Kaka mkubwa wa 2007 kwenye gemu ukiwa form three. Nyimbo hii umeipiga vizuri sana. Kwa kweli endelea kuimba ili jamii ijifunze kupitia wewe. Mimi ni mwalimu wa Literature in English and English language kutoka Nzega Tabora Huwa nafatilia nyimbo zako na pia hufundishia. Kama mwalimu wa Fasihi
@petrovisent38054 ай бұрын
aiseee omwise umetisha Yan mziki umetulia haumizi maskio 🙏🙏🙏
@Pastorymasanyiwa1998tz4 ай бұрын
Naona umeamua kaka hupoi ata kdg kaz nz❤❤❤ur
@mangalujames11454 ай бұрын
Fire❤
@mahungujulius17884 ай бұрын
Nakukubali Sana Mwanamalonja
@danielkazi97194 ай бұрын
Wakujengee sanamu lako mkuu.
@japhetsahani71214 ай бұрын
bhudagala ongeza nyimbo sis washabiki zako zinatupelea Ongeza nyimbo tano zahivi hivi
@mahonakunza61384 ай бұрын
Utaendelea kuwa king
@georgesamwelchacha76804 ай бұрын
Hongera sana Mwamba
@josephmysononline59194 ай бұрын
Nakubali kaka angu ❤❤
@charlesmasunga72573 ай бұрын
kaka mungu akutangulie kwa kila hatua milele yote
@malembelamalembela3 ай бұрын
sana hujaliangusha ri asiri letu, nazunyaga
@DJJISHONTVMWAMNEMHAKAMADAARMBI6 күн бұрын
Kaka tuko pamoja Niko MWAMNEMHA nakupata Sana Kaka na sisi wadogo zako tunakupenda nipen ata like
@mariakisinza4 ай бұрын
Kweli kabisa kaka nimeielewa hiyo saf sana
@magaiwamagaiwa6794 ай бұрын
Kazi nzuri brother
@EdwardMayunga4 ай бұрын
Bhudagala pamoja sana ndugu
@PauloShija-tx5qz4 ай бұрын
Umewatwanga uko vizuri
@maduhumanyangu15444 ай бұрын
Kazi nzuri Mwanamalonja Kichwa cha mashairi icho nakukubali sana tangu enzi za 2006. Nikiwa darasa la 7 Bariadi. Wako Music Producer Selee Tz Africa. Nikiwa Biharamulo.
@NsamaKisatu4 ай бұрын
Mhmhmh kaka hawakuwez mh
@EmmanuelAlexander-k9d2 ай бұрын
Nimekubali hakika kati ya nyimbo zako huu maneno yake yanafundisha na yanachoma kwa wenye tabia ya namna hiyo❤❤❤.
@AbigaelGeofrey4 ай бұрын
Nomad Sanaa kak
@joshuabundala84364 ай бұрын
Tupo pamoja sana mpk waseme
@masungasayi32984 ай бұрын
Good brother
@LUCKASWASHA4 ай бұрын
Kaz nzur
@DjzombiMusictz-sb1xk4 ай бұрын
Wadau Na mashabiki hebu twendeni Na hii
@jimodefighter4 ай бұрын
safi kichwa cha mafairi🎉🎉🎉🎉
@user-xy6vk2bh7k3 ай бұрын
❤ wewe nimwisho kabisa bugala
@SimonRobert-lw9nv4 ай бұрын
Daaah! ila bhudagala nmwamba hakika pongez kwako
@SamwelBalili4 ай бұрын
We watabaki kuxematu hapo bongo hayupo
@HamisilugendoMugila2 ай бұрын
Ng'wana onuhi music napatikana tabora hongera sana bhudagala kwa huu wimbo ujumbe wameupata hata wakinuna
@danielokoth31524 ай бұрын
Kazi yetu ni nzuri
@SilluMusic-dm4fg4 ай бұрын
Nakubali Kaka
@MtemiMgasa3 ай бұрын
Watakoma kutuonea wivu, twende kazi
@LukasMeleka-ob8vw3 ай бұрын
Hakika upo juu sana brother budagala wanao bisha wabishe
@ManjiNzobheNzobhe4 ай бұрын
Like 100 nauza simu usinipe like yoyote msukuma😅😅
@user-dd1rs8ym3e4 ай бұрын
Uko vzr
@Ibrahimkhamis0054 ай бұрын
From Kenya 🇰🇪
@Lufuta33.4 ай бұрын
Kenya tena na unasikiliz hizi duh😂😂😂😂😂
@Ibrahimkhamis0054 ай бұрын
@@Lufuta33. huku tunapenda anavyo imba
@thomasmashaka94794 ай бұрын
Budagala edelea kuelimisha jamii bhna bado hujafuria bhan wanao kusema kwamba eti umefuria pisha nao Bali Sana
@MayengDulu4 ай бұрын
Nashukulu Kwa nyimbo nzur naipenda
@Hidaya-fi2fu4 ай бұрын
Kwel❤
@DskfamilyS4 ай бұрын
mpya mpya tu huu mwaka nishida
@GumadaBahati4 ай бұрын
Mwanamalonja mwaka huu haupoi kaka ang kazi nzr saana kaka Tanzania 🇹🇿 one
@SimosiJaji-kd4lx4 ай бұрын
Tunakuombea uishi muda mwigi tunapenda kazi yako
@DestinyCharles-z6o4 ай бұрын
Mfalme wa Wasukuma🎉
@KessyLushinge4 ай бұрын
Da! Umetisha sana kak
@PH107354 ай бұрын
My favorite song 🙏💪
@rizicksimonmapindaigembe1773 ай бұрын
your team best on artists sukuma land song 🎵 👌 🙌 👏 💯 ❤
@hembouteremla15684 ай бұрын
Tuko pamoja. Kiyoo chetu cha jamii enderea kutufurahisha na kuerimisha
@Pascocharles19974 ай бұрын
Mkal wao endélea kuwaonyesha kwamba ww ndobaba lao anafatia kijana wako kisima majabala🤝🇹🇿
@MusaMusawambura4 ай бұрын
Nice...alafu kila msukuma anasema ng'wana sabhuni hivi huwa anamaanisha nini?❤❤❤
@VellahTz3 ай бұрын
unajua kaka
@SimosiJaji-kd4lx4 ай бұрын
Nakupenda musanii wagu mm nishabiki wako
@bigtimetz4 ай бұрын
ong'wa makolo weweee unakimbiza sana kwenye hili gemu asili kwanza
@ngasasospeter68994 ай бұрын
Kazi inajieleza, yaani unafundisha Hadi mwenye akili isiyochambuzi anaelewa
@BarakaDotto-ub6ex4 ай бұрын
Hapo na Mimi nimekuelewa
@HamisilugendoMugila2 ай бұрын
Huu wimbo unajumbe mkali sana
@BoniphaceSaid4 ай бұрын
Hongera sana regendar wa asili
@YonaBangiliАй бұрын
Nipo comoro brooo pongez zikufikie wewe ni wewe2 wengine wakubar kuwa mkia kabra hujaachia kiti
@nelemimbasando.ibhesh.91054 ай бұрын
Kweli kweli🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@josephmsafiri64764 ай бұрын
Bonge Ya nyimbo
@MayolwaGolani4 ай бұрын
Kaka angu hii ngoma iko vizurii sana lazima uwakimbize kwenye show vibaya mno
@philipojNkinga4 ай бұрын
nakuona unapiga kaza
@jumanakukubaliamasungaikor38902 ай бұрын
Kaka kwa uerewa wangu kwenye mziki wa asili ww ni no (1)
@rojaslichenile144725 күн бұрын
💥💥💥💥💥💥💥 unajuwa
@charlesmarco2484 ай бұрын
nakukubalisanaaaaaaaaaaaa
@user-bb1ky9ez3o4 ай бұрын
Uhakika obaba ❤
@FaidaNyanda4 ай бұрын
faida nyanda buluba nikiwasingida budagala uko vizur kaka mungu aibariki kazi yako
@mashackikumbo3 ай бұрын
Hakika bhudagala hakuwezi kaka
@ThobiasBarnaba-fs6pv4 ай бұрын
Bro good job pamoja sana
@SimonNgwenesho4 ай бұрын
Bhawelage bhabha ❤❤❤❤
@user-oh7zr3fi2g4 ай бұрын
Bonge la ngoma😅😅😅
@JoelKahuya4 ай бұрын
Nyimbo iliyojaa ujumbe, wew ni hatariii Ogopa.
@ThomasNkinga4 ай бұрын
Wimbo wa mele naupataje kaka
@user-zg7gm3cy1j4 ай бұрын
Ila ukwel biti za Simon danger ni tamu😂😂😂
@WakudekaMuwao3 ай бұрын
Kaka ni kaka tyu mlijue Hilo
@shinjengasa35744 ай бұрын
Kaka vip tena hapa,hii camera mbon mbovu
@paulpaul79214 ай бұрын
Daaa😪😪hatari sana mwakilishi wetu,mambo mazuri sana unafanya tutakukumbuka daima🤝
@HamisiMasesa4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MASHALANDEKEJA3 ай бұрын
Pogenzi kwako kaka
@jkomedikaduli4 ай бұрын
Bonge la wimbo chukuwa Maua yako
@amosmarela11993 ай бұрын
Dah hapo umegusa kwenye shina kaka
@hasaniyusufu117114 күн бұрын
Very good songs
@maliganyamadirisha4 ай бұрын
🎉🎉🎉
@user-zg7gm3cy1j4 ай бұрын
Ameimba kwa machungu sana kaka angu , lakn pia Simon dangerous amepiga kwa hisia sana , ujumbe ni kwamba MAJUNGU siyo mtaji.
@SilentKiller-uo7jc4 ай бұрын
Sahihi🎉
@SamweliKagogo4 ай бұрын
Kaka unakichwa kibaya ila kina mashaili mazuri 😅❤❤❤
@bhudagalamwanamalonja95824 ай бұрын
Ahaaaaaaaaaaaa mungu ndo muweza hakuna mkamilifu kila mtu anamapungufu
@SamweliKagogo4 ай бұрын
@@bhudagalamwanamalonja9582 nalekumela ngosha
@user-ik7hs7dg9m4 ай бұрын
Bhudagala piga kazi kaka hujawahi kuniangusha❤
@jamesamos45974 ай бұрын
Nkubar
@ibrahimupamba80224 ай бұрын
Hongera sana kaka nikirudi. Home nitaomba kilabo na wew. Uko vizur San
@wangelejaCharles4 ай бұрын
Kaka amosi kaenda wapi simwoni
@sayimbasa434 ай бұрын
Kazi zako nzuri Kila mwezi mimi huwa nasubir kazi zako nisipo oona huwa napata Homa..