VIDEO: RAIS SAMIA ASIMULIA TUSIYOYAJUA, 'SIKU YA KWANZA CHUONI NILILIA SANA, MWAKA 1988 NILIAJIRIWA'

  Рет қаралды 28,251

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 53
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq 6 ай бұрын
Dah! Aisee! Hawa viongozi hasa Wakina MAMA tusiwachukulie powa Yaani wanatoka Mbaliii na wanapitia mapito magumu🤔 Ongera Rais SAMIA SULUHU kwa mapito uliopitia hadi kufikia hapo MUNGU akusaidie ufike mbaaali zaidi 😍Pia malezi yalikua mazuri Nampa hongera Mzee SULUHU kwamalezi yake kwako 😊😍💯✅
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 6 ай бұрын
Uchawa unawasumbua sana vijana wa kitanzania
@user-hg7oz8ze4d
@user-hg7oz8ze4d 6 ай бұрын
Kumbe kaka ana mchango mkubwa sana katika maisha ya mheshimiwa Rais👏👏👏 tumpe maua yake kwa kutuandalia rais wa kipekee...🎉🎉🎉🎉
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 6 ай бұрын
Acha uchawa nchi ina nyumba kuwa na vijana wa dizaini yako
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 6 ай бұрын
Hakika rais wenye Nia njema na wasio na chuki nae wanajifunza kitu
@bibielroybibielroy8710
@bibielroybibielroy8710 6 ай бұрын
Hongera Mama hakuna jambo rahisi ila umeweza wewe ni chachu ya wanawake kufika kwenye ndoto zetu❤
@silvanusngelageza7240
@silvanusngelageza7240 6 ай бұрын
Ukweli lazima usemwe tu mama samia ana moyo mzuri na huruma ya dhati kutoka moyoni!!❤
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 6 ай бұрын
Kwa kweli inatubadilisha wengi na kujiuliza hivi kwa Nini huyu aweze Tena Bado awe na hekima
@annabubelwa4543
@annabubelwa4543 6 ай бұрын
👏🏿👏🏿👏🏿Mama yuko vizuri sana ! Asante Rais wetu
@JoshuaDavid-et7em
@JoshuaDavid-et7em 6 ай бұрын
Mwenyenz Mungu akulinde mama
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 6 ай бұрын
hongera mhe Rais # historia kubwa sana ,Mdada wa kwanza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 🇹🇿, pana nchi kama Marekani wana Marais 40 na hawajawahi pata mdada kuwa Rais
@lanlady2504
@lanlady2504 6 ай бұрын
Mhhh, ndio maana mama anapenda sana kupanda ndege. Kumbe alipenda kuwa air hostess😂
@Mr_omary
@Mr_omary 6 ай бұрын
Maisha marefu na afya njema Kwa mama❤
@user-gh1wi7dc9g
@user-gh1wi7dc9g 3 ай бұрын
Mheshimiwa rais Asante sana tunakuombea sana
@jeremiahmwanyika869
@jeremiahmwanyika869 6 ай бұрын
Mama umependeza Sana.
@bagenihuduma1569
@bagenihuduma1569 6 ай бұрын
Big up Mom. Kweli hapa ni Pwani, Baharini ndiko umetoka. Chapa kazi mama, historia tu nimeielewa sana unastahili kuwapo hapo. #respect
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 6 ай бұрын
Mtangazaji Makini saana intaview nzuri saana na mama anaweza kujielezea mashaa allah ❤❤❤🎉
@doramalisa2061
@doramalisa2061 6 ай бұрын
Very smart but humble president. Mungu aendelee kukutunza
@yohanamaiga3031
@yohanamaiga3031 6 ай бұрын
Nice Interview. Big up Rais wetu.
@albertmaneno
@albertmaneno 6 ай бұрын
Mama ni msimulizi mzuri sana... na historia yake ina inspire kwa kweli
@BAHATIALI-ek6do
@BAHATIALI-ek6do 6 ай бұрын
nakupenda sana rais wangu❤
@ammarabdulrazaq200
@ammarabdulrazaq200 6 ай бұрын
Hata mtoto wng wa kike amenambia akimaliza masomo anataka kua air hostess namuomba mungu amcmamie ndoto yke itimie hongera mama samia umenitia nguvu nizidi kumkumbusha acmamie kikamlifu ndoto yke
@user-xw9kh3vm8i
@user-xw9kh3vm8i 5 ай бұрын
Mwanamke jasiri 🎉🎉🎉
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 6 ай бұрын
Hakuna asali Bila nyuki jamani maendereo hataki Kwa maneno tu jamani mama umetoka mbali
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 6 ай бұрын
Samia Umependez sana
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 6 ай бұрын
Kila mtu historia anayo kusema ukweli au tumuite tundu lisu asimulie mpaka leo alinusulika kufa kwasabab y siasa yaan maccm bana😂😂😂😮😮😮
@magangadashina2176
@magangadashina2176 6 ай бұрын
Kaka yake na mama anaakili sana,je kaka ake atakuwa wapi Kwa Sasa?
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 6 ай бұрын
No comment
@chikujuma18
@chikujuma18 6 ай бұрын
Mama tunakupenda tunaomba tuu vyakula vishuke bei sisi watu wa hali ya chin tunashindwa kula milo mitatu unakula mlo mmoja tuu utufikirie mama
@abdallahmakombo3866
@abdallahmakombo3866 6 ай бұрын
Kalime Kwa ajili ya biashara na chakula , hutoona njaa tena
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 6 ай бұрын
Mmekosa kweli habari ,hii nchi ni ngumu sana hivyo chochote ukiona kitakuingizia hela unafanya na inaenda.
@janemyinga2575
@janemyinga2575 6 ай бұрын
Mama yetu nimekuelewa sana unaongea vinzuri kwa utulivu kweli kabisa uko vinzuri
@jimmyally5974
@jimmyally5974 6 ай бұрын
Mama ameupiga mwingi....
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 6 ай бұрын
Maisha magumu mitaani vitu vina panda bei dada zetuu kazii kuvuta bangeetuu daladala wanajipangia nauli wana mchii wana kufa njaaaa
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 6 ай бұрын
Ongeza bidii ya kufanya kazi punguza na starehe
@maxsenciusalexander2213
@maxsenciusalexander2213 6 ай бұрын
⁠😂
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 6 ай бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke njie sindio mlie pewa KAZI yakuchukua Kodi lazima usheleekee 2 ila sisi wauza nyanya lazima tulie
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 6 ай бұрын
@@RomanMwinyi katika maisha yangu sijawaza kuajiriwa na serekali tuna pambana tu kama unavo pambana wewe ila tu watoto wa kiume tuna kaza sio kulia lia kilasiku na maisha
@abdallahmakombo3866
@abdallahmakombo3866 6 ай бұрын
Ongeza BIDII ktk kazi, Lima,weka AKIBA,ipende familia , fanya kazi sana sana
@Adevitutv
@Adevitutv 6 ай бұрын
Safari ndefu lakini uhakika
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 6 ай бұрын
mbona Samia hueleweki ulishasema kuwa ulikataa kuwa makamu wa Rais ikabidi ulazimishwe leo unasema ulipoteuliwa hukuwa na wasiwasi wowote ?? which is which?
@user-io2rj2yp5d
@user-io2rj2yp5d 6 ай бұрын
Wewe inakuhusu nn hiyo
@NusraHozza-qp8yy
@NusraHozza-qp8yy 6 ай бұрын
Huogopi
@silvanusngelageza7240
@silvanusngelageza7240 6 ай бұрын
Mama anazungumza vizuri anachoulizwa unatakiwa usikilize kwa umakini na kumuelewa!! Isitoshe ni Rais lakini anaongea kwa nidhamu sana !! Mimi binafsi nimempenda sana jamani.🎉
@abelimwakijungu1226
@abelimwakijungu1226 6 ай бұрын
Hiyo ndio inaitwa safari ya mwanasiasa.
@mzalendowaasili1727
@mzalendowaasili1727 5 ай бұрын
Hongera sana mama samia
@AdamFundikira-jb9vq
@AdamFundikira-jb9vq 6 ай бұрын
Mafuta yanapaaa tuu mama angefanya yakapanda mpaka elfu kumi tu tujue moja
@Hasnspop
@Hasnspop 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 6 ай бұрын
Simulizi za kijinga hizo udumia wananchi wako walio gizani wasiojua Cha kufanya😂😂😂
@mrsinia3064
@mrsinia3064 5 ай бұрын
Mi sikoment chochote isije ikaja defender bure
@petermanala6138
@petermanala6138 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ommyj9653
@ommyj9653 6 ай бұрын
Intaview ya kibabe
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 6 ай бұрын
Uchawa uo
Люблю детей 💕💕💕🥰 #aminkavitaminka #aminokka #miminka #дети
00:24
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,3 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 6 МЛН
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 7 МЛН
Люблю детей 💕💕💕🥰 #aminkavitaminka #aminokka #miminka #дети
00:24
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,3 МЛН