Well done our President (Samia Suluhu Hasan), we are together with you Your Highness. Keep it up! Long Life Dr.Samia Long Life CCM.
@aishamsafiri8875Ай бұрын
hatukupendi
@karloladislaus453 жыл бұрын
Mama haijui Marekani kabisa.Marekani kuna vurugu za kisiasa kila siku.
@paulmusa79873 жыл бұрын
Sipendi na ninajisikia vibaya sana mama huyu kutumia mifano ya nchi za ulaya na marekani, hapa nchini hakuna vurugu yeyote sema kinachosumbua ni kwamba viongozi wa tz mna mambo yenu fulani fulani tu ambayo siyapendi ohooo!
@sauleetv36813 жыл бұрын
Mwisho wa ubaya ni aibu Kama Leo mbowe ni gaidi mungu atakuona na usisahau hii kauli mbowe ni gaidi na ameujumu uchumi Sina la kusema zaidi ya shukrani #freembowewewesiogaidanimtuwawatu
@mohamedrashid45883 жыл бұрын
Umeshalewa madaraka dada nakuonea huruma uislam unauweka pembeni angalia umat MUHAMAD miaka 63
@neemafrancis39683 жыл бұрын
Huyu baba nilikuwa namwamini Sana kwenye kazi yake lakini kwa hili alishaandaliwa na alishaambiwa usisubutu kuuliza maswali ya msingi, ila mungu yupo mama samia hii serekali unaikosea Sana mwachieni mbowe sio gaidi ishu ni kudai katiba tu
@innosentmdede61073 жыл бұрын
Umefeli sana mama
@salehmdumbwa61813 жыл бұрын
Sanaaaaaaaa
@rahmazahor43333 жыл бұрын
Kaza buti Madame President.....
@frankfrancis21953 жыл бұрын
Mungu tusaidiye 😭😭😭😭
@simonmalegesi4143 жыл бұрын
Kinakuliza Nini Sasa mungu kashatusaidia rais kafa tumepita salama adi Sasa tunapambana kuijenga Nchi yetu.
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
"Wanaongea mpaka wanavuka mipaka saa ingine inabidi Kiongozi uvae ngozi ngumu....". Hongera Mh kwa kukiongezea kiswahili misamiati. Hakika kila mahojiano na hotuba zako walau kiswahili kina vuna kidogo kidogo.
@innocentmsoka33023 жыл бұрын
Mungu atusaidie Bado Sanaa kupata ukombozi Mbinguni watafika wachache sanaa
@joshuaswai82033 жыл бұрын
Naichukia nchi yangu kwa sasa
@salehmdumbwa61813 жыл бұрын
Tupo pamoja Jeshi
@OnesmoEphrataАй бұрын
Haupo mwenyewe tupo wengi ni Siri yetu tuu hatuna pakwenda tunge enda hata lebanoni IRAQ ama Yemeni na PALESTINA ila bongo duuuh tuna ishi kama mbwa hadi Ile Bora kuzaliwa 🐕 ulaya
@alanusrespicius17963 жыл бұрын
Tozo mbona hujafanyia kazi?
@annamwakibinga5273 жыл бұрын
Yaani tozo inatukera sana.
@siliakilojasi43883 жыл бұрын
Amesema. Tumekubari tozo mama. Bhn.. anatisha
@doctorbadal15273 жыл бұрын
Short and clear. True briefly mama
@josephshuma19753 жыл бұрын
BBC hujauliza maswali ya msingi au uliandaliwa? Mbowe kashikwa na makongamano yamezuiwa swali fujo imefanyika wapi au maandamano yalifanyika wapi?
@sauleetv36813 жыл бұрын
Safi kabisa
@emmanuelchales36653 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@RamadhaniKitala-gx6wc28 күн бұрын
Sii unajua baba serikali na mama ni ccm Sasa hapa BBC lazima wampange uliza hivi acha hivi
@washngtonmbedz91373 жыл бұрын
Mama maisha yamekuwa magum sana Aisee.tuonee huruma vijana wako
@isayandrew91683 жыл бұрын
Ukisema unamtanguliza mungu kwa kila jambo bas unapaswa uwe mkweli pia ila kwa ilipofikia tz bas mladi kunakucha tu kuhusu siasa labda mungu ashuke amuadabishe kila mmoja kwa maovu yake
@timothykifendi49283 жыл бұрын
Bado siasa za vyama vingi Tanzania hazieleweki,kama kiongozi mwenyewe hajui itakiaje kwa wananchi wa kawaida hasa wasio na uelewa mpana? Nchi zetu bado zina safari ndefu sana ya kutoka katika giza hili.
@fredernestonline60113 жыл бұрын
Siku hizi sijivunii kabisa kuwa mtanzania. Nachukia utawala huu usio haki kuliko sjui nn.
@abelianraphili51503 жыл бұрын
Ety.. sijivuniii kuwa mtanzania
@stanleykipingu2283 жыл бұрын
Unajivunia kuwa nani?
@erickagwe88413 жыл бұрын
Kama Mimi tu
@cosmaswilliam38053 жыл бұрын
Uchaguzi uliowaweka sure sahii
@mfalmesimba11543 жыл бұрын
Kweli wewe ndio boya kabisa wewe unatakaje inaonekana we hata shule hujasoma vurugu zikitokea utafaidika nini.!?
@iam_masasila3 жыл бұрын
Hii interview imeandaliwa hiii
@nurumohammed1310Ай бұрын
Hahahaaaaa
@eliathomas84463 жыл бұрын
Kujishushia heshima madam...
@alanusrespicius17963 жыл бұрын
Mbowe kwangu si wa maana sana maana anamanufaa binafsi. Wewe Samia toa tozo za simu maana ni kandamizi kwa wanyonge
@lucassamwel55443 жыл бұрын
Mama lisu nafasi kwenye serikali yako ili tuone uwezo wake na yeye
@nasonimwasakujonga20383 жыл бұрын
@@lucassamwel5544 saw j
@salehmdumbwa61813 жыл бұрын
Mama tatizo huwa hatumii tigo pesa ndio maana yanamtoka tu
@madongojr62493 жыл бұрын
Yan mm saiv nikiiona bendera ya taifa najikuta moyo unauma nikiliona neno serikali presha inapanda najiuliza cjui leo watapitisha Sheria gani?
@scolarshija32153 жыл бұрын
Mama tunakupenda.wasiokupenda shauli yao.wachimbe shimo watumbukie.
@neemajumanne95883 жыл бұрын
Wewe ni mama lazima ujuwe wajibu wa mama ,lakini weww unakubali watoto wako kuitwa gaidi hivi Tabzania kuna gaidi hii enakuingia vizuri kweli,,ila Mungu yupo na hili Analiona sana ,sasa muwe na hofu ya Mungu
@gracerosi61793 жыл бұрын
Jambo kama nibaya kwako usimfanyie mwenzio
@korekalukumay71973 жыл бұрын
Katiba ya marekani ni clear tofauti na ya tanzania
@elianifaaluka47903 жыл бұрын
Haki huinua Taifa bali dhambi ni aibu ya wote mbona tuzo haingelewi
@josenyambeo35873 жыл бұрын
Like uliza miaamala bwana
@pmctv7873 жыл бұрын
Daah tumekwishaaaa
@awadamu3 жыл бұрын
Asante mama Samia Suluh Hasan M,Mungu akulinde na akupe Maisha marefu afya na akubari wewe na wako I love so much.
@BarakerZeonlist3 жыл бұрын
sina furaha na tanzania
@godfreymbwambo44603 жыл бұрын
NENDA MSUMBIJI KWA ALSHABAB!
@jumamrisho1433 жыл бұрын
Unalinganisha malekani natanzania we unapenda kuig yanjee we kwer hakuna kitu
Kikeke na kaenda kuuza sura,ungeuliza ana mpango gani na tozo za miamara,
@sele25073 жыл бұрын
Ameuliza tafuta interview zote
@kisokimhagama95263 жыл бұрын
Tanzania itajengwa na wa Tnzania. Majinga nyie.
@roseshayo90223 жыл бұрын
Hongera kwa uthubutu , ila umeuliza maswali mepesi sana na ulivyokuwa unajibiwa hata kama unajua sio kweli hukuuliza tena.
@salehmdumbwa61813 жыл бұрын
Angeng'oka alishapangwa maswali ya kuuliza na asirudie viva magufuliiiiiiiiiii hakuna Kama mjomba
@dianjophfrey53893 жыл бұрын
Mama tunaomba utusaisdie huku simanjiro maeneo yamsitu wa tembo barabara mbovu kabsa miondo mbinu sio tukumbuke na as mama yetu mlezi was tanzania
@abelianraphili51503 жыл бұрын
@@dianjophfrey5389 Hahahaha.. 😂😂😂😂.. OLE SENDEKA na kitambi yake Yuko wapi.. asije wasaidia
@geraldmarero39363 жыл бұрын
Mungu tulinde kwa changamoto hizi.
@isabellaipopo91653 жыл бұрын
Safi sana mamaaaa mwenyezi Mungu akupe afya na ulinzi tele
@salehmdumbwa61813 жыл бұрын
Acha ujinga
@pienciafrancis34343 жыл бұрын
Ongera mama kazi nzuri tunakupenda Sana mama yetu
@abelianraphili51503 жыл бұрын
Mmmh.. mbn hii hongera tuna wasiwas nae
@mwaamwetahussain99473 жыл бұрын
Duuuh nchi imekodishwa unaburuza ulimi na maneno ya uongo
@joakimlotho61173 жыл бұрын
tatizo Tanzanian unakuka kiongoz mkubwa ni muongo sanaa
@the_white_43.3 жыл бұрын
Hiz ndio tabu za kuongozwa na wezi wa kura
@hasankasam55763 жыл бұрын
Mashallah mama allah akupe afya, imani, nguvu, hekma na uwezo inshallah utuongoze vizuri wtt wako katika njia ilionyoka..
@salehmdumbwa61813 жыл бұрын
Fala ww
@kaimuulongo8683 жыл бұрын
Amna kitu hapa
@mbogosodebella89073 жыл бұрын
Tozo ziko juu Sana, hivi mbona tulifanya maendeleo kipindi Cha jpm bila misaada Sasa huu utawala na misaada juu na tozo juu na mafuta juu , mbolea ya mkulima juu, jamani wananchi atutaki siasa tunataka haki.
@khadijachembela59463 жыл бұрын
Hivi unajuwa Kama ali ngumu lakini hata siku kusikia kwa nini mnapandisha vitu onyo hatusikii dah.
@sofiakhan9706Ай бұрын
Kwahiyo hiyo mbolea au mafuta akiingia chadema vitakuwa bei poa ???maana hata ulaya mafuta bei juu sana ???na mbolea hawana shamba wanabarafu wanasema wataleta bure ??? Maana mama kasema karibu wawekezaji wataanza kuzalisha mbolea na tutapata kwa bei poa kwa sasa vinatoka nje sasa tukiandamana tutapata mafuta bei poa ?na mbolea au ????😅😅😅😅
@chiefzumo16883 жыл бұрын
Hatutaki vurugu za kisiasaa Sjui mumeelewaaaaaaaaaa
@ebraniacosmosy20723 жыл бұрын
Mimi ni tozo tu,, kuhusu Mboe sina cha kupinga maana mboe siwezi mwamini ngoja tusubiri mahakama tu..
@elvisoscar99123 жыл бұрын
Mama Mimi naamia Burundi kama alivosema mwigulu nchemba so naenda kuwa mkimbizi Burundi
@pungopungo4113 жыл бұрын
Mheshimiwa raisi uhuru wa habari sio kumtukana mtu hayo matusi yao ni kama chuki binafsi. Hata maskini asiejua leo nitakula nini huwezi kumtukana akakubali.ni lazima kieleweke kwamba kwa nini unanitukana kwa nini unanikashifu. Uhuru wa vyombo hivyo sio kuvunjia.viongozi heshima. Sasa kama hawawataki viongozi wetu basi wawalete baba zao watuogoze kama wana hizo sifa zakuongoza .uongozi ulitoka kwa mungu
@MaritinMerekaАй бұрын
asante sana rais wetu
@abuusahya61303 жыл бұрын
Sikupende ww mamá mungu atakuazibu
@ramadhanisihaka53523 жыл бұрын
Raisi gani haelewek maguli hakua Kama huyu mamA
@danielmatondo60423 жыл бұрын
Pole
@privashirima69033 жыл бұрын
Mh Rais tuone na sis ambao hatuna chama...💯
@jumongjr58373 жыл бұрын
Nkikumbuka Mahubili ya mchungaji #Lolinga nabaki nkiililia Tz
@sagilododomamedelipeter18933 жыл бұрын
Kama mmemkamata mwenyeketi wa chama kwa ugaidi tafsili yake chama Cha chadema ni magaidi? mnalichulia kawaida swala la ugaidi lakn uko nje tunatia doa taifa na tunaenda kupoteza watalii 😭😭
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
yani tumepata rais wa hovyo ambae ajawahi kutokea, huyu mama ni hovyo kbs
@kisokimhagama95263 жыл бұрын
Wa hovyo alikuwaMeendazake. Uhovyo wa Mama ninini?. Jinga sana, halafu mnasema hakuna demokrasia,wakati wa Mzee Mwenda zake ungeongeahivo?
@neemajumanne95883 жыл бұрын
Mie naona kama vituko tuu Tazania ,daa
@godblesskessy55163 жыл бұрын
mtamfunga mbowe Ila ukweli ni kwamba upinzani hauwezi kuisha kamwe
@bongomastory7913 жыл бұрын
Kikeke katika interview alizoboronga ndio hii
@selemanimasatu24213 жыл бұрын
Salim Tozo mbona umezisahau au wewe hufanyi miamala kwenye simu.
@ezekielmbazi.86873 жыл бұрын
R.I.P MAGUFULI
@jitabojilala61623 жыл бұрын
Mh Rais unajishushia heshima kabisa haitakiwi kuhojiwa na wenye maswali kama hawa
@josephshuma19753 жыл бұрын
Mama mwogope MUNGU!!!
@eddykibar82433 жыл бұрын
Hakika
@michaelpasipanofu59203 жыл бұрын
Huwezi kulinganisha Marekani
@gabriellyadam94153 жыл бұрын
Mungu tunaomba utusaidie watanzania tunakutegemea.Mjalie rais wetu mama Samia Suluhu Hassan uwezo wa kutosha kuisimamia nchi hii na watu wote waridhike na kuifurahia nchi yao.tuondolee manunguniko kila kona, tujalie roho ya kuomba na kuiombea nchi yetu kwa moyo wa upendo.usituache maana tutaangamia bila wewe Mungu wetu.katika jina la Yesu Kristo Wanazareti AMEN.
@abdallahmsaka67943 жыл бұрын
Inna lillahi wainnailaihi rajiun.
@samwelmasoya35363 жыл бұрын
Mungu hapendi mwongo
@ibrahimgabriel48283 жыл бұрын
Neno nadhani.. Limeniachia mfadhaiko sana nafsini mwangu ila mungu ni mwingi wa rehema. Na dunia ni njia
@babaghostwawatengwaemanuel81643 жыл бұрын
Amen atajibu soon
@johnbuya9653 жыл бұрын
Mama uko vizuri unafaa sana kuiongoza nchi mawazo yako ni mazuri
@elianifaaluka47903 жыл бұрын
Mama kama unahitaji Mungu ebu fanya kitu katiba mpya mengine baadae
@mwanahawabakari7183 жыл бұрын
Yupo sahihi
@joaneskailembo44853 жыл бұрын
Mweshimiwa Rais unajenga nchi ambayo maisha ya Watanzania yanazidi KUINGIA Gizani? Uchumi unaujengaje law mfano, watangulizi wako wote MFUPA (uchumi) uliwashinda ....! Umetathimini maisha ya wakulima yalivyo... ? Kwa tathimini ndogo tumekwenda mbele au tumerudi nyuma ? Sera yako ni ya maendeleo ya vitu au ya watu ? Nchi hii mfumo wake ni wa ujamaa au ubepari? Daaah naona maswali ni mengi bila majibu
@kulwajuma30293 жыл бұрын
Sijaelewa Ila itabd tuforce kuelewa
@amosisack27383 жыл бұрын
Mama mtoe mbowe kwenye kesi hizo
@jumakapesa52893 жыл бұрын
Fursa hizi zilimfaa sana Tido Muhando. Kikeke habari za michezo.
@godwinmamkwe98253 жыл бұрын
Kikeke umetuletea balaa. Bora ungeondoka na documentary yako ya Mt.Kilimanjaro, bado ungeenda kupata posho ya kazi kuliko hii vurugu ya kisiasa uliyotuibulia kwenda lkulu. Hivi kwa nini haukuwahi kumsogelea JIWE kwa haya uliyoyataka? ona wt wanavyomlalamikia rais wao. Haukuwa muda muafaka kwako kuja kikazi lkulu yetu kwani bado kuna mengi tulikuwa hatujamuelewa mama na safu yake bado alikuwa anaendelea kuipanga kukidhi matamanio ya wa TZ na kuuimarisha uchumi. Tulikuwa tumenyamaza kuhusiana na TOZO hivyo majibu yalikuwa ni matokeo yake kwa lile alilokusudia,asimame siku moja atuoneshe. Kikeke ulikosea kuomba mwaliko wa kikazi Ikulu wakati huu.
@jumanneclement73593 жыл бұрын
Hapa wwe mfisd tuu
@geraldrobert18013 жыл бұрын
Sheria ya vyama vya siasa haisemi hivyo Samia, inasema vyama vinayo haki ya kufanya vikao au mitutano yao ya ndani pasipo kuomba kibali cha polisi, haisemi kwamba wafanye tu vikao vilivyoainishwa na katiba ya chama husika, wanaruhusiwa kufanya mikutano kwa lengo la kuongeza wanachama wao . Uchaguzi unapomalizika, ndipo vyama vilivyoshindwa vinaanza kujiimalisha kwaajili ya uchaguzi ujao , ikiwa ni pamoja na kuongeza wanachama wapya.
@salumumussa25043 жыл бұрын
QQQQQQ
@salumumussa25043 жыл бұрын
QQ
@emanulyamuya99663 жыл бұрын
Sawa mama kazi iendelee tunaitaji eshima kwenye nchii
@valenakomba44533 жыл бұрын
Kweli kabisa mama. Lamuhimu, mama achana nao. Wasikutie pressure. Ukiwafuatilia sana hawa watakuwa da kichwani. Jaribu kuwa mkali. Wasikupotezee dira yako ya uongozi. .
@sagilododomamedelipeter18933 жыл бұрын
Kama ningekupata nafasi ya kusaidia kutoa maoni kuhusu kesi ya mboye mama ni Bora ungesema hiyo kesi iko mahakama,tunasubili maamuzi ya mahakama lakn kusema upelelezi polisi amekamilisha mi cjawahi ona Wala sikia kesi ya ugaidi wakadili nayo polise wakt polisi ni wizala ya Mambo ya ndani nijuavyo Mimi ugaidi ni wizala ya ulinzi polisi na ugaidi wapi na wapi jamani.😭
@fadhilijuma16763 жыл бұрын
Kiukweli kama ni uongo sasa umekua wazi kabisaaaa. Kufanya mikutano ni vurugu za kisiasa. Ni bora angekaa kimya. Ila kipengele cha yeye kuapishwa kilikua sawa. Vyama vinafanya vikao, mikutano, pamoja nakudai katiba ni kwa mujibu wa katiba. Imeeleza hvo. Ni aibu sana.
@Michael001-u2zАй бұрын
BBC please 🙏 mungilie kati hizi vitisho favya police kuwakamata viongozi wetu wakisisa 🤔 wanawasalilisha mbele ya wanana lnchi 😂😂😂😂 🇹🇿 Dear God please remember people of Tanzania 🇹🇿😂🇹🇿 lnauma sana Tumechoka na ufisadi
@abuushuraim3972 жыл бұрын
Nakukubali mama
@simonkisumo70043 жыл бұрын
Kiukwel mama nnch huiwez kanyoneshetu maana Kila kitu mmepandisha Bei wanawake umejizihilisha kabsa hamuwez kutuongoza
@laupetpet77793 жыл бұрын
Nimemussi Raisi Magufuli maana alituonea huruma sisi wa hali ya chini
@omarymkundi58813 жыл бұрын
Mama yuko vizuri big up sana
@rashianboy34993 жыл бұрын
Kama ww ni mwanaume unaonekana ushaolewa ww
@juliusmagunila63083 жыл бұрын
Mama bure kabisa
@magrethmallya77282 жыл бұрын
Mhhh Mungu anakuona, Mbowe sio gaidi, na unajua vizuri. Ila umeamua kumtesa Mungu atakulipia.
@aneth5203 жыл бұрын
Mungu tusaidie
@Ba638283 жыл бұрын
We love our prezidaa
@mrmtulinga78653 жыл бұрын
chapa kazi mama
@benjaminmtebe5009Ай бұрын
Mbona watu wanapotea, wanapigwa risasi, wanauawa Hakuna mtu alikamatwa wala kaupeleka mahakama nchi iko kwenye mtetemo Mhe Rais Samia
@charlesmkisi8052Ай бұрын
Asante mh raisi kwakuturudisha darasani
@delekalxon72213 жыл бұрын
Aise🤔
@PrincePaulIowa3 жыл бұрын
Mambo ni magumu kwa wapinzani lakini kawaida mwanzo wa marekebisho kawaida ni mgumi. Mwaka 1990 tulimpa Mzee yule kura ya ndio, hakukuwa na upinzani lakini mambo yalibadilika. Kwa hiyo ndugu zangu wananchi miaka 20 ijayo wapinzani mtapata sauti safi sana labda na madaraka! 🖖🤣🤣 tuombe Mungu abariki Jamhuri yetu ya Muungano! Bwana Asifiwe, Inshallah! 🥰🇹🇿
@chapaboyclassic39073 жыл бұрын
Wapinzani hawapo tayariii kushika nchi bado hawajasoma mchezooo, labda chama kingine cha upinzani kije na sera bora za kushawishi na sio matusi na marumbano kama chadema badala waseme watafanya nini tukiwapa madaraka wapo kupiga kelele tu na majungu, kumuondoa mbaya ni kuahidi mazuri
@PrincePaulIowa3 жыл бұрын
@@chapaboyclassic3907 hayo yote kweli! Tuombe dua tupate maendeleo kwa wote!
@chapaboyclassic39073 жыл бұрын
@@PrincePaulIowa , ilo ndo jambo tu, siasa za Tanzania 🇹🇿 za kuiga wanataka kisa USA 🇺🇸 limetokea hili nawao iwe hivo, sisi tuwe na sera zetu tena za amani na maendeleooo kama kuna mazuri tutaigia na sio kila kitu. Asili yetu ni kumsikiliza kiongozi anasema nini na sio kuzomea , na tupinge kwa hoja
@@abelianraphili5150 mimi! Mangi! Lakini wote ni Watanzania! Chadema/CCM end of day tujenge taifa 🇹🇿 bora! Hooray 😁
@kobelochamanga97573 жыл бұрын
Sasa mbona tunakamatwa
@madongojr62493 жыл бұрын
Jaman mm naomba mwenye namba ya mbunge wa chalinze(RIZIWANI KIKWETE) anitumie nataka nimuulize hv kweli Hawa wananchi wa chalinze walikubali aunge mkono hii Sheria ya tozo za miamala??? Km hawajamtuma bas naomba ajitokeze na apinge,Mana ckuhiz hatuwatumii ela wazee wetu tunazigiza kweny tashrifu.BRAZA HALI NI TETE wadogo zako tunalumiwa hatutumi hela za kusagia
@mgayasarya35793 жыл бұрын
Mama ni mwislam kweli jamani duuh maisha ya dunian yataumiza wengi sana
@amanikafonogo96953 жыл бұрын
Ask critical questions on next interview with expect iwe hot talk
@NM-yl2uw3 жыл бұрын
unazan maswali ya kikeke hayo? hayo kapangiwa maana hawawez kukuacha ukauliza uliza tu
@lwihurazakayo38643 жыл бұрын
Kumbe !Al Jazeera ni kiboko kwa BBC!
@chidjosh60563 жыл бұрын
Kikeke, unapoteza uweledi wako wa uandishi habari
@geraldenos54163 жыл бұрын
Uongo kwa issue za mbowe
@pendocoster41703 жыл бұрын
Tuna lalamika sana kuhusu tozo hatuja kubali jmn msidanganye kwa Hilo na kuhusu mbowe mungu yupo atamtetea
@esauedison81363 жыл бұрын
Bado sijaelewa kabisa
@imeldasamwel5393 жыл бұрын
Hamna ulichokijibu hapo unajenga au unaangamiza watanzania