Asante pastor kwa haya mafundisho...Mungu azidi kukupa nguvu na ujasiri wa kuieneza injili yake
@marthakalekye806927 күн бұрын
Naomba maombi juu ya mume wangu macho yake yanazibwa na ukungu mweupe hata kazi hajaenda wiki 2..naamini atapona..Amen..asante kwa mafunxo
@phylismutinda453024 күн бұрын
@@marthakalekye8069 atapona kwa Jina la Yesu
@lucmahugo2354Ай бұрын
Barikiwa zaidi baba Umekuwa zaidi ya baraka kwangu Nakufata nikiwa DRC congo
@joycemashikolo909626 күн бұрын
Baba yangu mwema mtunze mtoto wako huyu katika jina. la yesu amen
@mlishohadija692316 күн бұрын
Mungu akubariki pr kwa mafundisho mazuri Mungu azidi kukufunika na damu yake🙏 naazidi kukupa ufahamu zaidi na zaidi
@DainaMwaikwaba2 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu unanibariki sana Mungu akulinde, Mungu akutetee , Mungu awe ngao yako siku zote za maisha yako, Mungu abariki na uzao wako,kila unalifanya Mungu alifanikishe kwa jina la Yesu kristo aliye hai,Amina
@kinsman-mx6qh29 күн бұрын
Amen mentor may GOD CONTINUALLY BLESS YOU AND INCREASE YOUR BOUNDARIES
@etoabwe34519 күн бұрын
Mchungaji Mungu akubariki na azidi kukufunulia zaidi na zaidi ili wana wa Mungu wajengwe kiroho,umenijenga imani zaidi na zaidi
@deborahkihedu718329 күн бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza Mchungaji.
@IsaacButiya9 күн бұрын
Thanks pastor mbaga tukutane mbinguni Nimejus thamani yangu God bless you
@NaomieWema-o9h10 күн бұрын
Asante sana una tuyiya moyo Tangu nianze kufwatiliya nina amani Mungu aendeleye kuku tumikisha Niko RDC)goma
@joyikaya7429Күн бұрын
AMINA PR. ZIDI KUBARIKIWA.
@ChristinaJohn-oj9nc9 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje
@margaretwanjiru9096Ай бұрын
Barikiwa sana Pastor unapoendelea kutufundisha
@user-kq9je6zf3v29 күн бұрын
Amen asate mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana 🙏🙏🙏
@danielmutunga318111 күн бұрын
Am blessed by this sermon
@sylviesaidi574021 күн бұрын
Kwali kabisa nimeipenda ilisomo 👏🙌🙏🏻
@AnnahPetro-ct6rv18 күн бұрын
Ubarikiwe sana pr yaani mahubiri yako yamenibariki mnoo, mwenyezi MUNGU azidi kukutunza ili tunufaike na madini yako🙏🏼🙏🏼
@ShirimaneemaАй бұрын
Amina Pastor, Mungu azidi kukuangazia nuru za uso wake
@jamesmedard553829 күн бұрын
BARIKIWA SANA PR.MMBAGA.
@perisbosibori224921 күн бұрын
May GOD continue using you in a MIGHTY way so that many will know the LORD and be saved, 🙏🙏.
@rehemanashon373928 күн бұрын
Amina. Barikiwa sana Pastor.
@sylviesaidi574020 күн бұрын
Thanks!
@ElizabethOmwoyo-hj4chАй бұрын
Thanks God you are on air finally coz have been waiting for it eagerly since last night, let us all stay blessed by the word greatly 🙏
@elizabethgodfreytondo305213 күн бұрын
AMEN
@angelnziajose7655Ай бұрын
Barikiwa Pr kwa ujumbe mzuri
@Mapenzi263520 күн бұрын
Mch. Mmbaga upo sahihi sana kuwa Mungu ni halisi. Evolution siyo halisi ni uzushi tu (unintelligible ). No single evolutionary postulates have been observed . To the contrary ,every creationist postulates have been observed. That settles it.
@user-dk3xi4pz7oАй бұрын
Barikiwa or kwa ujumbe mzuri
@Marykariuki-km5fjАй бұрын
Nabalikiwa sana
@lydianashon8010Ай бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji umenifumbua sana macho ya kiroho
@Mapenzi2635Ай бұрын
AMEN . Tunakusubiri na tunakuombea
@emmanuelmbwambo657110 күн бұрын
SAWA mchungaji 🙏
@estherogembo5536Ай бұрын
Eagerly waiting
@ChristinaJohn-oj9nc9 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje ?
@GraceMashenene24 күн бұрын
Pastor naomba niomber nasimbuliwa na nguvu za giza
@ElizabethMunis-dq1lo28 күн бұрын
Amen
@user-wg2gd2nl6cАй бұрын
Aminaaaa
@apollobupolo9884Ай бұрын
Ameeeen
@mshigilakarume442527 күн бұрын
Amina pasta
@Mapenzi263520 күн бұрын
E
@frenkbatromeo790027 күн бұрын
Pastor kwanini kofia za vijana wa pathfinder pia zina umbo la mdomo wa samaki zenyewe hazihusiani?
@user-yb6rw3tm1dАй бұрын
Pastor naomba number yako pls
@user-fx5vl2qv7n20 күн бұрын
Nina swali... mashindano ya Olympic yalifanyika kwa heshima ya mungu zeus wa ugiriki...je kuna madhara gani kwa mkristo kushiriki au kushabikia mashindano hayo leo...??
@user-fx5vl2qv7n18 күн бұрын
Jaman napataje majibu sasa
@angelnziajose7655Ай бұрын
Mbona hili somo halifunguki?
@user-cr1nk1zc5sАй бұрын
Wameandika linafunguka saa 12:00 Ndo maana my dear
@angelnziajose7655Ай бұрын
@@user-cr1nk1zc5s Asante ndio naona sasa barikiwa sana my dear
@user-cr1nk1zc5s28 күн бұрын
Tubarikiwe sote my dear ❤
@ChristinaJohn-oj9nc9 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje
@ChristinaJohn-oj9nc9 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje ?
@kibecate2495Ай бұрын
Amen
@ChristinaJohn-oj9nc9 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje ?
@ChristinaJohn-oj9nc9 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje ?