Watu ambacho hawakielewi ni kwamba hawa watu ni Best friends kwa muda mrefu Sana. Lazima amtetee...au kwa vile ni jinsia tofauti.!?
@lovvy8544 жыл бұрын
Muna aibuu nyote ata shilole haoni aibu kuskia unavosema kua ushawahii kumuona akiwa uchii wa mnyama duhhhh aibugani mbele ya watangazaji
@vivianrweyemamu15554 жыл бұрын
Yani hawa wameendana bora wangeoana
@esterdoriye43044 жыл бұрын
No wote vichwa vinapata moto na kupooza hawafai kuishi pamoja ,wanandoa lazima mmoja awe mpole
@chayogasperi97834 жыл бұрын
Kuendana hakuonekani hadharani .
@mariamabdallah52244 жыл бұрын
😂😂
@athumanimtajih4 жыл бұрын
Huyu jamaa anatudhalilisha wanaume
@maryamselemanabdalah40864 жыл бұрын
Mimi sijui ana nyimbo gani huyu baba levo huyu kweli levo yake shilole
@athumanimtajih4 жыл бұрын
@@maryamselemanabdalah4086 ana mambo ya kike sana Tena ukike ule wa uswahili
@ypg1444 жыл бұрын
Kama unahisi anaku dhalilisha huenda wwe sio mwanaume
@mwanajumaomahundumla65044 жыл бұрын
Njaa zinamsumbua anaona Bora wana ndoa waachane tumbo lake lishibe
@athumanimtajih4 жыл бұрын
@@mwanajumaomahundumla6504 ngoja akakutane na mwenye dunia yake
@mako3314 жыл бұрын
Huyu jamaa chanzo cha mgogoro nafikiri, hapa hakuna cha udada wala nini, huyu jamaa alikuwa akimtamani tangia enzi za Nuhu
@joseboy11134 жыл бұрын
Baba revo. umevunja ndoa ya wa2 ili ufaidi ww? Ila mungu anakuona
@lovvy8544 жыл бұрын
Hujakosea hilo ndio ilikua lengo lake kwakua anaona mwenzake Uchebe ana Kula bata Kwa mteremko 🤣🤣
@immaculeensabimana20974 жыл бұрын
Baba levo nakupenda bure 😂😂😂wakuache bana ushi 😂😂😂😂
@hellenashely21674 жыл бұрын
Huyu niwivu ana mtaman shishi na ndo alo vunja ndoa skuwah msikiliz maan hua smuelewag lkn leo nmemskiliz kwa umakin yy ndo sabab na anataka kujulikana kupitia kiki hizo anamtumia ili ajulikane awekarib na masta wkubwa yake yaende lkn Daa shishi atakumbuka shuka kumekucha
@svt34 жыл бұрын
Hellen Ashely Baba levo na shilole ni marafiki wa zamani hata kwenye ndoa ya Shishi na Uchebe baba levo ndio alisimamia Uchebe aliwakuta marafiki na amewaacha marafiki
@iffahbahet14994 жыл бұрын
Baba levo Ni maarufu kabra hata ya hiyo ndoa sasa sijui umejifikiria Nini kuandika utopolo😂😂😂
@said306nyatu94 жыл бұрын
Kwa muonekano wanakulanaaa
@Amneamne-qi2du4 жыл бұрын
Baba Levo hana kosa lolote shishi ndio aliye olewa na ndio alikuwa anapata maumivu ndani ya ndoa
@ustabdallahrsupia31663 жыл бұрын
Umetisha
@salisali37384 жыл бұрын
Somo wa shilole
@masharubundevu37654 жыл бұрын
Huyo msenge tu mpk atatutia nuksi kwenye chama chetu
@jafarmohamed30163 жыл бұрын
Nampenda
@jameslukumai89224 жыл бұрын
Okay
@firdaussheikh48174 жыл бұрын
Hapo sawa baba levo .
@mohammedabdallah63904 жыл бұрын
Kisheria kwa mujibu wa dini ya kiislam na ndoa waloifunga ikiwa huyu Shishi kma kaachwa kwa talaka kweli basi itakuwa yupo ndani ya edda na hii eda ya kuachwa ni miezi 3 na siku 10 sidhani kma imefika sasa shishi timiza ilo ktk eda yako na uchebe ufate taratibu za eda inavotutaka wanaume kwa watalaka wetu
@emmanueltheonas71303 жыл бұрын
Kama hujui lolote ktk dini ni bora kunyamaza au kuuliza kwa anojua NI KWAMBA EDA YA KUACHWA NI HEDHI TATU NA EDA YAKUFIWA NA MUME NI MIEZI MINNE NA CKU KUMI NA KINACHOTIZAMWA KATKA EDA YA KUACHWA NI MIMBA ILA ASIDHUMIWE MTOTO PAMOJA N.K
@bensonsalum90334 жыл бұрын
Huyu Jamaa nadhani Anashida Ya Kutumia Akili Zake Vizuri
@omarybakunda25542 жыл бұрын
Baba levo oyeeeeeeeee
@nuratamir67054 жыл бұрын
Huyu baba Levo namchukia Kwa tabia zake, halafu wanakulana anamtaka shilole tu huyu mbwaaaaaa kwendraaaaaaaa
@iffahbahet14994 жыл бұрын
Ukimchukia unampunguzia Nini kwanza hakujui😂😂😂
@James-y3j2v4 жыл бұрын
Hivi huyu jamaa anamke?
@Pedeshee01 Жыл бұрын
Yeye mwenyewe ni mke
@shanishosho9114 жыл бұрын
Dinny nampenda
@alidullah2074 жыл бұрын
Mkosa akili..... 😂😂😂😂
@abdulwahidmsellem19984 жыл бұрын
Migogoro haiwezi kuishi maana kila mtu akipata mchumba ama mke au mume taarifa zooote ni kuzitupia kwenye mitandao ya kijamii utadhani wao ndio walioanza mapema na khatma yake mwaka miaka miwili mapenzi kwishaa Muhimu kujifunza ili suala
@iffahbahet14994 жыл бұрын
Wewe umeachana na mkewako mbona taarifa hatujaziona mtandaoni😂😂
@nuruchengula114 жыл бұрын
Tutajifunza ujasiliamali kutumia mikono yetu na ulanguzi wa Mali za dukani kwa ajiri ya biashara Muite rafiki ako na rafiki yake tushikane mikono mafanikio hayaji pasi na ushirikiano,
@albertbunyinyiga75814 жыл бұрын
Baba levo pombe nyingi
@ashaali71544 жыл бұрын
Hili dume halina haya shida ni kula kwa Shishi. Hili halina mke na hakuna mwanamke anaeweza kuishi na ukurutu huu. lakini yote hayo yana mwisho.
@iffahbahet14994 жыл бұрын
Wewe mbona umeolewa na ukurutu
@mrsprophet2136 Жыл бұрын
@@iffahbahet1499😂😂😂😂😂
@brunomirambi87924 жыл бұрын
ATHUMAN AKISHA LEWA LEWA ANASHINDWA KUJIELEWA LEWA .HIVI HUYU BABA LEVO NA SHILOLE HAWAJALEWA KWELI?????
@allydingofficial62484 жыл бұрын
Waha wabishi saana huyu baba levo anatia aibu
@ashakasikile26984 жыл бұрын
Siyo muha baba levo in mfipa ila mama yeke do muha
@hadijalukas59594 жыл бұрын
@@ashakasikile2698 ndo walewale kasolo tarehe limezaliwa kigoma, limesomea kigoma, limekulia kigoma, na udiwani likapata kigoma, sasa kuna nini tena huyo muha tu karithi umamani
@iffahbahet14994 жыл бұрын
Bora ya kabira lake kuliko lako😂😂
@mapachawetuamazingflaterna26573 жыл бұрын
Sasa waha hapa wanahusika vipi khaaah. Na huwezi mjua mbishi km ww c mbishi coz mbishi habishani na jiwe anabishana na mtu. So why muha akibishana na kabila jingine aonekane yy mbishi?? Ushamba tu
@goodmusickitaa79304 жыл бұрын
Anamsemea sana lkn
@abdulwahidmsellem19984 жыл бұрын
Km bwege flani ivi uyo jamaa
@piuslukanula45034 жыл бұрын
Huna mke, afu tena mpo nae mnaenjoy hiki kchwa knaamkiaga wap!!!! haaaaaahaaaaaa,,,,,
HUYU MTU MSENGE MMBEA KUENEZA UMBEA KAMA MWANAMKE, SHOGA MKUBWA ANA AIBISHA WANAUME KOTE⚠️
@nauthartwaha64244 жыл бұрын
YANI KWA MTU ASIE NAA AKILI NDO ATAONGEA MANENO KAM YAKOOO FIKIRIA NDO UKOMENT WE UMPENDI MWENZAKOO ANAINGIZA PESAA😏😏😏😏😏ATA KAM WEWE UTAFRAH DAD AKO AKATESWE
@aquarianknight4 жыл бұрын
Nauthar Twaha MMBEA MWENZIO, YAANI KUTAFUTA PESA NDIO SABABU YA KUONGEA UJINGA JUU YA WA2 !, KAVAE SKETI KAMA MWENZAKO UANZE UMBEA MTAANI ILI NAWE UPATE PESA YA KISENGE NA AKILI HIYO YAKO MINGI!
Huyu jamaa kama hana mke maana muda wote wpo na shlole tu hata muda wa kuspend na mkewe hana, nae kama dada yk au ni ndg au ni kiki, baba levo pia anaweza kua chanzo kikuu cha wivu kwa uchebe mke wa mtu unambanaaaa vp bwana
@salomemwalindu76744 жыл бұрын
😁😁😁😁
@stanleywagana93464 жыл бұрын
Mambo
@rukyaabdilo79214 жыл бұрын
😀😀😂😂
@rachelkaymax5474 жыл бұрын
TV..ime edit...ah ah ah
@lovvy8544 жыл бұрын
Niukweli kabisa utapa aibu ata sasaivi umejawa na aibu mtumzima hasidi wavunja ndowa umbwa kasoro mkiya wewe shame on u 🤣🤣🤣🤣
@allymatilda75194 жыл бұрын
Wewe kwendraaaaa
@lovvy8544 жыл бұрын
@@allymatilda7519 jihariye basi usonge mbelenbele uko
@iffahbahet14994 жыл бұрын
Wewe yako Nani aliivunja😂😂
@lovvy8544 жыл бұрын
@@iffahbahet1499 alhamdulilah namshukuru Allah ndowa yangu iko imara🤪👈🤣🤣🤣
@jamesjr60864 жыл бұрын
Naona nyota za watu hawa zaendana!.nahisi uchebe alikuwa anampiga sana shishi sababu ya wivu wa mapenzi kwake.labda alikuwa anawaona Mara nyingi na babalevo na huenda alimkataza lakini shishi hakuwa anasikia na huenda shishi alikuwa akimjibu jeuri maranyingi uchebe ndo ikatokea yalotokea.maana sisi wanaume huwa hatupendi dharau kutoka kwa wake zetu.unakuta mwanamke wako analeta mazoea sio,mizaha na utani au shobo za kijinga kwa watu wengine hadi kuchati kimapenzi na watu wengine mitandaoni afu ukimwambia au kumpa mipaka kama mkeo anakuja juu ndiomaana migogoro aiishi kwenye ndoa za sikuhizi za haki sawa.
@rashidseta35224 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mpumbavu anasema walikaa wakakubaliana kikao cha ndani na shilole ili uchebe atoe talaka wanao mpa udiwani wafikili mara mbili
@jamesjr60864 жыл бұрын
Bila shaka na Nina wasiwasi huyu jamaa anamla kisela shishi.hasara roho watu sikuhizi wanalewa umaarufu na ikiwa hata hawajui nini maana ya ndoa je wataiheshimu VP?.wamezoea kuoana kwa kiki tu ilimradi basi