Tuna mshukru MUNGU .Ktk viongozi wenye historia ya Taifa letu nipamja na huyu mwamba.
@kusudihalisi9537 Жыл бұрын
Watang'atuka Leo baada ya hotuba hii...
@benedictmrisho1800 Жыл бұрын
Mwl angefufuka leo angetoa maoni gani ripoti ya CAG ? Ule mchakato wa katiba ulioishia njiani? Mwalimu wa 101 si mtu wa kuvumilia mipasuko. Alipendabumoja ,uadilifu, uwajibikaji, uwazi, ukweli na kutotumia vibaya hela za wananchi. Asingekubali mchakato wa katiba kutumia muda, pesa, maoni ya wananchi halafu kuishia hewani.
@georgemaganga3804 Жыл бұрын
Kuutaka Urais tu ndiyo wenzako hawakupenda ila kwa kweli una uwezo mkubwa wa kuelimisha
@ignasnyembo12569 ай бұрын
Profesa la sheria Tz. John hakukosea kukutoa jalalani. Bravo kabudi
@hoseamungwabi7325 Жыл бұрын
Hongera sana Prof. Umenikumbusha mbali
@abelisimoni1748 Жыл бұрын
Prof wa jalalani huyo pumbaf
@foundationforcommunityhope7327 Жыл бұрын
Tupende tusipende huyu professor Kabudi kweli anafaa Sana kuwa kiongozi mkubwa labda Kwa sababu za chuki binafsi.
@lemonadesoldier1377 Жыл бұрын
Anawekewa ukuta but God is good at a time atakuwa
@geraldmadeda9006 Жыл бұрын
I like how you express yourself in speech in English but though no understand much kiswahili keep it up
@festokemibala5832 Жыл бұрын
Kama ni miaka 101 ni umri ambao Mwl Nyerere angekuwa ameishi na siyo umri "aliopata promotion ya kutwaliwa mbinguni"! Prof umepitiwa kiswahili kwa sababu unazozijua wewe. Umetupotosha Prof na hao vijana ndo umewapiga ya uso🙄
@erickmoses7430 Жыл бұрын
promotion kwenda minguni au kuja duniani?
@juliusrandich972611 ай бұрын
Miaka mia moja na moja...hapo ulikosea
@NixonGerson Жыл бұрын
Kutoka jalalani umesahau ..au ndio uafrika huo ..jingine tokeni madarakani akili zimechoka
@zephaniamasatu5910 Жыл бұрын
pongezi kwako kwa ufafanuzi mzuri kwa hayati mwalimu julius nyerere, nakutabilia kuwa raisi wa tanzania miaka ijayo
@stevenkatani3047 Жыл бұрын
Hiz ndo miamba za tz
@nassirali7499 Жыл бұрын
Uhuni tu kwa kujipendekeza, promotion gani iyo alioenda mbinguni?
@EmanuelMasikaWekesa7 ай бұрын
Elewa lugha
@anthonylusato7176 Жыл бұрын
Hongere sanaa🎉
@geraldmadeda9006 Жыл бұрын
Congratulations pro
@husseinkarim6745 Жыл бұрын
Kutafaisha bila kulipa fidia ni halali sio dhuluma