BILLIONEA BAKHRESA AONYESHA UFAHARI WA NYUMBA ANAYOKAA YA MABILLIONI.ANAISHI KAMA YUPO PEPONI #emailmarketing #insurance #harmonize
Пікірлер: 110
@abdulkadirsheikhmohamed52 ай бұрын
MWAMBIE BAKHRESA ETI MTUME MOHAMED HAKUWA NA KITANDA HATA MOJA ALIKUA ANALAALIA JAMVI TU ALIJUA DUNIA HAINA MAANA HATA CHEMBE NA MTUME ALIKUA KIPEENZI WA ALLAH.
@ramadhanihamisi55962 ай бұрын
Aacha kumzushia mtume,
@issaalfani10302 ай бұрын
Amekukosea nini?
@abdulkadirsheikhmohamed52 ай бұрын
@@issaalfani1030 Hajanikosea mimics lakini amekosea Dini ya Islamu ni Sunn ya Mtume Mohamad saw. Dini yeti haikubli majivuno na riyaa au kujionyesha nakupenda dunia kiasi kama Bakhresa.Sheitan andi Kenya kiburi.
@marlonointerior2 ай бұрын
Ujinga tuuu wezio hawana dini Hawa kwakua wanajua dini ni uongo😂😂😂
@zeddybass66722 ай бұрын
Maneno ya kimaskini gred ya mwisho
@salumjuma31523 ай бұрын
Mash Allah Allah amzidishie zaidi na zaidi na ampe nguvu ya kukumbuka waliokuwa hawana uwezo
@stanleynjovu8939Күн бұрын
Ameen.
@RaibebeBebe3 ай бұрын
Allah yarzuk man yashaau bihair hisabu
@rajabungatanda6302 ай бұрын
Sema tu anayo nyumba mzuri ya kifahari ya mabilioni Lkn usiseme kama yupo peponi Afikii kiwango cha peponi
@SayyidAhmadBaalawy2 ай бұрын
Pepo ni moja hupati pepo mbili wala usijidanganye..😮😮
@DfamilysingersАй бұрын
Nani aliewahi kupaona peponi kaka
@KaghuvaMsuya3 ай бұрын
Wee usidhalilishe Pepo haifananishwi na chchte tubu
@madarakaiddi3 ай бұрын
Mshukuru Mungu KWA YOTE si KWA ujanja wako tukumbuke safari ya mwisho Mungu akuzidishie
@fatumashabani91223 ай бұрын
Mashallah mwenyezimungu humzidishia amtakae
@bintikhamisi78063 ай бұрын
Soma sura Ash shuraa Aya ya 12 na pia Aya ya 19 utajuwa Allah ni Malikul mulk..Allah Akbar
@HashmaSalimАй бұрын
Bro Kwan umeshawah kufka peponi au ndio u chawa.acha kukufuru,.anaishi kifahar Ila sio Kama Yuko peponi masalaam
@ZainaRashid-t3m3 ай бұрын
Mungu humps amtakae na kwa wakati autakaona humnyima amtakae kwa wakati autakaona
@MuhamedAjigar-dw9ve2 ай бұрын
Mm naona upande hospital na upande duka la magari uwanja wa mazoezi aina uzuri wowote mambo yamezidi mengi ndani lkn alhamdulilah
@abaskhatoon94253 ай бұрын
UZURI WAKE NI ANAJUA PIA KUTOA KUSAIDIA NA KUWAJIBIKA.ALLAH KARIM.NI MTU MWEMA NA MTANZANIA .
@husnamadai70522 ай бұрын
Masha Allah Mungu amjalie na pepo ya akhera pia
@HawaMkanda2 ай бұрын
Mwezimungu akampa alhmdulilahi mungu amkumbushe kufanya ya ahela
@RukiasijahiАй бұрын
Pepo haiwezi kufanania na kit chcht hap dunian pepo anae juwa mungu mwenyew
@SultanKeys13 ай бұрын
Mashaallah
@saadaahmada76002 ай бұрын
Acha uongo hata uishi vipi uwe Na uwezo gani ila pepo haita fanana kabisa, chezea pepo wee! (ACHA UONGO)fisadi wee
@samwellwiza10982 ай бұрын
Wanawapa sadaka maskini kila siku waache waishi maisha yote mazuri....hatuwadai
@kelvinmisso41453 ай бұрын
Kwa hiyo ndugu mwandishi peponi ndo ipo hivi?
@NassourBimkubwq2 ай бұрын
Siwote, kama lazima kukicha tuagize vitu vya bakharesa. Wengine asubuhi muhogo jioni ubwabwa wa nguvu za masikini.
@frankd11563 ай бұрын
Nyumba kama hospitali....kama chumba cha operation .Hujaona nyumba duniani
@HashimSalim-qj7znАй бұрын
Mbora mbele ya Allah ni mcha Mungu
@selemankishema57802 ай бұрын
Duka la magari au nyumba ya kuishi
@ErickMacha-sb2ot2 ай бұрын
Napenda wapambanaji
@RashidiHamzaАй бұрын
Mwenyezimu anasema hiyo report ukubwa wake nikama ukubwa wake nikama mbingu na arizi je hiyo nyumba imefika ukubwa huo kama haijafika funga mdomo kuhusu pepo
@femidayahaya48823 ай бұрын
MashaAllah
@alimuhamed18303 ай бұрын
Maneno umeyamaliza baba
@lilyrose79833 ай бұрын
Pazuri sana ❤️❤️
@MASHIRAMADHAN2 ай бұрын
Sheria haijamkataza kikubwa ni ajuwe haki za Mwenyeezi mungu na kuzifanyia kazi
@abdulkadirsheikhmohamed52 ай бұрын
@@MASHIRAMADHAN Allah ametuamrisha tufuate Sunna ya mtume.Na MTUME haku anajivuna na magari au kujionyesha na majumba.makubwa.Lazima yoshi vile alikua anaishi.
@maryammohammed2345Ай бұрын
@@abdulkadirsheikhmohamed5jmn bn😅..swahaba othman alikuwa ni tajiri sana wala mtume hakuwahi mwambia tupa kila kitu ishi kma mm ..mungu kaunba matajiri na kawaamuru watoe sadaka na zaka kwa ajiliya maskini wala hajasema kuwa wakiwa nazo watupe....nabii suleiman alaihi ssalam yy alikuwa tajiri mno hadi sakafu ake ilikuwa ni ya madini wasema alikuwa na majivuno ama ..hmn rudi kasome uzur usimzushie mtume kijana
@RashidiHamzaАй бұрын
Mungu anasema hiyo pepo ukubwa wake nikama mbingu na arizi je hiyo nyumba unayosema nikama pepo imefika ukubwahuo usilopoke kuhusu pepo
@venancerutta687525 күн бұрын
Hakuna kupigia maana cc tunataka tufanane kitu hicho hakuna mwenyezi mungu azido kumubarika hajalishi Nina Hali gani tuachane na wivu usio na tiba comment hujalazimishwa
@DotoFlavian16 күн бұрын
Pesa alizotoa mahari kuoà si angenunua kitanda
@AdaniMohamedi13 күн бұрын
Mashallah
@RenatusYuda14 күн бұрын
Anaishi kama peponi, wewe ulisha ishi peponi ukapajuwa palivyo?
@ndogoroedson199Ай бұрын
Nan anakufahamu peponi? Acheni kudanganya watu bhana huyo yupo duniani tu na akifa anazikwa kama sisi tu! Acheni kukufuru
POTEZENI MUDA KUKOSANYA MALI MTAZIACHIA WATU WENU NA SISI TUTAWAULIZA MLIZIPATAJE
@SuleimanKhamis20248 күн бұрын
Akumbuke mayatima nawajane
@nasrihussein42932 ай бұрын
Unajua pepe sio karatasi ni mahala watu wazuri watakapoende bro hatubabaiki na ya dunia mungu atatupea ya akhera paradise tutaishi tukila zaituni na anabu forever inshaallah mungu amempa ya dunia Allah atupe ya paradise akhira
@003peaceboykenya Жыл бұрын
Wow
@ErastoMhozyaАй бұрын
mtu akiwa juu yako kimaisha huyo yupo tu na pepo zinaanziaga duniani maana ndipo tunapo ishi
@venancerutta687525 күн бұрын
Uamini je? Mali zake tosha unazoziona azamu tv pekee ushutuki kuwa huyu ni biliionea
@lisauroble313 ай бұрын
Nice
@KhalifanRashid2 ай бұрын
Mbna zote na kongwe Hana gari mpya
@ShukuruTamla-lp6tm3 ай бұрын
Stupid hujaongea Cha maana rudi chuoni ukasome stupid umeongea ujinga unama😅liza bando zetu bure.
@AshaAli-u3w2 ай бұрын
Nyumba yote kubwa hivyo au ndio kwa ajili ya maonyesho kama hivo kupiga picha
@khalidimponela279Ай бұрын
Hii nyumba ipo wap mkuu
@galluskanenge48983 ай бұрын
😂😂 mbona hata chungu hujenga zikabomoka 😂😂
@AhmedHassan-vl5zf2 ай бұрын
NI makinini hata hi video NI ya kimaskini haina gharama kubwa ndio maana haioneshi bizurip
@reginaldmapunda67023 ай бұрын
Onyesha ya kwako bhana ya Bahresa yanakuhusu nini.
@marianajoseph1892 Жыл бұрын
Haven in earth 🌏
@Aziz-p6s3 ай бұрын
Kwaiyo tufanyeje sasa
@tajiliwamadeniАй бұрын
Kikubwa pumzi mengine majaliwa
@dassustephen7313 ай бұрын
Huu ni kutangaza uahamba.Mbona zipo nyumba nyingi za hivyo duniani.
@MzeeMkoloni3 ай бұрын
Wakati mwingine jifunze kunyamaza pita kimya kimya kwani utakuwa umepungukiwa nn???????!!!!!!!
@RashidNdege3 ай бұрын
Acha wivu ww,haujaambiwa hakuna iyo ni ya omar baharesa,
@RashidNdege3 ай бұрын
Washazoea za diamond uwa awasemi waona roise roise mbili hapo tena zile bei mbaya naajitangazi dogo
@godlovemalekela172 ай бұрын
Unaijua Pepo wew kaa Kimya na zambi zako kama zangu
@floramsacky39292 ай бұрын
Tutafika mbinguni tumechoka sana
@NaziruIddy3 ай бұрын
We ni muongo mbona hatumuoni tutaaminije sasa
@ErastoMhozyaАй бұрын
shida za hapa duniani ndio jahanamu yetu na raha za hapa duniani ndio pepo na vyote hivyo mkuu wake ni fedha
@salimfaraj55092 ай бұрын
Akumbuke kunakufa asimsahau mola wake
@sweetplacidnkya48633 ай бұрын
Msisifietafuteni vyenu
@sweetplacidnkya48633 ай бұрын
Nimekuelewa
@rasnchimbi3 ай бұрын
Ni bandia za dunia tupu!🤔
@teyizwilfred429Ай бұрын
Msifie mzee aliumiza kichwa na Bado mpaka Sasa anapambana
@IsmailJumatanu2 ай бұрын
Hajuwi anacho kisema
@IsackSamwel-nx1xp3 ай бұрын
Naomba kazi 4:47 4:50
@biommy67005 күн бұрын
Wee si ndio Mwenye akili
@DanielSanga-w9y25 күн бұрын
Ww inakuhusu nn
@pelican7523 ай бұрын
Hivo vyote ni dunia tuu
@ProsperUlungi3 ай бұрын
Kauli za kimaskini hizo😂😂
@abdulkadirsheikhmohamed52 ай бұрын
HATA KAMA ANA NYUMBA KUU KAMAHII YA FAHARI HAINA MAANA SANA KABURI INAMNGOJA NI NI FT 4 TU NA KABURI NI GIZA SANA ATAKUA NDANI PEKE YAKE TU BILA BWAKE NA MAGARI YA FAHARI.
@issaalfani10302 ай бұрын
Amekukosea nini?
@majidabdul-wg8wwАй бұрын
Fukara huwa ana taabu
@MOSESIMCHUNGUZIАй бұрын
Yote ni bureeee,kifo kipo palepale
@AristidesJustin-ik7lc3 ай бұрын
7j 3:58 3:59 6
@Zainab-f9w5x3 ай бұрын
Mali ya dunia
@RaibebeBebe2 ай бұрын
Haya yote ni mapambo ya dunia mimi na wewe tusisahau akhra vyote hivi tutaviacha
@Aziz-p6s3 ай бұрын
Anaishi ulaya au
@sweetplacidnkya48633 ай бұрын
Acha ushamba
@eugenkiwale2 ай бұрын
Kama hajamwamini Yesu na kuokoka ili asamehewe dhambi moto wa milele unamsubiri hamna lolote hapo kazi bure bila kuokoka
@walidmgonja36442 ай бұрын
Wivu utakuua
@abuuhanifah.16462 ай бұрын
Amuamini Yesu kama nani? Unajua kama Yesu mwenyewe alimuamini na kumuabudu Mungu huyo anaemuabudu Omar Bakhresa. Kama hulijui hilo, sema uonyeshwe aya za biblia (si ktk Quran)...huenda nawe siku moja ukasujudu kama alivyosujudu Yesu na waislamu wengine zama zote duniani
@mubaarakhassani57462 ай бұрын
Eti yesu ndio nini
@ErastoMhozyaАй бұрын
acha umasikini huo ndio maana mnaendeshwa na kiboko ya wachawi
@AishaUpendo3 ай бұрын
kwer uko Kama pepon
@MamuduAziz-h1z3 ай бұрын
Ndio unajua leo, pepo ipo hapa hapa aridhini ndio maana viongozi wa dini wanaishi vizuri kwa michango y misikitini na makanisani embu nambie mfalume gani maskini duniani
@Zainab-f9w5x3 ай бұрын
Mali ya dunia
@Is-hakaRuweikh-k9s2 ай бұрын
Mashaallah
@RenatusYuda14 күн бұрын
Anaishi kama peponi, wewe ulisha ishi peponi ukapajuwa palivyo?
@RenatusYuda14 күн бұрын
Anaishi kama peponi, wewe ulisha ishi peponi ukapajuwa palivyo?
@chichigirl60004 күн бұрын
Watu wengine wanashindwa kufahamu ufalme wa mola haufananishi na hauna upeo wala mipaka