SHEIKH SAID ATOA SOMO JIJINI DSM, MTOTO WA BACHU USIPOELEWA HAPA BASI

  Рет қаралды 79,716

BABDEO MILADU

BABDEO MILADU

9 ай бұрын

Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZbin: / @babdeomiladu

Пікірлер: 547
@selemaniselemani7014
@selemaniselemani7014 8 ай бұрын
Huyu shekhe alinifurahisha sana siku ile kwakweli, allah amuongoze na sisi wote,! Amiin
@litimbaify
@litimbaify 8 ай бұрын
Jazaakallah khayran Bachu umewaweka watu bize na wewe, Allha akuzidishie zaid masufi hawalali na kusoma zaid lakin bado haijatoka hoja juu ya Barazanj na Kufur zilizopo, Sh Said mpaka ujibu hoja kwanza, Tunajua haujaanza wewe kutetea Maulid na haiishi, sis tumeshapita hayo itetee Marazanj kwanza!
@sudisalehe192
@sudisalehe192 8 ай бұрын
Hakuna kitu hapo
@hamisimwalimu7333
@hamisimwalimu7333 Ай бұрын
Sheikh we hata huelewi
@hamisimwalimu7333
@hamisimwalimu7333 Ай бұрын
Yani nyinyi mawahabi vita vyenu maulidi tu shida mawahabi hamjasoma wallah
@litimbaify
@litimbaify Ай бұрын
@@hamisimwalimu7333 huna hoja bora upite tu si lazima na wewe ucoment kwa elimu gani ulokuwa nayo, usishangae hata juzuu Âma haujamaliza
@faisalyunus4283
@faisalyunus4283 9 ай бұрын
Mashaallah shekh said mungu akuzdishie ilmu na akuruzu fahamu uzidi kutuilimisha shukran
@hajikatanje5961
@hajikatanje5961 8 ай бұрын
Shekh sisi waislamu tunajuwa ulishindwa kuwaelimisha waumin wapenda maulidi nnabai ile siku ndio ilikuwa bora zaidi kwa yule mwenye kutaka kuelewa ila ni wazi maulidi ni bidaa kubwa tu maana huna hadithi wala ktk vitabu vya hadithi wala qur an hayapo shekh usituletee tafsiri ya nahau wakati nahau ni matumizi ya lugha tu
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj Ай бұрын
Sasa alishindwa kujibu bachu hadithi munkar haijui wanazuoni wasemaje kuhusu hadithi munkar bad badili kusema hajui asema hajaona alafu kitu chengine nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume tawhed tatu mumezitoa wapi mtume hajafundisha wala maswahaba hawazijui tawhed tatu hio hujaona kama bidaa
@hamisisalimu6908
@hamisisalimu6908 9 ай бұрын
Mashallah shukran sana ustadh saidi, hiyo ilmu ulio itoa ni kubwa mno, mawahabi hawaja elewa chochote kamwe ndo wanazidi kupoteza maarifa
@abuurayaan3902
@abuurayaan3902 9 ай бұрын
Wajua maana ya Elimu wewe au ndio huo ushabiki???
@user-hx8bh1jt4k
@user-hx8bh1jt4k 8 ай бұрын
@@abuurayaan3902 Mi nadhani ifike wakati Sasa tuitumie Ile Aya"Lakum Diinukum waliya Diin"Kwa sababu hamjataka kuketi na kuendelea kudadisi na kujifunza,bali mmevishwa misimamo ambayo hata hamjui athari yake.
@tahanyjaffar8321
@tahanyjaffar8321 8 ай бұрын
Ni sharti usome ndio uwe n ilmu sio mawahabi wako kama bendera hawasomiiiii wao wapinga tu
@abuurayaan3902
@abuurayaan3902 8 ай бұрын
@@tahanyjaffar8321 wewe Umeifadhi juzuu ngapi kwanza na kitabu Gani Cha Cha Hadithi Ulicho kihifadhi
@abuurayaan3902
@abuurayaan3902 8 ай бұрын
@@tahanyjaffar8321 Alafu naona umendandia tu Jubu swali unajua maana ya Elimu wewe kilugha na kisheria????
@AyoubAbdullrahmanAmir
@AyoubAbdullrahmanAmir 9 ай бұрын
Babdeo hii iko sawa kabisa maana ilikata kata mno...Allhamdullilah.....tumsif Mtume ...
@tahanyjaffar8321
@tahanyjaffar8321 8 ай бұрын
اللهم صل وسلم عليه
@rashidishak3991
@rashidishak3991 9 ай бұрын
بارك الله فيك يا شيخ سعيد اطال الله عمرك ونفعناالله بك ❤❤❤❤
@saidishekalaghe3496
@saidishekalaghe3496 8 ай бұрын
Swadakta Sheikh wangu, Allah akupe Kila Lakheri, Afya Njema, na Umri Mrefu tuzidi kustafidi. Allahumma Aamiin.
@rmdhnhmz512
@rmdhnhmz512 17 күн бұрын
Aamin
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 9 ай бұрын
Duh... Tuwache ushabiki, tuyasikilize vizuri haya maneno.. Ni Darasa nzito. Allah akuweke habyb na akufunguliye elimu zaidi na zaidi.
@yusufuzuberi9884
@yusufuzuberi9884 9 ай бұрын
Kwaiyo tunywe tembo au
@user-sm1ux6nj7b
@user-sm1ux6nj7b 9 ай бұрын
​@@yusufuzuberi9884ww kichwa chako cha panzi kavute bangi tu
@abdulhamidbakar2461
@abdulhamidbakar2461 9 ай бұрын
​@@yusufuzuberi9884ufaham mdogo rejea usikilze
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 9 ай бұрын
Huwezi kumlazimisha mtu Kufahamu maana ufahamu pia ni rizki.
@yasiniselemani3917
@yasiniselemani3917 9 ай бұрын
​@@yusufuzuberi9884sikiliza vizuri halafu kuwa na ufahamu uache ushabiki kwenye dini hujui kaa mbele ya mwalimu ufundishwe
@user-jn4fb3mh9v
@user-jn4fb3mh9v 9 ай бұрын
Mashannlha habibi hay ñi Matunda ya mwalim wa mwalim wangu sheighe Muhammad alibiz ,,shukuran aghii
@suleymansalim5732
@suleymansalim5732 8 ай бұрын
Kila siku inabidi kutetea maulid kila atae simama lkn bahat mbaya nikua kila anayesema Akimaliz anajikuta hajasem kitu haya mngeyajibu maswali ya Bachu mbele yake yote 19 . Kisha mkauliza sasa msingepata tabu lkn hii itawagharimu kila siku.mfano haitokei mtu kuteteA swala funga zaka n.k kwasababu nisahihi lkn hya maulid inabid uyatetee kila siku kwasababu ni uzushi
@elbattawy2864
@elbattawy2864 8 ай бұрын
Ibada sio tu swala, kufunga na kutoa zaka, Ibada ni nyingi sana, kuhusu khadithi ambayo bachu huitumia kupinga maulid sheikh saidi amempeleka shule vya kutosha kuhusu kula bidaa dhalala wa kula dhalala fi nnar., rudia usikilize tena na tena, bachu hawezi kuona ndani hapo
@abubakarymaulidy5681
@abubakarymaulidy5681 8 ай бұрын
Nenda kasome wewe acha ushabiki kwnye dini ya mungu unaona watu wanazungumza ukafikti wanayatoa tu hawana uhakika nayo
@SuleimanMakame-ex2eh
@SuleimanMakame-ex2eh 8 ай бұрын
Swaddakta somo
@user-hk1jy6rl5e
@user-hk1jy6rl5e 8 ай бұрын
Wahab nyinyi mtatseka sna mkiona vip kunywen sum mfee. Tu lakin kama Bado mpo maulid yatasoma mwapaka uchochoron kwen mpka mue mnakwepa njia
@user-ug8wh1hg6r
@user-ug8wh1hg6r Ай бұрын
Sema WWE kitu ueleweke kwnz
@allyfundi6405
@allyfundi6405 8 ай бұрын
Nimetosheka na huyu mtu wallah nilikua narudi rudi sana nyuma kwenye maulidi ila sasa kwenye maulid nitaenda kila mara
@safikapanga6989
@safikapanga6989 8 ай бұрын
❤pqg
@alafasyquran9806
@alafasyquran9806 8 ай бұрын
som kijan acha kufuata mkumbo
@tahanyjaffar8321
@tahanyjaffar8321 8 ай бұрын
Masha Allah mkono kwa mkono hadi peponi
@user-xn5je7uv3e
@user-xn5je7uv3e 8 ай бұрын
endelea kupotea tu
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 8 ай бұрын
Mashaalah ostaz said jazakallahu kheir,nakushauri hutubazako uzungumze pole pole usiharakishe ukiharakisha tunashindwa kulewa tembo lachelewa kutulewesha ,wengine vichwa vyetu ni vizito,na tembo Kwa Tanzania ni pombe.tumefahamu jazakallahu kheir.
@user-gy8wl2jj5g
@user-gy8wl2jj5g 8 ай бұрын
Maa Shaa Allaah Allah akuhifadhi akulinde na akuweke tuzidi kuilimika na kufaidika IN SHAA ALLAAH
@hassanmohamedabdalla4108
@hassanmohamedabdalla4108 8 ай бұрын
يمضي الليل بلا قيام ويمر الاثنين والخميس بلا صيام ويفوتهم الفجر وهم نيام ويحتفلون بالمولد دون برهان ما هكذا كان يفعل خير الأنام
@user-xt6bb6lx2r
@user-xt6bb6lx2r 18 күн бұрын
هذا كلامك أنت استحي من الله يا كذاب وإلا فهم يصومون ويقومون الليالي ويصلون فى المساجد مع الجماعة.... ويحتفلون بنبيهم سيدنا وحبيبنا ومولانا رسول الله صلى الله عليه وآله وصحبه وسلم.
@fadhilimusa9732
@fadhilimusa9732 9 ай бұрын
Ukiona comment za kupinga niza mawahabi siajabu hata mtume walimpinga.al habiib saidi allah akujaze kheri nyingi wafikishie ujumbe elimu ya fani hawana japokua wanachukia
@AbuuAbdillah-hb8li
@AbuuAbdillah-hb8li 9 ай бұрын
Wewe ndio upumbavu uliopandikizwa kichwani mwako kwamba mwenye kupinga maulidi kampinga mtume swalallahu aleihi wasallam soma dini ya ALLAH acha ujinga wa kuburuzwa
@fadhilimusa9732
@fadhilimusa9732 8 ай бұрын
@@AbuuAbdillah-hb8li wewe ndio uache ujinga munaacha kukemea maovu uzinzi ulevi kutosali n.k mwatoa povu na maulid acheni ujinga someni dini ya Allah
@twayibshaykhmuhammad1034
@twayibshaykhmuhammad1034 8 ай бұрын
​@@AbuuAbdillah-hb8li MASWAHABA NA MASALAF NA MASUUFI wame elewa yakuwa BIDAA ni mbili Sayidina OMAR asema نعمة البدعة BIDAA nzuri na IMAM SHAFII amezigawanya BIDAA nzuuri na mbaya SWALI kwa MAWAHABI ??? Je muna ILIMU kuwashinda hao ??? لا والله na je munamtegemeya nani katika MASWAHABA NA MASALAF yakwamba amekataa BIDAA kugawanwa ???
@subirajuma5678
@subirajuma5678 8 ай бұрын
Mashia nao vipi sielewi mimi wanapinga maulidi au wanakubali
@tariquexplore
@tariquexplore 8 ай бұрын
Muongo sana uyuuu😊
@user-ys1kb7zk6k
@user-ys1kb7zk6k 9 ай бұрын
WALLAAHI ELIMU INARAHA SANA UKIISIKILIZA ALLAAH ALLAAH ALLAAH WALLAAHI TUSOME SANA NA ALLAAH ATUPE FAHAMU
@subirajuma5678
@subirajuma5678 8 ай бұрын
Hizo hoja zako zote zilivunjwa kitambo na sheikh Kassim mafuta alipofanya mdahalo na kina sheikh dede na kazuba kule tz mpaka sheikh dede alitaka kulia jinsi Kassim mafuta alivyowabana sawa sawa.
@qaseemayoub6758
@qaseemayoub6758 9 ай бұрын
Maa shaa Allah TabaarakaAllahu❤
@alisudiramadhan3151
@alisudiramadhan3151 9 ай бұрын
Shukran Akhii mungu akujaze kwa kurekebisha habari itawafikia
@abubakarymaulidy5681
@abubakarymaulidy5681 8 ай бұрын
Sku zote nawaambia shkhe said anakitu cha ziada kapewa na mungu tuache hasadi tchukue elimu kwake
@swalehahmed6579
@swalehahmed6579 8 ай бұрын
Kabisa ndugu yangu @abubakarymaulidi5681 hawa mawahabi ni mahasidi na hawataki kufahamu Al Ustadh Muhammad Shariff said Al Beidh alisema kitambo hawa mawahabi hata kwambiya nini hawatakubali hata kama wao wajua wana makosa hii ni tabiya yao ndiyo ukaona wengi wao ilimu yao ni ndogo sana nawale wafuai wao wasojua kitu ndiyo ma mufti wakubwa mpaka kuna mmoja hapo asema tutangiya motoni pamoja na sheikh said yaani akusuduya watu wa maulidi Wallahi sijui ninani alowapa vibali vya kuingiza watu motoni yaani waingiliya kazi ya Allah je haya ndiyo mahaba wanayo dai wampenda mtu au ndiyo Sunna hiyo? Maana mtume hakuambiya watu wewe utaingiya motoni
@uwesundembo5147
@uwesundembo5147 8 ай бұрын
Hata elimu yakupiga Gita navinanda nayo nielim
@subirajuma5678
@subirajuma5678 8 ай бұрын
Hapo sijaona barnzanj ikitetewa, bali naona hadithi inayokataza uzushi ikichambuliwa kilugha. Lakini uhongo ndani ya barnzanj wabakia pale pale kua uhongo.
@barzaqtradingcompany8541
@barzaqtradingcompany8541 8 ай бұрын
يذهب الصوفية للقبور متبركين بمن يزعمون أنهم أولياء ولكن الله تعالى يأمرنا أن نقول : قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ
@uthaymaanashshiraaziyy2413
@uthaymaanashshiraaziyy2413 8 ай бұрын
ماشاء الله جزاك الله خيرا وبعد خير جنة النعيم Allah akuhifadhi Shekhe letu tuzidi kuilimika متعك الله طول عمرك صلوا على سيدنا محمد
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 8 ай бұрын
Naona porojo TU hapa sjaona dalkli ya kutetea maulid Bado sana hamna hoja hapo Tetea kwanza barzanji wapi wanyama walizungumshana siku ya kuingia mimba ya mtume Swalla llaahu alayhi wasallama?
@Mariam99-ld4gw
@Mariam99-ld4gw 9 ай бұрын
Mara ya tatu hii video naangalia🤸‍♀️🤸‍♀️wewe kama humkubali. Saga. Chupa. Unywe ❤😂😂
@Amina-rr8ve
@Amina-rr8ve 8 ай бұрын
🎉🎉 mimi ndo naanza hapa😂
@jumamwarabu9307
@jumamwarabu9307 8 ай бұрын
MAULIDI YATA ZIDI ::NA NYUMA HAYATA RUDI;;:WAUM IE MAWA HABI:::NA NYINGI ZAO LAWAM
@rashidishak3991
@rashidishak3991 9 ай бұрын
Shukran babdeo tv❤❤
@RamadhaniMwandambo-fx9sb
@RamadhaniMwandambo-fx9sb 9 ай бұрын
Mashaallah, kuanzia Leo naanza kuhudhuria hadhara za maulidi , na nikipata uwezo ntasomesha nyumbani kwangu Kila mwaka mara Moja.
@rashidswalehmwanjama3404
@rashidswalehmwanjama3404 9 ай бұрын
Masha Allah
@user-ys1kb7zk6k
@user-ys1kb7zk6k 9 ай бұрын
صلى الله عليه وعلى آله وصحبه وسلم
@hemedhamdan
@hemedhamdan 9 ай бұрын
Hahahaha, yaani hii dunia ilko na vihoja. Allah atuongoze sote jamii Islaam, Aamiin🤲
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 9 ай бұрын
Na motoni utaingia na huyo bwana wako Endelea kufanya haramu
@i_gabbykisalo4280
@i_gabbykisalo4280 9 ай бұрын
Masha'Allah...😂Allah akupe unachoitaji amiin
@subirajuma5678
@subirajuma5678 8 ай бұрын
Nilipokua mtoto nilisikia sifa za mambrui kuwa na elimu mpaka nikatamani niende nikasome huko. Alhamdullillahi wazee wangu walinipeleka na nikapata nafasi pale al ghanahu ul islamiya kwa sheikh mohamad, na wakati huo sheikh alikua bado yuko hai mwenyezi mungu amrehemu. Basi nilifaidika sana chini ya sheikh. Mwaka wa 2002 kulikua na harakati za mijadala mingi sana baina ya sisi watu wa twariqa na mawahabi. Kulipamba moto sana mpaka nikawa najiuliza kwani mawahabi nikina nani mbona wanasumbua sana waislamu. Wakati mwingine sheikh mohamad alikua akija pale madrasah baada ya kutoka kwenye mdahalo, anaema sana kwa pressure huku akasema mawahabi leo wametusumbua sana ata kama walikuwa kwenye haki lakini hoja zetu zina nguvu kutubana wametubana. Kumbe mawahabi wako kwenye haki, mpaka leo ili swali najiuliza, na twariqa wanalijua hili kua mawahabi wako kwenye haki.
@thefoodshaikh811
@thefoodshaikh811 8 ай бұрын
Ni kweli Dadangu alienda manazilul abraar kwa ustadh abdulraheem mambrui. Watu wa sunnah wako kwenye haki siku zote. Hawa watu wa twariqa wanataka kutetea bid'aa wakitumia njia zote.
@ismailhashimu6467
@ismailhashimu6467 8 ай бұрын
Allahu Akibaru ❤❤❤MashaaAllah
@barzaqtradingcompany8541
@barzaqtradingcompany8541 8 ай бұрын
وقد بين النبي صلى الله عليه وسلم لأقرب الناس إليه أنه لا يغني عنهم من الله شيئا، كما في الأحاديث الصحيحة ، ومن ذلك ما في الصحيحين أن أبا هريرة رضي الله عنه قال قام رسول الله صلى الله عليه وسلم حين أنزل الله عز وجل (وأنذرعشيرتك الأقربين) قال: " يا معشر قريش أو كلمة نحوها اشتروا أنفسكم لا أغني عنكم من الله شيئا . يا بني عبد مناف لا أغني عنكم من الله شيئا . يا عباس بن عبد المطلب لا أغني عنك من الله شيئا . ويا صفية عمة رسول الله لا أغني عنك من الله شيئا. ويا فاطمة بنت محمد سليني ما شئت من مالي لا أغني عنك من الله شيئا ". والحاصل أن المؤمن الموحد لا يسأل إلا الله، ولا يدعو غيره، ولا يطلب الشفاعة من الشافع في الدنيا، وإنما يسأل ربه أن يجعله أهلا للشفاعة، وأن يأذن للشافع حتى يشفع له .
@iddswalehomar1323
@iddswalehomar1323 9 ай бұрын
Bacho sio wakuenda mamburui kufundishwa niwakumtafuta ustadh said amfundishe
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 9 ай бұрын
Swadakta 😂😂😂😂
@Maalim_Samatta
@Maalim_Samatta 9 ай бұрын
Hakika
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 9 ай бұрын
WALLAH umetufurahisha habiib BAARAKALLAHU FIIKUM
@rashidishak3991
@rashidishak3991 9 ай бұрын
ما شاء الله تبارك الله
@Mariam99-ld4gw
@Mariam99-ld4gw 9 ай бұрын
❤❤❤❤Nakupend hadi naumwa 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
@user-rk8gk5xw4f
@user-rk8gk5xw4f 9 ай бұрын
Shukrani sheikh wajazaka Allah khairah
@jumamukoko6662
@jumamukoko6662 21 күн бұрын
May Allah (SWT) protect you
@BriXGuru
@BriXGuru 8 ай бұрын
Barakallah feek shekh Said
@barzaqtradingcompany8541
@barzaqtradingcompany8541 8 ай бұрын
نحن لا نلزم أحد بشيء وإنما ننصح ونبين السنة ونحذر من البدعة شاء من شاء وأبى من أبى فمن قَبِلَ فالحمد لله ومن عاند فأمره إلى الله "كل نفس بما كسبت رهينة" توحيد الله عقيدتنا....
@zahorokombo6881
@zahorokombo6881 8 ай бұрын
ما شاء الله كن حيث أنت 😊
@shilingi-Ahmadi
@shilingi-Ahmadi 8 ай бұрын
لا تجمجم
@ABUUMARYAMA
@ABUUMARYAMA 8 ай бұрын
دع ما يريبك إلى ما لا يريبك
@ABUUMARYAMA
@ABUUMARYAMA 8 ай бұрын
كلنا أمرنا إلى الله ،وكل مسلم توحيد الله عقيدته
@swahibually8349
@swahibually8349 8 ай бұрын
انت جاهل مركب.بل نرجو انتفهموا شيٸا فشيٸا ان شاٸﷲ
@suuahmed71
@suuahmed71 8 ай бұрын
Maa shaa ALLAH. Ustadh Said. MUNGU akuzidishie ilimu nnaafi3
@rjqaasam4587
@rjqaasam4587 9 ай бұрын
Wallwaahi umezungumza kwa uchache Laakin Elimu uliyoitoa ni kubwa saana Habeeb حفظك الله ورعاك
@KombHaji-dr5pd
@KombHaji-dr5pd 8 ай бұрын
sahihi kabsa jaxakallahw elim kumbe kias umwambie barabarani angie kwenye kiti
@mkubwamasoud2776
@mkubwamasoud2776 8 ай бұрын
Kwanza salam tu ameshaweka bida'a halafu mnajitapa kwenye batwil mko wengi sana
@user-hk1jy6rl5e
@user-hk1jy6rl5e 8 ай бұрын
Hayo tushayazoea leten mengine nasim ulotumia kuangalia haya mawaidha nayoo bidaa uitupe Yan bidaa unayoo halaf unamtukana mwenzio wahab nyinyi omben mungu awape ufaham wa elim.yan mpka mnatia kinyaa mlivyohamelewagi
@elmahestro6242
@elmahestro6242 8 ай бұрын
Mashallah Allah akujaze kila la kheri uzidi kuzindua watu kutoka kwa akili za kijahil
@davidruhasha9670
@davidruhasha9670 8 ай бұрын
Maulidi ni ibada ? Na kama ni ibada mfumo wake ulisahauliwa kwenye kurani na hadithi ? Acheni kuunganisha unganisha ili muhalalishe ni badaaa hiyo haipo katika dini😅😅😅😅
@AishahMuigu
@AishahMuigu 8 ай бұрын
إن كذبا علي ليس ككذب على أحد، من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار
@fahadbabuy
@fahadbabuy 9 ай бұрын
Simple mathematic😂😂😂MAULID HAIJATHIBITI MIONGO YOTE MITATU ALIYOSEMA MTUME (s.a.w) sasa we jichanganye ujifanye mjuwaji🔋😂
@samirharun7993
@samirharun7993 9 ай бұрын
we bado umelala jitaidi kasome elim ni bahari acha kubaki apo kama maji yalio tuwam na yakatoa harufu mbaya
@abubakaromar6101
@abubakaromar6101 9 ай бұрын
Wewe unayo Dalili kuwa Maulid hayakuthibiti alishindwa shekhe lako mpaka kajikojolea kitini
@suleymansalim5732
@suleymansalim5732 9 ай бұрын
​@@abubakaromar6101😂cheki huyu alivyo muongo mada ilikua ni kuthibit au. Alafu msiwe mnabebwa na propaganda unatak kusema shekhe aloshika kiti alishika mikojo? Haiingii akilin mkojo unajulikan tu na huwez shika mkojo ilhal wajua ni najsi na unashika kwa misingi ipi na unashika bado hujui km ni mkpjo au maji eti unajiuliza.....huo ni mtego kwa wewe mtazamaj ndo utaropoka mkojo lkn kitwndo cha Shekhe kushika huo si mkojo ungekua mkojo asingeshika tazam vzr
@elbattawy2864
@elbattawy2864 8 ай бұрын
Ile amri iliyotoka katika Quran kumsalia Mtume s.a.w je unaikubali? Je ni dhambi kujua Sira ya bwana mtume s.a.w? chakarika ulete fatwa hapa
@user-hk1jy6rl5e
@user-hk1jy6rl5e 8 ай бұрын
Yan kwasasa mawahab mtaisoma namba tu kadrii mnavyotukana ndo maulid yanasomwa zaaid mwaka huu mmetukana barazanji yamesomwa mpka milangon endelen kutukana yatasoma mpka misikitin kwenye
@user-mk7ts6ss9d
@user-mk7ts6ss9d 8 ай бұрын
Allah akuhifadhi us uzidi kuwaelimisha wasiolewa: na akulinde na macho yamahasidi
@ibrahimnoordin3420
@ibrahimnoordin3420 8 ай бұрын
Salute.. kwa hii bahri.. Allah akuzidishie ilm ust. Said.
@zainabusadi6469
@zainabusadi6469 8 ай бұрын
الله يحفظك يا شيخ سعيد ❤
@user-on1vh9nf9k
@user-on1vh9nf9k 8 ай бұрын
Mashallah Allah akuhifadhi na hasadi Inshaĺah
@elbattawy2864
@elbattawy2864 8 ай бұрын
bachu hawezi kukanyaga tena mombasa sheikh said yuko vizuri sana, Ivi kumbe bachu hajuwi fiqhi kwa kiwango hiki? sasa ndo naelewa madhaifu ya bachu yako katika taaluma
@infocontentchannel
@infocontentchannel 9 ай бұрын
Hafidhwakallah shaikh
@adamkilembwe.
@adamkilembwe. 9 ай бұрын
ماشاء الله
@AishahMuigu
@AishahMuigu 8 ай бұрын
Hii kheri ya maulid, aliijua ama hakuijua mtume swalallahu alayhi wasalam? Naam au la… na ukisema la ushaanguka kwenye msiba. Kama ndio, je alifundisha? Kama jibu ni ndio, nipe dalili… kama hakufundisha ushamtuhumu kwa khiyana …. Audhubillah! Allah aniweke mbali na kizazi changu na ushirikina na bidaa… na maulid.na atuongoze sote… na atujaalie aqeedah swahihi.
@abdallahhalifa5860
@abdallahhalifa5860 8 ай бұрын
Allah azidi kukubariki elimu Kijana waliokusomesha ni Wazi Allah Aliwatunuku
@salmaali7080
@salmaali7080 8 ай бұрын
Allah awahifadhi mashekh wetu inshaallah na awape umrr inshaallah
@khadijashee9105
@khadijashee9105 8 ай бұрын
Lazima wakusifu sababu tunajua tzn waongoza kwa usanii huyo said huku kwetu ni msanii
@travellertraveller4505
@travellertraveller4505 8 ай бұрын
Maashaallaah❤❤❤
@abdulkhalfan8586
@abdulkhalfan8586 9 ай бұрын
MAWAHABI UFAHAMU WAO NI MDOGO KAMA BACHU
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 9 ай бұрын
MARHABAN HABIIB KAMA HII HAIKATI SAUTI BC AHLAN WASAHLAN
@ahmadSeif860
@ahmadSeif860 8 ай бұрын
Maasha allah
@AliMuhammad-hs8ds
@AliMuhammad-hs8ds 8 ай бұрын
Hapa mawahabi hawaelewi kitu waeza pandisha marohani wakiskia maneno haya 😅😅
@maulidmaulid2106
@maulidmaulid2106 5 ай бұрын
maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...
@khalifaahmed5232
@khalifaahmed5232 8 ай бұрын
Asantaaaaaa Sanaa sheikh said walai kusoma Rahaaaaaa sanaaaaaaaa
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 8 ай бұрын
Bachu kiukweli na huyu mwamba ni mbingu na ardhi. Bachu ni mtoto mno kielimu na Shekh Said
@musakibwana4596
@musakibwana4596 8 ай бұрын
swadakta
@user-qm4qd8yk2x
@user-qm4qd8yk2x 8 ай бұрын
shekh said hayo maneno yote unayozungumza. kama shelh mohd bachu sio mkweli je baada ya kufariki mtume maswahaba wote pamoja na maimamu wanna walikosea kwa kutosoma maulid. kumbuka imam mmoja kati ya maimam wanne alisema mtu akiingia katika usufi asubuhi jioni keshakua mwendawazimu
@latifaayoub6126
@latifaayoub6126 8 ай бұрын
Somo na nusu ... حمياه .. daaah Allah akuhifadhi ustadh said .. watu wataka kufasiri vitabu kwa ilimu hizi zetu za vyumo jamaaa walotunga walikua waarabu jamaaa
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 8 ай бұрын
جزاك الله خيرا على هذا الموضوع
@cassim4027
@cassim4027 8 ай бұрын
Sisi wengine bado twataka kujua wanyama waliongea kuingia kwa mimba ya mtume????
@Yasminaslamaslam
@Yasminaslamaslam 3 ай бұрын
Kabisa
@saidmansoor8528
@saidmansoor8528 8 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akuhifadhi kijana chetu uzid kutupa elm
@abdurazaqiamisi1463
@abdurazaqiamisi1463 4 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wangu
@makamekombo-qy6dx
@makamekombo-qy6dx 8 ай бұрын
Maulidi muta yatetea kwa kujenga hoja zenu za kiali tuu lkn Hamto soma Aya Wala hadithi za Mtume swahihi kuonyesha kuwa Ni ibada poleni sana Tuna kusubirini kwa Allah kuhusu Ibadahiyo
@saidishekalaghe3496
@saidishekalaghe3496 8 ай бұрын
Hilo Darsa kubwa Sana Sheikh wangu, Kuna watu hawaelewi kabisaa wanatia wenzao uharami usiokuwa na mashiko, Kisa Kuswaliwa Mtume Muhammad ( s a w). Tupaze Sauti Kila Kona waislamu wapate kuelewa na hatimaye Maulidi Yasomwe Duniani Kote. InshaAllah!
@rmdhnhmz512
@rmdhnhmz512 8 ай бұрын
Allahumma aamin
@rushu1232
@rushu1232 8 ай бұрын
Mawahabi wachaneni uhasadi hamulazimishwi kabisa musome au muhudhurie maulid nasisi tunahuja zetu tuwacheni tutahukumiwa na Allah na amal zetu na nia zetu.
@abdulaisha4145
@abdulaisha4145 2 ай бұрын
Siku hizi kila sheikh ana wafwasi wake kama machester na arsenal... Subhana Allah
@user-iv3ou4qg4d
@user-iv3ou4qg4d 8 ай бұрын
Kweli alifanya kazi kubwa ya kumzulia Mtume S.A.W.
@user-ze8rk9ye6r
@user-ze8rk9ye6r 3 күн бұрын
porojo tupu za kikhurafi hamna kitu hapo lakini wenye mmezoe ngoma hizo mtashabikia bt umjud ipo siku tutasimamishwa mbele ya allah acheni mchezo na dini
@subirajuma5678
@subirajuma5678 8 ай бұрын
Hiyo lugha nyingi ya nahau ungetetea barnzanj kwa kuthibitisha hoja ya wanyama kuongea iliyojengwa na shk bachu
@abrahmanifarouckissa5662
@abrahmanifarouckissa5662 8 ай бұрын
Enyi masheh mungu anawanaa Mungu atuongoze
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 8 ай бұрын
Na pia naona Sheikh ajajuwa hasa maana ya neno bidaa!(BIDAA NI JAMBO LINALOLETWA NDANI YA DINI ASILOLILETA MTUME)sasa Maulidi kama mutasema ni sehemu ya ibada badi jibu utatowa wewe!
@user-ge1us8qv6x
@user-ge1us8qv6x 8 ай бұрын
Alimtetea Mtume kwenye hiyo bidaaa mnayo ifanya Kila mwaka iliyo anzishwa na Mashia Faatwimiyuun nanyi mka ibeba kwa kula mpunga
@MkindiRama-lp6hy
@MkindiRama-lp6hy 8 ай бұрын
Maashaalah ustadh said
@kingofshorts6824
@kingofshorts6824 8 ай бұрын
Mashalah sheikh wetu👑 🇰🇪
@dodokibbah3513
@dodokibbah3513 9 ай бұрын
Leo tunawafunzaa lugha kwanza,maashaAllah😊
@abdiabdu7179
@abdiabdu7179 8 ай бұрын
Kichwa hiki bachu hapa ame achwa mbali hata elewa kitu
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 9 ай бұрын
We shekh au mondi
@samirharun7993
@samirharun7993 9 ай бұрын
Acha zarau huelewi kinachosemwa apo? au ndowale wajinga wendo wazimu
@abubakaromar6101
@abubakaromar6101 9 ай бұрын
Wewe huwezi kumjua ni sheikh au mondi. Lkni kamuulize aliyekutana nae uso kwa uso mpaka kajikojolea kitini atakuambia ni nani
@slimanshaz7311
@slimanshaz7311 9 ай бұрын
Mpiga piano huyo
@abubakaromar6101
@abubakaromar6101 8 ай бұрын
Ajabu ni kuwa wewe na mashekhe wenu wote wakiwahabi hamumwingi kwa elimu afanya wengine wakojoa vitini 😂😂😂
@Amina-rr8ve
@Amina-rr8ve 8 ай бұрын
Wewe ndo sheikh
@Masouds21
@Masouds21 8 ай бұрын
Ogopa matapeli. Kiufupi waislamu tusomeni tuepuke kutapeliwa
@user-qb5ok6uy3i
@user-qb5ok6uy3i 8 ай бұрын
Mawahabi na majaahili sana wallah maulid ntasoma inshaallah mpaka naingia kaburini
@abdulykahera4273
@abdulykahera4273 8 ай бұрын
Kaa usome dini acha kusema maneno yako
@halimakassimngare4873
@halimakassimngare4873 8 ай бұрын
mche mola wako, ulete istighfar huo si ushahid nenda usome dini yako wacha kubabaishwa na fani za kiarabu, maswahaba wote hawqkusoma maulidi kama ingalikua ni dini, wangalifanya maswahaba wa mtume saw....wacha kubabaishwaa na watu wa elimu za shairii yale ambayo hayakua dini wakat ule katu hayawez kua dinii wakat , dini ilikamilika bila maulid wala khitmaa.
@ilyashamidi3811
@ilyashamidi3811 8 ай бұрын
Hakuna kitu hapa porojo tuu
@user-ch2zh8sd2u
@user-ch2zh8sd2u 8 ай бұрын
Mashaa allah
@Bombwejr18
@Bombwejr18 Ай бұрын
Ila akiongea hapa anajua kweli kweli twende kwenye hoja hakuna kinachojadiliwa ni mabishano kumsemea mtume uongo haifai jamn tufundishane haqi hakuna bidaa nzuri wala bidaa mbaya tu Yaani unamzushia mtume kitu ambacho hakikutokea halfu ukiite kizuri au mm ndo sielewi hii dini inavokwenda waislam Tuna mtihani mkubwa tutaingia motoni sisi makundi makundi kwa vitu tusivovizania😢😢
@user-yr5bo2pd4r
@user-yr5bo2pd4r 8 ай бұрын
allah akuifadhi mwalimu wangu❤❤❤
@user-ry1pe3tu5s
@user-ry1pe3tu5s 8 ай бұрын
Kilichoandikwa ndani ya maulidi ndio tunataka ajibiwe bachu, ,,zile hoja 19 zijibiwe kwanza, ,na pale Mombasa lile suala moja limekugandisha anaona kajibu kumbe bachu ndie alieshinda, ,,matwarika jibuni hoja za bachu kwanza, ,msipige porojo
@samtimbe2112
@samtimbe2112 8 ай бұрын
Sasa Kama ni hivyoo.....Mbona maswahaba wote hawakufanya maulid, maimam wanne wakubwa hawakufanyaa... Kwa nini...??
@user-ug8wh1hg6r
@user-ug8wh1hg6r Ай бұрын
Hebu kasome kwnz
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj Ай бұрын
Maswahaba walisoma kumsifu mtume s a w walimsifu na maulid kumsifu mtume s a w hata Allah kamsifu na malaika wake na wakimswalia ama waeza kutuambia maulid haifai toa hadithi sisi tutamsifu alafu ww kasome wahabi
@swalehmohammed3491
@swalehmohammed3491 8 ай бұрын
Acha mbwembwe nyingi tutapinga mpaka kufa madamu mtume na maswahaba na tabiin hawakusoma acheni kujifanya ati wajukuu wa mtume saw
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 8 ай бұрын
Kwanza hakuna ushahidi wowote kama Mtume amezaliwa mfunguo sita!na ikiwa kuna mtu ana ushahidi huo atuletee ili tufahsmu tusichokijuwa!
@user-ek3zk4bx5j
@user-ek3zk4bx5j 8 ай бұрын
Shukraan shekh.nime amini kweli wewe ni mwanazuoni.kuanzia leo sitokua na vita tena na maulid
@aymanmangube4092
@aymanmangube4092 8 ай бұрын
mwanawazuoni!?
@musakibwana4596
@musakibwana4596 8 ай бұрын
@@aymanmangube4092 acha wivu mtilie dua ustadh said. hata mashekhe wetu wainatwa wanazuoni na sio kumaanisha ndo wanazuo, hapo ndipo mawhabi munapo chemsha, kuchukua tafsiri za moja kwa moja...
@khalfanidriss8931
@khalfanidriss8931 8 ай бұрын
Mashalah Waa,Allah Yaalaamu
@nabiljumbe
@nabiljumbe 9 ай бұрын
Mashaallah
Upungufu wa ilmu ya Muhammad Bachu kwenye funga ya arafa
17:48
Maawy Muhammad
Рет қаралды 48 М.
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 6 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 8 МЛН
swali moja tu lamzuzua bachu na kukimbia maskini
2:40
MUFTI SHABAN. A. MUSA Mombasa Kenya
Рет қаралды 19 М.
KUMUHESHIMU MTUME (S.A.W) NI KUPI ? | USTADH SAID OMAR SHIRAZY
11:15
MUHAMMEDI BACHU KITANZINI NA USTADH SAIDI MAMBURUI MUNAKASHA BARZANJ
1:31:53
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 6 МЛН