SHANGAZI/AUNTY AMWAGA DOLLA KUFURU/ HARUSI YA NANDI

  Рет қаралды 363,920

NEWS UPDATES

NEWS UPDATES

Күн бұрын

Пікірлер: 196
@ridiaelias8042
@ridiaelias8042 2 жыл бұрын
Aunt umetisha sana hongera
@halimakilua7636
@halimakilua7636 2 жыл бұрын
Hongera dada mungu akuongoze katoka ndoa yako
@annastasiasebastian7967
@annastasiasebastian7967 2 жыл бұрын
Nguo ya nandy sijaipenda hata kidogo.
@laidayassmine319
@laidayassmine319 2 жыл бұрын
Jmn nguo ni nyingi dunia hii ngua ya biharusi🙄😀🤔🤔🤔🤔
@mwanaidisudi8965
@mwanaidisudi8965 2 ай бұрын
Helaaaa inaenda kwa wenyewe kumbee eeeeeeh 🤔😳❤❤❤❤❤❤❤
@AshaHamisi-jz5mk
@AshaHamisi-jz5mk Жыл бұрын
Mchungaji gn unafngsha ndoa na muolewa ana mimba si ungsbri ajfungue
@cosmasjohn5009
@cosmasjohn5009 2 жыл бұрын
Da hongela sana nandy umetish
@AnastaziaSebastian
@AnastaziaSebastian 6 ай бұрын
Nguo za hovyooo nandy
@borasolange630
@borasolange630 2 жыл бұрын
Shangazi 🍺 zikiisha kwenye kichwa asubuhi utajuta izo hela wallah
@KijaKija-r4l
@KijaKija-r4l 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Veni584
@Veni584 2 жыл бұрын
Shangazi umevaa vizuri, ukaacha mtoto akavaa kituko
@nahanakadiri3969
@nahanakadiri3969 2 жыл бұрын
Kituko unasema wewe!kituko unakijua wewe veronica?kwn ni lazma uongee shit asee
@happylynguya3464
@happylynguya3464 2 жыл бұрын
Nandy amenikwaza hapo tu. Umeharibu mwishoni jamani.
@khadijaamour7654
@khadijaamour7654 2 жыл бұрын
Mtoto akiwa ana hela, hagombwi anakua kila kitu Yes
@happylynguya3464
@happylynguya3464 2 жыл бұрын
@@khadijaamour7654 kwakweli.
@arleneilunga9202
@arleneilunga9202 2 жыл бұрын
Mtoto ni star
@halimakadzo5311
@halimakadzo5311 2 жыл бұрын
Waah wanapendeza
@tumaramadhani3381
@tumaramadhani3381 2 жыл бұрын
Shangazi umetisha
@vailethsteven921
@vailethsteven921 2 жыл бұрын
Hongeren
@hawahabibu3881
@hawahabibu3881 2 жыл бұрын
Nandi Hadi aibu ulichovaa cjui ni ushamba wangu🙈
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 2 жыл бұрын
Yaaan duuuh 😭
@floranceluqman2951
@floranceluqman2951 2 жыл бұрын
@@gradnessshitindi3694 Hao waliomfunda siku zote hizo haya ndio matunda mwali kuja kukaa uchi mbele za wakwe zake na wazazi wake halafu kuna wasungo humu wanasema tunamwonea wivu bibi harusi khaaa wivu kwa kukaa uchi?
@floranceluqman2951
@floranceluqman2951 2 жыл бұрын
Uko sahihi huu sio uzungu Bali ni uzuzu huwezi mwonyesha babaako au babamkwe wako mtumbo namna hiyo.
@hawahabibu3881
@hawahabibu3881 2 жыл бұрын
@@floranceluqman2951 Yan aibu naona mm had nimeshindwa kuangalia had mwisho
@happylynguya3464
@happylynguya3464 2 жыл бұрын
@@floranceluqman2951 kweli ni UZUZU, looooo
@VancerMusic
@VancerMusic Жыл бұрын
Mungu awabariki
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 uyo anaezunguka na gauni ya aunt jmn kweli kazi zina wenyewe
@fredrobnson4599
@fredrobnson4599 2 жыл бұрын
Yuko Makini 😂😂
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 2 жыл бұрын
@@fredrobnson4599 tena sana 🤣🤣🤣🤣
@ashurahaji4794
@ashurahaji4794 2 жыл бұрын
Shangazi nae alimpanga mtu
@emmykibwana8994
@emmykibwana8994 2 жыл бұрын
Nimecheka mpaka Basi
@judithkileo3703
@judithkileo3703 2 жыл бұрын
😂😂😂😂Inabid nmimi niandike barua yakuomba kazi yakulishika gaun la aunt
@shazceo6853
@shazceo6853 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣.... Wenye hela sio wazaromo nimeamini💰💰✨
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 2 жыл бұрын
Hii nguo ilikuwa kituko jamani mpaka aibu
@bettydavis590
@bettydavis590 2 жыл бұрын
hakika mungu nimwema kwakila jambo
@GraceGasperGa
@GraceGasperGa 3 ай бұрын
Kwa kilugha chetu tunasema anyweile😅
@shabanimsati5368
@shabanimsati5368 2 жыл бұрын
Watu usema , mtoto mpumbavu ni mzigo wa mamaye kweli mama nandy umeruusu mwanao avae hivy duuu hata kama ni usanii too much
@floranceluqman2951
@floranceluqman2951 2 жыл бұрын
Ukiona hivyo mama nae ndio wale wale.
@gladyssimkoko3626
@gladyssimkoko3626 2 жыл бұрын
usifananishe maisha yako naya watu
@mshangaemmanuel8964
@mshangaemmanuel8964 2 жыл бұрын
We shaban hujui nandi ni 🌟 so usijifananishe nae ww hata hujulikan zaidi ya ndugu zako tu
@elizabethmarwa
@elizabethmarwa 2 жыл бұрын
Me nawapenda
@emmykibwana8994
@emmykibwana8994 2 жыл бұрын
Ila mlinzi wa gauni kazi alikua anayo khaaaah😂😂😂😂😂
@henryondicho9249
@henryondicho9249 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤦
@ZainaSaid-tr1he
@ZainaSaid-tr1he 4 ай бұрын
Bilnaisi😅
@janethalbert2636
@janethalbert2636 2 жыл бұрын
Mmmmh ikuw amekunyw kdogo🤣🤣🤣
@LovelyCamel-qr1dz
@LovelyCamel-qr1dz 2 ай бұрын
Anti sifa nyingi
@winifrdajames5349
@winifrdajames5349 2 жыл бұрын
Faim
@RabiyaJuma-qc4rr
@RabiyaJuma-qc4rr Жыл бұрын
Nandy upo uchi sana
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 жыл бұрын
Aunt heshima yako umetisha saana
@khadijaally9371
@khadijaally9371 2 жыл бұрын
🙏🙏
@emmymatiku4111
@emmymatiku4111 2 жыл бұрын
Nimependa
@doriselipokea651
@doriselipokea651 9 ай бұрын
Uyoo ni mparee mapenee yotee ayaooo
@skayskay-9566
@skayskay-9566 Жыл бұрын
Aunt katixha kinyama
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 2 жыл бұрын
Gauni la shangazi mkono balaa
@froidamwakabaya7901
@froidamwakabaya7901 2 жыл бұрын
Hakika we ni mzuri
@vailetnkonoki7196
@vailetnkonoki7196 2 жыл бұрын
Kwenye nguo umeniacha hoi nandy
@happylynguya3464
@happylynguya3464 2 жыл бұрын
We acha tu.
@ibrahimhhindo8907
@ibrahimhhindo8907 2 жыл бұрын
Hiyo tumbo
@marygregory7566
@marygregory7566 2 жыл бұрын
Huyu sio shangazi huyu ni antie
@pendongowi3508
@pendongowi3508 2 жыл бұрын
😄😄😄
@mohamedkauchote4574
@mohamedkauchote4574 2 жыл бұрын
Eshima pesa shikamoo makelele
@linetgechuki718
@linetgechuki718 2 жыл бұрын
Nadi..hiyo nguo gani sasa
@helenagabriel2072
@helenagabriel2072 2 жыл бұрын
Wametisha
@iddyraphael4985
@iddyraphael4985 2 жыл бұрын
Nandi
@zamaradmlwilo747
@zamaradmlwilo747 2 жыл бұрын
Duuuuu hiiiiiii kali
@neemaneema9969
@neemaneema9969 2 жыл бұрын
Huyo anaye linda Gauni la Shangaz kazi anayo anakula mshahara wa halali
@mosesjohn8922
@mosesjohn8922 2 жыл бұрын
Shikamooo pesa dume zima analinda gauni
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 2 жыл бұрын
Nimecheka sanaaaaaaaa
@KhadijaKhadija-ee5kr
@KhadijaKhadija-ee5kr 2 жыл бұрын
@@mosesjohn8922 Inajua umenichekesha wewe 🤣🤣🤣
@beatricekilas6670
@beatricekilas6670 2 жыл бұрын
Walimwengu tutafuten hela Kwa kwel shangaz had gaun lina bodgard
@sadabahla7120
@sadabahla7120 2 жыл бұрын
Daa😂😂kwakweli
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 2 жыл бұрын
Mc ana haraka etiii,Bi harus wetu na nguo yake mwenyewe
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 2 жыл бұрын
Sasa watu mko kwenye vazi sikajichagulia mwenyewe
@edvinaselestine712
@edvinaselestine712 2 жыл бұрын
Shangazi hawanaga hela huyo kweli 🐜
@mzalendowaasili1727
@mzalendowaasili1727 2 жыл бұрын
Shangazi 😅🤭🤭🤭🤭😅😅😅😅😅😅😅
@janethjohn7053
@janethjohn7053 2 жыл бұрын
Hamsaidii maskini
@taisonawady7432
@taisonawady7432 2 жыл бұрын
Pambana na hari yako
@angemelyeluvinga8385
@angemelyeluvinga8385 2 жыл бұрын
Aunty yakee
@omavkksndbd3068
@omavkksndbd3068 2 жыл бұрын
Sijapenda mabaunsa 😂😂😂shikamoo dollar
@mayroseclemence99
@mayroseclemence99 2 жыл бұрын
Sema machawa mmetuziba
@floranceluqman2951
@floranceluqman2951 2 жыл бұрын
Mwali aliefundwa masiku tele kaambulia kutukalia uchi mwisho wa Picha daah hivi babaako na babaamkweo wanaona jitumbo limechongoka wazi wazi makubwa haya.Sikuona sababu ya wewe kuvaa huo uharo uliovaa
@zalhayahya5658
@zalhayahya5658 2 жыл бұрын
SASA ANGEVAA VIZURI KAMA MWANZO TUNGELIONA HILO TUMBO LAKE JEUSI NAANATUONYESHA KUA ANAMIMBA 🤣🤣🤣 WENZIWE HUSHASAHAU HATA UCHUNGU TUNAWATOTO KESHOKUTWA TUNAITWA MAMAMKWE
@zalhayahya5658
@zalhayahya5658 2 жыл бұрын
Hii nguo utumbo🤣🤣
@beatricekadzo5215
@beatricekadzo5215 2 жыл бұрын
Wivu unawasumbua
@floranceluqman2951
@floranceluqman2951 2 жыл бұрын
@@beatricekadzo5215 Wale wanaojua mana ya unyago wamenielewa sijui mwenzetu msungo kama utaambua kitu hapa mana hii ni kwaliofundwa tu na tunaojua kuchambia maji na sio tissues au wipes upo.
@beatricekadzo5215
@beatricekadzo5215 2 жыл бұрын
@@floranceluqman2951 spo
@marywanjirumburu3482
@marywanjirumburu3482 2 жыл бұрын
Aunty si aunty
@musimwaesther6231
@musimwaesther6231 2 жыл бұрын
I just love the MC😂😂😂
@mkudesimbaoriginal2027
@mkudesimbaoriginal2027 2 жыл бұрын
Wasije wakawa wanashuti Harusi Tu.
@belinamartini1768
@belinamartini1768 2 жыл бұрын
Tena mmefanana
@ummycheedy2809
@ummycheedy2809 2 жыл бұрын
Billnaisi😂😂😂😂
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 2 жыл бұрын
nyieee🤣🤣
@mwajumakombo7945
@mwajumakombo7945 2 жыл бұрын
Mashallah❤❤❤❤❤💋
@amenaameeena3317
@amenaameeena3317 2 жыл бұрын
Heshima pesa kweli kuna watu wamejaliwa pesa
@jowaness
@jowaness 2 жыл бұрын
Make it rain baby 😩😩😩😩😩😩😩😩😩😩😩
@ashasimba8752
@ashasimba8752 2 жыл бұрын
Hadith zakiswahili
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 жыл бұрын
Ila anti kama alilewa hv
@RebeccaMosses
@RebeccaMosses Жыл бұрын
0:03
@shamayzawahir2508
@shamayzawahir2508 2 жыл бұрын
Kwenye shangaz tumeshamtoa
@neemasetta8223
@neemasetta8223 2 жыл бұрын
Nandy
@anifaally4816
@anifaally4816 2 жыл бұрын
Wa llah sio kwa nguo hiyo Nandi doh🤔🤔🤔
@bintik2311
@bintik2311 2 жыл бұрын
Jamani mbona Nandy yupo uchi.haaaaa.hii Dunia vp jamani
@julianambilinyi3341
@julianambilinyi3341 2 жыл бұрын
Moyo wake uko uchi andhihirisha maisha yake ya dhambi amevaa kisepe aibu.Mungu amkumbuke alikuja kuokoa wenye dhambi
@winifridaedson2197
@winifridaedson2197 2 жыл бұрын
Jaman kwan nandy ndo kaanza kuvaa uchi mnashangaa nn wakat kwenye video zake anavaa na wakwe wanamuona kwan hawajui
@queenandchill91
@queenandchill91 2 жыл бұрын
Nguo yake haina shida yoyote. Amevaa anavyopenda na anavyotaka yeye sio mnavyotaka nyie. Ni shughuli yake sio yenu. Keep judging sio shida zake.
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 жыл бұрын
@@queenandchill91 kwa kikristo kuvaa vile sawa?
@maryammkono4863
@maryammkono4863 2 жыл бұрын
Wanamzuiaaa😜😆
@kingnjaro4934
@kingnjaro4934 2 жыл бұрын
nimepe nda Sana nawatakia maisha marefu🙏
@felistanelson5373
@felistanelson5373 2 жыл бұрын
Ndiyo ishakuwa hivyo munasosema namseme maana midomo nimali yenu nandy keshapata mme wake
@yohanasimion3217
@yohanasimion3217 2 жыл бұрын
Bilinas fala nae alidhidwaje kumzuia mkewe kuva nguo kama hiyo nand na bilinas ote hawajitambui ndomaana wameoana
@gladyssimkoko3626
@gladyssimkoko3626 2 жыл бұрын
🙌 uo wako umuadabishe wenzio washaoana oa wako umpe izo sheria zako unafikir kuvaa ad chin ndio adabu au chefu
@mcimotors3292
@mcimotors3292 2 жыл бұрын
Unajua cha mimba?
@sweetie8861
@sweetie8861 2 жыл бұрын
Shangaziiiiiii
@mariamnahodha2390
@mariamnahodha2390 2 жыл бұрын
Mshikia gauni jamani
@beatricefredilick1646
@beatricefredilick1646 2 жыл бұрын
Wapi uwoya
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 2 жыл бұрын
Mimi nasubiri arus yake
@ernestdingo8307
@ernestdingo8307 2 жыл бұрын
Aunt alikua ameshashutua kinywaji Nini?🤣🤣 Kwann nilikosa
@fatumajumanne5961
@fatumajumanne5961 2 жыл бұрын
Hakuna cha ajabu haapo video na mapcha ya u2pu Kla cku munaangalia Leo povu hlo gaun unafk Co mzur
@ndohoriomsacky445
@ndohoriomsacky445 2 жыл бұрын
Alifundwa alivaa nguo za heshima Sasa unaagana na uko w baba yako unaenda kw mume mbele ya baba mbele y baba mkwe unawavalia uchi uchagani ukiolewa unavaa nguo z heshima mbele yao ukiwa n mme wako vaa unavyotaka hata ukiwa uchi uko n mmeo nawajua wachaga uwezi vaa hivyo ngoja tutaona ,
@happylynguya3464
@happylynguya3464 2 жыл бұрын
Binafsi nimeshindwa hata la kusema.
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 2 жыл бұрын
Kwani mchaga hapo ni nani mbona mwatuchanganya?
@mishwanwanmish8803
@mishwanwanmish8803 2 жыл бұрын
Kitovu kileeee
@farhatomar78
@farhatomar78 2 жыл бұрын
Hahaaaa
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 2 жыл бұрын
Huyo Nicaea mumsamehe bure Ana Depression huyo
@mosesjohn8922
@mosesjohn8922 2 жыл бұрын
Mlinzi wa gaun anamvua shangazi anampoga chabo kabisa
@jeskakijeka8865
@jeskakijeka8865 2 жыл бұрын
Kumbe naww umeona Bora angetafta wakike😂😂😂
@marymtemahanji2571
@marymtemahanji2571 2 жыл бұрын
Jamani mtu anaweza kunambia Jina la wimbo di 3:40 tafadhali
@godgrace23-wg5
@godgrace23-wg5 2 жыл бұрын
Original ya Fally Ipupa
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 2 жыл бұрын
Kwani Nandy hapo kavaa au kavua?
@yassintaibrahim3541
@yassintaibrahim3541 2 жыл бұрын
😂😂😂Vyote
@esteralan5241
@esteralan5241 2 жыл бұрын
Kavuaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@esteralan5241
@esteralan5241 2 жыл бұрын
Labda kitambaa kwa fund hakikutosha
@AMANI-iy5hr
@AMANI-iy5hr 2 жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🙏
@sophialukonde9276
@sophialukonde9276 2 жыл бұрын
mungu wangu af hapa sna hata mia daah
@jumakibe5032
@jumakibe5032 2 жыл бұрын
Cheni noumaaa🤣🤣🤣
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 2 жыл бұрын
Kwenye kumbukumbu zangu nakumbuka aliwahi kuulizwa swali msanii chid Benz kuhusu nandy juu ya swala la uvaaji nguo za utupu, na majibu ya chid Benz yalikuwa kama ifuatavyo; nikwamba nandy anapaswa awe ana vaa hivyo hivyo nguo za utupu sababu ndio sehemu ya kumuingizia kipato kwaiyo tumzoee tu maana hiyo lifestyle ndio imemfikisha pahala alipo sasa akisema a change dressing style lazima atapotea kwenye game 😃😄😄😃🙌
@shamsayahaya3888
@shamsayahaya3888 2 жыл бұрын
Nenga anaweka mfukoni hataree hakipotei kitu
@mdqweqwe251
@mdqweqwe251 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ndohoriomsacky445
@ndohoriomsacky445 2 жыл бұрын
Walevi ni wachangiaji kuliko wasio kunywa
@fredrobnson4599
@fredrobnson4599 2 жыл бұрын
😂😂
@fatumasukwaju226
@fatumasukwaju226 2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Hatariiii
@neemajoseph7296
@neemajoseph7296 2 жыл бұрын
Mc na mussa😂😂😂😂😂🤣
@amilianafi8021
@amilianafi8021 2 жыл бұрын
Uwo ni ushamba nandi kwani ustaa mpaka kwenye harusi Tumbo wazi mapaja umeyaanika adi kwa wakwe zako daaa ila ngoja tuone
@benjaminjimali599
@benjaminjimali599 2 жыл бұрын
Hahahaaa
@fidelismduda5262
@fidelismduda5262 2 жыл бұрын
Dogo silah
@fidelismduda5262
@fidelismduda5262 2 жыл бұрын
Alodi mgimwa
@fidelismduda5262
@fidelismduda5262 2 жыл бұрын
A
@tatumfaume544
@tatumfaume544 2 жыл бұрын
😂😂😂
@mariamsalim9311
@mariamsalim9311 2 жыл бұрын
Upumbavu tafuteni masikini mutowe sadaka huo watu wamejaa dhiki
@magrethmsuya5542
@magrethmsuya5542 2 жыл бұрын
furahia ndoa yako nandy
@mariamsalim9311
@mariamsalim9311 2 жыл бұрын
@@magrethmsuya5542 hakuna alomkataza kufurahia ndoa yake madubu nyie
@queenandchill91
@queenandchill91 2 жыл бұрын
Makasiriko ya nini?😂 Kwani ni harusi yako hii. Ni pesa zako wametumia? Tafuta pesa uache kukasirikia shughuli za watu
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 жыл бұрын
Punguza makasiriko ktk hii dunia tuna vitu vitatu kuzaliwa ndoa na nakufa inabidi unavyopata kitu km hicho ufurahie tu kwan walikuomba mchango
@mariamsalim9311
@mariamsalim9311 2 жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 nikasiirike kwani natowa pesa yangu ulokasirika ww mimi kusema pesa wangewapa maskin hizo pesa za kutunzwa sio za kufanyia harusi na sadaka inakukinga na kila balaa kama hujuwi wanatowa ma michango tele mwezi ndoa hamna tena someni dini musisikilize mijimbo tu mutakwenda kuchomwa
@khamsheria7672
@khamsheria7672 2 жыл бұрын
Xx
@YunisiEngiribet-zp8nr
@YunisiEngiribet-zp8nr Жыл бұрын
Hongeren
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 2 жыл бұрын
Kwenye kumbukumbu zangu nakumbuka aliwahi kuulizwa swali msanii chid Benz kuhusu nandy juu ya swala la uvaaji nguo za utupu, na majibu ya chid Benz yalikuwa kama ifuatavyo; nikwamba nandy anapaswa awe ana vaa hivyo hivyo nguo za utupu sababu ndio sehemu ya kumuingizia kipato kwaiyo tumzoee tu maana hiyo lifestyle ndio imemfikisha pahala alipo sasa akisema a change dressing style lazima atapotea kwenye game 😃😄😄😃🙌
@piliwankuru9789
@piliwankuru9789 2 жыл бұрын
Umeulizwa 😏😏😏au nyege
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 2 жыл бұрын
@@piliwankuru9789 limekushuka pole sana ila vumilia 😄😄😃🙆
@piliwankuru9789
@piliwankuru9789 2 жыл бұрын
Mi limenishuka we limekugandaaaa hahahahahaha
@mwanaherihimidi8393
@mwanaherihimidi8393 2 жыл бұрын
Acheni uswahili
@iddyraphael4985
@iddyraphael4985 2 жыл бұрын
Nandi
@shamayzawahir2508
@shamayzawahir2508 2 жыл бұрын
Kwenye shangaz tumeshamtoa
Billnass Akiwatambulisha Washkaji Zake
4:28
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 465 М.
NANDI AMWAGA CHOZI LA MAHABA/BILLNAS AMVESHAPETE/
9:46
NEWS UPDATES
Рет қаралды 444 М.
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
KIJANA MUUZA MAJI | EPISODE 01 | 💞 Love Story
32:22
DONTA TV
Рет қаралды 1,4 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.