Safi sana muhammad allah akubariki na amtie peponi baba ako
@hamidaawadh9024Ай бұрын
Aamiin
@babatidaawa6550Ай бұрын
Wa kwanza kulike nipeni zawadi zangu wadau Ma Shaa Allah nipo karibu Sana na hii chanal Ma Shaa Allah
@fatmasuleiman2710Ай бұрын
Sheikh okoa nafsi za watu ,watu wana masikio lkn hawssikii subhanaaAllah ,Allah akuhifadhi u r doing great job mashaaAllah.
@JK-um6opАй бұрын
جزاك الله خير الجزاء شيخنا الفاضل محمد باشو ونفع الله بك.
@SamhatPanduАй бұрын
❤Mashallah Allah azidi kukupa ilimu ili utuelimishe na uwafunze wenye kupotosha watu. Allah akulipe khery Dr Muhammad bachu. Yni Leo umetumia ilimu na hekma kubwa sana ktk majibu ulomjibu uyo sheikh Allah akuhifadhi❤
@HamisAbdallah-cj2scАй бұрын
Mimi KUANZIA Leo WATOTO WANGU hawataenda kwenye maulidi am a NDIO haya unayoyasema MTUME uwa anakuja kwenye maulidi !!! Sasa mbona hawayaweki bayana haya unayoyaaema.ALLAH ATUNUSURU.
@RamaNassryАй бұрын
YA'ANI WE MUHAMMAD BACHU UNAJUA{ALLAHUMA BAARIK ALAYHI}🤗🤗🤗
@ExcitedChefHat-ef5jtАй бұрын
Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad bachu Allah akuhifadh na akubariki sana. Ukweli mtupu ulio sema . Makhurafi hawana hoja bali bid'ah na ujuaji mwingi tu. Allah atuongoze na atuepushe na watu madhalim .
@ExcitedChefHat-ef5jtАй бұрын
Sio muhimu kuwafuata watu wa Makka wakati kuna tofauti katika muandamo wa mwezi mpya. Hii ndiyo mitazamo sahihi zaidi ya wanachuoni, kwamba kila nchi ina muandamo wake inapotokea tofauti kuhusu hilo.
@MamaYussufАй бұрын
A alykm hii n comment yng ya mwanzo, nmefurah sana kwa kuwazndua weng Allah akulinde na akulpe kila lakher
@hansimassirhassan8154Ай бұрын
Barakallahu fiikum sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi amiin
@JumaOmar-ku6crАй бұрын
Ustadh Bachoo tumezoea unapokosoa unaelekeza kurekebisha Maneno aliyosingiziwa au ufahamu wa shekh sasa tunaomba tupate faida kweli ibnutaimia kasema maneno aliyosema huyu Shekh ahsante
@dullahbatuf9223Ай бұрын
Mashallah nakuelewa sana umenizindua kwny mambo mengi wallah Allah(sw)akupe nguvu na afya njema ktk kuipigania dini yake
@amisafaraji5796Ай бұрын
Allahumma aamin 🤲
@IssaBachuMuhammadjr-rr3riАй бұрын
Dalili tosha ndio hio mashaAllah Mungu atuongoze pia wewe Bachu Nakupnda wallahi kwa ajili ya haqqi.
@Ibunmaulanashirazy-sn5uiАй бұрын
UNGESEMA YALE MANENO SIYAKE IBUN UTHAIMIN UMEMSINGIZIA KAMA NIYAKWELI BASI ACHA WATU WAFUATE
@user-fq6iw1pb7qАй бұрын
Safi sana muhammad allah akuhifadhi
@user-fe8rp5lt8nАй бұрын
Jamani huyu kijana anaonekana anauelewa mdogo maskini lakini ajiona amepatia kweli na inaonekana watu wengi wanaokomenti wako hivyohivyo shekh uthaimini kwahapa amezungumzia ibada ya hija kule maka yatekelezwa kwa kuzingatia mwezi wa maka ima fatwa ya funga ya arafa ameitanguliza
@ambarimwajuwa3870Ай бұрын
HAJAELEWA KWAMBA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI
@khadijaabdulrazak8008Ай бұрын
Sikiliza kwa roho ya ukunjufu tufaidike sote wapita njia
@Jumaa-rp5yeАй бұрын
ujinga ni mzigo
@zuberhamza7852Ай бұрын
Mtihani Nahwu ni kitu kingine Unatakiiwa utulize akili naona bachu anaongelea tofauti
@omarjuma3793Ай бұрын
Mpaka msemeeeee mpaka haqqi ijulikane
@user-qo8uj1ym4mАй бұрын
ALLAH ATUONGOZE KTK NJIA ILIYO ONGOKA AMEEN
@ajmographic-ur1ixАй бұрын
Amin
@abdallahhalifa5860Ай бұрын
Sheikh shukran sana Allah akubariki kwa kila Kheyr.Lkn Sheikh ningeomba kufahamishwa kitu cz mm c kusoma lkn kuna Mengine hayahitajii usomi.kuuliza Swali langu ni hilii Kabla hakujaingia Mitandao Mababu zetu waliifaidi Vipi hii Funga ya Arafaa kabla ya mitandao kuwepo chengine Fat'wa ya Said Hassan na yako zote zipo kwa hiyo Majmuul fatawa ya Sheikh Swaleh RahimahuLlahu Sasa tuelewe vipii huoni km huo ni mgonganoo Shukran sana
@DarlinKuchageАй бұрын
Allah akulipe Kila lakheri tuna stafid kutoka huku moshi kilima njaro
@Khalid-mf3iuАй бұрын
Tumewapa Uthmaan Maalim wakatupa Muhammad Bachu....watanzania hawajui walicho kipoteza
@amazing_ERAАй бұрын
Jazakumullahu kheir fii dunia Wal akhera
@swafiaismail-ji1opАй бұрын
Mashallah ya sheykh allah akuhifadhi akupe na umrii umma tufaidike mashallah baraka llahu fika
@ommarysaid7391Ай бұрын
Masha'Allah, Sheikh Muhammad Bachu Umetumia Elimu Yako Vizuri Kuelimisha Umat Muhammad 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@ramadhanyusuf2401Ай бұрын
Anaitwa mzee wa ufasaha like father like son
@abdulbandari1551Ай бұрын
Improved genes: more than the father.
@HusnaKomboАй бұрын
Hkn kiumbe fassha alkamalu lilah
@user-me2dj4jd1tАй бұрын
MashaAllah
@d15355Ай бұрын
@@abdulbandari1551 ndio mnavyojidanganya hivyo mawahabi?
@abdelazizmuombwa4714Ай бұрын
Twamuomba Allah akuzidishie Elimu ili nasi tuweze kustafid.
@tariksalim2659Ай бұрын
MashaAllah sheikh wetu,endelea kutuongoza kwa njia ya haki na Allah atakulipa kwa hili InshaAllah
@shuaibalula9003Ай бұрын
Mashaallah Allah amuhifadhi sheikh wetu
@fauznuhu9981Ай бұрын
Kijana wallah bado sana kweli afu tena aona anajuwa
@saidimkwinzu9106Ай бұрын
Wewe ndo Bado sana shehe zenu wanatumia sana uongo kama anamfatilia bin uthaymeen kwanin asione hayo maneno hapo kuhusu hija na ayanukuu tofaut na maneno yanayohusu ramadhan? Shehe bacho kumuomba vizur tu Kwa heshima kwamba akasome tena hiyo miatar Wala hamna tusi hapo
@abuuaidh6500Ай бұрын
Kijana huyu bado Sasa ww ulokuwa Tayari yapinge hayo kihoja.
Maa sha Allah! Shukran sana Sheikh Allah akulipe kheri na akuhifadhi daima.Aamin.
@salumtakao9828Ай бұрын
Mashallah .dhekh muhammad ww ni kiboko yao. Wabkishe ukaidi tu ila kauli zipo waz wazi hizo. Watu wa twarika waache ubishi na kupotosha
@fatmasuleiman2710Ай бұрын
Kiboko kabisaaa.
@swalehahmad8947Ай бұрын
DR ALI JUMUAH SIO MWANACHUONI WAKISHAFII NDIO MAANA HAKUTOWA FATWA KUTEGEMEA MADH'HAB YA AL IMAAM SHAAFI3YY KWA HIVYO HATUMTEGEMEI KATIKA SWAUM YA ARAFA HATA KAMA NI WETU WA TWARIQA ... SI NYINYI PIA MUMEMUWACHA MKONO IBNU UTHEYMIIN KATIKA MUANDAMO WA RAMADHANI !!!!! KIELEWEKE..
@YasminaslamaslamАй бұрын
Simba Mohamed Nassor Bacho,Allah akuzidishie ilmu na hekma na ubusara
@Mahli1995Ай бұрын
Ma shaa Allah Sheikh wtu Allah akuhifadhi akupe umri mrefu uzidi kutuongoza kwa njia ya sawa
@AshrafBunuАй бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@abuuaisha6110Ай бұрын
MashaAllah, jazaka Allahu kheira, umetoa faida kubwa
@timermedia3509Ай бұрын
Hapo ndo ujuwe pia uwahabi ni chombo cha kuwapeleka watu motoni. Kumbe ramadhani shekh wao kasema wafate kwenye mji walo kuwemo ndani ila wafuasi hawajiulizi wanakazi ya kuwatukana masufi mtachelewa sana minyoo ya saudia.
@user-py3cb3kx9pАй бұрын
الله يزيده الإخلاص والمتابعة ، بارك الله فيك يا شيخ
@twaibumikidadi7377Ай бұрын
Nmeamin kweli masuufi n masifa tu virembaa😢 vikuubwaaa uelewa ni punje ya mchele! Alaf masufi ni wavivu kusoma !!!
@binaamour318Ай бұрын
Huo ndio ushabik wko ulivofikia badala kujua kwamba suala hili Lina ihtilaf kauli nyingi unaanza kushtumu masufi ?
@mohagurey2214Ай бұрын
Hakuna ikhtilaf wowote ya suufi jaahil, utakosa fadhiila ya arafa na kukosesha ummah pia. Unajifurahisha na ikhtilaf na kupotosha watu@@binaamour318
@jamalijamali6820Ай бұрын
Acha kuwatetea masufi@@binaamour318
@swalehbakari2667Ай бұрын
😂😂😂 kabisa
@amisafaraji5796Ай бұрын
Unapotea ilihali ni muislamu. Badala ufatwe nyia sahihi unaleta ushabiki kweny dini
@SurprisedCurling-si9yrАй бұрын
Allah akuhifadhi sheikh nassor ... shukran
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
Wananukuu yale wanayotaka wao tuu ila ALLAH anawajua zaid nafsi zao
@AmiriRashidiMajinjiАй бұрын
A.alaykum sheikh bachu,ndg yangu pole sana,wote nyingi mnatngaza na kujifurahia makundi yenu tu(madhehebu)kama unavokariri bila haya ati wewe ni muwahabi!! Hebu tuirejee 22:78 kisha 3:103,105 na 30:32 halafu utufafanulie umeyaelewaje na ulinganishe na maneno yako uliyoyatamka ktk mada ya arafa,tafadhali tuifuate qurani ndg zanguni.
@yussufsule4793Ай бұрын
Alhamdu lillah kwa kuujua ukweli zamani tu na sina shaka na Arafa moja tu tena ipo makkah
@zuberhamza7852Ай бұрын
SHEKH BACHU NUKUU VIZUR ALOYASEMA SHEKH MIMI BINAFSI SJASKIA KAMA KASEMA ANAMFATILIA SANA ANAMSOMA SANA LAA KASEMA ALIPOENDA ARAFA KAKAA KWENYE DARSA YAKE MPAKA IKAMALIZA NA AKAENDA KUMSALMIA
@abdulmwakubambanya9091Ай бұрын
Barakh Allah Kher sheikh
@ramadhanyusuf2401Ай бұрын
Masufi hua wanaumia wakimskia bachu anawaharibia sahani zao za kulia wanashtuka sana bachu is here to stay Bi Idhnilaah
@user-uj2ym8ku8pАй бұрын
Sijawahi kucoment ila leo niseme2 حفظك الله
@user-je6qh6it5wАй бұрын
Kama waislamu wa sasa wanakoseswa kufunga arafa na masufi, hao waliofunga zamani vip wote waliipatia au dini inabadilika badilika kama kinyonga. naomba elimu katika hili.
@misbahukhalifa3216Ай бұрын
Ndugu yangu Bachuu kasome tena kasome tena kasome kumjibu Sheikh said Ali Hassan. Hata ukucha wake huupati.
@saidimkwinzu9106Ай бұрын
Nyie ndo vichwa mboga waambien mashehe zenu waache uongo huyo shehe wako katoa dalili kwenye kitabu Kwa kukata kata vipande mwambie asome maelezo kama alivonukuu Muhammad bacho mana kitabu ni hiko hiko😂
@saidimkwinzu9106Ай бұрын
Halafu video inavianza mwanzo tu inaanza na video ya shehe wenu wa kisufi mkubwa tu anaitwa shehe jumaaa anasema Arafat ni Moja siku wakisimama wahujaji na ramadhan watafuata Kila mtu mwez wao Sasa sheikh wenu Saidi na huyu sheikh jumaa mkubwa nan kielimu? Au hujaona hapo iyo video
@misbahukhalifa3216Ай бұрын
Sasa tuko kwenye maudhui ya Arafa umeruka kwenye Burdah. Al hamdulillah @@saidimkwinzu9106
@misbahukhalifa3216Ай бұрын
@@saidimkwinzu9106Ninge kujibu nanikutukane lakini Mtumi hatukani sawa sisi ni mboga lakini one day you will recover soon inshaAllah
@hadiyamohamed594Ай бұрын
Wewe na hio akili yako timamu unavyoona ni sawa arafaa jumapili kweli . Ulimwengu mzima wako makkah sasa basi watu wenge simama kila mmjoja na siku yake alivyotaka
@SalumNyumbaАй бұрын
Watu wa muridi (twariqa) wanaharibu dini ,Allah awaongoze ktk haq
@binbuhakhamis4336Ай бұрын
JAZAKALLAHU LKHAYRY
@DR.SAIFILLAH.5363Ай бұрын
WALLAHI BILLAHI TALLAHI KAMA MUTAMUANGALIA KWA UTULIVU SANA HUYU BACHU MUTAKUTIA NI MNAFIKI NA SURA YAKE NI YA KINAFIKI .
@HawwamajidyАй бұрын
Umejichanganya sana bachu Acha nikusaidie hyo fatwa ulotoa ww HAPO IBNI UTHAEMEEN ANAKATAZA MAKKA KUFUATA MIANDAMO YA NCHI NYENGINE YAAANI MAKKA ITAZAME TU MUANDAMO WA SAUDIA ILA SIO PENGINE leo bachu nimeona kumbe wasoma sana ila huelewi ulichosoma Na NDIO MAANA MAKKA HAWAFUATI MUANDAMO POPOTE DUNIANI
@bashirusalumbigapsana673Ай бұрын
Huo ndo ukweli
@mohamedlamimuАй бұрын
Halafu kwa makusudi baada tu ya kusoma hicho kipengele badala ya kutafakari kwa kina majibu ya sheikh Uthymin anakurupukia kwenye mada zingine, hii ni dalili ya mtu mdanganyifu!
@KhamisHaroub-uj5ciАй бұрын
Simba wa Allah ❤️❤️❤️ unajuwa mpaka unajuwa tena Allah akulinde
@salumhassanallymkurdistan7006Ай бұрын
IBADA YA ALLAH NI MIEZI MIANDAMO TU.
@user-dl1mg2qf4nАй бұрын
Binafsi Mungu ataenda kuniuliza kuwa kanipa ufahamu kutofauti zuri na baya , duniani kuna kukosea na kupatia,, binafsi Mambo ya Ki sunna hayawezi kunitoa kwenye mstari , Kuna Hijja na Kufunga ni ibada mbili tofauti, Alio Hijja hawafungi basi tunaofunga ni sisi tusio hijja😢 sasa sioni haja ya watu kuwa wakali kiasi hiki
@alwysalehmohamedalammary3507Ай бұрын
Mashallah Mashallah Allah akujalie afya njema na akupe elmu.
@user-ms3nz5iz7zАй бұрын
Wewe Bachu ndio hujaelewa hapo unatusaidia Sisi kumuelewa zaidi Shekhe Uthaimin
@LovelyBrain-wz7siАй бұрын
Wewe ndo hujaelewa arafa ni Moja duniani
@user-ms3nz5iz7zАй бұрын
@@LovelyBrain-wz7si sasa umeambiwa kuna wanofunga siku mbili?
@user-ms3nz5iz7zАй бұрын
Soma
@YarmanAljahhdiryАй бұрын
Shekh allah akuhifadhi ila unapozunguza jaribu kuwa nauwangalifu na unachokisema
@user-kc4fv6cf8lАй бұрын
Kwahiyo qarne 14 watu waliokuwa wakifunga kwa muandamo wao akiwemo mtume SAW ilikuwa saumu yao sio sahihi ?
@Nusrat_KhalifaАй бұрын
Hapo sasa…?! Manake social media haikuwepo wakati wa mtume alafu sheikh asema miji ya kiarabu ama?
@user-ye3fy9kk6rАй бұрын
Hao wanapewa udhuru,hukmu itazingatiwa baada ya kujua kila kinachoendelea hapo Makkah
@user-kc4fv6cf8lАй бұрын
@@user-ye3fy9kk6r Na mtume SAW alikuwa akifunga kwa muandamo wake kwahiyo na yeye apewa udhru ? Kisha hebu tuambie mtume alikuwa akifanya ibada za siku kumi za dhu alhija kabla ya kufaradhiwa hija , sasa alikuwa ikifanya kwa mujubu wa hija gani ?
@Athumaniomari-ge2gsАй бұрын
Maaashaaallah sheikh bachu Allah akuhifadhi kwkwel
@user-dl1mg2qf4nАй бұрын
Sasa duniani kuna mashekh wetu na mashekh wenu😢 Subhanalla, kumbe mnashindana kwa mashekh na sio dini yetu ya Uislam,
@isaack100Ай бұрын
Lakini bhachu weee ,ywezekanaje ukaona mwezi leo alfajiri,kesho asubuhi ipotee alafu bado jioni iandame tenaa Allahu akbar
@MariamAsudiАй бұрын
MashaAllah MashaAllah may Allah guide us all
@mohagurey2214Ай бұрын
Well said. Shukran
@takwatakwa-on3siАй бұрын
very wise answer from sh.Mohd Bachu to the khurafi said ali hassan.. Very sad they are trying to divert the truth but Allah has provided answer from a very young wise student of knowledge.. Subhana Allah said hassan will never have an answer for Bachu junior hafidhahu Allah.. Allah Akbar
@MaalimKhatibАй бұрын
Wallahi bachu huna hoja unaporoja tu hufai hata kusikilizwa habari ya maulidi inatokea wp hiyo mada ilikukokojoza na ukakimbia
@fatumajuma592Ай бұрын
Allah hapendi hivyo
@husseinislamicmediatv4376Ай бұрын
hauna adabu wewe wala hautomfikia bachu hadi utakapo ingizwa kaburini
@Bombwejr18Ай бұрын
Kazungumzia Arafa ilivyo halfu akagusia mambo Ya sheikh ibn uthaimin kaongelea mambo Ya akida mbona amuyafatilii kama sheikh anamfatilia sheikh mwenzie
@cheapunderage8228Ай бұрын
Acheni hujail nyinyi na chuki za kidin ktk madhheb
@user-rq3yj8vi8bАй бұрын
Shekh Muhammad bachu Allah akuhifadhi uzidi kuwelimisha umma
@MaryamRashid-yw1wxАй бұрын
Umejichanganya leo
@khamismussa6258Ай бұрын
Masha Allah
@MkindiRama-lp6hyАй бұрын
Mmmm nenda mambrui ukasome sasahiv dini imetekwa
@MkindiRama-lp6hyАй бұрын
Anasoma mwe nyewe hajui anachokisoma bachoo
@youngtomuller-vh2puАй бұрын
Bachu Allah ti abençoe ❤❤❤
@antoniousinbird9008Ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh
@k.kchakua1376Ай бұрын
Maa sha Allah Jazaqallahu khaira
@mfalmenajjash2128Ай бұрын
Mm nauliza kwan sisi tumeambiwa tufunge mwez tisa au tumeambiwa tufunge siku ya arafa jamani mbona tunazongana zongana kwani mtume anasemaje sheikh bachu Allah akuhifadhi pamoja nasi
@maktab3679Ай бұрын
Sasa basi tuambieni miaka 50 iliopita wakati wa babu zetu hakuna simu wala tv walijuaje watu kule wako arafa??? Jiulize hilo halafu zingatieni. Au walikua hawali eid? Au walikua hawafungi arafa??
@khalidmziwanda9024Ай бұрын
Hapo sasa tatizo watu hawataki kusoma wanafuata mihemko tu 😂
@JamalAli-tz6pjАй бұрын
Ndugu yangu bachu twataka elimu lkn jaribu kukaa nao huku mkijadiliana sio lamatangazo ni ww tuu na yy basii ndio tutaelimika
@cheapunderage8228Ай бұрын
Iv ww ni muelewa mmh au na ww unafuta mihemko..yy alisha sema km kwa shekh anae fikisha kwa njia ya media anafikishiwa kwa style hiyo hiyo kutokana na watu walisha potoka kwake
@user-pu2uw2ib5y23 күн бұрын
Huna elim Muhammad Bachoo na huku ukijifanya unajua na ukiwa na kibri king Muhammad Bachoo unanyanyua mzigo mzito rudi kwa mola wako na mapema tunakoenda ni kuzito kaka
@maktab3679Ай бұрын
Yaani bado hamujaona huyu kazi yake si kuendeleza ilimu bali nikupinga ma shekhe. Yaani akae tu kuskiza wengine awakosoe. Hii tabia c nzuri . Mungu atuongoze yaraby .
@sheikh_abdulkarimАй бұрын
Sasa mbona hapo sheikh bn ghuthaymin ajataja swaumu ya arafa hapo yeye kazungumzia mundamo na ibada ya hija unasoma na huku huoni
@bashirusalumbigapsana673Ай бұрын
Unaakili sana
@husseinbachwa8372Ай бұрын
Allah azidi kukupa Afya na faham Alhamdulillah...
@JUMAATHUMANI-zx3tuАй бұрын
Lete ingine hii bado hatujaielewa
@maktab3679Ай бұрын
Mtume saw asema mukiona miezi . Ahhilla ni miezi hilal ndo moja . Kwa nn katumia miezi.
@muhammadkhatwabАй бұрын
Huko juu si kuhusu ramadhani pekeyake, hukusoma swali ndiyo maana hukuelewa jibu Shekh utheymin amemjibu mtu ambae kwao tarehe iko tafauti akienda makkah atafuata makka Elewaaaa!
@nasoros.mgungo5502Ай бұрын
Kweli Hali Ni mbaya leo Masufi ndio wakutangulizwa mbele ya kina Fawzan na Masheikh was SaudiArabia.
@user-bu8mn1dv2yАй бұрын
Wataka kujikojolea tena
@sultanmohammed4157Ай бұрын
Mohamed Bachu hana ilimu yakotosha na hashimu mashekh wengine.
@mukhlisukamugisha9956Ай бұрын
🎉🎉🎉 Allah akuthibitishe shekh wetu
@sefuriyembe7864Ай бұрын
Tatizo ni ujinga !! Ukosefu wa elimu ya jiografia. Watu wanaposimama arafa pale saidia ni adhuhuri. Lakini wakati huo huo kule China ni wakati wa magharibi !! Dunia ni mviringo, tarehe hazifanani !!
@medimisi6930Ай бұрын
na ww kwenu na saudi mmpishana masaa mangp, hao waliotofautiana wamepata udhuru ww unaudhuru gn.
@Hamis-ks1syАй бұрын
@@medimisi6930 kuna watu wajinga sana umemuuliza swali zuri sana.
@allyjuma9669Ай бұрын
ماشاء لله بارك لله فيك
@user-tm2zk5gn4eАй бұрын
Uko vizuri ALLAAH akulipe kheri
@SalumNyumbaАй бұрын
Ostadh Bachu allah akuhifadh
@twahamkasi-gn1loАй бұрын
nakukubali Sana bachu
@jimjam-xg7rvАй бұрын
Kijana wa Bachu watu thihirishoia upungufu wa elimu yako
@Maresca368Ай бұрын
Shukran sana sheikh Bachu!
@gelamuyombo6783Ай бұрын
Kila mwama nyie ni watu wa mashaka juu ya ibada ya funga majibu mnayopewa na viongozi wenu huwa mnayatilia shaka
@amisafaraji5796Ай бұрын
@@gelamuyombo6783hatuyatilii shaka tunaekana sawa tu
@mkudeАй бұрын
Barakh allah kher sheikh
@ambarimwajuwa3870Ай бұрын
shaykh BACHU UMEKOSEA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI SOMA VIZURI
@bashirusalumbigapsana673Ай бұрын
Unaakili sana na uko makini🙏
@challengepcn7982Ай бұрын
Hiyo Sauti ambayo umekwa siwo sauti ya Sheikh. Imeweka sauté on top of the video -
@faridijuma6020Ай бұрын
Good job 👏
@swalehali3037Ай бұрын
Hii raddi imfikie shekh izzudin pia.
@suuahmed71Ай бұрын
Izudin hana haja kuskia hii coz izudin ni msomi. Na pia amemfuata huyo shekh wenu Sheikh Uthaimin. Nyinyi mwahabi hamujielewi. Pia ma sheikh wenu hamuwafuati
@abdullahmasakata170Ай бұрын
@@suuahmed71 Wanapingana wao kwa wao na mashekh kwa mashekh, yaani wao wanajiona ndio wasomi wakubwa na wenye elimu yakutegemewa na sio waislam wengine na ndio maana hata huyu shekh unaona kwenye video zake anajaza vitabu vingi ili watu wamuone ni msomi haswa, Hatukatai kulingania uislam kwa waislam na wasio waislam ila iwe kwa misingi ya uislam sahihi na mafundisho sahihi na sio mafundisho ya madhehebu yetu au itikadi zetu tunazinasibisha na uislam na kuwa aminisha watu na waislam kua ndio sahihi.
@HassanMorowaАй бұрын
sheikh izzudin ashatowa challenge kuhusu hii tafsiri aloitowa Bachu. Birrr angalia hap.kisha umjibu kzbin.info/www/bejne/bqO3d2ytatagaposi=omroVwAfZir_144S
@kitosioАй бұрын
Kwa Hili Ni 100% Kabisa. Halina Shaka yoyote yoyote. Kama hija inafanywa pia ktk mji wetu huu Ni Sawa. Lkn hakuna Hija ktk mji mwengine wowote isipokuwa mwaka. Haingii akilini Logically pengine popote. "Funga ya siku ya Arafa"