Waziri wa ardhi tunamkubari sana nchi yetu ina adhina ya kutosha ya viongozi wazuri yaani wanafaa sana kuwa marais wa baadae
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
hii kazi ngumu sana kwa waziri. inabidi afatize kama baba mkwe wa Musa alivomshauri..tunamuomba Mungu Amshushe Roho wake aingie kwa watendaji wote ili kazi ifanyke kwa wepesi na kwa haraka kisha wanchi wote kupata haki zao
@husseinkarim76633 ай бұрын
Nampenda sana waziri Slaa hana longolongo au upendeleo. Mama Samiya ulioteshwa kumweka huyu waziri wa Ardhi? He is fit for this job,tafazali usimtoe hapo.
@williammbuzimai57444 ай бұрын
Kaka ismail pole sana,,
@dignakanje45083 ай бұрын
Mweshiwa hawa watu ndio wanao sababishaga vifo vyawafanya biashara.Kwatamaa zao
@MudhiryHassan-pq4se4 ай бұрын
Huyu jamaa hawawezi kutoboa kwa huy kka. Na ana kila document
@gilliansiara33244 ай бұрын
Mnununuzi lazima kua makini,na manunuzi ya ardhi,buyer be,,,,,,,,,,
@husseinmachozi66744 ай бұрын
Huyu dada hapo mpigaji anavyomkata jicho mlalamikaji😅
@rehemakanyere41884 ай бұрын
Huyo dada pia ana roho mbaya sana anakodoa macho
@kaaakwakutuliaa51794 ай бұрын
hwa ni kifanya maamuzi magumu tu
@elisantemrita94904 ай бұрын
Kwani maafisa Arizi kwann wasinyongwe
@yayananajota58384 ай бұрын
Waliwe mshikaki kudadeki😏😏
@MohamedIbrahim-bn1gz4 ай бұрын
Tutawasomea albadiri
@user-oy2fi5qz9n4 ай бұрын
Hahaha kweli hakuna wanachikifanya
@samwellwiza10984 ай бұрын
Udongo kwa ufongo unanyang'anya udongo bila ya utaratibu wa wizara inayosimamia udongo na udongoni tutarudi kama udongo.... Ardhi ni swala la kiroho
Hapo kama wanampa kiwanja basi ni lazima kiwanja ambacho na yeye aridhike sio kumtupa madongo poromoko lazima wizara iwajibike
@user-so9fo5tv3j4 ай бұрын
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande (Quran 4:135)
@yayananajota58384 ай бұрын
Mashetani watu hao, kuanzia surazao mpaka roho zao, 😏😏😏
@user-oy2fi5qz9n4 ай бұрын
Huyu dada hafai kuwa hata kiongozi,anadharau sn
@user-vv9kk3gz5f4 ай бұрын
Watu wanapiga hatia mnawarudisha kwenye umasikini sisi masikin tunateseka hakuna wakutusaida wala wakutusikiliza uuuwi mugutuagalie
@aliabdallah84564 ай бұрын
Safari hii uku Makonda uku Silaa hapatoshi lazima haki itapatikana tu
@kilogreekachananawatuwasio40543 ай бұрын
Hawa watu wako wa chini waziri wanataka kukualibia jina lako majambazi fukuza kazi wakalime shamba wezi watupu Ao Mtu Anayo kalatasi zote lisiti zote majambazi Umekahaa nao kulia kwako waziri
@abdulimecksoni24244 ай бұрын
Nnchii hii daaah wanyonge wanaonewaa snaa
@khaliduhadi23364 ай бұрын
Hao watu ni mashetani aisee fukuza kazi hao
@mwanamutemi4 ай бұрын
hao watu ni matapeli Bw Waziri, kwanini wanambughudhu huyu Ismaili ?
@msafirimfilinge82224 ай бұрын
Hao wame hukua hela😢😢😢
@user-ov7ge3ci6f4 ай бұрын
Awa wtndj da 😢 yn hwana uluma
@mohamedomari61294 ай бұрын
Afisa ardhi anavyomsemelea uongo mlalamikaji ni ajabu. Mh
@user-vv9kk3gz5f4 ай бұрын
Hawa viogozi wa ardhi wanajali matumbo yao nafamilia zao magufuli baba upowapi utusaide
@mohamedomari61294 ай бұрын
Nchi ya kitu kidogo.
@muhammadmassoud35764 ай бұрын
Ulimwambia kama unampa kiwanja kingine
@muhammadmassoud35764 ай бұрын
Muogopeni aliye waumba
@kaaakwakutuliaa51794 ай бұрын
alafu mbona waislamu wana sikilizwa sana nimefatiliaa sana
@saidmohammed14584 ай бұрын
kama haki na ukiwa mkristo hausikilizwi? inaangaliwa haki na sio udini wakati mwingine ni coincidence
@hassanabdala73834 ай бұрын
Ww huna akili Wacha uchochezi wanasikilizwa watu walio zulumiwa mchina pia amesikilizwa na haki yake amepewa Wacha chuki ndugu Tanzania hakuna ukabil wala udini
@mwinyiadadi16044 ай бұрын
Mm nakushauri bwana ismail wadai pesa zako hao sio watu wazuri kwako