❤❤. YAN NIKILALA BILA KUANGALIA POST ZA MAKONDA SIPAT USINGIZI😂😂
@Zuu6734 ай бұрын
😂😂😂km mimi
@Hkr27484 ай бұрын
Hakika
@fathimadaid34294 ай бұрын
Mie sikuhizi sisikilizi tena simulizi zaidi ya makonda
@aminakasim11984 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@Ryanzabron4 ай бұрын
Makonda ndo rais wetu ni swala la muda
@AmAl-x9j4 ай бұрын
Makonda wangu mungu azidi kukulinda,, Wasikuue kama walivyomuua baba yetu magufuri,,, Maana watu kama nyie huwa mnawindwa mnoooo,,,
@DaudmosesShuli4 ай бұрын
Paul makonda Mungu akubariki baba
@hamzafishten95604 ай бұрын
Makonda Allah akulipe huo ndio uzalendo sio kama bahazi ya viongozi wa africa
@RaymondMshote3 ай бұрын
Mimi naamini Wakuu wamikos baadhi pia wapo wanaofanya kazi kubwa sema kama waandishi wahabari wengine hawafwatilii yanafnyika bc lazima atafute mtu gn hbr zitauzika kiongoz gan hua ukigusa trend ipo mfno angalien baadhi yamawaziri kama Bashe.. Bashungwa..Ally Happy watu wanafny kz sema hii nchi ni Pana na kubwa
@gudimbwana80884 ай бұрын
Apewe uwaziri mkuu mawaziri vilaza wakione Cha moto
@mbwanamungia99214 ай бұрын
Nchi nzima inashida taratibu za malipo halmashauri ni kichefuchefu
@tupegigwensajigwa26294 ай бұрын
Na kuelewa sana Mungu akutunze
@LusekeloMwaipopo-rm1uc4 ай бұрын
Wizara ya mchengelwa I am Inamchosha tu makonda wetu.
@meshacknyandongo5774 ай бұрын
Serikali wakati mwingine inawafirisi wananchi wake na huu utaratibu wa kuchukua mali za wananchi alafu kulipa mpaka mjiskie wenyewe
@elibarikigasper4482 ай бұрын
Mlipeni mzee wa watu pesa zake nyie acheni propaganda
@hasani5654 ай бұрын
Arusha ilikuwa inatisha wamekula hela za walipa Kodi kwa Miaka yote hakuna kilicho fanyika.Makonda ni kiongozi Bora.Magufuli spirit eee mungu Tanzania inakushukuru kwa kutupa Makonda.Makonda inabidi alindwe kwa kila hali ...ulinzi wa kwanza uanzie na sisi wanachi tumlinde kwa hali na mali .kama una kubali weka like 💪✌️
@adelinelyaruu30364 ай бұрын
Hii nchi ni shamba la bibi
@mkabesamaashao68054 ай бұрын
Ndio maana wanakiburi sana kwa unyanyasaji
@dorahmushi-we6ts4 ай бұрын
Huyu ameletwa na Mungu mwenyewe, Mama samia aliguswa na Mungu, nani anakataa kuwa Arusha inaibeba Tanzania kwa maombi? Arusha kwa asilimia kubwa, humuomba Mungu ktk Roho na kweli, sio kukaa kusubiri miujiza!!... Mama Samia asante kwa huyu kijana wako Makonda na team yake
@dorahmushi-we6ts4 ай бұрын
Mama Samia mama, ktk mikoa mingine wale viongozi waliolala wanatakiwa waamke sasa...teua vijana wazalendo kama Makonda, Silaa, na yule wa Dar japo kidogo aongeze kasi
@binseif22164 ай бұрын
@@dorahmushi-we6ts Lkn Arusha inaongoza kwa mauaji
@HamidaHamisi-ej8kz4 ай бұрын
Mama Samia mama yetu uliona mbali sana kumteuwa Makonda Makonda nijembe sana abarikiwe mzazi alieza Makonda
@evaemil856Ай бұрын
Sasa wamempoteza
@AhmedAli-x8w9e4 ай бұрын
Mm ACT damu ila kwa makonda anochokifanya Niko pamoja nae na kama atagombea urais nahama ACT.
@mchumiajuani19934 ай бұрын
NAPENDEKEZA MAKONDA AWE MKUU MKOA KWAMIEZISITA KATIKA KILA MKOA
@khadjamhozya4 ай бұрын
Mimi makonda atanifirisi kabisa kira siku natumia erf 2100 bando
@hamisiyusuph67214 ай бұрын
Huyu jamaa Genius sana Mungu apiganie
@gracekagoma32314 ай бұрын
Ubarikiwe.Wenye wivu wasije kukugusa.Msimuue.Mungu anamlinda Makonda.❤Ninakuombea maisha marefu🎉🎉
@IshipalemyPasko4 ай бұрын
Mimi ndo mana huu upuuzi sitakagi. Mi ni mjenzi sitaki kabisa kufanya kazi na serikali kabisa ni wasumbufu hawa watu pesa wanazigawana wao humo wanazila harafu madhila yanaenda kwa mkandarasi
@mnyongeiddi24544 ай бұрын
Makonda hata kama CCM siipendi ila wewe nakukubali sana Bora hata CCM wakusimamishe ugombe hata urais unaweza tuokoa
@khadjamhozya4 ай бұрын
urais hawezi pata
@mnyongeiddi24544 ай бұрын
@@khadjamhozya kwanini kiongozi kila jambo hupangwa na Mungu inawezatokea
@martinabayyo99824 ай бұрын
@@khadjamhozyambn unampinga sana hi kazi anayofanya utaweza ww? Hata kama ww humpendi wengi tunamkubali utakufa na roho mbaya
@geey78934 ай бұрын
Ivi Mbona Arusha Viongozi wengi wa halmashauri ni wanawake? Halafu hawako smart? Au ni wale watu wa watu wanawekwa kimkakati
@josephlorri4314 ай бұрын
Mkoa wenye warembo.. wanapewa nafasi kwa vimemo
@FrankCosta-i3q4 ай бұрын
Yaani huyu mweshimiwa akisema ndio anagombea urais kesho hiyo ni shwaaa✓✓✓ bira kipingamizi yaani huyu mtu anatosha kwa kira kitu ila kama mama akiendelea kumuamini zaidi basi najuwa kwa kazi ya huyu Makonda mama mitano tenaaa kazi iendelee baada ya hapo kiti muachie yeye aendeleze mama atakapokuwa ameishia
@shamzone3884 ай бұрын
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatimiza lengo lake la kazi Wafichue madhalimu woote uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
@AbdulaziziPacha4 ай бұрын
Makondaweye ni mtu na nusu mambo magumu kwako yanafanyika mapesi kumbe uleugumu ni utashi wa Watufulani pigakazi Mungu yupamojanawe
@YunisJerald4 ай бұрын
Hyu ndie mkombozi wa watu
@ladislausngoyinde43844 ай бұрын
Hawa ukiwakuta maofisini mwao ni noma, utazungushwa mpaka ukome, wengi ni vyet fek
@mbwanamungia99214 ай бұрын
Wababaifu sana tena kujenga shule afadhali kuliko kujenga zahanati
@jacksonjamesndyabawe4714 ай бұрын
Safi sana
@SiaCollins4 ай бұрын
Mtetezi wa wanyonge,hoyeeeeeeee
@mbwanamungia99214 ай бұрын
Mchengelwa ni bwege tu shida zote hizi zipo wizara yake
@Zuu6734 ай бұрын
Ata km lkn mdomo husiponze kichwa ndugu
@mashaallahabuu11674 ай бұрын
Tupoooo wengi Kwa kuangalia kazi ya Muheshimiwa wetu mpendwa ,mnyonge wa wananchi,yaaani nikikisa eb naumia sana,vochwa zipunguzwe bei jmn
@geofreykayombo4014 ай бұрын
Wabongo wakishaingia kwenye system hasa serikalini,wakapata njia za pesa wao huwa hawana habari tena na wananchi,wanajiangalia wao na familia zao.ndio Mana ngazi zakutatua hizi kero anayoyafanya makonda watu wapo kibao kwa nafasi zao tofauti tukianza na wenyekiti wa mtaa,na kuendelea ngazi kwa ngazi mpaka kufika kwa mkurugenzi then itafika kwa waziri au wizara usika
@MathiusOlavian4 ай бұрын
Baba piga kazi sana tunakukubali sana
@rahema19924 ай бұрын
Makonda kaza buti baba acha kuwachekea hao tunakuomba baba
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj4 ай бұрын
Moto moto fireeeeh!..
@HumphreyKarua4 ай бұрын
Rc Makonda ni jembe la ufisadi wa jiji la Arusha unafaa saba kunyoosha ufisadi wa wachache hspa Arusha ongere rais raisi Samia Duruhu Hassan kuleta jembe la wizi wa urapegi hu
@kyannickk2be4 ай бұрын
So hadi Mh Makonda aingilie kati ndo watu walipwe!? Wanaohusika wanafanya kazi gani!? .....Bila Paul watu wangedhulumiwa.
@YEHOSHAPHATMAKILILO4 ай бұрын
Makonda keep it up
@twentyacresfarms34644 ай бұрын
Ukiwa mpigaji uwe smart sana na uwe na kumbukumbu sana kwenye kila jambo na uwe smart sana kupitiliza alafu uwe na ujasiri
@johnlembo29554 ай бұрын
Ukiwa mpigaji ujue mwisho wako ni aibu tu.
@nakalikyumile32342 ай бұрын
Wote wangekuwa kama paul makonda nchi ingekuwa sehemu nzuri ya kuishi
@umsulaiman74684 ай бұрын
Makonda na kupenda msema kweli mpenzi wa Mungu Allah akuhifadhi na Kila abui
@African-x1o4 ай бұрын
Hi ichi apewemakonda
@khadjamhozya4 ай бұрын
Apewe nanani
@obedpeter68743 ай бұрын
At mie ningekua RAIS kichwa kingeuma bila mkonda
@jacoblaiser76344 ай бұрын
Wezi wote na wababaidhaji watakuchukia lakini wananchi wema wote watakupenda na kukuombea na hawa ndiyo wengi. Unastashili kuombewa, kupongezwa na kutiwa moyo kwa kazi unayoifanya. Kongole Mwamba wa Arusha.
@Timoclement4 ай бұрын
Haijalishi Bora anagusa maisha ya watu hongera Makonda
@Jeysen_lemar3 ай бұрын
Huy si ni yule yule Injinia au namfananisha?????
@ClementJacob-sd8lf3 ай бұрын
We luck good leader like magufuli and makonda although human being we have problem of course but makonda tries to unite and bring peace we love you so much
@babunyonge62704 ай бұрын
Etii ooh ukimzulumu mchaga anakuua loh kumbe mabwabwa ivi , afu uyo dada anachekacheka akiambiwa huongei na bwana ako tuna mitaro inaibuka uko
@MathayoMulumbi3 ай бұрын
Mratibu hya hela yetu 🤣🤣🤣🤣🤣
@musaamos24313 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu❤❤
@AbdulMwengwa4 ай бұрын
Uchunguzi wa Nini kwenye pesa ya Nini 😂😂😂
@Zubaiba3 ай бұрын
Nampenda makonda sana
@gabybulba95744 ай бұрын
Makonda ana kila sifa ya kuitwa kiongozi, anajua kuenenda na mazingira na kutatua migogoro, Mungu akutangulie Mh.Makonda
@shamzone3884 ай бұрын
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatima lengo lake la kazi Wafichue mashalimu woite uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
@josephlorri4314 ай бұрын
Udini umeingiaje hapo..kwa nini umewaza udini kwenye kazi za serikali? Wazo limekujaje kwenye akili..au
@JumaNurudini4 ай бұрын
Ila makonda
@damsonwilson52024 ай бұрын
Huyu Mzeee ni kweli hata kwangu Alichukuwa mbao kwangu huyu baba Alinilipa cash Alipochukuwa mbao Kwa hiyo Anawadai kweli
@ajmstationery61574 ай бұрын
Mh. Makonda hongera sana kwa kusaidia watu , napendekeza ziara yako iwe nchi nzima na uongezewe power
@gregory61654 ай бұрын
Wanaogopa anawafunika, si alikuwa mwenezi akawa anazunguka kila sehem, lakini si walimtoa walipoona attention yote kwake
@gladistaemanueliy63364 ай бұрын
Afu haki za binadamu ije isema makonda ana dhalilisha, waizi nyie, makonda mungu akulinde
@frankbutati83434 ай бұрын
Watumishi wa umma wasijione wezi, kuna siku tutapata kiongozi huyu Makonda awe mkuu wa nchi wataomba kufa
@thomasraiton77604 ай бұрын
Sasa nahamia ccm rasmi, kile kilichofanya nisiipende kinaanza kutoweka Huwa simpendi kabisa dhuruma
@deejeydaev4 ай бұрын
Yani vitu vingine bana mbona very simple haya mlolongo ulio sizi zaidi ya miaka mi3 umesolvika within minutes... makonda ubarikiwe mkombozi wa wanyonge
@jeanbaptistemanishimwe19464 ай бұрын
Habali ndugu napenda njia huu heshimiwa mukuu wa mukoa anavyo saidia watu angekua lafiki ya Muzee wetu Kagame Mungu Awatangurie njia zenu zote.
@tiffanymo94534 ай бұрын
Dah ,their not serious. Good Job honorable Makonda. We’re praying for you.❤🙏
@lumamialain3 ай бұрын
😂😂😂 mkurungezi huyo hapo Big up Mkuu wa mkoa Makonda
@Zainab_salat3 ай бұрын
Viongozi wa arusha mmepatikana,Makonda hongera kwa kazi nzuri
@zidatv11224 ай бұрын
Hii nchi onatoa harufu kila kona uaani inanika
@Happizo4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@NdayishimiyeAbdulkabir-u7c4 ай бұрын
Why these other leaders canot follow Makonda😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Why??????????
@ShamsiKasoma-fn4cl4 ай бұрын
Ww Jamaa mungu atulindie unajitaid sana jaman japo chema akidumu Ila ww utadumu Yan hutaki rushwa
@kwisa48994 ай бұрын
anacheka cheka ndio maana makonda anawatukana yani mtu unacheza na pesa ya mtu kiasi hichi na kazi kafanya
@JohnsonBagambi4 ай бұрын
Kwaiyo alipe kutoka mfukoni mwake? au! vip wajinga wanashangilia atali tupu
@Ushauri2354 ай бұрын
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana mtu ametumia hela harafu unasema ni jamii
@memoryngambi75704 ай бұрын
Mtu akihama kikazi,kwani ofisini pamoja na nyaraka vyote vinahama?
@mkabesamaashao68054 ай бұрын
SPANA MKUU!
@barakaabel4824 ай бұрын
Hahahahaaa
@mohamedkige25354 ай бұрын
Kiufupi2 awa wanakina mam Baaadh yao nishidaaaaa
@African-x1o4 ай бұрын
Kwanza awe mukuwa African😢
@NeemaNey-mp2fi4 ай бұрын
Mm sio mwana ccm Ila makonda nimekukubali una faa kua Rais wa Nchi hii mungu akulinde na akusaidie wakusimamishe ugombee urais unapita bila kupiga nakuambia mungu akusaidie
@AshelyKantote4 ай бұрын
Mtetezi wawa Nyongeee oiga kaz Mzeee Mungu Anakusimamiaaa
@samsonkingdom-xc8cg3 ай бұрын
Ningekua mungu uyujamaa angekua rais
@kanankirannko61744 ай бұрын
Kweli ukipata peleka sadaka Arusha hii jamani
@PoulFred4 ай бұрын
Watanzania shida inayotusumbuwa ni uelewa mdogo tulionao bila kufanya mabandiliko ya kimufumo hata watokee akina makonda mia hakuna kitakacho bandilika katiba mpya ni sasa na ccm ndiyo chazo cha uovu wote huu
@martinemaganga52534 ай бұрын
Hili siyo tatizo la chama Bali ni mfumo wanwatu,hata kama atapewa ZPP bado hawa watu wataingia kwenye mifumo,watu watateuliwa kuingia serikalini na uharifu utaendelea kuwepo tu,haijalishi kwa katiba gani ama kwa chama kipi
@monalisaally43874 ай бұрын
Nitapigwa sana na mumewngu ila siachi kumsikiliza makonda mpaka aniuwe😂😂
@honoratusmodest2854 ай бұрын
Kwann akupige itakuwa mume wako adui wa makonda😂
@ntandu14 ай бұрын
Pole sana
@monalisaally43874 ай бұрын
Nampigia kelele usiku namfungulia makonda😄
@SamwellLesicar4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ makonda jitahidi baba maana wamezidi sana
@deejeydaev4 ай бұрын
Hichi kichwa safi sana my future presidaa
@thomasraiton77604 ай бұрын
Wanadhurumu Kwa kuwa wao ndio top
@DanKanyange4 ай бұрын
MAKONDA MUNGU AKULINDE
@felistaminja30344 ай бұрын
Mungu akufunike kwa mbawa zake milele
@samamlima56074 ай бұрын
Arusha moto unawaka
@shaffycjg5364 ай бұрын
Et akachukue mchanga na mawe yake
@mzongekibwana8384 ай бұрын
Mr swai boss wangu wa zamani..
@pastorynaph4 ай бұрын
Hahaha
@kwisa48994 ай бұрын
office ainamakabidhiano?
@HalimaKamota4 ай бұрын
Makonda
@gowekogoweko58034 ай бұрын
😮😮😮😮😮😂😂😂😂
@binseif22164 ай бұрын
😂😂Watanzania mabogaz mnaamini hapo atalipwa???hapo mkutano ukiisha hamna cha pesa wala nini