NABII KIBOKO YA WACHAWI WA BUZA AIKATAA VITA ya MWAMPOSA "NINA HESHIMA KUBWA, KUNANJIA WAMEIPASUA"

  Рет қаралды 82,501

Mzalendo TV Online🇹🇿

Mzalendo TV Online🇹🇿

4 ай бұрын

#MzalendoTv #KaziIendelee #M4C

Пікірлер: 305
@BarakaDonasiani-pj9bx
@BarakaDonasiani-pj9bx 3 ай бұрын
Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria
@filimonmpinge6039
@filimonmpinge6039 3 ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI
@user-zs6kw8ks4m
@user-zs6kw8ks4m 2 ай бұрын
Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi
@festomaswaga-ht5yi
@festomaswaga-ht5yi Ай бұрын
Ubarikiwe baba mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏 mimi festo kutoka dodoma
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 3 ай бұрын
Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake
@Neema-qm9kk
@Neema-qm9kk 3 ай бұрын
Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli
@agneskawamala618
@agneskawamala618 3 ай бұрын
Mwizi tu
@janethelly4986
@janethelly4986 3 ай бұрын
Mimi nilienda nikatoa 80k na sikuonana nae ,nilipewa mungine kabisaaa akunitabiria chochote
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao
@rachelmosha5619
@rachelmosha5619 26 күн бұрын
Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu
@muhasatv9245
@muhasatv9245 2 ай бұрын
TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.
@JanethEmmanuel-mr5le
@JanethEmmanuel-mr5le 22 күн бұрын
Amina baba naomba uniombee nipate kazi pia baba angu nae apone mguu
@SeleAlfan
@SeleAlfan 5 күн бұрын
Mm Mkonga selemani naomb msaanda wa biashar yangu na kunisaindia kuusu mambo yangu ya kuenda ulaya tatu naomb Moto nipo Malawi lilongwe
@Stella-118
@Stella-118 3 ай бұрын
Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 3 ай бұрын
Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi
@vinuskalonga4656
@vinuskalonga4656 2 ай бұрын
Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie. Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama. AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 . KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.
@VeiceNasson
@VeiceNasson Күн бұрын
Naomba niombee nateseka na magonjwa namtoto wangu Toka azaliwe Hana ufahamu mzuri kifafa v
@josephkileo-wk6ye
@josephkileo-wk6ye Ай бұрын
Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba
@user-yj2wm7rh6u
@user-yj2wm7rh6u 3 ай бұрын
Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 3 ай бұрын
Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo
@mzalendomediatz
@mzalendomediatz 3 ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 2 ай бұрын
Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana
@bonithakankerauwera2323
@bonithakankerauwera2323 3 ай бұрын
Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment
@nataliedayana9824
@nataliedayana9824 18 күн бұрын
Kwel unaomba lakin sasa pesa unaitisha kubwa sana jamani laki 5 maombi ya mmoja mmoja kama huna laki 2unusu hapo nmetoka mkoan sijala sijalal huruma hakunaa kabsaa leo nmeondok nmeskitika kukalia kit wa laki 3 🥱🥱sisi wa elfu 10 tununue utumbo tule tukalale
@JosephMollel-wz7kn
@JosephMollel-wz7kn 24 күн бұрын
Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina
@Stella-118
@Stella-118 3 ай бұрын
Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.
@LydiaAllen-wl9db
@LydiaAllen-wl9db 2 ай бұрын
Acheni ushamba
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 2 ай бұрын
Polen sana
@SalomeKyamba-mk6zq
@SalomeKyamba-mk6zq 17 сағат бұрын
Huyu kijana ni tapeli hamjui Mungu yeye ni mpinga Kristo
@SixtenTenga
@SixtenTenga 5 күн бұрын
Naomba ndoa yangu ipone in Jesus name amen
@sharonjosephine6252
@sharonjosephine6252 Ай бұрын
Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...
@lightnessgamasa6039
@lightnessgamasa6039 Ай бұрын
Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi
@JoyceMassawe-f5i
@JoyceMassawe-f5i 8 күн бұрын
Baba nakupenda sana nisaidie mume wangu anaumwa sana pressure na figo
@ernestkatyega5781
@ernestkatyega5781 2 күн бұрын
Huyu ni kiboko ya MKOROGO 😂😂😂 sugu kibao mkononi hakuna mtumish wa Mungu anafeki Hadi rangi ya mwili wake
@ernestkatyega5781
@ernestkatyega5781 2 күн бұрын
Huyu mwizi tapeli alaf anajichubua hakuna mtumish wa Mungu wa hivi ANAOMBA laki Tano ndio umuone wakati Yesu mwenyewe watu walimuona bure
@EvaSadala-vv8jn
@EvaSadala-vv8jn 27 күн бұрын
Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea
@norahmajaliwa3841
@norahmajaliwa3841 3 ай бұрын
Bwana Yesu akulinde Mtumishi
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 Ай бұрын
Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa
@user-on5pu8wv4g
@user-on5pu8wv4g 20 күн бұрын
Amina Baba zidi kubarikiwa 🙏🙏
@amanmaleko3085
@amanmaleko3085 3 ай бұрын
Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo
@patrickmalewo5098
@patrickmalewo5098 3 ай бұрын
Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .
@user-bj6bs9do2f
@user-bj6bs9do2f 3 ай бұрын
Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano
@sammasika3627
@sammasika3627 3 ай бұрын
Iman haba
@AlphonceSosela
@AlphonceSosela 4 күн бұрын
Naomba nitabilie Alphonce sotery sosela
@salmamose4244
@salmamose4244 2 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe sir
@devotamwambola8303
@devotamwambola8303 3 ай бұрын
Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani
@KuruthumuMakana-tb9fx
@KuruthumuMakana-tb9fx 2 ай бұрын
Ni mkongo kwaiyo iyo ni kawaida acha kujaji
@JoyceMassawe-f5i
@JoyceMassawe-f5i 8 күн бұрын
Pia BIASHARA baba zimekuwa ngumu sana baba
@aishatest4451
@aishatest4451 21 күн бұрын
hongera sana
@Zumlatti
@Zumlatti Ай бұрын
Amina niombee namim nateseka
@MartinKimbwereza
@MartinKimbwereza Ай бұрын
mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu
@HappyEquestrianHelmet-iw5co
@HappyEquestrianHelmet-iw5co Ай бұрын
Hongera. Sana baba
@Prolimina-im2fo
@Prolimina-im2fo 27 күн бұрын
Amina baba
@user-cp3uo9gz2x
@user-cp3uo9gz2x 6 күн бұрын
Kwakweli mm simfahamu ila nimeongea point sana saana
@lusajoully
@lusajoully Ай бұрын
Amina
@charlesfaru485
@charlesfaru485 Ай бұрын
hongela sana baba mchungaji
@Eunice-kb8yz
@Eunice-kb8yz 29 күн бұрын
Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo
@estermohammed4335
@estermohammed4335 Ай бұрын
Amen Baba
@FridaMtui-pp3lt
@FridaMtui-pp3lt 2 ай бұрын
Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu
@StanleyChibwete
@StanleyChibwete 5 күн бұрын
Tembea na mikoani siyo unakaa mahalipamoja tu daresaalamutu na sisi tunahitaji hudumayako njoo dodoma kalibu sana
@estermohammed4335
@estermohammed4335 Ай бұрын
Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu
@user-te4nq8vv6c
@user-te4nq8vv6c Ай бұрын
Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏
@nasibshabani7740
@nasibshabani7740 Ай бұрын
Muombe mungu wako ww
@nancyg8664
@nancyg8664 3 ай бұрын
Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂
@Prolimina-im2fo
@Prolimina-im2fo 27 күн бұрын
Amina baba naomba uniombee
@NaomiSilayo
@NaomiSilayo Ай бұрын
Amina baba tusaidie
@LilianRobert-wx6di
@LilianRobert-wx6di 20 күн бұрын
Nabii Mimi ninashida Sana naomba nisahidie
@JosephNnko-nz6kk
@JosephNnko-nz6kk Ай бұрын
Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 4 ай бұрын
👏👏
@Aminatwahily
@Aminatwahily 23 күн бұрын
Mungu akubariki baba Dominic nabii kiboko ya wachawi unaweza baba na utaweza zaidi ya hapo long life father ❤
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 4 күн бұрын
Kwanini mmekimbia Kongo na kuja kuhubiri huku Tz??
@johnmwakasungula9747
@johnmwakasungula9747 5 күн бұрын
Msanii huyoo anapanga watu
@estermohammed4335
@estermohammed4335 Ай бұрын
Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete
@BahatiMrema-lc3zv
@BahatiMrema-lc3zv Ай бұрын
Amina baba natamani uniombee
@petermuturi4564
@petermuturi4564 2 ай бұрын
Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter
@EnnyMnzava
@EnnyMnzava Ай бұрын
Bwana yes asifiwe mtumish nahitaji nipate kazi ,nyumba .gari nakufunguliwa kiuchumi
@Malkia01
@Malkia01 Ай бұрын
Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z Ай бұрын
Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.
@AbdallahNzumila
@AbdallahNzumila 2 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia Kwa viwango vya juu endelea kufungua na kusaidia watu wenye matatizo mungu azidi kukubariki mtumishi Nina Imani na weww
@FadhilFadhil-zr1xs
@FadhilFadhil-zr1xs Ай бұрын
Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako
@felisianafelisiani7519
@felisianafelisiani7519 Ай бұрын
Ameeni
@HassaniChamb0
@HassaniChamb0 29 күн бұрын
Samahani. Nna dada yang anamatatizo a naitw a mariamu ramadhani naomba umtabiri Anam toto mgojwa
@user-wy1or9fm2s
@user-wy1or9fm2s Ай бұрын
Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18
@deogratiusmsafiri
@deogratiusmsafiri 20 күн бұрын
Amen
@HappyEquestrianHelmet-iw5co
@HappyEquestrianHelmet-iw5co Ай бұрын
Nabii nisaidie naitwa chiungo Aisha Anton Sina maisha nakufuatila
@NyiranezaWarda-bk1yn
@NyiranezaWarda-bk1yn 2 ай бұрын
Mungu akupe ushindi roho wamungu akufunike akusimamishiye bendela yawushindi 🥰💯🙏🙏🙏
@JaphetIramba
@JaphetIramba Ай бұрын
NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI
@Stella-118
@Stella-118 3 ай бұрын
Hakuna mtu aliekuwa mbishi kuamini kama mimi 😮lakini miujiza niliyotendewa na madhabahu ya kiboko siwezi sahau maishani mwangu na si mimi hata niliowapeleka nao wanamshangao so mimi sijali watu wanasema nini ninachoshukuru ni kuwa mungu wa Dominic ametenda.
@user-qu2ky6mi6v
@user-qu2ky6mi6v 3 ай бұрын
Yani napenda sana mm bando langu lote ni Kwa kiboko ya wachawi napenda sana mahubiri yake na Hana kinyongo na mtu
@flavianmasokoto5321
@flavianmasokoto5321 3 ай бұрын
Someni biblia achen uvivu
@tulihamwe24hrs32
@tulihamwe24hrs32 3 ай бұрын
Kweli Mungu wa Dominic amefanya 😂😂😂😂
@mossesmabulajr.3453
@mossesmabulajr.3453 2 ай бұрын
😂😢😅
@GraceJaphet-fr4jt
@GraceJaphet-fr4jt Ай бұрын
Hakuna mtumishi humu huyu mpiga lamri mmoja anaesema hahubiri watu waende mbinguni hata chambe ya kimungu hana
@HappyEquestrianHelmet-iw5co
@HappyEquestrianHelmet-iw5co Ай бұрын
Fungua na ww kanisa lako udangaye watu kama ni kaz rahis acha kumkashfu nabii
@NaimaAlly-bh6yn
@NaimaAlly-bh6yn 2 ай бұрын
@WinifridaNgalamika
@WinifridaNgalamika Ай бұрын
Nataka kujua kuusu dada yangu grace
@fanuelMndeme
@fanuelMndeme 26 күн бұрын
Ubariwe
@Stella-118
@Stella-118 3 ай бұрын
Sisi haswa mimi siachi kuhudhuria kwenye madhabahu ya kiboko na wewe unaeongea naneno mabada kwa nabii hayajakufika, yakikufika utamtafuta walahi nakwambia.
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 3 ай бұрын
Safi sana mtumishi
@MartinKimbwereza
@MartinKimbwereza Ай бұрын
naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi
@claudiokatucha6652
@claudiokatucha6652 2 ай бұрын
Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee
@DenisSimon-u2o
@DenisSimon-u2o 4 күн бұрын
amee
@MassAlex-dv7rs
@MassAlex-dv7rs 3 ай бұрын
Huu sio wakati wa kuua wachawi ni wakati wa kuwafanya watu hawa kuwa wema,tambua ukiwa muuwaji nawewe pia ni mchawi.😂😮😅
@jasmineomary4325
@jasmineomary4325 3 ай бұрын
Sio kweli we husomi bible inasema usimwache mchawi Aishi sio unaongea TU bila kujuwa
@miriamgeorge2929
@miriamgeorge2929 3 ай бұрын
Hasomi biblia angekuwa anasoma wala asingesema hivyo
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 2 ай бұрын
​@@jasmineomary4325mnadanganywa nanyi mnakubali kisasi ni cha Mungu tu na si mwanadam nyie ndo hamsomi biblia vizuri
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
​​@@miriamgeorge2929usitumie mstali mmoja kujidanganya soma uelewa Hilo Neno Lina maana gani baada ya kifo cha yesu msalabani na alieokoka aikilogeka na kuwaogopa wachawi bado haeliwi KAZI ya yesu msalabani
@GraceSilo-vt6ke
@GraceSilo-vt6ke 21 күн бұрын
Amina baba uniombee ninashida baba ninamaisha magumu sana Kila ninachokifanya hakifanikiwi
@mzalendomediatz
@mzalendomediatz 20 күн бұрын
Pole, nakusihi endelea kutufuatilia Mzalendo Tv
@ManenoLwanji
@ManenoLwanji 2 ай бұрын
Siijaelewa Huyu ameongea me ngi LA kin jibulake liko kitabu cha mate nd ya mtume 8,9 ,1o 🎉
@happyminja-kb1ow
@happyminja-kb1ow 3 ай бұрын
Muuhubirini MUNGU WA ukweli acheni kumsikiza .....
@irenebeddah6524
@irenebeddah6524 3 ай бұрын
Mwamposa anatufundisha tusimzalau mtumishi wa Mungu yoyote
@LuciaMakarange-vb8mc
@LuciaMakarange-vb8mc 3 ай бұрын
Kabisa na ăjawai kumutkan mutumishi yoyote
@Yusta-vx6ns
@Yusta-vx6ns 3 ай бұрын
❤🎉
@mamaziada134
@mamaziada134 3 ай бұрын
Domi baba yangu usiwasikilize watu fanya ulicho jaariwa na mungu nakuamini aslimia mia na ukuisomatu ujumbe huu nami nitapona kwa imani ubarikiwe niombee naitwa esta andrea
@mzalendomediatz
@mzalendomediatz 3 ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
@rehemakudra868
@rehemakudra868 Ай бұрын
Nimekukubali
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 3 ай бұрын
Simkaombee kwenye nchi zenu? Mmeona Tanzania ni rahisi kuwapata malimbukeni wa kudanganywa
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 ай бұрын
Kashayalisha matango pori ya kutosha
@geofreylucas7870
@geofreylucas7870 3 ай бұрын
Kwani ni raia wa wapi huyu???? Mana nilimsikiaga kwenye radio akisema nilipofanikiwa kupata uraia Tanzania sas nchi ndo sikujua anatokea nchi gani
@msodokielias3985
@msodokielias3985 2 ай бұрын
Mwacheni mtumishi wa mungu mwamposa ni fireeee
@iptysamjamal
@iptysamjamal Ай бұрын
Nabii mume wangu biasharà hàzieñdi na pesa hazionekan zaitun jafar cjui anaemroga nan
@user-bs1od1zl4m
@user-bs1od1zl4m Ай бұрын
Natamani kukutananna mtumishi mzuri kama huyu make Hana rohoya kinyongo au rohoya kwanini
@iptysamjamal
@iptysamjamal Ай бұрын
Nabii komboa familia yangu
@VeronicaChaudele
@VeronicaChaudele 22 күн бұрын
Kiboko ya wachawi ubarikiwe😅😅
@aginsagins-jf4vz
@aginsagins-jf4vz 3 ай бұрын
Kumbe ndo huyu nilifikiri ni mbaba kumbe ni muhuni muhuni tu
@mdendamono3311
@mdendamono3311 3 ай бұрын
Mungu anakuona
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 ай бұрын
Kwani uongo??????
@benedictmhina4819
@benedictmhina4819 2 ай бұрын
Muhuni kweri
@phoubermanjau7737
@phoubermanjau7737 2 ай бұрын
kakuvalia hereni mmmh
@oscarakyoo4641
@oscarakyoo4641 3 ай бұрын
huyu mtu aliniambia mwaka jana kabla mwaka aujaisha nitatolewa kafara na ndugu zangu ,lkn mpaka saiv nadunda 😂😂😂uyu mwongo ,mwenye masikio na asikie 😢😢
@mzalendomediatz
@mzalendomediatz 3 ай бұрын
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
@gracekiula5890
@gracekiula5890 2 ай бұрын
Mimi aliniambia sifiki tarehe 27 Desemba mpaka leo nipo
@DottoPwele
@DottoPwele 2 ай бұрын
Baba mungu akubarik naakusimamie uendelee kuwa ponya watu asnte Mimi niMefunguliwa kwenye mambo mengi sanà
@user-nt1lf8rr9g
@user-nt1lf8rr9g 17 күн бұрын
Tz kwishaaaa
MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA
12:39
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 87 М.
She ruined my dominos! 😭 Cool train tool helps me #gadget
00:40
Go Gizmo!
Рет қаралды 63 МЛН
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 9 МЛН
Pius wilson vs Kiboko Ya Wachawi live performance ✨
1:43
Pius Wilson
Рет қаралды 10 М.
KIJANA ALIYETUMWA KUMJARIBU NABII KIBOKO YA WACHAWI AUMBUKA MADHABAUNI
4:17
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 76 М.
TAZAMA MAMA ALIYEKUWA AKIMROGA MKWEWAKE AJITOKEZA BAADA YA MAOMBI YA NABII KIBOKO YA WACHAWI
22:06
100% НЕЗАБЫВАЕМЫЕ МОМЕНТЫ В ФУТБОЛЕ
21:25
ЖИЗНЬ ФУТБОЛ
Рет қаралды 300 М.
У Роналду младшего тяжёлая жизнь 😓
0:31
КИК Шорт!
Рет қаралды 2,6 МЛН