MAKONDA "Lipeni Hiyo Milioni 132 Ndani ya Dakika 10" SINA MUDA wa KUCHEKA, MIAKA 3 MNAMZUNGUSHA TU 🤔

  Рет қаралды 76,879

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 129
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 4 ай бұрын
❤❤. YAN NIKILALA BILA KUANGALIA POST ZA MAKONDA SIPAT USINGIZI😂😂
@Zuu673
@Zuu673 4 ай бұрын
😂😂😂km mimi
@Hkr2748
@Hkr2748 4 ай бұрын
Hakika
@fathimadaid3429
@fathimadaid3429 4 ай бұрын
Mie sikuhizi sisikilizi tena simulizi zaidi ya makonda
@aminakasim1198
@aminakasim1198 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@Ryanzabron
@Ryanzabron 4 ай бұрын
Makonda ndo rais wetu ni swala la muda
@AmAl-x9j
@AmAl-x9j 4 ай бұрын
Makonda wangu mungu azidi kukulinda,, Wasikuue kama walivyomuua baba yetu magufuri,,, Maana watu kama nyie huwa mnawindwa mnoooo,,,
@DaudmosesShuli
@DaudmosesShuli 4 ай бұрын
Paul makonda Mungu akubariki baba
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 4 ай бұрын
Makonda Allah akulipe huo ndio uzalendo sio kama bahazi ya viongozi wa africa
@RaymondMshote
@RaymondMshote 3 ай бұрын
Mimi naamini Wakuu wamikos baadhi pia wapo wanaofanya kazi kubwa sema kama waandishi wahabari wengine hawafwatilii yanafnyika bc lazima atafute mtu gn hbr zitauzika kiongoz gan hua ukigusa trend ipo mfno angalien baadhi yamawaziri kama Bashe.. Bashungwa..Ally Happy watu wanafny kz sema hii nchi ni Pana na kubwa
@gudimbwana8088
@gudimbwana8088 4 ай бұрын
Apewe uwaziri mkuu mawaziri vilaza wakione Cha moto
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 4 ай бұрын
Nchi nzima inashida taratibu za malipo halmashauri ni kichefuchefu
@tupegigwensajigwa2629
@tupegigwensajigwa2629 4 ай бұрын
Na kuelewa sana Mungu akutunze
@LusekeloMwaipopo-rm1uc
@LusekeloMwaipopo-rm1uc 4 ай бұрын
Wizara ya mchengelwa I am Inamchosha tu makonda wetu.
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 4 ай бұрын
Serikali wakati mwingine inawafirisi wananchi wake na huu utaratibu wa kuchukua mali za wananchi alafu kulipa mpaka mjiskie wenyewe
@elibarikigasper448
@elibarikigasper448 2 ай бұрын
Mlipeni mzee wa watu pesa zake nyie acheni propaganda
@hasani565
@hasani565 4 ай бұрын
Arusha ilikuwa inatisha wamekula hela za walipa Kodi kwa Miaka yote hakuna kilicho fanyika.Makonda ni kiongozi Bora.Magufuli spirit eee mungu Tanzania inakushukuru kwa kutupa Makonda.Makonda inabidi alindwe kwa kila hali ...ulinzi wa kwanza uanzie na sisi wanachi tumlinde kwa hali na mali .kama una kubali weka like 💪✌️
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 4 ай бұрын
Hii nchi ni shamba la bibi
@mkabesamaashao6805
@mkabesamaashao6805 4 ай бұрын
Ndio maana wanakiburi sana kwa unyanyasaji
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
Huyu ameletwa na Mungu mwenyewe, Mama samia aliguswa na Mungu, nani anakataa kuwa Arusha inaibeba Tanzania kwa maombi? Arusha kwa asilimia kubwa, humuomba Mungu ktk Roho na kweli, sio kukaa kusubiri miujiza!!... Mama Samia asante kwa huyu kijana wako Makonda na team yake
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
Mama Samia mama, ktk mikoa mingine wale viongozi waliolala wanatakiwa waamke sasa...teua vijana wazalendo kama Makonda, Silaa, na yule wa Dar japo kidogo aongeze kasi
@binseif2216
@binseif2216 4 ай бұрын
@@dorahmushi-we6ts Lkn Arusha inaongoza kwa mauaji
@HamidaHamisi-ej8kz
@HamidaHamisi-ej8kz 4 ай бұрын
Mama Samia mama yetu uliona mbali sana kumteuwa Makonda Makonda nijembe sana abarikiwe mzazi alieza Makonda
@evaemil856
@evaemil856 Ай бұрын
Sasa wamempoteza
@AhmedAli-x8w9e
@AhmedAli-x8w9e 4 ай бұрын
Mm ACT damu ila kwa makonda anochokifanya Niko pamoja nae na kama atagombea urais nahama ACT.
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 4 ай бұрын
NAPENDEKEZA MAKONDA AWE MKUU MKOA KWAMIEZISITA KATIKA KILA MKOA
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 ай бұрын
Mimi makonda atanifirisi kabisa kira siku natumia erf 2100 bando
@hamisiyusuph6721
@hamisiyusuph6721 4 ай бұрын
Huyu jamaa Genius sana Mungu apiganie
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 ай бұрын
Ubarikiwe.Wenye wivu wasije kukugusa.Msimuue.Mungu anamlinda Makonda.❤Ninakuombea maisha marefu🎉🎉
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 4 ай бұрын
Mimi ndo mana huu upuuzi sitakagi. Mi ni mjenzi sitaki kabisa kufanya kazi na serikali kabisa ni wasumbufu hawa watu pesa wanazigawana wao humo wanazila harafu madhila yanaenda kwa mkandarasi
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 4 ай бұрын
Makonda hata kama CCM siipendi ila wewe nakukubali sana Bora hata CCM wakusimamishe ugombe hata urais unaweza tuokoa
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 ай бұрын
urais hawezi pata
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 4 ай бұрын
@@khadjamhozya kwanini kiongozi kila jambo hupangwa na Mungu inawezatokea
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 4 ай бұрын
​@@khadjamhozyambn unampinga sana hi kazi anayofanya utaweza ww? Hata kama ww humpendi wengi tunamkubali utakufa na roho mbaya
@geey7893
@geey7893 4 ай бұрын
Ivi Mbona Arusha Viongozi wengi wa halmashauri ni wanawake? Halafu hawako smart? Au ni wale watu wa watu wanawekwa kimkakati
@josephlorri431
@josephlorri431 4 ай бұрын
Mkoa wenye warembo.. wanapewa nafasi kwa vimemo
@FrankCosta-i3q
@FrankCosta-i3q 4 ай бұрын
Yaani huyu mweshimiwa akisema ndio anagombea urais kesho hiyo ni shwaaa✓✓✓ bira kipingamizi yaani huyu mtu anatosha kwa kira kitu ila kama mama akiendelea kumuamini zaidi basi najuwa kwa kazi ya huyu Makonda mama mitano tenaaa kazi iendelee baada ya hapo kiti muachie yeye aendeleze mama atakapokuwa ameishia
@shamzone388
@shamzone388 4 ай бұрын
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatimiza lengo lake la kazi Wafichue madhalimu woote uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
@AbdulaziziPacha
@AbdulaziziPacha 4 ай бұрын
Makondaweye ni mtu na nusu mambo magumu kwako yanafanyika mapesi kumbe uleugumu ni utashi wa Watufulani pigakazi Mungu yupamojanawe
@YunisJerald
@YunisJerald 4 ай бұрын
Hyu ndie mkombozi wa watu
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 4 ай бұрын
Hawa ukiwakuta maofisini mwao ni noma, utazungushwa mpaka ukome, wengi ni vyet fek
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 4 ай бұрын
Wababaifu sana tena kujenga shule afadhali kuliko kujenga zahanati
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 4 ай бұрын
Safi sana
@SiaCollins
@SiaCollins 4 ай бұрын
Mtetezi wa wanyonge,hoyeeeeeeee
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 4 ай бұрын
Mchengelwa ni bwege tu shida zote hizi zipo wizara yake
@Zuu673
@Zuu673 4 ай бұрын
Ata km lkn mdomo husiponze kichwa ndugu
@mashaallahabuu1167
@mashaallahabuu1167 4 ай бұрын
Tupoooo wengi Kwa kuangalia kazi ya Muheshimiwa wetu mpendwa ,mnyonge wa wananchi,yaaani nikikisa eb naumia sana,vochwa zipunguzwe bei jmn
@geofreykayombo401
@geofreykayombo401 4 ай бұрын
Wabongo wakishaingia kwenye system hasa serikalini,wakapata njia za pesa wao huwa hawana habari tena na wananchi,wanajiangalia wao na familia zao.ndio Mana ngazi zakutatua hizi kero anayoyafanya makonda watu wapo kibao kwa nafasi zao tofauti tukianza na wenyekiti wa mtaa,na kuendelea ngazi kwa ngazi mpaka kufika kwa mkurugenzi then itafika kwa waziri au wizara usika
@MathiusOlavian
@MathiusOlavian 4 ай бұрын
Baba piga kazi sana tunakukubali sana
@rahema1992
@rahema1992 4 ай бұрын
Makonda kaza buti baba acha kuwachekea hao tunakuomba baba
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj 4 ай бұрын
Moto moto fireeeeh!..
@HumphreyKarua
@HumphreyKarua 4 ай бұрын
Rc Makonda ni jembe la ufisadi wa jiji la Arusha unafaa saba kunyoosha ufisadi wa wachache hspa Arusha ongere rais raisi Samia Duruhu Hassan kuleta jembe la wizi wa urapegi hu
@kyannickk2be
@kyannickk2be 4 ай бұрын
So hadi Mh Makonda aingilie kati ndo watu walipwe!? Wanaohusika wanafanya kazi gani!? .....Bila Paul watu wangedhulumiwa.
@YEHOSHAPHATMAKILILO
@YEHOSHAPHATMAKILILO 4 ай бұрын
Makonda keep it up
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 4 ай бұрын
Ukiwa mpigaji uwe smart sana na uwe na kumbukumbu sana kwenye kila jambo na uwe smart sana kupitiliza alafu uwe na ujasiri
@johnlembo2955
@johnlembo2955 4 ай бұрын
Ukiwa mpigaji ujue mwisho wako ni aibu tu.
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 2 ай бұрын
Wote wangekuwa kama paul makonda nchi ingekuwa sehemu nzuri ya kuishi
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 4 ай бұрын
Makonda na kupenda msema kweli mpenzi wa Mungu Allah akuhifadhi na Kila abui
@African-x1o
@African-x1o 4 ай бұрын
Hi ichi apewemakonda
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 ай бұрын
Apewe nanani
@obedpeter6874
@obedpeter6874 3 ай бұрын
At mie ningekua RAIS kichwa kingeuma bila mkonda
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 4 ай бұрын
Wezi wote na wababaidhaji watakuchukia lakini wananchi wema wote watakupenda na kukuombea na hawa ndiyo wengi. Unastashili kuombewa, kupongezwa na kutiwa moyo kwa kazi unayoifanya. Kongole Mwamba wa Arusha.
@Timoclement
@Timoclement 4 ай бұрын
Haijalishi Bora anagusa maisha ya watu hongera Makonda
@Jeysen_lemar
@Jeysen_lemar 3 ай бұрын
Huy si ni yule yule Injinia au namfananisha?????
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf 3 ай бұрын
We luck good leader like magufuli and makonda although human being we have problem of course but makonda tries to unite and bring peace we love you so much
@babunyonge6270
@babunyonge6270 4 ай бұрын
Etii ooh ukimzulumu mchaga anakuua loh kumbe mabwabwa ivi , afu uyo dada anachekacheka akiambiwa huongei na bwana ako tuna mitaro inaibuka uko
@MathayoMulumbi
@MathayoMulumbi 3 ай бұрын
Mratibu hya hela yetu 🤣🤣🤣🤣🤣
@musaamos2431
@musaamos2431 3 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu❤❤
@AbdulMwengwa
@AbdulMwengwa 4 ай бұрын
Uchunguzi wa Nini kwenye pesa ya Nini 😂😂😂
@Zubaiba
@Zubaiba 3 ай бұрын
Nampenda makonda sana
@gabybulba9574
@gabybulba9574 4 ай бұрын
Makonda ana kila sifa ya kuitwa kiongozi, anajua kuenenda na mazingira na kutatua migogoro, Mungu akutangulie Mh.Makonda
@shamzone388
@shamzone388 4 ай бұрын
Makonda anaona mbali sana mungu amlinde yarab Na hana ubaguzi wa dini kabila wala rangi anatima lengo lake la kazi Wafichue mashalimu woite uwanjani tuwajue nchi yetu itanyanyuka sasa maana ilikuwa inadidimia kwenda chini
@josephlorri431
@josephlorri431 4 ай бұрын
Udini umeingiaje hapo..kwa nini umewaza udini kwenye kazi za serikali? Wazo limekujaje kwenye akili..au
@JumaNurudini
@JumaNurudini 4 ай бұрын
Ila makonda
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 4 ай бұрын
Huyu Mzeee ni kweli hata kwangu Alichukuwa mbao kwangu huyu baba Alinilipa cash Alipochukuwa mbao Kwa hiyo Anawadai kweli
@ajmstationery6157
@ajmstationery6157 4 ай бұрын
Mh. Makonda hongera sana kwa kusaidia watu , napendekeza ziara yako iwe nchi nzima na uongezewe power
@gregory6165
@gregory6165 4 ай бұрын
Wanaogopa anawafunika, si alikuwa mwenezi akawa anazunguka kila sehem, lakini si walimtoa walipoona attention yote kwake
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 4 ай бұрын
Afu haki za binadamu ije isema makonda ana dhalilisha, waizi nyie, makonda mungu akulinde
@frankbutati8343
@frankbutati8343 4 ай бұрын
Watumishi wa umma wasijione wezi, kuna siku tutapata kiongozi huyu Makonda awe mkuu wa nchi wataomba kufa
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 4 ай бұрын
Sasa nahamia ccm rasmi, kile kilichofanya nisiipende kinaanza kutoweka Huwa simpendi kabisa dhuruma
@deejeydaev
@deejeydaev 4 ай бұрын
Yani vitu vingine bana mbona very simple haya mlolongo ulio sizi zaidi ya miaka mi3 umesolvika within minutes... makonda ubarikiwe mkombozi wa wanyonge
@jeanbaptistemanishimwe1946
@jeanbaptistemanishimwe1946 4 ай бұрын
Habali ndugu napenda njia huu heshimiwa mukuu wa mukoa anavyo saidia watu angekua lafiki ya Muzee wetu Kagame Mungu Awatangurie njia zenu zote.
@tiffanymo9453
@tiffanymo9453 4 ай бұрын
Dah ,their not serious. Good Job honorable Makonda. We’re praying for you.❤🙏
@lumamialain
@lumamialain 3 ай бұрын
😂😂😂 mkurungezi huyo hapo Big up Mkuu wa mkoa Makonda
@Zainab_salat
@Zainab_salat 3 ай бұрын
Viongozi wa arusha mmepatikana,Makonda hongera kwa kazi nzuri
@zidatv1122
@zidatv1122 4 ай бұрын
Hii nchi onatoa harufu kila kona uaani inanika
@Happizo
@Happizo 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@NdayishimiyeAbdulkabir-u7c
@NdayishimiyeAbdulkabir-u7c 4 ай бұрын
Why these other leaders canot follow Makonda😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Why??????????
@ShamsiKasoma-fn4cl
@ShamsiKasoma-fn4cl 4 ай бұрын
Ww Jamaa mungu atulindie unajitaid sana jaman japo chema akidumu Ila ww utadumu Yan hutaki rushwa
@kwisa4899
@kwisa4899 4 ай бұрын
anacheka cheka ndio maana makonda anawatukana yani mtu unacheza na pesa ya mtu kiasi hichi na kazi kafanya
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi 4 ай бұрын
Kwaiyo alipe kutoka mfukoni mwake? au! vip wajinga wanashangilia atali tupu
@Ushauri235
@Ushauri235 4 ай бұрын
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana mtu ametumia hela harafu unasema ni jamii
@memoryngambi7570
@memoryngambi7570 4 ай бұрын
Mtu akihama kikazi,kwani ofisini pamoja na nyaraka vyote vinahama?
@mkabesamaashao6805
@mkabesamaashao6805 4 ай бұрын
SPANA MKUU!
@barakaabel482
@barakaabel482 4 ай бұрын
Hahahahaaa
@mohamedkige2535
@mohamedkige2535 4 ай бұрын
Kiufupi2 awa wanakina mam Baaadh yao nishidaaaaa
@African-x1o
@African-x1o 4 ай бұрын
Kwanza awe mukuwa African😢
@NeemaNey-mp2fi
@NeemaNey-mp2fi 4 ай бұрын
Mm sio mwana ccm Ila makonda nimekukubali una faa kua Rais wa Nchi hii mungu akulinde na akusaidie wakusimamishe ugombee urais unapita bila kupiga nakuambia mungu akusaidie
@AshelyKantote
@AshelyKantote 4 ай бұрын
Mtetezi wawa Nyongeee oiga kaz Mzeee Mungu Anakusimamiaaa
@samsonkingdom-xc8cg
@samsonkingdom-xc8cg 3 ай бұрын
Ningekua mungu uyujamaa angekua rais
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 4 ай бұрын
Kweli ukipata peleka sadaka Arusha hii jamani
@PoulFred
@PoulFred 4 ай бұрын
Watanzania shida inayotusumbuwa ni uelewa mdogo tulionao bila kufanya mabandiliko ya kimufumo hata watokee akina makonda mia hakuna kitakacho bandilika katiba mpya ni sasa na ccm ndiyo chazo cha uovu wote huu
@martinemaganga5253
@martinemaganga5253 4 ай бұрын
Hili siyo tatizo la chama Bali ni mfumo wanwatu,hata kama atapewa ZPP bado hawa watu wataingia kwenye mifumo,watu watateuliwa kuingia serikalini na uharifu utaendelea kuwepo tu,haijalishi kwa katiba gani ama kwa chama kipi
@monalisaally4387
@monalisaally4387 4 ай бұрын
Nitapigwa sana na mumewngu ila siachi kumsikiliza makonda mpaka aniuwe😂😂
@honoratusmodest285
@honoratusmodest285 4 ай бұрын
Kwann akupige itakuwa mume wako adui wa makonda😂
@ntandu1
@ntandu1 4 ай бұрын
Pole sana
@monalisaally4387
@monalisaally4387 4 ай бұрын
Nampigia kelele usiku namfungulia makonda😄
@SamwellLesicar
@SamwellLesicar 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ makonda jitahidi baba maana wamezidi sana
@deejeydaev
@deejeydaev 4 ай бұрын
Hichi kichwa safi sana my future presidaa
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 4 ай бұрын
Wanadhurumu Kwa kuwa wao ndio top
@DanKanyange
@DanKanyange 4 ай бұрын
MAKONDA MUNGU AKULINDE
@felistaminja3034
@felistaminja3034 4 ай бұрын
Mungu akufunike kwa mbawa zake milele
@samamlima5607
@samamlima5607 4 ай бұрын
Arusha moto unawaka
@shaffycjg536
@shaffycjg536 4 ай бұрын
Et akachukue mchanga na mawe yake
@mzongekibwana838
@mzongekibwana838 4 ай бұрын
Mr swai boss wangu wa zamani..
@pastorynaph
@pastorynaph 4 ай бұрын
Hahaha
@kwisa4899
@kwisa4899 4 ай бұрын
office ainamakabidhiano?
@HalimaKamota
@HalimaKamota 4 ай бұрын
Makonda
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 4 ай бұрын
😮😮😮😮😮😂😂😂😂
@binseif2216
@binseif2216 4 ай бұрын
😂😂Watanzania mabogaz mnaamini hapo atalipwa???hapo mkutano ukiisha hamna cha pesa wala nini
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 4 ай бұрын
Na akilipwa Je????
@samwelilazaro2835
@samwelilazaro2835 4 ай бұрын
Kikubwa amesema
@kibombi
@kibombi 4 ай бұрын
Makonda
FISTON MAYELE APIGA SALUTI KWA MAXI/NITARUDI YANGA/MSIKIE.
5:26
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 12 МЛН
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,9 МЛН
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 18 МЛН
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 12 МЛН