Kufahamu mambo kumi kuhusu juma Mgunda wa simba. Link hapo chini 👇👇👇 • UKITAZAMA HII VIDEO UT... Kujua historia ya mchekeshaji Joti. Gusa link 👇👇 • HIVYO NDIVYO TAMTHILIA...
Пікірлер: 47
@user-et3hd7zk7z10 ай бұрын
kaka asante kwa somo zuri kwani umenifungua na kuifahamu faida ya uwakala wa hela asante sana👏👏👈👈
@maalimumachichanatangu83324 ай бұрын
Umetisha
@ClaraElibrother7 күн бұрын
❤❤❤
@adamjrbee2657 Жыл бұрын
Nakuunga mkono kwa elim yako kwani hata mm niwakala wa mda mlefu sana na nilianza na mtaji mdogo na Sasa ninamtaji mkubwa sana tofauti na nilivyoanza na Sasa ninaofisi mbili Sasa hadi leo wengi wanashindwa kufanya biashara kwasababu ya wakidhan waw na mitaji mikubwa ndp watafanya biashara................................ By mwl Benerdicqith Mongah Bandyh
@MOZO-mc6md8 ай бұрын
Habari kaka
@mbeyatv Жыл бұрын
Mi ni wakala kitambo...ila tigo na airtel ni selective sana ..kuna maeneo hamna wateja wa tigo na airtel
@maalimumachichanatangu83324 ай бұрын
Safi sana 😊
@mawazoaliselemani8909 Жыл бұрын
URASIMU ukizidi unachelewesha maendeleo.sasa kupata laini tu ya tigo,airtel money unapitia hizo process zoote kama unataka kumchumbia mtoto wa mfalme🤣
@SEDJamii Жыл бұрын
😅😁😁😁😁 ni hatari kweli kweli
@BarakaMasele-ku6nw Жыл бұрын
😂
@AngelMwakisyala3 күн бұрын
Asante kwamafunzo naomba namba ya watsapp kaka
@gladymbisse764610 ай бұрын
Asantee kwa elm yko
@DULLAY-DJ8 ай бұрын
Ungeongea kawaida tu ....hio ongea yako inachosha kuskiliza
@SaumaBakari-ld2dy7 ай бұрын
Asate sana
@elisiameela27783 ай бұрын
Duh kumbe ni process kupata hzo line
@furahacleo61282 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa elimu ii.
@SEDJamii2 жыл бұрын
Karibu sanaa
@user-pr5xj9xc9w4 ай бұрын
nipo tayari unifundishe kwa buku
@munibullahmarunda70512 жыл бұрын
Video nzuri Sana nimejifunza vitu vngi. Ila nashauri uwe unaongea tu kawaida Yani Kama mtu flani profesional, hii Sauti ya kukoroma sio pia Sana kwa maelezo Marefu. Ni maoni tu lakini. Ila kwa ujumla nimependa Sana makala yako na nimejikuta na subscribe channel. So nice keep it up.
@SEDJamii2 жыл бұрын
Ahsante sana kwa ushaur... tutaufanyia kazi kwa haraka sana
@vailetmsack73111 ай бұрын
Asante sana nimepata somo zuri
@leahmodest1361 Жыл бұрын
Ahsante saana kwa maarifa
@DominathaMapunda-sj2dj Жыл бұрын
Safi Sana tumejua mengi
@kastorinacharles40752 жыл бұрын
Mbn mm nimeenda TRA nimeambiwa nilipe shilingi elfu 53,000 kabla hata ya leseni
@SEDJamii2 жыл бұрын
Gharama za awali za tin huwa wanakadiria kutokana na Miezi iliyobaki mwaka huo kuisha. Mfano ukitafta tin mwezi January utachajiwa ela kubwa kuliko miezi ya katikati ya mwka. Pia huchajiwa gharama ndogo zaidi ikiwa ni Miezi ya mwisho wa mwaka. Kwa sababu makadirio ya malipo tra hufanyiwa tathmin kila mwanzoni mwa mwaka husika.
@dynessmbawala21072 жыл бұрын
Mie ambaye cn kitambulisho Cha ulaia nafanyaje
@OmaryOdama-bk2fd5 ай бұрын
Mkuu mm mataka kusajili lain ya tigo napataje
@vumiliakandonga4401 Жыл бұрын
Kwan wakala mpaka uwe na shingapi maana napenda biashara ya wakala
@mpulanimagoko5240 Жыл бұрын
Kwa uhakika zaid Anza hata na million moja
@rose_Winchester86 Жыл бұрын
@@mpulanimagoko5240 millioni 1 ndogo sana
@siahlasway42007 ай бұрын
Asantee ila sauti inaboa kuskiliza
@suryaramaa5 ай бұрын
😅
@SimaAloys10 ай бұрын
Namba ya ofis samahan
@mzeewakibegi5105 Жыл бұрын
Asante sana mzee
@shabanhassanishabanhassani2913 Жыл бұрын
Sharaak nimekuelewa saana ila kama hautojali nitumie namba yako ya simu
@SimaAloys10 ай бұрын
Naweza pata nmba za ofisi?
@faudhiatmasoud4025 Жыл бұрын
Nilikua wapi siku zote kukusikiliza?nmekuelewa haswaa..
@SEDJamii Жыл бұрын
Karibu sanaaa🙏🙏🙏🙏
@ShaniKazumali-wl7lc10 ай бұрын
Naomba nambayako ya wahatsap
@melesianageorge20122 жыл бұрын
Naomba kujuwa,Sasa akikupa lain za kazi zinakuwa na flot taya?
@SEDJamii2 жыл бұрын
Flot unaweka pale pale kabla hajakupa laini hizo...
@abdullytamimu74782 жыл бұрын
Nice
@SEDJamii2 жыл бұрын
Your welcome
@SEDJamii2 жыл бұрын
Your welcome
@ShaniKazumali-wl7lc10 ай бұрын
Naomba nambayako ya whatsap
@eliezambwambo67762 жыл бұрын
BROOO ASANTE KWA ELIM YAKO NIMEPENDA SOMOLOKO NA UNAFUNDISHA TARATIBU HADI MTU ANAELEWA