Nandy amenikwaza hapo tu. Umeharibu mwishoni jamani.
@khadijaamour76542 жыл бұрын
Mtoto akiwa ana hela, hagombwi anakua kila kitu Yes
@happylynguya34642 жыл бұрын
@@khadijaamour7654 kwakweli.
@arleneilunga92022 жыл бұрын
Mtoto ni star
@halimakadzo53112 жыл бұрын
Waah wanapendeza
@tumaramadhani33812 жыл бұрын
Shangazi umetisha
@vailethsteven9212 жыл бұрын
Hongeren
@hawahabibu38812 жыл бұрын
Nandi Hadi aibu ulichovaa cjui ni ushamba wangu🙈
@gradnessshitindi36942 жыл бұрын
Yaaan duuuh 😭
@floranceluqman29512 жыл бұрын
@@gradnessshitindi3694 Hao waliomfunda siku zote hizo haya ndio matunda mwali kuja kukaa uchi mbele za wakwe zake na wazazi wake halafu kuna wasungo humu wanasema tunamwonea wivu bibi harusi khaaa wivu kwa kukaa uchi?
@floranceluqman29512 жыл бұрын
Uko sahihi huu sio uzungu Bali ni uzuzu huwezi mwonyesha babaako au babamkwe wako mtumbo namna hiyo.
@hawahabibu38812 жыл бұрын
@@floranceluqman2951 Yan aibu naona mm had nimeshindwa kuangalia had mwisho
@happylynguya34642 жыл бұрын
@@floranceluqman2951 kweli ni UZUZU, looooo
@VancerMusic Жыл бұрын
Mungu awabariki
@auntmakochela42022 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 uyo anaezunguka na gauni ya aunt jmn kweli kazi zina wenyewe
@fredrobnson45992 жыл бұрын
Yuko Makini 😂😂
@auntmakochela42022 жыл бұрын
@@fredrobnson4599 tena sana 🤣🤣🤣🤣
@ashurahaji47942 жыл бұрын
Shangazi nae alimpanga mtu
@emmykibwana89942 жыл бұрын
Nimecheka mpaka Basi
@judithkileo37032 жыл бұрын
😂😂😂😂Inabid nmimi niandike barua yakuomba kazi yakulishika gaun la aunt
@shazceo68532 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣.... Wenye hela sio wazaromo nimeamini💰💰✨
@shamsakiobia64212 жыл бұрын
Hii nguo ilikuwa kituko jamani mpaka aibu
@bettydavis5902 жыл бұрын
hakika mungu nimwema kwakila jambo
@GraceGasperGa3 ай бұрын
Kwa kilugha chetu tunasema anyweile😅
@shabanimsati53682 жыл бұрын
Watu usema , mtoto mpumbavu ni mzigo wa mamaye kweli mama nandy umeruusu mwanao avae hivy duuu hata kama ni usanii too much
@floranceluqman29512 жыл бұрын
Ukiona hivyo mama nae ndio wale wale.
@gladyssimkoko36262 жыл бұрын
usifananishe maisha yako naya watu
@mshangaemmanuel89642 жыл бұрын
We shaban hujui nandi ni 🌟 so usijifananishe nae ww hata hujulikan zaidi ya ndugu zako tu
@elizabethmarwa2 жыл бұрын
Me nawapenda
@emmykibwana89942 жыл бұрын
Ila mlinzi wa gauni kazi alikua anayo khaaaah😂😂😂😂😂
@henryondicho92492 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤦
@ZainaSaid-tr1he4 ай бұрын
Bilnaisi😅
@janethalbert26362 жыл бұрын
Mmmmh ikuw amekunyw kdogo🤣🤣🤣
@LovelyCamel-qr1dz2 ай бұрын
Anti sifa nyingi
@winifrdajames53492 жыл бұрын
Faim
@RabiyaJuma-qc4rr Жыл бұрын
Nandy upo uchi sana
@malikzafarani1722 жыл бұрын
Aunt heshima yako umetisha saana
@khadijaally93712 жыл бұрын
🙏🙏
@emmymatiku41112 жыл бұрын
Nimependa
@doriselipokea6519 ай бұрын
Uyoo ni mparee mapenee yotee ayaooo
@skayskay-9566 Жыл бұрын
Aunt katixha kinyama
@shamsakiobia64212 жыл бұрын
Gauni la shangazi mkono balaa
@froidamwakabaya79012 жыл бұрын
Hakika we ni mzuri
@vailetnkonoki71962 жыл бұрын
Kwenye nguo umeniacha hoi nandy
@happylynguya34642 жыл бұрын
We acha tu.
@ibrahimhhindo89072 жыл бұрын
Hiyo tumbo
@marygregory75662 жыл бұрын
Huyu sio shangazi huyu ni antie
@pendongowi35082 жыл бұрын
😄😄😄
@mohamedkauchote45742 жыл бұрын
Eshima pesa shikamoo makelele
@linetgechuki7182 жыл бұрын
Nadi..hiyo nguo gani sasa
@helenagabriel20722 жыл бұрын
Wametisha
@iddyraphael49852 жыл бұрын
Nandi
@zamaradmlwilo7472 жыл бұрын
Duuuuu hiiiiiii kali
@neemaneema99692 жыл бұрын
Huyo anaye linda Gauni la Shangaz kazi anayo anakula mshahara wa halali
@mosesjohn89222 жыл бұрын
Shikamooo pesa dume zima analinda gauni
@elizabethkisogole342 жыл бұрын
Nimecheka sanaaaaaaaa
@KhadijaKhadija-ee5kr2 жыл бұрын
@@mosesjohn8922 Inajua umenichekesha wewe 🤣🤣🤣
@beatricekilas66702 жыл бұрын
Walimwengu tutafuten hela Kwa kwel shangaz had gaun lina bodgard
@sadabahla71202 жыл бұрын
Daa😂😂kwakweli
@maryamconstantine22322 жыл бұрын
Mc ana haraka etiii,Bi harus wetu na nguo yake mwenyewe
@khadijakdj86402 жыл бұрын
Sasa watu mko kwenye vazi sikajichagulia mwenyewe
@edvinaselestine7122 жыл бұрын
Shangazi hawanaga hela huyo kweli 🐜
@mzalendowaasili17272 жыл бұрын
Shangazi 😅🤭🤭🤭🤭😅😅😅😅😅😅😅
@janethjohn70532 жыл бұрын
Hamsaidii maskini
@taisonawady74322 жыл бұрын
Pambana na hari yako
@angemelyeluvinga83852 жыл бұрын
Aunty yakee
@omavkksndbd30682 жыл бұрын
Sijapenda mabaunsa 😂😂😂shikamoo dollar
@mayroseclemence992 жыл бұрын
Sema machawa mmetuziba
@floranceluqman29512 жыл бұрын
Mwali aliefundwa masiku tele kaambulia kutukalia uchi mwisho wa Picha daah hivi babaako na babaamkweo wanaona jitumbo limechongoka wazi wazi makubwa haya.Sikuona sababu ya wewe kuvaa huo uharo uliovaa
@zalhayahya56582 жыл бұрын
SASA ANGEVAA VIZURI KAMA MWANZO TUNGELIONA HILO TUMBO LAKE JEUSI NAANATUONYESHA KUA ANAMIMBA 🤣🤣🤣 WENZIWE HUSHASAHAU HATA UCHUNGU TUNAWATOTO KESHOKUTWA TUNAITWA MAMAMKWE
@zalhayahya56582 жыл бұрын
Hii nguo utumbo🤣🤣
@beatricekadzo52152 жыл бұрын
Wivu unawasumbua
@floranceluqman29512 жыл бұрын
@@beatricekadzo5215 Wale wanaojua mana ya unyago wamenielewa sijui mwenzetu msungo kama utaambua kitu hapa mana hii ni kwaliofundwa tu na tunaojua kuchambia maji na sio tissues au wipes upo.
@beatricekadzo52152 жыл бұрын
@@floranceluqman2951 spo
@marywanjirumburu34822 жыл бұрын
Aunty si aunty
@musimwaesther62312 жыл бұрын
I just love the MC😂😂😂
@mkudesimbaoriginal20272 жыл бұрын
Wasije wakawa wanashuti Harusi Tu.
@belinamartini17682 жыл бұрын
Tena mmefanana
@ummycheedy28092 жыл бұрын
Billnaisi😂😂😂😂
@jacquilinenoah9492 жыл бұрын
nyieee🤣🤣
@mwajumakombo79452 жыл бұрын
Mashallah❤❤❤❤❤💋
@amenaameeena33172 жыл бұрын
Heshima pesa kweli kuna watu wamejaliwa pesa
@jowaness2 жыл бұрын
Make it rain baby 😩😩😩😩😩😩😩😩😩😩😩
@ashasimba87522 жыл бұрын
Hadith zakiswahili
@salmaalimusa68092 жыл бұрын
Ila anti kama alilewa hv
@RebeccaMosses Жыл бұрын
0:03
@shamayzawahir25082 жыл бұрын
Kwenye shangaz tumeshamtoa
@neemasetta82232 жыл бұрын
Nandy
@anifaally48162 жыл бұрын
Wa llah sio kwa nguo hiyo Nandi doh🤔🤔🤔
@bintik23112 жыл бұрын
Jamani mbona Nandy yupo uchi.haaaaa.hii Dunia vp jamani
@julianambilinyi33412 жыл бұрын
Moyo wake uko uchi andhihirisha maisha yake ya dhambi amevaa kisepe aibu.Mungu amkumbuke alikuja kuokoa wenye dhambi
@winifridaedson21972 жыл бұрын
Jaman kwan nandy ndo kaanza kuvaa uchi mnashangaa nn wakat kwenye video zake anavaa na wakwe wanamuona kwan hawajui
@queenandchill912 жыл бұрын
Nguo yake haina shida yoyote. Amevaa anavyopenda na anavyotaka yeye sio mnavyotaka nyie. Ni shughuli yake sio yenu. Keep judging sio shida zake.
@pilimusa32172 жыл бұрын
@@queenandchill91 kwa kikristo kuvaa vile sawa?
@maryammkono48632 жыл бұрын
Wanamzuiaaa😜😆
@kingnjaro49342 жыл бұрын
nimepe nda Sana nawatakia maisha marefu🙏
@felistanelson53732 жыл бұрын
Ndiyo ishakuwa hivyo munasosema namseme maana midomo nimali yenu nandy keshapata mme wake
@yohanasimion32172 жыл бұрын
Bilinas fala nae alidhidwaje kumzuia mkewe kuva nguo kama hiyo nand na bilinas ote hawajitambui ndomaana wameoana
@gladyssimkoko36262 жыл бұрын
🙌 uo wako umuadabishe wenzio washaoana oa wako umpe izo sheria zako unafikir kuvaa ad chin ndio adabu au chefu
Hakuna cha ajabu haapo video na mapcha ya u2pu Kla cku munaangalia Leo povu hlo gaun unafk Co mzur
@ndohoriomsacky4452 жыл бұрын
Alifundwa alivaa nguo za heshima Sasa unaagana na uko w baba yako unaenda kw mume mbele ya baba mbele y baba mkwe unawavalia uchi uchagani ukiolewa unavaa nguo z heshima mbele yao ukiwa n mme wako vaa unavyotaka hata ukiwa uchi uko n mmeo nawajua wachaga uwezi vaa hivyo ngoja tutaona ,
@happylynguya34642 жыл бұрын
Binafsi nimeshindwa hata la kusema.
@Mimi-wf7mb2 жыл бұрын
Kwani mchaga hapo ni nani mbona mwatuchanganya?
@mishwanwanmish88032 жыл бұрын
Kitovu kileeee
@farhatomar782 жыл бұрын
Hahaaaa
@anjelinakasembe8452 жыл бұрын
Huyo Nicaea mumsamehe bure Ana Depression huyo
@mosesjohn89222 жыл бұрын
Mlinzi wa gaun anamvua shangazi anampoga chabo kabisa
@jeskakijeka88652 жыл бұрын
Kumbe naww umeona Bora angetafta wakike😂😂😂
@marymtemahanji25712 жыл бұрын
Jamani mtu anaweza kunambia Jina la wimbo di 3:40 tafadhali
@godgrace23-wg52 жыл бұрын
Original ya Fally Ipupa
@Mimi-wf7mb2 жыл бұрын
Kwani Nandy hapo kavaa au kavua?
@yassintaibrahim35412 жыл бұрын
😂😂😂Vyote
@esteralan52412 жыл бұрын
Kavuaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@esteralan52412 жыл бұрын
Labda kitambaa kwa fund hakikutosha
@AMANI-iy5hr2 жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🙏
@sophialukonde92762 жыл бұрын
mungu wangu af hapa sna hata mia daah
@jumakibe50322 жыл бұрын
Cheni noumaaa🤣🤣🤣
@mwigakatumpula56952 жыл бұрын
Kwenye kumbukumbu zangu nakumbuka aliwahi kuulizwa swali msanii chid Benz kuhusu nandy juu ya swala la uvaaji nguo za utupu, na majibu ya chid Benz yalikuwa kama ifuatavyo; nikwamba nandy anapaswa awe ana vaa hivyo hivyo nguo za utupu sababu ndio sehemu ya kumuingizia kipato kwaiyo tumzoee tu maana hiyo lifestyle ndio imemfikisha pahala alipo sasa akisema a change dressing style lazima atapotea kwenye game 😃😄😄😃🙌
@shamsayahaya38882 жыл бұрын
Nenga anaweka mfukoni hataree hakipotei kitu
@mdqweqwe2512 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ndohoriomsacky4452 жыл бұрын
Walevi ni wachangiaji kuliko wasio kunywa
@fredrobnson45992 жыл бұрын
😂😂
@fatumasukwaju2262 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Hatariiii
@neemajoseph72962 жыл бұрын
Mc na mussa😂😂😂😂😂🤣
@amilianafi80212 жыл бұрын
Uwo ni ushamba nandi kwani ustaa mpaka kwenye harusi Tumbo wazi mapaja umeyaanika adi kwa wakwe zako daaa ila ngoja tuone
@benjaminjimali5992 жыл бұрын
Hahahaaa
@fidelismduda52622 жыл бұрын
Dogo silah
@fidelismduda52622 жыл бұрын
Alodi mgimwa
@fidelismduda52622 жыл бұрын
A
@tatumfaume5442 жыл бұрын
😂😂😂
@mariamsalim93112 жыл бұрын
Upumbavu tafuteni masikini mutowe sadaka huo watu wamejaa dhiki
@magrethmsuya55422 жыл бұрын
furahia ndoa yako nandy
@mariamsalim93112 жыл бұрын
@@magrethmsuya5542 hakuna alomkataza kufurahia ndoa yake madubu nyie
@queenandchill912 жыл бұрын
Makasiriko ya nini?😂 Kwani ni harusi yako hii. Ni pesa zako wametumia? Tafuta pesa uache kukasirikia shughuli za watu
@m.mmarckus62982 жыл бұрын
Punguza makasiriko ktk hii dunia tuna vitu vitatu kuzaliwa ndoa na nakufa inabidi unavyopata kitu km hicho ufurahie tu kwan walikuomba mchango
@mariamsalim93112 жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 nikasiirike kwani natowa pesa yangu ulokasirika ww mimi kusema pesa wangewapa maskin hizo pesa za kutunzwa sio za kufanyia harusi na sadaka inakukinga na kila balaa kama hujuwi wanatowa ma michango tele mwezi ndoa hamna tena someni dini musisikilize mijimbo tu mutakwenda kuchomwa
@khamsheria76722 жыл бұрын
Xx
@YunisiEngiribet-zp8nr Жыл бұрын
Hongeren
@mwigakatumpula56952 жыл бұрын
Kwenye kumbukumbu zangu nakumbuka aliwahi kuulizwa swali msanii chid Benz kuhusu nandy juu ya swala la uvaaji nguo za utupu, na majibu ya chid Benz yalikuwa kama ifuatavyo; nikwamba nandy anapaswa awe ana vaa hivyo hivyo nguo za utupu sababu ndio sehemu ya kumuingizia kipato kwaiyo tumzoee tu maana hiyo lifestyle ndio imemfikisha pahala alipo sasa akisema a change dressing style lazima atapotea kwenye game 😃😄😄😃🙌
@piliwankuru97892 жыл бұрын
Umeulizwa 😏😏😏au nyege
@mwigakatumpula56952 жыл бұрын
@@piliwankuru9789 limekushuka pole sana ila vumilia 😄😄😃🙆