Kumbe bwana harusi ni Yanga basi ndoa itadumu hongera sana
@sitiabubakar28922 жыл бұрын
Aaah....😂😂😂
@Userog2542 жыл бұрын
Mbele ya pesa hata Mimi nakubali baada ya hapo ntaenda kubadilika nje🤣🤣🤣
@mcback43842 жыл бұрын
Hii nchi mtaniamisha kwa winchi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 😂😂😂😂😂
@josminimsigwa51462 жыл бұрын
Yanga utitili mpaka bib harusi 💚💚💚
@evaristkiiza19382 жыл бұрын
daaaaaah hili bonge la harusi
@walizanasiri49632 жыл бұрын
Yani baba levo 😂😂😂😂😂 umevamia shuuli bila kualikwa lakini ndo umetajwa sana nimecheka
@salomewandya72572 жыл бұрын
Dah huu wimbo una vibe sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@abdallahsuleimani74162 жыл бұрын
Ukisema Hali ni ngumu.kwa wezako wanachezea pesa !! Yaani haya maisha we acha tu?
@rosephidelis55262 жыл бұрын
😂😂 kweli tutafute hela
@deborapeter91882 жыл бұрын
Haswa pesa watu wanazoo
@hassanbokero76912 жыл бұрын
Afu hawajali
@salomewandya72572 жыл бұрын
Acha tu
@ladyt14712 жыл бұрын
Wana Yanga hatunaga stress 💛💚💛💚
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Saaana aiseee 💚💚💚💚💛💛💛
@lulually52092 жыл бұрын
Daah mapenzi bwana bwana harusi anaipenda yanga mpk kajisahau km yupo kwenye wedding lkn raha sana imependeza
@salomewandya72572 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣umeonaee
@minaelnathanael18462 жыл бұрын
Ahsante kijana huu ni mziki wetu wenyewe. Made in Tanzania 🇹🇿 . Tunasubiri Nigeria na amapiano nao waige tu
@salomewandya72572 жыл бұрын
Yaan hadi raha
@salomewandya72572 жыл бұрын
❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@sabrajob8469 Жыл бұрын
Mungu akujaharie kizazi chema nimimi sabra jobu Niko zanzbari I love Nandi mwaaaaaaaaaa
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Nime muona na sheikh masai akicheza kama Mayele 😂😂😂
@happydudahog21962 жыл бұрын
Bwana harusi atakuwa kashtua kidogo siyo kwa vaibu ilo😅😅😅
@mariumbonifasi72812 жыл бұрын
Baba revo😂😂😂😂😂👍👍👍👍👍umechangamsha sana
@salomewandya72572 жыл бұрын
Hahaha Baba levo jmn umejua kunogesha🔥🔥🔥🔥🔥
@zuriathabdallah94922 жыл бұрын
Wasanii wa kwanza kufunga ndoa
@lulually52092 жыл бұрын
Kwa upande wa bongo fleva ama km kwa hip hop wapo kina prof j mzee wa mitulinga
@zuriathabdallah94922 жыл бұрын
@@lulually5209 bongo fleva
@lulually52092 жыл бұрын
@@zuriathabdallah9492 ok
@minaelnathanael18462 жыл бұрын
Wapili. Lwiza Mburu na mumewe walifunga RC
@mashamasha28542 жыл бұрын
ᴛᴜɴᴅᴀ ᴍᴀɴ,ʜᴀᴍᴏɴɪsᴇ ᴋᴀᴡᴀʜɪ ɴᴀᴇ ᴋᴜᴏᴀ
@jamilahjamilah41572 жыл бұрын
Yani waa laah watanzania tunaiga Uzugu sasa biharusi hilo nivazi ngani mbele ya wazazi tena pande zote mbili
@fatmasaleh95162 жыл бұрын
Kakaa vibaya alitaka tulione tumbo ovyooo
@aishakimaro97582 жыл бұрын
Yaani usanii ukizidi sana mmh ameboa yaan hapo wazazi ndo wanaona aibu
@yassintaibrahim35412 жыл бұрын
Mtihani Kwa Kweli 🤔🤔🤔 Aibu Naona Mimi
@happynelson11802 жыл бұрын
Wakiwa na pesa wanavaa wanavyotaka sio wazazi na watu wanavyotaka wazazi walete maneno halafu wakale wapi chezea pesa wewe Rihanna alivaa kichupi mbele ya waandishi na dunia nzima wakaona wenye pesa wanadharau sana
@privadinhodomician66612 жыл бұрын
Usanii mwingi
@rosegodlove19562 жыл бұрын
Aaah weee nani hataki hela pesa ni kitu kingine kwan kuapa ni sh. ngap jaman ❤❤❤ aaah wooooteee wapi bwanaharusi 😂😂😂
@zenamsumeno73022 жыл бұрын
😂😂😂😂😂watu wanaluka singeli n suti
@salmamicky9632 жыл бұрын
Jamn kwan hela wenzangu wanatoaga wap za hivyo mmh 🤔 maana c kwa hali ii
@faithjonathan38452 жыл бұрын
Makabila anajua kuchangamsha👌👌
@tabukassim32922 жыл бұрын
Hongereni kwa harusi lakini kwa hilo vazi tena mbele ya wazazi mmmh hapana
@aminipangani142 жыл бұрын
Ni shida kipenz
@yassintaibrahim35412 жыл бұрын
Kwa Kweli Co Pouwa Yani
@Cheche_Boy2 жыл бұрын
😂 😂 😂 Daah Asee baba Leo kwel ni chawa
@ummylahlove34182 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣raha sana sipat pich walioudhuria wali enjoy kiac gan
@hushbtz33102 жыл бұрын
Ila baba levo ni chawa Kaingilia show ya dula daaaaaa 😂😂😂😂😂
@ashaali71542 жыл бұрын
Njaa inamsumbua anajiweka kila sehemu huyu mpuuzi babu levo.
@maliethabenson51562 жыл бұрын
Mim kanikela ani
@Veni5842 жыл бұрын
Yanga raha sana
@vyizigirorachel22412 жыл бұрын
Babalevo kapewa pesa akaepa 😀😀😀😀
@luluforever28592 жыл бұрын
Raha sana wooow
@officialbntrasool52232 жыл бұрын
Mmsai kaingia n shuka 🤣🤣🤣🤣
@ladymoretaboraprincess61902 жыл бұрын
Fire
@mukasaisaya32212 жыл бұрын
ichoo kirais ch yang kilivyo bebwa🤣🤣🤣🤣🤣
@salomewandya72572 жыл бұрын
Baba Levo kalewa jmn🤣🤣🤣🤣🤣
@calfocojabeer7612 жыл бұрын
Kwan uyu masai kaalikwa kweli🤷♂️🤷♂️ Nakama kaalikwa hizi dharau sisi Binadam hatujaalikwa alafu masai kaalikwa me Tanzania ntaama😇😇❤🇹🇿#jokes