INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA

  Рет қаралды 215,124

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 637
@globaltv_online
@globaltv_online 4 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@mwitakegera8426
@mwitakegera8426 2 ай бұрын
I am actually from Kenya and I congratulate this Man for the good work, such kind of people need to be leader
@ZuhuraNyange
@ZuhuraNyange Ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@justinog3105
@justinog3105 4 ай бұрын
Wana Arusha mko na bahati mlipewa na Mungu kwa kumpata makonda angefika kwetu burundi shida zingepungua mnae kubali makonda mniongezee likes hapo Mungu ampe maisha marefu
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 4 ай бұрын
Sana kiukweli naomba mungu atuletee makonda mkoa wa TANGA , mana huku Kuna madudu mengi
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 4 ай бұрын
Makonda apige kazi
@Bandura386
@Bandura386 4 ай бұрын
Makonda njoo kibondoo
@jokhajj
@jokhajj 4 ай бұрын
Kwakwl shida zingepungua mungu atusaidie burundi aise tuje tupate mtu kama makonda😢
@ashrafadam4629
@ashrafadam4629 4 ай бұрын
Arusha kuna madudu mengi mkoa una vurugu sana huko ujanja mwng mbele kiza , makonda okoa jahaz huko vgogo na madon weng n dhuluma za wanyonge
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 4 ай бұрын
Huyu Mh Anastahiki kuungwa mkono Safi sana
@AliMkumbukwa
@AliMkumbukwa 4 ай бұрын
Vote for president to be makondaa Piga like kwa niaba ya makonda
@mariaboniphace7853
@mariaboniphace7853 3 ай бұрын
Napiga kura yake mapema sana
@elizabethwaswa
@elizabethwaswa Ай бұрын
Heri ntoke Kenya nije nmpigie huyu kura
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 4 ай бұрын
Mh. Makonda your integrity is unparalleled.
@gabybulba9574
@gabybulba9574 4 ай бұрын
Makonda looks full President with good and fair governances, mungu akubarikie hicho kiti naombea
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 4 ай бұрын
Vijana wetu wengi wamemaliza masomo yao ya vyuo vikuu na wako vizuri...na kazi hawana. Kazi zimekaliwa na vilaza kama Hawa ambao hawajielewi....mama Samia fukuzia mbali wajinga Hawa ndio wanakuchafua Bure, unabakia mama yetu kupata shukran ya matusi....
@zawaeli3357
@zawaeli3357 4 ай бұрын
Nakuhakikishia hapa hata kijana wako angeonekana kilaza.
@sospetermigera685
@sospetermigera685 4 ай бұрын
Baadaye mseme anawakosea. MAKONDA anafanya kazi. Mama anaangushwa na watendaji wa chini
@ahmedsalim9463
@ahmedsalim9463 4 ай бұрын
Kazi ni ngumu lakini usikate tamaa Mungu yuko pamoja nawe
@kichalimaulid4904
@kichalimaulid4904 4 ай бұрын
Daaaah makonda shikamoo pongezi kwa Dr Samia suluhu Hasan kwa uteuzi wako najinsi unavyo msaidia majukumu hongera sana
@JosephatJoseph-eo8xj
@JosephatJoseph-eo8xj 4 ай бұрын
Mimi ni wa CHADEMA ila kazi ya makonda imenikosha sana Mungu hakulinde
@naimatemba8061
@naimatemba8061 3 ай бұрын
Yaani wacha kabisa
@wisemanking001
@wisemanking001 4 ай бұрын
Makonda is beyond Regional Commissioner job....apewe nchi for the rest of his life!!!
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 4 ай бұрын
Duu nchi hii kweli watendaji wa serikali mnamuangusha mheshimiwa Rais Samia .Hawa watendaji serikali hawaitakii CCM mema wanataka ianguke
@josephignas3988
@josephignas3988 4 ай бұрын
Hiyo ndio mojawapo ya sifa za ccm Sasa km hujui ni dhulma
@victaboy7273
@victaboy7273 4 ай бұрын
Wewe ndio huwa unasifia ccm . Ni kawaida
@MariamWiliam-z8k
@MariamWiliam-z8k 4 ай бұрын
Wanaosema anakosea sindio majambaz hao hao usiwaogope kaka wape Panadol zao
@MariamWiliam-z8k
@MariamWiliam-z8k 4 ай бұрын
Yaan mie baba nakupenda sana ungekuja mbeya jamsn
@MariamWiliam-z8k
@MariamWiliam-z8k 4 ай бұрын
acha wakuchukie tu hawana mbigu yakukupeleka majambaz wakubwa hao mbwaizo
@dismascosmas7860
@dismascosmas7860 4 ай бұрын
Mmepata kiongozi mshukuruni sana Mungu
@IreneMacha-g8o
@IreneMacha-g8o 4 ай бұрын
Mkiambiwa mnalegeza sautiii mnasema mnadhalikishwaa😅😅😅
@BilalMuhammad-jt6sq
@BilalMuhammad-jt6sq 4 ай бұрын
Kweli ila kukaa uchi awaoni kua wanazarurisha
@romanshirima5883
@romanshirima5883 4 ай бұрын
Dah makonda vs magufuli mungu huyu❤
@raymondlyamuya6900
@raymondlyamuya6900 4 ай бұрын
Huyo Mkurugenzi Kilaza sanahamna kitu hapo
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 4 ай бұрын
Amlipe pesa zake angekua ndio yeye anadai miaka yote hiyo kweli!
@NicholausDanga
@NicholausDanga 2 ай бұрын
Da lalia kwa furaha kama ikimpendeza mueshimiwabraisi huyu poo makonda angekua mkuu wamkoa Tanzania kwakweli angalau aweze kuwasimamamia kazi wa kuu wa miakoa wengine.hayo nimaoni yangu.kama mtanzania.ahsante. naomba kuwasirisha,
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 4 ай бұрын
Mpaka mkurugenzi anashika kichwa anajuta kwa nini mama samia kamchagua hiyo kazi huyo ndo mkuu wa mkoa kamanda makonda ukimaliza kadili na wahuni wanaokaba mitaani arusha
@issaramadhani9141
@issaramadhani9141 4 ай бұрын
Hivi jamani huyu mkurugenzi maelezo yake katika kila maswali anayoulizwa kuanzia wale wezi wa milioni 52 hakuna anachoeleza cha kueleweka sijui huo ukurugenzi anautendaje?😂
@emmanuelbenedicto589
@emmanuelbenedicto589 4 ай бұрын
Halafu watakuja kusema amedhalilishwa wakati hana msaada wowote kwenye utendaji
@paulomollel9717
@paulomollel9717 Ай бұрын
autakufa maisha yako yote tutakuombea kwa mungu akuwache milele❤
@JenethFrank
@JenethFrank 4 ай бұрын
Muheshimiwa hizi halmashauri especially ma afsa utumishi, makatibu wanasumbua sana ikiwa unataka uongoz wako unataka kusiwe na malalamiko jaribu kuwahamisha hamisha ufanye uchunguz then uwasimamie utajua mengi. Nataman ningepata nafasi ya kuonana na wewe.
@GraceMwaipopo-s5r
@GraceMwaipopo-s5r 3 ай бұрын
Unaweza kumtembelea
@wolframmwalo2432
@wolframmwalo2432 4 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akutunze hakika kazi unayoifanya mungu yupo upande wako
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 3 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda naomba Mungu akulinde kwa kazi ya kuipigania Tanzania?
@Bihomebuja
@Bihomebuja 4 ай бұрын
I'm not Tanzanian but I want to say that Africa suffers from a lot of issues. This Governor Makonda is criticized by some but I see that he is intelligent.
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 4 ай бұрын
Hakika Makonda Mungu akubariki na azidi kukupa hekima hiyo hiyo. Huku wanapiga pesa tu na kuwadhulumu watu.
@kensonyjulius5691
@kensonyjulius5691 4 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukuweka nakuona ni rais ujae🙏🙏🙏
@mosescharles3565
@mosescharles3565 4 ай бұрын
Ndugu Paul makonda usingeenda Arusha ingeishia wapi hongera sana mama samia kumpeleka mchapa kazi Arusha🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@emmanuelsunday8325
@emmanuelsunday8325 4 ай бұрын
Mungu akulinde mtumishi wa Mungu makonda
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 4 ай бұрын
Mkurugenzi anang'a ng'a macho kama fisi maji!😏🙆
@luganouswege628
@luganouswege628 4 ай бұрын
Fanya kazi makonda tutakuombea kwa mungu akulinde Toka tunduma
@elizabethnicodemus5192
@elizabethnicodemus5192 3 ай бұрын
Makonda kazi Yako nzuriii 🙏🙏 mungu akulinde mheshimiwa 🙏🙏
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 4 ай бұрын
Mh Makonda Mungu akutunze👏👏👏👏
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 4 ай бұрын
Huyu mama ningekuwa nishamweka ndani muda mrefu sana anabahati na huruma za Makonda
@gregory6165
@gregory6165 4 ай бұрын
Sawa anaweza kulaumiwa lakini kimsingi hana kosa huyo mama, kaingia hapo kazini juzi madeni hayo ya tangu kipindi cha Lowasa akiwa waziri mkuu. Yeye kuanza kulipa hizo hela kuna shida sana kwenye mambo ya kimfumo... Huko serikalini kunamambo ya ajabu sana kwenye mifumo, ingekuwa serikali ni kampuni ya mtu binafsi ingeenda lakini wanapishana na kuna mindset ya ufanyaji kazi ambayo ni ngumu kuchukuwa maamuzi ya kifedha kwa kufata mfumo hususani ni madai ya zamani
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 4 ай бұрын
@@gregory6165 hapana kosa lake ni kutofanyia kazi taarifa tangu alipoambiwa Juzi juzi na makonda afatilie alafu anakuja na no action.
@SaruniChristophersabaya
@SaruniChristophersabaya 3 ай бұрын
Mungu akubariki Sana makonda
@josephmbuya9860
@josephmbuya9860 4 ай бұрын
Makonda nakuelewa sana
@wakushibandfrombushland
@wakushibandfrombushland 4 ай бұрын
Nakubali mkuu wa kazi maisha marefu
@penina9266
@penina9266 4 ай бұрын
Hongera sana mkuu kwakazi nzuri MUNGU azidi kukutunza❤
@GomwoMisago
@GomwoMisago 4 ай бұрын
Tupe number iwe yako au yoyote ile tukufanyie kazi Arusha ufisadi umezidi ndani ya Ofisi yako
@workshopMayunga
@workshopMayunga 3 ай бұрын
Faza makonda mungu akulinde sana
@gideonstanley2155
@gideonstanley2155 4 ай бұрын
Wasomi wengi walioajiliwa na selikari kwenye utendaji hakuna kitu sijui darasani walikuwa wanakalili😢
@mosescharles3565
@mosescharles3565 4 ай бұрын
Ww makonda ulifaa kuwa waziri🙏🙏🙏🙏🇹🇿
@patientlazaro6930
@patientlazaro6930 4 ай бұрын
Makonda anahutu sana Mungu amlinde.. ila huyo mgurugenzi duuuh anahaibisha nn haelewi sasa?
@vikimartin9441
@vikimartin9441 4 ай бұрын
Yaani siku hizi sikosi kuweka bando, huku ni patam balaa, mh.makonda hapoi Wala haboi.mambo ni moto,chai ya moto kikombe Cha bati.
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 ай бұрын
Daah jamaa anatisha sana
@khalidhaji-ls2or
@khalidhaji-ls2or 4 ай бұрын
Wee huogop
@Charles-oq8tz
@Charles-oq8tz 4 ай бұрын
Unatisha kaka
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 4 ай бұрын
Watu wanakufa na mengi
@FurahaMwajeka
@FurahaMwajeka 4 ай бұрын
Wewe ni wa mfano wangu your my best makonda
@jacobmakono4399
@jacobmakono4399 4 ай бұрын
Huyo Mkrugenzi hana kazi!
@tiffanymo9453
@tiffanymo9453 3 ай бұрын
Well done honorable Makonda.
@hafidhdrogba3392
@hafidhdrogba3392 3 ай бұрын
Mkulugenzi sulambaya rohomba zuluma
@bsmonline8482
@bsmonline8482 4 ай бұрын
Huyu dogo akienda hivi kimasihara tuu anaweza beba nchi
@mosewakaratutv7747
@mosewakaratutv7747 3 ай бұрын
Makonda yupo pw sana anasikiliza pande zote mbili
@meddyally4416
@meddyally4416 4 ай бұрын
Alaf wakitolewa akiri wanasena wanadharilishwa pumbavu sana
@khamisally9559
@khamisally9559 3 ай бұрын
Piga spanner Mh. Makonda mpaka wanyooke hawa kunguni kama sio viroboto. 🤸‍♀️🤸‍♂️
@adamseea742
@adamseea742 4 ай бұрын
The next president kama hamtaki njoon mniue
@curtainpalace7369
@curtainpalace7369 4 ай бұрын
God bless you sir
@bostonbensonkapute5274
@bostonbensonkapute5274 2 ай бұрын
Mimi ni Wa Msumbiji, lakini huyo mwishimiwa amenyooka sana, Yuko Right.
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 4 ай бұрын
Makonda ishi sana
@honoratusmodest285
@honoratusmodest285 4 ай бұрын
Atari watendaji wa serikali wengi wezi wamemlipa make wa mbunge ili kumfunga mdomo wezi kabisa Mungu anawaona
@emmanulvictory507
@emmanulvictory507 4 ай бұрын
Waambie au kaz kula hela zawatu wapuuzi ao
@StephanoJeremia-um5gx
@StephanoJeremia-um5gx 4 ай бұрын
He is very powerful
@zulekhasaeed6046
@zulekhasaeed6046 3 ай бұрын
Makonda mungu akuweke
@InspirationalGalaxy-cc6pz
@InspirationalGalaxy-cc6pz 4 ай бұрын
Mungu, akupinganie makonda, tunafatilia, Sana, ungonzi,, wako, wtz, wengi, wanakuombea
@elizabethwaswa
@elizabethwaswa Ай бұрын
Am kenyan but makonda for president bana
@janengowi-lt9gu
@janengowi-lt9gu 4 ай бұрын
Pole Arusha kazi ipo
@meshakimtenga4550
@meshakimtenga4550 3 ай бұрын
makonda oyeeeeee yaaani....wikala kunoga mtwa vangu vee
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 4 ай бұрын
Mungu tusaidie tu Mungu
@ALVIN-vs1ec
@ALVIN-vs1ec 4 ай бұрын
Kwakweli tunamshukuru Mungu Kwa kutupa Mheshimiwa makonda atutetee sisi tunaodhulumiwa jaman Mungu akupe moyo wa huruma umtetee huyu injinia jaman milioni 220 miaka 18 hivi kweli inawezekana???mungu tuhurumie
@abelhilonga1095
@abelhilonga1095 4 ай бұрын
Hivi vilikuepo mda wote jamani utafikiri vilianza jana dahh ndo maana kuna kiongozi bora na bora kionhozi
@GomwoMisago
@GomwoMisago 4 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda ukiona watu ni mafisadi au wezi wa mali za wa lala hoi hakuna mjadala peleka panapohusika achana na huyo mama ni msanii mwizi weka ndani
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 4 ай бұрын
Halafu utakuta mtu anasema Ana hofu ya Mungu
@RamadhaniSuru
@RamadhaniSuru 4 ай бұрын
Hata huyu mkuregenzi mtoe ili maendeleo yaje kwa haraka maana ndowalewale tu
@GeofreyBalyo
@GeofreyBalyo 4 ай бұрын
hyo hela imeliwa hayo mengne ni maelezo ugwadu...hela ya tanesco si ingefanya maendleo mengne
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni 4 ай бұрын
Wanyooshe hao njia watajua tu
@NeemaMushi-wj1zn
@NeemaMushi-wj1zn 4 ай бұрын
Yesu wangu
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 4 ай бұрын
Kazi wanao
@zainabomar5144
@zainabomar5144 3 ай бұрын
Hapo mkurugenz kachemka jaman,,,,nipewe mm hiyo nafas wawah nitaitendea haki,kuna watu wachache wanaharibu serikal
@himidnassor5167
@himidnassor5167 3 ай бұрын
Mung amtunze Sana....HUYU..KIONGOZI
@KaraDeo-tl5qw
@KaraDeo-tl5qw 4 ай бұрын
Hawa viongozi wapelekwe na jkt wakajifunze nidhamu na namna ya kuwahudumia wananchi
@ceciliamaneti5283
@ceciliamaneti5283 4 ай бұрын
Huyu mama amekaa kiroho mbaya, hata jicho analomkata mlamlamikaji na bado anajaribu kutaka kumchafua hata mbele ya Makonda yani anaroho mbaya.
@mathewmshiu1424
@mathewmshiu1424 4 ай бұрын
Makonda chapa kazi
@dn.n4983
@dn.n4983 4 ай бұрын
Kweli kabisa shule nani kajenga swali zuri kabisa sisi tutafuta usizio kijinga kwanza marakatasi yafuta au wamepoteza sasa kwa nini asilipwe ni wivu pesa zake wataka kumzika vizuri wamepana kweli kazi iendelea hilo wataamini selikali lazima mfanye kazi haki kabisa kila mtu afanye kazi
@sethwilson4346
@sethwilson4346 3 ай бұрын
I've changed my about Makonda, hata kama ana mabaya ila mazuri yake ni mengi mnoo
@danielnyabukika5009
@danielnyabukika5009 3 ай бұрын
Natamani uwe Raisi wa Tanzania Ila nakuombea shetani asikuguse ukabadilika
@Yowel-g7l
@Yowel-g7l 4 ай бұрын
Ivi wakuu wa mikoa wengine mnaona anachofanya makonda basi mjifunze huyu jamaa ni mpiga kaz sana😢
@RobertMeleka
@RobertMeleka 2 ай бұрын
Pgkz mimi mchana mweusi
@honestyerasto
@honestyerasto 4 ай бұрын
Yahni kupitia hizi ziara za makonda nagundua hakuna watendaji kabisa sijui hizi nafasi walizipataje.
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 4 ай бұрын
Nchi ya ccm sijawahi kuona duniani ...unaweza kufa na kizazi chako mkidai serikali
@mashakaamosgabinza3893
@mashakaamosgabinza3893 3 ай бұрын
2007 na maliza la saba Hadi nimezeeka makonda jali wanyonge
@rhodamgimwa356
@rhodamgimwa356 4 ай бұрын
Fukuza hiyo mama, hakuna anachoelewa!!
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 3 ай бұрын
Dhulma imezidi nchi hii. Wengine tunapanga kuhama
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 4 ай бұрын
JEMBE LANGU HILO MAKONDA FANYA KZ KIONGOZI MAJIZI NIWENGI SANA KATIKA NCHI HII ARUSHA MPAKA WANYOOKE
@AfizoBrave
@AfizoBrave 3 ай бұрын
Huyu Ni magufuli mpya Jamani amerudi kwa Mara nyingine Tena, Tumuangalie Sana huyu..
@VonMajeid
@VonMajeid 3 ай бұрын
Swai? 🙌🙌🙌
@jumanchimbi2386
@jumanchimbi2386 4 ай бұрын
Hao haki za binadamu wanapenda sana kutetea maovu. Wanaendelea kuumbuka
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 4 ай бұрын
Hao ndo wachumia matumbo Namba moja. 😂
@chayomgonja3131
@chayomgonja3131 4 ай бұрын
Hii nchi kwa viongoz wa style hii( mkurugenzi) kutoboa cjui
@mauricebaraka9119
@mauricebaraka9119 4 ай бұрын
Baba Keagan 💪💪💪
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 4 ай бұрын
Kama kweli viongozi ni vilaza kama huyu mkurugenzi kazi tunayo
@bakarikasimu-gn8xj
@bakarikasimu-gn8xj 4 ай бұрын
Brother Makonda wewe ni tunu na ni zawadi kwa watanzania wote
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 21 МЛН
The day of the sea 😂 #shorts by Leisi Crazy
00:22
Leisi Crazy
Рет қаралды 1,9 МЛН
Amazing Parenting Hacks! 👶✨ #ParentingTips #LifeHacks
00:18
Snack Chat
Рет қаралды 22 МЛН
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
JAMBO TV
Рет қаралды 95 М.
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 21 МЛН