KIMENUKA; DUDU BAYA AFICHUA MACHAFU YA P, DIDY UTAJIRI WAKE SHETANI AMEMKIMBIA LAZIMA TU ATA......

  Рет қаралды 36,484

Maks Media

Maks Media

2 ай бұрын

Пікірлер: 112
@joctanmtambi895
@joctanmtambi895 2 ай бұрын
Dudu baya huwa napenda Sana ufahamu wake mzuri kuhusu maisha
@lazarojoseph7541
@lazarojoseph7541 2 ай бұрын
Unajuwa ukishapotea jaribu kukubaliana na hali
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 Ай бұрын
Dudu baya nahitaji namba yangu
@lameckmathias1188
@lameckmathias1188 2 ай бұрын
Konki! Nakuelewa vzr, unaelimisha kadri uwezavyo.
@molexevelist813
@molexevelist813 Ай бұрын
Hujawai kuwa mnafki kaka uko wazi ubarikiwe sanaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
@Pacificano2000
@Pacificano2000 2 ай бұрын
Upendo,Amani na Furaha ina tosha ,
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi 2 ай бұрын
Dude had a point
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Ila pamoja na yote huyu kaka ana uelewa sn ht wa mambo ya kiroho
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Ай бұрын
Huyu jamaa Anaelimu ya vizazi vijavyo❤
@yusuphabel5530
@yusuphabel5530 Ай бұрын
Nakukubali Konki unamadini sana.
@mchaujl
@mchaujl Ай бұрын
Dudubaya ana akili sana huyu jamaa...uelewa mpana sana wa mambo ya mziki,kitaifa na kimataifa
@issakobakimanga7738
@issakobakimanga7738 Ай бұрын
Dudu baya kwa kweli ni mkweli sana
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 Ай бұрын
Amani Upendo na furaha 👉🏾
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 Ай бұрын
Kaka serikali yetu ingekuwa na uelewa ungepewa uongoz maana una mawazo mazuri,utu na upendo.
@twaahbrown1042
@twaahbrown1042 2 ай бұрын
Dudu baya kumbe ndio maana hapendwi ni smart sana ukiwa na akiri nyingi unapigwa vita sana big up sana
@vicentyherman6219
@vicentyherman6219 Ай бұрын
Huyu jamaa anaongea fact
@kajaymopao1672
@kajaymopao1672 2 ай бұрын
dudu baya konky master big up
@JULIUSOLUOCH-xf8ki
@JULIUSOLUOCH-xf8ki Ай бұрын
Great man of God
@mugendigeorge7704
@mugendigeorge7704 2 ай бұрын
Safi Sana konki
@Tito-dc6vy
@Tito-dc6vy 2 ай бұрын
Safi sana kaka dudubaya kwa ma neno yako nayapende sana broo
@bromanfexxaofficial935
@bromanfexxaofficial935 Ай бұрын
Very brilliant 😂😂😂😂
@RespiciousRwetabula
@RespiciousRwetabula 2 ай бұрын
Nakukubari sn bro, nakufatilia sn una madini mengi sn
@Bboy-ek8vn
@Bboy-ek8vn 2 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji
@YorandaBonephas
@YorandaBonephas 2 ай бұрын
Mungu azidi kukulenda namaaduwi japo tunakupenda Sana Ila wapo mawakala washetani wakupinga Ila pamoja nakukuchukia nakukupinga Ila wataendelea kushindwa kwajina la yesu Kristy wanazaleti Alie hai amina
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv Ай бұрын
Thanks ❤❤
@rukiangilla3113
@rukiangilla3113 Ай бұрын
Dudu baya Yuko vizur 🎉🎉🎉 ana ufahamu Sana
@bobmakes7068
@bobmakes7068 Ай бұрын
Mtu yeyote mkweli brother huwa hapendwi,angalia hata ndg yangu makonda anavyopingwa vita na watu wliyomo hata ktk chama chetu.
@bobdutchbobdutch8443
@bobdutchbobdutch8443 2 ай бұрын
Good speech msemakweli uchaguliwa kuwa diwani
@user-nb9bf6rt3r
@user-nb9bf6rt3r 2 ай бұрын
Good messages bro konki
@user-vm5bv3od7p
@user-vm5bv3od7p 26 күн бұрын
Nakukubali dudu baya
@nicolasaugustino8449
@nicolasaugustino8449 2 ай бұрын
Huyu jamaa 😅 😅
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 2 ай бұрын
Bana wile nakukubali sana
@starjay3052
@starjay3052 5 күн бұрын
P diddy 😁😁
@hamadmhchande5633
@hamadmhchande5633 Ай бұрын
Dudu baya ungejitahidi huo ufahamu ujikwamue kwa hali ulonayo lakini kumuongelea pdidy ni kama mbingu na ardhi hivo pambania hali yako kifedha kwanza tujue uwezo wako kimtazamo
@user-dr6bm7eu5u
@user-dr6bm7eu5u Ай бұрын
Dudu baya anamzungumzia p didi kama anakaanae mtaa mmoja ubungo livasaid
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
😂
@maxwellvangulinja
@maxwellvangulinja 22 күн бұрын
😂sema jamaa linafacts sanaa💪💪🤜
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nikweli bro
@MexiTanix
@MexiTanix 2 ай бұрын
Jay Z hajaacha hizo mambo, Jigga ni chicha mwiba kama Diddy, na alikuwa anaenda kwenye hayo maparty na mkewe, Sijui kama huko bongo mnajua kuwa Beyonce ni teja, na Jigga ndio anayemletea madawa.
@ivanyydaniel2487
@ivanyydaniel2487 Ай бұрын
halafu jigga scandal kama hizo alishajipanga kitambo ndo maana ananunua sana wanasheria wakubwa kulinda utu wake ndo maana jamaa ni bonge la shetani
@detectivejeffrey6401
@detectivejeffrey6401 Ай бұрын
Huyu jamaa Mungu amtunze
@Direct-0000
@Direct-0000 2 ай бұрын
yapo ya nyuma ya pazi watu hawajayajua kuhusu uyo
@dsgroup6093
@dsgroup6093 2 ай бұрын
Naipataje
@issakobakimanga7738
@issakobakimanga7738 Ай бұрын
Download
@user-ll5lx9hi7e
@user-ll5lx9hi7e 2 ай бұрын
Mugu akubariki
@vernongoodvibes99
@vernongoodvibes99 Ай бұрын
Msenge hyo dudubaya na hii media pia
@EmmanuelMaganga-be7bl
@EmmanuelMaganga-be7bl Ай бұрын
Unyamaaa sana mwamba
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Ай бұрын
Kaka mkubwa mbona mijasho minhimingi siuvue hilo prova
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n Ай бұрын
Dudubaya ❤❤❤❤
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l Ай бұрын
kweli kabisa
@allybobsaith
@allybobsaith 2 ай бұрын
mbona wewe hukuenda 😂😂😂😂 kwa p didy
@richardsimbeye9207
@richardsimbeye9207 2 ай бұрын
Hahahaha duuu shikamo kaka ingawa ukwel unauma ila songwe napapenda
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 2 ай бұрын
Baba wile nakukubali sana
@emmanuelrambo8864
@emmanuelrambo8864 Ай бұрын
Akili.kubwa sana hiii
@RichardRobert-gh6zt
@RichardRobert-gh6zt Ай бұрын
Saw
@monicakimati4619
@monicakimati4619 Ай бұрын
Matayo 10:26-27
@MessiBaba-xf2sb
@MessiBaba-xf2sb 2 ай бұрын
Dudu baya n mtu wa maana sana. Sijui kwa nn Diamond alimwacha huyu mtu.hawa watu ndo wanatakiwa kuwa karibu na dangote.sio akina naniii hii
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 2 ай бұрын
Angalia anachoongea ni hatari kwa Diamond. Diamond anauhusino na Satan halafu Dudubaya kama unavoona anaponda hivi unafikiri atamwacha?
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 Ай бұрын
Huyo Dangote mwenyew wahuni wanakwambia huenda P Didy alijisevia
@Tiffanuhran
@Tiffanuhran 2 ай бұрын
Nampenda sana puff
@IdrisaMpumbe
@IdrisaMpumbe 2 ай бұрын
Uko makini sana mjomba dudu
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Ай бұрын
Diamond kaliwa tayari
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 ай бұрын
Long live Konki
@kichuchu-saloon
@kichuchu-saloon 2 ай бұрын
Kwanza Kuna kitu watu hawajui . Diddy ni FED pia ni CIA so mtaongea sana ila atofungwa
@afropatriot7769
@afropatriot7769 2 ай бұрын
Hata CIA wanaangaliaga reaction ya public ,wakiona ni kubwa kuna mawili au wakumalize wao au ushtakiwe ili serikali i win public , kina epistein walikua na nguvu sana mzee
@hilarylaurian7896
@hilarylaurian7896 2 ай бұрын
Eti Didy ni CIA sijui FED😂😂😂😂😂
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
😮😢ila jmn
@HappyEel-wg4qx
@HappyEel-wg4qx 2 ай бұрын
Acha kufuru mziki ni haramu
@geofreymongi5403
@geofreymongi5403 2 ай бұрын
Kwako ndio haramu
@bakariomary5781
@bakariomary5781 Ай бұрын
Chochote ni haramu kulingana na utakavyokiendea wapo mashekhe na wachungaji mbona hudhurumu watu kwa kigezo cha dini hiyo sio Haramu????
@madahaboytz
@madahaboytz Ай бұрын
Kaka njoo tuimbe Gospel unaonekana umeokoka, MUNGU katutoa huko.
@user-xc5or1ph8x
@user-xc5or1ph8x Ай бұрын
hahahaaaa et shetan kamkimbia uwiii tumtegemee munguu tyu bc
@AllyYusufsadam
@AllyYusufsadam Ай бұрын
Kaka oomba yasikukute kbx sindio
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 Ай бұрын
Ushaidi??
@dsgroup6093
@dsgroup6093 2 ай бұрын
Nina shida na namba ya hyu mwamba dudu baya
@user-ut3gf1tg2n
@user-ut3gf1tg2n Ай бұрын
jembe umejaa vitu vizuri sichok kukusikiliza
@user-ku1rg7mr3i
@user-ku1rg7mr3i Ай бұрын
Dudu baya na afande sele wako makini sana
@user-yd4et4sd9b
@user-yd4et4sd9b 2 ай бұрын
Huyu master yuko vizuri sana, sema usiogope wajinga wachache wanaoshadadia ushoga
@user-ue5cn9cw1h
@user-ue5cn9cw1h Ай бұрын
mbee
@piusdeo9380
@piusdeo9380 2 ай бұрын
Nakubali baba maelezo yako nayaeeewaga kinoma
@raggysingo4983
@raggysingo4983 2 ай бұрын
Yanaitwa Limousine sio tour bus😂😂😂
@RabihuHussein
@RabihuHussein 2 ай бұрын
ww ndo huyafahamu. Limousine ni magari yale ya milango sita.
@amirkhamis8250
@amirkhamis8250 Ай бұрын
Yanitwa tour bus Dudubaya yupo sawa. We ndio utakuwa hujui. Limousine ni kitu kingine kabisa.
@emanuelndembeka6959
@emanuelndembeka6959 Ай бұрын
Limousine ni gari ya milango sita
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 Ай бұрын
DIAMOND NA YEYE SI ALIJIPELEKA KWENYE JUMBA LA PDIDDY EMBU NYIE WAANDISHI MUULIZENI DIAMOND KAMA NA YEYE ALIGUSWA NA PUFF DADDY ! MEEK MILLS ALIGUSWA CHA KUNYEA
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 2 ай бұрын
Funguka mamba
@landmadvdmbeyacity9561
@landmadvdmbeyacity9561 2 ай бұрын
Konk mastaa
@JosephSimiyu
@JosephSimiyu 2 ай бұрын
Dudu baya😅😅😅😅ila Sasa badilisha jina kuwa Dudu zuri😅😅😅
@paulojohn5504
@paulojohn5504 Ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa mungu sana
@user-um8xn4ge4i
@user-um8xn4ge4i 2 ай бұрын
Huyu nae chizi kumbe, P DIDDY kapewa nguvu na wazungu, na kwa taarifa yako P DIDDY haendi jela wazungu wanamlinda waliomchoma weusi wenzie na mkewe baada y kumnyima pesa alizomuaidi! Acha uongo
@MackameHassani
@MackameHassani 2 ай бұрын
Elewa nn anachikiongea kwanza huyu jamaa kaka, kwani wazungu hawapo ktk list ya wanaoabudu shetani?
@user-we7uq1qh7p
@user-we7uq1qh7p 2 ай бұрын
Www kenge kuwa na adabu mm naushi Amarican Soo kweli unachokisema
@user-sg6nc1is3j
@user-sg6nc1is3j 2 ай бұрын
Shetani anapenda kumgeuza mtoto wa kiume awe Maji ya tamu
@MexiTanix
@MexiTanix 2 ай бұрын
Sasa kwa taarifa yako, blacks wamekuwa wakimsema Diddy miaka nenda rudi lakini nothing happened, Ila Diddy alipojaribu kuwatunishia msuli wale jamaa wanaomiliki Ciroc drinks 🍷 ambao ni wazungu, hapo ndio pila likamgeukia yeye.
@mbarakajummadindamadinda491
@mbarakajummadindamadinda491 2 ай бұрын
Anafugwa yule wewe mda wake umeisha we ndo haujui kitu Sasa wazungu hao hao ndo wanammaliza
@user-ib1kp5ch4m
@user-ib1kp5ch4m 2 ай бұрын
Muulize dudu,Wile yupo wapi?
@billjames1216
@billjames1216 2 ай бұрын
Huyu anasema nini Kwani amekuwa akiishi chini ya mawe???
@moshimaganga6683
@moshimaganga6683 2 ай бұрын
Acha upuuzi
@onuleonard6160
@onuleonard6160 2 ай бұрын
Nchi hii hatar mtu anamsemea mpaka asiyemjua
@lazarojoseph7541
@lazarojoseph7541 2 ай бұрын
Kweli mambo ya US mbongo anajifanya anajuwa 😂
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 ай бұрын
Dunia sasa hivi ipo kwenye kiganja cha mkono. Wewe wa wapi?
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 Ай бұрын
Wewe ndo hujui namna ya kuwafuatilia na kuwajua, tambua kuwa Dudu baya unsmdharau kwa hivyo alivyo kwa sasa lkn elewa kuwa Alikuwa staa mkubwa africa mashariki so kujua habari za mastaa wenzake ni rahisi
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 2 ай бұрын
Dudubaya akili nyingi sana
@JandaalHaqeem
@JandaalHaqeem 2 ай бұрын
Dudu baya kuimba hujui
@mustafarajabu4005
@mustafarajabu4005 2 ай бұрын
Dudu baya umeishiwa.hivyo vitabu vyawapi mungu anataka mziki wadunia.mungu anataka mziki wakumsifu yy na sio mziki hunaosema ww konki x3.oll chafu😂😂
@user-zz5uj6gs4m
@user-zz5uj6gs4m Ай бұрын
Weyee ndo hjafaham
@user-rk9gr9yf3i
@user-rk9gr9yf3i 2 ай бұрын
wacha mipasho majungu umeyatupa wakati wenu kulikuwa hakuna pesa kilicho baki choyo wivu unaomba watu waharibikiwe ulichokusudia ni wasanii wa Tanzania wewe ni mchawi ropokwa huna jambo wenzako wanakula bata mjinga wewe
@abuuhafsah9630
@abuuhafsah9630 2 ай бұрын
Ukiwa choko lazima umpinge dudu
@Allyhujjat
@Allyhujjat Ай бұрын
Pumbavu unajua nn wewe ebu kakojoe ukalale mjinga mkubwa huyu ipo siku mtajua kwanini namwita mjinga ajui kitu
@prof.abusakelsaleh3524
@prof.abusakelsaleh3524 Ай бұрын
Wewe unayejua hongera ila bora ujinga unaosaidia kuliko akili isio na msaada
DUDU BAYA AFICHUA MADUDU YA SARAH WA DIAMOND, WAMEFANYA UPUUZI
25:37
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 69 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 1,3 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 3,2 МЛН
Pleased the disabled person! #shorts
00:43
Dimon Markov
Рет қаралды 29 МЛН
It worked for me)
0:19
F&T Team
Рет қаралды 23 МЛН
бим бам бум💥💥 типа..
0:18
Ma1x1
Рет қаралды 7 МЛН
Toothbrush Glove Hack !?
0:16
Dental Digest
Рет қаралды 10 МЛН