BABA LEVO AMPIGIA MAGOTI SANDALAND AMSAMEHE ALI KAMWE

  Рет қаралды 57,953

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 85
@djjailoskyelambeya6072
@djjailoskyelambeya6072 2 ай бұрын
Baba levo kama jina lako la levo umefanya jambo la uungwana sana kuishusha na kumuombea mdogo wetu msamahani nikupongeze kwa jambo hilo hongera sanaa baba levo
@derickmhapa5305
@derickmhapa5305 2 ай бұрын
All yanga funs tuje tugonge like hapa kwa babalevoo
@frankmlinda1181
@frankmlinda1181 2 ай бұрын
😂😂😂baba levo akili mingi good work bro.
@IsaacMwasenga-it1cl
@IsaacMwasenga-it1cl 2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭 paka machozi yanitoka asamehewe Big up to you Baba level 🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂
@patisondidas6720
@patisondidas6720 2 ай бұрын
Umefanya kitu Cha maana Sana mwanetu B levo
@happysanga6846
@happysanga6846 2 ай бұрын
B levo wetu hoyeeee 💚💛💚💛 udumu milele yanga🙏🔥🔥
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 2 ай бұрын
Baba levo kichwa kibovu akili mingi
@yassnarynaziru6078
@yassnarynaziru6078 2 ай бұрын
Wewe kichwa Safi nakuona😂😂😂
@magrethmalobola5470
@magrethmalobola5470 2 ай бұрын
Ila baba levo kila anachoongea ananichekesha
@JustineMakame-i9r
@JustineMakame-i9r 2 ай бұрын
Baba levo smart boy with big mind hahahahahahahahahah
@AllyRamadhan-cw8we
@AllyRamadhan-cw8we 2 ай бұрын
Jezi mbovuuuuuuuuuuu😅😅😅😅
@HarunaShabani-hy8mx
@HarunaShabani-hy8mx 2 ай бұрын
yan ww bb levo unasujudia watu mzze duniya hii kk inakikomo andaa kuwasujudia mbeleni
@prosperabison1368
@prosperabison1368 2 ай бұрын
🔥🔥
@alibinali_
@alibinali_ 2 ай бұрын
Nimependa sana kuna Baba Levo ameshinda Tuko 🎉🎉🎉🎉
@JumaMtwana
@JumaMtwana 2 ай бұрын
Huyo aly kamwe aombe mwenyewe
@gelardbalalu9119
@gelardbalalu9119 2 ай бұрын
Baba levo nyoko sana
@lailatmalik7515
@lailatmalik7515 2 ай бұрын
We Baba levo umemzalilisha kamwe hajakosea bwana
@HarunaShabani-hy8mx
@HarunaShabani-hy8mx 2 ай бұрын
ni muha kweli mapuwa yamesambaa uso wote
@DavidJonathan-s6e
@DavidJonathan-s6e 2 ай бұрын
Amna apige alikamwe
@EGM-TZ
@EGM-TZ 2 ай бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians Duh
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 2 ай бұрын
Mnaosema jezi nzuri tukazinunue ziishe. Hii TZ ukishamiliki sehemu ya kupatia pesa punguza kuingia kwenye malumbano yasiyokuwa ya lazima na pia utambue kwamba ukishaingia kwenye mpira na ukaegemea kokote kwenye timu hizi mbili amini kua utaambiwa lolote na wakati wwte bila kujali nafasi yko uliyonayo kikubwa uvumiliv
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani 2 ай бұрын
Wewe yani mtu atoke uko achafue kazi za watu siaiseme Simba na sio blandi ya watu
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 ай бұрын
NYIE WAONGO JEZI ZA SIMBA NI BORA SANA. HUYO MWANDISHI MWONGO SANA SASA HILO LINATOKEA WAPI? BABA LEVO UNACHANGANYA MAMBO
@sentalalikupija4819
@sentalalikupija4819 2 ай бұрын
Hakuna haja ya kupiga magoti, hakuna hata senti atakayopewa
@IslamYusuph-s4v
@IslamYusuph-s4v 2 ай бұрын
Umenichekesha sana
@GenelivaSylvester
@GenelivaSylvester 2 ай бұрын
Yan mwenyew sion haja kabisaa baba levo naye kimbelembele si amwache aende akashitaki sasa kama mtu anatengeneza jez znafanana naye sie tufanyeje alaaa!!!
@MichaelEnn-h4f
@MichaelEnn-h4f 2 ай бұрын
Baba levo levo yako mbovu ach ujinga na uzaifu umefeli sana hapo broo
@OfficiallyGodfreyMteule
@OfficiallyGodfreyMteule 2 ай бұрын
B levo mtaram fund majumba
@PierreBukasa-fu3yx
@PierreBukasa-fu3yx 2 ай бұрын
Baba levo nadhani sandaland amekuelewa,
@GenelivaSylvester
@GenelivaSylvester 2 ай бұрын
Ila hz jez!! Ila sanda!! Ila mo cola mungu anawaonen jmn nn hko mmefanya ona sasa wenyew yanawavuruga akili
@Tatty-u8p
@Tatty-u8p 2 ай бұрын
Sanda namuombea msamaha alikamwe😂😂😂😂
@HarunaShabani-hy8mx
@HarunaShabani-hy8mx 2 ай бұрын
kuna watu wapumbavu mno kwa hii duniya mtu yupo radhi kumsujudia mtu.mbele ya watu kwa ajili2ya hii duniya wajuwe hawatakuwa na msaada wwt mbele ya mungu watu wenye mapuwa makubwa akili hamna
@JosephChrisant
@JosephChrisant 2 ай бұрын
Ally ana kosa gani? Aende mahakamani na sisi tutawabubuluza mahakamani Makolo kwa kuichafua brand ya GSM kwamba ananunua mechi na kuwahonga marefa.
@ROSEJORAM
@ROSEJORAM 2 ай бұрын
😅😅 unapajua mahakaman Aya tunasubili na ww ukawabuluze mahakaman
@MatandiMatandi
@MatandiMatandi 2 ай бұрын
Hana jipya
@SamiraseifAlfan-ph4ke
@SamiraseifAlfan-ph4ke 2 ай бұрын
Ss mbn na yy kamuita sanda 😂😂😂
@SarahPetro-w6o
@SarahPetro-w6o 2 ай бұрын
Wana zarau sana hao yanga wapewe onyo akili ziwarudi
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi 2 ай бұрын
Kwani yeye Ally awez kijiombea msamaa kama anaona yuko sahihi apelekwe mahakamani tu nilimsikia na baba yake Ally akizungumza alichozungumza namshauli mtani wangu peleka mahakani uyo bwege
@ROSEJORAM
@ROSEJORAM 2 ай бұрын
Exactly kazid
@JosephMakolo-n9j
@JosephMakolo-n9j 2 ай бұрын
Achana nae huyo mjinga tu hana mtaji
@UmyMasud
@UmyMasud 2 ай бұрын
Asisamehewe achaalipiwe naGSM
@LedemtusKalambo
@LedemtusKalambo 2 ай бұрын
Baba levo umechanganyika anasitahili Ali kamwe
@frankmlinda1181
@frankmlinda1181 2 ай бұрын
Ila mtamlaum bule sanda wa watu anatengeneza jezi inayoendana na sura yake nyie wengine msubili msimu ujao😂😂😂😂
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 2 ай бұрын
😂😂😂 kaka yangu ujue huyo😂😂😂😂
@MonaMbalike
@MonaMbalike 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂nikajua nimeona pekee yangu kosa gani kumlazimisha mtu kukubali kosa bhana aje atushtak na sie bhac kichwa kama stafeli bhana
@GenelivaSylvester
@GenelivaSylvester 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣​@@MonaMbalikeumenichekesha balaa ya kichwa ka nn vile?? Au ndo maan analazimisha kuheshimiwa kwa lazima ety
@SamG-hs9xe
@SamG-hs9xe 2 ай бұрын
Yani wewe unaakili nyingi bro ndomaana utazidi kutushangaza bro Mungu azidi kukusogeza mbele
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 2 ай бұрын
Wewe sandaland wachana na Ali kamwe wetu please
@FahadAbubakari-y3f
@FahadAbubakari-y3f 2 ай бұрын
We ni mfanyabiashara?
@yusufufikiri5005
@yusufufikiri5005 2 ай бұрын
HAKUNA KUSAMEHE. KWANZA HAPO SIYO MAHARA PAKE. ANGEKUWA KAFANYIWA GSM WANGESAMEHE?
@OS-pf6op
@OS-pf6op 2 ай бұрын
Hiyo kesi haina mashiko, Nina uhakika! Itamgeuka
@StephanoSamwely-vv5dw
@StephanoSamwely-vv5dw 2 ай бұрын
Msenge huyo jezi mbovu,, anataka kumuuzia dg kwa billion3
@franklinmganga736
@franklinmganga736 2 ай бұрын
Kwahyo kama jezi mbovu wasiseme
@SaraRobert-io8xv
@SaraRobert-io8xv 2 ай бұрын
Kumbe ilikuwa kinki
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics 2 ай бұрын
Jezi hawana simba ukweli usemwe tu japo mchungu.
@Nabiilkhamis
@Nabiilkhamis 2 ай бұрын
Uyo sie sanda lendi
@RukiaAbedi
@RukiaAbedi 2 ай бұрын
Bila ya mwenyewe Ally Kamwe kuomba msamaha usimsameheeee yeye nani Hana mdomo au ndio anatiwa kiburi huko ofsn kwake?
@matrida.lunyilija5196
@matrida.lunyilija5196 2 ай бұрын
Ana kosa gani ally kamwe acha ujinga wewe
@GenelivaSylvester
@GenelivaSylvester 2 ай бұрын
Na msamaha haombi ng'oo kwa lipi alilofanya?? Hao nao wanaombembeleza sanda n viherehere tu,mhusika anawazoom na vichwa vikubwa
@hirizonetz9558
@hirizonetz9558 2 ай бұрын
Aende mahakamani hana chochote cha kutufanya boya tu huyo
@mwitajohn4882
@mwitajohn4882 2 ай бұрын
Wewe boya tu
@matthewponera5701
@matthewponera5701 2 ай бұрын
Ety hana cha kuwafanya...we nae ni nani
@maryfides591
@maryfides591 2 ай бұрын
Haibu iyo hachana na mtoto wawatu nawewe unamtoto kama uyo
@Rukaka_jr
@Rukaka_jr 2 ай бұрын
Afu hawa ndo wanatak kuonesha umma jambo lionesses kuuuuubwa wakat ni utumbo mtu, aje ashtaki mashabiki wote wa yanga wanaokosoa jezi
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 2 ай бұрын
Ni kosa kisheria huwezi public kwenye vyombo vya habari , issue ni kukejeli SANDA tatizo cyo jezi, jezi ya Mnyama ni moto
@jacksonEmanuel-b7g
@jacksonEmanuel-b7g 2 ай бұрын
chawa uyo amna lolote
@maryfides591
@maryfides591 2 ай бұрын
Uyomzee hana haibu kugombana na mtoto mdogo kama uyo unajidhalaulisha bule
@AsiaBakari-b8d
@AsiaBakari-b8d 2 ай бұрын
Hagombani na mtoto huna akili ana Linda kibarua chake
@ROSEJORAM
@ROSEJORAM 2 ай бұрын
na huyo mtoto mwenyewe Hana haibu kuongelea vibaya brand ya watu
@GenelivaSylvester
@GenelivaSylvester 2 ай бұрын
Kulinda brand!!! Hovyooo kama anlinda brand aache kuwatengenezea wenzie masanda kumbafu kabisaa
@gelardbalalu9119
@gelardbalalu9119 2 ай бұрын
Ila huyu jamaa anawatengenezea jezi mbaya simba
@gallusmbaga5522
@gallusmbaga5522 2 ай бұрын
Hahahaaha
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 ай бұрын
Msimbembeleze sana.. hakuna kesi hapo
@MgazaMhina
@MgazaMhina 2 ай бұрын
Wanaojua kuna kesi wanamuomba kama wewe huoni kosa ni wewe
@eddsonjeremiah6669
@eddsonjeremiah6669 2 ай бұрын
Hakuna kesi hapo iyo ni kiki tu Ila kiukweli jezi ni mbaya
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 2 ай бұрын
Wewe hujui maana ya brand fuatilia ile kesi ya 50 Cent alivyosema Coca-cola inajaza matumbo akaambiwa afute wimbo huo akapuuzia alipoburuzwa mahakamani ndipo alikutana na vifungu vta roba ya mbao. Sasa Ally Kamwe ni zaidi ya ile.
@AsiaBakari-b8d
@AsiaBakari-b8d 2 ай бұрын
Jichanganye
@DanieliGibson
@DanieliGibson 2 ай бұрын
Kwani niuongo majez yamedoda
@ahmadifataha6677
@ahmadifataha6677 2 ай бұрын
Kosa gani kafanya na matambala yenu yale
@ROSEJORAM
@ROSEJORAM 2 ай бұрын
kama mavitenge yenu kama geita gold
@GodsonLaizer-fx8by
@GodsonLaizer-fx8by 2 ай бұрын
Usimsikilize huyo chawa Peleka ndani ajifunze kambaaaf zaidi
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 2 ай бұрын
Na ahmed afungwe pia maan alisema maji ya gsm yana chumvi
@raymondclaud6026
@raymondclaud6026 2 ай бұрын
​@@salmamlokela1987tena inatakiwa ailipe GSM Billion 5
@matrida.lunyilija5196
@matrida.lunyilija5196 2 ай бұрын
Majezi yamedoda mnatafuta unafuu kwa watu yapeleke kambi ya wakimbizi ukatoe msaada
NDARO NA STEVE MWEUSI WALIVO KULA CHAKULA CHA MGENI UTACHEKA
15:51
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
STEVE NA NDARO WALIVO VURUGA NDOA UTACHEKA
16:04
Ndaro Tz
Рет қаралды 1,1 МЛН