No video

BALAA la WAZIRI SILAA Awasha Moto MBEYA

  Рет қаралды 17,958

Jay Tv Tanzania

Jay Tv Tanzania

Күн бұрын

Пікірлер: 42
@user-gr9px4pi2w
@user-gr9px4pi2w 4 ай бұрын
Waziri wa ardhi tunamkubari sana nchi yetu ina adhina ya kutosha ya viongozi wazuri yaani wanafaa sana kuwa marais wa baadae
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
hii kazi ngumu sana kwa waziri. inabidi afatize kama baba mkwe wa Musa alivomshauri..tunamuomba Mungu Amshushe Roho wake aingie kwa watendaji wote ili kazi ifanyke kwa wepesi na kwa haraka kisha wanchi wote kupata haki zao
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 3 ай бұрын
Nampenda sana waziri Slaa hana longolongo au upendeleo. Mama Samiya ulioteshwa kumweka huyu waziri wa Ardhi? He is fit for this job,tafazali usimtoe hapo.
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 4 ай бұрын
Kaka ismail pole sana,,
@dignakanje4508
@dignakanje4508 3 ай бұрын
Mweshiwa hawa watu ndio wanao sababishaga vifo vyawafanya biashara.Kwatamaa zao
@MudhiryHassan-pq4se
@MudhiryHassan-pq4se 4 ай бұрын
Huyu jamaa hawawezi kutoboa kwa huy kka. Na ana kila document
@gilliansiara3324
@gilliansiara3324 4 ай бұрын
Mnununuzi lazima kua makini,na manunuzi ya ardhi,buyer be,,,,,,,,,,
@husseinmachozi6674
@husseinmachozi6674 4 ай бұрын
Huyu dada hapo mpigaji anavyomkata jicho mlalamikaji😅
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 4 ай бұрын
Huyo dada pia ana roho mbaya sana anakodoa macho
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 4 ай бұрын
hwa ni kifanya maamuzi magumu tu
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 4 ай бұрын
Kwani maafisa Arizi kwann wasinyongwe
@yayananajota5838
@yayananajota5838 4 ай бұрын
Waliwe mshikaki kudadeki😏😏
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 4 ай бұрын
Tutawasomea albadiri
@user-oy2fi5qz9n
@user-oy2fi5qz9n 4 ай бұрын
Hahaha kweli hakuna wanachikifanya
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 4 ай бұрын
Udongo kwa ufongo unanyang'anya udongo bila ya utaratibu wa wizara inayosimamia udongo na udongoni tutarudi kama udongo.... Ardhi ni swala la kiroho
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 4 ай бұрын
Uyooo munamtoaa mboni yureee mwenyeee gorofaaa mumemuachaaa vp
@abdullayahya8717
@abdullayahya8717 4 ай бұрын
Hapo kama wanampa kiwanja basi ni lazima kiwanja ambacho na yeye aridhike sio kumtupa madongo poromoko lazima wizara iwajibike
@user-so9fo5tv3j
@user-so9fo5tv3j 4 ай бұрын
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande (Quran 4:135)
@yayananajota5838
@yayananajota5838 4 ай бұрын
Mashetani watu hao, kuanzia surazao mpaka roho zao, 😏😏😏
@user-oy2fi5qz9n
@user-oy2fi5qz9n 4 ай бұрын
Huyu dada hafai kuwa hata kiongozi,anadharau sn
@user-vv9kk3gz5f
@user-vv9kk3gz5f 4 ай бұрын
Watu wanapiga hatia mnawarudisha kwenye umasikini sisi masikin tunateseka hakuna wakutusaida wala wakutusikiliza uuuwi mugutuagalie
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 4 ай бұрын
Safari hii uku Makonda uku Silaa hapatoshi lazima haki itapatikana tu
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 ай бұрын
Hawa watu wako wa chini waziri wanataka kukualibia jina lako majambazi fukuza kazi wakalime shamba wezi watupu Ao Mtu Anayo kalatasi zote lisiti zote majambazi Umekahaa nao kulia kwako waziri
@abdulimecksoni2424
@abdulimecksoni2424 4 ай бұрын
Nnchii hii daaah wanyonge wanaonewaa snaa
@khaliduhadi2336
@khaliduhadi2336 4 ай бұрын
Hao watu ni mashetani aisee fukuza kazi hao
@mwanamutemi
@mwanamutemi 4 ай бұрын
hao watu ni matapeli Bw Waziri, kwanini wanambughudhu huyu Ismaili ?
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 4 ай бұрын
Hao wame hukua hela😢😢😢
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 4 ай бұрын
Awa wtndj da 😢 yn hwana uluma
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 4 ай бұрын
Afisa ardhi anavyomsemelea uongo mlalamikaji ni ajabu. Mh
@user-vv9kk3gz5f
@user-vv9kk3gz5f 4 ай бұрын
Hawa viogozi wa ardhi wanajali matumbo yao nafamilia zao magufuli baba upowapi utusaide
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 4 ай бұрын
Nchi ya kitu kidogo.
@muhammadmassoud3576
@muhammadmassoud3576 4 ай бұрын
Ulimwambia kama unampa kiwanja kingine
@muhammadmassoud3576
@muhammadmassoud3576 4 ай бұрын
Muogopeni aliye waumba
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 4 ай бұрын
alafu mbona waislamu wana sikilizwa sana nimefatiliaa sana
@saidmohammed1458
@saidmohammed1458 4 ай бұрын
kama haki na ukiwa mkristo hausikilizwi? inaangaliwa haki na sio udini wakati mwingine ni coincidence
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 4 ай бұрын
Ww huna akili Wacha uchochezi wanasikilizwa watu walio zulumiwa mchina pia amesikilizwa na haki yake amepewa Wacha chuki ndugu Tanzania hakuna ukabil wala udini
@mwinyiadadi1604
@mwinyiadadi1604 4 ай бұрын
Mm nakushauri bwana ismail wadai pesa zako hao sio watu wazuri kwako
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 3 ай бұрын
We nae acha udini
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 2 ай бұрын
Acha ushamba wewe
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 4 ай бұрын
Wele jamaa wanapiga makofi ya nini
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,2 МЛН
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 12 МЛН
Dakika 47 za moto hoja ya Mdee bungeni,  mnyukano mkali watokea
47:32
Mwananchi Digital
Рет қаралды 76 М.
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,2 МЛН