Bishop Ngonyani_ CHANJO YA KORONA NI 666?

  Рет қаралды 1,770

Ngonyani Tv

Ngonyani Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 26
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 3 жыл бұрын
Toka nizaliwe cjawahi kuona mtumish creative kama ww your are very very so talented guy Tanzania nzima mpo wawili tu watumishi wenye uelewa mkubwa na sijapata kuona ni wewe mtumishi ngonyani na Askofu bishop Augustine mpemba , na tatizo kubwa watanzania wengi siwafuatiliaji wa vitu na wavivu wa kusoma mungu awabariki watumishi wangu wawili
@haningtonkabuta9387
@haningtonkabuta9387 3 жыл бұрын
We are here following these wonderful teachings, dear man of God. Blessings!
@josephchuma1406
@josephchuma1406 3 жыл бұрын
Umefafanua vzr sana mtumishi
@ngonyanitv9687
@ngonyanitv9687 3 жыл бұрын
Asante Usisahau kushare
@sarahmakene1365
@sarahmakene1365 3 жыл бұрын
Asante kwa ufafanuzi mzuri baba yangu.
@sebastianbwiri4441
@sebastianbwiri4441 3 жыл бұрын
Good!
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 3 жыл бұрын
Kiti cha mbele kabisa. Asante Askofu Aurelian
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 3 жыл бұрын
Nsaidie naomba yako mtumishi
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 3 жыл бұрын
Inasikitisha sana na inashangaza cijui kwanini mafundisho ya kweli yanafatiliwa na watu wachache ila porojo na injili za upotoshaji zinafuatiliwa na watu wengiiii kama utakua na akili utajua namaanisha nn
@newsline7482
@newsline7482 3 жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri, swali langu je kwanini hii chanjo ukienda kuchanjwa lazima ujaze ile karatas kama unaenda kufanyiwa operation kwamba yatakayokukuta serikali haitahusika?.
@robathzingu1650
@robathzingu1650 3 жыл бұрын
Asante mwalimu. Nimeelewa sasa kwa sababu ni elimu inayoungwa mkono na Neno la Mungu. Asante sana tena. Hata hivyo ni nina swali: KWAMBA, kama chanjo ya CIVID 19 ni maandalizi ya ujio wa mpinga kristo, wakristo wana wa Mungu tufanye nini sasa? Ni vyema kuchanjwa au tukatae kwa sababu tunakuwa tunaandaliwa kuwa wafuasi wa Ant Christ?
@wellahsuleiman7881
@wellahsuleiman7881 3 жыл бұрын
Kweli
@wellahsuleiman7881
@wellahsuleiman7881 3 жыл бұрын
MUNGU ATUONGEZEE IMANI TUSIMWAMINI ANT_CHRIST, ATAKAPOJITOKEZA
@wellahsuleiman7881
@wellahsuleiman7881 3 жыл бұрын
USHAURI WAKO JE WATU WACHANJE AU VIPI?
@wellahsuleiman7881
@wellahsuleiman7881 3 жыл бұрын
HEKALU LITAJENGWA KTK NCHI GANI?
@wellahsuleiman7881
@wellahsuleiman7881 3 жыл бұрын
MPINGA KRISTO ATATOKEA UPANDE GANI?
@wellahsuleiman7881
@wellahsuleiman7881 3 жыл бұрын
NABII WA UONGO NI NANI?
@christianmwasakogo5579
@christianmwasakogo5579 3 жыл бұрын
Yupo ila anatenda kazi kwa siri kwasasa uwe makini zaidi mwalim maana hujaongelea utendendaji wake kwa siri kwa mujibu wa kitabu cha thesalonike
@polinepoline2863
@polinepoline2863 3 жыл бұрын
Naomba uongelelee kuhusu kitakacho wafanyikia ambao watakataa kupokea chapa ya mpinga kristo 666 baada ya kanisa kunyakuliwa.na je yesu akirudi baada ya miaka 7 atawachukua hao walio ikataa 666????
@wellahsuleiman7881
@wellahsuleiman7881 3 жыл бұрын
Askofu, TUAMBIE HII CHANJO NI ISHARA IPI KATIKA BIBLIA, KAMA SIO ALAMA 666. HAYA NI MATAYARISHO YA MPINGA KRISTO KUDHOOFISHA NGUVU ZA MWANAADAMU,
@jerryjuma1339
@jerryjuma1339 3 жыл бұрын
samahani nauliza swali mbona Kuna watu wanasema kwamba mpinga kristo atakuwa ni myahudi eti atatoka katika kabila la Dani, hivi ni kweli au sio kweli mtumishi wa Mungu?
@ngonyanitv9687
@ngonyanitv9687 3 жыл бұрын
Wanyama wapo wawili, mmoja toka baharini na mwingine katika nchi. Bahari ni mataifa na nchi ni Israel ufu 13. 1.... Pia wakwanza anashughulikia na utawala wa kisiasa na wapili anashughulikia na mambo ya imani tena mfano wa mwana kondoo. So nabii wa Uwongo ndiyo atatoka uyahudi kwakuwa anashughulikia na mambo ya imani. Huwezi aminiwa na wayahudi kama si myahudi
@wellahsuleiman7881
@wellahsuleiman7881 3 жыл бұрын
MAPADRI MNGEUNGANA MKATAFAKARI KWA PAMOJA, MKILINGANISHA MANENO YA BIBLIA NA WAKATI HUU. INGETUSAIDIA WAUMINI. HATUJUI TU MWAMINI NANI? MIE NA FIKIRI KAZI YA MPINGA KRISTO IMEANZA TAYARI, BADO KUJIHIDHIRISHA HADHARANI.
@ramadhaniasumani5602
@ramadhaniasumani5602 3 жыл бұрын
Nimeshukuru sana Mchungaji kwa ufafanuzu, nivema kufundisha wakristu kujuwa dalili ya siku za mwisho ili wasikumbwe na mafundisho ya uongo.
@immanuelmwaipopo1605
@immanuelmwaipopo1605 3 жыл бұрын
Sikubaliani na ww kutumia biblia ya kwenye simu na ww ni mchungaji unatuambia tuachane na biblia harisi bali tubebe simu zetu
NON-STOP - FULL EPISODES - +4 Hours - The Beginners Bible
3:45:35
The Beginners Bible
Рет қаралды 17 МЛН
How To Speak Fluently In English About Almost Anything
1:49:55
EnglishAnyone
Рет қаралды 3,3 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
Zelensky is ready to talk with Putin / Border closure
13:18
NEXTA Live
Рет қаралды 676 М.
MAONI YA ASKOFU NGONYANI KUHUSU MAAGIZO YA DONALD TRUMP
9:13
Ngonyani Tv
Рет қаралды 4,4 М.
The Person of the Holy Spirit | Benny Hinn in Ghana
1:31:44
Benny Hinn
Рет қаралды 590 М.
Bishop Ngonyani_Mfahamu mfalme Daudi kiundani.
28:01
Ngonyani Tv
Рет қаралды 1,4 М.
Think Fast, Talk Smart: Communication Techniques
58:20
Stanford Graduate School of Business
Рет қаралды 44 МЛН
Bishop Ngonyani_Fahamu mateso makubwa walioyapitia wana wa Israel
32:27
UNAJUA KWANINI YESU HAKUOA ? Askofu Ngonyani atolea ufafanuzi.
4:44