi ni hakika tukiwa ndani ya yesu
@selinasulle26064 жыл бұрын
Mungu tuongezee imani na utpe amani yako na ikae ndani yetu amen
@felicianamutakyahwa15494 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri, umenitia nguvu na shetani hanibabaishi tena nitamkanyaga vibaya.
Nimebarikiwa SANA na hili somo sababu napitia changamoto hizi kwenye maisha yangu had leo
@juliusphinias31562 жыл бұрын
Mungu akuongezee maarifa ya kuuchambua ukweli.
@hbdina3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen 🔥🔥🔥🙏
@margaretmandago95893 жыл бұрын
Good teaching.
@aliceagoodsongnicevoices48554 жыл бұрын
Watched from Saudi Arabia God bless you for the wonderful gospel that is so touching may God help his children àll the time
@TRIZA-w5j Жыл бұрын
Be blessed
@joykapaya19703 жыл бұрын
Oh powerful. Remain blessed pastor.
@wishitwinzi80674 жыл бұрын
Nmefurahia sana mafundisho yako haya, Mungu akubariki sana na uniombee mimi na mke wa rafiki yangu, we omba tu ujuavyo kwa kulingana na fundisho hili
@peninamirimbo41603 жыл бұрын
Barikiwa Sana mchungaji
@conniemukami1274 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki pr na akupe maisha marefu uuendelee kueneza injili ya Kristo. Kweli Mungu ana nguvu kuliko vitu vyote,
@frankgabriely92944 жыл бұрын
Amina
@ushindidaycare2344 жыл бұрын
Past Dav nikama ulijuwa haliniliyonayo maana nimetishwa sana nakuomba unipe kampani ya maombi maana nikojilani kushindwa
@gilbertmgabriel91584 жыл бұрын
Thank you Pastor, God Bless you
@mariammussa7654 Жыл бұрын
Mungu akubariki ❤
@rosemaryotieno32434 жыл бұрын
Nashukuru sana mchungaji, umenipa ujasiri kweli kweli na mungu aendeleze kazi yako, Amina!!!
@belindakennedy2343 Жыл бұрын
Mm mwenyew ni muoga namba 1 ila kupitia hili somo sitoogopa Tena na Yesu amesimama kwangu na nina nguvu ya kukemea..Hili somo nimelipata kwa muda muafaka ambap nina hofu..sana
@feminakidiavai5849 Жыл бұрын
Amen mafundisho yako yamenifungua kwa mambo mengi
@jacklinemethord65423 жыл бұрын
Asante Sana Mtumishi wa Mungu,
@rachelmlingwa88804 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@paschalmashili51954 жыл бұрын
Niombee pr mm Paschal Paul Mashili nilikuwa mkristo mpenda mungu leo hii nimetokomea mch
@mlishohadija692311 ай бұрын
Nashukuru mungu hili somo maana limenifunza kitu juu madamu wangu alinichukulia nguo yangu ya ndani sijui nini alienda kuifanyia but ninaamini mungu anaendelea kushuhulika naye maana namuamini mungu wangu nimkuu kuliko yule anaye muabudu yeye🙏
@paulwambua49564 жыл бұрын
Am blessed pr. Ningependa unisaidie kwa maombi ya kibisafsi. Paul from meru Kenya
@simonkuyyi39834 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,akazidi kukufunulia upate kuwaangazia mataifa.
@RovniHollota-jw6ir9 ай бұрын
Mungu awabariki!!!!! Ni wakati wa kupiga panda ulimwengu utambue kuwa yesu ANAKUJA hivi punde
@nicholasmomanyi9594 жыл бұрын
Amen nalifuatilia xn kila mahuburi yako n nabarikiwa mno moyo watulia mungu akujalie n nguvu uendelee kuhubiri neno lake n kutuelimisha
@elizabethkihiyo99854 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu
@bosireogwera38752 жыл бұрын
Amen powerful message 🙏
@bonfacenyakundi43522 жыл бұрын
Hello pastor am bonny from Kenya after listening to your sermon I wish to talk to u sijui how
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Glory be to God for we learn everyday, God bless you Pastor.
@eustina0 Жыл бұрын
Animaaa pr Mungu atukuzwe siku zote
@danielnzyoka59383 жыл бұрын
Really blessed! God bless you pastor Mmbaga.
@rosepeter89964 жыл бұрын
AMEN🙏🙏MCHUNGAJI BARIKIWA SANA,UMETUELIMISHA,NA HASA WATOTO WETU TWAWAHIMIZA ILI WAFIATE NJIA ILIO SAWA ILI KUUFIKIA UFALME WA MUNGU.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞