Ww makonda hata wakuweke wap utawasaidia wanyonge wapige sipana mpaka wanyooke utafika mbali zaidi
@kimeajuma32674 ай бұрын
Mheshimiwa makonda mungu awe pamoja na wewe
@gracekagoma32313 ай бұрын
Wewe kaka mchungaji acha udiwani.😢😢
@gracekagoma32313 ай бұрын
Mchungaji muongo
@JaziraMustafa-g9p4 ай бұрын
FIDDA HUSEIN NI FISADI MKUBWA WA NYUMBA ZAWATU HUKU DAR
@justerissaya91654 ай бұрын
Mmenikumbusha mbl sna mwaka 1999 kuna mtendaj alikuja kweny kata yetu akawa anashinikizwa na aliiwakut kumtapel mzazi wanguardhi eti kisa ni mwanamke mama alienda kwa mkuu wa mkoa wiki hyohy mtendaj alipoteza kaz na akaja kukili tena kuwa co yeye alikuwa anatumwa na wajumbe wake ,,niwasii watumish mspende kuruth uadui wamtu fanya kilichokweka mahali🙏
@VickyKabuta4 ай бұрын
Unakiti chako hko juu mbingun makonda
@josephineokama22003 ай бұрын
makonda ananimalizia bando jamani mwee piga kazi baba unakiti chako mbinguni utakikuta kimepakwa mpaka rangi nyeupeee