Fahamu maisha binafsi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

  Рет қаралды 172,487

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Күн бұрын

Пікірлер: 213
@mohamednagib2594
@mohamednagib2594 2 жыл бұрын
Mimi ni Mkenya lakini nampa heshima sana Rais Samia. Jamani Tanzania imepata Rais ambae anajitahidi kwa kazi kuliko siasa. Yaani yeye kwake ni kazi tu kama marhemu Magufuli. Hongereni sana Tanzania 🇹🇿
@mohamednagib2594
@mohamednagib2594 2 жыл бұрын
Alafu pia she wants to invest more heavily on building infrastructure that will allow easy and fast growth of industrialisation hence boosting up the economy....Mdogo wangu ameowa TZ na anaishi huko. Yeye husifia kuona kila kukicha ujenzi !ujenzi !ujenzi ! wa infrastructure. May God bless you and your family Mama Samia. So much love from Kenya to Tanzania. Pamoja
@elizabethkimbi3336
@elizabethkimbi3336 3 жыл бұрын
Nikwambie kitu rais wangu ili ufanye kazi vizuri lazima lazima ufanye mazoezi pia na massage mara kwa mara uiweke kwenye ratiba yako tafadhali nakuomba tunakuhitaji tunakupenda
@farajikazumari2693
@farajikazumari2693 3 жыл бұрын
RIP magu😿😿
@gastorsirima5761
@gastorsirima5761 3 жыл бұрын
Kunaswali natamani kuuliza bt naipenda familia yangu
@FadyFs
@FadyFs 3 жыл бұрын
Sasa uliandika hapa ili iweje kama ukutaka kusema!
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 2 жыл бұрын
Muda wa kumuhoji J.P.M atakujibu anakwenda kutembelea watz wanyonge wanaosumbuliwa na watumishi wa umma.utajihoji wewe mtangazaji na kumsemea utendaji wake kwa mtizamo wako.
@senolinaswai5593
@senolinaswai5593 3 жыл бұрын
Mama hongera sana kwa utawala wako
@dorahy1579
@dorahy1579 3 жыл бұрын
Kakufaoddha vipi? Wewe angalia maisha yako hawa n wakoraji ba wakora
@captioncapition2574
@captioncapition2574 3 жыл бұрын
Mh mmemuanza nahuyu mmemchimba baba wawatu mpaka kaondoka loo nanyie wazungu weusi mnamambo ilajibu umepata naona utapoa kidogo
@peninacharles9757
@peninacharles9757 3 жыл бұрын
Yaani sikuhizi sitamani kuwa MTanzania
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
Duu
@evampuya4552
@evampuya4552 3 жыл бұрын
Mama toka anazaliwa mungu alishambariki kuwa atakuwa Rais ndo maana hajatumia nguvu kubwa kuupata hivyo bac chochote anachofanya ni mungu anamuongoza tunamuombea mungu ampe afya Njema na maisha marefu
@nusaybanjama1533
@nusaybanjama1533 3 жыл бұрын
😃😃😃nenda Rwanda
@peninacharles9757
@peninacharles9757 3 жыл бұрын
Nitaenda Somalia!
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
@@peninacharles9757 jiorodheshe kwenye Daftari la TUNDU LISSU
@MohamedMohamed-ng2rm
@MohamedMohamed-ng2rm 3 жыл бұрын
Saalim naamini uko na card ya uanachama ccm ukishastaafu job huko njoo uombe ridhaa ya chama uliongoze taifa kwa nafasi ya urais Tafadhali
@marrymenas
@marrymenas 3 жыл бұрын
Utapumzika saa ngapi Mama, kila kukicha ww ni safari nje za nchi. Tanzania utaitembelea lini? Kujua matatizo ya raia?!
@dadaz4653
@dadaz4653 3 жыл бұрын
Kwakweli
@mohamedasaid7910
@mohamedasaid7910 3 жыл бұрын
Hujaelewa. Safari za inje huleta biashara kubwa.Si mahindi yenda Kenya. Kutembea kila mahali Tz ni vizuri lakini silazima.Kuna Waziri Mkuu.Kuna Mawaziri. Muhimu Uchumi unaboreka,kuna amani,Serikali yatoa huduma?
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Huko unakoishi hakuna AFISA MTENDAJI ??? .Akianza kuitembelea TANZANIA yote; haimalizi na hamalizi matatizo YOTE hata kwa miaka 20
@musasabu6969
@musasabu6969 3 жыл бұрын
Mwanangu hadi leo ananiulza et raisi bado ni john pombe nikmwambia alishafaliki anashangaaa xna
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Musa; mwambie mwanao kwamba hata wewe kuna siku UTAKUFA
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 na wewe utakufa vile vile
@twahaally1969
@twahaally1969 3 жыл бұрын
Wajua, Huyu mama, ana kitu HEKIMA NA BUSARA ZA PWANI.
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 жыл бұрын
Upo sawa ndugu huyu mama maashaall amejaliwa hekima heshima busara yani kila kitu mungu ampe maish marefu na afya njema inshalaah
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Rais wetu, Mama wa Taifa, nakupenda hadi basi... Mungu akubariki 🤲🏾💕🌹🇹🇿
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 3 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 da niljua peke yangu kumbe tuko wengi nampenda Sana huyu mama kwa mitazamo yake
@dennisngonyani3464
@dennisngonyani3464 2 жыл бұрын
God is with U endelea na kazi
@pendomarco8928
@pendomarco8928 3 жыл бұрын
Magu sikuona interview yoyote na BBC kweli yule alikuwa Simba akiunguruma huwezi kumsogelea
@queenanna5692
@queenanna5692 3 жыл бұрын
Magufuli hakuwa na muda wa kuongea Ujinga huu
@laurentraphael2697
@laurentraphael2697 2 жыл бұрын
Siku hizi kumekuwa kidg mama yupo kwenye mualiko fulan ya jinsia fulan lkn jinsia nyingine ameitenga sijui inakuaje kama viongozi walio pita nao wangefanya hvy just balance gender
@ototek8037
@ototek8037 3 жыл бұрын
Nyie wote mashabiki wa corona sasa barakowazenu zikowapi? Nyie mnaaminiana ila sisi tuogopane au sio?
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Don't worry, my friend! Wamezingatia umbali (social distance) !
@ototek8037
@ototek8037 3 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 distance inatoka wapi kama virus vimetoka China?
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@natafutapesa9678
@natafutapesa9678 3 жыл бұрын
Mama nchi inapotea hii tozo zinatuumiza sana
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 жыл бұрын
Nchi haipotezwi kwa tozo!
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 3 жыл бұрын
@@TamuzaKale Asante sana Muddy
@dicksonkilupa6881
@dicksonkilupa6881 3 жыл бұрын
@@TamuzaKale NCHI INAZAMA DIMBWINI KWA KUTOKUSIMAMIA KATIBA NA KUKANDAMIZA WANAOHOJI JUU YA MABADILIKO YA KATIBA HAPO TU HUTOPATA USINGIZI , MCHANA KAZINI NA USIKU UTAWANGA TU.
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
Makato yatolewe
@issaissa2373
@issaissa2373 3 жыл бұрын
Salim Kikeke.. What a fantastic anchor, journalist, commentator, and social man. I can't see anyone taking BBC Swahili higher and cooler after your retirement. Fantastic guy👏👏👏👏
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 жыл бұрын
Wenzako TZ tumeweka BIAS. Tunataka maswali yale ya kipinzani. Si maswali hayo soft. Tumetokwa na povu la hatari. Ajabu kabisa!
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Hongera Journalist! Kazi nzuri, weledi mkubwa ! 👋👋👋
@mehboobkarmali5211
@mehboobkarmali5211 3 жыл бұрын
Well done madam president. Keep it up
@denissmjinja523
@denissmjinja523 3 жыл бұрын
Mama Samia we kazii isndlee 2ko pamoja kwa pamoja 2nalijenga Taifa letu ewe mwenyezi mungu utusaidie
@amrimzee7492
@amrimzee7492 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana muheshimiwa Raisi kwa kulihudumia taifa letu kwa upendo usio na kifani 🤝🤝🙏
@frankmganda9585
@frankmganda9585 3 жыл бұрын
Rais nitaasisi kubwa sana tumuombee
@BimkubwaJuma-ew5dg
@BimkubwaJuma-ew5dg 18 күн бұрын
Mama nakupenda niko tayari kukusapoti juu ya mambo yote hayo naskitika sijabahatika kukuona
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 3 жыл бұрын
Kama jpm angekuwepo Marsha yangekuwaje Mazuri Sana Sasa Jovi kla kitu juu
@amosmahona433
@amosmahona433 3 жыл бұрын
Naskiliza na kusoma koments TU Sina la ziada kwangu yote kwa yote nimeyapenda mahojiano haya.
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 2 жыл бұрын
HADITHI ZA PANGU PAKAVU NTILI MCHUZI USHETANI HAUWONGOZI NCHI UNAMKERA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH KUNFAYAKUN MWANAMKE HAONGOZI NCHI KIISILAMU NI MWANAMKE 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🌎🌎💪💪💪🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🌎❤️👀
@PrincePaulIowa
@PrincePaulIowa 3 жыл бұрын
Candid interview, she spoke eloquently and in depth of challenges of balancing public and private life! Hongera Rais wetu!
@dorahy1579
@dorahy1579 3 жыл бұрын
Huna la kupongeza
@PrincePaulIowa
@PrincePaulIowa 3 жыл бұрын
@@dorahy1579 Nampenda Raisi wangu sanaaaa!
@dorahy1579
@dorahy1579 3 жыл бұрын
@@PrincePaulIowa pole zako. Mimi ninapenda Mungu peke yake, mimi mwenyewe na my family members. Wapiga porojo looo!!! Wasaliti loooo!!!!! Wanafiki!!!! Halafu kuna wengine wanapeana sumu ati kwa wengine loooo!!!! Nampenda Mungu wangu sana m
@mathiassalumu5255
@mathiassalumu5255 3 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa Tanzania 2 ipo ck
@twahasaidi7578
@twahasaidi7578 2 жыл бұрын
Aliyataka yeye atajibeba
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 2 жыл бұрын
Hebu jikumbushe jambo moja kzbin.info/www/bejne/b4qWk5JmiNKZj8U
@rosemayunga4021
@rosemayunga4021 2 жыл бұрын
Mg.hapumuziki ajihidhulu akapumuzike na wajukuu tupate nafuuu ya bakuli
@joasitz9559
@joasitz9559 3 жыл бұрын
Great interview, nabaki Africa, nabaki Tanzania
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 3 жыл бұрын
Mama tunateseka kodi Ziko juu Sana punguza ukali WA maisha
@twahasaidi7578
@twahasaidi7578 2 жыл бұрын
Huyo aliyataka iwe hivyo
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 3 жыл бұрын
Kikeke Kama mwanahabari maswali gani unauliza ina maana wewe hujui changamoto za nchi yetu huna habari na yanayoendelea nchi mwetu Dah kweli mswahili ni shida
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 жыл бұрын
Tafuta fulli. Aliuliza maswali unayoyataka!
@abdalaalmas2535
@abdalaalmas2535 3 жыл бұрын
Nakupenda sana raisi wangu.UNA BUSARA SANA
@petersgodwin7200
@petersgodwin7200 3 жыл бұрын
Salim wewe pumba maana umeenda kupata bahasha,mwandishi unaenda kupiga stori
@khatibmtawa9475
@khatibmtawa9475 2 жыл бұрын
Jama kama tuta kwenda hivi hivi basi kuna hasara kubwa baada ya miaka 3 ijayo
@shukransilungwe8802
@shukransilungwe8802 3 жыл бұрын
Kila nikiona coment za watanzania, kiukweli natoka na machozi. Nawaonea huruma kweli, baba jpm ulisha tutelekeza baba hakika mungu atailipa sadaka yako. Lala baba ukuu wa mungu ni mkubwa
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 3 жыл бұрын
Hyo siyohabalikwasasa kwasasa wwnimzaziwataifalote NAC wanyumbani
@danielmashini9244
@danielmashini9244 3 жыл бұрын
Samia muenz jpm kwa vitendo
@ZINDUKAMUISILAMU30
@ZINDUKAMUISILAMU30 3 жыл бұрын
Yn nikimuangalia huyu mama natoka machozi kwa kwel mn
@adoniaceisaya700
@adoniaceisaya700 3 жыл бұрын
TOZO Nyumba
@flolaluambano3215
@flolaluambano3215 3 жыл бұрын
Nilichokupenda kuendeleza milad aliyoacha magu, kama lile daraj na lilr tren la umeme ila tu uyo kikwete anakuharibia mwiz huuyooooooooooolllll
@evancefreddy3775
@evancefreddy3775 3 жыл бұрын
Achia madaraka upumzike maana ata ckuelew unafanya nn kuteua kla siku na msmbo ys chanjo amna kpya mpishe majaliwa n bora kuliko ww
@linkreuben3108
@linkreuben3108 3 жыл бұрын
ET WAMEKUBALI TOZO!! Tuamini hivyo au..?!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
Hahaha
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 жыл бұрын
Ndiyo lakini mumelalamikia kiwango!
@enickosanga4921
@enickosanga4921 3 жыл бұрын
Umelala magufuliiii jembeeee
@NuriatyJeimali
@NuriatyJeimali 6 ай бұрын
Mm.akupenda.bure.mavaziyako.tuu
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 3 жыл бұрын
Napendezewa Sana Mheshimiwa Rais akijizungumzia ako so humble na Hana makuu kabisaa safii mama tusonge mbele na Kazi iendelee
@bakarinassoro2324
@bakarinassoro2324 3 жыл бұрын
kka unapoteya sana hakuna chocho
@bakarinassoro2324
@bakarinassoro2324 3 жыл бұрын
hakuna kama magufuri
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 жыл бұрын
Hakuna kama Samia!
@nusaybanjama1533
@nusaybanjama1533 3 жыл бұрын
Ni kweli hakuna kama.magufuli. Muulizeni Sabaya atawaeleza vizuri 😂😂😂😃
@abdullahjuma9206
@abdullahjuma9206 3 жыл бұрын
kwako wewe siyo wote
@eliyajeremia1447
@eliyajeremia1447 3 жыл бұрын
Nakwangu hakuna kama magufuri
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 жыл бұрын
Nmm
@crayboytz2736
@crayboytz2736 3 жыл бұрын
Mama utakufa lin mama plz kufa tu watanzaniaa hatukupend
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁
@omarykusah9719
@omarykusah9719 3 жыл бұрын
Mungu ibarik Tz ya Aman nataman ciku moja tufikie mafanio makubw kazi endeleee tupige Kaz tutafk 2
@zawadigerald7805
@zawadigerald7805 6 ай бұрын
I LOVE U MAMAAAAAAA❤❤❤❤❤MWAAAA NAKUPENDA SAANA UMEBARIKIWA KULIKO WANAWAKE WOTE YOR ARE THE BEST
@neemansasu9761
@neemansasu9761 3 жыл бұрын
Safari za nje nyingi
@patrikpatrik2916
@patrikpatrik2916 2 жыл бұрын
Mwana nchi jenga nchi kula nchi acha nchi.
@HRmanco-yd3lf
@HRmanco-yd3lf 5 ай бұрын
Natamani wanawake wote wangeongea kama ww rais wetu pendwa mungu akupe umri mrefu 🙏🇹🇿
@melkizedekiwiliam5533
@melkizedekiwiliam5533 3 жыл бұрын
du! Sentensi kali na nzur! Ngoja nimnukuu"JINSI UNAVYOPANDA YANAZID KUKUTOKA" hakika ni kweli mama.
@sitellamatni6878
@sitellamatni6878 3 жыл бұрын
Wewe mwanamke nimwenda zimu hatukupendi wajipendekeza tu
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Hakika Mungu akuhurumie ww mwanamke Stella
@abdullahjuma9206
@abdullahjuma9206 3 жыл бұрын
roho mbaya haijengi mwenzio kapewa urais na mungu kufa kwa chuki
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Hata wewe hatukupendi, na si ajabu wewe MGUMBA
@amosmoses7800
@amosmoses7800 3 жыл бұрын
InChi yetu inaChuKi za uDini uLio mkuBwA saNA. Ni kweLi inaBaini kwA kuzionA hiZi comments. WaiSlaMu waNachuKiWa mNo huKo TZ. ATA mtaNgaZaJi akiWa tu muisLaMu basi HiYo interview WataiPonDA . ChuKi .ChuKi ChuKi ChuKi za dini . Mimi Ni MluTheLi nipo poA
@abdullahjuma9206
@abdullahjuma9206 3 жыл бұрын
wacha wafe na chuki zao masenge
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Amos..... Bob Marley aliwahi kuimba hivi " Who the cap fit, let them wear it"
@mattyhappy1581
@mattyhappy1581 2 жыл бұрын
Pole sana mama kwa kukosa muda Mungu akubariki kwa kujituma
@monicalushola443
@monicalushola443 3 жыл бұрын
Et kila leo lenyewe ni kuongelea Matoto yake2 ss hayatuhusu
@abdullahjuma9206
@abdullahjuma9206 3 жыл бұрын
mmh acha jazba
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆 we anakujua hadi akuongelee?
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Unaonyesha USUKUMA wako
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 achana na wasukuma pita hivi kwan kaongea uongo rais wa nchi sisi familia yake aituhusu mfyuuuuu
@skypast2482
@skypast2482 3 жыл бұрын
Mimi ninamtoto wangu ananuku maneno ya makufuli anasema Mimi menzenu chanjo hizifai mwanangu huyo
@abdullahjuma9206
@abdullahjuma9206 3 жыл бұрын
hujalazimishwa hutaki unaacha
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
CHANJO hutaki, ila Mambo fulani .....umo eeeeh
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
Chanjo za nini corona tz aipo
@chazp6436
@chazp6436 3 жыл бұрын
BBC unawasikiliza tozo husikilizi wananchi
@mwenetv7220
@mwenetv7220 10 ай бұрын
Wewe ni mama wa nguvu tz mungu akupe maisha malefu tunakutegemea 25
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 3 жыл бұрын
Tunakupenda sana Yaan Rais Wetu
@dennisngonyani3464
@dennisngonyani3464 2 жыл бұрын
God is with U...... Endelea kuchapa kazi
@azizbatlehotjr3171
@azizbatlehotjr3171 3 жыл бұрын
Genious... i love ur Hustle My PrezDar
@hamoudsaid5582
@hamoudsaid5582 3 жыл бұрын
Hovyoooooo
@mussajeremia9072
@mussajeremia9072 Жыл бұрын
Piss kali
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 2 жыл бұрын
Mungu akutunze raisi wangu bonge la interview
@fadhiliobety6648
@fadhiliobety6648 2 жыл бұрын
Vizani
@consolatamlango8642
@consolatamlango8642 3 жыл бұрын
umeruusu njanjo ili tufe
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Amekuwa wa kwanza kuonyesha mfano wa kuchanjwa mbele ya Umma! Yy kama Mama wa watoto, Mke wa mtu, Bibi wa wajukuu, Rais wa Nchi na Amiri Jeshi wa majeshi yote ya Tanzania, unafikiri yy hayapendi maisha yake?
@chazp6436
@chazp6436 3 жыл бұрын
Sasa kutwa kudhurura watakuonaje hao wajukuu au watoto ??
@nusaybanjama1533
@nusaybanjama1533 3 жыл бұрын
Acha ushamba rais lazima atoke nje ya nchi. Wewe kama.hukupata nafasi hata ya kutoka hapo ulipo unahasara kubwa na utakua na akili mgando
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 mbona mdhululo
@khahkhas230
@khahkhas230 3 жыл бұрын
Allah akupe afya Rais wetu mpenzi wetu
@dorahy1579
@dorahy1579 3 жыл бұрын
Hahaha mnachekesha
@AzainTv
@AzainTv 3 жыл бұрын
Aamin
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 жыл бұрын
Jisemee nafsi yako km unampenda mwenyewe
@jumarocky9544
@jumarocky9544 3 жыл бұрын
Nakupenda sana RAIS wangu 🇹🇿
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps 3 жыл бұрын
Tozo zipunguzwe
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
Zitolewe kwan mzee yeye alifanyaje maendeleo tuliyaona na makato ayakuwepo na nchi yet ni tajili
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 3 жыл бұрын
Jitaindi kutemberea wananchi kuriko safari zanje watanzania tuna shinda nyingi sana
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Hivi wewe ulitembelewa na HAYATI MAGUFULI ????
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 magufur aliipenda hii nchi na ndo maana ziara nyingi alifanya hapahapa alitutembelea kujua changamoto zetu
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 2 жыл бұрын
@@gracejonh4022 unakumbukumbu nzuri ???? Uliwahi KUMUONA MAGUFULI mkoani MTWARA ???? Jaribu kuwa MKWELI
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 angefka tu kwan alikuwa amemaliza mda wake na alikuwa ni mtu mwenye mipango mizur nchi nzima
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 2 жыл бұрын
@@gracejonh4022 kwa Taarifa yako wala kwenye KAMPENI hakufika.
@alimachiusaugustine1445
@alimachiusaugustine1445 3 жыл бұрын
Mimi ninachokuombea ,ufuate nyayo za Magufuli
@nisetameena9276
@nisetameena9276 2 жыл бұрын
NAPIGA KWA MOTO WA ROHO MTAKATIFU KWA JINA LA YESU AMEN.
@davallamchambe5275
@davallamchambe5275 3 жыл бұрын
Ibada muhimu
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 3 жыл бұрын
Watanzania tuombe Mungu hatuna Rais Mungu aisimamie nchi yetu tuvuke salama
@TamuzaKale
@TamuzaKale 3 жыл бұрын
Hauna rais ni wewe. Watanzania wanaye rais!
@sadiqueibrahim5439
@sadiqueibrahim5439 3 жыл бұрын
Weee Godfrey pumbu nini huyu ndo taidi wetu
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Si umfate TUNDU LISSU ??????
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 3 жыл бұрын
Maisha ya uongozi magumu sana, ila Mungu akuongoze Mama Afrika
@dorahy1579
@dorahy1579 3 жыл бұрын
She is not Mama Africa. Ni mama yenu nyie huko mliko.
@deathrow8004
@deathrow8004 3 жыл бұрын
Aaaaaaah aaaaaaah Ukakasi tu ..🤯🙄
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
😁😁😁😁
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 жыл бұрын
What do you actually do apart from overseas tours?
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 жыл бұрын
haya mambo tunayata sio mambo magumu kama nchi nzima ni Ma engineer
@esthershirima1166
@esthershirima1166 3 жыл бұрын
hahahah hii filamu inaitwaje jmn
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 жыл бұрын
😆😆😆
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 3 жыл бұрын
Mama unasapotiwa Sana kuliko kutembelea miradi
@shakiEntmtTv
@shakiEntmtTv 2 жыл бұрын
This woman is extract i know why he picked her.
@samorasilayo8924
@samorasilayo8924 3 жыл бұрын
hatukupendi kabisa watanzania tulilasimishwa na katiba
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 3 жыл бұрын
Ndio maana huwezi kusema zi unasema si kwaroho mbaya. Huyu ndio rais mpaka 2030 ujipange
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
@@ameedamilja7992 Afadhali UMUELIMISHE. Na hasemi UKWELI kwamba Mkewe hampendi na KAMKIMBIA
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
Samora pamoja sn katiba imemuweka hapo sio sisi
@paulosimpamba7587
@paulosimpamba7587 3 жыл бұрын
Uyu siyo raisi watanzania kazi munao Zambia
@pendomarco8928
@pendomarco8928 3 жыл бұрын
Mama safar zinakuchosha
@abreendenuryn2916
@abreendenuryn2916 3 жыл бұрын
Hakn. Mafanikio bila ya kutoka njee
@mussanganda505
@mussanganda505 3 жыл бұрын
Msariti mkubwa,
@nyamaigestephano8573
@nyamaigestephano8573 3 жыл бұрын
je baba anakuwa wapi.mazoezi ya baba na mama
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 3 жыл бұрын
Rais wa nchi anazungumza na BBC
@kilimanjaro_media
@kilimanjaro_media 3 жыл бұрын
Angalia interview ya mwisho ya Gadaff
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Kuzungumza na BBC ni shida? Jiandae, next time, atazungumza na CNN etc... Hivi karibuni mtamuona Mama kwenye majukwaa ya UN na EU... Mtateseka sana na ujinga wenu:-)
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Wewe mbona jina lako " ELVIS" ni la mfagizi wa CHOO cha BBC
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 3 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 na ilo la misnk Ni la mdeki choo Cha soko mwananyamala
@emmanuelzao
@emmanuelzao 3 жыл бұрын
😎
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 жыл бұрын
Kula nchi mama
@moiben663
@moiben663 3 жыл бұрын
Twahitaji mahojiano marefu
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 3 жыл бұрын
Mama ones miradi yakiuchumi ndani ya nchi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
Upumzike huku umependa kutusaidia??
@mangumanjobola4444
@mangumanjobola4444 3 жыл бұрын
Hii huo .ni
@bolelambunda6554
@bolelambunda6554 3 жыл бұрын
Nenda kenya
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 3 жыл бұрын
Fikiri kabla ya kuandika...
@yasinigmaskaniyasini5317
@yasinigmaskaniyasini5317 3 жыл бұрын
Nani anae kumic
Usinione mpole , nina ujasiri
29:49
BBC News Swahili
Рет қаралды 158 М.
Please Help This Poor Boy 🙏
00:40
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 20 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
HISTORIA YA SHEIKH MSELEM HADI KUINGIA GEREZANI (EPISODE 2)
30:52
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 27 М.
129th IOC Session - Keynote speech by Professor Muhammad Yunus
1:26:36
Jenerali Ulimwengu: Samia haijui nchi, amefanya makosa makubwa
8:14
Mwanahabari Digital
Рет қаралды 216 М.
Noam Chomsky - Why Does the U.S. Support Israel?
7:41
Chomsky's Philosophy
Рет қаралды 6 МЛН
Please Help This Poor Boy 🙏
00:40
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 20 МЛН