Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan... KZbin: / @babdeomiladu
Пікірлер: 547
@selemaniselemani70148 ай бұрын
Huyu shekhe alinifurahisha sana siku ile kwakweli, allah amuongoze na sisi wote,! Amiin
@litimbaify8 ай бұрын
Jazaakallah khayran Bachu umewaweka watu bize na wewe, Allha akuzidishie zaid masufi hawalali na kusoma zaid lakin bado haijatoka hoja juu ya Barazanj na Kufur zilizopo, Sh Said mpaka ujibu hoja kwanza, Tunajua haujaanza wewe kutetea Maulid na haiishi, sis tumeshapita hayo itetee Marazanj kwanza!
@sudisalehe1928 ай бұрын
Hakuna kitu hapo
@hamisimwalimu7333Ай бұрын
Sheikh we hata huelewi
@hamisimwalimu7333Ай бұрын
Yani nyinyi mawahabi vita vyenu maulidi tu shida mawahabi hamjasoma wallah
@litimbaifyАй бұрын
@@hamisimwalimu7333 huna hoja bora upite tu si lazima na wewe ucoment kwa elimu gani ulokuwa nayo, usishangae hata juzuu Âma haujamaliza
@faisalyunus42839 ай бұрын
Mashaallah shekh said mungu akuzdishie ilmu na akuruzu fahamu uzidi kutuilimisha shukran
@hajikatanje59618 ай бұрын
Shekh sisi waislamu tunajuwa ulishindwa kuwaelimisha waumin wapenda maulidi nnabai ile siku ndio ilikuwa bora zaidi kwa yule mwenye kutaka kuelewa ila ni wazi maulidi ni bidaa kubwa tu maana huna hadithi wala ktk vitabu vya hadithi wala qur an hayapo shekh usituletee tafsiri ya nahau wakati nahau ni matumizi ya lugha tu
@saba-gv3mjАй бұрын
Sasa alishindwa kujibu bachu hadithi munkar haijui wanazuoni wasemaje kuhusu hadithi munkar bad badili kusema hajui asema hajaona alafu kitu chengine nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume tawhed tatu mumezitoa wapi mtume hajafundisha wala maswahaba hawazijui tawhed tatu hio hujaona kama bidaa
@hamisisalimu69089 ай бұрын
Mashallah shukran sana ustadh saidi, hiyo ilmu ulio itoa ni kubwa mno, mawahabi hawaja elewa chochote kamwe ndo wanazidi kupoteza maarifa
@abuurayaan39029 ай бұрын
Wajua maana ya Elimu wewe au ndio huo ushabiki???
@user-hx8bh1jt4k8 ай бұрын
@@abuurayaan3902 Mi nadhani ifike wakati Sasa tuitumie Ile Aya"Lakum Diinukum waliya Diin"Kwa sababu hamjataka kuketi na kuendelea kudadisi na kujifunza,bali mmevishwa misimamo ambayo hata hamjui athari yake.
@tahanyjaffar83218 ай бұрын
Ni sharti usome ndio uwe n ilmu sio mawahabi wako kama bendera hawasomiiiii wao wapinga tu
@abuurayaan39028 ай бұрын
@@tahanyjaffar8321 wewe Umeifadhi juzuu ngapi kwanza na kitabu Gani Cha Cha Hadithi Ulicho kihifadhi
@abuurayaan39028 ай бұрын
@@tahanyjaffar8321 Alafu naona umendandia tu Jubu swali unajua maana ya Elimu wewe kilugha na kisheria????
@AyoubAbdullrahmanAmir9 ай бұрын
Babdeo hii iko sawa kabisa maana ilikata kata mno...Allhamdullilah.....tumsif Mtume ...
@tahanyjaffar83218 ай бұрын
اللهم صل وسلم عليه
@rashidishak39919 ай бұрын
بارك الله فيك يا شيخ سعيد اطال الله عمرك ونفعناالله بك ❤❤❤❤
@saidishekalaghe34968 ай бұрын
Swadakta Sheikh wangu, Allah akupe Kila Lakheri, Afya Njema, na Umri Mrefu tuzidi kustafidi. Allahumma Aamiin.
@rmdhnhmz51217 күн бұрын
Aamin
@alhilaltvonline9 ай бұрын
Duh... Tuwache ushabiki, tuyasikilize vizuri haya maneno.. Ni Darasa nzito. Allah akuweke habyb na akufunguliye elimu zaidi na zaidi.
@yusufuzuberi98849 ай бұрын
Kwaiyo tunywe tembo au
@user-sm1ux6nj7b9 ай бұрын
@@yusufuzuberi9884ww kichwa chako cha panzi kavute bangi tu
@abdulhamidbakar24619 ай бұрын
@@yusufuzuberi9884ufaham mdogo rejea usikilze
@alhilaltvonline9 ай бұрын
Huwezi kumlazimisha mtu Kufahamu maana ufahamu pia ni rizki.
@yasiniselemani39179 ай бұрын
@@yusufuzuberi9884sikiliza vizuri halafu kuwa na ufahamu uache ushabiki kwenye dini hujui kaa mbele ya mwalimu ufundishwe
@user-jn4fb3mh9v9 ай бұрын
Mashannlha habibi hay ñi Matunda ya mwalim wa mwalim wangu sheighe Muhammad alibiz ,,shukuran aghii
@suleymansalim57328 ай бұрын
Kila siku inabidi kutetea maulid kila atae simama lkn bahat mbaya nikua kila anayesema Akimaliz anajikuta hajasem kitu haya mngeyajibu maswali ya Bachu mbele yake yote 19 . Kisha mkauliza sasa msingepata tabu lkn hii itawagharimu kila siku.mfano haitokei mtu kuteteA swala funga zaka n.k kwasababu nisahihi lkn hya maulid inabid uyatetee kila siku kwasababu ni uzushi
@elbattawy28648 ай бұрын
Ibada sio tu swala, kufunga na kutoa zaka, Ibada ni nyingi sana, kuhusu khadithi ambayo bachu huitumia kupinga maulid sheikh saidi amempeleka shule vya kutosha kuhusu kula bidaa dhalala wa kula dhalala fi nnar., rudia usikilize tena na tena, bachu hawezi kuona ndani hapo
@abubakarymaulidy56818 ай бұрын
Nenda kasome wewe acha ushabiki kwnye dini ya mungu unaona watu wanazungumza ukafikti wanayatoa tu hawana uhakika nayo
@SuleimanMakame-ex2eh8 ай бұрын
Swaddakta somo
@user-hk1jy6rl5e8 ай бұрын
Wahab nyinyi mtatseka sna mkiona vip kunywen sum mfee. Tu lakin kama Bado mpo maulid yatasoma mwapaka uchochoron kwen mpka mue mnakwepa njia
@user-ug8wh1hg6rАй бұрын
Sema WWE kitu ueleweke kwnz
@allyfundi64058 ай бұрын
Nimetosheka na huyu mtu wallah nilikua narudi rudi sana nyuma kwenye maulidi ila sasa kwenye maulid nitaenda kila mara
@safikapanga69898 ай бұрын
❤pqg
@alafasyquran98068 ай бұрын
som kijan acha kufuata mkumbo
@tahanyjaffar83218 ай бұрын
Masha Allah mkono kwa mkono hadi peponi
@user-xn5je7uv3e8 ай бұрын
endelea kupotea tu
@AbdallaMwagora-sm1rj8 ай бұрын
Mashaalah ostaz said jazakallahu kheir,nakushauri hutubazako uzungumze pole pole usiharakishe ukiharakisha tunashindwa kulewa tembo lachelewa kutulewesha ,wengine vichwa vyetu ni vizito,na tembo Kwa Tanzania ni pombe.tumefahamu jazakallahu kheir.
@user-gy8wl2jj5g8 ай бұрын
Maa Shaa Allaah Allah akuhifadhi akulinde na akuweke tuzidi kuilimika na kufaidika IN SHAA ALLAAH
@hassanmohamedabdalla41088 ай бұрын
يمضي الليل بلا قيام ويمر الاثنين والخميس بلا صيام ويفوتهم الفجر وهم نيام ويحتفلون بالمولد دون برهان ما هكذا كان يفعل خير الأنام
@user-xt6bb6lx2r18 күн бұрын
هذا كلامك أنت استحي من الله يا كذاب وإلا فهم يصومون ويقومون الليالي ويصلون فى المساجد مع الجماعة.... ويحتفلون بنبيهم سيدنا وحبيبنا ومولانا رسول الله صلى الله عليه وآله وصحبه وسلم.
@fadhilimusa97329 ай бұрын
Ukiona comment za kupinga niza mawahabi siajabu hata mtume walimpinga.al habiib saidi allah akujaze kheri nyingi wafikishie ujumbe elimu ya fani hawana japokua wanachukia
@AbuuAbdillah-hb8li9 ай бұрын
Wewe ndio upumbavu uliopandikizwa kichwani mwako kwamba mwenye kupinga maulidi kampinga mtume swalallahu aleihi wasallam soma dini ya ALLAH acha ujinga wa kuburuzwa
@fadhilimusa97328 ай бұрын
@@AbuuAbdillah-hb8li wewe ndio uache ujinga munaacha kukemea maovu uzinzi ulevi kutosali n.k mwatoa povu na maulid acheni ujinga someni dini ya Allah
@twayibshaykhmuhammad10348 ай бұрын
@@AbuuAbdillah-hb8li MASWAHABA NA MASALAF NA MASUUFI wame elewa yakuwa BIDAA ni mbili Sayidina OMAR asema نعمة البدعة BIDAA nzuri na IMAM SHAFII amezigawanya BIDAA nzuuri na mbaya SWALI kwa MAWAHABI ??? Je muna ILIMU kuwashinda hao ??? لا والله na je munamtegemeya nani katika MASWAHABA NA MASALAF yakwamba amekataa BIDAA kugawanwa ???
@subirajuma56788 ай бұрын
Mashia nao vipi sielewi mimi wanapinga maulidi au wanakubali
@tariquexplore8 ай бұрын
Muongo sana uyuuu😊
@user-ys1kb7zk6k9 ай бұрын
WALLAAHI ELIMU INARAHA SANA UKIISIKILIZA ALLAAH ALLAAH ALLAAH WALLAAHI TUSOME SANA NA ALLAAH ATUPE FAHAMU
@subirajuma56788 ай бұрын
Hizo hoja zako zote zilivunjwa kitambo na sheikh Kassim mafuta alipofanya mdahalo na kina sheikh dede na kazuba kule tz mpaka sheikh dede alitaka kulia jinsi Kassim mafuta alivyowabana sawa sawa.
@qaseemayoub67589 ай бұрын
Maa shaa Allah TabaarakaAllahu❤
@alisudiramadhan31519 ай бұрын
Shukran Akhii mungu akujaze kwa kurekebisha habari itawafikia
@abubakarymaulidy56818 ай бұрын
Sku zote nawaambia shkhe said anakitu cha ziada kapewa na mungu tuache hasadi tchukue elimu kwake
@swalehahmed65798 ай бұрын
Kabisa ndugu yangu @abubakarymaulidi5681 hawa mawahabi ni mahasidi na hawataki kufahamu Al Ustadh Muhammad Shariff said Al Beidh alisema kitambo hawa mawahabi hata kwambiya nini hawatakubali hata kama wao wajua wana makosa hii ni tabiya yao ndiyo ukaona wengi wao ilimu yao ni ndogo sana nawale wafuai wao wasojua kitu ndiyo ma mufti wakubwa mpaka kuna mmoja hapo asema tutangiya motoni pamoja na sheikh said yaani akusuduya watu wa maulidi Wallahi sijui ninani alowapa vibali vya kuingiza watu motoni yaani waingiliya kazi ya Allah je haya ndiyo mahaba wanayo dai wampenda mtu au ndiyo Sunna hiyo? Maana mtume hakuambiya watu wewe utaingiya motoni
@uwesundembo51478 ай бұрын
Hata elimu yakupiga Gita navinanda nayo nielim
@subirajuma56788 ай бұрын
Hapo sijaona barnzanj ikitetewa, bali naona hadithi inayokataza uzushi ikichambuliwa kilugha. Lakini uhongo ndani ya barnzanj wabakia pale pale kua uhongo.
@barzaqtradingcompany85418 ай бұрын
يذهب الصوفية للقبور متبركين بمن يزعمون أنهم أولياء ولكن الله تعالى يأمرنا أن نقول : قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ
@uthaymaanashshiraaziyy24138 ай бұрын
ماشاء الله جزاك الله خيرا وبعد خير جنة النعيم Allah akuhifadhi Shekhe letu tuzidi kuilimika متعك الله طول عمرك صلوا على سيدنا محمد
@saidimkwinzu91068 ай бұрын
Naona porojo TU hapa sjaona dalkli ya kutetea maulid Bado sana hamna hoja hapo Tetea kwanza barzanji wapi wanyama walizungumshana siku ya kuingia mimba ya mtume Swalla llaahu alayhi wasallama?
@Mariam99-ld4gw9 ай бұрын
Mara ya tatu hii video naangalia🤸♀️🤸♀️wewe kama humkubali. Saga. Chupa. Unywe ❤😂😂
@Amina-rr8ve8 ай бұрын
🎉🎉 mimi ndo naanza hapa😂
@jumamwarabu93078 ай бұрын
MAULIDI YATA ZIDI ::NA NYUMA HAYATA RUDI;;:WAUM IE MAWA HABI:::NA NYINGI ZAO LAWAM
@rashidishak39919 ай бұрын
Shukran babdeo tv❤❤
@RamadhaniMwandambo-fx9sb9 ай бұрын
Mashaallah, kuanzia Leo naanza kuhudhuria hadhara za maulidi , na nikipata uwezo ntasomesha nyumbani kwangu Kila mwaka mara Moja.
@rashidswalehmwanjama34049 ай бұрын
Masha Allah
@user-ys1kb7zk6k9 ай бұрын
صلى الله عليه وعلى آله وصحبه وسلم
@hemedhamdan9 ай бұрын
Hahahaha, yaani hii dunia ilko na vihoja. Allah atuongoze sote jamii Islaam, Aamiin🤲
@pavillioncry52419 ай бұрын
Na motoni utaingia na huyo bwana wako Endelea kufanya haramu
@i_gabbykisalo42809 ай бұрын
Masha'Allah...😂Allah akupe unachoitaji amiin
@subirajuma56788 ай бұрын
Nilipokua mtoto nilisikia sifa za mambrui kuwa na elimu mpaka nikatamani niende nikasome huko. Alhamdullillahi wazee wangu walinipeleka na nikapata nafasi pale al ghanahu ul islamiya kwa sheikh mohamad, na wakati huo sheikh alikua bado yuko hai mwenyezi mungu amrehemu. Basi nilifaidika sana chini ya sheikh. Mwaka wa 2002 kulikua na harakati za mijadala mingi sana baina ya sisi watu wa twariqa na mawahabi. Kulipamba moto sana mpaka nikawa najiuliza kwani mawahabi nikina nani mbona wanasumbua sana waislamu. Wakati mwingine sheikh mohamad alikua akija pale madrasah baada ya kutoka kwenye mdahalo, anaema sana kwa pressure huku akasema mawahabi leo wametusumbua sana ata kama walikuwa kwenye haki lakini hoja zetu zina nguvu kutubana wametubana. Kumbe mawahabi wako kwenye haki, mpaka leo ili swali najiuliza, na twariqa wanalijua hili kua mawahabi wako kwenye haki.
@thefoodshaikh8118 ай бұрын
Ni kweli Dadangu alienda manazilul abraar kwa ustadh abdulraheem mambrui. Watu wa sunnah wako kwenye haki siku zote. Hawa watu wa twariqa wanataka kutetea bid'aa wakitumia njia zote.
@ismailhashimu64678 ай бұрын
Allahu Akibaru ❤❤❤MashaaAllah
@barzaqtradingcompany85418 ай бұрын
وقد بين النبي صلى الله عليه وسلم لأقرب الناس إليه أنه لا يغني عنهم من الله شيئا، كما في الأحاديث الصحيحة ، ومن ذلك ما في الصحيحين أن أبا هريرة رضي الله عنه قال قام رسول الله صلى الله عليه وسلم حين أنزل الله عز وجل (وأنذرعشيرتك الأقربين) قال: " يا معشر قريش أو كلمة نحوها اشتروا أنفسكم لا أغني عنكم من الله شيئا . يا بني عبد مناف لا أغني عنكم من الله شيئا . يا عباس بن عبد المطلب لا أغني عنك من الله شيئا . ويا صفية عمة رسول الله لا أغني عنك من الله شيئا. ويا فاطمة بنت محمد سليني ما شئت من مالي لا أغني عنك من الله شيئا ". والحاصل أن المؤمن الموحد لا يسأل إلا الله، ولا يدعو غيره، ولا يطلب الشفاعة من الشافع في الدنيا، وإنما يسأل ربه أن يجعله أهلا للشفاعة، وأن يأذن للشافع حتى يشفع له .
@iddswalehomar13239 ай бұрын
Bacho sio wakuenda mamburui kufundishwa niwakumtafuta ustadh said amfundishe
@user-fy4op1sw2f9 ай бұрын
Swadakta 😂😂😂😂
@Maalim_Samatta9 ай бұрын
Hakika
@Ahmadasshii-raazy88889 ай бұрын
WALLAH umetufurahisha habiib BAARAKALLAHU FIIKUM
@rashidishak39919 ай бұрын
ما شاء الله تبارك الله
@Mariam99-ld4gw9 ай бұрын
❤❤❤❤Nakupend hadi naumwa 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
@user-rk8gk5xw4f9 ай бұрын
Shukrani sheikh wajazaka Allah khairah
@jumamukoko666221 күн бұрын
May Allah (SWT) protect you
@BriXGuru8 ай бұрын
Barakallah feek shekh Said
@barzaqtradingcompany85418 ай бұрын
نحن لا نلزم أحد بشيء وإنما ننصح ونبين السنة ونحذر من البدعة شاء من شاء وأبى من أبى فمن قَبِلَ فالحمد لله ومن عاند فأمره إلى الله "كل نفس بما كسبت رهينة" توحيد الله عقيدتنا....
@zahorokombo68818 ай бұрын
ما شاء الله كن حيث أنت 😊
@shilingi-Ahmadi8 ай бұрын
لا تجمجم
@ABUUMARYAMA8 ай бұрын
دع ما يريبك إلى ما لا يريبك
@ABUUMARYAMA8 ай бұрын
كلنا أمرنا إلى الله ،وكل مسلم توحيد الله عقيدته
@swahibually83498 ай бұрын
انت جاهل مركب.بل نرجو انتفهموا شيٸا فشيٸا ان شاٸﷲ
@suuahmed718 ай бұрын
Maa shaa ALLAH. Ustadh Said. MUNGU akuzidishie ilimu nnaafi3
@rjqaasam45879 ай бұрын
Wallwaahi umezungumza kwa uchache Laakin Elimu uliyoitoa ni kubwa saana Habeeb حفظك الله ورعاك
@KombHaji-dr5pd8 ай бұрын
sahihi kabsa jaxakallahw elim kumbe kias umwambie barabarani angie kwenye kiti
@mkubwamasoud27768 ай бұрын
Kwanza salam tu ameshaweka bida'a halafu mnajitapa kwenye batwil mko wengi sana
@user-hk1jy6rl5e8 ай бұрын
Hayo tushayazoea leten mengine nasim ulotumia kuangalia haya mawaidha nayoo bidaa uitupe Yan bidaa unayoo halaf unamtukana mwenzio wahab nyinyi omben mungu awape ufaham wa elim.yan mpka mnatia kinyaa mlivyohamelewagi
@elmahestro62428 ай бұрын
Mashallah Allah akujaze kila la kheri uzidi kuzindua watu kutoka kwa akili za kijahil
@davidruhasha96708 ай бұрын
Maulidi ni ibada ? Na kama ni ibada mfumo wake ulisahauliwa kwenye kurani na hadithi ? Acheni kuunganisha unganisha ili muhalalishe ni badaaa hiyo haipo katika dini😅😅😅😅
@AishahMuigu8 ай бұрын
إن كذبا علي ليس ككذب على أحد، من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار
@fahadbabuy9 ай бұрын
Simple mathematic😂😂😂MAULID HAIJATHIBITI MIONGO YOTE MITATU ALIYOSEMA MTUME (s.a.w) sasa we jichanganye ujifanye mjuwaji🔋😂
@samirharun79939 ай бұрын
we bado umelala jitaidi kasome elim ni bahari acha kubaki apo kama maji yalio tuwam na yakatoa harufu mbaya
@abubakaromar61019 ай бұрын
Wewe unayo Dalili kuwa Maulid hayakuthibiti alishindwa shekhe lako mpaka kajikojolea kitini
@suleymansalim57329 ай бұрын
@@abubakaromar6101😂cheki huyu alivyo muongo mada ilikua ni kuthibit au. Alafu msiwe mnabebwa na propaganda unatak kusema shekhe aloshika kiti alishika mikojo? Haiingii akilin mkojo unajulikan tu na huwez shika mkojo ilhal wajua ni najsi na unashika kwa misingi ipi na unashika bado hujui km ni mkpjo au maji eti unajiuliza.....huo ni mtego kwa wewe mtazamaj ndo utaropoka mkojo lkn kitwndo cha Shekhe kushika huo si mkojo ungekua mkojo asingeshika tazam vzr
@elbattawy28648 ай бұрын
Ile amri iliyotoka katika Quran kumsalia Mtume s.a.w je unaikubali? Je ni dhambi kujua Sira ya bwana mtume s.a.w? chakarika ulete fatwa hapa
@user-hk1jy6rl5e8 ай бұрын
Yan kwasasa mawahab mtaisoma namba tu kadrii mnavyotukana ndo maulid yanasomwa zaaid mwaka huu mmetukana barazanji yamesomwa mpka milangon endelen kutukana yatasoma mpka misikitin kwenye
@user-mk7ts6ss9d8 ай бұрын
Allah akuhifadhi us uzidi kuwaelimisha wasiolewa: na akulinde na macho yamahasidi
@ibrahimnoordin34208 ай бұрын
Salute.. kwa hii bahri.. Allah akuzidishie ilm ust. Said.
@zainabusadi64698 ай бұрын
الله يحفظك يا شيخ سعيد ❤
@user-on1vh9nf9k8 ай бұрын
Mashallah Allah akuhifadhi na hasadi Inshaĺah
@elbattawy28648 ай бұрын
bachu hawezi kukanyaga tena mombasa sheikh said yuko vizuri sana, Ivi kumbe bachu hajuwi fiqhi kwa kiwango hiki? sasa ndo naelewa madhaifu ya bachu yako katika taaluma
@infocontentchannel9 ай бұрын
Hafidhwakallah shaikh
@adamkilembwe.9 ай бұрын
ماشاء الله
@AishahMuigu8 ай бұрын
Hii kheri ya maulid, aliijua ama hakuijua mtume swalallahu alayhi wasalam? Naam au la… na ukisema la ushaanguka kwenye msiba. Kama ndio, je alifundisha? Kama jibu ni ndio, nipe dalili… kama hakufundisha ushamtuhumu kwa khiyana …. Audhubillah! Allah aniweke mbali na kizazi changu na ushirikina na bidaa… na maulid.na atuongoze sote… na atujaalie aqeedah swahihi.
@abdallahhalifa58608 ай бұрын
Allah azidi kukubariki elimu Kijana waliokusomesha ni Wazi Allah Aliwatunuku
@salmaali70808 ай бұрын
Allah awahifadhi mashekh wetu inshaallah na awape umrr inshaallah
@khadijashee91058 ай бұрын
Lazima wakusifu sababu tunajua tzn waongoza kwa usanii huyo said huku kwetu ni msanii
@travellertraveller45058 ай бұрын
Maashaallaah❤❤❤
@abdulkhalfan85869 ай бұрын
MAWAHABI UFAHAMU WAO NI MDOGO KAMA BACHU
@Ahmadasshii-raazy88889 ай бұрын
MARHABAN HABIIB KAMA HII HAIKATI SAUTI BC AHLAN WASAHLAN
@ahmadSeif8608 ай бұрын
Maasha allah
@AliMuhammad-hs8ds8 ай бұрын
Hapa mawahabi hawaelewi kitu waeza pandisha marohani wakiskia maneno haya 😅😅
@maulidmaulid21065 ай бұрын
maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...
@khalifaahmed52328 ай бұрын
Asantaaaaaa Sanaa sheikh said walai kusoma Rahaaaaaa sanaaaaaaaa
@saidkipalo44278 ай бұрын
Bachu kiukweli na huyu mwamba ni mbingu na ardhi. Bachu ni mtoto mno kielimu na Shekh Said
@musakibwana45968 ай бұрын
swadakta
@user-qm4qd8yk2x8 ай бұрын
shekh said hayo maneno yote unayozungumza. kama shelh mohd bachu sio mkweli je baada ya kufariki mtume maswahaba wote pamoja na maimamu wanna walikosea kwa kutosoma maulid. kumbuka imam mmoja kati ya maimam wanne alisema mtu akiingia katika usufi asubuhi jioni keshakua mwendawazimu
@latifaayoub61268 ай бұрын
Somo na nusu ... حمياه .. daaah Allah akuhifadhi ustadh said .. watu wataka kufasiri vitabu kwa ilimu hizi zetu za vyumo jamaaa walotunga walikua waarabu jamaaa
@athumanikhamisi33778 ай бұрын
جزاك الله خيرا على هذا الموضوع
@cassim40278 ай бұрын
Sisi wengine bado twataka kujua wanyama waliongea kuingia kwa mimba ya mtume????
@Yasminaslamaslam3 ай бұрын
Kabisa
@saidmansoor85288 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akuhifadhi kijana chetu uzid kutupa elm
@abdurazaqiamisi14634 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wangu
@makamekombo-qy6dx8 ай бұрын
Maulidi muta yatetea kwa kujenga hoja zenu za kiali tuu lkn Hamto soma Aya Wala hadithi za Mtume swahihi kuonyesha kuwa Ni ibada poleni sana Tuna kusubirini kwa Allah kuhusu Ibadahiyo
@saidishekalaghe34968 ай бұрын
Hilo Darsa kubwa Sana Sheikh wangu, Kuna watu hawaelewi kabisaa wanatia wenzao uharami usiokuwa na mashiko, Kisa Kuswaliwa Mtume Muhammad ( s a w). Tupaze Sauti Kila Kona waislamu wapate kuelewa na hatimaye Maulidi Yasomwe Duniani Kote. InshaAllah!
@rmdhnhmz5128 ай бұрын
Allahumma aamin
@rushu12328 ай бұрын
Mawahabi wachaneni uhasadi hamulazimishwi kabisa musome au muhudhurie maulid nasisi tunahuja zetu tuwacheni tutahukumiwa na Allah na amal zetu na nia zetu.
@abdulaisha41452 ай бұрын
Siku hizi kila sheikh ana wafwasi wake kama machester na arsenal... Subhana Allah
@user-iv3ou4qg4d8 ай бұрын
Kweli alifanya kazi kubwa ya kumzulia Mtume S.A.W.
@user-ze8rk9ye6r3 күн бұрын
porojo tupu za kikhurafi hamna kitu hapo lakini wenye mmezoe ngoma hizo mtashabikia bt umjud ipo siku tutasimamishwa mbele ya allah acheni mchezo na dini
@subirajuma56788 ай бұрын
Hiyo lugha nyingi ya nahau ungetetea barnzanj kwa kuthibitisha hoja ya wanyama kuongea iliyojengwa na shk bachu
@abrahmanifarouckissa56628 ай бұрын
Enyi masheh mungu anawanaa Mungu atuongoze
@AliSalim-yu4mo8 ай бұрын
Na pia naona Sheikh ajajuwa hasa maana ya neno bidaa!(BIDAA NI JAMBO LINALOLETWA NDANI YA DINI ASILOLILETA MTUME)sasa Maulidi kama mutasema ni sehemu ya ibada badi jibu utatowa wewe!
@user-ge1us8qv6x8 ай бұрын
Alimtetea Mtume kwenye hiyo bidaaa mnayo ifanya Kila mwaka iliyo anzishwa na Mashia Faatwimiyuun nanyi mka ibeba kwa kula mpunga
@MkindiRama-lp6hy8 ай бұрын
Maashaalah ustadh said
@kingofshorts68248 ай бұрын
Mashalah sheikh wetu👑 🇰🇪
@dodokibbah35139 ай бұрын
Leo tunawafunzaa lugha kwanza,maashaAllah😊
@abdiabdu71798 ай бұрын
Kichwa hiki bachu hapa ame achwa mbali hata elewa kitu
@pavillioncry52419 ай бұрын
We shekh au mondi
@samirharun79939 ай бұрын
Acha zarau huelewi kinachosemwa apo? au ndowale wajinga wendo wazimu
@abubakaromar61019 ай бұрын
Wewe huwezi kumjua ni sheikh au mondi. Lkni kamuulize aliyekutana nae uso kwa uso mpaka kajikojolea kitini atakuambia ni nani
@slimanshaz73119 ай бұрын
Mpiga piano huyo
@abubakaromar61018 ай бұрын
Ajabu ni kuwa wewe na mashekhe wenu wote wakiwahabi hamumwingi kwa elimu afanya wengine wakojoa vitini 😂😂😂
Mawahabi na majaahili sana wallah maulid ntasoma inshaallah mpaka naingia kaburini
@abdulykahera42738 ай бұрын
Kaa usome dini acha kusema maneno yako
@halimakassimngare48738 ай бұрын
mche mola wako, ulete istighfar huo si ushahid nenda usome dini yako wacha kubabaishwa na fani za kiarabu, maswahaba wote hawqkusoma maulidi kama ingalikua ni dini, wangalifanya maswahaba wa mtume saw....wacha kubabaishwaa na watu wa elimu za shairii yale ambayo hayakua dini wakat ule katu hayawez kua dinii wakat , dini ilikamilika bila maulid wala khitmaa.
@ilyashamidi38118 ай бұрын
Hakuna kitu hapa porojo tuu
@user-ch2zh8sd2u8 ай бұрын
Mashaa allah
@Bombwejr18Ай бұрын
Ila akiongea hapa anajua kweli kweli twende kwenye hoja hakuna kinachojadiliwa ni mabishano kumsemea mtume uongo haifai jamn tufundishane haqi hakuna bidaa nzuri wala bidaa mbaya tu Yaani unamzushia mtume kitu ambacho hakikutokea halfu ukiite kizuri au mm ndo sielewi hii dini inavokwenda waislam Tuna mtihani mkubwa tutaingia motoni sisi makundi makundi kwa vitu tusivovizania😢😢
@user-yr5bo2pd4r8 ай бұрын
allah akuifadhi mwalimu wangu❤❤❤
@user-ry1pe3tu5s8 ай бұрын
Kilichoandikwa ndani ya maulidi ndio tunataka ajibiwe bachu, ,,zile hoja 19 zijibiwe kwanza, ,na pale Mombasa lile suala moja limekugandisha anaona kajibu kumbe bachu ndie alieshinda, ,,matwarika jibuni hoja za bachu kwanza, ,msipige porojo
@samtimbe21128 ай бұрын
Sasa Kama ni hivyoo.....Mbona maswahaba wote hawakufanya maulid, maimam wanne wakubwa hawakufanyaa... Kwa nini...??
@user-ug8wh1hg6rАй бұрын
Hebu kasome kwnz
@saba-gv3mjАй бұрын
Maswahaba walisoma kumsifu mtume s a w walimsifu na maulid kumsifu mtume s a w hata Allah kamsifu na malaika wake na wakimswalia ama waeza kutuambia maulid haifai toa hadithi sisi tutamsifu alafu ww kasome wahabi
@swalehmohammed34918 ай бұрын
Acha mbwembwe nyingi tutapinga mpaka kufa madamu mtume na maswahaba na tabiin hawakusoma acheni kujifanya ati wajukuu wa mtume saw
@AliSalim-yu4mo8 ай бұрын
Kwanza hakuna ushahidi wowote kama Mtume amezaliwa mfunguo sita!na ikiwa kuna mtu ana ushahidi huo atuletee ili tufahsmu tusichokijuwa!
@user-ek3zk4bx5j8 ай бұрын
Shukraan shekh.nime amini kweli wewe ni mwanazuoni.kuanzia leo sitokua na vita tena na maulid
@aymanmangube40928 ай бұрын
mwanawazuoni!?
@musakibwana45968 ай бұрын
@@aymanmangube4092 acha wivu mtilie dua ustadh said. hata mashekhe wetu wainatwa wanazuoni na sio kumaanisha ndo wanazuo, hapo ndipo mawhabi munapo chemsha, kuchukua tafsiri za moja kwa moja...