Рет қаралды 10,900
"Hata kama kuna mambo yameonekana watu kadhaa wamekosea hapa Dodoma sio mkoa umekosea,aliyekosea amekosea mwenyewe,alipoyatoa anayajua mwenyewe lakini mkoa wa Dodoma ndio ngome ya Chama cha Mapinduzi na tuko nyuma yako Mama kazi uzlizozifanya tumeziona na tutakuunga mkono na tutafanya kazi"
"kwa mapema sana hivi wameanza kujitokeza watu wasio muunga mkono nakuanza kuleta mambo ya mgawanyiko,hatutajenga Nchi kwa mipasuko,kwa migawanyiko na kwa tamaa binafsi" amesema Dkt.Damas Mukkasa
BILA KUKWEPESHA, CCM DODOMA WAJITETEA - "ALIYEKOSEA KAKOSEA YEYE, SIO MKOA MZIMA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm