Tuna Waziri mmoja tu,Jerry Slaa .Tuna mbuge mmoja tu,ambaye ni Luhaga Mpina, na tuna Mkuu wa Mkoa mmoja tu,ambaye Paul Makonda.
@emanuelleopod3949Ай бұрын
Naaam naaam
@susananyasani6526Ай бұрын
Waziri Silaa anafanya kazi nzuri katika maamusi ya haki kwa Wananchi wote asante
@jtheophil5499Ай бұрын
Nacheka peke yangu.sasa mahakamani mahakimu wana kazi gani😂😂.Safi sana mh.Kichwani uko vizuri ukiongozwa na busara
@sabikamanji2521Ай бұрын
Mwenyezi Mungu Akulinde Kipenzi chetu ila nakuomba waziri wetu Uje mwanza plse
@hanspop6961Ай бұрын
Dogo Namkubali sana Mungu Amueke
@nimuhimusanaАй бұрын
I wish mbali na Mawaziri, pia Makatibu Wakuu wangekuwa wanatenga muda kwa ajili ya kuwasikiliza wananchi wanaowahusu moja kwa moja hasahasa Katibu Mkuu Utumishi.
@elizageorge2414Ай бұрын
Hata mimi pia nataka kujua wanafanya nini mawaziri wengine.
@ikulunimahalipatakatifu7642Ай бұрын
VIJANA SAFI SANA MUSIMWANGUSHE MAMA, PAMBANA NA MAJIZI .. HAKI SAWA KWA WOTE.
@andrewmallya5182Ай бұрын
Hivi mawaziri wengine wanafanya hivyo kutatua migogoro kwenye wizara zao au wapo wapo tu!!?
@emmanuelbernard9552Ай бұрын
Slaa ni mkalimu sana tu.
@aminaosman3315Ай бұрын
,hasa waziri WA sheria
@Boniphaceshayo5Ай бұрын
Naomba kujua mawaziri wengine wanafanya nini kwenye wizara zao
@user-fr7jj1bo7yАй бұрын
tofauti yao kubwa silaa ni mtu wa kamera vitu hivi vingi bado viko mahakamani hizi ni show tu
@charlesmwambinga4355Ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7y hesabu katatua kero Ngapi..? Jamaa hapumziki kama unaweza nenda jaribu tu hata kutatua mgogoro kwenye familia yako ndo utaelewa maana ya kazi anayofanya
@Boniphaceshayo5Ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7y kumbe
@GodfreyOswardАй бұрын
@@user-fr7jj1bo7yMwanadamu atakusifu, kwa kiwango kile ambacho na yeye ana fikria kufanya au ana uwezo nako, pale unamzidi ataponda.
@nsiamasawe4578Ай бұрын
Viongozi wengi wanashindwa kujiamini kama Waziri Jerry Slaa kwa kukosa uaminifu. Jerry Slaa ameridhika na mshahara wake
@Doki_mediaАй бұрын
video editor akamatwe
@mohdmakame5090Ай бұрын
Kaka pigakazi usisikilize ya watu ww ataukitoka mvi hiyo ndokazi yako imekubalika kwa mmungu
@jamesjahasa3348Ай бұрын
Upele umemkuta mkunaji MUNGU mmwagie hekima zaidi huyu waziri
@rehemakanyere4188Ай бұрын
Aminaaa
@femidayahaya4882Ай бұрын
Amen
@MrKhatibuАй бұрын
Siku nyengine akimaliza suluhisho la kesi ya mtanzania mweusi basi uandike kichwa cha habari kwa kuainisha asili yake, kikisomeka " Waziri Slaa amaliza mzozo wa ki wanja cha Mchaga au Mnyaturu au Msukuma.