No video

AZIMIA NYUMBANI KWA DULLVAN / HUYU AKIFA NIFUNGWE MIMI | HIVI NI KWELI

  Рет қаралды 193,029

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 323
@ashahassan7414
@ashahassan7414 Ай бұрын
Sema Duli ana roho nzuri pia amefunzwa bhana
@mwanasitisalim3606
@mwanasitisalim3606 Жыл бұрын
Salute Kwa vullivany Kwa maswali yake,yupo vizuri sana kisheria
@harounali9057
@harounali9057 Жыл бұрын
Sisi hasa tuna binaadam mwingi na huruma sana wakati mwengine wema una weza kuku zuru.
@tabbygud2333
@tabbygud2333 Жыл бұрын
Jamani, Mwenyezi Mungu Atulindie Walinzi wetu woi... Kila Kesi mlinzi jamani
@nurdinjumaa7825
@nurdinjumaa7825 Жыл бұрын
Wanaopenda kipindi hichi naombeni like zenu
@RAM7_TZ
@RAM7_TZ Жыл бұрын
Mwanangu sana Mo town sanya , unawauwa sana , kazi nzuri kaka , HIVI NI KWELI BONGE MOJA LA SHOO❤❤❤
@skulstar5955
@skulstar5955 Жыл бұрын
Ndomana mama hataki nikae mwenywe 😂😂😂😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
@danrappergangamaa1190
@danrappergangamaa1190 Жыл бұрын
Nimefuatilia hii interview kwa ajili ya mwanetu Aliyezimia Nyau
@nyauclassictv805
@nyauclassictv805 Жыл бұрын
Tulimuweza
@rehemamsengo2805
@rehemamsengo2805 11 ай бұрын
Yan Sanya anavyouliza maswal kama sio yeye Allah akupe umri umrefu ila dull daaah kanywea😅😅
@januaryjohn2014
@januaryjohn2014 Жыл бұрын
Mo town Sanya unaweza your are very creative my brother
@januaryjohn2014
@januaryjohn2014 Жыл бұрын
Daaaaaah nimechoka Sana dull kaogopa kinoma ila mshikaji anamoyo😆😆😆
@ahmadmohd3771
@ahmadmohd3771 Жыл бұрын
Kaivaaa uhusika wa mwanamke hadi kwenye maisha ndo maana angalia hadi mikao yake
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
​@@ahmadmohd3771😂😂😂
@khadejarajab8007
@khadejarajab8007 Жыл бұрын
Eti Haya ni maswali ya police kesi hiyo😂😂😂😂😂
@Smart_jarm
@Smart_jarm Жыл бұрын
Nipeni likes asee,nimekuwa wakwanza 👆👆👆
@shelokiba
@shelokiba Жыл бұрын
Sio shobo zetu
@user-hz6dg3vb6t
@user-hz6dg3vb6t Жыл бұрын
Best tv shows ever
@user-sc4wo5ks8n
@user-sc4wo5ks8n Жыл бұрын
Mr Nyau umetisha sana my brother you deserve 🫡 bro
@nyauclassictv805
@nyauclassictv805 Жыл бұрын
Thanks boss
@lilianalmas5911
@lilianalmas5911 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂Daaah!!!!!!!!! Walinzi tuna kazi Sana Kwakweli changamoto ni nyingi mnooo 😂😂😂😂😂
@ezekieljolam4276
@ezekieljolam4276 11 ай бұрын
Ww daaah
@bebebebe5677
@bebebebe5677 Жыл бұрын
Kama umeipenda hii hayo ndo maswali ya polis gong like apa twende saw😂😂
@nmasare9364
@nmasare9364 Жыл бұрын
Hii ya leo mmezingua inaonekana kabisa mpango mlishaupanga so kama duli alikua hajui alikua anajua sema hii mmeyumba
@nimrodmareges3131
@nimrodmareges3131 Жыл бұрын
Hii kipindi naipenda sana Moo keep it up Unafanya vizuri sana
@hawaomary8486
@hawaomary8486 Жыл бұрын
Karipotini police SS akifa hapo
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Жыл бұрын
Leo Dull Van kapatikana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
SKUHIZ HUACHI EXCLUSIVE TENA,,UNATUNGA KABISA
@user-wc5vf1pc9e
@user-wc5vf1pc9e Жыл бұрын
Ila van yuko peace sana
@Nalitumpaboy-dm4tk
@Nalitumpaboy-dm4tk Жыл бұрын
Dull umefanana na rayvanny ukivaa mpama😂😂
@neychuchu_love966
@neychuchu_love966 Жыл бұрын
Najihisi nimekuwa wa mwisho kwa huu mda😂😂 naomben likes
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 Жыл бұрын
Zitakusaidia nn
@neychuchu_love966
@neychuchu_love966 11 ай бұрын
@@rosemahenge9071 zitanipa furaha ww je kureplay text yangu umepata nn kenge manyoya we😅😅😅😅
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim Жыл бұрын
Jamaa anapiga pesa wengine wanacheka hio ni nusu nusu Europe
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Жыл бұрын
ulichokosea kimoja tu Ilitakiwa umpeleke hospitali kwanza.. hata kama kakosea, ubinadamu kwanza mambo mengine badae ...sasa wewe unaongelea ambayo yameshatokea badala ku solve tatizo lililopo
@Shuu.A
@Shuu.A Жыл бұрын
Duly leo anavua kofia akivaa tu analiona joto leo😂😂😂
@shadyasalum192
@shadyasalum192 Жыл бұрын
Hiki kipindi 😂😂 kizuri kweli lakini kinamazara sana 😂ipo siku tu damu itawagika 😂😂
@kusinisingelitv
@kusinisingelitv 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@teamallyracing1780
@teamallyracing1780 Жыл бұрын
Ni career guys sio "carrier" hio mloandika maanake ni mide usafirishaji
@masika.zubeda.430
@masika.zubeda.430 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@Ehwazmoha
@Ehwazmoha 11 күн бұрын
And this is real ! nyie mnaona kama wanaekti but this is how life it is in the real world
@stelaprompot5180
@stelaprompot5180 Жыл бұрын
Dula anaroho nzuri sana
@mwantumkombo3014
@mwantumkombo3014 Жыл бұрын
Dulli kapatikana leo😂😂🔥🔥
@masika.zubeda.430
@masika.zubeda.430 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@oyay2821
@oyay2821 Жыл бұрын
Dahhhh!!! Hii na ile ya Dotto ni kali. Dully yuko ametulia kwa maswali yaliokwenda shule
@teedullah5708
@teedullah5708 10 ай бұрын
Dula na ujanja wote kupatikana leo😂😂😂
@sabrinamkinga901
@sabrinamkinga901 11 ай бұрын
Jamani Huyu si Nyau 😅😅😅
@nizaralirashid9581
@nizaralirashid9581 Жыл бұрын
Sema kuigiza duli kashindwa😅kioa wakati ana smile anajizuia kucheka,mkisapanga hao wasanii waambien wawe serious iwe kama ni kweli
@BoscoNtimba-jr2gz
@BoscoNtimba-jr2gz Жыл бұрын
Hao hawapangwi,huwa wanashtukizwa.sema kinacho tokea ni kwamba anakuwa akirekodiwa yaani katikati ya interview
@dunkchainz7237
@dunkchainz7237 Жыл бұрын
@@BoscoNtimba-jr2gzsasa kwani wasanii hawamjui Mo town Sanya au hawajui kipindi chake!?
@kondoatown8765
@kondoatown8765 Жыл бұрын
Huo jamaa anaehojiwa mbna Kuna sehemu kakaa kma Yale yasemwayo yanamaana yke aisee ukaaji gani ? Hatuombei ila jamaa kma ni kweli Kuna nafasi ya kujirekebisha unaweza ukajirekebisha tu kwani tabia gani ? Inayoshindikana kujirekebisha
@elizabethkunyatila2913
@elizabethkunyatila2913 Жыл бұрын
​@@dunkchainz7237Mo alisema hivi vipindi alisharekodi vyote sasa hivi ndo wanaanza kuvirusha
@Swahili14
@Swahili14 10 ай бұрын
​@@kondoatown8765unamaanisha nn
@ummusuley9524
@ummusuley9524 Жыл бұрын
Watching u frm Kenya nawapenda
@happynkya9770
@happynkya9770 20 күн бұрын
Hapo alipocheka ndo ikaonekana kbsa alikuwa anafanya kitu anachokijua kumbe mnawapangaaga hawa wasanii hawa
@Kuluthum-fd3mw
@Kuluthum-fd3mw Ай бұрын
Hiv ni kweli au comed
@fahidashishi255
@fahidashishi255 Жыл бұрын
Mbona ana maziwa dulvani
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Жыл бұрын
Wanamnyonyaaa wanaume weziwee
@majapelinho
@majapelinho Жыл бұрын
Kuna muda anasema mama ake ataki akae peke ake😂😂
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 Жыл бұрын
Ana roho mbaya hata qwenye qiti asiqae alafu wanamtoa chooni bila awasaidie anarecod ivi qweli so poa😂
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 Жыл бұрын
Mh mmejitahid wee ila waya wa mac kwa tumbo la mzimiaji umewatohoa😂😂😂😂😂 yani kazi kubwa waya uneharibu
@Ehwazmoha
@Ehwazmoha 11 күн бұрын
Binadamu sio kisa we msanii mna makochi yenu ya m 1 m 2 na hata yawe ya m 19 unamkalisha mtu chini na uliona kazimia na ww ulivyoona anaumwa ! Kweli hiki kipindi kinakufanya kumjua mtu na tabia yake hata akiwa yupo juu ! Haya maisha ndugu zangu na hii Dunia tuangalie tunavyoishi na watu pia hakutakiwa kuwa na was was sbb mashahidi wapo pia jambo limekukuta upo kwenye interview so lazima watu watakuwa wamerekodi
@Anko_Fule_Motors_Destiny-1402.
@Anko_Fule_Motors_Destiny-1402. Жыл бұрын
Mlinzi ameulizaaa umeshuka na ndege 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassansela1393
@hassansela1393 Жыл бұрын
Eti nimekujaje 😂 nandege 😂😂😂😂
@user-sh7vv6wd3l
@user-sh7vv6wd3l Жыл бұрын
Niende jela ama huyu afukuzwe kazi....?
@malacktweve6012
@malacktweve6012 Жыл бұрын
Hawa wasanii hawapangwi lakini hata wakipangwa shida nini kama ni burudani tunapata ya kutosha na pia tunaona upande wa pili wa wasanii ambao tulikua hatuujui
@nyauclassictv805
@nyauclassictv805 Жыл бұрын
Thanks unaweza nifollow Mimi mzimiaji.
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 Жыл бұрын
​@@nyauclassictv805😂😂😂kheeee
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 11 ай бұрын
​@@nyauclassictv805🤣🤣🤣🤣🤣
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 8 ай бұрын
Safiiiiii😂😂😂😂😂😂
@kadito-o3j
@kadito-o3j Жыл бұрын
ISHI MIAKA MINGI HAPA DUNIANI PAMOJA NA FAMILIA YAKO SANYAAA HIVI NI KWELI NAIONA WORLD WIDE
@tanzaleo8670
@tanzaleo8670 Жыл бұрын
shida mo town sanya ameishiwa content za prank kabla ya ku shoot anampanga mtu atakaye muhoji na mtu kuigiza ili ionekane kua ni kweli haikua planned mi ningeshauri usitafute watu maarufu ambao tayari wanajua unachokifanya kuwa mbunifu kama zamani
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
Bro hizi show zisharikodiwa zote na sasa ndio zinarushwa yaani hazijjapagwa
@felicianboss6953
@felicianboss6953 Жыл бұрын
Bora umwambie°°
@rehemamsengo2805
@rehemamsengo2805 11 ай бұрын
😂😂Dulvan alipatikana wallah
@ilhammsaad-oe4lg
@ilhammsaad-oe4lg Жыл бұрын
He is soo calm jmn😂😂😂
@TanaMidundo
@TanaMidundo 10 ай бұрын
Hata ungekua wew mo town ungepagawa apo itokee kwako
@shemsahemed3577
@shemsahemed3577 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂MBA mbavu zangu jamanii
@mussajaphet-dl4st
@mussajaphet-dl4st Жыл бұрын
Hivi ni kweli hicho kipind cho mo sanya acha ujinga ww
@BOSSLADY3656
@BOSSLADY3656 Жыл бұрын
Mbona hii prank mwisho mwisho nikutamu jamani😋😂😂😂hadi mm nika cheka😂😂😂😂😂
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 Жыл бұрын
Hiyooo imeenda........
@meisahabuo5856
@meisahabuo5856 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Jamani 😂 ahii! Usanii kazi eti mm na kukubali ivikweli upete kuuliza uliza ukishaonyeshwa undumbukie ndani?
@kindambaonetz1949
@kindambaonetz1949 9 ай бұрын
😂😂😂 mwigizaji kakutana na mwigizaji lazima kiwake 🎉😅
@margrethamsechu7088
@margrethamsechu7088 Жыл бұрын
Ila anaustarabu sana
@chidiibrahim6104
@chidiibrahim6104 Жыл бұрын
Hii story nikama Ile yajuzi zinafanana
@josephmchumbe4226
@josephmchumbe4226 Жыл бұрын
Piga picha na izo kamera zenu hhhh😂😂
@zenamtembezi4921
@zenamtembezi4921 Жыл бұрын
Mchawi uyo ameishiwa nguvu 🤣🤣🤣🤣🤣
@SiahCiara-gg3iv
@SiahCiara-gg3iv Жыл бұрын
Dulla amejua kabsa hicho ni kipindi mpak anaongea na maik amna kitu hapo 😅😅😅
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg Жыл бұрын
Kawezaje kujikausha hivyoo lakini Mimi ningechekaaa siwezi ku fake kuzimia
@nyauclassictv805
@nyauclassictv805 Жыл бұрын
Nilikuwa natamani kucheka ila ndo SANAA nilikuwa kazini
@user-ms5ho2kv4e
@user-ms5ho2kv4e 6 ай бұрын
Lakini uyu jamaa halie jifanya kazimia anajua kuigiza sana
@getrudemajaliwa7629
@getrudemajaliwa7629 Жыл бұрын
Inaonekana dulvan alijua hichi ni kipindi kbsa lkn akajikausha
@amadancytz3720
@amadancytz3720 Жыл бұрын
Lakini hivi vitu vimepangwa kapangwa mpka huyo dully
@meisahabuo5856
@meisahabuo5856 Жыл бұрын
Maskini kafazaika kajua maisha Ndio yashatoka umaikini mbaya
@mr_reef96
@mr_reef96 Жыл бұрын
Ila uyo dgo mwambien akaze sat ukike ushaanza kumkaa sasa
@strawberryrachii12-xh5bq
@strawberryrachii12-xh5bq 8 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅dullah uyoo yamekufika uelewi
@nickolaus6188
@nickolaus6188 Жыл бұрын
Dull wamekuweza sana
@aishayahaya9367
@aishayahaya9367 9 ай бұрын
Nimeipenda hiyo
@meisahabuo5856
@meisahabuo5856 Жыл бұрын
Aya!!! Kakaa kwenye sofa kabisaa😂 here!!
@SaoblackSaoblack
@SaoblackSaoblack Жыл бұрын
Nandege😂😂😂
@ElizaEhsas-op2pg
@ElizaEhsas-op2pg Жыл бұрын
Hahaha hayo Ni maswali ya police jamn dullvan
@user-gn6jz4qf7o
@user-gn6jz4qf7o Жыл бұрын
Mchaga OG nakucheki kutokea👉🇶🇦
@aizyramson6882
@aizyramson6882 Жыл бұрын
Ckuiz hiki kipindi ni zaidi ya netflix🎉
@bennysanga2873
@bennysanga2873 Жыл бұрын
Duliii, eti Mama hapendagi nikae pekeangu hahahaaa
@masika.zubeda.430
@masika.zubeda.430 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@machariagilbert3475
@machariagilbert3475 Ай бұрын
Hatari snaa
@JumahamisiOmary
@JumahamisiOmary Жыл бұрын
Bonge la move 😊
@saumbliz8983
@saumbliz8983 11 ай бұрын
Kwani vibaya kukaa kwenye kitu jamani
@isacklaurent8948
@isacklaurent8948 Жыл бұрын
yan ingekua serious angekufa hawajui ata ktoa uduma yakwanza
@pauljohn1411
@pauljohn1411 Жыл бұрын
Ana waya wa mic ... Amepangwa
@WASAFY_OMY
@WASAFY_OMY Жыл бұрын
Hii imekua movie😂😂😂😂😂
@user-ri7rg1xx6n
@user-ri7rg1xx6n Жыл бұрын
Dahhh noma sana
@nafsitz3211
@nafsitz3211 Жыл бұрын
Kwani mimi nataka kujua hawa wasanii wakubwa hawaoni wenzao.wanavyozinguliwa hadi na wao wananasa kweny mtego
@ferouzmasoud3104
@ferouzmasoud3104 Жыл бұрын
Hata mm huwa nashangaa 😂 naona kama wanapangana vle
@kimalebanduka4229
@kimalebanduka4229 Жыл бұрын
Hizi ni recorded ….walizifanya mda sana
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Wanasahau
@VikavuOG
@VikavuOG Жыл бұрын
MBONA NOW SIO REALITY TENA UONGO MWINGI MNAIGIZA UNAPOTEZA UNYAMA MWANANGU SANYA
@kilizajumainn826
@kilizajumainn826 Жыл бұрын
Ubunifu mzur😅😅😅 ila Dili kaza sauti we kidume
@lovenessfrank95
@lovenessfrank95 Жыл бұрын
mi naonag kama wanaigiza
@m404msigara7
@m404msigara7 11 ай бұрын
Amesogelea mic mbona.. 😅alikuwa anajua
@user-mb8og7ob1w
@user-mb8og7ob1w Жыл бұрын
Huu usenge alafu tumeshaushtukia,,, nyieee huwa mnampanga mnacheza kama movie hakuna hivi ni kwel hapa ni mchezo huu…
@nyauclassictv805
@nyauclassictv805 Жыл бұрын
Hii nimecheza kama UTANI.
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Ай бұрын
Kinakuuma nn😮
@nyotajeremia8901
@nyotajeremia8901 Жыл бұрын
Naombeni like jamani😂😂
@user-xj4zl6ec4p
@user-xj4zl6ec4p 7 ай бұрын
Mnajua kuigiza
@roserichard4158
@roserichard4158 Жыл бұрын
Kiki za kipumbavu ndo maana linaonekana kama demu
@neemamkuchu
@neemamkuchu 11 ай бұрын
Kumbe umepanga nkajua umejenga
@neemamkuchu
@neemamkuchu 11 ай бұрын
Kwel clam mkubwa wenu
@abbasram2770
@abbasram2770 Жыл бұрын
Sullivan Haha jikojea kweli!!!
@firdauskarembo7664
@firdauskarembo7664 Жыл бұрын
Me naisubiri ya gigy money tu😂😂😂
@femmyalbert7580
@femmyalbert7580 Жыл бұрын
Uwiii haya ni maswali ya police
@idrisadalluc4498
@idrisadalluc4498 Жыл бұрын
Ya kunaudhaifu kidoogo ilitakiwa muoneshe usiliasi yakwamba ilitakiwa wote muvurugwe
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 Жыл бұрын
Mimi Nina ndoto za ivi😂😂
@neemamzande8547
@neemamzande8547 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
GTA 5 vs GTA San Andreas Doctors🥼🚑
00:57
Xzit Thamer
Рет қаралды 24 МЛН
This Dumbbell Is Impossible To Lift!
01:00
Stokes Twins
Рет қаралды 42 МЛН
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 17 М.
Umekiona kifaa cha kunawia mikono cha TX Dulla?
3:34
Mtu ni Afya
Рет қаралды 13 М.
KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE Pt2
8:59
Mr Uky
Рет қаралды 201 М.
GTA 5 vs GTA San Andreas Doctors🥼🚑
00:57
Xzit Thamer
Рет қаралды 24 МЛН