BAHATI BUKUKU: WIMBO DUNIA HAINA HURUMA NI HISTORIA YA KWELI/AELEZEA MUME WAKE ALIVYOKAGULIWA.

  Рет қаралды 102,470

TimesFMTZ

TimesFMTZ

Күн бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 48
@estheragapao
@estheragapao Жыл бұрын
Nataka mimbo ya bahati bukuku, Mungu amubariki sana 🙏🙏
@bernadetahonde9972
@bernadetahonde9972 2 жыл бұрын
Kazi Yako ni njema Mama barikiwa Sana Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi.
@lovenessibrahimu6730
@lovenessibrahimu6730 3 жыл бұрын
Uchungaji Mungu Akuite Ukijiita Utakimbia Barikiwa Sana Dadaa Watu Wanafikiri Ni Rahisi Mie Hata Umamaa Mchungaji Tu Siwezi
@williamgeorge150
@williamgeorge150 3 жыл бұрын
bahati toa nyimbo mama, we need you
@janemumbua7353
@janemumbua7353 2 жыл бұрын
Hongera sana mama bahati kama unacho kibali kingini na ukitumie usije onekana kama yule mtu alizika tarada yake badala ya kutumikisha...I like the song waraka WA amani it blesses me so much God bless you.
@edicekemunto7123
@edicekemunto7123 3 жыл бұрын
Mungu aendelee kukulinda,kukubariki na kukuneemesha AMINA
@deborasamweli8362
@deborasamweli8362 3 жыл бұрын
Mungu akuzidishie neema nyingi saana muchungaji ubarikiwe na mungu
@joycegesare1571
@joycegesare1571 3 жыл бұрын
Asante ushuda msuri , mungu akubariki sana kwa kutumia kalama yako
@nclaud.n9101
@nclaud.n9101 3 жыл бұрын
Natamani sana kujua #bahati_bukuku yuko wapi! Ninyi ambao mnamsogerea eti tunahamu ya zile dozi ao mtupe mitandao ambako tunaweza mfwata...
@quiholoafonsoluvumboluvumb5925
@quiholoafonsoluvumboluvumb5925 Жыл бұрын
Adoro esta senhora.
@joycekibona3058
@joycekibona3058 3 жыл бұрын
Mimi napenda sana wimbo wa waraka wa Amani MUNGU AKUBARIKI
@vickydan2869
@vickydan2869 2 жыл бұрын
Napenda nyimbo zako mama na zitaishi mpaka kiama
@christopheraine6446
@christopheraine6446 3 жыл бұрын
Jamani huyu dada ametumwa na Mungu
@ماربيلا-ب4ن
@ماربيلا-ب4ن 2 жыл бұрын
Haleluhya mungu ni mwema nikiwa saudia asante sana
@sharonmuhonja3532
@sharonmuhonja3532 Жыл бұрын
nampenda bahati Sana yani Sana
@sarahsalehe-zk6yu
@sarahsalehe-zk6yu Жыл бұрын
Mungu akupe Maisha marefu my dada
@eliyamwaipopo5873
@eliyamwaipopo5873 Жыл бұрын
Waimbaji wengi hawa aminiki ndoa zao zime vunjika awana ushu uda wao mbovo sana wakiongozwa natamaa zapesa pia wanao washabikia wana ufaham mdogo sana wa kimungu acha magugu nangano vimee pamoja
@florahemmanuel8323
@florahemmanuel8323 3 жыл бұрын
Umeongea point kabisa mwana wa Mungu Ni kweli ukiwa na kitu cha tofauti lazima kutakuwa na upinzani mkubwa Sana Ukiona hauna mashambulizi ujue hauna kitu kitakacholeta madhara
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 2 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa mtumishi wa Mungu.
@julianakavula8195
@julianakavula8195 2 жыл бұрын
I love your voice mama
@Semenimussa-i7x
@Semenimussa-i7x 5 ай бұрын
Nampenda sana
@esterfungo3105
@esterfungo3105 2 жыл бұрын
Hongera
@qrolymzava3965
@qrolymzava3965 2 жыл бұрын
Safi sana dada angu barikiwa sana
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 3 жыл бұрын
Haki wala✍️
@agnesslucas4744
@agnesslucas4744 2 жыл бұрын
Amina
@rachelsimbeye9637
@rachelsimbeye9637 2 жыл бұрын
Mungu akubariki mama
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Sauti yake naipenda sana vile ilivyo nzito ivyo ndo naipenda sana
@zachariadoro1073
@zachariadoro1073 2 жыл бұрын
Kesho ni fumbo ni storia ya kweli family ya mfikemo mbeya, Mimi sio mkazi wa mbeya Bali ni mfutiliaji na shabiki wako
@rizikiruwa7116
@rizikiruwa7116 2 жыл бұрын
Barikiwa dadangu
@priscardanier8264
@priscardanier8264 3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@LydieFAiDA-mo6mi
@LydieFAiDA-mo6mi Жыл бұрын
Bahati bukuku dunia haina uruma
@moisemuhindotayiswika5317
@moisemuhindotayiswika5317 Жыл бұрын
Bahati bukuku namupenda ila ombi langu ni atengeneze FILAMU ya WIMBO wa UMEWAZIDI WOTE
@GasperKissend
@GasperKissend 6 ай бұрын
Naomba kufaha mama yng bahati unawatoto wangp
@pimgee7237
@pimgee7237 3 жыл бұрын
Amen
@irangamariekulimushi1687
@irangamariekulimushi1687 3 жыл бұрын
Ushuhuda nzuri
@celinekanonge2829
@celinekanonge2829 Жыл бұрын
Nîmes wafata Lubumbashi
@alexraphael3177
@alexraphael3177 3 жыл бұрын
Mkifika wa 4 mniambie saw
@geoffreymwasaghua1721
@geoffreymwasaghua1721 Жыл бұрын
Mbona hukuombea ndoa yako dada?
@saladaniel9274
@saladaniel9274 3 жыл бұрын
Wa tano
@evodiaeverist8675
@evodiaeverist8675 3 жыл бұрын
Huuni mwisho wadunia kwasababu maandiko matakatifu yanasema nyakati zamwisho dini itakua nibiashala kamabiashala zingine
@mwatebelalugano8531
@mwatebelalugano8531 2 жыл бұрын
Kitabu gani hicho kinaeleza kuwa dini itakuwa biashara kama biashara zingene?
@zakayombangoissaya5697
@zakayombangoissaya5697 3 жыл бұрын
Wa pili
@jeanettemwakalonge7168
@jeanettemwakalonge7168 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Bahati bukuku nakupenda sana mama
@mamaommi5696
@mamaommi5696 2 жыл бұрын
Ninyakiti za mwisho wimbo huu barikiwa,na wimbo huu nininivkina wagombanisha aaaaaaa bahati barikiwa sana maam
@jennydanny2681
@jennydanny2681 2 жыл бұрын
Uko imara mno nimekuww nikifatilia
@MJ-ye7dd
@MJ-ye7dd 2 жыл бұрын
Sa mwataka mwimbaji afungue baa? hahaha Bahati
@berthamassawe1498
@berthamassawe1498 3 жыл бұрын
Wakwanza
Bahati Bukuku | Dunia Haina Huruma | Hit Gospel Video Song
13:21
Bahati Bukuku
Рет қаралды 14 МЛН
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
Двое играют | Наташа и Вова
Рет қаралды 1,6 МЛН
MAJIBU YA JENNIFER KUHUSU KUOLEWA
28:50
Jennifer Mgendi
Рет қаралды 164 М.
Maharusi walivyoshushwa na Bahati Bukuku na kuwaimbia Umawazidi wote
7:37
Majid Studio (Majid Studio Pro)
Рет қаралды 37 М.
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26