Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria
@filimonmpinge60393 ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI
@user-zs6kw8ks4m2 ай бұрын
Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi
@festomaswaga-ht5yiАй бұрын
Ubarikiwe baba mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏 mimi festo kutoka dodoma
@SmilingCityMap-xb9md3 ай бұрын
Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake
@Neema-qm9kk3 ай бұрын
Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli
Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao
@rachelmosha561926 күн бұрын
Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu
@muhasatv92452 ай бұрын
TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.
@JanethEmmanuel-mr5le22 күн бұрын
Amina baba naomba uniombee nipate kazi pia baba angu nae apone mguu
@SeleAlfan5 күн бұрын
Mm Mkonga selemani naomb msaanda wa biashar yangu na kunisaindia kuusu mambo yangu ya kuenda ulaya tatu naomb Moto nipo Malawi lilongwe
@Stella-1183 ай бұрын
Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.
@hafsalucky10883 ай бұрын
Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi
@vinuskalonga46562 ай бұрын
Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie. Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama. AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 . KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.
@VeiceNassonКүн бұрын
Naomba niombee nateseka na magonjwa namtoto wangu Toka azaliwe Hana ufahamu mzuri kifafa v
@josephkileo-wk6yeАй бұрын
Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba
@user-yj2wm7rh6u3 ай бұрын
Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii
@SmilingCityMap-xb9md3 ай бұрын
Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo
@mzalendomediatz3 ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
@RodahAdonice-dz4sm2 ай бұрын
Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana
@bonithakankerauwera23233 ай бұрын
Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment
@nataliedayana982418 күн бұрын
Kwel unaomba lakin sasa pesa unaitisha kubwa sana jamani laki 5 maombi ya mmoja mmoja kama huna laki 2unusu hapo nmetoka mkoan sijala sijalal huruma hakunaa kabsaa leo nmeondok nmeskitika kukalia kit wa laki 3 🥱🥱sisi wa elfu 10 tununue utumbo tule tukalale
@JosephMollel-wz7kn24 күн бұрын
Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina
@Stella-1183 ай бұрын
Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.
@LydiaAllen-wl9db2 ай бұрын
Acheni ushamba
@RodahAdonice-dz4sm2 ай бұрын
Polen sana
@SalomeKyamba-mk6zq17 сағат бұрын
Huyu kijana ni tapeli hamjui Mungu yeye ni mpinga Kristo
@SixtenTenga5 күн бұрын
Naomba ndoa yangu ipone in Jesus name amen
@sharonjosephine6252Ай бұрын
Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...
@lightnessgamasa6039Ай бұрын
Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi
@JoyceMassawe-f5i8 күн бұрын
Baba nakupenda sana nisaidie mume wangu anaumwa sana pressure na figo
@ernestkatyega57812 күн бұрын
Huyu ni kiboko ya MKOROGO 😂😂😂 sugu kibao mkononi hakuna mtumish wa Mungu anafeki Hadi rangi ya mwili wake
@ernestkatyega57812 күн бұрын
Huyu mwizi tapeli alaf anajichubua hakuna mtumish wa Mungu wa hivi ANAOMBA laki Tano ndio umuone wakati Yesu mwenyewe watu walimuona bure
@EvaSadala-vv8jn27 күн бұрын
Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea
@norahmajaliwa38413 ай бұрын
Bwana Yesu akulinde Mtumishi
@adamkapolo8817Ай бұрын
Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa
@user-on5pu8wv4g20 күн бұрын
Amina Baba zidi kubarikiwa 🙏🙏
@amanmaleko30853 ай бұрын
Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo
@patrickmalewo50983 ай бұрын
Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .
@user-bj6bs9do2f3 ай бұрын
Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano
@sammasika36273 ай бұрын
Iman haba
@AlphonceSosela4 күн бұрын
Naomba nitabilie Alphonce sotery sosela
@salmamose42442 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe sir
@devotamwambola83033 ай бұрын
Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani
@KuruthumuMakana-tb9fx2 ай бұрын
Ni mkongo kwaiyo iyo ni kawaida acha kujaji
@JoyceMassawe-f5i8 күн бұрын
Pia BIASHARA baba zimekuwa ngumu sana baba
@aishatest445121 күн бұрын
hongera sana
@ZumlattiАй бұрын
Amina niombee namim nateseka
@MartinKimbwerezaАй бұрын
mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu
@HappyEquestrianHelmet-iw5coАй бұрын
Hongera. Sana baba
@Prolimina-im2fo27 күн бұрын
Amina baba
@user-cp3uo9gz2x6 күн бұрын
Kwakweli mm simfahamu ila nimeongea point sana saana
@lusajoullyАй бұрын
Amina
@charlesfaru485Ай бұрын
hongela sana baba mchungaji
@Eunice-kb8yz29 күн бұрын
Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo
@estermohammed4335Ай бұрын
Amen Baba
@FridaMtui-pp3lt2 ай бұрын
Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu
@StanleyChibwete5 күн бұрын
Tembea na mikoani siyo unakaa mahalipamoja tu daresaalamutu na sisi tunahitaji hudumayako njoo dodoma kalibu sana
@estermohammed4335Ай бұрын
Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu
@user-te4nq8vv6cАй бұрын
Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏
@nasibshabani7740Ай бұрын
Muombe mungu wako ww
@nancyg86643 ай бұрын
Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂
@Prolimina-im2fo27 күн бұрын
Amina baba naomba uniombee
@NaomiSilayoАй бұрын
Amina baba tusaidie
@LilianRobert-wx6di20 күн бұрын
Nabii Mimi ninashida Sana naomba nisahidie
@JosephNnko-nz6kkАй бұрын
Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha
@sixmundleonard21354 ай бұрын
👏👏
@Aminatwahily23 күн бұрын
Mungu akubariki baba Dominic nabii kiboko ya wachawi unaweza baba na utaweza zaidi ya hapo long life father ❤
@sarahkeivaly33514 күн бұрын
Kwanini mmekimbia Kongo na kuja kuhubiri huku Tz??
@johnmwakasungula97475 күн бұрын
Msanii huyoo anapanga watu
@estermohammed4335Ай бұрын
Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete
@BahatiMrema-lc3zvАй бұрын
Amina baba natamani uniombee
@petermuturi45642 ай бұрын
Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter
Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢
@user-rs4vz2vt9zАй бұрын
Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.
@AbdallahNzumila2 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia Kwa viwango vya juu endelea kufungua na kusaidia watu wenye matatizo mungu azidi kukubariki mtumishi Nina Imani na weww
@FadhilFadhil-zr1xsАй бұрын
Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako
@felisianafelisiani7519Ай бұрын
Ameeni
@HassaniChamb029 күн бұрын
Samahani. Nna dada yang anamatatizo a naitw a mariamu ramadhani naomba umtabiri Anam toto mgojwa
@user-wy1or9fm2sАй бұрын
Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18
@deogratiusmsafiri20 күн бұрын
Amen
@HappyEquestrianHelmet-iw5coАй бұрын
Nabii nisaidie naitwa chiungo Aisha Anton Sina maisha nakufuatila
@NyiranezaWarda-bk1yn2 ай бұрын
Mungu akupe ushindi roho wamungu akufunike akusimamishiye bendela yawushindi 🥰💯🙏🙏🙏
@JaphetIrambaАй бұрын
NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI
@Stella-1183 ай бұрын
Hakuna mtu aliekuwa mbishi kuamini kama mimi 😮lakini miujiza niliyotendewa na madhabahu ya kiboko siwezi sahau maishani mwangu na si mimi hata niliowapeleka nao wanamshangao so mimi sijali watu wanasema nini ninachoshukuru ni kuwa mungu wa Dominic ametenda.
@user-qu2ky6mi6v3 ай бұрын
Yani napenda sana mm bando langu lote ni Kwa kiboko ya wachawi napenda sana mahubiri yake na Hana kinyongo na mtu
@flavianmasokoto53213 ай бұрын
Someni biblia achen uvivu
@tulihamwe24hrs323 ай бұрын
Kweli Mungu wa Dominic amefanya 😂😂😂😂
@mossesmabulajr.34532 ай бұрын
😂😢😅
@GraceJaphet-fr4jtАй бұрын
Hakuna mtumishi humu huyu mpiga lamri mmoja anaesema hahubiri watu waende mbinguni hata chambe ya kimungu hana
@HappyEquestrianHelmet-iw5coАй бұрын
Fungua na ww kanisa lako udangaye watu kama ni kaz rahis acha kumkashfu nabii
@NaimaAlly-bh6yn2 ай бұрын
❤
@WinifridaNgalamikaАй бұрын
Nataka kujua kuusu dada yangu grace
@fanuelMndeme26 күн бұрын
Ubariwe
@Stella-1183 ай бұрын
Sisi haswa mimi siachi kuhudhuria kwenye madhabahu ya kiboko na wewe unaeongea naneno mabada kwa nabii hayajakufika, yakikufika utamtafuta walahi nakwambia.
@savinosalamba91743 ай бұрын
Safi sana mtumishi
@MartinKimbwerezaАй бұрын
naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi
@claudiokatucha66522 ай бұрын
Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee
@DenisSimon-u2o4 күн бұрын
amee
@MassAlex-dv7rs3 ай бұрын
Huu sio wakati wa kuua wachawi ni wakati wa kuwafanya watu hawa kuwa wema,tambua ukiwa muuwaji nawewe pia ni mchawi.😂😮😅
@jasmineomary43253 ай бұрын
Sio kweli we husomi bible inasema usimwache mchawi Aishi sio unaongea TU bila kujuwa
@miriamgeorge29293 ай бұрын
Hasomi biblia angekuwa anasoma wala asingesema hivyo
@RodahAdonice-dz4sm2 ай бұрын
@@jasmineomary4325mnadanganywa nanyi mnakubali kisasi ni cha Mungu tu na si mwanadam nyie ndo hamsomi biblia vizuri
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
@@miriamgeorge2929usitumie mstali mmoja kujidanganya soma uelewa Hilo Neno Lina maana gani baada ya kifo cha yesu msalabani na alieokoka aikilogeka na kuwaogopa wachawi bado haeliwi KAZI ya yesu msalabani
@GraceSilo-vt6ke21 күн бұрын
Amina baba uniombee ninashida baba ninamaisha magumu sana Kila ninachokifanya hakifanikiwi
@mzalendomediatz20 күн бұрын
Pole, nakusihi endelea kutufuatilia Mzalendo Tv
@ManenoLwanji2 ай бұрын
Siijaelewa Huyu ameongea me ngi LA kin jibulake liko kitabu cha mate nd ya mtume 8,9 ,1o 🎉
@happyminja-kb1ow3 ай бұрын
Muuhubirini MUNGU WA ukweli acheni kumsikiza .....
@irenebeddah65243 ай бұрын
Mwamposa anatufundisha tusimzalau mtumishi wa Mungu yoyote
@LuciaMakarange-vb8mc3 ай бұрын
Kabisa na ăjawai kumutkan mutumishi yoyote
@Yusta-vx6ns3 ай бұрын
❤🎉
@mamaziada1343 ай бұрын
Domi baba yangu usiwasikilize watu fanya ulicho jaariwa na mungu nakuamini aslimia mia na ukuisomatu ujumbe huu nami nitapona kwa imani ubarikiwe niombee naitwa esta andrea
@mzalendomediatz3 ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
@rehemakudra868Ай бұрын
Nimekukubali
@magidalenarauya42863 ай бұрын
Simkaombee kwenye nchi zenu? Mmeona Tanzania ni rahisi kuwapata malimbukeni wa kudanganywa
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
Kashayalisha matango pori ya kutosha
@geofreylucas78703 ай бұрын
Kwani ni raia wa wapi huyu???? Mana nilimsikiaga kwenye radio akisema nilipofanikiwa kupata uraia Tanzania sas nchi ndo sikujua anatokea nchi gani
@msodokielias39852 ай бұрын
Mwacheni mtumishi wa mungu mwamposa ni fireeee
@iptysamjamalАй бұрын
Nabii mume wangu biasharà hàzieñdi na pesa hazionekan zaitun jafar cjui anaemroga nan
@user-bs1od1zl4mАй бұрын
Natamani kukutananna mtumishi mzuri kama huyu make Hana rohoya kinyongo au rohoya kwanini
@iptysamjamalАй бұрын
Nabii komboa familia yangu
@VeronicaChaudele22 күн бұрын
Kiboko ya wachawi ubarikiwe😅😅
@aginsagins-jf4vz3 ай бұрын
Kumbe ndo huyu nilifikiri ni mbaba kumbe ni muhuni muhuni tu
@mdendamono33113 ай бұрын
Mungu anakuona
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
Kwani uongo??????
@benedictmhina48192 ай бұрын
Muhuni kweri
@phoubermanjau77372 ай бұрын
kakuvalia hereni mmmh
@oscarakyoo46413 ай бұрын
huyu mtu aliniambia mwaka jana kabla mwaka aujaisha nitatolewa kafara na ndugu zangu ,lkn mpaka saiv nadunda 😂😂😂uyu mwongo ,mwenye masikio na asikie 😢😢
@mzalendomediatz3 ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
@gracekiula58902 ай бұрын
Mimi aliniambia sifiki tarehe 27 Desemba mpaka leo nipo
@DottoPwele2 ай бұрын
Baba mungu akubarik naakusimamie uendelee kuwa ponya watu asnte Mimi niMefunguliwa kwenye mambo mengi sanà