BABA AMTOA KAFALA MTOTO WAKE/MAMA AMTAKA MWANAE ARUDISHWE
Пікірлер: 275
@SylvestreNdayishimiye-fc6zp4 күн бұрын
Bwana Yesu asifiwe. Mtumishi wa Mungu naomba kuombewa mimi pamoja na familiya yangu. Tumefungiwa milango imefungwa. Naomba kufunguliwa.
@SuperRamso27 күн бұрын
Naitwa mama dan. Baba mwanangu toka azaliwe anajikolea na anatumikishwa kichaw. naomba nisaidie baba .
@DaudiMwangati-id1tk2 ай бұрын
Naomba mtumishi kiboko wawachawi naamini nabii uniombee na mimi uchumi nimbaya nazalauliwa kwa maisha uniombee Mungu wamadhabahu hii namwamini amen.
@MagrethMallya-we8ui4 ай бұрын
Halooooo, hizi huduma ni ngumu sana, wamama hatunaga akili kabisa, nyie wenye akili mnisahee , huku unabii utaondoka na wamama wengi sana .
@HamisiSimonАй бұрын
Nikopamoja nawewe
@BenadethaJoshua-nn4zy2 ай бұрын
Baba kiboko ya wachawi Nina Imani na wewe Mimi naitwa Joshua amani maisha yangu ni magumu sana nafanya kazi lakini naishi katika madeni naomba unisaidie baba
@felisterandrew84183 ай бұрын
Kwan kwa waganaga . Tumeenda sana lkn kwn ht km cyo nguvu za mungu kuna nn ili mradi tu natatua shida zangu kuna shda gan
@obedisiarangiriki81427 ай бұрын
Mungu anaweza, nafurahi sana Mungu huyu mtenda miujiza kupitia nabii huyu
@ReginaMushi-gp3ct2 ай бұрын
NaoMba nikafanikiwee katka maisha yanguu fireeeeee katkaa jinaa la yesuuuuuuu fireeeee watuu ambaoo siyo sahihi kwanguu naombaa waondokeee kwa jinaa la yesuuu
@EvaMussa-xi7vh7 ай бұрын
nabarikiwa sana baba mungu azidi kukupa maisha marefu
@MagrethMallya-we8ui4 ай бұрын
Mchungaji ananja nakupenda sana. Mungu akubariki, maana ujinga kama hii kwako hamnaga.
@KhadijaMachale2 ай бұрын
Nabii naomba ukateminyororo katika maisha yangu
@MatildaaFrancis-wf9qm7 ай бұрын
Baba shalom me naitwa gerald mahamud salum baba nateseka baba maisha ang hayana mbele wala nyuma nimekuwa mtu wa kuangika baba ang naomba nisaidie baba
@JasmineMushi-bs8pm7 ай бұрын
Umeniguza sana nimesisimka mwili mzima yaana mimi napitia magumu naomba maombi yako baba
@dorophinadeus92033 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe mtumishi,naomba Mungu anisaidie mume wangu apone
@AsteriaJoseph16 күн бұрын
Mtumishi wamungu naomba unisaindie mama yang anaumwa miguu kam fagasi mchungaji m naitwa asteria pia naomb uniombee baba nipate mwanaume wakunioa mim mchungj naomb unisaindie naomba
@HappyMubiligi-hq9uv7 ай бұрын
Naitwa happy matheo. Baba nisaidie sipat siku zangu za hedhi na mtoto pia. Nabii tabili juu yangu
@VannyThomasАй бұрын
Shalom mtumishi na omba uni ombee maisha yangu ni magumu pia Sina kaz
@user-kc6og5lm1v3 ай бұрын
Amina baba ubarikiwe na huduma
@user-is3nr5di5q5 ай бұрын
Naomba uniombee!nikue kiuchum mim na familia yangu,pia umponye mama yangu na miguu
@user-rk6zq7hz5z4 ай бұрын
Naitwa James maisha yangu yamekua magumu sana Baba sipati kazi wala biashara miguu na mikono inawasha tu.
@neemajuma10152 ай бұрын
Naitwa Neena juma Baba nisaidie madeni yanga yaishe chap Nariman yanaisha ameen
@MAYAMIKOIMON-bo7qp2 ай бұрын
Baba asante sana niko kwa radio baba nasubilia huduma yako baba niongee naw
@happynesskimango18421 күн бұрын
Nabii naomba uniombee mimi naitwa happy hojes tangu nijifungue naumwa umwa sana nyonga na miguu
@suzan4712Ай бұрын
Shalom shalom apostle Dominic plse niombe maana nateseka na muguuwakuliya unanisumbuwa kwa myaka nyingi nipohapa Dubai bt I'm from Malawi plse help mi ma pastor
@getrudaadrian85586 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU,lakini huyo ungemwambia aokoke aje kwa YESU aache kabisa aunguze vitu vyote vibaya ,pengine anaweza acha akimjua YESU kuja kwakwe kanisani hapo ndyo kupona kwake, aokoke huyo mzee mali atapata kwa YESU
@GroryJumaa2 ай бұрын
Ivi wanadam sijui mkoje mnadai nabii wa uongo taften wa kwen.wakweli kuamini kwako ndiyo kupona mbona yesu alimpaka kipofu matope kwenye macho na akaona naitwa grory nipo mombasa dar es salam
@ShangweNgirolitiАй бұрын
Inaitwa shangwe baba nipoo Arusha Naomba utabiri neno baba juu ya familia yangu
@user-wn5eb5ms9r7 ай бұрын
Shalom baba naitwa Shaban ulimwengu nashida Sana kila nikifanya kitu ambacho kinaniingizia pesa hazikai zinapotea najikuta zinaisha bila malengo yoyote yale
@AwaziRajab6 ай бұрын
Nimefiwa Na Mwanangu Kama Wiki Mbili Zilizopta Kama Kama Apo2 Unajua Mpango Huo Umepangwa Akuna Mke Na Mme Apo Wangetaja Maeneo Wanatoka Walio Na Ujilani Nao Wakometi Ukweli Wao Tunaweza Kuletewa Wakongo Wakenya Kutoa Ushuhuda Feki Bila Kujua Wawe Wanasema Wazaliwa Wawapi Kijiji Mtaa Mpaka Wajumbe Wa Nyumba Kumi
@SamwelJoseph-px6tc2 ай бұрын
NAOMBA MAOMBI JUU YA ELIMU YANGU YA CHUO NKAFANIKIWE KATIKA IMANI...AMEN🙏
@user-zo5ch5dg8m2 күн бұрын
Nabiii uwaa by Leah lucas
@user-py3ks2ft1i3 ай бұрын
Mungu akubariki baba
@eliaikangui65436 ай бұрын
Naomba nyumba za wanangu zirudishwe mikononi mwao kwa jina la Yesu Kristo Aliye Hai
@user-xk3ue8yi3sАй бұрын
Aslm naomba namimi unisaidie kweli mtumìshi wa mungu niko mbali
@MatildaaFrancis-wf9qm7 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba
@papaamishael41157 ай бұрын
Naitwa Mishael . ninatatizo la kiuchimi napanda na kushuka sjajuwa tatizo Nini mtumishi...
@user-ec5gz9lb3d5 ай бұрын
Naomba uniombee kazi ziende vizuri
@annastaziakalula14754 ай бұрын
Nabarikiwa na mahubiri yako baba!ninaomba unifungue na maumivu ya miguu
@benardbemerengwe93324 ай бұрын
Amina pastor
@user-iv6lt4zi1jАй бұрын
Nabii niponye na magojwa ndani ya familia yangu pia utukinge na wabaya woote
@MeshakShedrack2 ай бұрын
Kiboko ya wachawi niombee nipate pesa kila siku na wachawi wote wafe amina
@NyiranezaWarda-bk1ynАй бұрын
Amen amen God bless you 🥰🥰🥰💯🙏
@ThadeusFrida2 ай бұрын
Naomba unisaidie wazazi wangu wanakunywa Sana pombe na kaka zangu
@eliaikangui65436 ай бұрын
Nawaombea wanangu wa kiroho wapate fire fire fire wanipe mafungu ya Bwana Yesu Kristo wasilale usingizi
@user-rk6zq7hz5z4 ай бұрын
Naitwa James massawe nifungue maisha yangu nabii
@masindikizingiАй бұрын
Naitwa masinde niombee baba na ubarikiwe kwa huduma yako
@selinajacob-zk4cm3 ай бұрын
Naitwa Selina Jacob Nduru Amina mtumishi
@shakirashakira-gc2yw5 ай бұрын
Nina ndugu yangu mwaka wa tano amefaliki lakini mbaka Leo tunamuota anasema yeye yupo ajafa da inaniumiza sana
Ramli chonganishii hakuna cha Roho waMungu full comedian kama ni mimi hii kanisa ni ya kufungaaaaaaaaaa
@MamaKayolo2 ай бұрын
Naomba mungu uponye mwanangu devi anauvimbe kichwani
@user-he4wv9uo6i7 ай бұрын
Mungu atusaidie
@SwaumuRamadhan-yu5znАй бұрын
Bwanayesu asifiwe baba naomba nisaidie ndoa yngu Iko matatani.baba
@niyiesther65715 ай бұрын
YESU KRISTO wa KIBOKO ya wachawi yupo kazini. Na Mimi anitumikie
@FatumaNyabangeАй бұрын
Naitwa fatuma, ninasumbuliwa na majini wa kutupiwa huu ni mwaka wa Saba sasa, naomba uniombee baba.
@user-pr3cz5vb3p7 ай бұрын
Naomba mzaada baba mchungaji naandamwana yadunia
@VeronicaNgasama21 күн бұрын
Kiboko ya wachawi nisaidie nilisingiziwa kes Kam nmeiba hela laki saba Mwaka 2019 mm nakataa Mpaka Leo sijaiba Baba nisaidie mm jmn Huyu bos popote alipo anitafte arudishe Pesa aliyodai nmeiiba na akanilaza kituon Siku 2
@VeronicaKihwaga-ze8ss7 ай бұрын
Amen baba
@MamaKayolo2 ай бұрын
Naomba mungu nisaidie nimalize madeni
@user-ys8hi7iy5j26 күн бұрын
Yani nyie watu nawa ones huruma Sana hizi ninyakati zamwisho jamani shitukeni tunaishi kwaneema ya mungutu nabas Kama nikweli huyo mtoto afufuliwe Basi
@user-sr8il3um5gАй бұрын
Shalom Nabii,nitabirie
@hafsalucky1088Ай бұрын
Jamani mbona mnaweka mziki mkubwa hatumsikii Nabii
@kadaskarim50817 ай бұрын
Amin baba
@happymkuu775 ай бұрын
Mziko uko juu. Hata hatuckii
@joelisaacthomas470526 күн бұрын
Nataka nimuone uyo mtoto next
@SaleheMkuza-tb4ss3 ай бұрын
Naitwa Salehe Bakari maisha yangu yamekuwa magum mno
@sharifahood8734Ай бұрын
nabii niombee napata shida nna kitu cha ajabu mwilini sitaki wanaume
@user-fv4ek7wu7w4 ай бұрын
Amina bab
@JaneLaizer-tb6zl23 күн бұрын
Kwakwel nife tu na shd yng Kwa hyu kweli siendi,itawakost jmn muwe makinii
@user-tv3yz4gp4e6 ай бұрын
Nisaidie mm maisha yangu siyaelewi
@eliaezlomАй бұрын
Wamejivika vazi la kondoo..kumbe ndani nimbwa mwitu...sikuzamwisho manabii wa uongo watakuwa wengi..tuwe makini wapendwa
@HanifaBruno-lv1qf3 ай бұрын
Nifungue maisha yangu nabii
@AsteriaJoseph16 күн бұрын
Baba naomb uniobeee baba naomb mim naagaik bab naomb
@man-chas36063 ай бұрын
Asante baba
@KorduniMolell20 күн бұрын
Wachawi wapo duniani kwl wemeisha 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@GraceZachaliaАй бұрын
Sms zote zinazotumwa kwa kumpinga nabii kiboko ya wachawi na kumsema vibaya zinatoka kwa wachawi,na wafe kabisa
@JuliasLukumay-dr6un2 ай бұрын
Amina🙏
@user-cx2ps9vs1v6 ай бұрын
❤❤❤amina baba
@SalimKiba-vt3kn3 ай бұрын
Naomba uniombee mtumishi wa mungu
@GeorgiaRweyemamu6 күн бұрын
Baba naomba uniombee naumwa
@emapanga7 күн бұрын
Nabii nakuomba nisaidie naumwa xan naiman nitapona kwa nguvu zako ya kiboko ya wachawi.
@user-dc8zw1lf1x7 ай бұрын
Amina baba
@samwelmatemu88736 ай бұрын
Hakuna kitu huyu mshenzi huyu tapeli mkubwa huyu
@faithndanu95464 ай бұрын
Bibilia inasema ,siku za mwisho kutakuwa na wahubiri wa uwongo na na wataponya na kufanya miujiza wakilitumia jina la Yesu,Tuweni makini
@rosemarykimath9337Ай бұрын
Hayajakukuta ww ndo maana unaongea hvyo mganga unamwamini lkn mtumishi wa Mungu humwamini
@user-fv4ek7wu7w4 ай бұрын
Mungu akubaliki sana baba
@MamaKayolo2 ай бұрын
Naomba mungu uponye mwanangu devi anauvimbe kichwani
@user-yc9bx5jx4e4 ай бұрын
Mm George nachangamoto ya kiuchumi nombee
@benardbemerengwe93324 ай бұрын
Baba naomba nisaidie Sina kazi kwa sasa
@user-ry3fi8vl3c2 ай бұрын
mungu wako kiboko chawachawi nataka aniponye koo rangu
@NdaloMkali8 күн бұрын
Nabii naomba uuniombee nipate watoto
@PeterMalamsha-zo8bg7 ай бұрын
Naitwa Peter pasian malamsha nashida napamban nakaz sana Ila bado changamoto nitabirie pasta
@user-ix1xe7mh5w6 ай бұрын
Amina
@Matayo-sh9xbАй бұрын
Hakika unachosema nikweli kabisa nabii
@tumsifurudovikoNtakamulengaАй бұрын
Baba naomba nisaidie ninashamba ramikaratusi ekari 3 ninamuteja ira siamini babanaombamusaada jumapiriyareo
@VicentmazikuАй бұрын
Baba niokoe mimi na familia yangu
@user-dc3ys1su3y4 ай бұрын
Amina baba nakusikiliza toka KIWALANI
@emmanueltuppa54597 ай бұрын
Umri wa mwanao huujui unasema ni kama miaka 12 yani huna uhakika, tena we ndie ulie mzaa yani mwanamke hasahaugi umri wa mtoto tena mtoto ni mmoja wangekua zaidi ya mmoja je?mmmh mapichapicha yapo MUNGU ATUSAIDIE SANA WANADAMU WA KIZAZI HIKI
@victoriajasson9177 ай бұрын
Yani wamama wanao sahau kuhusu kuzaliwa kwa watoto wao ni wengi Sana. Mm dada yangu ni msomi Sana tu ila linapofika suala la huko ofisini kwao wakihitaji data za watoto hajawai kumbuka lazima tu atatuuliza
@user-pu6kr4iq6r4 ай бұрын
Naitwa bisura baba nilijikwaa mlangon nikavunjika mguu na pia nna matatitozo mengi tu hapa nipo kitandan siwez hata kunyanyuka