Dudu baya huwa napenda Sana ufahamu wake mzuri kuhusu maisha
@lazarojoseph75412 ай бұрын
Unajuwa ukishapotea jaribu kukubaliana na hali
@kennethjunior6071Ай бұрын
Dudu baya nahitaji namba yangu
@lameckmathias11882 ай бұрын
Konki! Nakuelewa vzr, unaelimisha kadri uwezavyo.
@molexevelist813Ай бұрын
Hujawai kuwa mnafki kaka uko wazi ubarikiwe sanaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
@Pacificano20002 ай бұрын
Upendo,Amani na Furaha ina tosha ,
@JoalAlma-ci1hi2 ай бұрын
Dude had a point
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Ila pamoja na yote huyu kaka ana uelewa sn ht wa mambo ya kiroho
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
Huyu jamaa Anaelimu ya vizazi vijavyo❤
@yusuphabel5530Ай бұрын
Nakukubali Konki unamadini sana.
@mchaujlАй бұрын
Dudubaya ana akili sana huyu jamaa...uelewa mpana sana wa mambo ya mziki,kitaifa na kimataifa
@issakobakimanga7738Ай бұрын
Dudu baya kwa kweli ni mkweli sana
@ramadhanmasiku4105Ай бұрын
Amani Upendo na furaha 👉🏾
@ladislausmoris9638Ай бұрын
Kaka serikali yetu ingekuwa na uelewa ungepewa uongoz maana una mawazo mazuri,utu na upendo.
@twaahbrown10422 ай бұрын
Dudu baya kumbe ndio maana hapendwi ni smart sana ukiwa na akiri nyingi unapigwa vita sana big up sana
@vicentyherman6219Ай бұрын
Huyu jamaa anaongea fact
@kajaymopao16722 ай бұрын
dudu baya konky master big up
@JULIUSOLUOCH-xf8kiАй бұрын
Great man of God
@mugendigeorge77042 ай бұрын
Safi Sana konki
@Tito-dc6vy2 ай бұрын
Safi sana kaka dudubaya kwa ma neno yako nayapende sana broo
@bromanfexxaofficial935Ай бұрын
Very brilliant 😂😂😂😂
@RespiciousRwetabula2 ай бұрын
Nakukubari sn bro, nakufatilia sn una madini mengi sn
@Bboy-ek8vn2 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji
@YorandaBonephas2 ай бұрын
Mungu azidi kukulenda namaaduwi japo tunakupenda Sana Ila wapo mawakala washetani wakupinga Ila pamoja nakukuchukia nakukupinga Ila wataendelea kushindwa kwajina la yesu Kristy wanazaleti Alie hai amina
@FatumaIssa-kw3vvАй бұрын
Thanks ❤❤
@rukiangilla3113Ай бұрын
Dudu baya Yuko vizur 🎉🎉🎉 ana ufahamu Sana
@bobmakes7068Ай бұрын
Mtu yeyote mkweli brother huwa hapendwi,angalia hata ndg yangu makonda anavyopingwa vita na watu wliyomo hata ktk chama chetu.
@bobdutchbobdutch84432 ай бұрын
Good speech msemakweli uchaguliwa kuwa diwani
@user-nb9bf6rt3r2 ай бұрын
Good messages bro konki
@user-vm5bv3od7p26 күн бұрын
Nakukubali dudu baya
@nicolasaugustino84492 ай бұрын
Huyu jamaa 😅 😅
@nelsonnyamle2 ай бұрын
Bana wile nakukubali sana
@starjay30525 күн бұрын
P diddy 😁😁
@hamadmhchande5633Ай бұрын
Dudu baya ungejitahidi huo ufahamu ujikwamue kwa hali ulonayo lakini kumuongelea pdidy ni kama mbingu na ardhi hivo pambania hali yako kifedha kwanza tujue uwezo wako kimtazamo
@user-dr6bm7eu5uАй бұрын
Dudu baya anamzungumzia p didi kama anakaanae mtaa mmoja ubungo livasaid
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
😂
@maxwellvangulinja22 күн бұрын
😂sema jamaa linafacts sanaa💪💪🤜
@user-tz8zu2gt6u2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nikweli bro
@MexiTanix2 ай бұрын
Jay Z hajaacha hizo mambo, Jigga ni chicha mwiba kama Diddy, na alikuwa anaenda kwenye hayo maparty na mkewe, Sijui kama huko bongo mnajua kuwa Beyonce ni teja, na Jigga ndio anayemletea madawa.
@ivanyydaniel2487Ай бұрын
halafu jigga scandal kama hizo alishajipanga kitambo ndo maana ananunua sana wanasheria wakubwa kulinda utu wake ndo maana jamaa ni bonge la shetani
@detectivejeffrey6401Ай бұрын
Huyu jamaa Mungu amtunze
@Direct-00002 ай бұрын
yapo ya nyuma ya pazi watu hawajayajua kuhusu uyo
@dsgroup60932 ай бұрын
Naipataje
@issakobakimanga7738Ай бұрын
Download
@user-ll5lx9hi7e2 ай бұрын
Mugu akubariki
@vernongoodvibes99Ай бұрын
Msenge hyo dudubaya na hii media pia
@EmmanuelMaganga-be7blАй бұрын
Unyamaaa sana mwamba
@abiboseleman1649Ай бұрын
Kaka mkubwa mbona mijasho minhimingi siuvue hilo prova
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
Dudubaya ❤❤❤❤
@user-wk2bg8zf3lАй бұрын
kweli kabisa
@allybobsaith2 ай бұрын
mbona wewe hukuenda 😂😂😂😂 kwa p didy
@richardsimbeye92072 ай бұрын
Hahahaha duuu shikamo kaka ingawa ukwel unauma ila songwe napapenda
@nelsonnyamle2 ай бұрын
Baba wile nakukubali sana
@emmanuelrambo8864Ай бұрын
Akili.kubwa sana hiii
@RichardRobert-gh6ztАй бұрын
Saw
@monicakimati4619Ай бұрын
Matayo 10:26-27
@MessiBaba-xf2sb2 ай бұрын
Dudu baya n mtu wa maana sana. Sijui kwa nn Diamond alimwacha huyu mtu.hawa watu ndo wanatakiwa kuwa karibu na dangote.sio akina naniii hii
@frankhoffa83562 ай бұрын
Angalia anachoongea ni hatari kwa Diamond. Diamond anauhusino na Satan halafu Dudubaya kama unavoona anaponda hivi unafikiri atamwacha?
@emanuelleopod3949Ай бұрын
Huyo Dangote mwenyew wahuni wanakwambia huenda P Didy alijisevia
@Tiffanuhran2 ай бұрын
Nampenda sana puff
@IdrisaMpumbe2 ай бұрын
Uko makini sana mjomba dudu
@muksinimbaruku1233Ай бұрын
Diamond kaliwa tayari
@angelanaftael79652 ай бұрын
Long live Konki
@kichuchu-saloon2 ай бұрын
Kwanza Kuna kitu watu hawajui . Diddy ni FED pia ni CIA so mtaongea sana ila atofungwa
@afropatriot77692 ай бұрын
Hata CIA wanaangaliaga reaction ya public ,wakiona ni kubwa kuna mawili au wakumalize wao au ushtakiwe ili serikali i win public , kina epistein walikua na nguvu sana mzee
@hilarylaurian78962 ай бұрын
Eti Didy ni CIA sijui FED😂😂😂😂😂
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
😮😢ila jmn
@HappyEel-wg4qx2 ай бұрын
Acha kufuru mziki ni haramu
@geofreymongi54032 ай бұрын
Kwako ndio haramu
@bakariomary5781Ай бұрын
Chochote ni haramu kulingana na utakavyokiendea wapo mashekhe na wachungaji mbona hudhurumu watu kwa kigezo cha dini hiyo sio Haramu????
@madahaboytzАй бұрын
Kaka njoo tuimbe Gospel unaonekana umeokoka, MUNGU katutoa huko.
@user-xc5or1ph8xАй бұрын
hahahaaaa et shetan kamkimbia uwiii tumtegemee munguu tyu bc
ww ndo huyafahamu. Limousine ni magari yale ya milango sita.
@amirkhamis8250Ай бұрын
Yanitwa tour bus Dudubaya yupo sawa. We ndio utakuwa hujui. Limousine ni kitu kingine kabisa.
@emanuelndembeka6959Ай бұрын
Limousine ni gari ya milango sita
@onionpeeling5822Ай бұрын
DIAMOND NA YEYE SI ALIJIPELEKA KWENYE JUMBA LA PDIDDY EMBU NYIE WAANDISHI MUULIZENI DIAMOND KAMA NA YEYE ALIGUSWA NA PUFF DADDY ! MEEK MILLS ALIGUSWA CHA KUNYEA
@user-lt1bi5nr1x2 ай бұрын
Funguka mamba
@landmadvdmbeyacity95612 ай бұрын
Konk mastaa
@JosephSimiyu2 ай бұрын
Dudu baya😅😅😅😅ila Sasa badilisha jina kuwa Dudu zuri😅😅😅
@paulojohn5504Ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa mungu sana
@user-um8xn4ge4i2 ай бұрын
Huyu nae chizi kumbe, P DIDDY kapewa nguvu na wazungu, na kwa taarifa yako P DIDDY haendi jela wazungu wanamlinda waliomchoma weusi wenzie na mkewe baada y kumnyima pesa alizomuaidi! Acha uongo
@MackameHassani2 ай бұрын
Elewa nn anachikiongea kwanza huyu jamaa kaka, kwani wazungu hawapo ktk list ya wanaoabudu shetani?
@user-we7uq1qh7p2 ай бұрын
Www kenge kuwa na adabu mm naushi Amarican Soo kweli unachokisema
@user-sg6nc1is3j2 ай бұрын
Shetani anapenda kumgeuza mtoto wa kiume awe Maji ya tamu
@MexiTanix2 ай бұрын
Sasa kwa taarifa yako, blacks wamekuwa wakimsema Diddy miaka nenda rudi lakini nothing happened, Ila Diddy alipojaribu kuwatunishia msuli wale jamaa wanaomiliki Ciroc drinks 🍷 ambao ni wazungu, hapo ndio pila likamgeukia yeye.
@mbarakajummadindamadinda4912 ай бұрын
Anafugwa yule wewe mda wake umeisha we ndo haujui kitu Sasa wazungu hao hao ndo wanammaliza
@user-ib1kp5ch4m2 ай бұрын
Muulize dudu,Wile yupo wapi?
@billjames12162 ай бұрын
Huyu anasema nini Kwani amekuwa akiishi chini ya mawe???
@moshimaganga66832 ай бұрын
Acha upuuzi
@onuleonard61602 ай бұрын
Nchi hii hatar mtu anamsemea mpaka asiyemjua
@lazarojoseph75412 ай бұрын
Kweli mambo ya US mbongo anajifanya anajuwa 😂
@mohdkhatib2232 ай бұрын
Dunia sasa hivi ipo kwenye kiganja cha mkono. Wewe wa wapi?
@jamesjoseph6825Ай бұрын
Wewe ndo hujui namna ya kuwafuatilia na kuwajua, tambua kuwa Dudu baya unsmdharau kwa hivyo alivyo kwa sasa lkn elewa kuwa Alikuwa staa mkubwa africa mashariki so kujua habari za mastaa wenzake ni rahisi
@jacksonmsendo34782 ай бұрын
Dudubaya akili nyingi sana
@JandaalHaqeem2 ай бұрын
Dudu baya kuimba hujui
@mustafarajabu40052 ай бұрын
Dudu baya umeishiwa.hivyo vitabu vyawapi mungu anataka mziki wadunia.mungu anataka mziki wakumsifu yy na sio mziki hunaosema ww konki x3.oll chafu😂😂
@user-zz5uj6gs4mАй бұрын
Weyee ndo hjafaham
@user-rk9gr9yf3i2 ай бұрын
wacha mipasho majungu umeyatupa wakati wenu kulikuwa hakuna pesa kilicho baki choyo wivu unaomba watu waharibikiwe ulichokusudia ni wasanii wa Tanzania wewe ni mchawi ropokwa huna jambo wenzako wanakula bata mjinga wewe
@abuuhafsah96302 ай бұрын
Ukiwa choko lazima umpinge dudu
@AllyhujjatАй бұрын
Pumbavu unajua nn wewe ebu kakojoe ukalale mjinga mkubwa huyu ipo siku mtajua kwanini namwita mjinga ajui kitu
@prof.abusakelsaleh3524Ай бұрын
Wewe unayejua hongera ila bora ujinga unaosaidia kuliko akili isio na msaada