Bila kujali MAKONDA amlipua tena MKURUGENZI MWANAMKE "Niwahujumu uchumi kama wengine, WAKAMATWE"

  Рет қаралды 42,478

Habari Digital

Habari Digital

Ай бұрын

..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook

Пікірлер: 136
@SamwelSilvester-sp5ow
@SamwelSilvester-sp5ow 28 күн бұрын
Eee mwenyezi mungu mlinde makonda na akawe rais wetu amen
@user-oy5pq3eh5y
@user-oy5pq3eh5y Ай бұрын
Mungu atakuwezesha Makonda kuwa Rais wa tanzania,
@jojomario916
@jojomario916 18 күн бұрын
Mungu akubaliki
@user-sg6iy4kv4y
@user-sg6iy4kv4y Ай бұрын
Makonda anafaa kabisa kuwa kiongoz wa nchi baada ya mama
@shamidubadru9505
@shamidubadru9505 Ай бұрын
Makonda safi sana mungu akupewepesi katka kazi zako
@user-pf2bu4hn1j
@user-pf2bu4hn1j Ай бұрын
Hhhu mimi ni murundi Ila nampenda Makonda❤❤🇧🇮❤
@kwasmokweka9598
@kwasmokweka9598 Ай бұрын
Makonda apewe nafasi ya waziri mkuu!,anapenda haki na kumwogopa MUNGU.
@DicksonKimoso-ds4xw
@DicksonKimoso-ds4xw Ай бұрын
Makonda ni rais ajayo ni mtu makini sana kama hayati magufuli baba tenda haki panatendeka wafanye kazi kama KURUTI WA JESHI
@user-gp2ue2ny6n
@user-gp2ue2ny6n Ай бұрын
Mkuu wa mkoa bora zaidi kuwahi kutokea 🎉🎉🎉
@SidatiSaidi
@SidatiSaidi Ай бұрын
Sio mkuu wa mkoa bora ni kiongozi bora hapa naelewa kwann magufuri alisema atakama elimu yke ni ndogo huyu ni wangu anastaili kuwa Raisi
@user-ku3om4bu8j
@user-ku3om4bu8j Ай бұрын
hii nafasi huyu haiufaii ahamishwe
@publicityzone9583
@publicityzone9583 Ай бұрын
Ahamishwe wewe kama nani?​@@user-ku3om4bu8j
@CalninhoMhagama
@CalninhoMhagama 22 күн бұрын
Umesahau agrei mwandl mzee wa injinia somaioooo na yule aliklud nchi itanyooka
@user-eo2jf5cb7z
@user-eo2jf5cb7z Ай бұрын
Mm namuomba Mungu sana ujekuwa rais wa Tanzania
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 26 күн бұрын
Mungu akupe dalaja lajuuu mkuu pamoja mama samia
@angelfortunatus117
@angelfortunatus117 Ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu Makondaa
@GerardSanga-jq6ep
@GerardSanga-jq6ep Ай бұрын
Makonda upo vizuri
@JumaMakalebela
@JumaMakalebela 29 күн бұрын
Baba makonda Tanya kazi hao ndio wanaochafua sela
@JumaMakalebela
@JumaMakalebela 29 күн бұрын
Makonda watumbue hao wezi tu
@user-jt7uv6vu1d
@user-jt7uv6vu1d Ай бұрын
Wanyooshe hao wahujum uchumi
@user-db9hx8xp9e
@user-db9hx8xp9e Ай бұрын
Uko vuzuri Kamanda tunakuombeya mungu uwe rasi wa inchi yetu makonda
@olesaitotilaizlaiz1766
@olesaitotilaizlaiz1766 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 mwaka huu mta ona moto,,,,,,
@trillionthamani
@trillionthamani Ай бұрын
Hii style ni nzuri,spana spana
@user-ee1el5pe9d
@user-ee1el5pe9d Ай бұрын
maisha marefu baba kegan
@user-rj5ct4bz6j
@user-rj5ct4bz6j 28 күн бұрын
Makonda upo sahihi Sana kaka
@allysaidy1840
@allysaidy1840 12 сағат бұрын
Qmmqe monduli kazi wanayo😊😊😊
@saidsai846
@saidsai846 28 күн бұрын
Ndugu mkuu wa mkoa wa Arusha viongozi wengi mnao wateja ni viongozi waizi kwani wengi hawana ueredi wa majukumu mnayo wapa hawajui hata Sheria na kanuni za nchi yetu
@FestoMbwilo-xf9px
@FestoMbwilo-xf9px Ай бұрын
Watakuchukia ila piga kazi
@magrethdaniel8441
@magrethdaniel8441 Ай бұрын
Yani wenye vieo ndyo wanaongoza kwa wizi ila vibaka wanachomwa moto wezi wako maofisini wanakula kiyoyoz dah nchi yetu jamani
@aizzyashery5564
@aizzyashery5564 Ай бұрын
Mkuu wa kwanza wa mkoa hatari kuliko wote ndo huyu
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 Ай бұрын
ukiona camera za kimataifa zimeanza kumsogelea makonda ujuee kuna mataifa yana mzoom
@user-yn4ev5gz7c
@user-yn4ev5gz7c 26 күн бұрын
ccm oyee
@emiliamlolere5748
@emiliamlolere5748 17 күн бұрын
Huyu mkurugenzi mbona ananichosha. I doubt her. Inasikitisha sana Mkurugenzi anaongea hivo, ivi Ana utimamu wa taaluma yake kweli?? Shame on her
@JovinusJuvenary-pp3rn
@JovinusJuvenary-pp3rn 9 күн бұрын
Aiseee makonda aumeletwa na mungu haswa
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 Ай бұрын
Mkurugenzi huyu ni kilaza sana
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj Ай бұрын
Yaaaan hakunaa kituu apoo wakiambiwaa ukwelii taar watuu wanaandaman unyanyasaj wa jinsiaa duuuuh
@publicityzone9583
@publicityzone9583 Ай бұрын
Uwezo wa kuchambua mambo mdogo
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Ай бұрын
Hovyoo kabisa. Apishe hiyo nafasi haimtoshi! Sijui aliipataje ?
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni Ай бұрын
Ipo siku utakuwa raisi
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 Ай бұрын
Ni kweli
@AibaSaidy-jz3xs
@AibaSaidy-jz3xs Ай бұрын
Makonda ndo mkuu wa mkoa wa wakuu wote tz
@sudymohamedy9717
@sudymohamedy9717 28 күн бұрын
Makonda I love so much
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 27 күн бұрын
Waaaapii layzaaa!!!. Kule kwetu ulituonea sasa jeee?
@SimbaNaali-fw3zz
@SimbaNaali-fw3zz Ай бұрын
Makonda kamanda nitafute nikupe mbinu za songea mbane waliosoma cuba wanaelewa maan wahuni hawakupendi nadhan umenielewa
@mwajumaomary1918
@mwajumaomary1918 13 күн бұрын
Hao wakurugenzi wetu ndo wateule
@NengaiiLelya-ty5nn
@NengaiiLelya-ty5nn 15 күн бұрын
Jamani makonda awe rais hata kama ni miaka mingapi ijayoo
@SusanaSimoni
@SusanaSimoni Ай бұрын
Paulo makonda Rc wewe ndo Rais wa nchi yetu baada ya huyu mama kumaliza muda wa ke ,2030 ccm wasituchanganyie habari 2030 makondaa
@evancetarimo1310
@evancetarimo1310 Ай бұрын
Asee huyu jamaa mungu amuache hapo
@nyoracnn7256
@nyoracnn7256 13 күн бұрын
Huku kwetu mpaka sasa maduka yamefungwa serengeti
@Nyanimzee
@Nyanimzee 20 күн бұрын
Nakubali njombeya nikupe ng'ombe
@ENOCKKIPANGA
@ENOCKKIPANGA 19 күн бұрын
Yani huyu makonda akachukue. Form
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni Ай бұрын
Dawa ya wizi ni kuondilewa kwenye uongozi
@abdulazizabdillahkijaro3070
@abdulazizabdillahkijaro3070 12 күн бұрын
Huyu mkurugenzi pia mwizi
@ANNAKISIGA-pc5qs
@ANNAKISIGA-pc5qs 18 күн бұрын
Utawwla.awa mama ni wakujichotea tu wananchi tunapata shida kila siku pandiahiwa mabando na sukar
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Ай бұрын
Wezi wote washikwe na wafungwe huyo mama ndio wote wamoja tu wafungwe jela kama wameshikwa cha kusubiri nini? Nchi imeoza Makonda wafungwe tu
@ankoanko-zz7it
@ankoanko-zz7it Ай бұрын
Wakamatwe maramoja
@ANGELINANDALONdalo
@ANGELINANDALONdalo 24 күн бұрын
Makonda baba nyosha yaani wabakaji wanatuhalibia watoto wetu
@user-nt4rt4hz1h
@user-nt4rt4hz1h 19 күн бұрын
Ni kutumbua tu hana kazi yoyote inayo fanyika hapo.
@latifasuleiman7527
@latifasuleiman7527 26 күн бұрын
Making ❤❤
@user-kw5pb9dd7p
@user-kw5pb9dd7p 19 күн бұрын
Duhuuu
@justerissaya9165
@justerissaya9165 Ай бұрын
Aibu jmn eti mtumishi anaatua za kushghulikiwa😭😭😭😭😭😂😂 duh tutakoma
@Worldunite
@Worldunite Ай бұрын
Yaani Makonda umempatia kweli huyu dada
@user-lr1sd3wq4d
@user-lr1sd3wq4d 28 күн бұрын
Yaani hii inchi wanaofaidi wanajijua Sisi walala nishida. Ila dah, nakumbuka kale kawimbo kanakosema Acha waisome namba, ndio namba zenyewe tunazisoma
@user-ds7ho1my4u
@user-ds7ho1my4u Ай бұрын
Mkuu wa Mkoa, Mh Makonda huu wizi wa Taasisi za Serikali ni mtandao wa wizi hakuna usalama kuhusu Pesa.
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 22 күн бұрын
Kumbe ccm ni chama nzuri ,ila wapigaji
@aidankatunzi1196
@aidankatunzi1196 Ай бұрын
Wewe Ni Bora Sana mkuuu tunakukubali Sana Ona ss era zinavyoliwa mtu anachukulia poa Yani Hawa mkuuu waziludishe
@Abasi-ej9qw
@Abasi-ej9qw Ай бұрын
Safi
@samsonelikana903
@samsonelikana903 Ай бұрын
🔥🔥🔥
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 Ай бұрын
Huyo mkurugenzi hafai, uwezo wake mdogo ndio maana tunataka nafasi za wakurugenzi zifanyiwe usaili, unaonyesha kabisa uwezo wake mdogo, hata kujibu maswali ya kitoto anashindwa kujibu
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 Ай бұрын
Sheria zinasemaje Kwa utaratibu huu, tunatatua au tunafanya tofauti na utaratibu WA sheria😮
@kareem1182
@kareem1182 19 күн бұрын
Makonda makonda makonda Nimekuita mara 3
@AlfredAlfred-yd2mg
@AlfredAlfred-yd2mg 10 күн бұрын
Huyo mkurugenzi hafai hata kusimamia kuku
@loycenicolao7488
@loycenicolao7488 22 күн бұрын
Mapapa yapo huko juu zaidi
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 18 күн бұрын
Makoda oyooooooo
@ramadhanimohamed4190
@ramadhanimohamed4190 Ай бұрын
Uyu mama pia ni mwizi
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni Ай бұрын
Makonda baba naomba sana utembee kila mkoa bas afu hao viongozi wasiondolewe kaxin kabisa
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri Ай бұрын
Hapo kweli kasheshe lakini kulingana na walivyojieleza si vibaya kutoa muda hata ikiwa kuna wasiwasi wanaweza kuingia makubaliano fulani. Kwakuwa ukihamaki zaidi pesa itaweza kupotea kabisa Mhe RC Makonda jamani.
@MkapaMmoja
@MkapaMmoja Ай бұрын
Mkurugenzi akiwa mwanamke so mwinzi sy hila hii nchi awu wapekua wakiseng makond we wa adhibu2 mpa wanyook
@leonardmwayeya13
@leonardmwayeya13 27 күн бұрын
Makonda tunakuomba uje mbarari Kuna maduduhuku sio kawaida
@bernardmdendemi7347
@bernardmdendemi7347 Ай бұрын
Mama hafai kuwa mgurugenzi
@sudymohamedy9717
@sudymohamedy9717 28 күн бұрын
Kamata mkurugenzi weka ndani
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni Ай бұрын
Au wameshirikiana nini mbona anapindapinda huyo mkurugenzi
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni Ай бұрын
Hao ni watalamu wa wizi sukuma ndani watakusumbua
@revocatusvedastus8893
@revocatusvedastus8893 Ай бұрын
Sheria lazima zitumike siyo vingnevyo
@musamkembela1395
@musamkembela1395 Ай бұрын
Ifike mahali makonda awe rais
@ShinjeMackenzie
@ShinjeMackenzie Ай бұрын
Huyu ni mkurugwa wala hana sifa ya ukurugezi
@NicholausAlois
@NicholausAlois Ай бұрын
Jamanikuna maswali siyo
@IsaacpauloNgwavi
@IsaacpauloNgwavi Ай бұрын
kwahiyo mbunge anaogopa mwanamke kubananishwa kwani wanawake sio mafisadi?
@AgnesKungwi
@AgnesKungwi Ай бұрын
Nakuona raisi wa mwaka 2035
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 Ай бұрын
Mkurugenzi ni mbugila utine
@lilyabel2320
@lilyabel2320 27 күн бұрын
Mkurugenzi ni mbugila kweli kweli
@Yusra-rj7re
@Yusra-rj7re Ай бұрын
Mtanyooka
@Rasuli-lf1hv
@Rasuli-lf1hv 28 күн бұрын
Saf san
@amoswankara3863
@amoswankara3863 Ай бұрын
mkurugenz hajui kujieleza
@daslamonline4665
@daslamonline4665 Ай бұрын
Ajieleze nini sasa na ukweli upo mezani
@publicityzone9583
@publicityzone9583 Ай бұрын
Uwezo wake mdogo
@stevenkatani3047
@stevenkatani3047 10 күн бұрын
Uyu ni rais tuzid kumuombea2
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo Ай бұрын
Wakurugenzi wa mchongo, aliyemteua ni wa mchongo, riasi na wabunge walipatikana kwa mchongo? Na bunge je?? Nchi ya michongo
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Ай бұрын
Hao ndio wakurugenzi wetu...!! Hata taratibu za utumishi hawazijui. Hovyo kabisa.
@loycenicolao7488
@loycenicolao7488 22 күн бұрын
Anayewachagua nani kwani?
@allenmmari6327
@allenmmari6327 Ай бұрын
Unapotaka kumuadhibu mtumishi wa uma, huwezi kutumia njia za kihuni kumuadhibu km kibaka wa mtaani, kuna taratibu zake, ukienda ndivyo sivyo ndiyo yale mtumishi anaiba pesa na bado anawashinda mahakamani na mwisho mnamlipa fidia!
@richardmathayo5537
@richardmathayo5537 Ай бұрын
kivipi kwenye wizi hakuna sheria inayomlinda mtumishi wa umma
@user13375
@user13375 Ай бұрын
Wez mnateteana😮😮😮
@openmusicglobalrecordlabel
@openmusicglobalrecordlabel Ай бұрын
Mwili awezi kulindwa hata awe Rais atalindwa ikiwa nchi kama ni mbovu ukitaka kunielewa tazama Marekani mwili awezi kukaa maana wanaogopa kupoteza nguvu walionayo.
@RobartShello-qj4vr
@RobartShello-qj4vr Ай бұрын
Jidanganye, wakamatwe ikibidi wafungwe, maana niwezi makonda Yuko sahihi
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Ай бұрын
Sasa ndio inatakiwa wachukuliwe hatua kama vibaka .......halafu uelewe tayari kishakundulika ni mwizi, anapewaje muda ..?
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni Ай бұрын
Na kila mtu alipe hela ya usumbufu milioni 30
@DeboraNgura
@DeboraNgura Ай бұрын
😂😂..Kwa neno lako mh.yohana
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 Ай бұрын
Ndo uwashauri wakuu wako wakubari katiba mpya!!Ili Sheria hiz ziondolewe
@kamangutv5828
@kamangutv5828 Ай бұрын
Makonda anafanya vizuri na anakosea , Sheria za kiutumishi. Mwizi nae anahaki ya kusikilizwa
@KhmsNsr
@KhmsNsr Ай бұрын
Mwizi hawezi kumkubali MAKONDA KUMBE munaiba kwakua mnasikilizwa bas endeleeni kuiba spana iyo itawabana.MAKONDA WANYOOSHE WEZI WOTE
@publicityzone9583
@publicityzone9583 Ай бұрын
Umekosea kusema mwizi anapaswa kusikilizwa anayepaswa kusikilizwa ni mtuhumiwa tu ila akishakuwa mwizi hamna haja ya kusikilizwa
@alfredziganya1310
@alfredziganya1310 Ай бұрын
HIYO NDIYO CCM MNAJITEKENYA MNACHEKA WENYEWE ACHINI MAZIGAOMBWE
@user-xl5xi1uq9z
@user-xl5xi1uq9z Ай бұрын
Mwiz mtaani akiiba kuku anapigwa anakufa ila mwizi wa serikalin akiwaibia wananchi kodi zao anatetewa na kukumbatiwa
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc Ай бұрын
Naye huyu anajifanya kiongozi bora sasa, ngoja aje kuwa ata Rais muone kama atakuwa hivi
@ikokijuma-zv7wd
@ikokijuma-zv7wd Ай бұрын
Kuma lako fanya wewe tuone na mavuz yako
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc Ай бұрын
@@ikokijuma-zv7wd kuma la mama yako mwenyewe ndio maana unafirwa kila siku mkundu wa nyani wewe ata mbwa ana akili kuliko wewe pumbu zako kafie mbele huko umeoza kila sehemu chefuuuuu mavi kweli
@user-rj5ct4bz6j
@user-rj5ct4bz6j 28 күн бұрын
Ww dada chiz kuma lako Yani bd unaona anacho fanya makonda hayana Mana we Malaya kuma lako chafu
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 28 күн бұрын
@@user-rj5ct4bz6j we kundu la nyani kwani we umeotokea wapi si kwenye kuma hukohuko bila hiyo kuma ungekuwepo, shoga mkubwa weeee nauonea huruma huo mkundu wako sijui kama haujalegea na kuanza kuvaa pampasi
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 28 күн бұрын
@@ikokijuma-zv7wd mavuzi yako mwenyewe ndio maana umeoza dume zima unafirwa na wanaume wenzio
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 Ай бұрын
DED anachoelezea ndiyo ilivyo kwa utaratibu kiutumishi..na Mhe. RC analijua vizuri tu hilo, ila amechagua kutokujua.
@user13375
@user13375 Ай бұрын
😮😮
@user-jl5zh6qi2w
@user-jl5zh6qi2w Ай бұрын
Kuma la mbwa tulia
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 Ай бұрын
@@user-jl5zh6qi2w Nimewasha moto kichaka, wadudu wanakimbia helplessly.
@SidatiSaidi
@SidatiSaidi Ай бұрын
Ewe mwenyewezi mungu mtukufu mlinde makonda kwa maslahi ya wanachi maskini wa taifa ili mungu baridi nuru kwake siku 1 awe raisi na kutetea maskini na wote wanaokosa haki
@jokhajj
@jokhajj Ай бұрын
Amin
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 26 күн бұрын
Ameen
@maswamills3161
@maswamills3161 Ай бұрын
Mwizi anapewa mda wakurudisha alichokiiba kweli!!!! Inauma!!!! Hata huyo mkurugenzi ni mwizi mkubwa.
@user13375
@user13375 Ай бұрын
Mkurugenzi hana uwezo,hakuna kitu hapo😮😮
@festokemibala5832
@festokemibala5832 Ай бұрын
Watz bhana sijui nani alituloga, Mkurugenzi anateuliwa na nani ambaye hakuangalia uwezo hadi akawa hapo? CAG yote keshayaanika adharani hivyo hiki kinachoendelea ni kiki tu, waanze na hiyo ripoti!
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 Ай бұрын
Nchi hii haiendi kwa sababu tumeweka wasomi wapuuzi na wajinga na wasiojali maslahi ya watu na usitawi wa nchi
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 36 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
Super gymnastics 😍🫣
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 108 МЛН
TAZAMA SHOW YA ELIUD MBEYA, (PART 2)
13:55
Eliud Samwel
Рет қаралды 68 М.
СОБАКИ АТАКОВАЛИ МЕДВЕДЯ🐻
0:18
MEXANIK_CHANNEL
Рет қаралды 10 МЛН
That Feeling When You Pick A Hangnail🫢💀
0:17
Giggle Jiggle
Рет қаралды 11 МЛН
1❤️ #shorts
0:17
Saito
Рет қаралды 31 МЛН
5 маусым соңғы эфир!
2:27:39
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 233 М.