Mimi ni Mkenya lakini nampa heshima sana Rais Samia. Jamani Tanzania imepata Rais ambae anajitahidi kwa kazi kuliko siasa. Yaani yeye kwake ni kazi tu kama marhemu Magufuli. Hongereni sana Tanzania 🇹🇿
@mohamednagib25942 жыл бұрын
Alafu pia she wants to invest more heavily on building infrastructure that will allow easy and fast growth of industrialisation hence boosting up the economy....Mdogo wangu ameowa TZ na anaishi huko. Yeye husifia kuona kila kukicha ujenzi !ujenzi !ujenzi ! wa infrastructure. May God bless you and your family Mama Samia. So much love from Kenya to Tanzania. Pamoja
@elizabethkimbi33363 жыл бұрын
Nikwambie kitu rais wangu ili ufanye kazi vizuri lazima lazima ufanye mazoezi pia na massage mara kwa mara uiweke kwenye ratiba yako tafadhali nakuomba tunakuhitaji tunakupenda
@farajikazumari26933 жыл бұрын
RIP magu😿😿
@gastorsirima57613 жыл бұрын
Kunaswali natamani kuuliza bt naipenda familia yangu
@FadyFs3 жыл бұрын
Sasa uliandika hapa ili iweje kama ukutaka kusema!
@erickchitumbi13082 жыл бұрын
Muda wa kumuhoji J.P.M atakujibu anakwenda kutembelea watz wanyonge wanaosumbuliwa na watumishi wa umma.utajihoji wewe mtangazaji na kumsemea utendaji wake kwa mtizamo wako.
@senolinaswai55933 жыл бұрын
Mama hongera sana kwa utawala wako
@dorahy15793 жыл бұрын
Kakufaoddha vipi? Wewe angalia maisha yako hawa n wakoraji ba wakora
@captioncapition25743 жыл бұрын
Mh mmemuanza nahuyu mmemchimba baba wawatu mpaka kaondoka loo nanyie wazungu weusi mnamambo ilajibu umepata naona utapoa kidogo
@peninacharles97573 жыл бұрын
Yaani sikuhizi sitamani kuwa MTanzania
@trophywilson72113 жыл бұрын
Duu
@evampuya45523 жыл бұрын
Mama toka anazaliwa mungu alishambariki kuwa atakuwa Rais ndo maana hajatumia nguvu kubwa kuupata hivyo bac chochote anachofanya ni mungu anamuongoza tunamuombea mungu ampe afya Njema na maisha marefu
@nusaybanjama15333 жыл бұрын
😃😃😃nenda Rwanda
@peninacharles97573 жыл бұрын
Nitaenda Somalia!
@minskbelarus72553 жыл бұрын
@@peninacharles9757 jiorodheshe kwenye Daftari la TUNDU LISSU
@MohamedMohamed-ng2rm3 жыл бұрын
Saalim naamini uko na card ya uanachama ccm ukishastaafu job huko njoo uombe ridhaa ya chama uliongoze taifa kwa nafasi ya urais Tafadhali
@marrymenas3 жыл бұрын
Utapumzika saa ngapi Mama, kila kukicha ww ni safari nje za nchi. Tanzania utaitembelea lini? Kujua matatizo ya raia?!
@dadaz46533 жыл бұрын
Kwakweli
@mohamedasaid79103 жыл бұрын
Hujaelewa. Safari za inje huleta biashara kubwa.Si mahindi yenda Kenya. Kutembea kila mahali Tz ni vizuri lakini silazima.Kuna Waziri Mkuu.Kuna Mawaziri. Muhimu Uchumi unaboreka,kuna amani,Serikali yatoa huduma?
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Huko unakoishi hakuna AFISA MTENDAJI ??? .Akianza kuitembelea TANZANIA yote; haimalizi na hamalizi matatizo YOTE hata kwa miaka 20
@musasabu69693 жыл бұрын
Mwanangu hadi leo ananiulza et raisi bado ni john pombe nikmwambia alishafaliki anashangaaa xna
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Musa; mwambie mwanao kwamba hata wewe kuna siku UTAKUFA
@gracejonh40222 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 na wewe utakufa vile vile
@twahaally19693 жыл бұрын
Wajua, Huyu mama, ana kitu HEKIMA NA BUSARA ZA PWANI.
@halimamasai22343 жыл бұрын
Upo sawa ndugu huyu mama maashaall amejaliwa hekima heshima busara yani kila kitu mungu ampe maish marefu na afya njema inshalaah
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Rais wetu, Mama wa Taifa, nakupenda hadi basi... Mungu akubariki 🤲🏾💕🌹🇹🇿
@hadijamandanje61893 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 da niljua peke yangu kumbe tuko wengi nampenda Sana huyu mama kwa mitazamo yake
@dennisngonyani34642 жыл бұрын
God is with U endelea na kazi
@pendomarco89283 жыл бұрын
Magu sikuona interview yoyote na BBC kweli yule alikuwa Simba akiunguruma huwezi kumsogelea
@queenanna56923 жыл бұрын
Magufuli hakuwa na muda wa kuongea Ujinga huu
@laurentraphael26972 жыл бұрын
Siku hizi kumekuwa kidg mama yupo kwenye mualiko fulan ya jinsia fulan lkn jinsia nyingine ameitenga sijui inakuaje kama viongozi walio pita nao wangefanya hvy just balance gender
@ototek80373 жыл бұрын
Nyie wote mashabiki wa corona sasa barakowazenu zikowapi? Nyie mnaaminiana ila sisi tuogopane au sio?
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Don't worry, my friend! Wamezingatia umbali (social distance) !
@ototek80373 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 distance inatoka wapi kama virus vimetoka China?
@gracejonh40222 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@natafutapesa96783 жыл бұрын
Mama nchi inapotea hii tozo zinatuumiza sana
@TamuzaKale3 жыл бұрын
Nchi haipotezwi kwa tozo!
@smukelomkhize97753 жыл бұрын
@@TamuzaKale Asante sana Muddy
@dicksonkilupa68813 жыл бұрын
@@TamuzaKale NCHI INAZAMA DIMBWINI KWA KUTOKUSIMAMIA KATIBA NA KUKANDAMIZA WANAOHOJI JUU YA MABADILIKO YA KATIBA HAPO TU HUTOPATA USINGIZI , MCHANA KAZINI NA USIKU UTAWANGA TU.
@gracejonh40222 жыл бұрын
Makato yatolewe
@issaissa23733 жыл бұрын
Salim Kikeke.. What a fantastic anchor, journalist, commentator, and social man. I can't see anyone taking BBC Swahili higher and cooler after your retirement. Fantastic guy👏👏👏👏
@TamuzaKale3 жыл бұрын
Wenzako TZ tumeweka BIAS. Tunataka maswali yale ya kipinzani. Si maswali hayo soft. Tumetokwa na povu la hatari. Ajabu kabisa!
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Hongera Journalist! Kazi nzuri, weledi mkubwa ! 👋👋👋
@mehboobkarmali52113 жыл бұрын
Well done madam president. Keep it up
@denissmjinja5233 жыл бұрын
Mama Samia we kazii isndlee 2ko pamoja kwa pamoja 2nalijenga Taifa letu ewe mwenyezi mungu utusaidie
@amrimzee74922 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana muheshimiwa Raisi kwa kulihudumia taifa letu kwa upendo usio na kifani 🤝🤝🙏
@frankmganda95853 жыл бұрын
Rais nitaasisi kubwa sana tumuombee
@BimkubwaJuma-ew5dg18 күн бұрын
Mama nakupenda niko tayari kukusapoti juu ya mambo yote hayo naskitika sijabahatika kukuona
@emanuelmlowe68543 жыл бұрын
Kama jpm angekuwepo Marsha yangekuwaje Mazuri Sana Sasa Jovi kla kitu juu
@amosmahona4333 жыл бұрын
Naskiliza na kusoma koments TU Sina la ziada kwangu yote kwa yote nimeyapenda mahojiano haya.
@alihijiiddi89772 жыл бұрын
HADITHI ZA PANGU PAKAVU NTILI MCHUZI USHETANI HAUWONGOZI NCHI UNAMKERA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH KUNFAYAKUN MWANAMKE HAONGOZI NCHI KIISILAMU NI MWANAMKE 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🌎🌎💪💪💪🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🌎❤️👀
@PrincePaulIowa3 жыл бұрын
Candid interview, she spoke eloquently and in depth of challenges of balancing public and private life! Hongera Rais wetu!
@dorahy15793 жыл бұрын
Huna la kupongeza
@PrincePaulIowa3 жыл бұрын
@@dorahy1579 Nampenda Raisi wangu sanaaaa!
@dorahy15793 жыл бұрын
@@PrincePaulIowa pole zako. Mimi ninapenda Mungu peke yake, mimi mwenyewe na my family members. Wapiga porojo looo!!! Wasaliti loooo!!!!! Wanafiki!!!! Halafu kuna wengine wanapeana sumu ati kwa wengine loooo!!!! Nampenda Mungu wangu sana m
@mathiassalumu52553 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa Tanzania 2 ipo ck
@twahasaidi75782 жыл бұрын
Aliyataka yeye atajibeba
@richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын
Hebu jikumbushe jambo moja kzbin.info/www/bejne/b4qWk5JmiNKZj8U
@rosemayunga40212 жыл бұрын
Mg.hapumuziki ajihidhulu akapumuzike na wajukuu tupate nafuuu ya bakuli
@joasitz95593 жыл бұрын
Great interview, nabaki Africa, nabaki Tanzania
@emanuelmlowe68543 жыл бұрын
Mama tunateseka kodi Ziko juu Sana punguza ukali WA maisha
@twahasaidi75782 жыл бұрын
Huyo aliyataka iwe hivyo
@godfreymwamaso24243 жыл бұрын
Kikeke Kama mwanahabari maswali gani unauliza ina maana wewe hujui changamoto za nchi yetu huna habari na yanayoendelea nchi mwetu Dah kweli mswahili ni shida
@TamuzaKale3 жыл бұрын
Tafuta fulli. Aliuliza maswali unayoyataka!
@abdalaalmas25353 жыл бұрын
Nakupenda sana raisi wangu.UNA BUSARA SANA
@petersgodwin72003 жыл бұрын
Salim wewe pumba maana umeenda kupata bahasha,mwandishi unaenda kupiga stori
@khatibmtawa94752 жыл бұрын
Jama kama tuta kwenda hivi hivi basi kuna hasara kubwa baada ya miaka 3 ijayo
@shukransilungwe88023 жыл бұрын
Kila nikiona coment za watanzania, kiukweli natoka na machozi. Nawaonea huruma kweli, baba jpm ulisha tutelekeza baba hakika mungu atailipa sadaka yako. Lala baba ukuu wa mungu ni mkubwa
Yn nikimuangalia huyu mama natoka machozi kwa kwel mn
@adoniaceisaya7003 жыл бұрын
TOZO Nyumba
@flolaluambano32153 жыл бұрын
Nilichokupenda kuendeleza milad aliyoacha magu, kama lile daraj na lilr tren la umeme ila tu uyo kikwete anakuharibia mwiz huuyooooooooooolllll
@evancefreddy37753 жыл бұрын
Achia madaraka upumzike maana ata ckuelew unafanya nn kuteua kla siku na msmbo ys chanjo amna kpya mpishe majaliwa n bora kuliko ww
@linkreuben31083 жыл бұрын
ET WAMEKUBALI TOZO!! Tuamini hivyo au..?!
@trophywilson72113 жыл бұрын
Hahaha
@TamuzaKale3 жыл бұрын
Ndiyo lakini mumelalamikia kiwango!
@enickosanga49213 жыл бұрын
Umelala magufuliiii jembeeee
@NuriatyJeimali6 ай бұрын
Mm.akupenda.bure.mavaziyako.tuu
@michaelbwoma27603 жыл бұрын
Napendezewa Sana Mheshimiwa Rais akijizungumzia ako so humble na Hana makuu kabisaa safii mama tusonge mbele na Kazi iendelee
@bakarinassoro23243 жыл бұрын
kka unapoteya sana hakuna chocho
@bakarinassoro23243 жыл бұрын
hakuna kama magufuri
@TamuzaKale3 жыл бұрын
Hakuna kama Samia!
@nusaybanjama15333 жыл бұрын
Ni kweli hakuna kama.magufuli. Muulizeni Sabaya atawaeleza vizuri 😂😂😂😃
@abdullahjuma92063 жыл бұрын
kwako wewe siyo wote
@eliyajeremia14473 жыл бұрын
Nakwangu hakuna kama magufuri
@happinesszabron68113 жыл бұрын
Nmm
@crayboytz27363 жыл бұрын
Mama utakufa lin mama plz kufa tu watanzaniaa hatukupend
@gracejonh40222 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁
@omarykusah97193 жыл бұрын
Mungu ibarik Tz ya Aman nataman ciku moja tufikie mafanio makubw kazi endeleee tupige Kaz tutafk 2
@zawadigerald78056 ай бұрын
I LOVE U MAMAAAAAAA❤❤❤❤❤MWAAAA NAKUPENDA SAANA UMEBARIKIWA KULIKO WANAWAKE WOTE YOR ARE THE BEST
@neemansasu97613 жыл бұрын
Safari za nje nyingi
@patrikpatrik29162 жыл бұрын
Mwana nchi jenga nchi kula nchi acha nchi.
@HRmanco-yd3lf5 ай бұрын
Natamani wanawake wote wangeongea kama ww rais wetu pendwa mungu akupe umri mrefu 🙏🇹🇿
@melkizedekiwiliam55333 жыл бұрын
du! Sentensi kali na nzur! Ngoja nimnukuu"JINSI UNAVYOPANDA YANAZID KUKUTOKA" hakika ni kweli mama.
@sitellamatni68783 жыл бұрын
Wewe mwanamke nimwenda zimu hatukupendi wajipendekeza tu
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Hakika Mungu akuhurumie ww mwanamke Stella
@abdullahjuma92063 жыл бұрын
roho mbaya haijengi mwenzio kapewa urais na mungu kufa kwa chuki
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Hata wewe hatukupendi, na si ajabu wewe MGUMBA
@amosmoses78003 жыл бұрын
InChi yetu inaChuKi za uDini uLio mkuBwA saNA. Ni kweLi inaBaini kwA kuzionA hiZi comments. WaiSlaMu waNachuKiWa mNo huKo TZ. ATA mtaNgaZaJi akiWa tu muisLaMu basi HiYo interview WataiPonDA . ChuKi .ChuKi ChuKi ChuKi za dini . Mimi Ni MluTheLi nipo poA
@abdullahjuma92063 жыл бұрын
wacha wafe na chuki zao masenge
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Amos..... Bob Marley aliwahi kuimba hivi " Who the cap fit, let them wear it"
@mattyhappy15812 жыл бұрын
Pole sana mama kwa kukosa muda Mungu akubariki kwa kujituma
@monicalushola4433 жыл бұрын
Et kila leo lenyewe ni kuongelea Matoto yake2 ss hayatuhusu
@abdullahjuma92063 жыл бұрын
mmh acha jazba
@happinesszabron68113 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆 we anakujua hadi akuongelee?
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Unaonyesha USUKUMA wako
@gracejonh40222 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 achana na wasukuma pita hivi kwan kaongea uongo rais wa nchi sisi familia yake aituhusu mfyuuuuu
Wewe ni mama wa nguvu tz mungu akupe maisha malefu tunakutegemea 25
@smukelomkhize97753 жыл бұрын
Tunakupenda sana Yaan Rais Wetu
@dennisngonyani34642 жыл бұрын
God is with U...... Endelea kuchapa kazi
@azizbatlehotjr31713 жыл бұрын
Genious... i love ur Hustle My PrezDar
@hamoudsaid55823 жыл бұрын
Hovyoooooo
@mussajeremia9072 Жыл бұрын
Piss kali
@jasirimjasirimedia79402 жыл бұрын
Mungu akutunze raisi wangu bonge la interview
@fadhiliobety66482 жыл бұрын
Vizani
@consolatamlango86423 жыл бұрын
umeruusu njanjo ili tufe
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Amekuwa wa kwanza kuonyesha mfano wa kuchanjwa mbele ya Umma! Yy kama Mama wa watoto, Mke wa mtu, Bibi wa wajukuu, Rais wa Nchi na Amiri Jeshi wa majeshi yote ya Tanzania, unafikiri yy hayapendi maisha yake?
@chazp64363 жыл бұрын
Sasa kutwa kudhurura watakuonaje hao wajukuu au watoto ??
@nusaybanjama15333 жыл бұрын
Acha ushamba rais lazima atoke nje ya nchi. Wewe kama.hukupata nafasi hata ya kutoka hapo ulipo unahasara kubwa na utakua na akili mgando
@gracejonh40222 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 mbona mdhululo
@khahkhas2303 жыл бұрын
Allah akupe afya Rais wetu mpenzi wetu
@dorahy15793 жыл бұрын
Hahaha mnachekesha
@AzainTv3 жыл бұрын
Aamin
@happinesszabron68113 жыл бұрын
Jisemee nafsi yako km unampenda mwenyewe
@jumarocky95443 жыл бұрын
Nakupenda sana RAIS wangu 🇹🇿
@Bruno-ed1ps3 жыл бұрын
Tozo zipunguzwe
@gracejonh40222 жыл бұрын
Zitolewe kwan mzee yeye alifanyaje maendeleo tuliyaona na makato ayakuwepo na nchi yet ni tajili
@vumilialeonardi1093 жыл бұрын
Jitaindi kutemberea wananchi kuriko safari zanje watanzania tuna shinda nyingi sana
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Hivi wewe ulitembelewa na HAYATI MAGUFULI ????
@gracejonh40222 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 magufur aliipenda hii nchi na ndo maana ziara nyingi alifanya hapahapa alitutembelea kujua changamoto zetu
@@minskbelarus7255 angefka tu kwan alikuwa amemaliza mda wake na alikuwa ni mtu mwenye mipango mizur nchi nzima
@minskbelarus72552 жыл бұрын
@@gracejonh4022 kwa Taarifa yako wala kwenye KAMPENI hakufika.
@alimachiusaugustine14453 жыл бұрын
Mimi ninachokuombea ,ufuate nyayo za Magufuli
@nisetameena92762 жыл бұрын
NAPIGA KWA MOTO WA ROHO MTAKATIFU KWA JINA LA YESU AMEN.
@davallamchambe52753 жыл бұрын
Ibada muhimu
@godfreymwamaso24243 жыл бұрын
Watanzania tuombe Mungu hatuna Rais Mungu aisimamie nchi yetu tuvuke salama
@TamuzaKale3 жыл бұрын
Hauna rais ni wewe. Watanzania wanaye rais!
@sadiqueibrahim54393 жыл бұрын
Weee Godfrey pumbu nini huyu ndo taidi wetu
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Si umfate TUNDU LISSU ??????
@davidwalalason76303 жыл бұрын
Maisha ya uongozi magumu sana, ila Mungu akuongoze Mama Afrika
@dorahy15793 жыл бұрын
She is not Mama Africa. Ni mama yenu nyie huko mliko.
@deathrow80043 жыл бұрын
Aaaaaaah aaaaaaah Ukakasi tu ..🤯🙄
@gracejonh40222 жыл бұрын
😁😁😁😁
@adam-saffi2112 жыл бұрын
What do you actually do apart from overseas tours?
@ndukulusudikucho_3 жыл бұрын
haya mambo tunayata sio mambo magumu kama nchi nzima ni Ma engineer
@esthershirima11663 жыл бұрын
hahahah hii filamu inaitwaje jmn
@happinesszabron68113 жыл бұрын
😆😆😆
@emanuelmlowe68543 жыл бұрын
Mama unasapotiwa Sana kuliko kutembelea miradi
@shakiEntmtTv2 жыл бұрын
This woman is extract i know why he picked her.
@samorasilayo89243 жыл бұрын
hatukupendi kabisa watanzania tulilasimishwa na katiba
@ameedamilja79923 жыл бұрын
Ndio maana huwezi kusema zi unasema si kwaroho mbaya. Huyu ndio rais mpaka 2030 ujipange
@minskbelarus72553 жыл бұрын
@@ameedamilja7992 Afadhali UMUELIMISHE. Na hasemi UKWELI kwamba Mkewe hampendi na KAMKIMBIA
@gracejonh40222 жыл бұрын
Samora pamoja sn katiba imemuweka hapo sio sisi
@paulosimpamba75873 жыл бұрын
Uyu siyo raisi watanzania kazi munao Zambia
@pendomarco89283 жыл бұрын
Mama safar zinakuchosha
@abreendenuryn29163 жыл бұрын
Hakn. Mafanikio bila ya kutoka njee
@mussanganda5053 жыл бұрын
Msariti mkubwa,
@nyamaigestephano85733 жыл бұрын
je baba anakuwa wapi.mazoezi ya baba na mama
@elvisoscar99123 жыл бұрын
Rais wa nchi anazungumza na BBC
@kilimanjaro_media3 жыл бұрын
Angalia interview ya mwisho ya Gadaff
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Kuzungumza na BBC ni shida? Jiandae, next time, atazungumza na CNN etc... Hivi karibuni mtamuona Mama kwenye majukwaa ya UN na EU... Mtateseka sana na ujinga wenu:-)
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Wewe mbona jina lako " ELVIS" ni la mfagizi wa CHOO cha BBC
@elvisoscar99123 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 na ilo la misnk Ni la mdeki choo Cha soko mwananyamala